MSHIRIKI NAMBA MOJA KIGOMA 2023
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 14 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Kipaji anacho kikubwa sana sauti yake ni tam sana nyimbo ni ngumu Ila kaifanya kama yake confidence ni kubwa hoja yenu ni sauti kukauka sio kweli wapo artsist sauti zao ndivyo zilivyo muzijiua sauti za hawa Davido, mboso, chamilion nk.. acheni izo m,meboronga all in all aikua rizki yake ajaribu njia nyingine au mwakani panapo uhai
Jamaa anajua, amechagua nyimbo ngumu , na aneitendea haki
To my side naona kaimba vzur maybe luck was not in his side
Uyu gee anajuwa sana please 🙏 mrudisheni 🥺
Hey guys this around u are not uploading full audition bana ama am tired waiting from Minnesota usa
Hakuna majajii hapoo. Sautii ya dhahabuu hii
Ekeni ndefu ndefu mwengine huwa tunangalia tu hapa hapa RUclips hatuna ving'amuzi ekeni tu kama msimu uliyopita..
Kaimba vizur mnazingua
Kusema kweli ndo tatizo ya Bss akuna mashauri wanao saidiya mashiriki kwanini usimupatie maji uone kama koo inaweza funguwa ili afanye zizuri zaidi
😂😂😂 et maji jmooon, 😂😂😂😂
Mmepoteza mtu mzuri.
Uyo ni mwimbaji kabisa
Aisee !! kwahiyo sauti ikikauka ndio mtu hajui, basi Jose Chamelion hajui kabisa ...
Ttz ulijivuna kabla bhna bt unajua na unasauti flani hivi nimeipenda
Hawa majaji hawaelewi wanachokagua
Sholole naye kwazile nyimbo zake za kelele anajua kusema sahuti imekauka😂😂🤣🤣dunia simama
Unatixha mkali
Afanye mazoezi
Kaimba vizuri sana,mbona wapo wengi sauti zinakwaruza na wanapita,
Jamaa kaimba ndio sauti yake milima na mabonde kapanda bila hata kupaliwa ndio sauti yake tena nzuri sana,
Mpeni nafasi popote alipo aitwe tena please majaji nawaombeni
Ameimba vuzuri sana
Master huyo jamaa anajua amini kwamba afu master ww muziki unaujua jaji vizur mwamba
Katika audition mmepost afu mkanikera ni leo...hamko fair kabisa😡😡
Acheni usenge mpeni jamaa nafasi anajua mpaka anakera
anaweza
Nyieee anajuwa acheni kumzingua dogo
Huyu anajua san mwamba urudi tena
Congratulations keep it up good job ❤❤❤❤❤❤
Mimi nimemkubali huyu dogo
Mnaenda kigoma na unafki ndani
Kiukweli mshkaji anaimba Sana sema Kuna kitu nyuma ya pazia