Chunusi ni jini....nilinusurika pale mto njoro....nilishtukia maji madogo ila yalinivuta na kinachonivuta hakionekan....ila kaka angu aliniwahi.....Tembea ujionee...usiongee nadharia.
Tumuombe mwenyezi mungu atusaidie pia maana duuuh,peke etu hatuwezi .mtoni pia msiende hivyo vitu uwa vinakuwepo kweli navinavuta kweli ndio sababu bila mwenyezi mungu hatuwezi tumuombe atuepushe na vitu kama hivyo
Yaani nashangaaa Arusha Arusha ila hamna sehemu wanakufa kizembe kama dar sema wanachukulia poa taarifa hazisambai mana watu hawana utu wanaona ni kawaida kisa tu hawamjui marehem. Dar ni tishio unagongwa unavunjika wanakupita hapo labda uokotwe na bodaboda 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Huenda hata wanaozikwa sio wenyewe.ni mambo ya kiroho (mamy water)wenyewe wameenda kutumikia miungu ya maji.haya ni mambo ya kiroho serekali haiwez ikaelewa.
Electric cell,,,,ni Aina ya samaki mwenye umeme mkubwa akikupiga huponi anakaa kwenye maji ya MiTo eneo yanakotuama,,,,,ogopa ni hatari,,,sio ushirikina wala jini
Huyo anaitwaga electric eel na anapatikana misitu ya amazon tu hamna sehem nyingine duniani. Huyu anaua kwa short ya umeme make Ana volts zaidi ya 500. Sasa hapa ni amazon mzee au ni arusha??
Moshi Arusha na baazi ya mikoa chunus anajulikana kwasabab ya uhuaji wake hua anakula vya ndani ya mwili tu baada ya hapo uchafu anautupa nje namaanisha mwili hana kazi nao tena anautupa nje
SHINDWA KWA DAMU YA YESU na usije kweli maana unafkiri huko uliko ndio salama hakuna sehemu isiyo na matukio ni vile vyombo vya habari vinamulika zaidi Arusha tunayo neema ya MUNGU lazima shetani aone wivu
Morogoro somewhere kuna sehem inaitwa Kituli, na hiyo walikua wanakufa wakiamini ni Chunusi, but after come to observe, yale maji kwa chini kulikua kuna presha kubwa cause kulkua kuna kama space kati ya miamba, so ukiingia kama sio mzoefu ile presha inakuvuta kwa chini na ina kupiga kwenye mwamba, so kwa kuangalia hapo huenda imetokea the same, maana naona kuna miamba hapo, hamna chunusi unless hao vijana wana siri zao wana,ozijua wenyewe may be
Wee peleka huko uwong wako chunusi ni pepo mbya anakaa kweny maji anavyonya damu za wat Ila kun kipind maan huwa anafany hya sio Samaki ni pepo mchafu et Samaki anatoa umeme
Chunusi wanapenda kukaha kwenye maji machafu kama hayo wapo sana uyo ariejitupa bola angejikata kidole dam itoke ndio dawa ya chunusi,,ila ujasiri huu wa kumfuata rafki aisee ipo arusha tu kwa dunia hii ya sasaiv rafki akubari kufa kwa jiri ya rafki yake aisee huu upendo mkubwa sana
Tumezoea kumuita chunusi ila kwa jina lingine anaitwa electric eel. Anafanana na kambale. Anatoa umeme aina ya umeme tuli (static electricity) hadi vilt 850v. Kiwango hicho cha umeme kinatosha vizuri kuua binaadamu na damu kuganda ndio maana utasikia wanasema jini chunusi ananyonya damu. Ni vigumu kumvua kutokana na maumbile yake na umeme autoao. Wengi hawajawahi kumuona ndiyo maana inabaki kuwa tu ni jini wa kwenye maji.
Huyo ni samaki aina ya chunusi. Anakuaga na umeme mkubwa sana wamepigwa shoti. Ingia google msome chunusi utaona. Ndio maana watu wakifa kwa nguvu ya umeme wake hukausha damu kabisa
Kitaalam ni kwamba vifo vyao ni unknown... kibongo bongo lazima tupachike na mambo ya mauzauza. Ni kwasabab haijajulika.. sasa fanyeni test chukueni mbwa muwekeni kwenye maji.
Maneno aliyoyasema mganga kwa upande wangu anaweza akawa na ukweli ndani yake, watu hawa amini mambo ya kiroho ila make mkijua roho ndo inayoupa mwili uzima. Hiyo kanzu yenye dam inaweza ikawa ni kiwakilishi cha mauti na roho za kifo hapo, mto ni sehemu ya kiroho ni rahisi kuna na mauza uza kama hayo
Hao chunusi ni kweli wanakaa kwenye maji ya mto.mimi nimewahi shuhudia mtu alivutwa na Baaada ya kumuokoa na dalili ni hizo hizo tumbo kujaa ukimminya maji hayatoki,hao chunusi wapo kweli msiende huko mtoni jamani.mimi mpaka Leo naogopaka maji kabisa
Sio kubisha, ila kwa hiyo sehem huenda pia kwa chin kuna presha kubwa sana ya maji, na hapo kuna miamba ile.presha inapokuvuta chin inakupigiza kwenye miamba kichwan ama sehem mbalmbal za mwili. So kama sio mjuz wa kuogelea, hauwez kutoboa. Niliona sehem somewhere kwa miaka kibao watu walkua wanadhan chunus, walivofaham tu kule chin kuna presha, na walishuhudia. Haijawah tena kuskia mtu kafa kwa nadharia ya chunus
Sasa Ayo na Waandishi wako, msitujaze tu habari za "heresay fabrications". Wataalamu wa masuala ya maji huweza kujua kilichowaua, na "autopsy" za kitabibu zinaweza toa majibu sahihi. Unaweza kutuambia "chunusi" ni kitu gani?
Hapo kwenye kujirusha kumfata Rafik ndo kubwa kuliko,,,huu ujasir unapatikana Arusha tu😂😂😂😂
hii hata dodoma ilishatokea tena mwaka huu huuu mmoja alizama kisiman rafiki ake akazama ili amuokoe mwenzie mwisho wakafariki wote
ata mbeya umewahi tokea mwanafunzi aliona mwenzie anazama akajirusha kumuokoa wakaenda wote 😢😢
Kweli yani niupendo mkubwa
Sio upendo huyo ndo chunusi ye hachagui @@JenipherElfasi
Chunusi sio mapepo, Chunusi ni aina ya samaki Mwenye umeme mkubwa sana yaani huyo akikugusa tu unakauka hapo hapo, Mungu awalaze pema
Fact
Uongo
Usiniamby,umeme ten😂😂
Chunusi ni jini....nilinusurika pale mto njoro....nilishtukia maji madogo ila yalinivuta na kinachonivuta hakionekan....ila kaka angu aliniwahi.....Tembea ujionee...usiongee nadharia.
chali wa kitivu acha uwongo@@ommyshopangi9543
Tumuombe mwenyezi mungu atusaidie pia maana duuuh,peke etu hatuwezi .mtoni pia msiende hivyo vitu uwa vinakuwepo kweli navinavuta kweli ndio sababu bila mwenyezi mungu hatuwezi tumuombe atuepushe na vitu kama hivyo
Chunusi ni mapepo Yani majini wabaya
Yaani nashangaaa Arusha Arusha ila hamna sehemu wanakufa kizembe kama dar sema wanachukulia poa taarifa hazisambai mana watu hawana utu wanaona ni kawaida kisa tu hawamjui marehem. Dar ni tishio unagongwa unavunjika wanakupita hapo labda uokotwe na bodaboda 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Huenda hata wanaozikwa sio wenyewe.ni mambo ya kiroho (mamy water)wenyewe wameenda kutumikia miungu ya maji.haya ni mambo ya kiroho serekali haiwez ikaelewa.
Electric cell,,,,ni Aina ya samaki mwenye umeme mkubwa akikupiga huponi anakaa kwenye maji ya MiTo eneo yanakotuama,,,,,ogopa ni hatari,,,sio ushirikina wala jini
Huyo anaitwaga electric eel na anapatikana misitu ya amazon tu hamna sehem nyingine duniani. Huyu anaua kwa short ya umeme make Ana volts zaidi ya 500. Sasa hapa ni amazon mzee au ni arusha??
Moshi Arusha na baazi ya mikoa chunus anajulikana kwasabab ya uhuaji wake hua anakula vya ndani ya mwili tu baada ya hapo uchafu anautupa nje namaanisha mwili hana kazi nao tena anautupa nje
Acha uwongo wanapatikana sehemu kibao sio Amazon tu @@kendricgeorge603
@@kendricgeorge603,hao samaki hata Tz mitoni wapo, mimi nilishamshuhudia na kumla electric eel kule kigoma, ni samaki watamu sana
Innalillah wainnah lillah rajun daaaa chunusi mtian sana m/mungu awaepushe na uyo mdudu
Shikamoo Arusha😢😢me mwanangu akatafute maisha Arusha niwe nimeshakufa
karb
😂😂😂😂
SHINDWA KWA DAMU YA YESU na usije kweli maana unafkiri huko uliko ndio salama hakuna sehemu isiyo na matukio ni vile vyombo vya habari vinamulika zaidi Arusha tunayo neema ya MUNGU lazima shetani aone wivu
Innalillah wainnaa lillahi rajiun polen familya
Morogoro somewhere kuna sehem inaitwa Kituli, na hiyo walikua wanakufa wakiamini ni Chunusi, but after come to observe, yale maji kwa chini kulikua kuna presha kubwa cause kulkua kuna kama space kati ya miamba, so ukiingia kama sio mzoefu ile presha inakuvuta kwa chini na ina kupiga kwenye mwamba, so kwa kuangalia hapo huenda imetokea the same, maana naona kuna miamba hapo, hamna chunusi unless hao vijana wana siri zao wana,ozijua wenyewe may be
i agree with u..hakuna chunusi wala pimple...huko chini kuna presha kubwa sana
Naon maj madog tyu chunus anakaa kweli
Siniliwaambia Arusha aiseee Ayo Tv hamieni Arusha iwe makao makuu maana taarifa zote Arusha😢😂
Ayo mwenyw ni wa Arusha
😂😂😂😂😂
Arusha ni nchi ingine aisee
Arusha ipo Arusha km huna d mbili uwezi elewa
ameacha bange yake akaruka mtoni😅
Mimi nikajua baba mirinda anaetafsiri move kumbe ni mganga
Ni nin lkn ww vero😊
EtiMganga..nahilo.likanzu.ukute.lakwake.huyo.mganga
Vero weweee
Siyo chunusi ni aina ya samaki anaitwa eletroniki eel ambayo anatoa umeme
Wee peleka huko uwong wako chunusi ni pepo mbya anakaa kweny maji anavyonya damu za wat Ila kun kipind maan huwa anafany hya sio Samaki ni pepo mchafu et Samaki anatoa umeme
Mapepo tu Kwan walioenda kuwatoa c wangepigwa shot na wao
Amina nimekuelewa nitafute pls
dadeq😂😂😂
Chunusi wanapenda kukaha kwenye maji machafu kama hayo wapo sana uyo ariejitupa bola angejikata kidole dam itoke ndio dawa ya chunusi,,ila ujasiri huu wa kumfuata rafki aisee ipo arusha tu kwa dunia hii ya sasaiv rafki akubari kufa kwa jiri ya rafki yake aisee huu upendo mkubwa sana
Hiyo pisi nyeusi vp..
Jaman iv arusha Kunanini jaman mbn matukio mengi sana😢😢
amna kitu mtangazaji ndo anazurura sana kutafta matukio
😂😂😂😂😂@@luchaxtz
Electruc eel anakupiga shoti ya hatari huombi maji
😢 nini hiki tena
Arusha jamani
Tumezoea kumuita chunusi ila kwa jina lingine anaitwa electric eel. Anafanana na kambale. Anatoa umeme aina ya umeme tuli (static electricity) hadi vilt 850v.
Kiwango hicho cha umeme kinatosha vizuri kuua binaadamu na damu kuganda ndio maana utasikia wanasema jini chunusi ananyonya damu.
Ni vigumu kumvua kutokana na maumbile yake na umeme autoao. Wengi hawajawahi kumuona ndiyo maana inabaki kuwa tu ni jini wa kwenye maji.
Makes sense for sure😊
Imenyooka hii
Ila waganga kwa kudanganya watu
😂😂😂😂
Kuna msiba wa hao vijana wawil
daah jaman pole kwa familiya zao mung awatie nguvu duu
Mwiteji Jodev
Hivi Huu Mchongo Wa Chunusi Bado Hupo Tuu,,??
Huku Dar walikufa.3 tena ndugu kwa dizine hiyo hiyo,hayo mambo yapo ndugu zanguni
Hupo au upo?
@😂😂😂😂nasrachaya
@@masalakulwa7601 mi huwa nachukia et utasikia hunakuja Kula hugali eeh
Baba sangangaa
Jaman mm sio mganga....sijui why wanapakazia upuuz
BABA MIRINDAA YUPO HAPOO
😆😆
Huyo ni samaki aina ya chunusi. Anakuaga na umeme mkubwa sana wamepigwa shoti. Ingia google msome chunusi utaona. Ndio maana watu wakifa kwa nguvu ya umeme wake hukausha damu kabisa
Hiyo picha ya marehem mlikosa nyingine myie
What'swrong about Arusha everyday watu wanakufa
Mambo ya kiroho
Arusha bana matukio kibao daah 😮
Mara na Geita Cha mtt saiv😂😂
Ni mkoa unaongoza kwa matukio Tz
Kwani chunusi ye anasemaje?
Inamaana marehemu hana picha nyingine
unazingua😂😂😂
😂😂
Kuna samaki anaitwa electric ell ni samaki mwenye shoti ya umeme nguvu yake ya umeme ni mkubwa sana ambayo inaweza washa gari kubwa acheni imani mbaya
Mhmhmmh electric ell mbona aonekaniki?
huo mto sio mzuri kiukweli mpaka daraja la kuelekea dampo
Babaa mirindaa
😂😂😂
😅😅 manyasi dj
Sikuikifika yakifo inasababu.
Si kweli 😢
Hao watu walikua na maagano flan hakuna chunusi wala upele kuna mchezo walifanya mda ukafika
Kwanza haya maji mbona machafu hii sio ya choo kweli
Huyo mmoja alivyochimba lidole
Poleni sana
Huyo ni Aina ya samaki ana umeme,akikupiga short huponi, sio Pepo ni samaki
Chunusi ni Nani Sasa jaman
kamueni iyo chunusi
Hapo wametumbukia
Sasa ndo marehemu aweke kidole Cha katu😂
Hmn picha nyngne aliopga iliopatikana ndio hio
😂😂😂😂
Baba mirinda yule dj ni mgang kmbe😢
Kitaalam ni kwamba vifo vyao ni unknown... kibongo bongo lazima tupachike na mambo ya mauzauza. Ni kwasabab haijajulika.. sasa fanyeni test chukueni mbwa muwekeni kwenye maji.
Tunaomba tukuweke wewe tafadhali
😂😂😂😂@@calvin6445
Daaaaa hii arusha imenishinda tambia
Marehemu ni muhuni yani picha ya heshima hana
😂😂😂
Jamani Arusha kuna nini😢😢
Hii ni nchi nyingine
Baba mirindaaaa😅
Mbona hapo ni mto Rongo.
Baba mirinda daah kweli kumbe sio anatafsiri movie tu.
Ni Baba Mirindaaa 😅😅
Maneno aliyoyasema mganga kwa upande wangu anaweza akawa na ukweli ndani yake, watu hawa amini mambo ya kiroho ila make mkijua roho ndo inayoupa mwili uzima. Hiyo kanzu yenye dam inaweza ikawa ni kiwakilishi cha mauti na roho za kifo hapo, mto ni sehemu ya kiroho ni rahisi kuna na mauza uza kama hayo
Hao vijana watakua kuna kitu waliiba wamevunjiwa chungu
Kwani bangi cimekatazwa jmn
Hao chunusi ni kweli wanakaa kwenye maji ya mto.mimi nimewahi shuhudia mtu alivutwa na Baaada ya kumuokoa na dalili ni hizo hizo tumbo kujaa ukimminya maji hayatoki,hao chunusi wapo kweli msiende huko mtoni jamani.mimi mpaka Leo naogopaka maji kabisa
Chunusi ni kitu ambacho hakionekani ata tuseme ni JINI ila naogopa jamaniii usiku huu😂😂😂😂
😂😂
@@user-dz7tr8lq6d hivi vitu avitajwi ovyo ovyo🤣🤣🤣🤣
@@Shadia544 we mkubwa unaogopaje
@@user-dz7tr8lq6d kwani mkubwa aogopi jamaniii naogopa 🤣🤣
@@Shadia544 mkubwa alali peke ake
Marehemu mwenye sasa kinyoosha kdole juu
Baadae yamuda munaanza kusema kafufuka ndo hao wanaokufaga bila kifo chakueleweka
Huyu mwenye hijab na mwenyekofia wanigawie pua wanazo zakutosha
Hakuna kitu hicho maji yenyewe sio marefu
Wanaokufa kwenye dimbwi
Hajui kuogelea,
Tunaita nanga akienda ameenda.
Duh
Ila daah kuna mambo mengi sana ambayo hatuyajui tu
sio chunusi huyo ni electric heel samaki jamii ya mkunga ambaye anapiga shoti ya umeme na ndio maana haukuti damu
Sasa mbn maji yenyeww machache hivo wanazamaje
Babu mirindaq njoo uk tukuskie
Tumechoka na Arusha
pumzka
Nahisi ni electric eel.. watu wengi hawana ufahamu na hawa samaki
Kbx maana hicho wanachodai n chunus n kitu gn?
Tanzania Hawapo
@@pascalgasper403sijui kwa kweli ila nahisi wapo
Nanda kajaribu kama ni waongo😅😅
@geraldsimbeye hujanielewa
Marehemu ndio Atuoneshe Middle 🖕🏼Finger 😅
huyo ni chunusi ni kiumbe kiko kam samak ni anapiga shoti anyony damu akuchumbui na chochot ata damu utok anapiga short ata umeme ukasome
Serikali ijenge daraja kubwa hapo lasivyo wengi watakufa hapo
Chinusi ndio nani?
sasa haufaham kuogerea unafuata nini mtoni
😢
Chunusi hakai kwenye maji yanayotembea
elezea vzr
Haya mambo hat kwetu yapo na huo mto unamajabu inatoa maji yaliochemshwa ni ya moto kwahyo ukingia kizembe unaondok mazima
Allla 😳
Acheni ushirikina huyo ni samaki ana umeme ,,,electric cell ,anakupiga short ya umeme huponi,,,,na anakaa kwenye maji ya MiTo yanapojikusanya
Sure watu wengi hawajui wanajua ni uchawi
Mm leo ndo najua kumbe, uyo samaki chakula chake ni damu Au, dah nilijua ni kitu cha kichawi
Chunusi ni eels
Samaki anayetoa umeme katika maji, kumbe mtu akigusa maji na ndan ya maji kuna uyo samaki anapiga shoti😊
Sumbawanga uyu " kumbe"
Sasa mtu atajirushaje kumfuata rafiki yake
Hapo sasa😅
@@ShabanMainde😅vitu. Vingine jmn
Arusha bangi kama zote
😂😂😂😂ndo ushangae
Bangi
Duuh
acheni ulevi iiii
Kuna watu watabisha hakunaga chunisi
Sio kubisha, ila kwa hiyo sehem huenda pia kwa chin kuna presha kubwa sana ya maji, na hapo kuna miamba ile.presha inapokuvuta chin inakupigiza kwenye miamba kichwan ama sehem mbalmbal za mwili. So kama sio mjuz wa kuogelea, hauwez kutoboa. Niliona sehem somewhere kwa miaka kibao watu walkua wanadhan chunus, walivofaham tu kule chin kuna presha, na walishuhudia. Haijawah tena kuskia mtu kafa kwa nadharia ya chunus
Chunisi huwa amna chunusi yupo 😂
@@flugencekiwale1501Ujuaji tena 😂😂😂😂😂😂😂😂
Electric eel sio chunusi
Hao Tz hawapo kaka
Elimu elimu
MgangaTena
Duh is it possible
Chunusi ndo nini?? Semeni jina labda au kuna kitu tu kibaya
Chunusi sio mzimu Bali ni samak mwenye umeme au shoti akikupitia tu anakukausha na umeme alionao kwenye miwili wake
upo sahihi
Simjui yukoje? Kakaaje?
Kumbe sikujua chunus nn
NimekielewaAmina namba kama hujaolewa 🖍️
Chunusi ni myth tu
We chunusi nn et
Kabisaaaa
Chunisi ndio nini
Chunusi ni baba milindaaa
Sasa Ayo na Waandishi wako, msitujaze tu habari za "heresay fabrications". Wataalamu wa masuala ya maji huweza kujua kilichowaua, na "autopsy" za kitabibu zinaweza toa majibu sahihi. Unaweza kutuambia "chunusi" ni kitu gani?