TAHARUKI SHULENI, MADAI WATOTO KUCHINJWA, WAZAZI WAFURIKA SHULENI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 117

  • @user-he2pk6io4d
    @user-he2pk6io4d Месяц назад +26

    Mungu tusaidie 😢😢watoto wetu wawe mikono salama tanzania nzima

  • @lucypatrick7830
    @lucypatrick7830 Месяц назад +2

    Hata tuhukumu namna gani, but magufuli alikomesha hali hizi, rip magu 😢😢, wanapanga masuala ya kodi ila usalama wa raia aaaah, Mungu tulindie watoto

  • @dicksonpangani1644
    @dicksonpangani1644 Месяц назад +23

    Mungu tusaidie kuwa na moyo wahofu ndani yake

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Месяц назад +20

    Weeee uskie watoto wanachinjwa mzazi Gani atakaa nyumbani atulie😭😭😭😭dah!!!serikali ifuatilie ulinzi na usalama wa wananchi wote kwa ujumla wake.

    • @rosehaule6765
      @rosehaule6765 Месяц назад +1

      😂😂 hata.mm.mbio kabisaa weee kama zamani nyonya damu Gari ikitokea shule tu wanafunzi wote mbiooo tunavumuka madarasani kukimbia majumbani

  • @user-hw7kz8rv2c
    @user-hw7kz8rv2c Месяц назад +1

    Mungu tusaidie kuwaweka watoto sehemu salama

  • @abuuthauran9933
    @abuuthauran9933 Месяц назад +12

    Kuna kipindi haya mambo hayakuwepo kabisa. Atakae uwa na yy auliwe sio kwenda kula chakula Cha Bure magereza

  • @SadaAhmad-nq5hx
    @SadaAhmad-nq5hx Месяц назад +10

    Hali inazidi kuwa mbaya jaman watot wasio na hatia wanauliwa na serikali inaafumbia macho jaman😢😢😢😢

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 Месяц назад +2

    SubhanaAllah subhanaAllah nini tena huko,

  • @shaban6644
    @shaban6644 Месяц назад +12

    Nahisi Kuna Watu Wachache Wasioitakia Mema Nchi Yetu Wanaleta hii Michezo ya Mibovu ya Kisiasa.

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 Месяц назад +2

      Tena huu mwezi una matukio mengi sana huko temeke vijana wanakamatwa na wanapotezwa kusiko julikana mmmh mitihani sana

  • @Bari686
    @Bari686 Месяц назад +11

    Yaani huku mtaani hatuna amani kila siku inatoka taarifa mpya ya watoto kukumatwa na kukatwa viungo vya mwili

  • @ReginaMussa
    @ReginaMussa Месяц назад

    Watoto walio chinjwa ni wilaya ya temeke na mbagala , Mungu ndie anajua kila kitu kuhusu usalama wa watoto wetu 😭😭😭

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Месяц назад +3

    HOME SWEET HOME

  • @FaidhaYusuphu
    @FaidhaYusuphu 25 дней назад

    shule yangu nilosoma jmn😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Месяц назад +2

    Mungu wangu itakuw wamewachinja lbda

  • @adelaidafrancis6374
    @adelaidafrancis6374 Месяц назад +2

    😢duh kamkatia simu🙌🙌

  • @GreciousMolleli
    @GreciousMolleli Месяц назад +2

    Taarifaa zisizoelewekaa wasituletee hapaa preshaaa juuujuuu

    • @user-gm4qi3nn9n
      @user-gm4qi3nn9n Месяц назад

      Weee 😢😢😢 Kenya haya uameshamiri

  • @AgnessAlute
    @AgnessAlute Месяц назад

    Duh Mungu tusaidiane

  • @BahatiTimilai-v2x
    @BahatiTimilai-v2x Месяц назад +5

    Hii tabia inatutisha sisi wazazi

  • @Maginatv
    @Maginatv Месяц назад +6

    Serikali isikalie kimya jambo hili kabisa

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Месяц назад

    Hawataki muingie wasenge tu hao

  • @HamisiMatola-fs2gn
    @HamisiMatola-fs2gn Месяц назад

    Hao wako pamoja

  • @brianmoshi1156
    @brianmoshi1156 Месяц назад +2

    Kuna mtoto uku dodoma nyumba 300 amechinjwa ana miaka 6 yni sasa ivi watoto wakuangaria amna kuzurura sasa ivi ni ndani tuh ila iyo ishu ipo kweri jmni police wamekuja wana sema mtoto kaliwa na mbwa ynii mmmhh

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Месяц назад +1

    Wazaz wameona hapana😢😢

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Месяц назад +3

    Mmm ilo jiji arudi makondaa

  • @SalmaAlly-t6v
    @SalmaAlly-t6v Месяц назад

    Ni kweli mtt kachinjwa shule ya msimgi mbande kisewe

  • @ndrwdotts4347
    @ndrwdotts4347 Месяц назад +2

    Uchaguzi unakaribia

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony Месяц назад +1

    saiv kla Mahal naona ayo mambo yapo sjui shda nn sjui kafara

  • @Ramadhwan7
    @Ramadhwan7 Месяц назад +1

    Hii inatokana na watu kutopata malezi ya kumwogopa muumba wa ulimwengu

  • @mariamhassan5247
    @mariamhassan5247 Месяц назад +2

    Shule yangu jaman vingunguti

  • @nasibshabani7740
    @nasibshabani7740 Месяц назад +1

    Rip magufuli

  • @HabibuHoseni-sv8hd
    @HabibuHoseni-sv8hd Месяц назад +1

    Hiii xhle ipo mjin guysss😂😂

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar Месяц назад

    Ee MUNGU wetu tunusuru na vizazi vuetu yarabbi

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Месяц назад

    Hizi taarifa za siku hizi kuhusu watoto mimi zinanichanganya kabisaaa.sijui hata wazazi tufanyeje.

  • @Ramadhwan7
    @Ramadhwan7 Месяц назад

    Dah mtihan kwa kwel

  • @mwanas2
    @mwanas2 Месяц назад +1

    Jamani uvumi wa ajabu upungue hii sio sawa inavyoonekana ni uongo kabisa. kwani kama kuna mtoto kachinjwa inamaanisha hana familia mama baba au ndugu siwangeshachachamaa tukawaona kua mtot wao kachinjwa. swala la uvumi huo tu

    • @jescaemmilian2953
      @jescaemmilian2953 Месяц назад

      Hujui kinachoendelea wewe....watoto wanauliwa

    • @Ivon-qz6gg
      @Ivon-qz6gg Месяц назад

      Upo bushi ndio maana huku kwetu mton kijichii yapo na ushaid upo

  • @Commentsplus
    @Commentsplus Месяц назад +2

    Ogopa mtu akisema sijui

  • @floramark8751
    @floramark8751 Месяц назад +1

    Hali nimbaya.kila mtu alinde mtoto.wake

  • @salha.d5060
    @salha.d5060 Месяц назад +2

    WANAUME MMEKUWAJE MBAKE ,MLAWITI,MUUE MNATAKA WATOTO WAISHI VIPI,

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl Месяц назад +1

      Yani wamebqdilika roho wanaume

    • @nolascodismassilayo3927
      @nolascodismassilayo3927 Месяц назад +1

      ​@@HanifaOman-oo4placha tu na wanawake hatari wabemenda vitoto vidogo wavioa wao duuuh inahudhunisha sana

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Месяц назад

      Uovu uanza plae mwanamke anapoanza kuua mtoto aliyeko tumboni. Hana silaha wa nini lakini mama Zetu tunadhulumu uhai wa vichanga hûwa vina kosa gani?

  • @abuuthauran9933
    @abuuthauran9933 Месяц назад +1

    Nchi imeooza, amani Kwa watoto hakuna, ulinzi uko wapi, watu wanaua watoto nyinyi mkiwakamata mnawafunga, kwanini msiwaue.

    • @FilbertHabashi-zn1qu
      @FilbertHabashi-zn1qu Месяц назад

      Ni kweli kbsa. We unapeleka mtoto wako shulen au una mtuma dukani, then mtu anakusudia kumuua alafu serikali inakuja kumfunga na kumpa ugali wa bure. Inaumiza sana ingetakiwa mtu kuuwawa on spot

  • @rahimmarions5712
    @rahimmarions5712 Месяц назад

    Hii ni hatar sana..haya matukio yameshamir sana mitaani..kila ukikaa unasikia sijui wapi mtoto kafanywa hivi...ni ushuni kwa kweli

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Месяц назад +2

    Shule utafikiria mabanda

  • @user-eh5fw5gj4c
    @user-eh5fw5gj4c Месяц назад +1

    ANAKATA SIMU HIZO NI ZARAU KWA WATANZANIA.. NA NYIE WAANDISHI WAHABARI MNAKATIWA SIMU NA MFANYAKAZI WA UMMA AFU MNAKAA KIMYA TU

  • @KissaMwaibila-xp7io
    @KissaMwaibila-xp7io Месяц назад +1

    Walakini

  • @KaijageSauza
    @KaijageSauza Месяц назад

    Nakumbuka mkuu wa mkoa wa arusha alisema ukiona ari ya usalama Kwa mtoto haiko sawa husimlusu kwenda shuleni.

  • @zzy1141
    @zzy1141 Месяц назад +3

    Tahadhar baada ya hatari😂😂

    • @Choleta_Charles
      @Choleta_Charles Месяц назад

      Daaah,, watu mnafuatilia Kwa makini jamanj...aiii aiiii... Nimejikuta nacheka moyoni

    • @aminamalilo6605
      @aminamalilo6605 Месяц назад

      😂😂😂

  • @fellyvoicetv4433
    @fellyvoicetv4433 Месяц назад +2

    Nikajua Arusha aiseee😂😂😂

  • @eliaminimmbaga5782
    @eliaminimmbaga5782 Месяц назад

    Serikali iingilie kati, Nchi iwe shwari

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim Месяц назад

    Waganga wote wanatakiwa wafungwe ndo sbb

  • @festokitule9727
    @festokitule9727 Месяц назад

    Huyo Afisa na wasiwasi km anayajua majukumu yake au hayajui.

  • @johnymelkiory5451
    @johnymelkiory5451 Месяц назад

    Vingunguti kuna mambo

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Месяц назад

    Mhm hii kali😂😂

  • @hamicpina1151
    @hamicpina1151 Месяц назад

    ila bara Iman. Hamna tena kwa sababu ya pesa tuu usimuamini mtu wa bara kwa pesa kabisaa

  • @Keyjop
    @Keyjop Месяц назад

    😢 jmn..m

  • @Amanikizota
    @Amanikizota Месяц назад +1

    😮😢😢

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny Месяц назад

    Mtihani mkubwa,

  • @yohananyamaruri9105
    @yohananyamaruri9105 Месяц назад +2

    Chunguzeni vzr Kuna Jambo hapa itakuwa kweli Tena Hao wakubwa wa shule ndo wahusika

    • @mclee493
      @mclee493 Месяц назад

      Zungumz vit ulivyo na uhakik navyo ...

    • @dianakalimba
      @dianakalimba Месяц назад

      Acha kuropoka upumbavu

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Месяц назад +1

    Mbona wana lificha !?

  • @aishalaizer8132
    @aishalaizer8132 Месяц назад +1

    Hata cjui niwap tuko kwass,na tunaelekea wap

  • @augustinejohnnyakatoma8591
    @augustinejohnnyakatoma8591 Месяц назад

    Nadhani huu utakuwa ni uvumi tu labda!! Sasa wenyewe hawana uhakika wazazi hawa wanakurupuka tuu!!!

  • @broadfuturetv9406
    @broadfuturetv9406 Месяц назад

    wazazi wote hao waswahili hata mtaani watakuwa ni wambea tu wanakuza mambo

  • @andrewmagwila1602
    @andrewmagwila1602 Месяц назад

    Shule niliyosoma hii

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Месяц назад

    😢😢😢

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6k Месяц назад

    Hii ni michezo ya wahuni kuwapa taharuki,watu wameshafanya mchezo ni kawaida ya wtu hawa wa ovyo kuwakosesha watu amani.Utawasikia panya lodi hao wanakuja,oop mara TRA hao,na maneno kibao muyazoee tu wananchi

  • @Bhadienba
    @Bhadienba Месяц назад

    Kutokuwa na uelewa tu hao watoto siku zote wanashindaga na nani? Mpka wazazi muanze kuja juu kuchukua watoto shule kwanza ni utovu wa nizamu mmewazarau walezi wa watoto wenu( walimu)

  • @veronicathomas9422
    @veronicathomas9422 Месяц назад +4

    Wako wapi wanawake waombolezaji? Hatuna serikal wala sheria iman potofu zmetawala inatupasa kuomba kwa ajili ya Taifa syo kawaida

  • @Hgd-jk6lh
    @Hgd-jk6lh Месяц назад +3

    Yakenya yamefika tz😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @Zuuh4286
      @Zuuh4286 Месяц назад

      𝐊𝐚𝐛𝐬𝐚 𝐤𝐮𝐦𝐛𝐞 𝐧𝐚𝐰𝐞 𝐮𝐧𝐚𝐟𝐚𝐭𝐢𝐥𝐢𝐚 𝐦𝐚𝐦𝐛𝐨 𝐳𝐚 𝐰𝐚𝐤𝐞𝐧𝐲𝐚 𝐳𝐢𝐧𝐚𝐭𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐰𝐚𝐥𝐚𝐢 𝐌𝐮𝐧𝐠𝐮 𝐭𝐮𝐮

    • @Hgd-jk6lh
      @Hgd-jk6lh Месяц назад +1

      @@Zuuh4286 huko wallah hakunipiti mungu anusuru familia zetu kenya inatisha

    • @Zuuh4286
      @Zuuh4286 Месяц назад

      @@Hgd-jk6lh 𝐀𝐦𝐢𝐢𝐧 🤲𝐦𝐢 𝐩𝐢𝐚 𝐧𝐢𝐩𝐨 𝐡𝐮𝐤𝐨 𝐦𝐭𝐢𝐡𝐚𝐧𝐢 𝐰𝐚𝐥𝐚𝐢 😥😥

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Месяц назад

    😔

  • @fatumahashimmcheni9610
    @fatumahashimmcheni9610 Месяц назад +1

    Watton waliochinjwa ni mbagalaa mbande ukoo hawa wamesikiatu

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du Месяц назад +2

    Lisemwaro lipo sasaivi ubinadam aupo

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif860 Месяц назад

    Muingie ndan mukafanyaje na ninyi mushapewa watoto wenu

  • @latifamubba100
    @latifamubba100 Месяц назад

    Andikeni vizur sio madai Kwan watt awafanyiw ukatili kweli

  • @JumaJuma-i2g
    @JumaJuma-i2g Месяц назад

    sasa hao watu wanao toa taarifa hizo za uzushi kwa nini hawashughulikiwi?

  • @salha.d5060
    @salha.d5060 Месяц назад +1

    Police wetu makini tunaomba mmalize hili janga

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Месяц назад

    Yaan watu wanaanzishaga taharuki tu mpaka wazazi wanaogopa amna lolote mtt anachijwaje shuleni😂😂 hapo pako wazi hivyo akiyaMungu haya mambo hata zamani yalitokeaga😂😂 kumbe inakuwa amna lolote akianzisha mtu.mmoja tu neno basi linaenea ila wazazi wanakimbiqga tu wanawasiwasi lazima na.mkuu wa.polisi alishasema ao wanaoanzishaga hizi taharuki watakamatwa kisheria sio nzurii

    • @sharifabahar9905
      @sharifabahar9905 Месяц назад

      Unajuwa kweli ulicho ki comment tena unacheka vingunguti leo watoto watano wamechinjwa

    • @rosehaule6765
      @rosehaule6765 Месяц назад +1

      @@sharifabahar9905 ndugu yngu kweli jamani mm.nimecheka.nimekumbuka Enzi zetu mashuleni tulikuwa tunakimia magari wabasema nyinya damu tunakimbia toka.madarasanimkurudi nyumbanii..aisee.pokeni kama ni kweli wamechjwaje?

    • @mariammakotah4888
      @mariammakotah4888 Месяц назад

      Yan enzi za nyonya damu.... ilikuwaga vurugu jaman...unakimbia ukiona gari limechorwa msalaba mwekundu mbio nyingi huku unalia😢​@@rosehaule6765

    • @Ivon-qz6gg
      @Ivon-qz6gg Месяц назад

      Wee unakaa masaki hujui sisi mbagala huku ushuuda upo sasa usiseme tu

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 Месяц назад

    Shule ya nzasa pia juzi walikamatwa watoto wa 3

    • @sharifabahar9905
      @sharifabahar9905 Месяц назад

      Vingunguti watoto watano wamechinjwa

    • @sikudhankhamis
      @sikudhankhamis Месяц назад

      ​@@sharifabahar9905kwahiyo dada ni kweli😢😢 mw.mungu azid kuwalinda watoto kama ni kweli inahuzunisha sana

    • @dastanfussy4898
      @dastanfussy4898 Месяц назад

      Kwanini asijitokeze mzazi WA mtoto aliyechinjwa tujue?

  • @Ramadhwan7
    @Ramadhwan7 Месяц назад

    Hii inatokana na watu kutopata malezi ya kumwogopa muumba wa ulimwengu

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 Месяц назад

    😢😢😢😢

  • @JumaJuma-i2g
    @JumaJuma-i2g Месяц назад +1

    sasa hao watu wanao toa taarifa hizo za uzushi kwa nini hawashughulikiwi?

    • @Zainab_salat
      @Zainab_salat Месяц назад

      Kweli

    • @Hasnspop
      @Hasnspop Месяц назад

      Juma useme hivyo hali ni mbaya sana kaka watoto wanachinjwa hata sio uzushi

    • @sharifabahar9905
      @sharifabahar9905 Месяц назад

      Vingunguti watoto watano awa wanaficha njoo vingunguti leo