Msukuma ahoji wanaosomeshwa kisha wanakuwa wezi; Aibua sakata la IPTL

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 ноя 2023
  • Mbunge wa Geita Vijijini (CCM) Joseph Msukuma leo Ijumaa, Novemba 3, 2023 wakati akichangia maoni yake kwenye ripoti za Kamati za Bunge za PIC, LAAC na PAC kuhusu Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG)

Комментарии • 4

  • @user-lz7rh1vr2y
    @user-lz7rh1vr2y Месяц назад

    Tatizo la mfumo wa uendeshaji wa hii serikali haki sawa ata sikumoja na ndiyo maana imeshakuwa kula lushwa nijambo la muhimu kuliko kupokea mshahara kwa Kila mwajiliwa Aya bwana watanzania wakawaida sisi ni washangiliaji tu wa hayo tunayo yajua

  • @hossenhossen1365
    @hossenhossen1365 8 месяцев назад

    Unfair

  • @user-jh9ow3xz8d
    @user-jh9ow3xz8d 8 месяцев назад

    Kiongozi huku nje tunaumia tunatapeliwa kwa jina la tulia ackison mtusaidie viongozi

  • @remmymmewa307
    @remmymmewa307 8 месяцев назад

    Kutesa kwa zamu, ila akina ss ndo tunaumia