Kuna mtoto uku dodoma nyumba 300 amechinjwa ana miaka 6 yni sasa ivi watoto wakuangaria amna kuzurura sasa ivi ni ndani tuh ila iyo ishu ipo kweri jmni police wamekuja wana sema mtoto kaliwa na mbwa ynii mmmhh
Jamani uvumi wa ajabu upungue hii sio sawa inavyoonekana ni uongo kabisa. kwani kama kuna mtoto kachinjwa inamaanisha hana familia mama baba au ndugu siwangeshachachamaa tukawaona kua mtot wao kachinjwa. swala la uvumi huo tu
Ni kweli kbsa. We unapeleka mtoto wako shulen au una mtuma dukani, then mtu anakusudia kumuua alafu serikali inakuja kumfunga na kumpa ugali wa bure. Inaumiza sana ingetakiwa mtu kuuwawa on spot
Hii ni michezo ya wahuni kuwapa taharuki,watu wameshafanya mchezo ni kawaida ya wtu hawa wa ovyo kuwakosesha watu amani.Utawasikia panya lodi hao wanakuja,oop mara TRA hao,na maneno kibao muyazoee tu wananchi
Kutokuwa na uelewa tu hao watoto siku zote wanashindaga na nani? Mpka wazazi muanze kuja juu kuchukua watoto shule kwanza ni utovu wa nizamu mmewazarau walezi wa watoto wenu( walimu)
Yaan watu wanaanzishaga taharuki tu mpaka wazazi wanaogopa amna lolote mtt anachijwaje shuleni😂😂 hapo pako wazi hivyo akiyaMungu haya mambo hata zamani yalitokeaga😂😂 kumbe inakuwa amna lolote akianzisha mtu.mmoja tu neno basi linaenea ila wazazi wanakimbiqga tu wanawasiwasi lazima na.mkuu wa.polisi alishasema ao wanaoanzishaga hizi taharuki watakamatwa kisheria sio nzurii
Mungu tusaidie 😢😢watoto wetu wawe mikono salama tanzania nzima
Hata tuhukumu namna gani, but magufuli alikomesha hali hizi, rip magu 😢😢, wanapanga masuala ya kodi ila usalama wa raia aaaah, Mungu tulindie watoto
Mungu tusaidie kuwa na moyo wahofu ndani yake
Weeee uskie watoto wanachinjwa mzazi Gani atakaa nyumbani atulie😭😭😭😭dah!!!serikali ifuatilie ulinzi na usalama wa wananchi wote kwa ujumla wake.
😂😂 hata.mm.mbio kabisaa weee kama zamani nyonya damu Gari ikitokea shule tu wanafunzi wote mbiooo tunavumuka madarasani kukimbia majumbani
Mungu tusaidie kuwaweka watoto sehemu salama
Kuna kipindi haya mambo hayakuwepo kabisa. Atakae uwa na yy auliwe sio kwenda kula chakula Cha Bure magereza
Hali inazidi kuwa mbaya jaman watot wasio na hatia wanauliwa na serikali inaafumbia macho jaman😢😢😢😢
We mwenyewe serikali 😢😢
Sasa unasena serikali inafumbia macho una uwakika
SubhanaAllah subhanaAllah nini tena huko,
Nahisi Kuna Watu Wachache Wasioitakia Mema Nchi Yetu Wanaleta hii Michezo ya Mibovu ya Kisiasa.
Tena huu mwezi una matukio mengi sana huko temeke vijana wanakamatwa na wanapotezwa kusiko julikana mmmh mitihani sana
Yaani huku mtaani hatuna amani kila siku inatoka taarifa mpya ya watoto kukumatwa na kukatwa viungo vya mwili
Watoto walio chinjwa ni wilaya ya temeke na mbagala , Mungu ndie anajua kila kitu kuhusu usalama wa watoto wetu 😭😭😭
HOME SWEET HOME
shule yangu nilosoma jmn😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Mungu wangu itakuw wamewachinja lbda
😢duh kamkatia simu🙌🙌
Taarifaa zisizoelewekaa wasituletee hapaa preshaaa juuujuuu
Weee 😢😢😢 Kenya haya uameshamiri
Duh Mungu tusaidiane
Hii tabia inatutisha sisi wazazi
Serikali isikalie kimya jambo hili kabisa
Hawataki muingie wasenge tu hao
Hao wako pamoja
Kuna mtoto uku dodoma nyumba 300 amechinjwa ana miaka 6 yni sasa ivi watoto wakuangaria amna kuzurura sasa ivi ni ndani tuh ila iyo ishu ipo kweri jmni police wamekuja wana sema mtoto kaliwa na mbwa ynii mmmhh
Wazaz wameona hapana😢😢
Mmm ilo jiji arudi makondaa
Ni kweli mtt kachinjwa shule ya msimgi mbande kisewe
Uchaguzi unakaribia
saiv kla Mahal naona ayo mambo yapo sjui shda nn sjui kafara
Hii inatokana na watu kutopata malezi ya kumwogopa muumba wa ulimwengu
Shule yangu jaman vingunguti
Mamb
Rip magufuli
Hiii xhle ipo mjin guysss😂😂
Ee MUNGU wetu tunusuru na vizazi vuetu yarabbi
Hizi taarifa za siku hizi kuhusu watoto mimi zinanichanganya kabisaaa.sijui hata wazazi tufanyeje.
Dah mtihan kwa kwel
Jamani uvumi wa ajabu upungue hii sio sawa inavyoonekana ni uongo kabisa. kwani kama kuna mtoto kachinjwa inamaanisha hana familia mama baba au ndugu siwangeshachachamaa tukawaona kua mtot wao kachinjwa. swala la uvumi huo tu
Hujui kinachoendelea wewe....watoto wanauliwa
Upo bushi ndio maana huku kwetu mton kijichii yapo na ushaid upo
Ogopa mtu akisema sijui
Hali nimbaya.kila mtu alinde mtoto.wake
WANAUME MMEKUWAJE MBAKE ,MLAWITI,MUUE MNATAKA WATOTO WAISHI VIPI,
Yani wamebqdilika roho wanaume
@@HanifaOman-oo4placha tu na wanawake hatari wabemenda vitoto vidogo wavioa wao duuuh inahudhunisha sana
Uovu uanza plae mwanamke anapoanza kuua mtoto aliyeko tumboni. Hana silaha wa nini lakini mama Zetu tunadhulumu uhai wa vichanga hûwa vina kosa gani?
Nchi imeooza, amani Kwa watoto hakuna, ulinzi uko wapi, watu wanaua watoto nyinyi mkiwakamata mnawafunga, kwanini msiwaue.
Ni kweli kbsa. We unapeleka mtoto wako shulen au una mtuma dukani, then mtu anakusudia kumuua alafu serikali inakuja kumfunga na kumpa ugali wa bure. Inaumiza sana ingetakiwa mtu kuuwawa on spot
Hii ni hatar sana..haya matukio yameshamir sana mitaani..kila ukikaa unasikia sijui wapi mtoto kafanywa hivi...ni ushuni kwa kweli
Shule utafikiria mabanda
ANAKATA SIMU HIZO NI ZARAU KWA WATANZANIA.. NA NYIE WAANDISHI WAHABARI MNAKATIWA SIMU NA MFANYAKAZI WA UMMA AFU MNAKAA KIMYA TU
Walakini
Nakumbuka mkuu wa mkoa wa arusha alisema ukiona ari ya usalama Kwa mtoto haiko sawa husimlusu kwenda shuleni.
Tahadhar baada ya hatari😂😂
Daaah,, watu mnafuatilia Kwa makini jamanj...aiii aiiii... Nimejikuta nacheka moyoni
😂😂😂
Nikajua Arusha aiseee😂😂😂
😂😂😂😂💔
😂😂😂 kama mimi maana hakuishi matukio
Serikali iingilie kati, Nchi iwe shwari
Waganga wote wanatakiwa wafungwe ndo sbb
Huyo Afisa na wasiwasi km anayajua majukumu yake au hayajui.
Vingunguti kuna mambo
Mhm hii kali😂😂
ila bara Iman. Hamna tena kwa sababu ya pesa tuu usimuamini mtu wa bara kwa pesa kabisaa
Bara yanyoko😏
Hakuna cha bara wala visiwani uaminifu umepungua
😢 jmn..m
😮😢😢
Mtihani mkubwa,
Chunguzeni vzr Kuna Jambo hapa itakuwa kweli Tena Hao wakubwa wa shule ndo wahusika
Zungumz vit ulivyo na uhakik navyo ...
Acha kuropoka upumbavu
Mbona wana lificha !?
Hata cjui niwap tuko kwass,na tunaelekea wap
Nadhani huu utakuwa ni uvumi tu labda!! Sasa wenyewe hawana uhakika wazazi hawa wanakurupuka tuu!!!
wazazi wote hao waswahili hata mtaani watakuwa ni wambea tu wanakuza mambo
Shule niliyosoma hii
😢😢😢
Hii ni michezo ya wahuni kuwapa taharuki,watu wameshafanya mchezo ni kawaida ya wtu hawa wa ovyo kuwakosesha watu amani.Utawasikia panya lodi hao wanakuja,oop mara TRA hao,na maneno kibao muyazoee tu wananchi
Kutokuwa na uelewa tu hao watoto siku zote wanashindaga na nani? Mpka wazazi muanze kuja juu kuchukua watoto shule kwanza ni utovu wa nizamu mmewazarau walezi wa watoto wenu( walimu)
Wako wapi wanawake waombolezaji? Hatuna serikal wala sheria iman potofu zmetawala inatupasa kuomba kwa ajili ya Taifa syo kawaida
Yaan wanawake waombolezaji
Yakenya yamefika tz😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
𝐊𝐚𝐛𝐬𝐚 𝐤𝐮𝐦𝐛𝐞 𝐧𝐚𝐰𝐞 𝐮𝐧𝐚𝐟𝐚𝐭𝐢𝐥𝐢𝐚 𝐦𝐚𝐦𝐛𝐨 𝐳𝐚 𝐰𝐚𝐤𝐞𝐧𝐲𝐚 𝐳𝐢𝐧𝐚𝐭𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐰𝐚𝐥𝐚𝐢 𝐌𝐮𝐧𝐠𝐮 𝐭𝐮𝐮
@@Zuuh4286 huko wallah hakunipiti mungu anusuru familia zetu kenya inatisha
@@Hgd-jk6lh 𝐀𝐦𝐢𝐢𝐧 🤲𝐦𝐢 𝐩𝐢𝐚 𝐧𝐢𝐩𝐨 𝐡𝐮𝐤𝐨 𝐦𝐭𝐢𝐡𝐚𝐧𝐢 𝐰𝐚𝐥𝐚𝐢 😥😥
😔
Watton waliochinjwa ni mbagalaa mbande ukoo hawa wamesikiatu
Hee kumbe tukio limetokea kweli
@@sharifamahamudu182matukio mengi sqna sikuhiI
Vingunguti watano@@sharifamahamudu182
Lisemwaro lipo sasaivi ubinadam aupo
Muingie ndan mukafanyaje na ninyi mushapewa watoto wenu
Andikeni vizur sio madai Kwan watt awafanyiw ukatili kweli
sasa hao watu wanao toa taarifa hizo za uzushi kwa nini hawashughulikiwi?
Police wetu makini tunaomba mmalize hili janga
Yaan watu wanaanzishaga taharuki tu mpaka wazazi wanaogopa amna lolote mtt anachijwaje shuleni😂😂 hapo pako wazi hivyo akiyaMungu haya mambo hata zamani yalitokeaga😂😂 kumbe inakuwa amna lolote akianzisha mtu.mmoja tu neno basi linaenea ila wazazi wanakimbiqga tu wanawasiwasi lazima na.mkuu wa.polisi alishasema ao wanaoanzishaga hizi taharuki watakamatwa kisheria sio nzurii
Unajuwa kweli ulicho ki comment tena unacheka vingunguti leo watoto watano wamechinjwa
@@sharifabahar9905 ndugu yngu kweli jamani mm.nimecheka.nimekumbuka Enzi zetu mashuleni tulikuwa tunakimia magari wabasema nyinya damu tunakimbia toka.madarasanimkurudi nyumbanii..aisee.pokeni kama ni kweli wamechjwaje?
Yan enzi za nyonya damu.... ilikuwaga vurugu jaman...unakimbia ukiona gari limechorwa msalaba mwekundu mbio nyingi huku unalia😢@@rosehaule6765
Wee unakaa masaki hujui sisi mbagala huku ushuuda upo sasa usiseme tu
Shule ya nzasa pia juzi walikamatwa watoto wa 3
Vingunguti watoto watano wamechinjwa
@@sharifabahar9905kwahiyo dada ni kweli😢😢 mw.mungu azid kuwalinda watoto kama ni kweli inahuzunisha sana
Kwanini asijitokeze mzazi WA mtoto aliyechinjwa tujue?
Hii inatokana na watu kutopata malezi ya kumwogopa muumba wa ulimwengu
😢😢😢😢
sasa hao watu wanao toa taarifa hizo za uzushi kwa nini hawashughulikiwi?
Kweli
Juma useme hivyo hali ni mbaya sana kaka watoto wanachinjwa hata sio uzushi
Vingunguti watoto watano awa wanaficha njoo vingunguti leo