RC MWANRI KAJA NA MPYA "TUTAPIGA PASU PASU, JIKUNE ULIE CHRISTMASS LUPANGO"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 210

  • @susanlazaro7492
    @susanlazaro7492 5 лет назад +153

    Kama unamsikiliza Mzee wa comedy Wakati unasoma comment usijikune gonga tu like hapa

  • @marymodunda602
    @marymodunda602 5 лет назад +4

    wale wa mtori na kisusio gonga like

  • @emmanuelgabagendi4515
    @emmanuelgabagendi4515 5 лет назад +8

    Kikweli nakupenda sana mze wangu kanzi njema

  • @jimwoolfe5375
    @jimwoolfe5375 5 лет назад

    Namupenda saaannaaaa huyu Mzee. Asante sana Mheshimiwa Mwanri

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 5 лет назад +26

    Namkubali sana huyu dingi,kwa mkwara tu ni noma sana.

    • @reachthegoal7624
      @reachthegoal7624 5 лет назад +1

      Sio mkwara tu na kazi anapiga kiuhakika hatski mchezo. Alipokuwa naibu waziri tamisemi ndie alikuwa anagonga kuta zikipukuchika hilo ni jengo lako mkandarasi. Ni Kati ya waliodhamiria kuwatoa watu kwenye unyonge samba na rais was awamu ya TANO!!!

    • @africanmandetraveler2847
      @africanmandetraveler2847 5 лет назад

      @@reachthegoal7624 Ni jembe la ukweli pia anajua kuwasiliana.Nampa salute sana akiwa next president inaweza kua poa sana.

    • @abbasboniphace5444
      @abbasboniphace5444 5 лет назад +1

      Anamkwara mzito😂😂😂😂😂

    • @subiradalabu6616
      @subiradalabu6616 5 лет назад

      George Karuga...anatisha cjutii mb zangu kwa huyu

  • @tatusaid1223
    @tatusaid1223 5 лет назад

    ahaaaaaaah, nime elewa sasa kuhusu vitambulishoooooo, safi sana mkuuu

  • @officialtalenttv3882
    @officialtalenttv3882 5 лет назад +25

    Thubutu tu jifanye
    Unajikuna uende
    Lupango

  • @mojaytz4030
    @mojaytz4030 5 лет назад

    MAma lishe na baba lishe,
    Gonga like twende

  • @ivanmbilinyi6593
    @ivanmbilinyi6593 5 лет назад +6

    Wanachukua hela mpk za.wauza vitumbua hatar sana

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 5 лет назад +27

    Huyu baba nahisi hata mke wake hajawahi kununa

    • @wemachristian119
      @wemachristian119 5 лет назад +1

      Na alishahojiwa akathibitisha hilo

    • @nickmsangaa8506
      @nickmsangaa8506 5 лет назад

      Kweli tena et mamy

    • @christinamiho7445
      @christinamiho7445 5 лет назад

      Weeee mtu kama huyu achana nae akiwa nyumbn ni kaudhuuuuu mpaka familia yake inamuogopaaa

    • @hamzarumela1784
      @hamzarumela1784 5 лет назад

      Kabisa yaani, ila jua kuwa kila mwenye mazuri, lazima ana mabaya yake pia. Lakini kiukweli huyu jamaa ni zaidi ya kiongozi

  • @msonjoaden3260
    @msonjoaden3260 5 лет назад +35

    Mbona kama kuna mtu anajikuna hapo Mkuu.

  • @beatricengonani4640
    @beatricengonani4640 5 лет назад +1

    Soma hyoo somaaa

  • @clementmathias9512
    @clementmathias9512 5 лет назад

    Yeeeeessssss kitambulisho ni kwa ajili ya kutambuana

  • @magessamambagachachamambag1189
    @magessamambagachachamambag1189 5 лет назад +3

    Navutiwa sana maelekezo yabkiongozi huyubama kweli najivunia me kuwa mtanzania kwani haya maneno mazuri ningeyapata wp

  • @jastinjaister5150
    @jastinjaister5150 5 лет назад +1

    safi Sana mkuu pigs kazi

  • @raswiurashid2085
    @raswiurashid2085 5 лет назад +1

    mzee huyu nampendaje. he is fit

  • @consolatamedard9039
    @consolatamedard9039 5 лет назад

    Safi baba piga kaz

  • @halemasalim9330
    @halemasalim9330 5 лет назад +3

    Napenda sana hyu ni lzm ucheke

  • @issambamba6955
    @issambamba6955 5 лет назад +22

    ingependeza baada ya magufuri ajekuwa rais wa nchi huyu mkuu,naamini watanzania tutakuja ishi kama wana wa israeli walipokuwa ktk nchi ya misr😱😱😱😱😱

  • @kaminyogemwachelwa9884
    @kaminyogemwachelwa9884 5 лет назад +14

    Wamachinga hao kodi waanza kutoa ila hata hawatambui daaa elimu elimu elimu

  • @kaobamaabel5561
    @kaobamaabel5561 5 лет назад +27

    Nan kasikia mh kasema TRA ya malawi anyoshe mkono juu ajifanye kama anajikuna.😂😂😂😂😂

  • @abbysauko3725
    @abbysauko3725 5 лет назад +8

    Mzee anavyo cheza ni Kama wale wa jigi jigi eeh jigi jigi jigi jigi

  • @iungwadeogratius7893
    @iungwadeogratius7893 5 лет назад +1

    Kweli nimekubali waliotoka maisha ya shida ndio wanawajua wa2 wao balikiwa sana mkuu wa mkoa pia rais we2 wa nchi

  • @ramadhanirajab9901
    @ramadhanirajab9901 5 лет назад

    nakukubali sana sana kiongozi

  • @andreymalisa1625
    @andreymalisa1625 5 лет назад +26

    Kwa jicho la tatu ni kwamba kodi yaja mpaka kwa wamachinga....
    .😢😢😢😢

    • @rabaikatakweba1566
      @rabaikatakweba1566 5 лет назад +1

      Ni kweli maana kila mwaka watakuwa wanaupdate kila mwaka huyu jamaa

    • @andreymalisa1625
      @andreymalisa1625 5 лет назад +2

      Rabai Katakweba Mungu awaongoze tu hayo makusanyo yawe sawa sawa na maendeleo ya nchi yetu...
      #Tanzania

    • @rabaikatakweba1566
      @rabaikatakweba1566 5 лет назад +1

      Inshaallah wasitokee wapigaji

    • @isackmosesmabula3648
      @isackmosesmabula3648 5 лет назад +2

      Kila anayetaKiwa kulipa kodi ni lazima alipe sema Watanzania wengi wamekua na ukinzani na sheria na taratibu wanazopewa,,na kisha haohao wanaokwepa kulipa kodi ndio namba moja kulalamika Elimu mbaya,huduma za afya mbaya hali ya maisha nayo ni mbaya n.k na kutolea mfano nchi zingine pasina kujua wananchi wa nchi hizo wanafuata sheria na taratibu na wanalipa kodi pasipo shuruti...mfano mzuri ni kenya

    • @magessamambagachachamambag1189
      @magessamambagachachamambag1189 5 лет назад +3

      Kwani machinga yy hafai kuchangia pato la nchi? Acha utoto nchi hii ni yetu sote na tutaijenga sisi wenyewe bila kujali ni machinga ama una duka kikubwa ni kujihoji ww unachingia vpmnchi yako kimaendeleo

  • @bernardchibwana2564
    @bernardchibwana2564 5 лет назад

    Huyu mzeee ananifurahisha sanaaa, full kucheka tu kila nionapo clip zake full raha

  • @athumannuru3648
    @athumannuru3648 5 лет назад

    Somaranii injiniaaa

  • @ibrahimmakasi4690
    @ibrahimmakasi4690 5 лет назад +1

    Mzee wa kusukuma ndani napenda sana clip zake

  • @mfalmegideon
    @mfalmegideon 5 лет назад +3

    Haya Dagaa,Dagaa 😂

  • @catherineriwa6488
    @catherineriwa6488 5 лет назад

    hahahahha lubango hahahaa uyu baba atanifilisi kwakel mb zangu sijutiii

  • @ramadhaniabasi6274
    @ramadhaniabasi6274 5 лет назад

    Hapa kazi tu

  • @zaynsalma3466
    @zaynsalma3466 5 лет назад +1

    Hakina interview inayo nifurahishaga kama ya huyo mzee baba Sauti yke tuu inaniachag hoyi 😂😂😂😂😂😂

  • @rajaburajabu3963
    @rajaburajabu3963 5 лет назад

    very nice

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 5 лет назад

    namkubali mzee

  • @rajansharky3386
    @rajansharky3386 5 лет назад +4

    Lupangooooo
    Jifanye unajikuna jifanye unasogea
    🤣🤣🤣ana gari inatembea kama jet yan taa yupo kaliua taa yupo igunga hahahaha Mtani unanifurahisha sana. Nchi imeshikwa na mwanaume😆😆😆😆😂😂😂

  • @giftymunishi6139
    @giftymunishi6139 5 лет назад +8

    Nisikilize naona mnaanza kupiga makofi amna cha bure hapa

  • @rutakihama7599
    @rutakihama7599 5 лет назад

    Hahaha haha nakuelewa sana mzee wa Lupango

  • @niyonkujack7229
    @niyonkujack7229 5 лет назад

    mzee nampenda sana huwa ananimalizia stress zangu kabisa

  • @noahedson7033
    @noahedson7033 5 лет назад +2

    alaf millard umeunga video ya uyo jamaa anaejifanya anajikuna😂😂😂😂 hahahaaaa aende lupango

  • @thommwakasege5169
    @thommwakasege5169 5 лет назад

    Je maajenti WA usafirishaji WA Abiria

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 5 лет назад +2

    Eti pasu pasu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 5 лет назад +3

    pasu pasu😁😁

  • @agaaah6697
    @agaaah6697 5 лет назад +2

    Hebu sema mgao

  • @shekhekassim6402
    @shekhekassim6402 5 лет назад

    Huyo ni masikini alipishwaje tena 20000

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume6280 5 лет назад +4

    aiseee nakukubali sanaa

  • @deustutu1162
    @deustutu1162 5 лет назад +1

    kaz nzur

  • @abdalahkimela4339
    @abdalahkimela4339 5 лет назад

    Soma hiyooooooo injiniaaaaaaaa

  • @edsonsibuti6914
    @edsonsibuti6914 5 лет назад +2

    Malawi ata Kama unauza mchicha zinakusanywa na TRA ya Malawi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊😂😊😊😊😊😊lupango Tanzania revenue authority lengo Ni kuhakikisha ata wamachinga wanalipa kodi atujali cc tunaunga mkono ili mradi maendeleo tuyaone mpeni...... Kinachomuusu

  • @theresiamahuma4576
    @theresiamahuma4576 5 лет назад +1

    Sumu ya panya, mende kunguni viroboto

  • @brianadolfbabat1180
    @brianadolfbabat1180 5 лет назад

    viva mzeee

  • @jumakubobela7474
    @jumakubobela7474 5 лет назад

    Daaah! Mmeamua, kuwatoaza Kodi hadi wauza mchicha!
    Kweli Mungu anawaona.

    • @reachthegoal7624
      @reachthegoal7624 5 лет назад

      Nenda kaulize kwa walioanzisha hii Kodi. Lengo ni nini? Mradi isiwe ya kumlemea mhusika. Mapato 5000 Kodi 100 au 200 huoni uwiano si was kulalamikia. Ni mazoea tu yanatusumbua.

  • @hasamlawatv9790
    @hasamlawatv9790 5 лет назад

    Pasu pasu mzee baba

  • @juliusmwankotwa6649
    @juliusmwankotwa6649 5 лет назад

    Huyu Mzee siku akitumbuliwa watu tutasikitika sana!

  • @yazidu_tz
    @yazidu_tz 5 лет назад +1

    Nani anabisha 😂😂😂😂

  • @godfreyeliabu2582
    @godfreyeliabu2582 5 лет назад +6

    Uyumzee mungu ana muona Hahaaaaaaa

  • @boniphacekabuche3398
    @boniphacekabuche3398 5 лет назад

    Mzee Huyu Hana ttzo kabisa

  • @musatbobius5472
    @musatbobius5472 5 лет назад

    Umepewa jeti oye mwanri

  • @mandiahozza5253
    @mandiahozza5253 5 лет назад +1

    Mzee wa somaaa ,comoon 😂😂😂😂

  • @shabanmchomvu6376
    @shabanmchomvu6376 5 лет назад

    Nice

  • @chrispinelwoga4182
    @chrispinelwoga4182 5 лет назад

    hahahaaa daah unanipa raha wallah

  • @adamally8791
    @adamally8791 5 лет назад +6

    TRA ya Malawi 😀😀🤔

    • @reachthegoal7624
      @reachthegoal7624 5 лет назад

      Ni lugha ya kuwafanya watu wa kawaida wakuelewe hiyo.

  • @bengallettv6568
    @bengallettv6568 5 лет назад +2

    Iko hivi kama tunapata risiti ya mia 200 kwenye vyoo vya mjini kwa nn wauza chai michicha na chakula wacwe na EFD MACHINE?? na ndo mkakati wa TANZANIA ya viwanda na kama umenielewa gonga like twende sambamba walipa kodi wenzangu

  • @asnathdastan8856
    @asnathdastan8856 5 лет назад

    Tuache masiala wamachinga baadhi yao wanapiga faida zaid ya 11500 mpaka 70000 sasa unakuta kwa wastan machinga anapiga pesa kuliko mwenye fremu ndo mana k.koo wenye fremu walikuwa wanalalamika hawauzi aseee mmachiga ela anayopata kwa mwezi ni ya million 1 mpaka 2

  • @clarencesigfredo6256
    @clarencesigfredo6256 5 лет назад

    Ngapi huko, injinia soma hiyoooooooooo

  • @jaliabahati39
    @jaliabahati39 5 лет назад

    Huyo kajikuna

  • @barakatsuhhay5099
    @barakatsuhhay5099 5 лет назад

    hadi pesa za muza dagaaaaa mh soma hyoooooooo

  • @douglasslema2837
    @douglasslema2837 5 лет назад +4

    Hao dagaaa hao dagaaa hahaaaa

  • @barakamlemwa7454
    @barakamlemwa7454 5 лет назад

    🖐

  • @amosisephania6467
    @amosisephania6467 5 лет назад

    Hatar xana

  • @vicentmanyilizu9277
    @vicentmanyilizu9277 5 лет назад

    ahaa! wamachinga ni kujipanga

  • @ernestmununge348
    @ernestmununge348 5 лет назад

    jifanye kama unakijiti kichwani hatariii!! sana

  • @timezonlinemedia2665
    @timezonlinemedia2665 5 лет назад

    Sema mgao

  • @mathiusthomas3074
    @mathiusthomas3074 5 лет назад +3

    Unawaflahisha walioshiba kama wew ,

  • @bakarimakunja9952
    @bakarimakunja9952 5 лет назад +1

    Hapo ndo mtaikubali ccm chukua chako mapema

  • @levinajoachim5111
    @levinajoachim5111 5 лет назад +2

    TRA ya Malawi wanakusanya kodi hadi kwa wauza mchicha!!

    • @rasmgz2367
      @rasmgz2367 5 лет назад

      Levina utasukumwa ndani shiri yako..😂😂😂

    • @rasmgz2367
      @rasmgz2367 5 лет назад

      shori yako levina

  • @muhammadibrahim4649
    @muhammadibrahim4649 5 лет назад

    T.R.A imefika hadi malawi

  • @binmungiadinininasahachane5888
    @binmungiadinininasahachane5888 5 лет назад

    Misifa tu hio. Wanaitaga kiki sasa huyu zake zimepitiliza

  • @khamisshaban7492
    @khamisshaban7492 5 лет назад +1

    daaah hakika hapa tumepata mkuu wa mkoa

    • @mahamudusaidi8070
      @mahamudusaidi8070 5 лет назад

      khamis Shaban haya dagaa dagaa tena mtor na kisusio

  • @goodluckjonathan5564
    @goodluckjonathan5564 5 лет назад

    Tabora mnafaidi sana

  • @yasrisuleiman6388
    @yasrisuleiman6388 5 лет назад

    Kiwango cha virungu

  • @pascalstaharabu4124
    @pascalstaharabu4124 5 лет назад

    Tunamsarutu hahahahahaaa thubutu

  • @wakandaictsolution8093
    @wakandaictsolution8093 5 лет назад

    Huyu mzee acha atufurahishe

  • @godymashana1968
    @godymashana1968 5 лет назад

    Yangu macho ila 2020 sifanyi makosa tena na tena

  • @mathiusthomas3074
    @mathiusthomas3074 5 лет назад +4

    Vitambulisho hivi havilipiwi 20,000/=🤣🤣 tz ya mhutu wa kagame

    • @queenkabula7952
      @queenkabula7952 5 лет назад +1

      Mathius Thomas wewe mtutsi wa wapi? acha ujinga wewe jiangalie

    • @reachthegoal7624
      @reachthegoal7624 5 лет назад +1

      Jitambue na utambue mipaka ya maaneno yako.

  • @benmwasakujonga3575
    @benmwasakujonga3575 5 лет назад

    TRA ya Malawi 😀😀😀😀 jikune uone TRA ya Kenya

  • @germinikimario5339
    @germinikimario5339 5 лет назад

    anae bisha anyooshe kidole ajifanye anajikuna haaaaaa

  • @barakamollel2109
    @barakamollel2109 5 лет назад

    Hahahahaha....i like him

  • @shebbywanammurun9612
    @shebbywanammurun9612 5 лет назад

    Ebu sema mgaoo...😀

  • @nishadyhajil9629
    @nishadyhajil9629 5 лет назад +2

    Haaaha kijiti kichwan tena jamn

  • @boscorutaisile3700
    @boscorutaisile3700 5 лет назад

    Hhhhhh mzee TRA ya Malawi ipo kweli au ni MRA siyo TRA tena

  • @tonnsimbasportsclub7168
    @tonnsimbasportsclub7168 5 лет назад

    Unajua kuna kityu kinaitwa kujiongeza hyo maana yake nikwamba hata wew unae Uza mchicha utoe hela ndohyo unatoa. Kupitia kitambulisho icho

  • @banshbansh2329
    @banshbansh2329 5 лет назад

    wengine hawaonekani namuona huyu na makonda tuu wengine wako wapi?

  • @barakatsuhhay5099
    @barakatsuhhay5099 5 лет назад

    Sasa hawa wanyonye mbn mnawachukulia pesa zao au vyuma vimebana na kwenu?

  • @emmanuelasheri7037
    @emmanuelasheri7037 5 лет назад

    Hawa wanao tembeza na kupanga vitu chini wanapiga hela tu mbona unakuta ana stock kubwa anatoa kidogo kodogo

  • @ammaliqyu5892
    @ammaliqyu5892 5 лет назад

    We thubutuu kujikunaa ahhhhhhh b

  • @arijankhalifa4148
    @arijankhalifa4148 5 лет назад

    Jaribu kujikuna hahahah

  • @gracemasawe6994
    @gracemasawe6994 5 лет назад

    Vyumba bado vipo😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @ramadhankibwana6425
    @ramadhankibwana6425 5 лет назад

    Kama unamkubali uyu Mzee tafazali usijikune utatupwa sero sasa hiv

  • @chachamagoti2400
    @chachamagoti2400 5 лет назад

    Kweli hii serkali ya wanyonge

  • @mkudekindulu9624
    @mkudekindulu9624 5 лет назад

    eti baba askofu chakupewa hahahahaaaa