Dira ya maendeleo ya taifa 2050 iangalie uwezekano wa kuwa na hizo pension schemes mbalimbali. Secondly, monthly pension after retirement iendane na living wage..Big up Profesa
Dira ya mwaka 2050 ndo maana tunaendelea kufeli nchi haziendelei kwa maana mnakuwa mmewapangia sheria ambazo zitakuwa haziendani na wakati ule tayar nyie mtakuwa mmesitaafu na kuacha sheria mbovu pangeni dira ndani ya vipindi vya awamu zenu tutapiga hatua ndo maana leo hii tunahangaika na katiba inayotukandamiza na kuwalinda watawala bila adhabu huru
Na serekali yetu nayo iwe na huruma kwa wastaafu wake kwani michango yao ya miaka hiyo ndio, miradi ya mifuko iliyotapakaa nchini kote ,hivyo kumlipa mtu pensheni ya shs.100,000/_ kwa miaka zaidi ya 20 ni dhuluma. Naomba viongozi muwe na huruma. Tumewaamini tukawapa uongozi , basi nasi mtuthamini.
Sidhani kama hili litatokea ndani ta Tanzania. It is wishful thinking. Sioni hili kutokea ndani ya CCM. Mnashindwa kujenga tundu la choo mtaweza kuunda pension schemes za watu wa sekta binafsi. Continue dreaming.
Unaposema Rikikwete wepo miaka 30 aendelee kuboresha wizara huoni unaleta mambo ya kifalme kwenye nchi yetu? Au ndo mmeshakubaliana kwenye kikao cha mgao wa nchi?
Dira ya maendeleo ya taifa 2050 iangalie uwezekano wa kuwa na hizo pension schemes mbalimbali.
Secondly, monthly pension after retirement iendane na living wage..Big up Profesa
Dira ya mwaka 2050 ndo maana tunaendelea kufeli nchi haziendelei kwa maana mnakuwa mmewapangia sheria ambazo zitakuwa haziendani na wakati ule tayar nyie mtakuwa mmesitaafu na kuacha sheria mbovu pangeni dira ndani ya vipindi vya awamu zenu tutapiga hatua ndo maana leo hii tunahangaika na katiba inayotukandamiza na kuwalinda watawala bila adhabu huru
Na serekali yetu nayo iwe na huruma kwa wastaafu wake kwani michango yao ya miaka hiyo ndio, miradi ya mifuko iliyotapakaa nchini kote ,hivyo kumlipa mtu pensheni ya shs.100,000/_ kwa miaka zaidi ya 20 ni dhuluma. Naomba viongozi muwe na huruma. Tumewaamini tukawapa uongozi , basi nasi mtuthamini.
Kwani hizo pension schemes hazina riba pale zikikaa kwenye benki?
Sidhani kama hili litatokea ndani ta Tanzania. It is wishful thinking.
Sioni hili kutokea ndani ya CCM. Mnashindwa kujenga tundu la choo mtaweza kuunda pension schemes za watu wa sekta binafsi.
Continue dreaming.
Wishful whaaaat???😂
Unaposema Rikikwete wepo miaka 30 aendelee kuboresha wizara huoni unaleta mambo ya kifalme kwenye nchi yetu? Au ndo mmeshakubaliana kwenye kikao cha mgao wa nchi?
Maprofesa wanalilia pesheni badala ya gawio hv faida ya profesa tanzania ni ipi ?maana sioni kama wana faida ktk taifa
somo gani ??? sema amechangia tu
Huyu ni mtu na nusu
MAFAO yawe asilimia fulani ya mshahara wa mtu aliye kwenye nafasi kama yake