SABAYA ALALAMIKA MAHAKAMANI, ADAI ALIVAMIWA NA KUNYAN'GANYWA MALI ZAKE ALIPOKAMATWA, HAMJUI MROSSO..
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- SABAYA ALALAMIKA MAHAKAMANI, ADAI ALIVAMIWA NA KUNYAN'GANYWA MALI ZAKE ALIPOKAMATWA, HAMJUI MROSSO..
Mshtakiwa namba moja katika shauri la Uhujumu Uchumi linalomkabili, Lengai Ole Sabaya na Wenzake Sita leo hii ametoa ushahidi wake mahakamani na kudai hamfahamu Mroso ambae ni mlalamikaji...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Mungu akutie nguvu hakika utashinda Comred Sabaya
Mtangazaji uko vizuri sana bgp sana kaka
Mungu aendelee kukupigania Comrade sabaya.
Kijana makini kazi madhubuti napenda kufatilia kesi hii kupitia wewe mtangazaji bora unaeleweka🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
mungu akutie nguvu sabaya ipo ck utakuwa hur mungu awa samehe hawajuwi walitendalo
Upo vizuri mtangazaji
Sabaya uko vizuri kujitetea umeupiga mwingi
Mungu atakujalia sabaya utavuka tu
Nakuona BBC Mwandishi Msomi,
Nilikuaa nakusubir ww umechelewa kupost bro big up
Asante kirumba
Wakili msomi umenifanya kufatilia hii kesi kwa ripoti zako zimeenda shule hata chizi anaelewa big up sana wakili msomi..inafaa uje mjini una kitu kikubwa sana kaka mkuu
Yani tuko wengi kiukweli
Kesi ikimalizika apewe tuzo kiukweli kaka nimzuri mno kwenye kusimlia
@@nickolatharwelamila776 anajua sana anafaa afanye kwenye media kubwa uwezo wake ni mkubwa kuliko walioko kwenye nafasi nzuri
Pole sabaya
Ana mazito sana kupita kias lkn anacheka tuu jamaniii hata uso hauonyeshi km ana mazito sema kapungua san sanaaa
Jamani ole ngai ole sabaya ahukumiwe kunyongwa mpaka kufa km raisi wa iraki kwa vitendo vya ajabu alivyo fanya
Pole
Sabaya kawa Msabato lini?.Hakuna msabato anayening'iniza misalaba shingoni,acha anyooshwe tu maana auaye kwa upanga....💉🔥💪
unachomchongea nawe kitakukuta one day maana ummemtakia kwa kinywa chako
Tatizo kesi zote tunaambiwa hatujawah kuziona nchi za kiafrica ukiwa mkweli wanakuumiza kuna mashetan yaanapenda kuona Africa haiendelei yoyote atakayekuja na mpango wa maendeleo utafia kuzim
Itakuwa huyu dada ndo msabato
Wew ni msabato ushilika wako ukokanisagani acha bana nahayo uliyoning'iniza shingoni nini kumbe wew muongo
Sina la kukuxaidia lengai Ila je ni kweli haya mambo unayotuhumiwa nayo? Kama ni kweli lema alikwambia hapo kwanza,kama c kweli mungu akutetee tunaomba mungu aingilie kati,
Mtenda akitendewa huhisi kaonewa mtu anavuna alichopanda yaliyomtokea wanaona matamu sabaya alivyowatendea wenzie hata wewe ingekuwa kakutendea uovu ungesema sana wacha hukumu uchukuwe mkondo wake
Msabato gn anae vaa tasbii????
Yeye alivyokuwa anawasachi wenzie alikuwa na Sachi warrant?Jambazi baba.
Wasameewe tu jamani
Sabaya... Sabaya.... Usichanganyikiwe... Wewe Ni muumini wa SDA Church... Hiyo shingoni nini Tena...!!? Mtegemee Mwenyezi Mungu ... Achana na vitu vya kuonekana .. wengi tunakuombea... Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Siwezi kumuombea jambazi hata siku moja!.Mbona tulizuiwa kumuombea Lissu?.Acha wafu wawazike wafu wenzao!
Yaduniani yaache kama yalivyo
Kweliwewe nimwandishi msomi mwanangu unaongea siìiida bila uoga
Eti kaupiga mwingi,upi huo mwingi alioupiga khaaa😂😂hili ni Jambazi tu halihitaji hata kujitetea,hiko kicheko ni kujifurahisha tu lakini hana lolote,Jela Kisongo washamtoa marinda
utashinda tuu mungu yu pamoja nawe kaka tunajuwa hizo ni siasa tuu ila yatapita
Sabaya akishinda hii Kesi najinyonga,huyu Jambazi ni lazima afungwe miaka 30 mingine Jela hakuna namna, Jambazi ni Jambazi tu,mingine 30 inamhusu iwe mvua iwe jua,HACHOMOKIIIIII
Kilabaya.ulipwana.mwenyenzimungu
Wapili chap like zenu please