WAFUNGWA 55 GEREZA LA UYUI WASAMEHEWA, RC MWANRI AWAPA UJUMBE MZITO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 21

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz5982 4 года назад +1

    Mashallah kazi nzuri sana hongera kwako rais wetu

  • @imasamweli693
    @imasamweli693 4 года назад +3

    Mungu atabaki kua mungu hata kama hajaenda kwako mtegemee mungu usije kumuacha hata dk moja

  • @makongoronyerere2595
    @makongoronyerere2595 4 года назад

    Muangalien mfungwa aliye vaa shat yenye asili tajinz, ana swali kimoyo moyo, mungu akunusur brow

  • @pancrasmalamla9799
    @pancrasmalamla9799 4 года назад +2

    Asante Mungu kwa Msamaha hakika umetenda jambo jema ambalo linazidi kukuongezea Baraka na Neema.Kama Mtoto aliachwa tumboni mpaka leo kaolewa au kaoa ni Miujiza

    • @omaryabdallah3464
      @omaryabdallah3464 4 года назад

      Pancras Malamla ningemshaury muheshimiwa raishao wotehao angewachukua halaf angewapa Shamba lapamoja wakalimikwatimu

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 4 года назад +2

    Mzee wa sukuma ndani waambie wakakae vzr uraiyan wakirudia sukuma ndan tena

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 4 года назад +2

    Mkawe Raia wema ndugu MUNGU awaongoze🙏

  • @denisimaliyaweni9183
    @denisimaliyaweni9183 4 года назад +5

    No comments

  • @kamanda007
    @kamanda007 4 года назад +3

    Mimba miaka 30?? Sheria nyingine zibadilike hazina maana kabisa..mwaka na fine inatosha sana kwa maoni yangu

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 4 года назад

    Mashallah

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 4 года назад

    🙏

  • @thestorybooktv4847
    @thestorybooktv4847 4 года назад +6

    Rc huyu ni wa mfano

  • @tedymwandara5480
    @tedymwandara5480 4 года назад +1

    Maskini wanaomba Mungu.

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 4 года назад +6

    HUYU ANAFAA KUWA RAIS ILI WATANZANIA TUENDELEE TUNAHITAJI RAIS MKALI ZAIDI YA MAGU

    • @josephk90
      @josephk90 4 года назад +1

      Ukali umetoka wapi sasa hapa kwenye kusamehe wafungwa???

  • @ndihunzefx_tz1174
    @ndihunzefx_tz1174 4 года назад

    Kwa mwenye maradhi ya KISUKARI NA PRESHA,nitafute kupitia whatsapp namba 0765871955, kuna uwezekano wa kupona kabisa! Kwa muda wa siku 14 tu! Kwa Uwezo wa M.Mungu,,,wahi sasa nafasi za Ofa ni chache...Ahsante

  • @drtobias_
    @drtobias_ 4 года назад

    KWA WALE WENYE UPENDO NAOMBA U SUBCRIBE CHANNEL HII
    THAX
    ruclips.net/channel/UCYakm4NCPqH_JY0id0eYnpg

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 4 года назад

    Ijumaa ya leo nawaombea na Mashekhe wetu watolewe