SABAYA AKIMFUTA MACHOZI MAMA YAKE na KUWAAGA WAFUNGWA, MAHABUSU na MAMA ALIYEKUWA AKIMPIKIA CHAKULA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • SABAYA AKIMFUTA MACHOZI MAMA YAKE na KUWAAGA WAFUNGWA, MAHABUSU na MAMA ALIYEKUWA AKIMPIKIA CHAKULA...
    Aprili 05, 2023 itakuwa ni siku ya ukombozi yenye kumbukumbu muhimu kwa Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya.
    Hii ni baada ya kuachiwa huru baada ya kusota jela na mahabusi za Magereza ya Kisongo jijini Arusha na Karanga mjini Moshi yapata siku 767 za vilio, kuumwa na mateso ya kila aina.
    Sabaya ameachiwa huru baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Wilaya ya Moshi kupitia Kifungu cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai namba 91 kifungu cha 1A, kesi yake ya Uhujumu Uchumi ya mwaka 2022 kisha kuifanyia kesi hiyo mabadiliko!
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 137

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 Год назад +9

    Amen 🙏 Bwana YESU asifiwe, kijana wetu kawa huru

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 Год назад +11

    Mungu ni mwema katika Jina la Yesu Kristo aliye Bwana naMwokozi wetu ameeeen barikiwa Sana shalom

    • @jumannerajabu8259
      @jumannerajabu8259 Год назад

      usitaje jina ramungu kwamtu mshenzi kama huyu

    • @irinikoipai3936
      @irinikoipai3936 Год назад

      @@jumannerajabu8259 hatutakiwi kuhukumu watu

    • @ambwenedaniel358
      @ambwenedaniel358 Год назад

      @@jumannerajabu8259 kashatoka sasa kama umeumia kula mavi 😄🤣😂😆😄

    • @jumannerajabu8259
      @jumannerajabu8259 Год назад

      @@ambwenedaniel358 ww unamfurahia jambazi wakutumia siraha mwizi kubwa bwana ako Nini

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Год назад +6

    Hongera mama Sabaya ulisimama imara na mwanao hakika maisha ni safari ndefu bwana amefanya tena.pole sana

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 Год назад +7

    Jaman pole Sana broo mungu ni mwema

  • @trusttheprocess6800
    @trusttheprocess6800 Год назад +3

    Glory Glory to God,hakuna siku Mungu anawacha mtu wake

  • @umalqasimalhamhami6707
    @umalqasimalhamhami6707 Год назад +4

    Asante MUNGU kwawema wako❤❤

  • @godsgiftgreat4752
    @godsgiftgreat4752 Год назад +5

    Hongera. Mungu akulinde

  • @AminaAminjay-dv8tr
    @AminaAminjay-dv8tr Год назад

    Alhamdulilah sabaya mungu ni wetu sote kijana mwezang

  • @mwahijasammata4334
    @mwahijasammata4334 Год назад +10

    Hongera Jesca mwanamke wa mfano Marikia wa nguvu,umejuwa kumpigania

    • @mgosimkome9242
      @mgosimkome9242 Год назад

      Hawa ndo wanawake wengine wangeshamuacha

  • @christinachazy8644
    @christinachazy8644 Год назад +2

    Nimefurahi sana Mwenyezi Mungu anaweza kaka sabaya nilijua kwa Mungu hakuna ngumu japo utachekewa mama lazima ulie kwa furaha make hujaamini mwanao kama katoka mama yetu mama Samia ubarikiwe sana

  • @marykarebeti9410
    @marykarebeti9410 8 месяцев назад +1

    Very emotional

  • @OliverDavid-fd3kr
    @OliverDavid-fd3kr Год назад +1

    Nimefurahi Asante mungu umemuona mwanao

  • @aysherkitoi5507
    @aysherkitoi5507 Год назад +3

    Nimefurahi sana ❤️❤️❤️

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Год назад

    Mungu ni Mwema!

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 Год назад +2

    Kaka Mheshimiwa... pole kwa Yote... Asante Rais wetu🙏

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 Год назад +3

    Eee M/mungu yupo pamoja na wewe Commando Sabaya 💪🤲🙏🏼

  • @zulfaissa7814
    @zulfaissa7814 Год назад +1

    Pole sana mm sabaya naiman unauchungu mkubwa kwamwanao maana kapitia kipindi kikubw kijana mpambanaji mwenyezi mungu amjalie subra yadhati moyon mwake

  • @muddyching3925
    @muddyching3925 Год назад +5

    Dah haya maisha basi tu mungu yupo nasi

  • @emmanuelademba7919
    @emmanuelademba7919 Год назад +3

    Glory to GOD,huyu mwamba kwenye utawala wa JPM nilikuwa namfananisha na alivyo kuwa sokoine,nilitamani aje kuwa PREZIDAA wa nchi hii,japo hakuna binadamu asiye kuwa na mapungufu,MUNGU ASIMAME NAWE MWAMBA SABAYA.

  • @francisbuya8357
    @francisbuya8357 Год назад +2

    Ahsante columba tangu mwanzo mwa taariga hii pia pole na hongera sabaya kumaliza kesi endelea kumuomba mungu maana yeye ndiyo njia ya uzima

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 10 месяцев назад

    Hakuna aliyemkubwa zaidi ya mungu pole mdogo wangu sabaya

  • @humaidalnaamani7859
    @humaidalnaamani7859 Год назад

    Tuna mshukuru mwenyezi Mungu kuonyesha haki ya Ole Sabaya mbele ya watumia hongo na walaji kushindwa

  • @gloriamsaki9109
    @gloriamsaki9109 Год назад +2

    Mwenyenzi Mungu akamrudishie Mara Mia alivyovipoteza na akampe afya ya mwili na roho

  • @zuhurasajiliwa9655
    @zuhurasajiliwa9655 Год назад +1

    Asante mUñgu🙏🙏🙏😭

  • @jannyjmamdak2570
    @jannyjmamdak2570 Год назад +1

    Mungu ni mwema sana 🙏 hongera sana hatimae umetoka jamani

  • @aminitaycoon
    @aminitaycoon Год назад +2

    Mke wa Sabaya Salute, kwanza mwanamke ni mzuri hatari then ana moyo wa uvumilivu na utu

  • @sabenabucheyeki1491
    @sabenabucheyeki1491 Год назад

    Ni vyema na haki,hata yeye nazan tayari kashajifunza na anajua haki za watu uwa hazipotei,mungu ampe uelewa na atasamehewa dhambi make💯

  • @joycenicodemus.2232
    @joycenicodemus.2232 Год назад +1

    Mungu nimwema.

  • @jeaninekabano9190
    @jeaninekabano9190 Год назад +3

    Kila Jambo hutokea kwa sababu ripoti ya mwanadamu siyo ripoti ya Mungu hongera uzidi kumtafuta huyu Mungu asiye lala ktk jina la Yesu

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 Год назад +1

    Unacholima ndio unachovuna.
    Bila shaka Sabaya amejifunza kitu katika maisha ya mahabusu.
    Ikiwa alifanya makosa ni wakati wa kuwa raia mwema sasa. Ikiwa alisingiziwa ni wakati wa kumshukuru Mungu na kusamehe na kuonesha upendo.

  • @salomemakene9241
    @salomemakene9241 Год назад +2

    Hongera sabaya

  • @gishingareragoshoo1727
    @gishingareragoshoo1727 Год назад

    Hongera brother nimitihan tu katika maisha.

  • @hellengwopundo4927
    @hellengwopundo4927 Год назад +1

    Pole mama MUNGU amejibu maombi

  • @SaidCannal
    @SaidCannal Год назад

    Mungu ameona , palipo na haki fitina upotea

  • @geraldmakalala6091
    @geraldmakalala6091 Год назад +4

    Pamoja na yote ,ila Sabaya ni mtu wa watu, halafu anafaa kuwa kiongozi

  • @mathiashalawa3766
    @mathiashalawa3766 Год назад +1

    Namshukuru MUNGU kwa ajili yako SABAYA. OUR LORD IS THE LORD OF RESTORATION, HE WILL RESTORE YOUR ENTITLEMENTS SOON OR SOONER. Keep on fighting I can see a leader in you, don't backslide, there is a moment, by the grace of GOD, you will be somewhere at the top.

  • @mselumonica3046
    @mselumonica3046 Год назад +2

    Kweli uchungu wa mwana aujua mzazi, mama yake Amelia sana haamini, pole sana mama

  • @FrancisMwaru
    @FrancisMwaru 11 месяцев назад

    Mungu ni mwema kwa kila mja wake Binadam ndio wabaya

  • @wardakangezi6942
    @wardakangezi6942 Год назад

    Asante mungu uyu Kaka alikua ananiuma Sana kuka jela

  • @JoyceKyomo-gu2fk
    @JoyceKyomo-gu2fk Год назад

    Mungu mwema

  • @jumamkwanda8031
    @jumamkwanda8031 Год назад +1

    Siasa Mchezo mchafu sana Polisi ambao walikuwa wanampigia salute Enzi zile leo Wanakulinda na Mitutu usije ukatoroka Dah,Mshukuru Mungu sana Sabaya kwa kila jambo Leo upo huru Karibu uraiani tupambane na Maisha

  • @adolfinaandrea5234
    @adolfinaandrea5234 Год назад

    Niliamini Kakà sabaya watakutesa Lakini ipo siku Mungu ataruhusu uachiwe huru,Sisì wakatoliki tunaamini watakatifu wengi akina perpetua na Feliceta walifungwa na kuuwa kwasababu walikataa kutii uwongo hivyo wakamwanga damu Yao sababu ya wengi.Tunakushukuru kuwaonyesha Watanzania japo unawekwa ndani Kwa chuki za wachache hukuacha kamwe Mungu nyuma.tuko nyuma yako Kwa sala.

  • @hildaeliapenda3938
    @hildaeliapenda3938 Год назад

    Kikubwa na kutoa sadaka ya shukrani na kumshukuru Mungu Kwa mambo makubwa aliyokutendea

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 Год назад +3

    Mungu wa MAJOR ONE..aka Our Daddy Bushiri Akulinde🙏🙏

    • @crytonsijaona6164
      @crytonsijaona6164 Год назад

      Amen Amen and Amen. God of Major 1
      🙏🙏🙏👏👏👏

  • @salomemakene9241
    @salomemakene9241 Год назад +1

    Safi umeshinda

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin941 Год назад +3

    Sabayaaaaaaaaaaaaaaaa oyeeeeeeeeee

  • @MICHAELWANDA-cn4cp
    @MICHAELWANDA-cn4cp Год назад +1

    Wanawake kama jesca wachache sana Tanzania

  • @PauloRichard-xu9jm
    @PauloRichard-xu9jm Год назад +1

    Ma legend Huwa wanapikwa kwanza waive....huyu jamaa anajua na naamini atakuwa mtu mkubwa sana!! Naomba mama amwamini tena ampe kazi ameshajifunza mengi

  • @rosemaryjustine5122
    @rosemaryjustine5122 Год назад

    😭😭😭😭Mwacheni Mungu aitwe Mungu, hakuna kisicho pita.

    • @mgosimkome9242
      @mgosimkome9242 Год назад

      Nimefurahi sabaya kutoka ,mungu akutangulie

  • @alexmzumbwe1328
    @alexmzumbwe1328 Год назад +1

    Hela inakazi saana

  • @paulinamassay5122
    @paulinamassay5122 Год назад

    Kila chenye mwanzo hakikosi mwisho, pole sana mama najua ulipata uchungu kiasi Gani!!! Hakuna kama mama

  • @flaviankitowa5439
    @flaviankitowa5439 Год назад +2

    Mungu atalipa kwa kila jambo baya mateso uonevu chuki zuruma na kwa wakati kabla hujaonja mauti nenda upumzike sabaya ngoja mkono wa mungu kila mtu atapata atakachositahiri

    • @joycemfuru4752
      @joycemfuru4752 Год назад

      Yeye ndo amelipa na aende kwa wake aliowaumiza aelewane nao

    • @joycemfuru4752
      @joycemfuru4752 Год назад

      Kwa wale aliowaumiza awaombe msamaha

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Год назад +2

    Samia nakupenda Sana sana katika kesi zitakupa doa nihii mfunge huyu sabaya

    • @stellamsokwa6785
      @stellamsokwa6785 Год назад

      We una madoa mangapi?? nafsni mwako bhanaaa mpumzishe mama SAMIA🚶

    • @zackrichard3617
      @zackrichard3617 Год назад

      Sabaya is smart hakua na kosa bali aliyofanya alifanya chini ya mamlaka.. Na naamin ipo siku sabaya atakua kiongozi fulani serikalin.

    • @gracemusa31
      @gracemusa31 Год назад

      Akifungwa wewe unapata faida gani?

    • @lucaschisamalo2852
      @lucaschisamalo2852 Год назад

      @@gracemusa31 naww ametoka unapata faida gani

    • @mengirashidy-ld3lm
      @mengirashidy-ld3lm Год назад

      Wewe lukasi siyo mzarenndo

  • @leonardbrown181
    @leonardbrown181 Год назад

    Siasa Ni maisha! asirudie kuchezea!

  • @obedi84
    @obedi84 Год назад +2

    Sasa anaeshima nyingi

  • @jacksonmakalanga8532
    @jacksonmakalanga8532 Год назад +1

    Kanyoa lini??

  • @ezekielmollel-rv1ge
    @ezekielmollel-rv1ge Год назад +1

    Wakati wa MUNGU ni wakati sahihi sana

  • @gracemusa31
    @gracemusa31 Год назад

    MUNGU niwahaki siku zote nimefurahi Sana kukuona sanaya uraiani tena

  • @mariamhelen7808
    @mariamhelen7808 Год назад

    4:47

  • @suzyclement3899
    @suzyclement3899 Год назад +2

    Sabaya usimwache Jesca

  • @niwaeledwin1463
    @niwaeledwin1463 Год назад

    Sabaya katulie kwanza ila bado wanahai tunakuhitaji

  • @janemhangomhango5841
    @janemhangomhango5841 Год назад +2

    Bola ametoka jamani

  • @GodfreyMaura-wq1vt
    @GodfreyMaura-wq1vt Год назад +1

    Kesi za Tanzania mm binafsi huwa sizielewi kabisa ninaiomba Serikaki iweze kutoa elimu kubwa sana kuhusu sheria

    • @jumannerajabu8259
      @jumannerajabu8259 Год назад

      kwani tatizo apo mana yy amekili kosa ndio akasamehewa au mimi nimerewa vibaya

  • @binaisaissa
    @binaisaissa Год назад +1

    Hapo Kuna kitu Cha kujifunza

  • @shamslukumay2627
    @shamslukumay2627 Год назад +1

    Akampelekee moto sasaa😀😀😀

  • @lingwamalagila3003
    @lingwamalagila3003 Год назад

    Siku zote ni swala la mda tu hata hiyo aliyokiri ni maelekezo ili awe huru maana hapakuwa na Pakushika Mama Samia Rais wa Jamuhuri ya Muungano ubarikiwe vg

  • @joycekaguo8476
    @joycekaguo8476 Год назад

    Sabaya kachakaaa

  • @archbordygodfrey2614
    @archbordygodfrey2614 Год назад

    Ila ni fundisho sana

  • @munarjafu9886
    @munarjafu9886 Год назад

    😢😢😢

  • @aminamavura6834
    @aminamavura6834 Год назад

    Haya mambo Bwana basi tuu Kuna wanaokuchekea wengine kuku g, onga, a daa

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 Год назад

    HUWA HAWAFUNGWAGI HAO JAMAA, TOKA NIMEZALIWA SIJAWAHI KUONA KIONGOZI WA SERIKALI AKIFUNGWA KWA MAKOSA YAKE , SI DHANI KAMA SERIKALI ITAFIKA BILA KUWAPA WATU MFANO

  • @SiaJackison-nr3fl
    @SiaJackison-nr3fl Год назад +1

    Maybe,Yale maombi ya wale be wabibi bwana

  • @zakiamseka9698
    @zakiamseka9698 Год назад

    Uongozi bila hekima ni hatari

  • @hichayasin7244
    @hichayasin7244 Год назад +2

    AJIFUNZE UNAPOTENDEA WENZAKO UNYANYASAJI UNALIPWA NA MUNGU AJIFUNZE KWA HILO,

  • @ndalahwadaudmathew3334
    @ndalahwadaudmathew3334 Год назад +1

    Wakili Msomi nilikuwa karibu kujifunza kitu

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Год назад

    Ndio ujue uchungu wa mwana aujuaye mzazi

  • @issayasosolo6033
    @issayasosolo6033 Год назад +2

    Kesi za mazingaombwe na mazombi! Mnatumia gharama kubwa ushahidi hakuna ninamna ya Kesi za ajabu ajabu! Sasa mjipange kumlipa fidia

    • @johnshauri3130
      @johnshauri3130 Год назад

      Wamlipe vipi wakati amekiri kosa?

    • @zuwenaalamin8985
      @zuwenaalamin8985 Год назад +1

      Kbs

    • @mathewtwimanye92
      @mathewtwimanye92 Год назад +2

      @@johnshauri3130 ha ha ha kama waliomtengenezea kesi wapo mtaani wanakula bata na wengine walisamehewa makosa yao mapema na baazi yao kuamua kurudi tz baada ya kufutiwa madudu yao so hata sabaya anahaki hiyo but this man on the future will hold a higher post in tz, let's wait time will reveal

    • @mathewtwimanye92
      @mathewtwimanye92 Год назад +1

      Kesi hii ilitengenezwa na wahuni wezi na wahujumu uchumi wa nchi hii nikama walivyotaka mfanyia makonda tu

    • @mwlpierre
      @mwlpierre Год назад

      Wewe una matatizo yaani walloped fidia wakati kahurumiwa tu

  • @J4UPro
    @J4UPro Год назад

    Allah akbar, jembe letuuuuu hilo

  • @waziriwahekima6824
    @waziriwahekima6824 Год назад

    Raisi mtarajiwa lazima utabiri wangu utatimia

  • @shedrackpiniel6800
    @shedrackpiniel6800 Год назад +1

    Binadamu anaukumu na Mungu anaukumu

  • @jumannerajabu8259
    @jumannerajabu8259 Год назад +1

    washkull hao ningekua Hakim mm ungeozea uko uko jera kibaka ww ningekupga myaka yakutosha

    • @theopistabunga767
      @theopistabunga767 Год назад

      Huwezi kuwa hakimu

    • @stellamsokwa6785
      @stellamsokwa6785 Год назад

      Ungekuwa MUNGU sasa dunia ungeifanya nini??? Unafikili sifa kumuhukumu mwenzio... 🚶

    • @jumannerajabu8259
      @jumannerajabu8259 Год назад

      @@stellamsokwa6785 jambazi hafai kua urai yani

    • @christinachazy8644
      @christinachazy8644 Год назад

      Sio vizuri kuandika Ivo hata wew ni binadamu unaweza kukosea vilevile ukahukumiwa zaidi ya sabaya wew huwezi kumukumu binadamu mwezio sio Mungu wew

  • @jumannerajabu8259
    @jumannerajabu8259 Год назад +1

    dah isee kwanini hamjamfunga hata myaka 241 akawa huko jera pamoja na kazi ngumu mhalifu kama huyu mnamuchiaje kawa anatamba mtaani

  • @chifuthedoni8889
    @chifuthedoni8889 Год назад

    Kaachiwa vipi? Ina maana miaka30 yote alohukumiwa alikuwaga anaonewa? Tupeni maelezo yakuturidhisha! Afu serikali mwache uonevu kwa wananchi kama huna uhakika na tuhuma!

    • @joycemfuru4752
      @joycemfuru4752 Год назад

      Alifanya ni kweli inawezakana wamewalipa wale waliowaonea kumbuka alikuwa na wengine wa juu nadhani kuna kitu kimefanyika kurudisha Mali za watu

    • @mengirashidy-ld3lm
      @mengirashidy-ld3lm Год назад

      Wewe ujui kitu

  • @husenihamza7591
    @husenihamza7591 Год назад +1

    Swala sio kuachiwa amejifunzaa Hui ni dunia bwana mdogo akili za kuambiwa tumia na zakwako

  • @manasekabusha7180
    @manasekabusha7180 Год назад

    wanaa kibao tusiye mjuwa katenda tusiyo yajuwa

  • @jofreymsigwa85
    @jofreymsigwa85 Год назад

    H aya

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA Год назад

    Huyu jamaa mnyama hapaswi kuonewa huruma kabisa...je mahakama imewafikiria wale walioumizwa kwa ukatili wa huyu jamaa,au nyie mnaomuonea huruma huyu mpuuzi,mmefikiria maumivu ya wahanga wa mateso ya lengai ole sabaya? Anapaswa kuhukumiwa nje ya mahakama

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 Год назад

    Kua mchungaji tu

  • @joycekalembo2225
    @joycekalembo2225 Год назад

    Dir trying!!🙏

  • @rajabumbendenga5480
    @rajabumbendenga5480 Год назад

    Hii taarifa mbona ina ukakasi maana vyanzo vingine vyasena hajaachiwa hivi wabongo twakama wapi...

    • @muddyching3925
      @muddyching3925 Год назад

      Yani nikutosoma hawa waandishi wa habari njaa kali kila mtu anataka awe na chanel yake ndio kosa

    • @williammbuzimai5744
      @williammbuzimai5744 Год назад

      Msikilize mwandishi msomi

    • @eldabwaga4170
      @eldabwaga4170 Год назад

      Asant Mungu usiyelala kwa ajili ya sisi asant kwa kuw umeshughulika na kesi ya huy kijana

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 Год назад

    Bora karudi kakuta mchumba bado anamsubiri. Mwingine angeshabebwa

  • @mussamc641
    @mussamc641 Год назад

    Ndo akome ss

  • @jeninmaleko1989
    @jeninmaleko1989 Год назад

    Wewe ni muandishi msomi saana umekuwa ukituhabarisha vizuri

  • @rosestigeneriksson8387
    @rosestigeneriksson8387 Год назад

    Pumbafuuuu unabaki hukohuko shetani wewe

  • @shadiathemedshadiathemed8699
    @shadiathemedshadiathemed8699 Год назад +1

    Mungu mwema