CHUNUSI ADAIWA KUUA VIJANA WAWILI KWA MPIGO MTONI ARUSHA "DAMU HAIJATOKA, HANA MAJERAHA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024

Комментарии • 199

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Месяц назад +14

    Hapo kwenye kujirusha kumfata Rafik ndo kubwa kuliko,,,huu ujasir unapatikana Arusha tu😂😂😂😂

    • @esterhudson4099
      @esterhudson4099 Месяц назад

      hii hata dodoma ilishatokea tena mwaka huu huuu mmoja alizama kisiman rafiki ake akazama ili amuokoe mwenzie mwisho wakafariki wote

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 Месяц назад

      ata mbeya umewahi tokea mwanafunzi aliona mwenzie anazama akajirusha kumuokoa wakaenda wote 😢😢

    • @JenipherElfasi
      @JenipherElfasi Месяц назад

      Kweli yani niupendo mkubwa

    • @EddahBure-te7ft
      @EddahBure-te7ft Месяц назад

      Sio upendo huyo ndo chunusi ye hachagui ​@@JenipherElfasi

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 Месяц назад +11

    Chunusi sio mapepo, Chunusi ni aina ya samaki Mwenye umeme mkubwa sana yaani huyo akikugusa tu unakauka hapo hapo, Mungu awalaze pema

    • @JacklineGodfrey-u1q
      @JacklineGodfrey-u1q Месяц назад

      Fact

    • @HemedBakari-e4e
      @HemedBakari-e4e Месяц назад

      Uongo

    • @LucyKulaya-bj5ow
      @LucyKulaya-bj5ow Месяц назад

      Usiniamby,umeme ten😂😂

    • @ommyshopangi9543
      @ommyshopangi9543 Месяц назад +1

      Chunusi ni jini....nilinusurika pale mto njoro....nilishtukia maji madogo ila yalinivuta na kinachonivuta hakionekan....ila kaka angu aliniwahi.....Tembea ujionee...usiongee nadharia.

    • @josephchrizostom8437
      @josephchrizostom8437 Месяц назад

      chali wa kitivu acha uwongo​@@ommyshopangi9543

  • @veromwanji
    @veromwanji Месяц назад +7

    Tumuombe mwenyezi mungu atusaidie pia maana duuuh,peke etu hatuwezi .mtoni pia msiende hivyo vitu uwa vinakuwepo kweli navinavuta kweli ndio sababu bila mwenyezi mungu hatuwezi tumuombe atuepushe na vitu kama hivyo

  • @user-bv4bw1wp2e
    @user-bv4bw1wp2e Месяц назад +11

    Chunusi ni mapepo Yani majini wabaya

  • @Quee2662
    @Quee2662 Месяц назад +3

    Yaani nashangaaa Arusha Arusha ila hamna sehemu wanakufa kizembe kama dar sema wanachukulia poa taarifa hazisambai mana watu hawana utu wanaona ni kawaida kisa tu hawamjui marehem. Dar ni tishio unagongwa unavunjika wanakupita hapo labda uokotwe na bodaboda 😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Месяц назад +5

    Huenda hata wanaozikwa sio wenyewe.ni mambo ya kiroho (mamy water)wenyewe wameenda kutumikia miungu ya maji.haya ni mambo ya kiroho serekali haiwez ikaelewa.

  • @user-fw6dp9iy4i
    @user-fw6dp9iy4i Месяц назад +7

    Electric cell,,,,ni Aina ya samaki mwenye umeme mkubwa akikupiga huponi anakaa kwenye maji ya MiTo eneo yanakotuama,,,,,ogopa ni hatari,,,sio ushirikina wala jini

    • @kendricgeorge603
      @kendricgeorge603 Месяц назад

      Huyo anaitwaga electric eel na anapatikana misitu ya amazon tu hamna sehem nyingine duniani. Huyu anaua kwa short ya umeme make Ana volts zaidi ya 500. Sasa hapa ni amazon mzee au ni arusha??

    • @linnusaloyce6559
      @linnusaloyce6559 Месяц назад +1

      Moshi Arusha na baazi ya mikoa chunus anajulikana kwasabab ya uhuaji wake hua anakula vya ndani ya mwili tu baada ya hapo uchafu anautupa nje namaanisha mwili hana kazi nao tena anautupa nje

    • @killindoabile3128
      @killindoabile3128 Месяц назад

      Acha uwongo wanapatikana sehemu kibao sio Amazon tu ​@@kendricgeorge603

    • @paulilungu410
      @paulilungu410 Месяц назад +1

      ​@@kendricgeorge603,hao samaki hata Tz mitoni wapo, mimi nilishamshuhudia na kumla electric eel kule kigoma, ni samaki watamu sana

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Месяц назад +8

    Innalillah wainnah lillah rajun daaaa chunusi mtian sana m/mungu awaepushe na uyo mdudu

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Месяц назад +3

    Shikamoo Arusha😢😢me mwanangu akatafute maisha Arusha niwe nimeshakufa

    • @DavalsonMarlony
      @DavalsonMarlony Месяц назад +1

      karb

    • @malichanda3146
      @malichanda3146 Месяц назад +1

      😂😂😂😂

    • @karibunyumbani3824
      @karibunyumbani3824 Месяц назад

      SHINDWA KWA DAMU YA YESU na usije kweli maana unafkiri huko uliko ndio salama hakuna sehemu isiyo na matukio ni vile vyombo vya habari vinamulika zaidi Arusha tunayo neema ya MUNGU lazima shetani aone wivu

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 Месяц назад +1

    Innalillah wainnaa lillahi rajiun polen familya

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 Месяц назад +9

    Morogoro somewhere kuna sehem inaitwa Kituli, na hiyo walikua wanakufa wakiamini ni Chunusi, but after come to observe, yale maji kwa chini kulikua kuna presha kubwa cause kulkua kuna kama space kati ya miamba, so ukiingia kama sio mzoefu ile presha inakuvuta kwa chini na ina kupiga kwenye mwamba, so kwa kuangalia hapo huenda imetokea the same, maana naona kuna miamba hapo, hamna chunusi unless hao vijana wana siri zao wana,ozijua wenyewe may be

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Месяц назад +2

      i agree with u..hakuna chunusi wala pimple...huko chini kuna presha kubwa sana

    • @latifamubba100
      @latifamubba100 Месяц назад

      Naon maj madog tyu chunus anakaa kweli

  • @fellyvoicetv4433
    @fellyvoicetv4433 Месяц назад +5

    Siniliwaambia Arusha aiseee Ayo Tv hamieni Arusha iwe makao makuu maana taarifa zote Arusha😢😂

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 Месяц назад

    ameacha bange yake akaruka mtoni😅

  • @Veronika-tg6yz
    @Veronika-tg6yz Месяц назад +14

    Mimi nikajua baba mirinda anaetafsiri move kumbe ni mganga

  • @dianamollel7839
    @dianamollel7839 Месяц назад +5

    Siyo chunusi ni aina ya samaki anaitwa eletroniki eel ambayo anatoa umeme

    • @mymuhnabdallahshaban7763
      @mymuhnabdallahshaban7763 Месяц назад +1

      Wee peleka huko uwong wako chunusi ni pepo mbya anakaa kweny maji anavyonya damu za wat Ila kun kipind maan huwa anafany hya sio Samaki ni pepo mchafu et Samaki anatoa umeme

    • @bravonation
      @bravonation Месяц назад +1

      Mapepo tu Kwan walioenda kuwatoa c wangepigwa shot na wao

  • @mtolela12
    @mtolela12 Месяц назад +1

    Amina nimekuelewa nitafute pls

  • @MsNajma-j7e
    @MsNajma-j7e День назад

    Chunusi wanapenda kukaha kwenye maji machafu kama hayo wapo sana uyo ariejitupa bola angejikata kidole dam itoke ndio dawa ya chunusi,,ila ujasiri huu wa kumfuata rafki aisee ipo arusha tu kwa dunia hii ya sasaiv rafki akubari kufa kwa jiri ya rafki yake aisee huu upendo mkubwa sana

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 Месяц назад

    Hiyo pisi nyeusi vp..

  • @user-re5xb2hk4g
    @user-re5xb2hk4g Месяц назад +3

    Jaman iv arusha Kunanini jaman mbn matukio mengi sana😢😢

    • @luchaxtz
      @luchaxtz Месяц назад

      amna kitu mtangazaji ndo anazurura sana kutafta matukio

    • @neemanyove9130
      @neemanyove9130 Месяц назад

      😂😂😂😂😂​@@luchaxtz

  • @markjason2035
    @markjason2035 Месяц назад +3

    Electruc eel anakupiga shoti ya hatari huombi maji

  • @bettykessy3728
    @bettykessy3728 Месяц назад +4

    😢 nini hiki tena

  • @colletatesha5265
    @colletatesha5265 Месяц назад +4

    Arusha jamani

  • @user-ij9pk5zu2x
    @user-ij9pk5zu2x Месяц назад +3

    Tumezoea kumuita chunusi ila kwa jina lingine anaitwa electric eel. Anafanana na kambale. Anatoa umeme aina ya umeme tuli (static electricity) hadi vilt 850v.
    Kiwango hicho cha umeme kinatosha vizuri kuua binaadamu na damu kuganda ndio maana utasikia wanasema jini chunusi ananyonya damu.
    Ni vigumu kumvua kutokana na maumbile yake na umeme autoao. Wengi hawajawahi kumuona ndiyo maana inabaki kuwa tu ni jini wa kwenye maji.

  • @martinchambala9399
    @martinchambala9399 Месяц назад +6

    Ila waganga kwa kudanganya watu

  • @ZebyThomas
    @ZebyThomas Месяц назад +1

    daah jaman pole kwa familiya zao mung awatie nguvu duu

  • @inocentlema5574
    @inocentlema5574 Месяц назад

    Mwiteji Jodev

  • @pascalgasper403
    @pascalgasper403 Месяц назад +7

    Hivi Huu Mchongo Wa Chunusi Bado Hupo Tuu,,??

    • @RahmaAlly-rk4xs
      @RahmaAlly-rk4xs Месяц назад +1

      Huku Dar walikufa.3 tena ndugu kwa dizine hiyo hiyo,hayo mambo yapo ndugu zanguni

    • @nasrachaya
      @nasrachaya Месяц назад +1

      Hupo au upo?

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Месяц назад +1

      ​@😂😂😂😂nasrachaya

    • @nasrachaya
      @nasrachaya Месяц назад

      @@masalakulwa7601 mi huwa nachukia et utasikia hunakuja Kula hugali eeh

  • @bonifas814
    @bonifas814 Месяц назад

    Baba sangangaa

  • @babamirinda3695
    @babamirinda3695 Месяц назад

    Jaman mm sio mganga....sijui why wanapakazia upuuz

  • @ASMAFTAAH
    @ASMAFTAAH Месяц назад

    BABA MIRINDAA YUPO HAPOO
    😆😆

  • @vagashappnecy4850
    @vagashappnecy4850 Месяц назад

    Huyo ni samaki aina ya chunusi. Anakuaga na umeme mkubwa sana wamepigwa shoti. Ingia google msome chunusi utaona. Ndio maana watu wakifa kwa nguvu ya umeme wake hukausha damu kabisa

  • @user-ty2kc5jy7s
    @user-ty2kc5jy7s 26 дней назад

    Hiyo picha ya marehem mlikosa nyingine myie

  • @user-wu7vz8ot5i
    @user-wu7vz8ot5i Месяц назад +1

    What'swrong about Arusha everyday watu wanakufa

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Месяц назад +1

    Mambo ya kiroho

  • @sergebaleke695
    @sergebaleke695 Месяц назад +4

    Arusha bana matukio kibao daah 😮

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 Месяц назад +1

    Kwani chunusi ye anasemaje?

  • @user-vh2kw3rp5p
    @user-vh2kw3rp5p Месяц назад +4

    Inamaana marehemu hana picha nyingine

  • @user-ln8xi5xo1s
    @user-ln8xi5xo1s Месяц назад +1

    Kuna samaki anaitwa electric ell ni samaki mwenye shoti ya umeme nguvu yake ya umeme ni mkubwa sana ambayo inaweza washa gari kubwa acheni imani mbaya

  • @HozaClara-eo1zs
    @HozaClara-eo1zs Месяц назад

    huo mto sio mzuri kiukweli mpaka daraja la kuelekea dampo

  • @rynesawaya7043
    @rynesawaya7043 Месяц назад +1

    Babaa mirindaa

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Месяц назад +6

    Sikuikifika yakifo inasababu.

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Месяц назад +7

    Hao watu walikua na maagano flan hakuna chunusi wala upele kuna mchezo walifanya mda ukafika

  • @Amut-s6v
    @Amut-s6v Месяц назад +1

    Kwanza haya maji mbona machafu hii sio ya choo kweli

  • @user-cv7vm1mx9d
    @user-cv7vm1mx9d Месяц назад

    Huyo mmoja alivyochimba lidole

  • @aminmsini3730
    @aminmsini3730 Месяц назад

    Poleni sana

  • @user-fw6dp9iy4i
    @user-fw6dp9iy4i Месяц назад +2

    Huyo ni Aina ya samaki ana umeme,akikupiga short huponi, sio Pepo ni samaki

  • @user-ss2he5et9m
    @user-ss2he5et9m Месяц назад

    Chunusi ni Nani Sasa jaman

  • @hijaabdalah9235
    @hijaabdalah9235 Месяц назад +2

    kamueni iyo chunusi

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps Месяц назад +1

    Hapo wametumbukia

  • @annamussa185
    @annamussa185 Месяц назад +1

    Sasa ndo marehemu aweke kidole Cha katu😂

  • @DenisMawala
    @DenisMawala Месяц назад

    Baba mirinda yule dj ni mgang kmbe😢

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb Месяц назад +2

    Kitaalam ni kwamba vifo vyao ni unknown... kibongo bongo lazima tupachike na mambo ya mauzauza. Ni kwasabab haijajulika.. sasa fanyeni test chukueni mbwa muwekeni kwenye maji.

  • @AnjelaKamsinda-n3f
    @AnjelaKamsinda-n3f Месяц назад

    Daaaaa hii arusha imenishinda tambia

  • @IddySimba-fp2cc
    @IddySimba-fp2cc Месяц назад +1

    Marehemu ni muhuni yani picha ya heshima hana

  • @irenembura8045
    @irenembura8045 Месяц назад +1

    Jamani Arusha kuna nini😢😢

  • @Manuelwinfrida
    @Manuelwinfrida Месяц назад

    Baba mirindaaaa😅

  • @innodeculture8551
    @innodeculture8551 Месяц назад

    Mbona hapo ni mto Rongo.

  • @Michaelmollel-bv7qw
    @Michaelmollel-bv7qw Месяц назад +7

    Baba mirinda daah kweli kumbe sio anatafsiri movie tu.

  • @kendricgeorge603
    @kendricgeorge603 Месяц назад +1

    Maneno aliyoyasema mganga kwa upande wangu anaweza akawa na ukweli ndani yake, watu hawa amini mambo ya kiroho ila make mkijua roho ndo inayoupa mwili uzima. Hiyo kanzu yenye dam inaweza ikawa ni kiwakilishi cha mauti na roho za kifo hapo, mto ni sehemu ya kiroho ni rahisi kuna na mauza uza kama hayo

    • @user-cv7vm1mx9d
      @user-cv7vm1mx9d Месяц назад

      Hao vijana watakua kuna kitu waliiba wamevunjiwa chungu

  • @enoskilongo7685
    @enoskilongo7685 Месяц назад

    Kwani bangi cimekatazwa jmn

  • @veromwanji
    @veromwanji Месяц назад +1

    Hao chunusi ni kweli wanakaa kwenye maji ya mto.mimi nimewahi shuhudia mtu alivutwa na Baaada ya kumuokoa na dalili ni hizo hizo tumbo kujaa ukimminya maji hayatoki,hao chunusi wapo kweli msiende huko mtoni jamani.mimi mpaka Leo naogopaka maji kabisa

  • @Shadia544
    @Shadia544 Месяц назад +2

    Chunusi ni kitu ambacho hakionekani ata tuseme ni JINI ila naogopa jamaniii usiku huu😂😂😂😂

    • @user-dz7tr8lq6d
      @user-dz7tr8lq6d Месяц назад

      😂😂

    • @Shadia544
      @Shadia544 Месяц назад

      @@user-dz7tr8lq6d hivi vitu avitajwi ovyo ovyo🤣🤣🤣🤣

    • @user-dz7tr8lq6d
      @user-dz7tr8lq6d Месяц назад

      @@Shadia544 we mkubwa unaogopaje

    • @Shadia544
      @Shadia544 Месяц назад

      @@user-dz7tr8lq6d kwani mkubwa aogopi jamaniii naogopa 🤣🤣

    • @user-dz7tr8lq6d
      @user-dz7tr8lq6d Месяц назад

      @@Shadia544 mkubwa alali peke ake

  • @kakaaignas3675
    @kakaaignas3675 Месяц назад

    Marehemu mwenye sasa kinyoosha kdole juu

  • @roswitaexavery3378
    @roswitaexavery3378 Месяц назад

    Baadae yamuda munaanza kusema kafufuka ndo hao wanaokufaga bila kifo chakueleweka

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 Месяц назад

    Huyu mwenye hijab na mwenyekofia wanigawie pua wanazo zakutosha

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o Месяц назад

    Hakuna kitu hicho maji yenyewe sio marefu

  • @vaalonedearmy939
    @vaalonedearmy939 Месяц назад

    Wanaokufa kwenye dimbwi
    Hajui kuogelea,
    Tunaita nanga akienda ameenda.

  • @JenipherElfasi
    @JenipherElfasi Месяц назад

    Duh

  • @MuddyIkangaa
    @MuddyIkangaa Месяц назад +3

    Ila daah kuna mambo mengi sana ambayo hatuyajui tu

  • @aloycesteven5998
    @aloycesteven5998 Месяц назад

    sio chunusi huyo ni electric heel samaki jamii ya mkunga ambaye anapiga shoti ya umeme na ndio maana haukuti damu

  • @vincegelas
    @vincegelas Месяц назад

    Sasa mbn maji yenyeww machache hivo wanazamaje

  • @nasralema749
    @nasralema749 Месяц назад

    Babu mirindaq njoo uk tukuskie

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z Месяц назад +1

    Tumechoka na Arusha

  • @vijanafurniture1810
    @vijanafurniture1810 Месяц назад +2

    Nahisi ni electric eel.. watu wengi hawana ufahamu na hawa samaki

  • @KULKID
    @KULKID Месяц назад

    Marehemu ndio Atuoneshe Middle 🖕🏼Finger 😅

  • @SelemaniNtobi-lz8lp
    @SelemaniNtobi-lz8lp Месяц назад

    huyo ni chunusi ni kiumbe kiko kam samak ni anapiga shoti anyony damu akuchumbui na chochot ata damu utok anapiga short ata umeme ukasome

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Месяц назад

    Serikali ijenge daraja kubwa hapo lasivyo wengi watakufa hapo

  • @OmarySamata
    @OmarySamata Месяц назад

    Chinusi ndio nani?

  • @user-ji1mq4sk1n
    @user-ji1mq4sk1n Месяц назад

    sasa haufaham kuogerea unafuata nini mtoni

  • @SebastianPaulSwai-ox6gn
    @SebastianPaulSwai-ox6gn Месяц назад

    😢

  • @alfredsaliga1554
    @alfredsaliga1554 Месяц назад +1

    Chunusi hakai kwenye maji yanayotembea

  • @ramajuma5620
    @ramajuma5620 Месяц назад

    Haya mambo hat kwetu yapo na huo mto unamajabu inatoa maji yaliochemshwa ni ya moto kwahyo ukingia kizembe unaondok mazima

    • @Mina.15
      @Mina.15 Месяц назад

      Allla 😳

  • @user-fw6dp9iy4i
    @user-fw6dp9iy4i Месяц назад

    Acheni ushirikina huyo ni samaki ana umeme ,,,electric cell ,anakupiga short ya umeme huponi,,,,na anakaa kwenye maji ya MiTo yanapojikusanya

    • @andrewcharugamba7498
      @andrewcharugamba7498 Месяц назад

      Sure watu wengi hawajui wanajua ni uchawi

    • @happinesstesha7061
      @happinesstesha7061 Месяц назад

      Mm leo ndo najua kumbe, uyo samaki chakula chake ni damu Au, dah nilijua ni kitu cha kichawi

  • @michaelmulokozi1512
    @michaelmulokozi1512 Месяц назад +2

    Chunusi ni eels
    Samaki anayetoa umeme katika maji, kumbe mtu akigusa maji na ndan ya maji kuna uyo samaki anapiga shoti😊

  • @sakinajuma4208
    @sakinajuma4208 Месяц назад +2

    Sasa mtu atajirushaje kumfuata rafiki yake

  • @dadollary
    @dadollary Месяц назад

    Duuh

  • @hijaabdalah9235
    @hijaabdalah9235 Месяц назад

    acheni ulevi iiii

  • @cornelorrio4782
    @cornelorrio4782 Месяц назад +1

    Kuna watu watabisha hakunaga chunisi

    • @worldhappiness1181
      @worldhappiness1181 Месяц назад

      Sio kubisha, ila kwa hiyo sehem huenda pia kwa chin kuna presha kubwa sana ya maji, na hapo kuna miamba ile.presha inapokuvuta chin inakupigiza kwenye miamba kichwan ama sehem mbalmbal za mwili. So kama sio mjuz wa kuogelea, hauwez kutoboa. Niliona sehem somewhere kwa miaka kibao watu walkua wanadhan chunus, walivofaham tu kule chin kuna presha, na walishuhudia. Haijawah tena kuskia mtu kafa kwa nadharia ya chunus

    • @flugencekiwale1501
      @flugencekiwale1501 Месяц назад

      Chunisi huwa amna chunusi yupo 😂

    • @Rahima-kv6mn
      @Rahima-kv6mn Месяц назад

      ​@@flugencekiwale1501Ujuaji tena 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @zachariangoyo6495
    @zachariangoyo6495 Месяц назад

    Electric eel sio chunusi

  • @sund2553
    @sund2553 Месяц назад

    Elimu elimu

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt Месяц назад

    MgangaTena

  • @joshuakinabo6861
    @joshuakinabo6861 Месяц назад

    Duh is it possible

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 Месяц назад

    Chunusi ndo nini?? Semeni jina labda au kuna kitu tu kibaya

  • @selemansaid9295
    @selemansaid9295 Месяц назад +3

    Chunusi sio mzimu Bali ni samak mwenye umeme au shoti akikupitia tu anakukausha na umeme alionao kwenye miwili wake

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 Месяц назад

    NimekielewaAmina namba kama hujaolewa 🖍️

  • @user-so3gy2io8l
    @user-so3gy2io8l Месяц назад

    Chunusi ni myth tu

  • @BenjaminPaul-dk8qy
    @BenjaminPaul-dk8qy Месяц назад

    We chunusi nn et

  • @gabrielgari1372
    @gabrielgari1372 Месяц назад

    Kabisaaaa

  • @Mina.15
    @Mina.15 Месяц назад

    Chunisi ndio nini

  • @alfristricks7515
    @alfristricks7515 Месяц назад

    Sasa Ayo na Waandishi wako, msitujaze tu habari za "heresay fabrications". Wataalamu wa masuala ya maji huweza kujua kilichowaua, na "autopsy" za kitabibu zinaweza toa majibu sahihi. Unaweza kutuambia "chunusi" ni kitu gani?