GLADNESS ALIVYOPANGUA MASWALI YA WABUNGE KWA KIINGEREZA WABAKI KUPIGA MAKOFI TU
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- GLADNESS ALIVYOPANGUA MASWALI YA WABUNGE KWA KIINGEREZA WABAKI KUPIGA MAKOFI TU
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Much congratulations to Hon.Gladnes,madam you are so knowledgeable
Mh Gladnes yupo vizuri sana anaonekana ni msomi mzuri.Huyo ni Mwakilishi sahihi wa binge la EAC
Congratulation Madam I appreciate you all the time , knowledge is the power with confidence
Umetuheshimisha wanafunzi wako Dr salema kwa utulivu wako wa kujibu
I really appreciate for this ❤
Ung'eng'e umeleta utulivu kweli kweli na unasikika vizuri haswa.
VP mnataka ati kiswahili kitumike hadi chuo kikuu, jamani hii si kudanganyana.
Wengine wanagonga tu meza kufuata mkumbo hawawlewi kitu 😅😅😅😅
😂😂
Glady upo vizuri
Salome has asked a required question rather than the first question
TUNAHITAJI KUJUWA LUGHA YA KIINGEREZA KWA BIASHARA.LAKINI KWA HILI KWA NINIKIINGEREZA WAKATI WABUNGE WETU WENGI HAWAILEWI LUGHA HII
Onorabo
uko vizuri mamii wewe sio kilaza
❤ this
Pia Gladness uwasilishaji wake si mzuri maana hamalizi kuongea au kujibu lazima akatishwe hii inaonyesha kuwa hajui muda sahihi wa kuwasilisha na kujibu na ni tatizo la wabunge wengi mnapenda kuongea sana pasipo jali muda mlio nao. Hivyo uwasilishaji kwa aina hii nje ya mipaka ni aibu.
Umeongea pointi sana ❤
Sawa tu lakini tushawishi binge la EAC liendeshwe kwa lugha zote mbili tukuze kiswahi chetu
Huyu anajua bigup my sister
Wasiojua, hawawezi kujua asiyejua.
Hono, sivyo inavyotamkwa. Parliament, haiko hivyo. Riprizent, siyo neno la kiingereza...
Anasifiwa, kwa sababu wanaomsifia hawajui kiingereza
Chuki zako tu ndugu.
Wivu tu. Nenda basi wewe ukatuwakilishe.
honorable.... ni shida
Kingereza cha rafuzi ya kiswahili
Ongea ww pumbavu kabisa tena wewe na mjinga
Ushawahi kusikia wahindi wanavyoongea kingeleza wewe the mother tongue affects the leaning language
Ni bora kiingereza cha Tanzania kuliko Nigeria na Kenya wanaongea hovyo zaidi.
@@josephjohn2114 hapo nakataa...Kenya na Nigeria? hatuwakuti kabisa. mwanzo huyu lafudhi yake nzuri..watanzania wengi lafudhi zetu mbaya kabisa halafu broken
@@jedidahbintidaudi8241wakenya na wanaigeria akiwa anaongea kiingereza ata kama umefumba macho utawajua tu. Sasa kiingereza chao ndo unaita lafudhi nzuri ?
Huyu yupo UDSM UDBS fundi Dr. Gladness
Musukuma , lusinde , ester midimu, maganga , minza mijika nk wanashangaa tu hapo , kimombo kwao ni msamiati.
Waooo... very good English
Lugha ya bungeni iwe kiingereza ili Wabunge wengi wakose sifa halafu vijana tuingie ,tuachane na usaili wa prof mkenda huu wa kupiga Paper kwanza ndo uajiliwe wakati ulihitimu kwa mitihani
Hzo hela wanazotumia kutunga mitihani na kusimamia ingetumika kujenga vituo vya afya
Itapendeza sana ingawa vijana walio wengi hawakijui kidhungu
Kibajaji na Msukuma wameelewa kitu kweli hapo jamani😂😂😂
Hongera sana
Pole kwa walewaliochagua wabunge ambao hawakuenda shule😢😢😢Hili liwe somo kwa taifa. 😮
Kingeleza ni Cha kawaida sana😂😂😂
unataka aongee kana native
Watanzania tuache kutoa comments za kujidhalilisha. Mnataka aongee kiswahili wakati lugha ya EALA ni English?
Zungu kaamua kuokoa Jahazi!! ameona Waheshimiwa wanatoka kapa! Wamebaki kupiga makofi tu!🤣🤣🤣🤣
❤❤❤❤❤❤
Hapo sasa tutaanza kuelewana kiukwel. Zile mafujo na makelele yooote kwiiishaaa. Bunge limetulia kiukwel hadi mm nimeelewa sasa hapo
Wajiga waliopita bila kupingwa
the trust you *has????*
Unauliza muulizaji wa kwanza swali, wakati unajua lipo kwenye wajibu wake ni kupoteza muda, hongera Salome umeuuliza swali zuri sana japo ninaona halikujibiwa vyema. Bado kiingereza ni tatizo, naona ni bora EALA watumie kiswahili zaidi.
Ile yenye udaktari feki imeduwaa
Eti kigezo chetu cha kuwa mbunge mpaka leo ni kujua kusoma na kuandika
ELIMU YA TANZANIA NI KUJUA KINGEREZA TU, NDO MAANA MTOTO WA ENGLISH MEDIUM AKIJUA KIMOMBO KULIKO WEWE ULIYEMALIZA CHUO UNAONEKANA KIRAZA.
Kwan humo ndani kuna wazungu ee
🎉🎉
Mwepesi
Mh.Livingstone Lusinde a.k.a Kibajaji na Dr.Msukuma, mpoo?
Watu bado wanajivunia kiingereza badala ya Kiswahili. Tumekuwa kama wakenya
Variable geometry
Dr Msukuma yupo wapiiii😅😅
Umemsahau kibajaji,
Haya yoyete ni madhara ya ukoloni. Jinsi watu wanavyopigia upatu kutumia kiingereza. Sitegemei kusikia Bunge la Uingereza likitumia kiswahili hata mara moja. Sijawahi kumsikia Putin ama Bunge la Urusi kutumia lugha ya kigeni hata mara moja. Sitegemei kumsikia Xi Jimping ama bunge la China likitumia lugha ya kigeni Ujerumani, Ufaransa, Ureno nk. Sisi huku kwa ushamba wetu kutojana athari za ukoloni tunapenda vya watu na kuviponda vilivyo vyetu. Huo ni ulimbukeni na ishara ya athari mbaya za ukoloni. Hii inaonesha kuwa bado tunatawaliwa ki fikra. Tunsfikiri kuongea kiingereza ni akili
Dokta kasheku. Msukuma vipi ,nawewe unapiga makofi,,sisi kome mchangani hatuelewi kitu,eti kiswahili lugha ya africa.
Kwa nini hawazungumuzi kiswahili? Wabunge wengi hawawezi kuzungumuza lugha hiyo ya kigeni. Bunge ni la East Africa. Nchi zote zinaongea Kiswahili. Kwa nini kujilazimisha lugha watanzania Wengi hatuelewi? WABUNGE wengi hawaelewi huyu mama anazungumuza bali ni kupiga męża tu. Can anyone imagine the English parliament talking to fellow member of parliament in Swahili? Tuuvuwe ukoloni kutoka kwenye akiri zetu.
sijamuona lusinde Wala Dr msukuma akiuliza swali
Kimataifaa,rejea ya Jenista.
Kwani limepitishwa kuwa lugha iwe inatumika bungeni ,kama hijapitishwa amebugi!!!!!!!
Dr msukuma mbona hajauliza swali jamani?
Poor English, Poor Pronunciation, poor presentation, Mwinyi's son! Great Great Great
Mawaziri nao ningetamani wapitie hii hatua
Huo ni ulimbukeni,kwanini wasitumie lugha ya taifa ili watanzania wote waelewe?
Kiingereza pia ni lugha rasmi kwa bunge letu..lakini lugha inayotumika mara nyingi EALA ni Kiingereza
@@josephlorri431 sawa kabisa
They are TanZanians but don’t Brag with English. But if they we’re Kenyans they would’ve have been Bragging with English as if English is only Spoken in Kenya in the Whole world.
Kenya is also changing. In parliament they use both English and Swahili. The problem in Tanzania majority don’t understand the language, this including our member of parliament. Why force to speak language which majority of Tanzanian don’t understand?
i disagree, Kenyans never bragg, its we Tanzanians like insinuating that they do. thye dont even care about it. Kenyans are far ahead of us in language comparison. We Tanzanians need to stop this harsh mentality...all the time we keep poking our neighbor for nothing. cant we just live with harmony at once..come on yall
Kwahiyo embe dodo la Singida ndo alikuwa anagombea nafasi hii ? 😂😂😂😂
Shinyanga
Dr.Msukuma upo?
Yaan nimeamin bungeni pamekuwa ni sehem ambayo mtu anaongea anavyotaka!
Anagombea kiti cha East Africa parliament. Anatakiwa kuonyesha kuwa Wakenya hawatatucheka kwa English mbovu
Kwani hajui kiswahili huyo?? Yaani sisi waafrika kichwani hewa kabisa😢😢
Anaomba kura kuwania ubunge wa Afrika mashariki. Bunge la kule lugha kuu ni english.
Huo Ujinga wako wa kutojua Kugha ya Biashara back nao huko kwenu Usituletee hapa. Unataka akaongee Kiswahili kwenye Bunge la East Africa unafikiri wote ni Waswahili kama Wewe? Badala ujifunze lugha uondokane na Ujinga eti unataka utafuniwe Kwa Kiswahili. Kama Vipi Rudi shule Au Nenda shule kama hukuwahi kwenda ila usiturudishe nyuma.
@@tanzanite9944 ndo shida yetu sis watanzania, hujajua? wanalalamika sana mtu akiongea kiingereza na kusema lugha ya kigeni...halafu tukienda kwenye nchi zao tunajikanyaga na Kenya wao wanasonga mbele..haya
Nasikitika jinsi watanzania mnavyo comment bila kuelewa. Lugha ya EALA ni English. We na kiswahili chako baki tu kwenye bunge la Tanzania
Duuu! Huyo ni mbunge wa wapi? Anayedharau LUGHA YETU YA TAIFA??? NGOJA Mtakuja mwakani MTAJINADI KWA KIINGEREZA.
Huyo ni mgombea wa Bunge la Afrika Mashariki ndo huwa wanazungumza Kiingereza
Anataka kuonyesha kuwa anajua English language ili Wakenya wasije kudharau Ki-Nglish chetu. Anagombea ubunge wa East Africa
Kwani sisi wapiga kura hyo ruga tunamwerewa anaongea nn hao ni walewale
Mnamaanisha nn mnapotumia English bungeni ambapo lugha yetu ya taifa ni kiswahili?
Kaa kimya...!
Mbona ni makofi tu wanapiga hao wabunge bila kuelewa
😂😂😂
p
Sasa hao akina la Saba inakuwaje,,
wapo
bodo tupo kwenye utumwa mamboleo anahutubia nani kingereza nyoko kbs
pp
p
Kweli king'eng'e, lakini mbona anatamka Honorebo badala ya Onorabo?," Honourable"
Hon.
Wabunge wasio jua kiingereza wanapiga makofi tu 😂😂😂😂
Hon.
No to condemn such good debeghty l will be Rong but she has capacity of lntanationol language skills
Will be great to drilling reality underground more gain from different national experience qwiverlent her questions and gain momentum
Eti kigezo chetu cha kuwa mbunge mpaka leo ni kujua kusoma na kuandika