Mungu wangu hadi mwili unasisimka daaaah hata huruma huna we kaka muuwaji daaah ulaaniwe na mungu polc mmefanys kazi nzur sana hongereni yaana sasa hivi unakaa unamuogopa binadamu mwenzio daaah poleni wafiwa inauma sana jamani acheni roho mbaya na ukatili
Pole sana afande naona waongea kwa hisia sana hili tukio sio la kawaida katika jamii yetu ya watanzania huyo muuji apate adhabu kali sana ikiwezekana nayeye auwawe
Daah 😭😭😭😭😭Mungu amlaze mahali pema peponi, Ushauli wangu kwa jeshi la polisi wanaoua na wao wapewe adhabu kali sana ili iwe fundisho kwa wengine, Mungu hiondoshee tanzania roho za kikatili
Matukio ya ajabu yamefululiza sana matukio ya kuuwana tu mala kubaka watoto wadogo Mungu muumba wa mbingu na nchi TANZANIA tunakuhtaj utupe aman ya kweli umoja na ushikamano kwa jina la Yesu amen
Pole sana Afande na kazi njema. Ila kwa kuwapa taarifa tuu ni kwamba America makanisa huwa yanalindwa na polisi wakati waumini wakiwa kanisani kwa usalama zaid. Hivyo na Tanzania mfanye hivyo kuwalinda waumini.
Safi kabisa lkn ulinzi ni wakati wa ibada tu au muda wote? yaani 24hrs 7 days na je ni makanisa tu yalindwa huko America au nyumba zingine za ibada ambazo si kanisa? Mf misikiti , synagogue
Mungu atukumbuke wana damu maana maasi yamekuwa mengi Yesu kristo mfalme wa haki, mtawala wa amani njoo sasa kwa sababu tumechoka namatukio ya duniani.
Asante sn afande, uko vizur. Yaani umeelezea kiungwana japo kwa majonz na masikitiko makubwa kulingana na tukio lenyewe na mazingira. It pains deeply. Asante kwa kukazia kuwa, "EPUKENI KUSHADADIA MANENO YA KUSIKIA". Hili limekuwa janga la kitaifa na linazid kushka kasi na kuota mizz. Kuna wanaoteseka sana kutokana na maneno ya uzushi. Mungu atupe kiasi kwa kila jambo.
Nimempenda bwana AFANDE anazungumza Kama mwandishi wahabari❤❤
Poleni jeshi la polic kwa kazi ngumu, pia pole kwa Familia, na watanzania sote tuwe pole maana hivi vifo vinatuliza kila itwayo Leo.
Jamani afande pole sana unaonyesha umeumizwa zaidi hadi kuongea shida pole baba angu afande na familia yake
Daah afande kaongea kwa uchungu sana
Daaa polisi hongeren kwa kazi nzuri sheria ifate mkondo
Hongera afande kwa Kazi nzuri. Muoneshenu huyo mtuhumiwa afahamike na Wananchi.
Shikamooo kamanda kwa kazi nzr. Ila wewe ni zaidi ya police 🤣🤣🤣 .Ila unafaa kuigiza pia
Punguza fujo
Hivi si wamsagesage huyo aliyemuua mwenzake jamani auawe na yeye hivohivo
S2S2@jestinabenedict4620@@jestinabenedict4620
Mbaya sana hii cjui binadam tumekuwaje mungu tu atusamehe kwakwel
Mungu wangu hadi mwili unasisimka daaaah hata huruma huna we kaka muuwaji daaah ulaaniwe na mungu polc mmefanys kazi nzur sana hongereni yaana sasa hivi unakaa unamuogopa binadamu mwenzio daaah poleni wafiwa inauma sana jamani acheni roho mbaya na ukatili
Pole sana afande naona waongea kwa hisia sana hili tukio sio la kawaida katika jamii yetu ya watanzania huyo muuji apate adhabu kali sana ikiwezekana nayeye auwawe
Kwa nini yy ameua hlf yy isiwezekane kuuawa. Yàani anyongwe hadi kufa.
Hongera kamanda kazi nzuri kweli mapepo na mashetani yana leta vifo uko sahihi
Huyu Afande noma sana kwa haya maelezo hadi ni mesahau kama ni tukio la mauaji
Kwa kweli nimejikuta nacheka kama mazuri ety pigo la pili ndolilomuua dah
Jmn 😂 ila watu mpk umenifanya nicheke utafikr mazur
Duuh inatisha Sana hongera kama kwa kuifanya hii kazi kwa wered wa Hali ya juu Sana mpaka mtuhumiwa amepatikana
Et Chuma !!akamuongezea chuma kingne mh hii Nchi yetu jmn kila sehem Mauaji ya kutisha eeh Mungu tuokoea Watanzania tuwe na Hofu ya Mungu..
Hongera kamanda kwa kuripoti vizuri tukio.
Afande unafaa sana umechukuwa nafasi ya mstaafu kamanda muroto yani umeiziba kabisa 😄😄
Daaahhh amemkatakat kam ngo'mbe wa buchan, kwanz huy binadam au mnyam hatar . Askar umetutolea huzun jins unavoeleza tukio nice expression
Dahhh😢😢🥺sidhani kama ni mara ya kwanza kuua huyo jamaa. Na nahisi anafurahia kuua😢😢
Pepo
Yani nimekwelewa vinzuri sana asante kwakazi nzuri sana
Daah 😭😭😭😭😭Mungu amlaze mahali pema peponi, Ushauli wangu kwa jeshi la polisi wanaoua na wao wapewe adhabu kali sana ili iwe fundisho kwa wengine, Mungu hiondoshee tanzania roho za kikatili
Jaman Yani sahivi kuuuana ni kama kawaida tu watu hawaogopi jaman
Dada mimi naona wauliwe
😭😭😭😭😭😭
Upo elz jmn
Asante sana police kwa kazi nzur mlizozifanya
Mungu naomba niepushie hiyo roho chafu🙏Mungu akiamua kukuabisha hufiki mbali
Kabsa
Pole sana Afande na job nzuri, safi.....
Ahsante baba unaongea kwa uchungu mno baba ,,sukuma ndani uyo jambazi afai
Hongereni sana kwa kz nzuri mungu awabariki
Polisi hongelen mungu awabarki kwa kazi nzur
Mungu okowa Nchi yetu kila Leo Mauaji. Tumemkosea Mungu Tunaitaji toba ili tupone🙏
Hakika Tunahitaji Kutubu Toba Ya Kweli😭😭😭
Huyo bwana anyongwe kabisa
Mungu awabariki amani itawale. Maaskari hongereni
Nimempenda bwana AFANDE anazungumza Kama mwandishi wahabari
MASHA ALLAH KHEIR RPC KAMANDA HAMISI KONGOLE SANA NA VIJANA WAKO UPO VIZURI SANA
Jaman ubinadamu ni kazi poleni sana afande kwa kanzi ngumu
Hongereni sanaa
Serikeli iweke sheria uki uwa basi na ww upigwe risasi adharani uone kama mauwaji haya taisha ila mtu anauwa anajuwa anakwenda jela kula nakulala bure
Kwel kabisa
Jaman hii nchi imekuwa ngumu sana 😭😭😭😭
Dah jamn kamuuw mwenziwe namn hii huyu s bnadamu alomuuwa mwenziwe anyongwe kabisaa asiwekwe ndan dahh😭😭😭
Asante kwa kazi ya porisi muliyoifanya
Dunia imeisha ni nyakati za mwisho Mungu atusaidie
Subhana Allah. Upo vzr ktk kueleza
Uwiii Mungu tunusuru na haya majanga uyo muuaji sio wa kubaki jamani serikali iingilie kati😥😭😭
Jaman! Daaaaaah poleni sana
We ni comedy au kamanda🤭🤭😱😱
😂😂
Jamani,jamani,tunaenda wapi mungu tuepushe na hii roho ya mauti💔🙆😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤔
Jamani tanzania kila siku mauwaji tuende wapi????
Mbarikiwe sana jesh la polis kwa kaz nzr mungu awatie nguv
Hongereni Sana police mpo fasta sana
Emungu tusaidi jaman mtumishi wa mungu unafanya mauaji jama 😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Akiwa Gerezani atubu Dhambi zake mbele ya Mungu Baba" hii dunia imezeeka mauji kila kukicha na itegemea Mbingu mpya na Nchi mpya.😭😭😭😭😭😭😭
Hakuna Toba yamuuwaji huyo auliwetu
Jamnii hongeren police kazi yenu ni njema
Matukio ya ajabu yamefululiza sana matukio ya kuuwana tu mala kubaka watoto wadogo Mungu muumba wa mbingu na nchi TANZANIA tunakuhtaj utupe aman ya kweli umoja na ushikamano kwa jina la Yesu amen
Vituk
SUBHANALLAH😭😭😭
Pole sana kamanda.
Ma askar mnakaz ngumu Sana mungu awalinde yni hii kaz hii nisingeweza ya upolice uwiii
😢😢😢😢 wayu wanaroho kama za wanyama ndugu wa marehemu poleni sana mungu awalinde
Aiiii jamani Ghaiii 😳😳😳😳🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️mnasema nini,hii dunia ni kama Mungu alirudi kitambo akachukua wengine tukabaki wale wabaya
Kamanda ni nimekuelewa unaupiga mwing hongera sana
Safi sana kamanda upo vizuri kuliko alfred masako
Pole sana Afande na kazi njema. Ila kwa kuwapa taarifa tuu ni kwamba America makanisa huwa yanalindwa na polisi wakati waumini wakiwa kanisani kwa usalama zaid. Hivyo na Tanzania mfanye hivyo kuwalinda waumini.
Safi kabisa lkn ulinzi ni wakati wa ibada tu au muda wote? yaani 24hrs 7 days na je ni makanisa tu yalindwa huko America au nyumba zingine za ibada ambazo si kanisa? Mf misikiti , synagogue
Eeeeeeee mwenyezi mungu tusaidie nautuepishe nahizi roho 😭😭😭😭😭😭
Jamani binadamu tumekuwa kama wanyama,....Mungu atusaidie.
Mungu atukumbuke wana damu maana maasi yamekuwa mengi Yesu kristo mfalme wa haki, mtawala wa amani njoo sasa kwa sababu tumechoka namatukio ya duniani.
Pole sana
Ndashangaa Polis wakisema uchunguzi unaendelea Mtuhumiwa ahukumiwe chapu
Toka nione asikali huyu ni wa pekee unge kuwa kalibu ninge kupa tano ya soda Kazi nzur jaman ❤😢
Jamani tunaelekea Wapi sisi wanadamu mungu tujalie mwisho mwema
Tanzania nakupenda sana ila naomba nikuhamee😢😢😢
Hakika wanadamu tumepoteza hofu ya Mungu mioyoni mwetu Mungu tunakuomba utusikie vilio vyetu,uwiiiiiiiiiiiii lnatisha saaaaaanaaaa
😢😢😢😢uwo ni unyama mkari WaTanzania tunaenda wapi mungu haulage roho ya m2mishi wake mahari pema Peponi 8:12
Mungu tusaidie wat tumekosa upendo tunauana tu mhhh polen dg😢😢😢
Surely a church leader si mwatuharibia hata kuja kanisani. This is soo sad indeed 😭😭😭
DAR JA NA SIMBA DU
mambo
Kazi nzuri Askari wetu.
Dunia imeisha mungu amlaze mahali pema peponi
Tangia Mh Magufuli afariki nchi imeyumba sana sana, wanadamu tumekua hatuna hofu ya Mungu.
Na kwel!
Bora ye alkuwa anawakumbusha raia kuhusu mungu
Assalamu alaykum''
Bwana asifiwe"
Chif Hangaya Salam yetu
Nakusalinien kwajina la Jamuhur ya Tanzania"
Nasi" kazi iendelee
Daaah poleni ndugu
Poleni Sana
LORD JESUS,we are sick of this SPIRIT of KILLING every where.
We need you,intervain our Nation,🙏🙏
Amen 🙏🏻
Asante afande
Asante sana kamanda
Poleni sana nduguzetu
Mungu awatie nguv polen sana binadamu tunaenda wapi
Ongera sana kwa kuonyesha ushujaa na ushirikiano wa chombo cha dola
Eeeh MWENYEZ MUNGU wanadam wamegeuka c wanadam tena utuumbie upya roho hiz
Afande unaongeaga vizur tunahuzuni Lakini unatusabayi ongea Yako napendaga hatar
Mungu ingilia Kati hii roho ya mauti iliyoivaa inchi yetu mungu tusaidieeee😭😭😭
Hawa watu wapewe Adhabu Kali sana
Pole jaman
😭😭😭😭😭mungu wangu Tanzania imefikwa na nn mbn mauwaji yamekuwa mengi hivi
Tuombe Mungu tuu anaweza yote😭inatisha
Ushirikina unatawalla Sana jaman mungu awafungue watu watoke kwenye hizo roho jaman niukali usio elezeka
Jamani dunia ndoimeisha Mungu atusaidietu.poleni wanafamilia
Asante sn afande, uko vizur. Yaani umeelezea kiungwana japo kwa majonz na masikitiko makubwa kulingana na tukio lenyewe na mazingira. It pains deeply. Asante kwa kukazia kuwa,
"EPUKENI KUSHADADIA MANENO YA KUSIKIA". Hili limekuwa janga la kitaifa na linazid kushka kasi na kuota mizz. Kuna wanaoteseka sana kutokana na maneno ya uzushi. Mungu atupe kiasi kwa kila jambo.
Inauma Sana poleni wafiwa
❤jaman nyie achen masiyala
Sub hanallah 🤦♂️🤦♂️🤦♂️duh wanadam tumekuwa naroho mbaya sn 😭😭😭
Nimempend police watu wote mnaowakata waalifu mngekua mnatup habali hivi ingependez natamn afand nikup jpo soda nimepend kaz yko
Hivi wauwaji huwa wanajisikiaje ,,Mungu wangu ... wanaweza kulala kweli Au wanakuwa wamechanganyikiwa
Jamani kwanini kila mtu anategewa na ndugu zake 😢😢😢
Tamaah kasyan
Allaah Akbar walillaahilhamdu
daah unyama mwingi na ni ushetani mkubwa saana
Mungu atusaidie kuepuka majaribu ya kishetani
Hii sio sawa kwa ubinadam
Mungu naomba utusaidie ya dunia mengi
Polisi poleni Na ahsanteni sana kwa kazi yenu ngumu
Sema kamanda unatupunguzia maumivu