Mauaji yalivyofanyika Kanisani Njombe | Mtuhumiwa alivyomkatakata marehemu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Facebook: / earadio
    Twitter: / earadiofm
    Subscribes: / @eastafricaradio

Комментарии • 595

  • @ARAFATSALUMABDULLA
    @ARAFATSALUMABDULLA Месяц назад +4

    Nimempenda bwana AFANDE anazungumza Kama mwandishi wahabari❤❤

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 2 года назад +5

    Poleni jeshi la polic kwa kazi ngumu, pia pole kwa Familia, na watanzania sote tuwe pole maana hivi vifo vinatuliza kila itwayo Leo.

  • @muungujaunguja8609
    @muungujaunguja8609 2 года назад +32

    Jamani afande pole sana unaonyesha umeumizwa zaidi hadi kuongea shida pole baba angu afande na familia yake

  • @amosmichael8986
    @amosmichael8986 Год назад +1

    Daaa polisi hongeren kwa kazi nzuri sheria ifate mkondo

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 2 года назад +5

    Hongera afande kwa Kazi nzuri. Muoneshenu huyo mtuhumiwa afahamike na Wananchi.

  • @scholarmawala1403
    @scholarmawala1403 2 года назад +21

    Shikamooo kamanda kwa kazi nzr. Ila wewe ni zaidi ya police 🤣🤣🤣 .Ila unafaa kuigiza pia

  • @Jumann-h8u
    @Jumann-h8u 8 месяцев назад +1

    Mbaya sana hii cjui binadam tumekuwaje mungu tu atusamehe kwakwel

  • @mamaahmad8615
    @mamaahmad8615 2 года назад +4

    Mungu wangu hadi mwili unasisimka daaaah hata huruma huna we kaka muuwaji daaah ulaaniwe na mungu polc mmefanys kazi nzur sana hongereni yaana sasa hivi unakaa unamuogopa binadamu mwenzio daaah poleni wafiwa inauma sana jamani acheni roho mbaya na ukatili

  • @rajabually8659
    @rajabually8659 2 года назад +8

    Pole sana afande naona waongea kwa hisia sana hili tukio sio la kawaida katika jamii yetu ya watanzania huyo muuji apate adhabu kali sana ikiwezekana nayeye auwawe

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 8 месяцев назад

      Kwa nini yy ameua hlf yy isiwezekane kuuawa. Yàani anyongwe hadi kufa.

  • @rev.thobias2756
    @rev.thobias2756 Год назад

    Hongera kamanda kazi nzuri kweli mapepo na mashetani yana leta vifo uko sahihi

  • @noxlosingida2369
    @noxlosingida2369 2 года назад +12

    Huyu Afande noma sana kwa haya maelezo hadi ni mesahau kama ni tukio la mauaji

    • @esterkelvin6922
      @esterkelvin6922 2 года назад

      Kwa kweli nimejikuta nacheka kama mazuri ety pigo la pili ndolilomuua dah

    • @josephinalugembe8285
      @josephinalugembe8285 6 месяцев назад

      Jmn 😂 ila watu mpk umenifanya nicheke utafikr mazur

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 11 месяцев назад

    Duuh inatisha Sana hongera kama kwa kuifanya hii kazi kwa wered wa Hali ya juu Sana mpaka mtuhumiwa amepatikana

  • @innocentbugobola2234
    @innocentbugobola2234 2 года назад +9

    Et Chuma !!akamuongezea chuma kingne mh hii Nchi yetu jmn kila sehem Mauaji ya kutisha eeh Mungu tuokoea Watanzania tuwe na Hofu ya Mungu..

  • @rehemajohn5410
    @rehemajohn5410 2 года назад +2

    Hongera kamanda kwa kuripoti vizuri tukio.

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 2 года назад +9

    Afande unafaa sana umechukuwa nafasi ya mstaafu kamanda muroto yani umeiziba kabisa 😄😄

  • @geroldjacob9845
    @geroldjacob9845 2 года назад

    Daaahhh amemkatakat kam ngo'mbe wa buchan, kwanz huy binadam au mnyam hatar . Askar umetutolea huzun jins unavoeleza tukio nice expression

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 2 года назад +7

    Dahhh😢😢🥺sidhani kama ni mara ya kwanza kuua huyo jamaa. Na nahisi anafurahia kuua😢😢

  • @annamwanauta583
    @annamwanauta583 2 года назад

    Yani nimekwelewa vinzuri sana asante kwakazi nzuri sana

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 2 года назад +6

    Daah 😭😭😭😭😭Mungu amlaze mahali pema peponi, Ushauli wangu kwa jeshi la polisi wanaoua na wao wapewe adhabu kali sana ili iwe fundisho kwa wengine, Mungu hiondoshee tanzania roho za kikatili

  • @jaz9974
    @jaz9974 2 года назад +3

    Asante sana police kwa kazi nzur mlizozifanya

  • @jacklineandrew5909
    @jacklineandrew5909 2 года назад +4

    Mungu naomba niepushie hiyo roho chafu🙏Mungu akiamua kukuabisha hufiki mbali

  • @noahlarapho3411
    @noahlarapho3411 2 года назад +1

    Pole sana Afande na job nzuri, safi.....

  • @devothaignatus5911
    @devothaignatus5911 2 года назад +1

    Ahsante baba unaongea kwa uchungu mno baba ,,sukuma ndani uyo jambazi afai

  • @LucyOmary-e8s
    @LucyOmary-e8s 2 месяца назад

    Hongereni sana kwa kz nzuri mungu awabariki

  • @TedyDaudy-c8t
    @TedyDaudy-c8t 2 месяца назад

    Polisi hongelen mungu awabarki kwa kazi nzur

  • @joycemagessa350
    @joycemagessa350 2 года назад +10

    Mungu okowa Nchi yetu kila Leo Mauaji. Tumemkosea Mungu Tunaitaji toba ili tupone🙏

  • @laurencemwanga6441
    @laurencemwanga6441 8 месяцев назад

    Mungu awabariki amani itawale. Maaskari hongereni

  • @ARAFATSALUMABDULLA
    @ARAFATSALUMABDULLA Месяц назад

    Nimempenda bwana AFANDE anazungumza Kama mwandishi wahabari

  • @IddyDaruweshi-ev4qg
    @IddyDaruweshi-ev4qg Год назад

    MASHA ALLAH KHEIR RPC KAMANDA HAMISI KONGOLE SANA NA VIJANA WAKO UPO VIZURI SANA

  • @Veronikalumola-zq4vm
    @Veronikalumola-zq4vm 8 месяцев назад

    Jaman ubinadamu ni kazi poleni sana afande kwa kanzi ngumu

  • @NelsonTibesigwa
    @NelsonTibesigwa Месяц назад

    Hongereni sanaa

  • @mzeeomary5780
    @mzeeomary5780 2 года назад +7

    Serikeli iweke sheria uki uwa basi na ww upigwe risasi adharani uone kama mauwaji haya taisha ila mtu anauwa anajuwa anakwenda jela kula nakulala bure

  • @reginapiusi6750
    @reginapiusi6750 2 года назад +14

    Jaman hii nchi imekuwa ngumu sana 😭😭😭😭

  • @zainabmohammed6700
    @zainabmohammed6700 2 года назад +1

    Dah jamn kamuuw mwenziwe namn hii huyu s bnadamu alomuuwa mwenziwe anyongwe kabisaa asiwekwe ndan dahh😭😭😭

  • @jamesmbuyuntvtzshijacom.5268
    @jamesmbuyuntvtzshijacom.5268 2 года назад

    Asante kwa kazi ya porisi muliyoifanya

  • @NyangigeNyamuhokya
    @NyangigeNyamuhokya 8 дней назад

    Dunia imeisha ni nyakati za mwisho Mungu atusaidie

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 2 года назад +5

    Subhana Allah. Upo vzr ktk kueleza

  • @jacklinepaul105
    @jacklinepaul105 Год назад +1

    Uwiii Mungu tunusuru na haya majanga uyo muuaji sio wa kubaki jamani serikali iingilie kati😥😭😭

  • @MwanaidMwanaid-d6d
    @MwanaidMwanaid-d6d 3 месяца назад

    Jaman! Daaaaaah poleni sana

  • @sagilododomamedelipeter1893
    @sagilododomamedelipeter1893 2 года назад +3

    We ni comedy au kamanda🤭🤭😱😱

  • @amockkalinga1520
    @amockkalinga1520 2 года назад +2

    Jamani,jamani,tunaenda wapi mungu tuepushe na hii roho ya mauti💔🙆😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤔

  • @salmahanai3601
    @salmahanai3601 2 года назад +3

    Jamani tanzania kila siku mauwaji tuende wapi????

  • @ErnestKalyamtima
    @ErnestKalyamtima 5 месяцев назад

    Mbarikiwe sana jesh la polis kwa kaz nzr mungu awatie nguv

  • @reubenismail3672
    @reubenismail3672 2 года назад +1

    Hongereni Sana police mpo fasta sana

  • @TedyDaudy-c8t
    @TedyDaudy-c8t 2 месяца назад

    Emungu tusaidi jaman mtumishi wa mungu unafanya mauaji jama 😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @nzizajovinpaul4955
    @nzizajovinpaul4955 2 года назад +4

    Akiwa Gerezani atubu Dhambi zake mbele ya Mungu Baba" hii dunia imezeeka mauji kila kukicha na itegemea Mbingu mpya na Nchi mpya.😭😭😭😭😭😭😭

  • @happychuwa1410
    @happychuwa1410 2 года назад +1

    Jamnii hongeren police kazi yenu ni njema

  • @kebekebee
    @kebekebee 2 года назад +1

    Matukio ya ajabu yamefululiza sana matukio ya kuuwana tu mala kubaka watoto wadogo Mungu muumba wa mbingu na nchi TANZANIA tunakuhtaj utupe aman ya kweli umoja na ushikamano kwa jina la Yesu amen

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 2 года назад +8

    SUBHANALLAH😭😭😭

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas1547 7 месяцев назад

    Pole sana kamanda.

  • @swaiseif2989
    @swaiseif2989 2 года назад

    Ma askar mnakaz ngumu Sana mungu awalinde yni hii kaz hii nisingeweza ya upolice uwiii

  • @gilbertoisso-h1w
    @gilbertoisso-h1w 7 месяцев назад

    😢😢😢😢 wayu wanaroho kama za wanyama ndugu wa marehemu poleni sana mungu awalinde

  • @princessvyona3412
    @princessvyona3412 2 года назад

    Aiiii jamani Ghaiii 😳😳😳😳🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️mnasema nini,hii dunia ni kama Mungu alirudi kitambo akachukua wengine tukabaki wale wabaya

  • @aikasimbachawene1924
    @aikasimbachawene1924 Год назад

    Kamanda ni nimekuelewa unaupiga mwing hongera sana

  • @mrematvbabakoku8336
    @mrematvbabakoku8336 2 года назад

    Safi sana kamanda upo vizuri kuliko alfred masako

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 2 года назад +2

    Pole sana Afande na kazi njema. Ila kwa kuwapa taarifa tuu ni kwamba America makanisa huwa yanalindwa na polisi wakati waumini wakiwa kanisani kwa usalama zaid. Hivyo na Tanzania mfanye hivyo kuwalinda waumini.

    • @gadafimasoud310
      @gadafimasoud310 2 года назад

      Safi kabisa lkn ulinzi ni wakati wa ibada tu au muda wote? yaani 24hrs 7 days na je ni makanisa tu yalindwa huko America au nyumba zingine za ibada ambazo si kanisa? Mf misikiti , synagogue

  • @KaburaaronManyasa
    @KaburaaronManyasa 10 месяцев назад

    Eeeeeeee mwenyezi mungu tusaidie nautuepishe nahizi roho 😭😭😭😭😭😭

  • @rosetagaye5731
    @rosetagaye5731 2 года назад +2

    Jamani binadamu tumekuwa kama wanyama,....Mungu atusaidie.

  • @fedhajoseph7687
    @fedhajoseph7687 2 года назад +4

    Mungu atukumbuke wana damu maana maasi yamekuwa mengi Yesu kristo mfalme wa haki, mtawala wa amani njoo sasa kwa sababu tumechoka namatukio ya duniani.

  • @joerifaridi7431
    @joerifaridi7431 2 года назад

    Pole sana

  • @priscakomba2786
    @priscakomba2786 2 года назад +3

    Ndashangaa Polis wakisema uchunguzi unaendelea Mtuhumiwa ahukumiwe chapu

  • @Rehema-h6t
    @Rehema-h6t 3 месяца назад +3

    Toka nione asikali huyu ni wa pekee unge kuwa kalibu ninge kupa tano ya soda Kazi nzur jaman ❤😢

  • @frolamazimba465
    @frolamazimba465 2 года назад +1

    Jamani tunaelekea Wapi sisi wanadamu mungu tujalie mwisho mwema

  • @LOYCEEMMANUEL-b6z
    @LOYCEEMMANUEL-b6z 6 дней назад

    Tanzania nakupenda sana ila naomba nikuhamee😢😢😢

  • @LucyOmary-e8s
    @LucyOmary-e8s 2 месяца назад

    Hakika wanadamu tumepoteza hofu ya Mungu mioyoni mwetu Mungu tunakuomba utusikie vilio vyetu,uwiiiiiiiiiiiii lnatisha saaaaaanaaaa

  • @JoseJoseph-s1x
    @JoseJoseph-s1x 2 месяца назад

    😢😢😢😢uwo ni unyama mkari WaTanzania tunaenda wapi mungu haulage roho ya m2mishi wake mahari pema Peponi 8:12

  • @WinifridaEvarist-oc9tb
    @WinifridaEvarist-oc9tb 4 месяца назад

    Mungu tusaidie wat tumekosa upendo tunauana tu mhhh polen dg😢😢😢

  • @florencemanasseh9949
    @florencemanasseh9949 2 года назад +4

    Surely a church leader si mwatuharibia hata kuja kanisani. This is soo sad indeed 😭😭😭

  • @feliciankazimoto8888
    @feliciankazimoto8888 2 года назад

    Kazi nzuri Askari wetu.

  • @km4km437
    @km4km437 Год назад +1

    Dunia imeisha mungu amlaze mahali pema peponi

  • @firdausqutty2067
    @firdausqutty2067 2 года назад +5

    Tangia Mh Magufuli afariki nchi imeyumba sana sana, wanadamu tumekua hatuna hofu ya Mungu.

    • @khadijanurdin3163
      @khadijanurdin3163 2 года назад

      Na kwel!
      Bora ye alkuwa anawakumbusha raia kuhusu mungu

    • @fatmamunde5543
      @fatmamunde5543 2 года назад

      Assalamu alaykum''
      Bwana asifiwe"
      Chif Hangaya Salam yetu
      Nakusalinien kwajina la Jamuhur ya Tanzania"
      Nasi" kazi iendelee

  • @KarokiaNdirango-lj3wf
    @KarokiaNdirango-lj3wf 9 месяцев назад

    Daaah poleni ndugu

  • @GodfreyAgustino
    @GodfreyAgustino 2 месяца назад

    Poleni Sana

  • @editrudesmbonde9051
    @editrudesmbonde9051 2 года назад +4

    LORD JESUS,we are sick of this SPIRIT of KILLING every where.
    We need you,intervain our Nation,🙏🙏

  • @ababukarlinus9355
    @ababukarlinus9355 Год назад

    Asante afande

  • @emanuelmlowe6854
    @emanuelmlowe6854 2 года назад

    Asante sana kamanda

  • @barakangombe3095
    @barakangombe3095 2 года назад

    Poleni sana nduguzetu

  • @mariamfumo3795
    @mariamfumo3795 2 года назад

    Mungu awatie nguv polen sana binadamu tunaenda wapi

  • @MWINYIAMIALLY-yy3zg
    @MWINYIAMIALLY-yy3zg Год назад

    Ongera sana kwa kuonyesha ushujaa na ushirikiano wa chombo cha dola

  • @tumainimwakyaka2775
    @tumainimwakyaka2775 2 года назад

    Eeeh MWENYEZ MUNGU wanadam wamegeuka c wanadam tena utuumbie upya roho hiz

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 2 года назад +5

    Afande unaongeaga vizur tunahuzuni Lakini unatusabayi ongea Yako napendaga hatar

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 2 года назад +6

    Mungu ingilia Kati hii roho ya mauti iliyoivaa inchi yetu mungu tusaidieeee😭😭😭

  • @christinachazy8644
    @christinachazy8644 2 года назад +1

    Hawa watu wapewe Adhabu Kali sana

  • @neeemastewad7909
    @neeemastewad7909 2 года назад

    Pole jaman

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 2 года назад +7

    😭😭😭😭😭mungu wangu Tanzania imefikwa na nn mbn mauwaji yamekuwa mengi hivi

    • @محمدالقايد-د6ب
      @محمدالقايد-د6ب 2 года назад

      Tuombe Mungu tuu anaweza yote😭inatisha

    • @AminaMfinanga-n9p
      @AminaMfinanga-n9p 9 месяцев назад

      Ushirikina unatawalla Sana jaman mungu awafungue watu watoke kwenye hizo roho jaman niukali usio elezeka

  • @frankgibore9813
    @frankgibore9813 2 года назад

    Jamani dunia ndoimeisha Mungu atusaidietu.poleni wanafamilia

  • @happymariki4757
    @happymariki4757 2 года назад

    Asante sn afande, uko vizur. Yaani umeelezea kiungwana japo kwa majonz na masikitiko makubwa kulingana na tukio lenyewe na mazingira. It pains deeply. Asante kwa kukazia kuwa,
    "EPUKENI KUSHADADIA MANENO YA KUSIKIA". Hili limekuwa janga la kitaifa na linazid kushka kasi na kuota mizz. Kuna wanaoteseka sana kutokana na maneno ya uzushi. Mungu atupe kiasi kwa kila jambo.

  • @محمدالقايد-د6ب
    @محمدالقايد-د6ب 2 года назад

    Inauma Sana poleni wafiwa

  • @AbduliMnyongo
    @AbduliMnyongo 8 дней назад

    ❤jaman nyie achen masiyala

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 2 года назад

    Sub hanallah 🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️duh wanadam tumekuwa naroho mbaya sn 😭😭😭

  • @annahchaz5537
    @annahchaz5537 2 года назад +3

    Nimempend police watu wote mnaowakata waalifu mngekua mnatup habali hivi ingependez natamn afand nikup jpo soda nimepend kaz yko

  • @irenewile
    @irenewile 2 года назад

    Hivi wauwaji huwa wanajisikiaje ,,Mungu wangu ... wanaweza kulala kweli Au wanakuwa wamechanganyikiwa

  • @NaomiStephano-b9m
    @NaomiStephano-b9m Год назад +1

    Jamani kwanini kila mtu anategewa na ndugu zake 😢😢😢

  • @NellvanceJuckses-yd7bq
    @NellvanceJuckses-yd7bq 6 месяцев назад

    Tamaah kasyan

  • @hamissnjumba302
    @hamissnjumba302 2 года назад

    Allaah Akbar walillaahilhamdu
    daah unyama mwingi na ni ushetani mkubwa saana

  • @emmanueljohn-by8xq
    @emmanueljohn-by8xq Год назад

    Mungu atusaidie kuepuka majaribu ya kishetani

  • @godfreylutengano9367
    @godfreylutengano9367 2 года назад

    Hii sio sawa kwa ubinadam

  • @witnessmbuya7908
    @witnessmbuya7908 Год назад

    Mungu naomba utusaidie ya dunia mengi

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 2 года назад +2

    Polisi poleni Na ahsanteni sana kwa kazi yenu ngumu

  • @husnaseph9476
    @husnaseph9476 2 года назад +5

    Sema kamanda unatupunguzia maumivu