Sio mkwara tu na kazi anapiga kiuhakika hatski mchezo. Alipokuwa naibu waziri tamisemi ndie alikuwa anagonga kuta zikipukuchika hilo ni jengo lako mkandarasi. Ni Kati ya waliodhamiria kuwatoa watu kwenye unyonge samba na rais was awamu ya TANO!!!
Kila anayetaKiwa kulipa kodi ni lazima alipe sema Watanzania wengi wamekua na ukinzani na sheria na taratibu wanazopewa,,na kisha haohao wanaokwepa kulipa kodi ndio namba moja kulalamika Elimu mbaya,huduma za afya mbaya hali ya maisha nayo ni mbaya n.k na kutolea mfano nchi zingine pasina kujua wananchi wa nchi hizo wanafuata sheria na taratibu na wanalipa kodi pasipo shuruti...mfano mzuri ni kenya
Kwani machinga yy hafai kuchangia pato la nchi? Acha utoto nchi hii ni yetu sote na tutaijenga sisi wenyewe bila kujali ni machinga ama una duka kikubwa ni kujihoji ww unachingia vpmnchi yako kimaendeleo
Malawi ata Kama unauza mchicha zinakusanywa na TRA ya Malawi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊😂😊😊😊😊😊lupango Tanzania revenue authority lengo Ni kuhakikisha ata wamachinga wanalipa kodi atujali cc tunaunga mkono ili mradi maendeleo tuyaone mpeni...... Kinachomuusu
Nenda kaulize kwa walioanzisha hii Kodi. Lengo ni nini? Mradi isiwe ya kumlemea mhusika. Mapato 5000 Kodi 100 au 200 huoni uwiano si was kulalamikia. Ni mazoea tu yanatusumbua.
Iko hivi kama tunapata risiti ya mia 200 kwenye vyoo vya mjini kwa nn wauza chai michicha na chakula wacwe na EFD MACHINE?? na ndo mkakati wa TANZANIA ya viwanda na kama umenielewa gonga like twende sambamba walipa kodi wenzangu
Tuache masiala wamachinga baadhi yao wanapiga faida zaid ya 11500 mpaka 70000 sasa unakuta kwa wastan machinga anapiga pesa kuliko mwenye fremu ndo mana k.koo wenye fremu walikuwa wanalalamika hawauzi aseee mmachiga ela anayopata kwa mwezi ni ya million 1 mpaka 2
Kama unamsikiliza Mzee wa comedy Wakati unasoma comment usijikune gonga tu like hapa
😁😁😁😁
Grace masawe ni balaa 😂 😂 😂
wale wa mtori na kisusio gonga like
Kikweli nakupenda sana mze wangu kanzi njema
Namupenda saaannaaaa huyu Mzee. Asante sana Mheshimiwa Mwanri
Namkubali sana huyu dingi,kwa mkwara tu ni noma sana.
Sio mkwara tu na kazi anapiga kiuhakika hatski mchezo. Alipokuwa naibu waziri tamisemi ndie alikuwa anagonga kuta zikipukuchika hilo ni jengo lako mkandarasi. Ni Kati ya waliodhamiria kuwatoa watu kwenye unyonge samba na rais was awamu ya TANO!!!
@@reachthegoal7624 Ni jembe la ukweli pia anajua kuwasiliana.Nampa salute sana akiwa next president inaweza kua poa sana.
Anamkwara mzito😂😂😂😂😂
George Karuga...anatisha cjutii mb zangu kwa huyu
ahaaaaaaah, nime elewa sasa kuhusu vitambulishoooooo, safi sana mkuuu
Thubutu tu jifanye
Unajikuna uende
Lupango
Hahaha aaaaa
MAma lishe na baba lishe,
Gonga like twende
Wanachukua hela mpk za.wauza vitumbua hatar sana
Huyu baba nahisi hata mke wake hajawahi kununa
Na alishahojiwa akathibitisha hilo
Kweli tena et mamy
Weeee mtu kama huyu achana nae akiwa nyumbn ni kaudhuuuuu mpaka familia yake inamuogopaaa
Kabisa yaani, ila jua kuwa kila mwenye mazuri, lazima ana mabaya yake pia. Lakini kiukweli huyu jamaa ni zaidi ya kiongozi
Mbona kama kuna mtu anajikuna hapo Mkuu.
Msonjo Aden unamchomesha mtu aende lupango
Alikua anafuta jasho
Soma hyoo somaaa
Yeeeeessssss kitambulisho ni kwa ajili ya kutambuana
Navutiwa sana maelekezo yabkiongozi huyubama kweli najivunia me kuwa mtanzania kwani haya maneno mazuri ningeyapata wp
safi Sana mkuu pigs kazi
mzee huyu nampendaje. he is fit
Safi baba piga kaz
Napenda sana hyu ni lzm ucheke
ingependeza baada ya magufuri ajekuwa rais wa nchi huyu mkuu,naamini watanzania tutakuja ishi kama wana wa israeli walipokuwa ktk nchi ya misr😱😱😱😱😱
Wamachinga hao kodi waanza kutoa ila hata hawatambui daaa elimu elimu elimu
HIVI KUTOA KODI NI KINYUME CHA SHERIA
kwani wakitoa kodi kunaubaya gani unazan mpaka lini tutegemee wahisan
Nan kasikia mh kasema TRA ya malawi anyoshe mkono juu ajifanye kama anajikuna.😂😂😂😂😂
kaobama abel 😂😂😂 narudia tena kuickiliza mzee mana cjackia iyoooo... 😂😂 TRA ya malawi tna??
😂😂😂😂😂😂🙋🙋
Mchemsho
TRA
ahahahahha
Mzee anavyo cheza ni Kama wale wa jigi jigi eeh jigi jigi jigi jigi
Kweli nimekubali waliotoka maisha ya shida ndio wanawajua wa2 wao balikiwa sana mkuu wa mkoa pia rais we2 wa nchi
nakukubali sana sana kiongozi
Kwa jicho la tatu ni kwamba kodi yaja mpaka kwa wamachinga....
.😢😢😢😢
Ni kweli maana kila mwaka watakuwa wanaupdate kila mwaka huyu jamaa
Rabai Katakweba Mungu awaongoze tu hayo makusanyo yawe sawa sawa na maendeleo ya nchi yetu...
#Tanzania
Inshaallah wasitokee wapigaji
Kila anayetaKiwa kulipa kodi ni lazima alipe sema Watanzania wengi wamekua na ukinzani na sheria na taratibu wanazopewa,,na kisha haohao wanaokwepa kulipa kodi ndio namba moja kulalamika Elimu mbaya,huduma za afya mbaya hali ya maisha nayo ni mbaya n.k na kutolea mfano nchi zingine pasina kujua wananchi wa nchi hizo wanafuata sheria na taratibu na wanalipa kodi pasipo shuruti...mfano mzuri ni kenya
Kwani machinga yy hafai kuchangia pato la nchi? Acha utoto nchi hii ni yetu sote na tutaijenga sisi wenyewe bila kujali ni machinga ama una duka kikubwa ni kujihoji ww unachingia vpmnchi yako kimaendeleo
Huyu mzeee ananifurahisha sanaaa, full kucheka tu kila nionapo clip zake full raha
Somaranii injiniaaa
Mzee wa kusukuma ndani napenda sana clip zake
Haya Dagaa,Dagaa 😂
hahahahha lubango hahahaa uyu baba atanifilisi kwakel mb zangu sijutiii
Hapa kazi tu
Hakina interview inayo nifurahishaga kama ya huyo mzee baba Sauti yke tuu inaniachag hoyi 😂😂😂😂😂😂
very nice
namkubali mzee
Lupangooooo
Jifanye unajikuna jifanye unasogea
🤣🤣🤣ana gari inatembea kama jet yan taa yupo kaliua taa yupo igunga hahahaha Mtani unanifurahisha sana. Nchi imeshikwa na mwanaume😆😆😆😆😂😂😂
Nisikilize naona mnaanza kupiga makofi amna cha bure hapa
Duuuuh spati picha ange kua baba yako
Hahaha haha nakuelewa sana mzee wa Lupango
mzee nampenda sana huwa ananimalizia stress zangu kabisa
alaf millard umeunga video ya uyo jamaa anaejifanya anajikuna😂😂😂😂 hahahaaaa aende lupango
Je maajenti WA usafirishaji WA Abiria
Eti pasu pasu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
pasu pasu😁😁
Hebu sema mgao
Huyo ni masikini alipishwaje tena 20000
aiseee nakukubali sanaa
kaz nzur
Soma hiyooooooo injiniaaaaaaaa
Malawi ata Kama unauza mchicha zinakusanywa na TRA ya Malawi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊😂😊😊😊😊😊lupango Tanzania revenue authority lengo Ni kuhakikisha ata wamachinga wanalipa kodi atujali cc tunaunga mkono ili mradi maendeleo tuyaone mpeni...... Kinachomuusu
Sumu ya panya, mende kunguni viroboto
viva mzeee
Daaah! Mmeamua, kuwatoaza Kodi hadi wauza mchicha!
Kweli Mungu anawaona.
Nenda kaulize kwa walioanzisha hii Kodi. Lengo ni nini? Mradi isiwe ya kumlemea mhusika. Mapato 5000 Kodi 100 au 200 huoni uwiano si was kulalamikia. Ni mazoea tu yanatusumbua.
Pasu pasu mzee baba
Huyu Mzee siku akitumbuliwa watu tutasikitika sana!
Nani anabisha 😂😂😂😂
Uyumzee mungu ana muona Hahaaaaaaa
Mzee Huyu Hana ttzo kabisa
Umepewa jeti oye mwanri
Mzee wa somaaa ,comoon 😂😂😂😂
Nice
hahahaaa daah unanipa raha wallah
TRA ya Malawi 😀😀🤔
Ni lugha ya kuwafanya watu wa kawaida wakuelewe hiyo.
Iko hivi kama tunapata risiti ya mia 200 kwenye vyoo vya mjini kwa nn wauza chai michicha na chakula wacwe na EFD MACHINE?? na ndo mkakati wa TANZANIA ya viwanda na kama umenielewa gonga like twende sambamba walipa kodi wenzangu
Tuache masiala wamachinga baadhi yao wanapiga faida zaid ya 11500 mpaka 70000 sasa unakuta kwa wastan machinga anapiga pesa kuliko mwenye fremu ndo mana k.koo wenye fremu walikuwa wanalalamika hawauzi aseee mmachiga ela anayopata kwa mwezi ni ya million 1 mpaka 2
Ngapi huko, injinia soma hiyoooooooooo
Huyo kajikuna
hadi pesa za muza dagaaaaa mh soma hyoooooooo
Hao dagaaa hao dagaaa hahaaaa
🖐
Hatar xana
ahaa! wamachinga ni kujipanga
jifanye kama unakijiti kichwani hatariii!! sana
Sema mgao
Unawaflahisha walioshiba kama wew ,
Hapo ndo mtaikubali ccm chukua chako mapema
TRA ya Malawi wanakusanya kodi hadi kwa wauza mchicha!!
Levina utasukumwa ndani shiri yako..😂😂😂
shori yako levina
T.R.A imefika hadi malawi
Misifa tu hio. Wanaitaga kiki sasa huyu zake zimepitiliza
daaah hakika hapa tumepata mkuu wa mkoa
khamis Shaban haya dagaa dagaa tena mtor na kisusio
Tabora mnafaidi sana
Kiwango cha virungu
Tunamsarutu hahahahahaaa thubutu
Huyu mzee acha atufurahishe
Yangu macho ila 2020 sifanyi makosa tena na tena
Huta tushinda.......unajipa moyo
Vitambulisho hivi havilipiwi 20,000/=🤣🤣 tz ya mhutu wa kagame
Mathius Thomas wewe mtutsi wa wapi? acha ujinga wewe jiangalie
Jitambue na utambue mipaka ya maaneno yako.
TRA ya Malawi 😀😀😀😀 jikune uone TRA ya Kenya
anae bisha anyooshe kidole ajifanye anajikuna haaaaaa
Hahahahaha....i like him
Ebu sema mgaoo...😀
Haaaha kijiti kichwan tena jamn
Nishady Hajil
mwaka huu tutacheka mbavu
Hhhhhh mzee TRA ya Malawi ipo kweli au ni MRA siyo TRA tena
Huyu hafaa Dsm
Unajua kuna kityu kinaitwa kujiongeza hyo maana yake nikwamba hata wew unae Uza mchicha utoe hela ndohyo unatoa. Kupitia kitambulisho icho
wengine hawaonekani namuona huyu na makonda tuu wengine wako wapi?
Sasa hawa wanyonye mbn mnawachukulia pesa zao au vyuma vimebana na kwenu?
Hawa wanao tembeza na kupanga vitu chini wanapiga hela tu mbona unakuta ana stock kubwa anatoa kidogo kodogo
We thubutuu kujikunaa ahhhhhhh b
Jaribu kujikuna hahahah
Vyumba bado vipo😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Kama unamkubali uyu Mzee tafazali usijikune utatupwa sero sasa hiv
Kweli hii serkali ya wanyonge
eti baba askofu chakupewa hahahahaaaa