MSHIRIKI NAMBA MOJA KIGOMA 2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 14 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
    :Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
    Bongo Star Search
    Follow Our Pages
    Facebook: / bongostarsearch
    Twitter: / bongostarsearch
    Instagram: / bongostarsearch
    SnapChat: BongoStarSearch
    TikTok: bongostarsearch
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz

Комментарии • 30

  • @AminCoaf
    @AminCoaf 10 месяцев назад +8

    Kipaji anacho kikubwa sana sauti yake ni tam sana nyimbo ni ngumu Ila kaifanya kama yake confidence ni kubwa hoja yenu ni sauti kukauka sio kweli wapo artsist sauti zao ndivyo zilivyo muzijiua sauti za hawa Davido, mboso, chamilion nk.. acheni izo m,meboronga all in all aikua rizki yake ajaribu njia nyingine au mwakani panapo uhai

    • @acleyevarist3379
      @acleyevarist3379 10 месяцев назад +1

      Jamaa anajua, amechagua nyimbo ngumu , na aneitendea haki

  • @graceambrose8757
    @graceambrose8757 10 месяцев назад +3

    To my side naona kaimba vzur maybe luck was not in his side

  • @mengecitytotheworld
    @mengecitytotheworld 9 месяцев назад

    Uyu gee anajuwa sana please 🙏 mrudisheni 🥺

  • @realmanmanb2380
    @realmanmanb2380 10 месяцев назад +3

    Hey guys this around u are not uploading full audition bana ama am tired waiting from Minnesota usa

  • @fredyndunguru5448
    @fredyndunguru5448 10 месяцев назад

    Hakuna majajii hapoo. Sautii ya dhahabuu hii

  • @douglaschangawa
    @douglaschangawa 10 месяцев назад +1

    Ekeni ndefu ndefu mwengine huwa tunangalia tu hapa hapa RUclips hatuna ving'amuzi ekeni tu kama msimu uliyopita..

  • @kijanisaini5688
    @kijanisaini5688 10 месяцев назад +4

    Kaimba vizur mnazingua

  • @uwezopacifique5710
    @uwezopacifique5710 10 месяцев назад +2

    Kusema kweli ndo tatizo ya Bss akuna mashauri wanao saidiya mashiriki kwanini usimupatie maji uone kama koo inaweza funguwa ili afanye zizuri zaidi

    • @SarahIvan-p9s
      @SarahIvan-p9s 10 месяцев назад

      😂😂😂 et maji jmooon, 😂😂😂😂

  • @nextstudiostz
    @nextstudiostz 10 месяцев назад +1

    Mmepoteza mtu mzuri.
    Uyo ni mwimbaji kabisa

  • @Untoldafricanstories
    @Untoldafricanstories 10 месяцев назад +1

    Aisee !! kwahiyo sauti ikikauka ndio mtu hajui, basi Jose Chamelion hajui kabisa ...

  • @sirayotv4283
    @sirayotv4283 10 месяцев назад +1

    Ttz ulijivuna kabla bhna bt unajua na unasauti flani hivi nimeipenda

  • @GwakisaElias-zd1sb
    @GwakisaElias-zd1sb 10 месяцев назад +1

    Hawa majaji hawaelewi wanachokagua

  • @Lastbornecadet
    @Lastbornecadet 10 месяцев назад

    Sholole naye kwazile nyimbo zake za kelele anajua kusema sahuti imekauka😂😂🤣🤣dunia simama

  • @GoldenBoe-to7hx
    @GoldenBoe-to7hx 10 месяцев назад +1

    Unatixha mkali

  • @jacquelinegama8001
    @jacquelinegama8001 10 месяцев назад +1

    Afanye mazoezi

  • @sospeterurassa9894
    @sospeterurassa9894 10 месяцев назад +4

    Kaimba vizuri sana,mbona wapo wengi sauti zinakwaruza na wanapita,
    Jamaa kaimba ndio sauti yake milima na mabonde kapanda bila hata kupaliwa ndio sauti yake tena nzuri sana,
    Mpeni nafasi popote alipo aitwe tena please majaji nawaombeni

  • @happymwaruwa6979
    @happymwaruwa6979 10 месяцев назад +1

    Ameimba vuzuri sana

  • @HalfanKimbay-re7zt
    @HalfanKimbay-re7zt 10 месяцев назад

    Master huyo jamaa anajua amini kwamba afu master ww muziki unaujua jaji vizur mwamba

  • @JosephNesphory
    @JosephNesphory 10 месяцев назад

    Katika audition mmepost afu mkanikera ni leo...hamko fair kabisa😡😡

  • @simeonimsenga2118
    @simeonimsenga2118 10 месяцев назад

    Acheni usenge mpeni jamaa nafasi anajua mpaka anakera

  • @chachamarwa7286
    @chachamarwa7286 10 месяцев назад +1

    anaweza

  • @Naziri17-i1k
    @Naziri17-i1k 10 месяцев назад

    Nyieee anajuwa acheni kumzingua dogo

  • @erickmahona5357
    @erickmahona5357 10 месяцев назад

    Huyu anajua san mwamba urudi tena

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 10 месяцев назад

    Congratulations keep it up good job ❤❤❤❤❤❤

  • @deblacktz2981
    @deblacktz2981 10 месяцев назад

    Mimi nimemkubali huyu dogo

  • @peloabandelwa6927
    @peloabandelwa6927 10 месяцев назад

    Mnaenda kigoma na unafki ndani

  • @mataizytembo7043
    @mataizytembo7043 10 месяцев назад +1

    Kiukweli mshkaji anaimba Sana sema Kuna kitu nyuma ya pazia