MUSUKUMA ACHACHAMAA TENA ''MMEWAFIRISI WENYEWE, MNASIMAMA KUPIGA MAJUNGU''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 67

  • @ndiiyolazarolemoloo2164
    @ndiiyolazarolemoloo2164 2 года назад +8

    Nakubali sana una mawazo ya kimataifa mungu azidi kukulinda MH msukuma

  • @Fabulousmom509
    @Fabulousmom509 2 года назад +2

    Well said msukuma.. Unaakili sana

  • @pulltheskymusicgroup4475
    @pulltheskymusicgroup4475 2 года назад +10

    Kuna tofauti kubwa kati ya akili na uelewa , MSUKUMA ANA VYOTE ,ila wabunge wengi wanakimoja tu! MSUKUMA ANAJUA

    • @ezekielmwakalindile1922
      @ezekielmwakalindile1922 2 года назад

      Hakika uyu mwamba anajua kwa kweli ni mtu ambae anaongea pointi ni zaidi ya maprofesa bungeni

  • @ramadhanihassani1617
    @ramadhanihassani1617 2 года назад +3

    Nakukubali sana mbunge wa geita 🙏

  • @far_hard1301
    @far_hard1301 2 года назад +4

    NAKUPENDA MSUKUMAAAAAAA ALLAH AKULINDEEE UNAYOSEMA NI UKWELI NA KWA UCHUNGU

  • @onesphoryo407
    @onesphoryo407 2 года назад +4

    marehemu alisemaa,,,umasikini wa taifa letu ni viongozi wenyewe ..ila mungu atawalipa tu

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 2 года назад +2

    👏👏👏 R.I.P our lovely President JPM. Tunakukumbuka. Tumesha bebeshwa zigo la makodi na watatuua hawa majangili.

  • @makokoaizack2531
    @makokoaizack2531 2 года назад +2

    Well spoken hon.

  • @stevemedard
    @stevemedard 11 месяцев назад

    Upo Vzri Mh. King hakika unamaono mbili Sana

  • @fredialfredi202
    @fredialfredi202 2 года назад +2

    Nacho mpendea msukuma sio mnafiki, kongole kwako kipenz cha wengi.

  • @abelchacha5977
    @abelchacha5977 2 года назад +1

    Upo sawa. Mtandao ukitumika, kila siku waziri anaweza kufanya mikutana na kutoa maagizo kabla kaz hazijaanza

  • @lukasolemoson9253
    @lukasolemoson9253 2 года назад +5

    Hawa ndio wabunge wa watu wanajua wanachokiongea na wanafahamu wametumwa nn na wananchi wake

  • @johnsonkazana2900
    @johnsonkazana2900 2 года назад +6

    Jembe la kanda ya ziwa

  • @emmanueleliya6225
    @emmanueleliya6225 2 года назад +4

    Waziri wa fedha na mpango hanaga wazo mbadala zaidi ya kuwafanya watanzania kuwa mtaji kwa kuwabambikizia mitozo tu.
    Kati mawaziri zero huyu hakosekani...

  • @devidedward3644
    @devidedward3644 2 года назад +1

    Kila mwaka kitambulisho kitambulisho hiyo noma kabisa tujipange kwailo

  • @zulfaissa7814
    @zulfaissa7814 2 года назад

    Sikuzote mtu ambaye alichaguliwa kwakura za halali nahisi niwewe maana ukisimama kuongea nakutetea unatetea wananchi wako kwauchungu kulingana nanjinsi wananchi wako walivokuchagua maana kunabaadhi yatu wakobungen kwaajili ya. Kupiga makofi 2 nasiyokutetea wananchi wao Allah bless you my king msukuma

  • @yasiniselemani8672
    @yasiniselemani8672 2 года назад +1

    nakubali sana msukuma respect

  • @emmanuelmihayo1663
    @emmanuelmihayo1663 2 года назад

    Hapo sawa nida hewa

  • @mohdmbarouk8465
    @mohdmbarouk8465 2 года назад +2

    Yaaani sisi tusingekuwa na njaa kabisa ila viongozi ndio wabinafsi

  • @lukasolemoson9253
    @lukasolemoson9253 2 года назад +1

    Majembe hao hongera msukuma

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 2 года назад +9

    Tanzania ni tajiri. Wanaotupa umasikini ni viongozi wetu. Wana uongozi mbovu unatufanya kuwa masikini na wanatuongoza kama ng’ombe. Serikali hii ya Samia ni ya wawekezaji feki, waarabu, mafisadi na wahuni. Lala salama baba MAGUFULI. Ulisema tutakukumbuka na kweli.

  • @lilykarim8968
    @lilykarim8968 2 года назад

    Eti Mililani hamsini tunazilipaje huko ndapo msukuma ohoyeeeee

  • @chandleissa3969
    @chandleissa3969 2 года назад +3

    Msukuma

  • @emmanueleliya6225
    @emmanueleliya6225 2 года назад +4

    Umaskini wa Tanzania unatokana na umaskini wa akili ya viongozi wetu.
    Badala ya kuweka kipaumbele maslahi ya nchi wengi huwa wanajiangalia wao wenyewe

  • @allyjuma8088
    @allyjuma8088 2 года назад +3

    Sipika muache msukuma awaambie.wananchi kinachoendelea acha kumkatisha

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 2 года назад +2

    Hili jamaa nalikubaligi Sana

  • @ChaSam-fr3pg
    @ChaSam-fr3pg 2 года назад

    Huwez kuwa doctor wa darasan halaf ukaenda kweny siasa.. chaguen wabunge km msukuma anayeelewa adha ya mwananchi wa kawaida

  • @elishuaisaya4176
    @elishuaisaya4176 2 года назад +2

    Msukuma nayemjua

  • @lukasolemoson9253
    @lukasolemoson9253 2 года назад +1

    Yaani Kuna wabunge wengine wanatetea serikali kunyanyasa wananji

  • @josephjila957
    @josephjila957 2 года назад +1

    Mh msukuma huwa unanifuraisha!

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 2 года назад +1

    Kuusu mradi nikweli ni mkubwa kazi inaendelea vizuri sana hata mimi naakikisha hilo kwa sababu ni SEHEMU ya walioko huku

  • @elishangomele9937
    @elishangomele9937 2 года назад +3

    Hakika ni mbunge huyu

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 2 года назад

    Watoa taarifa jitahidini kuwa mnasimama kutoa taarifa zenyemchango kisawasawa siyo ilimladi tu uonekane nawewe umo kwenyemada yamwenzako

  • @meditationvibes9530
    @meditationvibes9530 2 года назад +2

    Unatakiwa uwe Rais waJMT

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 2 года назад +1

    Msukuma ana sifa ya kuwa raisi anajua hali halisi ya maisha ya kitanzania, aandaliwe kuwa raisi naomba watu wahv n wachache

    • @emmanuelzao
      @emmanuelzao 2 года назад

      Hawezi kuwa hata waziri sababu ya kiwango cha elimu yake.🫥

    • @juliusdonard933
      @juliusdonard933 2 года назад

      Daaa ila elimu si kitu inatosha aliyonayo

  • @jumaally2469
    @jumaally2469 2 года назад

    Tuache kuchagua chama tuchague viongoz awa jamaa wameshindwa kuongoza hii nchi

  • @valentinoyusuph5080
    @valentinoyusuph5080 2 года назад +2

    Msukuma ww nizaid yakiongoz yan una muuono wambari

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 2 года назад

    Anayemuona msukuma hana akil na ni mtumish wa selikali basi ujue hana huruma na wananchi wa tz so hafai

  • @abelchacha5977
    @abelchacha5977 2 года назад

    Hakuna mmachinga atalamba hata mia. Wapigaji wamerudi

  • @fredmbossa
    @fredmbossa 2 года назад

    Tatizo lipo Kwa mipango miji,,,kikawaida soko linatakiwa likae pembeni kabisa mwa barabara kuu ili wateja wasione uvivu kulifata lkn wewe soko unaweka uswekeni ndanindani je nani ataenda huko kununua vitu alafu kumbukeni kuwa kwenye biashara mteja ni mfalme ndoomana mteja mazingira ya sehemu anayofata bidhaa kama yanampa ugumu basi hapo hutomuona kwenda,,,Kwa upande wa hospitali hata ukiweka ndanindani lazima watu waende tu maana ni wagonjwa ,,,naishauri serikali wajenge masoko pembeni mwa barabara kuu ( main road ),,

  • @devidedward3644
    @devidedward3644 2 года назад

    Pia msukuma anakipaji

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 2 года назад

    Bwawa la mwalimu Nyerere??

  • @jimonmwakalebela9470
    @jimonmwakalebela9470 2 года назад

    Umelambishwa pesa

  • @far_hard1301
    @far_hard1301 2 года назад +1

    Kuna vibunge vingine havina hata mvuto wa kuwepo bungeni kama hicho hadija taya sijui kinasimama kinavuruga mbunge mwenzake anaongelea vitu muhimu kwaajili ya nchi kinatoa taarifa useless kabisa

  • @daudinyanda2499
    @daudinyanda2499 2 года назад

    phd pekee iliyobaki bungeni

  • @emanuelndaki1703
    @emanuelndaki1703 2 года назад

    Elimu bure kidato Cha tano niviini macho.

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 2 года назад

    Msukuma kunywa bia bili kwangu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍

  • @praygodarmstrong7670
    @praygodarmstrong7670 2 года назад

    Kuna taarifa za kipuuzi kabisa unawezamkata kofi mbunge wako

  • @opijohnjohnbosco2710
    @opijohnjohnbosco2710 2 года назад

    Kwer

  • @alphonceephulaim1274
    @alphonceephulaim1274 2 года назад

    Huyo laihisi wako kama anaikataa demokorsià anadai katiba mbovu yeye ariwezaje kuwa rahis was nchihii ulitakiwa ufanyike uchaguzi achaguliwe rais kwamba katiba mbovu etlinasema lilimefanya hakizabinadamu wapi aukwenda mbowe gerezani ndiohakiza binadam

  • @allyjuma8088
    @allyjuma8088 2 года назад

    Naona mnapiga. Tu makofi hapo

  • @victormushi6641
    @victormushi6641 2 года назад

    diamond pia aitwe dr.

  • @far_hard1301
    @far_hard1301 2 года назад +1

    Tuna mawaziri useless kabisaaa

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 2 года назад

    Akili huna wewe siku hizi sijui unakula maharage ya wapi?,miez 36 imeisha kwanin halijakamilika?

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 2 года назад

    Asipomegewa anaenda bungeni kupiga kelele. Kula nao wewe Dr

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 2 года назад

    Kuma wewe

  • @djtiffa9664
    @djtiffa9664 2 года назад +1

    MAMBO 5 MUHIMU YA KUZINGATIA UPONE KANSA ; DAWA YA KANSA YA AINA YOYOTEruclips.net/video/ZgfBwGAJlrQ/видео.html

  • @halimonimwaiteleke5291
    @halimonimwaiteleke5291 Год назад

    Msukuma