RC MWANRI NA FUNGA MWAKA "TUTAWAPIGA STYLE YA TENESI"
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Ikuwa zimesalia saa chache kuuaga mwaka 2019 mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri amewatahadhalisha watu waliojipanga kuharibu miundombinu mkoani humo kuwa watapigwa kwa style ya tenesi
"Siku hizi tunakwenda kwa style ya tenesi sisi hatutaki masuala ya ajabu ajabu kuwasha moto sisi tumetengeneza barabara mtu amechoma matayle itavurugu ambayo haujawahi kuona" RC Mwanri
mwanri Ni kiongozi mzuri Sana anajua kuongoza mungu ambariki
Hahahaha yaani huyu baba ananifurahisha sana mungu ampe maisha marefu
HUYU BWANA ANA AKILI ALAF ANAJUA VYEMA KUISIHI JAMII KWA MAMBO SAHIHI..KWELI TUKIPENDA KUPIGA BARUTI TUNAWAPA HATA MAJAMBAZ NAFAS KWAN NAO WATAPIGA RISAS ALF WATU WATAKAA WAKIJUA NI SHAMRASHAMRA KUMBE NI MAAFA.....
Ikitokea akawa rais siku mmoja sijui itakuwaje....
Nguvu ya tenesi furu mashine oda we ni noma
Tunapiga bangili sukuma ndani gonga like hili twende sawa
Kiwango changuvu itakayo tumika inategemea nakiwango cha vulugu.
Ukisumbua tunapiga bangili sukuma ndani😂😂😁😁😀😀
Sukuma ndaniiiiiiii ☺😀
sukuma ndani///////////
KAMA UMESIKIYA *TUNAPIGA MBANGILI SUKUMA NDANI* Like tujuane
Aki
Yani wew unastahili saf mkuu
Style ya tenesi
Tuna teseka huku igunga halmashaur inatufukuzia wateja wetu wanao paki magari sheli mbn uwaambii mkuu nafain wanapiga watu kwaajili yakupaki mashel ni halali
Rais hakukosea kabisa kukuteua
Leo ndio nimejua maana na usahihi wa full masnonda.
Mzee kwenye style zake za commedy
Nguvu tutakayotumia itategemea na fojo lenyewe
hahaha
Unajua utakiwi kutumia nguvu cn.Tumea akili
Hao vyura vp?
😁😁😁
Napenda hii channel Sana ❤️❤️
Mashabiki naomba muweze kusubscribe channel yangu tafadhali
ruclips.net/channel/UC2Mh9YQzF-ScqhLdsPAGfJw
Jifunze Graphics
m.ruclips.net/channel/UCBHpcIt-idPZeCjqvZdG7RQ