TAHARUKI YAIBUKA / MTOTO AUAWA, SEHEMU ZA SIRI ZAKATWA.
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- #itvtanzania #itvdigital #temeke
WATU WASIOJULIKANA WAMEMUUA MTOTO WA MIAKA SITA MWANAFUNZI WA DARASA LA KWANZA KATIKA SHULE YA MSINGI KIZUIANI TEMEKE JIJINI DAR ES SALAAM, NA KISHA WAKAMCHUKUA VIUNGO MBALIMBALI VYA MWILI IKIWEMO SEHEMU YA SIRI
Baba kaongea kweli mseme kiongozi uone lakini mauwaji mnaambiwa watu wasiojulikana
Ee Mungu tunaomba utulindie watoto wetu peke yetu hatuwezi kuwalinda BABA🙏😭😭😭😭, pumzika kwa amani mtoto wetu
😭😭😭🙏mtoto wa mwenzako niwako punzika kwa amani mtoto wetu😭😭
Eee mwenyezi mungu tusaidie tutawaficha wap watoto wetu
MUNGU wanusuru wanangu na watoto wote wa nchi hii ya Tanzania
Maana bila ww kuwalinda ss binadamu/wazazi pekee yetu hakika hatutaweza
Moyo wangu unaumia sana kwa mambo haya ya ukatili 😭😭😭
Amen😢
Poleni wazazi ndugu na marafk roho ya mtoto huy Mungu aiweke mahali pema huko mbinguni
Mwenyezi Mungu tunakuomba utulindie Watoto wetu 🙏 peke yetu hatuwezi
Kweli kabisa baba umeongea ukweli Sana. Hii serikali hii mmmmh mungu tunaomba utusaidie
Uchaguzi umekalibia tukubali tukatae mikatili hii mijitu 😢😢😢
Daah watu makatiri😢pole sn baby girl wetu Allah akupumzishe kwa amani mtt wetu auna makosa wallah
Mm mwenye mtoto tumbo limeanza kukata mungu asaudie watoto wetu Jaman
Mungu ilaze loho ya hyo mtoto mahal pema pepon amen
Watanzania wote jamani tupigeni kelele Kwa Ili Ili selikali ichukue mahamuzi mana Leo mtoto wa mwenzio kesho wako 😭😭😭😭😭
Itabidiyafanyike maandamano
Mwenyez Mungu ailaze roho yake mahal pema
Poleni sana mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigum nenda salama da yusra 😭😭
Mungu atawaliaani hao watu wabaya sana
Amiin 🤲🤲😥😥
😢Yani uku kwetu tunaogopa daah Mungu tulindie watoto wetu
😭😭😭 Poleni Sana jamani ilijanga imeingia mm mwanangu kanusulika kidogo lilikua lijitu shetani lilimkamata mwanangu nakumtia migumi lakininamshukuru mungu adi apa ninaposema aka tokea msabaria mwema akamuona akakimbia msabaria mwema akamuokota mwanangu na kumpeleka nyumbani kwangu🙏🙏🙏 jamani tupaze saut tuandamane ilijambo lipo haswa 🤦🤦🥺🥺mungu tu nakuomba utuondolee ili janga🤲🤲🤲
Mungu awalinde watoto wote
Allah Ndio Hakimu wa haki... HasbiAllahu waneemal wakil
😭😭😭😭poleni sana wazazi waYusra kwa kumpoteza mtoto wenu mpendwa Mungu wa mbinguni awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu mlichonacho.R.I.P Yusra
Mungu waangamize white wanaofanya hiv
mungu tusaidie raia wote Tanzania
Inalilah wainailah rajiun 😢😢polen wafiwa machungu ya asimwe bado hayajatuisha leo tena hili yn waliofanya/ aliefanya hich kitendo tunajua wanaona na kuckia hii dhambi haita waacha salama machoz ya wazazi wake hayawez kudondoka bure mungu atajibu polen wafiwa damu ya mtu haipotei bure 😢
Mambo y Kenya yanakuja had huku jmn kutekwa watt jmn tumekosa nn jmn 😭 Mungu baba tusaidie Wanao na utulindie watt wetu wanapotoka nyumbn na kurud mashulen
Mmmh polee sana mama wamtoto watu watu tunaroho mbya jmn
Mwenyezi Mungu walinde na uwatunze wanetu.
Ushilikina huuu mungu anawaona wanayoyafanya haya
Kila cku mnasema ndio mnatafuta wananch ila hamuwapat lakini ukimtukana kiongoz hapo cku ni moja ya pili umepatikana
Ivi hii nchi imeshindwa kuthibiti mambo kama haya mpeni nchi rc makonda . yote haya hayatasikika
subhanallah yaarab mpe haki yake mtoto huyu kwa kupatikana wauwaji na wao wakipatika wauawe wakatwe sehem zte washenz makatili ila ata wakipatikana wataekwa ndani watatolewa
polen sanaa wazazi nanwalezi mung awepe subr
Kiukweli wanatuumiza sana saana
Hii ishu ipo Kenya 🇰🇪sana watoto wanauwawa wanatolewa figo main sehem za siri.. jamn mama samia tusaidie hii tabia itokomezwe 😢
😢😢😢kweli naona you tube
Kweli baba kasema ukweli ukimtukana kiongozi hata ujifukie ndani ya aridhi utafukuliwa Ila Tanzania. Mungu mpumzishe mtoto huyu mahala pema
Mungu simama nawatoto wetu uwalinde emungu tusaidie😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
Eeeh Mungu wangu tenda jambo jamani
Polen sana na msiba wariofanya hayo ealaniwe
Mungu amlaze maali pema
Ina Uma Sana poleni sana mwenyezi mungu ailaze loho hake mahali pema peponi inalilah wainalilahi laijiun
Mungu amlazee mali pema mung atamwazibu alie tenda ivyooo😂😂😂😂😂
Jamani tunaelekea wapi? Mungu tusaidie !
Poleni jamani hililimekuwa janga la taifa
Pumzika mahali pema mwanangu
NI KWELI BABA ALICHO KISEMA HII NCHI NIYAABU SANA HAO WAUUWAJI WAKAMATWE WACHINJWE KAMA KUKU NI WAKATILI SANA JAMAN MUNGU TULINDIE WATOTO WETU HII HATARI SANA INASIKITISHA KABISA
Nchi ya aibu Sana hii.Mambo ya kipumbavu Sana yanafanyika.Ni kama nchi inayohusudu Usirikina.Mungu aingilie Kati mambo ya kishenzi kama hao maana polisi wameshindwa.
Jamani mambo gani hayatunatendeana EE M/Mungu tukinge bahaha matukio
Mngu amuweke mhli pma amtngnye na wma Ameen
Jaman watoto wetu wamekosa nn
Allah atajibu
😢😢😢😢😢😢 inaumiza jamni ndo maana Kenya wanaandama
Polen San jmn wazazii mungu atuepushee jmn. Tuwalindee watoto
Daah Atar
Sahiv iman za kishilikiana wanatoa viungo jaman mungu tusaidie
Pumzika Kwa aman Mdogo angu
utasikia matukio hayo hamna jamni hatari sana
Poleni kwa msiba huo , Dunia hasaiv imeisha
Pumzik kwa aman mung akuwek mahal salam
Mungu mlaze mahali pema pepon mtot huyu jamani
Waziri wa mambo ya ndani vp mbona matukio mengi ivi nawewe upo kimya
Utaskia hawaja patikana yani angetukanwa raisi ungeskia tayari alie mtusi amesha kamatwa jamani ikiwa kunaanae hisiwa au mmoja kati yao akikamatwa tunaomba tupewe ruhusa ya kumshambulia mpaka afe
Tuchukuwe sheriya mikono ni sahi uliza alibadili takatifu wote walo husika wamumutika sahiyo hiyp
Poleni sana😢😢😢
Ila agetukanwa rais so watu wangejulikana😭😭😭😭 pumzika Kwa amani
Poleni sana ndugu zetu
Yani ni kweli nchi yetu tukana kiongozi iseme serekali dk 0 umeshikwa lkn mauwaji kila kukucha wtt vijana wauwaji hawajuilikani utasema nchi haina vyombo vya usalama haina viongozi kimyaaaa hakuna ht kukemea
Hebu hukumu ya kunyongwa hadharani irejeshwe kwa wahalifu kama hawa pengine yatapungua haya
ivi nyinyi nin kaziyen au kwakua so watoto wenu
Mumgu amrehum ,,, uwapunguzie uchungu na awape moyo wa subra ndgu na jamaa
eeeeh mungu tunusuru die waja wako tanapoerekea bura kama kishuke2
😮poleni sana
Poleni sana jamani
Mmmmh kweli wanadamu
Kwa hal hii tutafika kweli huu ni ukatili wa kutsha
Jamani mbona binaadamu tumekua washenzi heriya wanyama
Yani kuna wakati mbka chakuandika nakosa 😭😭😭
Alafu Kuna Kamanda wa Ilala anasema ni Uzushi kuna watu wanataka kuchafua Nchi yani hii serikali sijui vipi
Sasa kamanda unatumbia hamna kitu km Nicholas. Hivi nyie polisi mna agenda nao? Kamanda wa polisi tuna mashaka
Jamniii
Dah 😢
Dah
Jamani hii nchi ina Waziri wa mambo ya ndani na IGP kweli??
Taiga mnyama
Innalilah wainna ilaih lajiun allah awaazibu hao wanaofanya hivyo
Jamani inauma sana😭😭😭😭😭
Inalilah wainalilah
Innah lillahi wainnah ilayhi rrajuun 😢😢😢 lah ilaha illah llah ☝️
Huyo mtu ni wa karibu kabisa
Kama marehem hamjui, mhalifu asingemuuwa
hii michezo imeshaingia tayari na inaonekana wapo sirious. Ni vita kwetu na vita ni kuikabili. tuungane jamani hawa watu tutawashinda tu. Elimu zitolewe kwa familia na jamii katika vyombo vya habari ili kuwalinda watoto na kuwapa tahadhali. Ni kipindi chake hiki shetani
Polen
Nauliza sio kwa ubaya, kwani Kurujuwan hazifanyi kazi siku hizi?
SIMBA
Dunia hii inasiri kubwa mno dah! Yaani mtu anakutana na mwezake wanafanya tendo kwa furaha, lile tendo linaleta mtoto aliyetunzwa miezi tisa tumboni na kulelewa kwa kulishwa na kuvishwa ili akue mkubwa aje kuua mtoto wa mwingine? Dah. Laiti kama tungelikua tunajua mbele zetu sijui ingekuaje.!
Baba kaongea kweli jmni ivi kwann lakini
Subhanalaalh
😢
Eee Mungu wangu....jamani tunaenda wapi.tunazidiwa na wanyama.shetani gani alyeingia kwenye mioyo ya watu.Loooh......!!!!
Simba's
Poleni sana
Wananchi muwe mnashirikiana msiwategemee polisi kazi Yao ni kulinda viongozi wizara Haina meno tena