🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • 🔴#Live: HUYU NDIYE MAKONDA SASA! ANAWABANANISHA WATUMISHI HADHARANI AKITAKA MAJIBU - KIMENUKA!
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 50

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  3 месяца назад +1

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @user-ks7zc6kd7u
    @user-ks7zc6kd7u 3 месяца назад +6

    Yes uchawi haufui dafu mbele ya DAMU YA YESU BIG UP MUHESHIMIWA MAKONDA

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw 3 месяца назад +5

    ❤❤❤❤❤Nasubir agombee kit chochote nimpe kura

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 3 месяца назад +6

    Hili jamaa hata ulipe uwenyekiti wa kijiji litasikika tanzania nzima hahahaha Mungu akuweke mkuu akitoa samia tunatarajia uwe raisi uwokoe kikazi chetu

  • @joelyngomuo7441
    @joelyngomuo7441 3 месяца назад +6

    Makonda ni shujaa kama Daudi ananidungulia magoliati wa taifa paaaaaaa! Mungu akulinde kaka angu makonda kunasiku wala sio mbali sana utakuwa waziri mkuu au makamu wa raisi

  • @sharafisaidi7999
    @sharafisaidi7999 3 месяца назад +6

    Mama angepata Kam Hawa 10 TU apete miaka 10

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 3 месяца назад +3

    Watumishi wazembe na wezi wajipange makonda akikufikia unalo

  • @StevenFiyovele
    @StevenFiyovele 3 месяца назад +2

    Aisee wewe ni mwambaaa🎉🎉🎉🎉🎉

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 3 месяца назад +2

    Yaani kuongoza bongo ni shida sana

  • @hbdina
    @hbdina 3 месяца назад +2

    🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 tuna tabu?Haha ni viongozi gani?Viva Paul Makonda 🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 3 месяца назад +5

    Makonda ni mtu na nusu

  • @iloveyouyusra
    @iloveyouyusra 28 дней назад

    Nakupenda sana mdogo wangu makonda mungu akuulinde na kukuongoza AMEEN

  • @beckhmediaproduction7624
    @beckhmediaproduction7624 3 месяца назад +1

    Jamani Mungu azidi kumsaidia huyu mkaka natamani mikoa mingine iige mfano huu

  • @swimmermoddy3263
    @swimmermoddy3263 3 месяца назад

    Sister engineer yupo vizuri saana

  • @PhilipoMwasha
    @PhilipoMwasha 3 месяца назад

    Dada upo vizuri sana

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 3 месяца назад +1

    Aibu kwa mkuu wa Wilaya wananchi hawataki kukutanae, Mama mtoe huyo mkuu wa wilaya anashida ya utendaji, pengine sio mwana CCM wa damu, anaiangusha.

  • @mashakaamosgabinza3893
    @mashakaamosgabinza3893 3 месяца назад +1

    Dooo serikali hiyo hiyo inakula serikali hiyo hiyo jipu hilo

  • @mashakaamosgabinza3893
    @mashakaamosgabinza3893 3 месяца назад +1

    Majipu hayo

  • @dismascosmas7860
    @dismascosmas7860 3 месяца назад +1

    Dada yupo vizuri unamtfutia engo

  • @Binahmed1234
    @Binahmed1234 3 месяца назад

    Kenya tunataka kama mweshimiwa Makonda.

  • @PhilipoMwasha
    @PhilipoMwasha 3 месяца назад

    Dada narudia we upo vizuri sanaaaas nakupongeza

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 3 месяца назад +1

    Ze Jembe ndani ya KARATU Kesho... Firee ndan ya Fireee💉💉🥳🥳💥

  • @janetymusa610
    @janetymusa610 3 месяца назад

    Kwa kweli mtumishi wamungu endelea hiyohiyo wanaokuchukia wanatumiwa na ibilisi na ibilisi sikuzote anapenda uongo kwa hio kwa wote wanaokuchukia wanamchukia mungu.hata yesu wabaya walimchukia lakini yesu alitenda haki usiombe wakupende kwasababu ni watu wa duniani na wewe ni wa mungu.waraka wa yohana 3-8 azitendae thambi ni wa shetani na siajabu wakaongea uongo baba Yao aliongea uongo tokea mwanzo.soma tena kitabu hichohicho 3-1-2 wewe ni mwana wa mungu na dio maana Dunia haikupendi tenda haki kama suleimani utalipwa mbinguni.

  • @PhilipoMwasha
    @PhilipoMwasha 3 месяца назад

    Acha kudhalilisha watu,hekima Hana pia uwa nashangaa rais Samia anatumia utaratibu gani kuwateua,lakini hata nyinyi watumishi inabidi mdhalilishe kwa kuwa mmezid ubabaishaji ndio mkome kufanya mzahaa kwenye kazi

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 3 месяца назад +1

    Mh.Makonda utendaji wako kwa jinsi unavyochambua mambo utadhani una miaka 60 ya utumishi katika idara mbalimbali,ni ajabu! Yani ungekua utendaji wa kisheria na katiba na sio maelekezo kwa RC wa mkoa mmoja tu, hakika ungestahili kuwa Rais wa Afrika...

  • @sharafisaidi7999
    @sharafisaidi7999 3 месяца назад

    Hongera San Mkuu Kazi Yako ni njema nikiwahi kusema kulipa kodi siyo tatizo,watu walipe hata kama kuongezwa ziongezwe ila swali je kila aliyepewa nafasi anajua kwamba Kazi ni dhamana na unalipwa Kwa Kodi zetu ni lazima atawajibika na kujenga nidhamu ya Hali ya juu San huku ukijua nafasi uliyonayo walioikosa ni wengi iwe idara,iwe nafasi ya juu mpaka Sasa uko vizuri San ongeza kushtukiza kwenye maeneo hayo 1- watoa Huduma TRA,AFYA,DAWASA,NA MAENEO YANAYOFANANA NA HAYO

    • @KisasaMikidadi
      @KisasaMikidadi 3 месяца назад

      ^llplp-ll
      llpllloo^^^ooooooooooolooloolololllololooolooooo^ooloo^^^^koklooooooollqloloop~^oollolool^^ooooooooooooooooolo^oookoooooooooo^oll

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 3 месяца назад

    Wanaichi mngekaa chini mnge enjoy mno

  • @janetymusa610
    @janetymusa610 3 месяца назад

    Wakumbuke mamayeyo wa longido wanaumia wengine wao ndio wanao lisha familia zao babayeyo wengine wanakunywa pombe Yani wao na pombe pombe na wao namba tu mazingira ya utalii nabiadhara ya maziwa iimarishwe ili wajikwamuwe kiuchumi waache kufanya KAZI ngumu.hata kwenye hio shule mpia wamama wengine sana walifanya KAZI ya kukoroga zege wengine walikula na mimba wengine Wana watoto wasogo na wengine hawakulipwa.

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 3 месяца назад +1

    Jamani mwl kajitahidi sana. hesabu pia unawwzakosea

    • @svt3
      @svt3 3 месяца назад

      Mwalimu hakuna alicho jitahidi inaonekana pesa wamezi gawanya gawanya mpaka hesabu zinashindwa kusoma

  • @johnmbatta9872
    @johnmbatta9872 3 месяца назад

    Makonda, wabane hao wizi wazitapike hela walizoiba. Aliyesema kama unawadhalilisha, naye muweke kitako. Ni sehemu ya hao wizi.

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 3 месяца назад

    Mkutano kama huu unaonyesha ni kiasi gani utendaji was kazi wa watumishi uko chini kiasi gani. Hakuna anayejari na hakuna anyefatilia. Serikali inahitaji mabadiliko makubwaya kiutendaji.

  • @GeorgeMwasibata
    @GeorgeMwasibata 3 месяца назад

    Kaka po hakika ww ni mrisi wa Mzee wetu wa Simba wa yuda jpm mama wap Aly happy waungane kupiga spana maana Kuna nati zimejaa kutu

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 3 месяца назад +1

    Makonda tubu sana Kwa Mungu wakati wa jiwe mlitesa sana watu acha unafiki

    • @Rolemodel_wa_taifa
      @Rolemodel_wa_taifa 3 месяца назад

      Ushahidi unao wa hayo au na wewe ndio wale matapeli mtapigwa spana mpaka makalio yaseme hayo shenzi kabisa

  • @king_maik6375
    @king_maik6375 3 месяца назад

    😅

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 3 месяца назад

    Si kweli. Misri, Morocco Afrika Kusini, hata Kenya wako mbele. Morocco pekee yapokea watalii milioni 20 dhidi ya Bongo wasiozidi milioni 2!

    • @Rolemodel_wa_taifa
      @Rolemodel_wa_taifa 3 месяца назад

      Morocco haipokei Millions 20 acha kudanganya watu

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 3 месяца назад

    Ajabu Namanga hakuna umeme,mji wa mpakani, aibu kubwa.

  • @dismascosmas7860
    @dismascosmas7860 3 месяца назад

    Wapongeze wamejitahidi

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 3 месяца назад +1

    Makonda acha unafiki

  • @saidabdillahi8107
    @saidabdillahi8107 3 месяца назад

    "Every thing is all right; only one problem" Samia ni Mzanzibari sio Mtanganyika😂

  • @king_maik6375
    @king_maik6375 3 месяца назад

    😂

  • @katalamohamed4305
    @katalamohamed4305 3 месяца назад +2

    Makonda unasema mkeo mzuri nani kakuuliza Acha kumdharau huyo dada usidharau wanawake huyo MAMA SAMIA PIA NI MWANAMKE

    • @king_maik6375
      @king_maik6375 3 месяца назад +1

      Kwani kambiwa una sura mbaya?

    • @svt3
      @svt3 3 месяца назад

      Yaani mtu kusema nina mke na mzuri ni bibaya?❤❤🤔🤔

    • @nyiqatonyiqa7114
      @nyiqatonyiqa7114 3 месяца назад +1

      Una tatizo kubwa wewe 😢, nani kadharauliwa hapo au kasushwa sifa?????😮😮😮😮

  • @king_maik6375
    @king_maik6375 3 месяца назад

    😅