PROF. MUHONGO AMPA SOMO KIKWETE BUNGENI, BUNGE LATULIA, NONDO ZA KUTOSHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 11

  • @adelinelyaruu3036
    @adelinelyaruu3036 15 дней назад

    Dira ya maendeleo ya taifa 2050 iangalie uwezekano wa kuwa na hizo pension schemes mbalimbali.
    Secondly, monthly pension after retirement iendane na living wage..Big up Profesa

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 15 дней назад +1

    Dira ya mwaka 2050 ndo maana tunaendelea kufeli nchi haziendelei kwa maana mnakuwa mmewapangia sheria ambazo zitakuwa haziendani na wakati ule tayar nyie mtakuwa mmesitaafu na kuacha sheria mbovu pangeni dira ndani ya vipindi vya awamu zenu tutapiga hatua ndo maana leo hii tunahangaika na katiba inayotukandamiza na kuwalinda watawala bila adhabu huru

  • @HemedMsangi-yy8pn
    @HemedMsangi-yy8pn 13 дней назад

    Na serekali yetu nayo iwe na huruma kwa wastaafu wake kwani michango yao ya miaka hiyo ndio, miradi ya mifuko iliyotapakaa nchini kote ,hivyo kumlipa mtu pensheni ya shs.100,000/_ kwa miaka zaidi ya 20 ni dhuluma. Naomba viongozi muwe na huruma. Tumewaamini tukawapa uongozi , basi nasi mtuthamini.

  • @deohaule8161
    @deohaule8161 15 дней назад +1

    Kwani hizo pension schemes hazina riba pale zikikaa kwenye benki?

  • @salehali976
    @salehali976 15 дней назад +1

    Sidhani kama hili litatokea ndani ta Tanzania. It is wishful thinking.
    Sioni hili kutokea ndani ya CCM. Mnashindwa kujenga tundu la choo mtaweza kuunda pension schemes za watu wa sekta binafsi.
    Continue dreaming.

    • @geey7893
      @geey7893 13 дней назад

      Wishful whaaaat???😂

  • @danielstephen4374
    @danielstephen4374 14 дней назад

    Unaposema Rikikwete wepo miaka 30 aendelee kuboresha wizara huoni unaleta mambo ya kifalme kwenye nchi yetu? Au ndo mmeshakubaliana kwenye kikao cha mgao wa nchi?

  • @KeiFerouz-fn9oc
    @KeiFerouz-fn9oc 15 дней назад

    Maprofesa wanalilia pesheni badala ya gawio hv faida ya profesa tanzania ni ipi ?maana sioni kama wana faida ktk taifa

  • @elimuvisioncenter
    @elimuvisioncenter 15 дней назад

    somo gani ??? sema amechangia tu

  • @fidelismwakanyamale6787
    @fidelismwakanyamale6787 15 дней назад

    Huyu ni mtu na nusu

  • @BituroPaschalKazeri
    @BituroPaschalKazeri 15 дней назад

    MAFAO yawe asilimia fulani ya mshahara wa mtu aliye kwenye nafasi kama yake