RC MWANRI NA FUNGA MWAKA "TUTAWAPIGA STYLE YA TENESI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Ikuwa zimesalia saa chache kuuaga mwaka 2019 mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri amewatahadhalisha watu waliojipanga kuharibu miundombinu mkoani humo kuwa watapigwa kwa style ya tenesi
    "Siku hizi tunakwenda kwa style ya tenesi sisi hatutaki masuala ya ajabu ajabu kuwasha moto sisi tumetengeneza barabara mtu amechoma matayle itavurugu ambayo haujawahi kuona" RC Mwanri

Комментарии • 25

  • @nuruelimapunda4792
    @nuruelimapunda4792 4 года назад +4

    mwanri Ni kiongozi mzuri Sana anajua kuongoza mungu ambariki

  • @hellenmgungus1979
    @hellenmgungus1979 4 года назад +4

    Hahahaha yaani huyu baba ananifurahisha sana mungu ampe maisha marefu

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238 4 года назад +10

    HUYU BWANA ANA AKILI ALAF ANAJUA VYEMA KUISIHI JAMII KWA MAMBO SAHIHI..KWELI TUKIPENDA KUPIGA BARUTI TUNAWAPA HATA MAJAMBAZ NAFAS KWAN NAO WATAPIGA RISAS ALF WATU WATAKAA WAKIJUA NI SHAMRASHAMRA KUMBE NI MAAFA.....

  • @elizabethkaroli3799
    @elizabethkaroli3799 4 года назад +5

    Ikitokea akawa rais siku mmoja sijui itakuwaje....

  • @lucasmororo2949
    @lucasmororo2949 4 года назад +4

    Nguvu ya tenesi furu mashine oda we ni noma

  • @fadhilsanga2847
    @fadhilsanga2847 4 года назад +2

    Tunapiga bangili sukuma ndani gonga like hili twende sawa

  • @raynelson4231
    @raynelson4231 4 года назад +9

    Kiwango changuvu itakayo tumika inategemea nakiwango cha vulugu.

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 4 года назад +2

    Ukisumbua tunapiga bangili sukuma ndani😂😂😁😁😀😀

  • @abdallahdataguy
    @abdallahdataguy 4 года назад +5

    Sukuma ndaniiiiiiii ☺😀

  • @uwesusaid9764
    @uwesusaid9764 4 года назад +18

    KAMA UMESIKIYA *TUNAPIGA MBANGILI SUKUMA NDANI* Like tujuane

  • @neybenson7881
    @neybenson7881 4 года назад

    Yani wew unastahili saf mkuu

  • @barnabasmboya7688
    @barnabasmboya7688 4 года назад +3

    Style ya tenesi

  • @elisantennko8996
    @elisantennko8996 4 года назад +3

    Tuna teseka huku igunga halmashaur inatufukuzia wateja wetu wanao paki magari sheli mbn uwaambii mkuu nafain wanapiga watu kwaajili yakupaki mashel ni halali

  • @nelsonimtaturu8115
    @nelsonimtaturu8115 4 года назад +5

    Rais hakukosea kabisa kukuteua

  • @godfreyleka5839
    @godfreyleka5839 4 года назад

    Leo ndio nimejua maana na usahihi wa full masnonda.

  • @theresiangunda2298
    @theresiangunda2298 4 года назад

    Mzee kwenye style zake za commedy

  • @ismailmashimba3470
    @ismailmashimba3470 4 года назад

    Nguvu tutakayotumia itategemea na fojo lenyewe

  • @faustakitime5767
    @faustakitime5767 4 года назад +4

    hahaha

  • @thadeiminja1855
    @thadeiminja1855 4 года назад +2

    Unajua utakiwi kutumia nguvu cn.Tumea akili

  • @frankjoel2922
    @frankjoel2922 4 года назад +1

    Hao vyura vp?

  • @lamecktheonest225
    @lamecktheonest225 4 года назад +1

    😁😁😁

  • @mr.synd_deasls6665
    @mr.synd_deasls6665 4 года назад +3

    Napenda hii channel Sana ❤️❤️
    Mashabiki naomba muweze kusubscribe channel yangu tafadhali
    ruclips.net/channel/UC2Mh9YQzF-ScqhLdsPAGfJw

  • @faisarizuberi1256
    @faisarizuberi1256 4 года назад +1

    Jifunze Graphics
    m.ruclips.net/channel/UCBHpcIt-idPZeCjqvZdG7RQ