Waziri wa fedha na mpango hanaga wazo mbadala zaidi ya kuwafanya watanzania kuwa mtaji kwa kuwabambikizia mitozo tu. Kati mawaziri zero huyu hakosekani...
Sikuzote mtu ambaye alichaguliwa kwakura za halali nahisi niwewe maana ukisimama kuongea nakutetea unatetea wananchi wako kwauchungu kulingana nanjinsi wananchi wako walivokuchagua maana kunabaadhi yatu wakobungen kwaajili ya. Kupiga makofi 2 nasiyokutetea wananchi wao Allah bless you my king msukuma
Tanzania ni tajiri. Wanaotupa umasikini ni viongozi wetu. Wana uongozi mbovu unatufanya kuwa masikini na wanatuongoza kama ng’ombe. Serikali hii ya Samia ni ya wawekezaji feki, waarabu, mafisadi na wahuni. Lala salama baba MAGUFULI. Ulisema tutakukumbuka na kweli.
Tatizo lipo Kwa mipango miji,,,kikawaida soko linatakiwa likae pembeni kabisa mwa barabara kuu ili wateja wasione uvivu kulifata lkn wewe soko unaweka uswekeni ndanindani je nani ataenda huko kununua vitu alafu kumbukeni kuwa kwenye biashara mteja ni mfalme ndoomana mteja mazingira ya sehemu anayofata bidhaa kama yanampa ugumu basi hapo hutomuona kwenda,,,Kwa upande wa hospitali hata ukiweka ndanindani lazima watu waende tu maana ni wagonjwa ,,,naishauri serikali wajenge masoko pembeni mwa barabara kuu ( main road ),,
Kuna vibunge vingine havina hata mvuto wa kuwepo bungeni kama hicho hadija taya sijui kinasimama kinavuruga mbunge mwenzake anaongelea vitu muhimu kwaajili ya nchi kinatoa taarifa useless kabisa
Huyo laihisi wako kama anaikataa demokorsià anadai katiba mbovu yeye ariwezaje kuwa rahis was nchihii ulitakiwa ufanyike uchaguzi achaguliwe rais kwamba katiba mbovu etlinasema lilimefanya hakizabinadamu wapi aukwenda mbowe gerezani ndiohakiza binadam
Nakubali sana una mawazo ya kimataifa mungu azidi kukulinda MH msukuma
Well said msukuma.. Unaakili sana
Kuna tofauti kubwa kati ya akili na uelewa , MSUKUMA ANA VYOTE ,ila wabunge wengi wanakimoja tu! MSUKUMA ANAJUA
Hakika uyu mwamba anajua kwa kweli ni mtu ambae anaongea pointi ni zaidi ya maprofesa bungeni
Nakukubali sana mbunge wa geita 🙏
NAKUPENDA MSUKUMAAAAAAA ALLAH AKULINDEEE UNAYOSEMA NI UKWELI NA KWA UCHUNGU
marehemu alisemaa,,,umasikini wa taifa letu ni viongozi wenyewe ..ila mungu atawalipa tu
👏👏👏 R.I.P our lovely President JPM. Tunakukumbuka. Tumesha bebeshwa zigo la makodi na watatuua hawa majangili.
Well spoken hon.
Upo Vzri Mh. King hakika unamaono mbili Sana
Nacho mpendea msukuma sio mnafiki, kongole kwako kipenz cha wengi.
Upo sawa. Mtandao ukitumika, kila siku waziri anaweza kufanya mikutana na kutoa maagizo kabla kaz hazijaanza
Hawa ndio wabunge wa watu wanajua wanachokiongea na wanafahamu wametumwa nn na wananchi wake
Jembe la kanda ya ziwa
Waziri wa fedha na mpango hanaga wazo mbadala zaidi ya kuwafanya watanzania kuwa mtaji kwa kuwabambikizia mitozo tu.
Kati mawaziri zero huyu hakosekani...
Kila mwaka kitambulisho kitambulisho hiyo noma kabisa tujipange kwailo
Sikuzote mtu ambaye alichaguliwa kwakura za halali nahisi niwewe maana ukisimama kuongea nakutetea unatetea wananchi wako kwauchungu kulingana nanjinsi wananchi wako walivokuchagua maana kunabaadhi yatu wakobungen kwaajili ya. Kupiga makofi 2 nasiyokutetea wananchi wao Allah bless you my king msukuma
nakubali sana msukuma respect
Hapo sawa nida hewa
Yaaani sisi tusingekuwa na njaa kabisa ila viongozi ndio wabinafsi
Majembe hao hongera msukuma
Tanzania ni tajiri. Wanaotupa umasikini ni viongozi wetu. Wana uongozi mbovu unatufanya kuwa masikini na wanatuongoza kama ng’ombe. Serikali hii ya Samia ni ya wawekezaji feki, waarabu, mafisadi na wahuni. Lala salama baba MAGUFULI. Ulisema tutakukumbuka na kweli.
🙏🙏
Eti Mililani hamsini tunazilipaje huko ndapo msukuma ohoyeeeee
Msukuma
Umaskini wa Tanzania unatokana na umaskini wa akili ya viongozi wetu.
Badala ya kuweka kipaumbele maslahi ya nchi wengi huwa wanajiangalia wao wenyewe
Sipika muache msukuma awaambie.wananchi kinachoendelea acha kumkatisha
Hili jamaa nalikubaligi Sana
Huwez kuwa doctor wa darasan halaf ukaenda kweny siasa.. chaguen wabunge km msukuma anayeelewa adha ya mwananchi wa kawaida
Msukuma nayemjua
Yaani Kuna wabunge wengine wanatetea serikali kunyanyasa wananji
Mh msukuma huwa unanifuraisha!
Kuusu mradi nikweli ni mkubwa kazi inaendelea vizuri sana hata mimi naakikisha hilo kwa sababu ni SEHEMU ya walioko huku
Hakika ni mbunge huyu
Watoa taarifa jitahidini kuwa mnasimama kutoa taarifa zenyemchango kisawasawa siyo ilimladi tu uonekane nawewe umo kwenyemada yamwenzako
Unatakiwa uwe Rais waJMT
🤣
@@nyerere1259 nataka tuone mengii😂😂
Msukuma ana sifa ya kuwa raisi anajua hali halisi ya maisha ya kitanzania, aandaliwe kuwa raisi naomba watu wahv n wachache
Hawezi kuwa hata waziri sababu ya kiwango cha elimu yake.🫥
Daaa ila elimu si kitu inatosha aliyonayo
Tuache kuchagua chama tuchague viongoz awa jamaa wameshindwa kuongoza hii nchi
Msukuma ww nizaid yakiongoz yan una muuono wambari
Anayemuona msukuma hana akil na ni mtumish wa selikali basi ujue hana huruma na wananchi wa tz so hafai
Hakuna mmachinga atalamba hata mia. Wapigaji wamerudi
Tatizo lipo Kwa mipango miji,,,kikawaida soko linatakiwa likae pembeni kabisa mwa barabara kuu ili wateja wasione uvivu kulifata lkn wewe soko unaweka uswekeni ndanindani je nani ataenda huko kununua vitu alafu kumbukeni kuwa kwenye biashara mteja ni mfalme ndoomana mteja mazingira ya sehemu anayofata bidhaa kama yanampa ugumu basi hapo hutomuona kwenda,,,Kwa upande wa hospitali hata ukiweka ndanindani lazima watu waende tu maana ni wagonjwa ,,,naishauri serikali wajenge masoko pembeni mwa barabara kuu ( main road ),,
Pia msukuma anakipaji
Bwawa la mwalimu Nyerere??
Umelambishwa pesa
Kuna vibunge vingine havina hata mvuto wa kuwepo bungeni kama hicho hadija taya sijui kinasimama kinavuruga mbunge mwenzake anaongelea vitu muhimu kwaajili ya nchi kinatoa taarifa useless kabisa
phd pekee iliyobaki bungeni
Elimu bure kidato Cha tano niviini macho.
Msukuma kunywa bia bili kwangu
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
Kuna taarifa za kipuuzi kabisa unawezamkata kofi mbunge wako
Kwer
Huyo laihisi wako kama anaikataa demokorsià anadai katiba mbovu yeye ariwezaje kuwa rahis was nchihii ulitakiwa ufanyike uchaguzi achaguliwe rais kwamba katiba mbovu etlinasema lilimefanya hakizabinadamu wapi aukwenda mbowe gerezani ndiohakiza binadam
Naona mnapiga. Tu makofi hapo
diamond pia aitwe dr.
Tuna mawaziri useless kabisaaa
Akili huna wewe siku hizi sijui unakula maharage ya wapi?,miez 36 imeisha kwanin halijakamilika?
Asipomegewa anaenda bungeni kupiga kelele. Kula nao wewe Dr
Kuma wewe
MAMBO 5 MUHIMU YA KUZINGATIA UPONE KANSA ; DAWA YA KANSA YA AINA YOYOTEruclips.net/video/ZgfBwGAJlrQ/видео.html
Msukuma