SHABIBY AFOKA BUNGENI "MNAWEKA VITU VYA HOVYO, WAPIGA DEBE WA MTANDAO, WABOVU, MNALETA MIZOZO"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 42

  • @abdulabdy6822
    @abdulabdy6822 3 месяца назад +3

    Hongera Sana Shabiby umeongea vizuri sana, naamin ujumbe umefika

  • @michaelmlugu5654
    @michaelmlugu5654 3 месяца назад +2

    Hongera mbunge wetu kwa hoja zenye mashiko

  • @lukakure1002
    @lukakure1002 3 месяца назад

    Hongera sana boss, umesema ukweli ila bahati mbaya unapita sikio hili na kutokea lingine, safi sana! Taasisi nyingi kwa sasa zinajikita kwenye kupata hela, kama basi moja tu kodi ni mil 102, na kila siku tunaona mabus mapya duh hii nchi inahitaji reform

  • @user-uy7nn2bp6o
    @user-uy7nn2bp6o 3 месяца назад

    Mh nduguyangu kaka uko vizuri sana 🙏🙏 mngu akutanguliye akusimamiye

  • @hssanrubota3891
    @hssanrubota3891 3 месяца назад

    Hapo uko vizuri sana sana na Mungu akubariki kuwatetea wanyonge mm nashauri ifikie mama awe mkali siyo kulea hawa chawa wanamharibia sana yaani huku mitaani ni majana

  • @user-yd2bo4fn2w
    @user-yd2bo4fn2w 3 месяца назад +1

    Leo Latra Kwa Bajaj na boda zipo aina 2, Kwa ajili ya Bolt na ya kawaida, huu ni wizi mkuu, watu wanaungana kuibia wananchi hasa vijana

  • @lemsanyajoel8360
    @lemsanyajoel8360 3 месяца назад

    Hongera sana shahabby....wape ukweli...wapi ga mama wako uko uko bungeni...sisi wananchi tupo na mama.

  • @PeterKISUNGA
    @PeterKISUNGA 3 месяца назад

    SHABIBY LINE PRO MAX NEXT LEVEL

  • @ExaveryNgonji-hl6ym
    @ExaveryNgonji-hl6ym 3 месяца назад

    Ongera sana boss wetu

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 3 месяца назад

    Uko sawa mh shabiby

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 3 месяца назад +2

    Ni kweri kwa mfano kuingiza vitenge nchini kotena ushuru hauripiki wafanya bisha ra wamenda Zambia kufungua maduka

  • @mpambanajitz7026
    @mpambanajitz7026 3 месяца назад +1

    Nimeipenda SANA hii ya Dereva kufuga RASTA 🤣🤣🤣🤣

  • @RobertJonathan-jm5um
    @RobertJonathan-jm5um 3 месяца назад

    True

  • @RichardLyamuya
    @RichardLyamuya 3 месяца назад +1

    Kabla ya kupewa nafasi usaili ufanyike kama nchi nyingine tatizo ni kuwekana tu kwenye mamlaka za serikali..

  • @user-hu2ue6kt7l
    @user-hu2ue6kt7l 3 месяца назад

    Watu wanatwanga Hela huko sio mchezo na huo ndo ukweli😂😂😂😂😂😂😂

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 3 месяца назад

    Safi sana

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 3 месяца назад +2

    Huyu mbunge uwa anaongea facts bila kumumunya maneno,amewapa ukweli na inabidi nyie wabunge wengine changieni kama hivyo points zenye mantiki

  • @MASTERPETRO-nk8rh
    @MASTERPETRO-nk8rh 3 месяца назад +1

    Mh, mbunge umeongea vizuri lakini hao bodaboda waache wanyooke maana wakiambiwa linchi hili limejaa upigaji unyonyaji na utesaji hawaelewi tena wakishapewa rita ya mafuta ndowanachanganyikiwa " BADO HAWAJASEMA

  • @sofiakhan9706
    @sofiakhan9706 3 месяца назад

    Ni kweli vyote vimerudi usiku kucha wako barabarani na natra na tra na uwara wote wako barabarani/maduka /mikahawa ????

  • @niffonlinetz7214
    @niffonlinetz7214 3 месяца назад

    SHABIBY 😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾 UNA KITU USIKILIZWE

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 3 месяца назад +1

    Wabunge wazarendo wako wachache sana Tanganyika

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 3 месяца назад

    Huyu shabibi ni mzalendo safi sana

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 3 месяца назад

    Hii nchi wanapenda tozo

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 3 месяца назад

    Umenipa elimu ya nini maana ya engine mbele

  • @user-zb5qz6fk1v
    @user-zb5qz6fk1v 3 месяца назад

    Hawa latra ni shida kwanini wasiondolewe Tu ni usumbufu tupu .
    Kupata Sumatra ya lorry ni rushwa na usumbufu tupu hii ni mamlaka ya hovyo sana

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga9638 3 месяца назад

    Mi silielewi hili bunge kaxi yake ni kusaport serikali au kisimamia ila hii nchi kaxi kwrli spika alikuwa mzee sita peke yake

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 3 месяца назад

    Ndio maaana ajari ni nyingi sana ni kwanini boda boda hawana reseni kweli .

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v 3 месяца назад

    Mabasi ya shule tulia arson ongea tu fasta ..watoto wanauma sana ujue

  • @paulokateme7615
    @paulokateme7615 3 месяца назад

    Bila professional wa uchumi kukaa pembeni hali haitakaa itulie.

  • @JacksonProsper
    @JacksonProsper 3 месяца назад

    Uko poa sana

  • @jeremiamwakilimaji8284
    @jeremiamwakilimaji8284 3 месяца назад

    Kitengo Cha usafilishaji hakina mtetezi.

  • @santinosabugo2114
    @santinosabugo2114 3 месяца назад

    mbunge wa gailo akili nyingi sana jamani wanagailo msije mkampoteza huyu Mzee michango yake huwa naipenda kutoka moyoni akili nyingi sana

  • @luthermartin1098
    @luthermartin1098 3 месяца назад

    Mh. Mbunge nikuulize nani katunga hizo sheria?

  • @priscillachristiansen4331
    @priscillachristiansen4331 3 месяца назад

    Tena hawajui sheria wanagonga raia barabarani wanaua raia. Hao bodaboda.

  • @JosephJon-wk6il
    @JosephJon-wk6il 3 месяца назад

    ukovizuli shabibi hata polisi hasamaveko wanakulu luswa tuu hawakagui mabasi

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 3 месяца назад

    Makeme mbarawa jafari makamba Samia sluu Hasan Hawa watu sura zao tuu zinaonekana

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 3 месяца назад

      Kodi zikusanywe pamoja TRA, digital igawe huko. Tusibuguzi raia

  • @richardrugemalira6934
    @richardrugemalira6934 3 месяца назад

    Haya kasema mwenzenu. Ingekuwa CHADEMA kayasema hayo makamu rais wa CCM angeunguruma ....ATC haitaweza kufanikiwa kutokana na mwelekeo mpya ktk uwekezaji wa biashara ya ndege. Ni mataifa matajiri sana hususan ya kiarabu na bara Asia pekee yawezayo kuwa na mashirika ya ndege ya nchi yenye tija. Afrika hakuna hata moja iliyosimama