SABAYA ALALAMIKA MAHAKAMANI, ADAI ALIVAMIWA NA KUNYAN'GANYWA MALI ZAKE ALIPOKAMATWA, HAMJUI MROSSO..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • SABAYA ALALAMIKA MAHAKAMANI, ADAI ALIVAMIWA NA KUNYAN'GANYWA MALI ZAKE ALIPOKAMATWA, HAMJUI MROSSO..
    Mshtakiwa namba moja katika shauri la Uhujumu Uchumi linalomkabili, Lengai Ole Sabaya na Wenzake Sita leo hii ametoa ushahidi wake mahakamani na kudai hamfahamu Mroso ambae ni mlalamikaji...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 39

  • @chamachamapinduzikatamakan6044
    @chamachamapinduzikatamakan6044 2 года назад +4

    Mungu akutie nguvu hakika utashinda Comred Sabaya

  • @isayayohana6341
    @isayayohana6341 2 года назад +6

    Mtangazaji uko vizuri sana bgp sana kaka

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 2 года назад +1

    Mungu aendelee kukupigania Comrade sabaya.

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 2 года назад

    Kijana makini kazi madhubuti napenda kufatilia kesi hii kupitia wewe mtangazaji bora unaeleweka🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @amanisemundi53
    @amanisemundi53 2 года назад +2

    mungu akutie nguvu sabaya ipo ck utakuwa hur mungu awa samehe hawajuwi walitendalo

  • @biottomollel6527
    @biottomollel6527 2 года назад +1

    Upo vizuri mtangazaji

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba9387 2 года назад +1

    Sabaya uko vizuri kujitetea umeupiga mwingi

  • @neemaruhembe6360
    @neemaruhembe6360 2 года назад

    Mungu atakujalia sabaya utavuka tu

  • @mgayamgaya
    @mgayamgaya 2 года назад

    Nakuona BBC Mwandishi Msomi,

  • @ishileo9438
    @ishileo9438 2 года назад +3

    Nilikuaa nakusubir ww umechelewa kupost bro big up

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 2 года назад +1

    Asante kirumba

  • @husseinibnuhassan1272
    @husseinibnuhassan1272 2 года назад +3

    Wakili msomi umenifanya kufatilia hii kesi kwa ripoti zako zimeenda shule hata chizi anaelewa big up sana wakili msomi..inafaa uje mjini una kitu kikubwa sana kaka mkuu

    • @nickolatharwelamila776
      @nickolatharwelamila776 2 года назад

      Yani tuko wengi kiukweli

    • @nickolatharwelamila776
      @nickolatharwelamila776 2 года назад

      Kesi ikimalizika apewe tuzo kiukweli kaka nimzuri mno kwenye kusimlia

    • @husseinibnuhassan1272
      @husseinibnuhassan1272 2 года назад

      @@nickolatharwelamila776 anajua sana anafaa afanye kwenye media kubwa uwezo wake ni mkubwa kuliko walioko kwenye nafasi nzuri

  • @gervasmalimi5126
    @gervasmalimi5126 2 года назад

    Pole sabaya

  • @mwitaagness455
    @mwitaagness455 2 года назад +1

    Ana mazito sana kupita kias lkn anacheka tuu jamaniii hata uso hauonyeshi km ana mazito sema kapungua san sanaaa

  • @suleimanlaihoo867
    @suleimanlaihoo867 2 года назад

    Jamani ole ngai ole sabaya ahukumiwe kunyongwa mpaka kufa km raisi wa iraki kwa vitendo vya ajabu alivyo fanya

  • @sanyengemwandu6473
    @sanyengemwandu6473 2 года назад

    Pole

  • @ernestgamba3732
    @ernestgamba3732 2 года назад +1

    Sabaya kawa Msabato lini?.Hakuna msabato anayening'iniza misalaba shingoni,acha anyooshwe tu maana auaye kwa upanga....💉🔥💪

    • @isaacvtv547
      @isaacvtv547 2 года назад

      unachomchongea nawe kitakukuta one day maana ummemtakia kwa kinywa chako

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 2 года назад

      Tatizo kesi zote tunaambiwa hatujawah kuziona nchi za kiafrica ukiwa mkweli wanakuumiza kuna mashetan yaanapenda kuona Africa haiendelei yoyote atakayekuja na mpango wa maendeleo utafia kuzim

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 2 года назад

      Itakuwa huyu dada ndo msabato

    • @frankpima4970
      @frankpima4970 2 года назад

      Wew ni msabato ushilika wako ukokanisagani acha bana nahayo uliyoning'iniza shingoni nini kumbe wew muongo

  • @pauloalfayo1868
    @pauloalfayo1868 2 года назад

    Sina la kukuxaidia lengai Ila je ni kweli haya mambo unayotuhumiwa nayo? Kama ni kweli lema alikwambia hapo kwanza,kama c kweli mungu akutetee tunaomba mungu aingilie kati,

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid5712 2 года назад +2

    Mtenda akitendewa huhisi kaonewa mtu anavuna alichopanda yaliyomtokea wanaona matamu sabaya alivyowatendea wenzie hata wewe ingekuwa kakutendea uovu ungesema sana wacha hukumu uchukuwe mkondo wake

  • @rosekinabo3599
    @rosekinabo3599 2 года назад

    Msabato gn anae vaa tasbii????

  • @amanestomihi2599
    @amanestomihi2599 2 года назад +1

    Yeye alivyokuwa anawasachi wenzie alikuwa na Sachi warrant?Jambazi baba.

  • @prisilakabyemela1792
    @prisilakabyemela1792 2 года назад

    Wasameewe tu jamani

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 года назад +2

    Sabaya... Sabaya.... Usichanganyikiwe... Wewe Ni muumini wa SDA Church... Hiyo shingoni nini Tena...!!? Mtegemee Mwenyezi Mungu ... Achana na vitu vya kuonekana .. wengi tunakuombea... Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

    • @ernestgamba3732
      @ernestgamba3732 2 года назад

      Siwezi kumuombea jambazi hata siku moja!.Mbona tulizuiwa kumuombea Lissu?.Acha wafu wawazike wafu wenzao!

  • @sanyengemwandu6473
    @sanyengemwandu6473 2 года назад +1

    Yaduniani yaache kama yalivyo

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 2 года назад

    Kweliwewe nimwandishi msomi mwanangu unaongea siìiida bila uoga

  • @felixhaule7071
    @felixhaule7071 2 года назад

    Eti kaupiga mwingi,upi huo mwingi alioupiga khaaa😂😂hili ni Jambazi tu halihitaji hata kujitetea,hiko kicheko ni kujifurahisha tu lakini hana lolote,Jela Kisongo washamtoa marinda

  • @ibrahimmbango9117
    @ibrahimmbango9117 2 года назад

    utashinda tuu mungu yu pamoja nawe kaka tunajuwa hizo ni siasa tuu ila yatapita

  • @felixhaule7071
    @felixhaule7071 2 года назад +1

    Sabaya akishinda hii Kesi najinyonga,huyu Jambazi ni lazima afungwe miaka 30 mingine Jela hakuna namna, Jambazi ni Jambazi tu,mingine 30 inamhusu iwe mvua iwe jua,HACHOMOKIIIIII

  • @stanleykitika2129
    @stanleykitika2129 2 года назад

    Kilabaya.ulipwana.mwenyenzimungu

  • @neemaloy889
    @neemaloy889 2 года назад

    Wapili chap like zenu please