TAHARUKI YAIBUKA / MTOTO AUAWA, SEHEMU ZA SIRI ZAKATWA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • #itvtanzania #itvdigital #temeke
    WATU WASIOJULIKANA WAMEMUUA MTOTO WA MIAKA SITA MWANAFUNZI WA DARASA LA KWANZA KATIKA SHULE YA MSINGI KIZUIANI TEMEKE JIJINI DAR ES SALAAM, NA KISHA WAKAMCHUKUA VIUNGO MBALIMBALI VYA MWILI IKIWEMO SEHEMU YA SIRI

Комментарии • 133

  • @Rehemamakuka
    @Rehemamakuka 2 месяца назад +37

    Baba kaongea kweli mseme kiongozi uone lakini mauwaji mnaambiwa watu wasiojulikana

  • @JacquelineKinyonge
    @JacquelineKinyonge 2 месяца назад +9

    Ee Mungu tunaomba utulindie watoto wetu peke yetu hatuwezi kuwalinda BABA🙏😭😭😭😭, pumzika kwa amani mtoto wetu

  • @Yassinseleman
    @Yassinseleman 2 месяца назад +21

    😭😭😭🙏mtoto wa mwenzako niwako punzika kwa amani mtoto wetu😭😭

  • @farajaphilipo8844
    @farajaphilipo8844 Месяц назад +7

    Eee mwenyezi mungu tusaidie tutawaficha wap watoto wetu

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 Месяц назад +9

    MUNGU wanusuru wanangu na watoto wote wa nchi hii ya Tanzania
    Maana bila ww kuwalinda ss binadamu/wazazi pekee yetu hakika hatutaweza
    Moyo wangu unaumia sana kwa mambo haya ya ukatili 😭😭😭

  • @LEONARDGWALUGWA
    @LEONARDGWALUGWA 4 дня назад

    Poleni wazazi ndugu na marafk roho ya mtoto huy Mungu aiweke mahali pema huko mbinguni

  • @MaryKafuku
    @MaryKafuku Месяц назад +2

    Mwenyezi Mungu tunakuomba utulindie Watoto wetu 🙏 peke yetu hatuwezi

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl Месяц назад +2

    Kweli kabisa baba umeongea ukweli Sana. Hii serikali hii mmmmh mungu tunaomba utusaidie

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9y 2 месяца назад +10

    Uchaguzi umekalibia tukubali tukatae mikatili hii mijitu 😢😢😢

  • @kiehbhzh7044
    @kiehbhzh7044 2 месяца назад +2

    Daah watu makatiri😢pole sn baby girl wetu Allah akupumzishe kwa amani mtt wetu auna makosa wallah

  • @IreneShadrack-p6c
    @IreneShadrack-p6c Месяц назад +2

    Mm mwenye mtoto tumbo limeanza kukata mungu asaudie watoto wetu Jaman

  • @DenisKahwa-e8n
    @DenisKahwa-e8n Месяц назад +4

    Mungu ilaze loho ya hyo mtoto mahal pema pepon amen

  • @user-hq9ul8dt4k
    @user-hq9ul8dt4k Месяц назад +7

    Watanzania wote jamani tupigeni kelele Kwa Ili Ili selikali ichukue mahamuzi mana Leo mtoto wa mwenzio kesho wako 😭😭😭😭😭

  • @sophiarema2338
    @sophiarema2338 2 месяца назад +3

    Mwenyez Mungu ailaze roho yake mahal pema

  • @aishasalum4460
    @aishasalum4460 2 месяца назад +2

    Poleni sana mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigum nenda salama da yusra 😭😭

  • @BintiMtambike-gy3uh
    @BintiMtambike-gy3uh 2 месяца назад +4

    Mungu atawaliaani hao watu wabaya sana

  • @LaizerChionda-de6ul
    @LaizerChionda-de6ul 2 месяца назад +2

    😢Yani uku kwetu tunaogopa daah Mungu tulindie watoto wetu

  • @AmenaJeogh
    @AmenaJeogh Месяц назад +3

    😭😭😭 Poleni Sana jamani ilijanga imeingia mm mwanangu kanusulika kidogo lilikua lijitu shetani lilimkamata mwanangu nakumtia migumi lakininamshukuru mungu adi apa ninaposema aka tokea msabaria mwema akamuona akakimbia msabaria mwema akamuokota mwanangu na kumpeleka nyumbani kwangu🙏🙏🙏 jamani tupaze saut tuandamane ilijambo lipo haswa 🤦🤦🥺🥺mungu tu nakuomba utuondolee ili janga🤲🤲🤲

  • @wasafisong8471
    @wasafisong8471 Месяц назад +2

    Mungu awalinde watoto wote

  • @mfungonishauri4234
    @mfungonishauri4234 2 месяца назад +2

    Allah Ndio Hakimu wa haki... HasbiAllahu waneemal wakil

  • @ElizaMwandu
    @ElizaMwandu Месяц назад +1

    😭😭😭😭poleni sana wazazi waYusra kwa kumpoteza mtoto wenu mpendwa Mungu wa mbinguni awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu mlichonacho.R.I.P Yusra

  • @OmaliImba
    @OmaliImba Месяц назад +3

    Mungu waangamize white wanaofanya hiv

  • @kale_maga
    @kale_maga 27 дней назад

    mungu tusaidie raia wote Tanzania

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 2 месяца назад +3

    Inalilah wainailah rajiun 😢😢polen wafiwa machungu ya asimwe bado hayajatuisha leo tena hili yn waliofanya/ aliefanya hich kitendo tunajua wanaona na kuckia hii dhambi haita waacha salama machoz ya wazazi wake hayawez kudondoka bure mungu atajibu polen wafiwa damu ya mtu haipotei bure 😢

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 2 месяца назад +2

    Mambo y Kenya yanakuja had huku jmn kutekwa watt jmn tumekosa nn jmn 😭 Mungu baba tusaidie Wanao na utulindie watt wetu wanapotoka nyumbn na kurud mashulen

  • @SalomeJoseph-b9r
    @SalomeJoseph-b9r Месяц назад

    Mmmh polee sana mama wamtoto watu watu tunaroho mbya jmn

  • @syliviasimon8415
    @syliviasimon8415 Месяц назад +1

    Mwenyezi Mungu walinde na uwatunze wanetu.

  • @chidrashid3797
    @chidrashid3797 Месяц назад +2

    Ushilikina huuu mungu anawaona wanayoyafanya haya

  • @MariamKileo-mu8rv
    @MariamKileo-mu8rv Месяц назад +3

    Kila cku mnasema ndio mnatafuta wananch ila hamuwapat lakini ukimtukana kiongoz hapo cku ni moja ya pili umepatikana

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm Месяц назад +2

    Ivi hii nchi imeshindwa kuthibiti mambo kama haya mpeni nchi rc makonda . yote haya hayatasikika

  • @user-fo5my5pe3b
    @user-fo5my5pe3b 2 месяца назад +2

    subhanallah yaarab mpe haki yake mtoto huyu kwa kupatikana wauwaji na wao wakipatika wauawe wakatwe sehem zte washenz makatili ila ata wakipatikana wataekwa ndani watatolewa

  • @user-ye2dd9rc8x
    @user-ye2dd9rc8x 28 дней назад

    polen sanaa wazazi nanwalezi mung awepe subr

  • @AmidaAmidamasinga
    @AmidaAmidamasinga Месяц назад

    Kiukweli wanatuumiza sana saana

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s 2 месяца назад +2

    Hii ishu ipo Kenya 🇰🇪sana watoto wanauwawa wanatolewa figo main sehem za siri.. jamn mama samia tusaidie hii tabia itokomezwe 😢

    • @HusnaSharifu
      @HusnaSharifu Месяц назад

      😢😢😢kweli naona you tube

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma 25 дней назад

    Kweli baba kasema ukweli ukimtukana kiongozi hata ujifukie ndani ya aridhi utafukuliwa Ila Tanzania. Mungu mpumzishe mtoto huyu mahala pema

  • @TedyDaudy-c8t
    @TedyDaudy-c8t Месяц назад

    Mungu simama nawatoto wetu uwalinde emungu tusaidie😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏

  • @madelynillu3818
    @madelynillu3818 2 месяца назад +4

    Eeeh Mungu wangu tenda jambo jamani

  • @DoricasJeremia
    @DoricasJeremia Месяц назад

    Polen sana na msiba wariofanya hayo ealaniwe

  • @mwanarusiamri9875
    @mwanarusiamri9875 Месяц назад +1

    Mungu amlaze maali pema

  • @RichardZachalia-ph3ot
    @RichardZachalia-ph3ot 2 месяца назад

    Ina Uma Sana poleni sana mwenyezi mungu ailaze loho hake mahali pema peponi inalilah wainalilahi laijiun

  • @NadyaMohammed-i2n
    @NadyaMohammed-i2n Месяц назад +1

    Mungu amlazee mali pema mung atamwazibu alie tenda ivyooo😂😂😂😂😂

  • @DanfordBetwel
    @DanfordBetwel Месяц назад +1

    Jamani tunaelekea wapi? Mungu tusaidie !

  • @tatupita8745
    @tatupita8745 Месяц назад +2

    Poleni jamani hililimekuwa janga la taifa

  • @saidomar3291
    @saidomar3291 Месяц назад +2

    Pumzika mahali pema mwanangu

  • @abiyafocus6992
    @abiyafocus6992 2 месяца назад +2

    NI KWELI BABA ALICHO KISEMA HII NCHI NIYAABU SANA HAO WAUUWAJI WAKAMATWE WACHINJWE KAMA KUKU NI WAKATILI SANA JAMAN MUNGU TULINDIE WATOTO WETU HII HATARI SANA INASIKITISHA KABISA

  • @dassustephen731
    @dassustephen731 Месяц назад +1

    Nchi ya aibu Sana hii.Mambo ya kipumbavu Sana yanafanyika.Ni kama nchi inayohusudu Usirikina.Mungu aingilie Kati mambo ya kishenzi kama hao maana polisi wameshindwa.

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t 2 месяца назад

    Jamani mambo gani hayatunatendeana EE M/Mungu tukinge bahaha matukio

  • @modiseradi2
    @modiseradi2 Месяц назад

    Mngu amuweke mhli pma amtngnye na wma Ameen

  • @PatrickDavid-l3p
    @PatrickDavid-l3p Месяц назад +2

    Jaman watoto wetu wamekosa nn

  • @Latifa123Latifa12
    @Latifa123Latifa12 Месяц назад +2

    Allah atajibu

  • @user-tt1nk8hd8d
    @user-tt1nk8hd8d Месяц назад +1

    😢😢😢😢😢😢 inaumiza jamni ndo maana Kenya wanaandama

  • @SaraphinaMbepwa
    @SaraphinaMbepwa 2 месяца назад

    Polen San jmn wazazii mungu atuepushee jmn. Tuwalindee watoto

  • @ENETHALUTE-n6p
    @ENETHALUTE-n6p Месяц назад

    Daah Atar

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s 2 месяца назад

    Sahiv iman za kishilikiana wanatoa viungo jaman mungu tusaidie

  • @SheddySteven-z1c
    @SheddySteven-z1c Месяц назад

    Pumzika Kwa aman Mdogo angu

  • @catherinetadei8870
    @catherinetadei8870 Месяц назад +1

    utasikia matukio hayo hamna jamni hatari sana

  • @WitnesMugabe
    @WitnesMugabe 2 месяца назад

    Poleni kwa msiba huo , Dunia hasaiv imeisha

  • @LatifaJuma-ew2yw
    @LatifaJuma-ew2yw 2 месяца назад +1

    Pumzik kwa aman mung akuwek mahal salam

  • @BeatriceJackson-ev2ke
    @BeatriceJackson-ev2ke 11 дней назад

    Mungu mlaze mahali pema pepon mtot huyu jamani

  • @OmariNgurangwa
    @OmariNgurangwa 2 месяца назад +1

    Waziri wa mambo ya ndani vp mbona matukio mengi ivi nawewe upo kimya

  • @abiyafocus6992
    @abiyafocus6992 2 месяца назад +1

    Utaskia hawaja patikana yani angetukanwa raisi ungeskia tayari alie mtusi amesha kamatwa jamani ikiwa kunaanae hisiwa au mmoja kati yao akikamatwa tunaomba tupewe ruhusa ya kumshambulia mpaka afe

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 2 месяца назад +1

    Tuchukuwe sheriya mikono ni sahi uliza alibadili takatifu wote walo husika wamumutika sahiyo hiyp

  • @majumamusa8972
    @majumamusa8972 Месяц назад

    Poleni sana😢😢😢

  • @user-bc8yk5ot7u
    @user-bc8yk5ot7u Месяц назад

    Ila agetukanwa rais so watu wangejulikana😭😭😭😭 pumzika Kwa amani

  • @TatuNsalamba
    @TatuNsalamba Месяц назад

    Poleni sana ndugu zetu

  • @ZalkhaRawahi
    @ZalkhaRawahi 2 месяца назад +1

    Yani ni kweli nchi yetu tukana kiongozi iseme serekali dk 0 umeshikwa lkn mauwaji kila kukucha wtt vijana wauwaji hawajuilikani utasema nchi haina vyombo vya usalama haina viongozi kimyaaaa hakuna ht kukemea

  • @SuhailaAbdallah-t5d
    @SuhailaAbdallah-t5d Месяц назад

    Hebu hukumu ya kunyongwa hadharani irejeshwe kwa wahalifu kama hawa pengine yatapungua haya

  • @BenardSadani
    @BenardSadani Месяц назад

    ivi nyinyi nin kaziyen au kwakua so watoto wenu

  • @SomoeKhasani-q6x
    @SomoeKhasani-q6x 2 месяца назад +1

    Mumgu amrehum ,,, uwapunguzie uchungu na awape moyo wa subra ndgu na jamaa

  • @NasmaFatuma
    @NasmaFatuma Месяц назад

    eeeeh mungu tunusuru die waja wako tanapoerekea bura kama kishuke2

  • @NasriSuleiman-pj4tw
    @NasriSuleiman-pj4tw Месяц назад

    😮poleni sana

  • @AmidaAmidamasinga
    @AmidaAmidamasinga Месяц назад

    Poleni sana jamani

  • @SheddySteven-z1c
    @SheddySteven-z1c Месяц назад

    Mmmmh kweli wanadamu

  • @PiliDenyamauti
    @PiliDenyamauti 17 дней назад

    Kwa hal hii tutafika kweli huu ni ukatili wa kutsha

  • @AminiKanda-vc1pn
    @AminiKanda-vc1pn 2 месяца назад +1

    Jamani mbona binaadamu tumekua washenzi heriya wanyama

  • @JoyceMkeka
    @JoyceMkeka Месяц назад

    Yani kuna wakati mbka chakuandika nakosa 😭😭😭

  • @nassersadiki5442
    @nassersadiki5442 Месяц назад

    Alafu Kuna Kamanda wa Ilala anasema ni Uzushi kuna watu wanataka kuchafua Nchi yani hii serikali sijui vipi

  • @CharlesMwakaligita
    @CharlesMwakaligita Месяц назад

    Sasa kamanda unatumbia hamna kitu km Nicholas. Hivi nyie polisi mna agenda nao? Kamanda wa polisi tuna mashaka

  • @HappyDaudi-hl7rt
    @HappyDaudi-hl7rt Месяц назад

    Jamniii

  • @irenematata
    @irenematata Месяц назад

    Dah 😢

  • @mariagrayson5414
    @mariagrayson5414 Месяц назад

    Dah

  • @kagombaEnok
    @kagombaEnok 2 месяца назад +1

    Jamani hii nchi ina Waziri wa mambo ya ndani na IGP kweli??

  • @kregMika-d5g
    @kregMika-d5g 7 дней назад

    Taiga mnyama

  • @user-bq6cn9pq6t
    @user-bq6cn9pq6t Месяц назад

    Innalilah wainna ilaih lajiun allah awaazibu hao wanaofanya hivyo

  • @StellaPendaeli
    @StellaPendaeli 2 месяца назад +1

    Jamani inauma sana😭😭😭😭😭

  • @Mtengwa-vi8rv
    @Mtengwa-vi8rv Месяц назад

    Inalilah wainalilah

  • @HaniferMwiru-wn9wq
    @HaniferMwiru-wn9wq 2 месяца назад

    Innah lillahi wainnah ilayhi rrajuun 😢😢😢 lah ilaha illah llah ☝️

  • @dazuujuma778
    @dazuujuma778 2 месяца назад

    Huyo mtu ni wa karibu kabisa
    Kama marehem hamjui, mhalifu asingemuuwa

  • @shortverses1604
    @shortverses1604 2 месяца назад

    hii michezo imeshaingia tayari na inaonekana wapo sirious. Ni vita kwetu na vita ni kuikabili. tuungane jamani hawa watu tutawashinda tu. Elimu zitolewe kwa familia na jamii katika vyombo vya habari ili kuwalinda watoto na kuwapa tahadhali. Ni kipindi chake hiki shetani

  • @user-bl5gv1tp1h
    @user-bl5gv1tp1h Месяц назад

    Polen

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 Месяц назад

    Nauliza sio kwa ubaya, kwani Kurujuwan hazifanyi kazi siku hizi?

  • @KastuliBaqary-jm1jj
    @KastuliBaqary-jm1jj Месяц назад

    SIMBA

  • @RAHIMAWAZIRI-ik2kq
    @RAHIMAWAZIRI-ik2kq 2 месяца назад

    Dunia hii inasiri kubwa mno dah! Yaani mtu anakutana na mwezake wanafanya tendo kwa furaha, lile tendo linaleta mtoto aliyetunzwa miezi tisa tumboni na kulelewa kwa kulishwa na kuvishwa ili akue mkubwa aje kuua mtoto wa mwingine? Dah. Laiti kama tungelikua tunajua mbele zetu sijui ingekuaje.!

  • @wasafisong8471
    @wasafisong8471 Месяц назад

    Baba kaongea kweli jmni ivi kwann lakini

  • @ZuwenaSalim-c2f
    @ZuwenaSalim-c2f 2 месяца назад

    Subhanalaalh

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Месяц назад

    😢

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 2 месяца назад +1

    Eee Mungu wangu....jamani tunaenda wapi.tunazidiwa na wanyama.shetani gani alyeingia kwenye mioyo ya watu.Loooh......!!!!

  • @EphraimYesay-ny7no
    @EphraimYesay-ny7no Месяц назад

    Simba's

  • @BintiAboubakari
    @BintiAboubakari Месяц назад

    Poleni sana

  • @user-fw3jq3ff5s
    @user-fw3jq3ff5s Месяц назад

    Wananchi muwe mnashirikiana msiwategemee polisi kazi Yao ni kulinda viongozi wizara Haina meno tena