SABAYA AKIMFUTA MACHOZI MAMA YAKE na KUWAAGA WAFUNGWA, MAHABUSU na MAMA ALIYEKUWA AKIMPIKIA CHAKULA
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- SABAYA AKIMFUTA MACHOZI MAMA YAKE na KUWAAGA WAFUNGWA, MAHABUSU na MAMA ALIYEKUWA AKIMPIKIA CHAKULA...
Aprili 05, 2023 itakuwa ni siku ya ukombozi yenye kumbukumbu muhimu kwa Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya.
Hii ni baada ya kuachiwa huru baada ya kusota jela na mahabusi za Magereza ya Kisongo jijini Arusha na Karanga mjini Moshi yapata siku 767 za vilio, kuumwa na mateso ya kila aina.
Sabaya ameachiwa huru baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Wilaya ya Moshi kupitia Kifungu cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai namba 91 kifungu cha 1A, kesi yake ya Uhujumu Uchumi ya mwaka 2022 kisha kuifanyia kesi hiyo mabadiliko!
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Amen 🙏 Bwana YESU asifiwe, kijana wetu kawa huru
Mungu ni mwema katika Jina la Yesu Kristo aliye Bwana naMwokozi wetu ameeeen barikiwa Sana shalom
usitaje jina ramungu kwamtu mshenzi kama huyu
@@jumannerajabu8259 hatutakiwi kuhukumu watu
@@jumannerajabu8259 kashatoka sasa kama umeumia kula mavi 😄🤣😂😆😄
@@ambwenedaniel358 ww unamfurahia jambazi wakutumia siraha mwizi kubwa bwana ako Nini
Hongera mama Sabaya ulisimama imara na mwanao hakika maisha ni safari ndefu bwana amefanya tena.pole sana
Jaman pole Sana broo mungu ni mwema
Glory Glory to God,hakuna siku Mungu anawacha mtu wake
Asante MUNGU kwawema wako❤❤
Hongera. Mungu akulinde
Alhamdulilah sabaya mungu ni wetu sote kijana mwezang
Hongera Jesca mwanamke wa mfano Marikia wa nguvu,umejuwa kumpigania
Hawa ndo wanawake wengine wangeshamuacha
Nimefurahi sana Mwenyezi Mungu anaweza kaka sabaya nilijua kwa Mungu hakuna ngumu japo utachekewa mama lazima ulie kwa furaha make hujaamini mwanao kama katoka mama yetu mama Samia ubarikiwe sana
Very emotional
Nimefurahi Asante mungu umemuona mwanao
Nimefurahi sana ❤️❤️❤️
Mungu ni Mwema!
Kaka Mheshimiwa... pole kwa Yote... Asante Rais wetu🙏
Eee M/mungu yupo pamoja na wewe Commando Sabaya 💪🤲🙏🏼
Pole sana mm sabaya naiman unauchungu mkubwa kwamwanao maana kapitia kipindi kikubw kijana mpambanaji mwenyezi mungu amjalie subra yadhati moyon mwake
Dah haya maisha basi tu mungu yupo nasi
Glory to GOD,huyu mwamba kwenye utawala wa JPM nilikuwa namfananisha na alivyo kuwa sokoine,nilitamani aje kuwa PREZIDAA wa nchi hii,japo hakuna binadamu asiye kuwa na mapungufu,MUNGU ASIMAME NAWE MWAMBA SABAYA.
Ahsante columba tangu mwanzo mwa taariga hii pia pole na hongera sabaya kumaliza kesi endelea kumuomba mungu maana yeye ndiyo njia ya uzima
Columba apewe tuzo kwenye kuripoti yupo vizuri
Hakuna aliyemkubwa zaidi ya mungu pole mdogo wangu sabaya
Tuna mshukuru mwenyezi Mungu kuonyesha haki ya Ole Sabaya mbele ya watumia hongo na walaji kushindwa
Mwenyenzi Mungu akamrudishie Mara Mia alivyovipoteza na akampe afya ya mwili na roho
Kabisa yaaani
Asante mUñgu🙏🙏🙏😭
Mungu ni mwema sana 🙏 hongera sana hatimae umetoka jamani
Mke wa Sabaya Salute, kwanza mwanamke ni mzuri hatari then ana moyo wa uvumilivu na utu
Ni vyema na haki,hata yeye nazan tayari kashajifunza na anajua haki za watu uwa hazipotei,mungu ampe uelewa na atasamehewa dhambi make💯
Mungu nimwema.
Kila Jambo hutokea kwa sababu ripoti ya mwanadamu siyo ripoti ya Mungu hongera uzidi kumtafuta huyu Mungu asiye lala ktk jina la Yesu
Unacholima ndio unachovuna.
Bila shaka Sabaya amejifunza kitu katika maisha ya mahabusu.
Ikiwa alifanya makosa ni wakati wa kuwa raia mwema sasa. Ikiwa alisingiziwa ni wakati wa kumshukuru Mungu na kusamehe na kuonesha upendo.
Wewe sarim mjinga wa wajinga
Hongera sabaya
Hongera brother nimitihan tu katika maisha.
Pole mama MUNGU amejibu maombi
Mungu ameona , palipo na haki fitina upotea
Pamoja na yote ,ila Sabaya ni mtu wa watu, halafu anafaa kuwa kiongozi
Namshukuru MUNGU kwa ajili yako SABAYA. OUR LORD IS THE LORD OF RESTORATION, HE WILL RESTORE YOUR ENTITLEMENTS SOON OR SOONER. Keep on fighting I can see a leader in you, don't backslide, there is a moment, by the grace of GOD, you will be somewhere at the top.
Kweli uchungu wa mwana aujua mzazi, mama yake Amelia sana haamini, pole sana mama
Mungu ni mwema kwa kila mja wake Binadam ndio wabaya
Asante mungu uyu Kaka alikua ananiuma Sana kuka jela
Mungu mwema
Siasa Mchezo mchafu sana Polisi ambao walikuwa wanampigia salute Enzi zile leo Wanakulinda na Mitutu usije ukatoroka Dah,Mshukuru Mungu sana Sabaya kwa kila jambo Leo upo huru Karibu uraiani tupambane na Maisha
Niliamini Kakà sabaya watakutesa Lakini ipo siku Mungu ataruhusu uachiwe huru,Sisì wakatoliki tunaamini watakatifu wengi akina perpetua na Feliceta walifungwa na kuuwa kwasababu walikataa kutii uwongo hivyo wakamwanga damu Yao sababu ya wengi.Tunakushukuru kuwaonyesha Watanzania japo unawekwa ndani Kwa chuki za wachache hukuacha kamwe Mungu nyuma.tuko nyuma yako Kwa sala.
Kikubwa na kutoa sadaka ya shukrani na kumshukuru Mungu Kwa mambo makubwa aliyokutendea
Mungu wa MAJOR ONE..aka Our Daddy Bushiri Akulinde🙏🙏
Amen Amen and Amen. God of Major 1
🙏🙏🙏👏👏👏
Safi umeshinda
Sabayaaaaaaaaaaaaaaaa oyeeeeeeeeee
Wanawake kama jesca wachache sana Tanzania
Ma legend Huwa wanapikwa kwanza waive....huyu jamaa anajua na naamini atakuwa mtu mkubwa sana!! Naomba mama amwamini tena ampe kazi ameshajifunza mengi
Kazi ipi??
😭😭😭😭Mwacheni Mungu aitwe Mungu, hakuna kisicho pita.
Nimefurahi sabaya kutoka ,mungu akutangulie
Hela inakazi saana
Kila chenye mwanzo hakikosi mwisho, pole sana mama najua ulipata uchungu kiasi Gani!!! Hakuna kama mama
Mungu atalipa kwa kila jambo baya mateso uonevu chuki zuruma na kwa wakati kabla hujaonja mauti nenda upumzike sabaya ngoja mkono wa mungu kila mtu atapata atakachositahiri
Yeye ndo amelipa na aende kwa wake aliowaumiza aelewane nao
Kwa wale aliowaumiza awaombe msamaha
Samia nakupenda Sana sana katika kesi zitakupa doa nihii mfunge huyu sabaya
We una madoa mangapi?? nafsni mwako bhanaaa mpumzishe mama SAMIA🚶
Sabaya is smart hakua na kosa bali aliyofanya alifanya chini ya mamlaka.. Na naamin ipo siku sabaya atakua kiongozi fulani serikalin.
Akifungwa wewe unapata faida gani?
@@gracemusa31 naww ametoka unapata faida gani
Wewe lukasi siyo mzarenndo
Siasa Ni maisha! asirudie kuchezea!
Sasa anaeshima nyingi
Kanyoa lini??
Wakati wa MUNGU ni wakati sahihi sana
MUNGU niwahaki siku zote nimefurahi Sana kukuona sanaya uraiani tena
4:47
Sabaya usimwache Jesca
Sabaya katulie kwanza ila bado wanahai tunakuhitaji
Bola ametoka jamani
Kesi za Tanzania mm binafsi huwa sizielewi kabisa ninaiomba Serikaki iweze kutoa elimu kubwa sana kuhusu sheria
kwani tatizo apo mana yy amekili kosa ndio akasamehewa au mimi nimerewa vibaya
Hapo Kuna kitu Cha kujifunza
Akampelekee moto sasaa😀😀😀
Siku zote ni swala la mda tu hata hiyo aliyokiri ni maelekezo ili awe huru maana hapakuwa na Pakushika Mama Samia Rais wa Jamuhuri ya Muungano ubarikiwe vg
Sabaya kachakaaa
Ila ni fundisho sana
😢😢😢
Haya mambo Bwana basi tuu Kuna wanaokuchekea wengine kuku g, onga, a daa
HUWA HAWAFUNGWAGI HAO JAMAA, TOKA NIMEZALIWA SIJAWAHI KUONA KIONGOZI WA SERIKALI AKIFUNGWA KWA MAKOSA YAKE , SI DHANI KAMA SERIKALI ITAFIKA BILA KUWAPA WATU MFANO
Maybe,Yale maombi ya wale be wabibi bwana
Uongozi bila hekima ni hatari
AJIFUNZE UNAPOTENDEA WENZAKO UNYANYASAJI UNALIPWA NA MUNGU AJIFUNZE KWA HILO,
Wewe ujui kitu
Wakili Msomi nilikuwa karibu kujifunza kitu
Ndio ujue uchungu wa mwana aujuaye mzazi
Kesi za mazingaombwe na mazombi! Mnatumia gharama kubwa ushahidi hakuna ninamna ya Kesi za ajabu ajabu! Sasa mjipange kumlipa fidia
Wamlipe vipi wakati amekiri kosa?
Kbs
@@johnshauri3130 ha ha ha kama waliomtengenezea kesi wapo mtaani wanakula bata na wengine walisamehewa makosa yao mapema na baazi yao kuamua kurudi tz baada ya kufutiwa madudu yao so hata sabaya anahaki hiyo but this man on the future will hold a higher post in tz, let's wait time will reveal
Kesi hii ilitengenezwa na wahuni wezi na wahujumu uchumi wa nchi hii nikama walivyotaka mfanyia makonda tu
Wewe una matatizo yaani walloped fidia wakati kahurumiwa tu
Allah akbar, jembe letuuuuu hilo
Raisi mtarajiwa lazima utabiri wangu utatimia
Binadamu anaukumu na Mungu anaukumu
washkull hao ningekua Hakim mm ungeozea uko uko jera kibaka ww ningekupga myaka yakutosha
Huwezi kuwa hakimu
Ungekuwa MUNGU sasa dunia ungeifanya nini??? Unafikili sifa kumuhukumu mwenzio... 🚶
@@stellamsokwa6785 jambazi hafai kua urai yani
Sio vizuri kuandika Ivo hata wew ni binadamu unaweza kukosea vilevile ukahukumiwa zaidi ya sabaya wew huwezi kumukumu binadamu mwezio sio Mungu wew
dah isee kwanini hamjamfunga hata myaka 241 akawa huko jera pamoja na kazi ngumu mhalifu kama huyu mnamuchiaje kawa anatamba mtaani
Wewe siyo mzarenndo
Kaachiwa vipi? Ina maana miaka30 yote alohukumiwa alikuwaga anaonewa? Tupeni maelezo yakuturidhisha! Afu serikali mwache uonevu kwa wananchi kama huna uhakika na tuhuma!
Alifanya ni kweli inawezakana wamewalipa wale waliowaonea kumbuka alikuwa na wengine wa juu nadhani kuna kitu kimefanyika kurudisha Mali za watu
Wewe ujui kitu
Swala sio kuachiwa amejifunzaa Hui ni dunia bwana mdogo akili za kuambiwa tumia na zakwako
Siyo mzarenndo
wanaa kibao tusiye mjuwa katenda tusiyo yajuwa
H aya
Huyu jamaa mnyama hapaswi kuonewa huruma kabisa...je mahakama imewafikiria wale walioumizwa kwa ukatili wa huyu jamaa,au nyie mnaomuonea huruma huyu mpuuzi,mmefikiria maumivu ya wahanga wa mateso ya lengai ole sabaya? Anapaswa kuhukumiwa nje ya mahakama
Mshazoea kuiba
Kua mchungaji tu
Munguuuuu ni mweeeeema saaan jmni
Dir trying!!🙏
Hii taarifa mbona ina ukakasi maana vyanzo vingine vyasena hajaachiwa hivi wabongo twakama wapi...
Yani nikutosoma hawa waandishi wa habari njaa kali kila mtu anataka awe na chanel yake ndio kosa
Msikilize mwandishi msomi
Asant Mungu usiyelala kwa ajili ya sisi asant kwa kuw umeshughulika na kesi ya huy kijana
Bora karudi kakuta mchumba bado anamsubiri. Mwingine angeshabebwa
Ndo akome ss
Wewe ni muandishi msomi saana umekuwa ukituhabarisha vizuri
Pumbafuuuu unabaki hukohuko shetani wewe
Mungu mwema