EXCLUSIVE:DOGO MKALI WA KUIMBA COVER GOLDBOY ASHIRIKI MASHINDANO YA BSS KIGOMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 окт 2023

Комментарии • 226

  • @faridyshaame4705
    @faridyshaame4705 8 месяцев назад +8

    Hakuhitaji kuja BSS ila ni maisha tu jamaa anajua sanaa anahitahi mpunga wa madam rita apige step za maisha

  • @MrMona_TZ
    @MrMona_TZ 8 месяцев назад +8

    Mshkj anatumia sytem 🤒 amebadilik sna gold boy ... !!!!! 😮

  • @jaburantaofficial
    @jaburantaofficial 8 месяцев назад +16

    Tunataka kuweka history kwa mkoa wa kigoma 💯💯💯💯💯💯

  • @misheckmrk8848
    @misheckmrk8848 8 месяцев назад +4

    Sija penda mungu akusaidie kaka kigoma number one in Tanzania❤❤

  • @JumaJuma-fu7ji
    @JumaJuma-fu7ji 7 месяцев назад

    Jamaa anajitambua yupo vizr safi utafika mbali

  • @Best_tz
    @Best_tz 8 месяцев назад +8

    GoldBoy Huyu mwamba muziki anaudai San sema mungu ajafunguwa mlango Tu soon atabless

  • @walkingbridge
    @walkingbridge 8 месяцев назад +5

    Dah inasikitisha kuona kipaji kukibwa kama hiki kipo chini. The world is not fair

  • @behindakalenda1144
    @behindakalenda1144 8 месяцев назад +5

    Mie Ninachojua goldy awezi niangusha wish you the best

  • @officialballotz1443
    @officialballotz1443 8 месяцев назад +1

    Sema dogo anaonekana ana dharau sana na mvimbaji sana sizan km atafika mbali ila apunguze dharau

  • @juniorprosper7283
    @juniorprosper7283 8 месяцев назад +4

    Tatizo karuhusu umaarufu wake kutekwa na ulevi 😢😢😢 but he is so talented anajuaa namkubali

  • @mzalendotz667
    @mzalendotz667 8 месяцев назад +12

    Anajua sana mshkaj ila ajitahd kuimba kiswahili Wabongo tunapenda tumweleze wote watoto wakubwa na wazee🔥🔥🔥🔥

    • @Dianamwansasu
      @Dianamwansasu 8 месяцев назад

      Mziki ni lugha yoyote,hao Wazee kwa watoto wengine wanajua hiyo lugha ya kingereza

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 8 месяцев назад +5

    Mbona kakonda sana jamaa mkali wa kava au mibange

  • @ayubuamsonjr9437
    @ayubuamsonjr9437 8 месяцев назад +7

    Namkubali sanaa uyu dg anashiriki ya nn akat alishatoboa😅😢

  • @aishaissa2512
    @aishaissa2512 8 месяцев назад +10

    Apite tu dogo nimkali sanaa🎉🎉🔥🔥

  • @mkanyafamily
    @mkanyafamily 8 месяцев назад +9

    Dogo acha kujifanya unaweza bado ujatoboa mzee maana u know u know nyingi mzee

    • @ayubuamsonjr9437
      @ayubuamsonjr9437 8 месяцев назад +1

      Ww ndo umjui😂

    • @khaifaabdy4983
      @khaifaabdy4983 8 месяцев назад +2

      😂😂😂ila wabongo kwa makasikrikoo sa wee unaumia nini na hiyo u know yake

    • @ayubuamsonjr9437
      @ayubuamsonjr9437 8 месяцев назад

      Yaan 😂😂💔watuachie goldie wetu

    • @dennisezakiel3380
      @dennisezakiel3380 8 месяцев назад

      Kama msanii lazima awe na swagaaah

  • @Gabonfreeman
    @Gabonfreeman 8 месяцев назад +12

    Aaache kubana sauti.
    Yuko Vizuri

    • @shariffmcleja9533
      @shariffmcleja9533 8 месяцев назад +1

      Kwenye kuimba cover utakosaje kubana sauti?

    • @khaifaabdy4983
      @khaifaabdy4983 8 месяцев назад +1

      We nae umekosa chakuongea ungenyamaza tu imba yako usibame pua tuonee😊

  • @rashowshine7849
    @rashowshine7849 8 месяцев назад +7

    Ushajulika dogo hiyo nafasi kuna watu waitamani wapate ata sikio unaichezea😢

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 8 месяцев назад +14

    Anajua sana huyu dogo.Ana kitu atafika mbali.🎉❤

  • @THETHIRDTV_
    @THETHIRDTV_ 7 месяцев назад

    Amebadilika Dah! Maisha haya!

  • @alfredymalata269
    @alfredymalata269 8 месяцев назад +4

    Viroba sawa vilipigwa marufuku lakini kuna ivi visungura ndio balaa kwa Vijana😢😢😢

    • @officialmrangi5517
      @officialmrangi5517 7 месяцев назад

      Acheni anywe tu bongo wanabana sana... Wanakusifia tu lakini hawakupekeki mahali aaaah...!

  • @user-fr6ix1rb1o
    @user-fr6ix1rb1o 8 месяцев назад +2

    Saut imebadilika kabsa analewa uyu mwanz na sahv tofaut

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 8 месяцев назад +9

    Amekua sana mkubwa sema aje Dar kigoma maji siyo

  • @frankwilliam144
    @frankwilliam144 8 месяцев назад +3

    Huyu dogo ana kipaji kikubwa sana. Bila shaka atapita na atafika mbali sana

  • @NellyMusic-vc6iz
    @NellyMusic-vc6iz 8 месяцев назад +5

    My brother goldboy fundi sana

  • @ntunzwenimanasamson9428
    @ntunzwenimanasamson9428 8 месяцев назад +8

    Anajuwa sana ila jamaa apunguze kujiona ndo ushauli wangu

  • @mukirerichard5265
    @mukirerichard5265 8 месяцев назад +4

    We support you more my gee

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 8 месяцев назад +4

    Huyu dogo nilimkubali mno

  • @mwinyiswalehe9564
    @mwinyiswalehe9564 8 месяцев назад +2

    Atafika mbali sana, kikubwa kutokukata tamaa my brother

  • @dinyoabeli9028
    @dinyoabeli9028 8 месяцев назад +3

    Huyu jamaa ongea yake tu anaonekana kwenye kuimba ni zaid ya 🔥🔥🔥🔥

  • @FrancisMotivation002
    @FrancisMotivation002 8 месяцев назад +4

    Dogo Apunguze Sifa Master Jay Atamtoa Nje

  • @kidmozjkm7965
    @kidmozjkm7965 8 месяцев назад +5

    Gold Boy ni wamoto sawa

  • @bujashidaniel5537
    @bujashidaniel5537 8 месяцев назад +2

    Huyu dogo anayeimba nyimbo ya malow n noma so pw

  • @user-sy9kq5mt7o
    @user-sy9kq5mt7o 8 месяцев назад +3

    Nilidhani ni wahapa Kenya jamani,,niliona ngoma zake akiwa mdogo sana sai amekua,hongera

  • @homesaickofficial7407
    @homesaickofficial7407 8 месяцев назад +1

    Kwan bongo star search inaoneshwa wapi na lini mana aijawai kuona

  • @StephanoCharles-nq8tf
    @StephanoCharles-nq8tf 8 месяцев назад +3

    Shidah...sio kufnya cover shidah...ni kutoboa ...hpo

  • @voisaclassic1866
    @voisaclassic1866 8 месяцев назад +2

    Asingeenda coz tayari yeye ameshasogea sehem halafu kibaya zaidi anaweza kuambiwa hajui kuimba

  • @sengeremaxleo9295
    @sengeremaxleo9295 8 месяцев назад +1

    Naombaaaa nkutabilieeeee ,,,, hata kama usiposhindaaaa but lazma dar ujeeee

  • @mussakulanga9513
    @mussakulanga9513 8 месяцев назад +5

    mkali sana dogo

  • @simp1eone
    @simp1eone 6 месяцев назад +1

    IM DESPERATELY LOOKING fOR GOLD BOY I CANT FIND HIM - I WANT TO SUPPORT HIM FINANCIALLY. I WANT TO FACE TIME HIM TO CONFIRM IT HIM AN SEND HIM SOME MONEY. I BEEN FOLLOWING HIM FOR 4 YRS. Why hasnt he been signed yet, tanzania you are sleeping on goldmine

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 8 месяцев назад +3

    Huyu dogo life imemupiga kama siyo life bas anatumia kilevi mana hakuwa hivo alikuwa kijana powa

    • @itNeza
      @itNeza 8 месяцев назад

      Gafla kawa na Myaka zaidi ya 120.😢

  • @allyhamic1255
    @allyhamic1255 8 месяцев назад +1

    Aaah ole wao asipate .....

  • @IDV630
    @IDV630 7 месяцев назад

    Jamaani
    Saidieni huu dogo anakipaji sisote tunajua
    Watanzania msaidie Mimi Sina uezo
    Alikiba nawengine saidia huu dogo Mimi niko Rwanda
    Anaeeza

  • @elibarikimwanyama7246
    @elibarikimwanyama7246 8 месяцев назад +3

    Real talent hawapat nafasi

  • @hassanihussein2731
    @hassanihussein2731 8 месяцев назад +1

    Dooh mbona kama kachoka sana

  • @paulanelson5394
    @paulanelson5394 8 месяцев назад

    Doooh ivi Dogo ni kukua au pombe za kienyeji kabadili sana Isee But ana kitu atafika mbali

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 8 месяцев назад +1

    HUYO SIO BSS,,HUYO ANGEPATA CHUO KAMA THT,,,AKITOKA HAPO MNAMSAHAU,,,,ANAONEKANA TAYR LAKN BADO

  • @wilibrodiadrian8021
    @wilibrodiadrian8021 8 месяцев назад +2

    Gold ana kipaj ni wa kumtakia kheri

  • @donkaloza6985
    @donkaloza6985 8 месяцев назад

    Mwenye kumjua Vzr Huyu Dogo anipe Mawasiliano nae please

  • @onlyonetztv610
    @onlyonetztv610 8 месяцев назад +7

    Mungu amsaidie tuu maana kurekodi ni tofauti na kuimba live mbele ya majaji

  • @ericgeofrey6395
    @ericgeofrey6395 8 месяцев назад +1

    Mbona dogo kama Kawa Teja aiseee

  • @BarakaJoseph-ij2hc
    @BarakaJoseph-ij2hc 8 месяцев назад +4

    Inavyo onekana hata mazoezi hafanyi Kwa juhudi kama mwanzo

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 8 месяцев назад +1

    Bosco tones yeye hayupo au??

  • @djmaxmnyamaglobal7744
    @djmaxmnyamaglobal7744 8 месяцев назад

    Kawa mweusi

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 8 месяцев назад +5

    Confidence aliyonayo ya moto

  • @stevenjoshua5866
    @stevenjoshua5866 8 месяцев назад +1

    Chonde chondee naomba mmshauri aimbe kiswahi tu atapita mpaka mwishoo huyu

  • @user-jy1wm8do8w
    @user-jy1wm8do8w 8 месяцев назад +2

    Fanya mazoezi Bss pagumu

  • @yahayamuna3679
    @yahayamuna3679 8 месяцев назад +1

    Alikba..alishindwa kumsaidia..ila huwezi jua nyuma ya pazia

  • @mamamwajei8789
    @mamamwajei8789 8 месяцев назад +1

    aimbe kiswahili itamsaidia zaidi

  • @JumaJuma-fu7ji
    @JumaJuma-fu7ji 7 месяцев назад

    Dogo kapita bila hujuma namajungu

  • @AkimuMovie-rt3rp
    @AkimuMovie-rt3rp 8 месяцев назад +1

    Saut yake Iko na Vibes👏👏👏👏

  • @tanzaboy4824
    @tanzaboy4824 8 месяцев назад

    Daaah dogo mbona kashekua kama mlev

  • @stellahpaul5624
    @stellahpaul5624 7 месяцев назад

    Kiburi kingi sana hauwez toka

  • @christopherkanyalakc8941
    @christopherkanyalakc8941 7 месяцев назад

    Kazi ipo

  • @deetz255
    @deetz255 8 месяцев назад +3

    Go bro muda wa mungu

  • @raphaelnyigo8740
    @raphaelnyigo8740 8 месяцев назад +3

    Anavozidi kukua anazidi kuwa mweusi

  • @elizabethzacharia7725
    @elizabethzacharia7725 8 месяцев назад +1

    Me naangalia kofia tuu

  • @khaifaabdy4983
    @khaifaabdy4983 8 месяцев назад +4

    Ayra star akasome voko ni kwere🎉🎉🎉

  • @deejeydaev
    @deejeydaev 8 месяцев назад +3

    Dahh maisha haya😢

  • @HUSSEINHASSANI-dh1qg
    @HUSSEINHASSANI-dh1qg 8 месяцев назад +1

    Saaaan mwanng

  • @mosesjnr8436
    @mosesjnr8436 8 месяцев назад

    Dogo ni mkali ila anaonekana ana ka ujuaji flan ka kishamba hv

  • @fadhilsalum2143
    @fadhilsalum2143 8 месяцев назад

    Sauti kama Ibraa

  • @RickshabyVlogs
    @RickshabyVlogs 8 месяцев назад

    Kipaji anacho sema wasanii mliamua kumpotezea apotee bekaboy nae kukumbatia watu usoweza kuwavusha wanapoenda n roho mbaya

  • @Mickyboy_
    @Mickyboy_ 8 месяцев назад +2

    Anaimba kama ibraah,,

  • @AndreyMalisa-qj3ds
    @AndreyMalisa-qj3ds 8 месяцев назад +8

    Bongoo nyosooo raiaa zinakanyagiaa sana...😭😭😭

  • @aayanmaroba6056
    @aayanmaroba6056 8 месяцев назад +1

    DOGO UNAIMBA POA
    ILA NINA WASIWASI SASA HIVI UTAKUWA UNATUMIA BANGI

  • @gasparmpoma3860
    @gasparmpoma3860 8 месяцев назад +10

    Huyu Gold Boy alishinda shndano kubwa sana na Empower aftica la Mr eazy na kupata mtonyo mwingi uliomfanya afungue studio yake na kuwa mpiga Covers, nashangaa kumuona BSS alishafika mbal sijui alikwama wapi Binafsi naona hizi BSS sio level zake alishafika mbali ni seme labda Juhudi zilikuwa chache au alitingwa na mambo mengine.

    • @dianerditto
      @dianerditto 8 месяцев назад +1

      Kumbeee!

    • @dianerditto
      @dianerditto 8 месяцев назад +1

      Asante kwa taarifa tutafuatilia

    • @tubeyako
      @tubeyako 8 месяцев назад +1

      Haupo sahihi wrong information kachimbe vzr

    • @UpepoVlogs
      @UpepoVlogs 8 месяцев назад +1

      Kweli kashawahi kufanya kazi iliyosimamiwa na Empawa ya Mr Eazy

    • @nomaboytz
      @nomaboytz 7 месяцев назад

      So kweli huo ni uongo kafuatilie vzuri

  • @DomitianGoziberth
    @DomitianGoziberth 8 месяцев назад

    Ujue me sijaelwa hii Tanzania yetu hivi mtu ukimbemba mwenzako ukamsogeza level nyingine shidah Iko wapi nimeshangazwa kumuona gold bss coz I knew kashapavuka huku Ile show yake na alikiba kule kigoma Ina unafiki ndani yake all my lumentts ni juu ya alikiba alifanya nae show then nothing taking a place

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 8 месяцев назад +1

    Ndo kawa mvuta bangi

  • @tubeyako
    @tubeyako 8 месяцев назад +1

    Apunguze bangi

  • @msuyatztv5201
    @msuyatztv5201 8 месяцев назад

    Anaonekana kaanza kujidunga tu

  • @itswilcy
    @itswilcy 8 месяцев назад

    Sema dogo anajua muhimu visungura vipigwe marufuku kwa vijana😅

  • @anoldkedmon4197
    @anoldkedmon4197 8 месяцев назад +1

    Anawenge sijui kwanini

  • @christianluvanga8148
    @christianluvanga8148 8 месяцев назад

    Yuko vizur ila pumzi inakata anahema sanaa

  • @getrudapaul547
    @getrudapaul547 8 месяцев назад

    Jmn amekuwa gafla hyu dogo lkn ni mkali sana

  • @armandoleonardo6966
    @armandoleonardo6966 8 месяцев назад +2

    Esse jovem é melhor

  • @fadhilsalum2143
    @fadhilsalum2143 8 месяцев назад

    Majigambo mengi/ujuwaji

  • @benpoolmeshack2702
    @benpoolmeshack2702 8 месяцев назад

    Kigomq vipaj nivingi sana kama mwana kigoma shusha comment

  • @Bahariachora-td6tm
    @Bahariachora-td6tm 8 месяцев назад +1

    Gold unajua

  • @Mzena4343
    @Mzena4343 8 месяцев назад +1

    Mwambieeni aache pombe zitampoteza

  • @warriormc2062
    @warriormc2062 8 месяцев назад

    Daaa kakonda jamaa wa watu ila ni mkali sana

  • @homesaickofficial7407
    @homesaickofficial7407 8 месяцев назад +5

    Anajiona star anaongea kwa kulinga 😮😮kuma uyu afiki popote 😂😂

  • @mpendakizamba9532
    @mpendakizamba9532 8 месяцев назад +2

    😂😂 tumahadiyana Ufike umefika shukran cn mdogo wangu mungu awe nawe

  • @SaidihusseinAthumani-dy9kw
    @SaidihusseinAthumani-dy9kw 8 месяцев назад

    ndo mshindi wa BSS safari hiii

  • @user-id4it1wz8m
    @user-id4it1wz8m 8 месяцев назад

    Dah wamlidishe uyu

  • @dianerditto
    @dianerditto 8 месяцев назад +2

    Wow nilikuwa nakakubali kweli mbona kamebadilika hvo au ndio ukubwa

  • @BontanaTez
    @BontanaTez 8 месяцев назад +1

    Kipaji bado kipo

  • @azizakambenga9292
    @azizakambenga9292 8 месяцев назад +1

    Kijana anaonekana umri umeenda

  • @user-mt2pu8kt7h
    @user-mt2pu8kt7h 8 месяцев назад

    Huyu jmaa anajua sana basi tu

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 8 месяцев назад +1

    Huyu ilibidi awe ameshatoka baso tu

  • @msilangasiraji4061
    @msilangasiraji4061 8 месяцев назад +1

    Duh huyu mbona kama sie yan mtu ushatoka unaendelea kuishi kigoma