IM DESPERATELY LOOKING fOR GOLD BOY I CANT FIND HIM - I WANT TO SUPPORT HIM FINANCIALLY. I WANT TO FACE TIME HIM TO CONFIRM IT HIM AN SEND HIM SOME MONEY. I BEEN FOLLOWING HIM FOR 4 YRS. Why hasnt he been signed yet, tanzania you are sleeping on goldmine
Huyu Gold Boy alishinda shndano kubwa sana na Empower aftica la Mr eazy na kupata mtonyo mwingi uliomfanya afungue studio yake na kuwa mpiga Covers, nashangaa kumuona BSS alishafika mbal sijui alikwama wapi Binafsi naona hizi BSS sio level zake alishafika mbali ni seme labda Juhudi zilikuwa chache au alitingwa na mambo mengine.
Ujue me sijaelwa hii Tanzania yetu hivi mtu ukimbemba mwenzako ukamsogeza level nyingine shidah Iko wapi nimeshangazwa kumuona gold bss coz I knew kashapavuka huku Ile show yake na alikiba kule kigoma Ina unafiki ndani yake all my lumentts ni juu ya alikiba alifanya nae show then nothing taking a place
Hakuhitaji kuja BSS ila ni maisha tu jamaa anajua sanaa anahitahi mpunga wa madam rita apige step za maisha
Mshkj anatumia sytem 🤒 amebadilik sna gold boy ... !!!!! 😮
Tunataka kuweka history kwa mkoa wa kigoma 💯💯💯💯💯💯
Sija penda mungu akusaidie kaka kigoma number one in Tanzania❤❤
Jamaa anajitambua yupo vizr safi utafika mbali
GoldBoy Huyu mwamba muziki anaudai San sema mungu ajafunguwa mlango Tu soon atabless
Dah inasikitisha kuona kipaji kukibwa kama hiki kipo chini. The world is not fair
Mie Ninachojua goldy awezi niangusha wish you the best
Sema dogo anaonekana ana dharau sana na mvimbaji sana sizan km atafika mbali ila apunguze dharau
Tatizo karuhusu umaarufu wake kutekwa na ulevi 😢😢😢 but he is so talented anajuaa namkubali
Anajua sana mshkaj ila ajitahd kuimba kiswahili Wabongo tunapenda tumweleze wote watoto wakubwa na wazee🔥🔥🔥🔥
Mziki ni lugha yoyote,hao Wazee kwa watoto wengine wanajua hiyo lugha ya kingereza
Mbona kakonda sana jamaa mkali wa kava au mibange
Namkubali sanaa uyu dg anashiriki ya nn akat alishatoboa😅😢
Apite tu dogo nimkali sanaa🎉🎉🔥🔥
Dogo acha kujifanya unaweza bado ujatoboa mzee maana u know u know nyingi mzee
Ww ndo umjui😂
😂😂😂ila wabongo kwa makasikrikoo sa wee unaumia nini na hiyo u know yake
Yaan 😂😂💔watuachie goldie wetu
Kama msanii lazima awe na swagaaah
Aaache kubana sauti.
Yuko Vizuri
Kwenye kuimba cover utakosaje kubana sauti?
We nae umekosa chakuongea ungenyamaza tu imba yako usibame pua tuonee😊
Ushajulika dogo hiyo nafasi kuna watu waitamani wapate ata sikio unaichezea😢
Anajua sana huyu dogo.Ana kitu atafika mbali.🎉❤
Amebadilika Dah! Maisha haya!
Viroba sawa vilipigwa marufuku lakini kuna ivi visungura ndio balaa kwa Vijana😢😢😢
Acheni anywe tu bongo wanabana sana... Wanakusifia tu lakini hawakupekeki mahali aaaah...!
Saut imebadilika kabsa analewa uyu mwanz na sahv tofaut
Amekua sana mkubwa sema aje Dar kigoma maji siyo
Huyu dogo ana kipaji kikubwa sana. Bila shaka atapita na atafika mbali sana
My brother goldboy fundi sana
Anajuwa sana ila jamaa apunguze kujiona ndo ushauli wangu
😂
Fact
We support you more my gee
Huyu dogo nilimkubali mno
Atafika mbali sana, kikubwa kutokukata tamaa my brother
Huyu jamaa ongea yake tu anaonekana kwenye kuimba ni zaid ya 🔥🔥🔥🔥
Dogo Apunguze Sifa Master Jay Atamtoa Nje
Gold Boy ni wamoto sawa
Huyu dogo anayeimba nyimbo ya malow n noma so pw
Nilidhani ni wahapa Kenya jamani,,niliona ngoma zake akiwa mdogo sana sai amekua,hongera
Kwan bongo star search inaoneshwa wapi na lini mana aijawai kuona
Shidah...sio kufnya cover shidah...ni kutoboa ...hpo
Asingeenda coz tayari yeye ameshasogea sehem halafu kibaya zaidi anaweza kuambiwa hajui kuimba
Naombaaaa nkutabilieeeee ,,,, hata kama usiposhindaaaa but lazma dar ujeeee
mkali sana dogo
IM DESPERATELY LOOKING fOR GOLD BOY I CANT FIND HIM - I WANT TO SUPPORT HIM FINANCIALLY. I WANT TO FACE TIME HIM TO CONFIRM IT HIM AN SEND HIM SOME MONEY. I BEEN FOLLOWING HIM FOR 4 YRS. Why hasnt he been signed yet, tanzania you are sleeping on goldmine
Huyu dogo life imemupiga kama siyo life bas anatumia kilevi mana hakuwa hivo alikuwa kijana powa
Gafla kawa na Myaka zaidi ya 120.😢
Aaah ole wao asipate .....
Jamaani
Saidieni huu dogo anakipaji sisote tunajua
Watanzania msaidie Mimi Sina uezo
Alikiba nawengine saidia huu dogo Mimi niko Rwanda
Anaeeza
Real talent hawapat nafasi
Dooh mbona kama kachoka sana
Doooh ivi Dogo ni kukua au pombe za kienyeji kabadili sana Isee But ana kitu atafika mbali
HUYO SIO BSS,,HUYO ANGEPATA CHUO KAMA THT,,,AKITOKA HAPO MNAMSAHAU,,,,ANAONEKANA TAYR LAKN BADO
Gold ana kipaj ni wa kumtakia kheri
Mwenye kumjua Vzr Huyu Dogo anipe Mawasiliano nae please
Mungu amsaidie tuu maana kurekodi ni tofauti na kuimba live mbele ya majaji
Mbona dogo kama Kawa Teja aiseee
Inavyo onekana hata mazoezi hafanyi Kwa juhudi kama mwanzo
Bosco tones yeye hayupo au??
Kawa mweusi
Confidence aliyonayo ya moto
Chonde chondee naomba mmshauri aimbe kiswahi tu atapita mpaka mwishoo huyu
Fanya mazoezi Bss pagumu
Alikba..alishindwa kumsaidia..ila huwezi jua nyuma ya pazia
aimbe kiswahili itamsaidia zaidi
Dogo kapita bila hujuma namajungu
Saut yake Iko na Vibes👏👏👏👏
Daaah dogo mbona kashekua kama mlev
Kiburi kingi sana hauwez toka
Kazi ipo
Go bro muda wa mungu
Hakika
Anavozidi kukua anazidi kuwa mweusi
Jua la Sido kukata sabuni sio poa
Me naangalia kofia tuu
Ayra star akasome voko ni kwere🎉🎉🎉
Dahh maisha haya😢
Saaaan mwanng
Dogo ni mkali ila anaonekana ana ka ujuaji flan ka kishamba hv
Sauti kama Ibraa
Kipaji anacho sema wasanii mliamua kumpotezea apotee bekaboy nae kukumbatia watu usoweza kuwavusha wanapoenda n roho mbaya
Anaimba kama ibraah,,
Yes mpaka kuongea sauti ya ibra
Bongoo nyosooo raiaa zinakanyagiaa sana...😭😭😭
Mungu Atafanya Njia
DOGO UNAIMBA POA
ILA NINA WASIWASI SASA HIVI UTAKUWA UNATUMIA BANGI
Huyu Gold Boy alishinda shndano kubwa sana na Empower aftica la Mr eazy na kupata mtonyo mwingi uliomfanya afungue studio yake na kuwa mpiga Covers, nashangaa kumuona BSS alishafika mbal sijui alikwama wapi Binafsi naona hizi BSS sio level zake alishafika mbali ni seme labda Juhudi zilikuwa chache au alitingwa na mambo mengine.
Kumbeee!
Asante kwa taarifa tutafuatilia
Haupo sahihi wrong information kachimbe vzr
Kweli kashawahi kufanya kazi iliyosimamiwa na Empawa ya Mr Eazy
So kweli huo ni uongo kafuatilie vzuri
Ujue me sijaelwa hii Tanzania yetu hivi mtu ukimbemba mwenzako ukamsogeza level nyingine shidah Iko wapi nimeshangazwa kumuona gold bss coz I knew kashapavuka huku Ile show yake na alikiba kule kigoma Ina unafiki ndani yake all my lumentts ni juu ya alikiba alifanya nae show then nothing taking a place
Ndo kawa mvuta bangi
Apunguze bangi
Anaonekana kaanza kujidunga tu
Sema dogo anajua muhimu visungura vipigwe marufuku kwa vijana😅
Anawenge sijui kwanini
Yuko vizur ila pumzi inakata anahema sanaa
Jmn amekuwa gafla hyu dogo lkn ni mkali sana
Esse jovem é melhor
Mentira 😂😂
Majigambo mengi/ujuwaji
Kigomq vipaj nivingi sana kama mwana kigoma shusha comment
Gold unajua
Mwambieeni aache pombe zitampoteza
Daaa kakonda jamaa wa watu ila ni mkali sana
Anajiona star anaongea kwa kulinga 😮😮kuma uyu afiki popote 😂😂
😂😂😂matter call wewe
Anawez kupota ila desprine ikamuangusha
😂😂😂😂
Duh bongo nyoso
😂😂 tumahadiyana Ufike umefika shukran cn mdogo wangu mungu awe nawe
ndo mshindi wa BSS safari hiii
Dah wamlidishe uyu
Wow nilikuwa nakakubali kweli mbona kamebadilika hvo au ndio ukubwa
Kipaji bado kipo
Kijana anaonekana umri umeenda
Huyu jmaa anajua sana basi tu
Huyu ilibidi awe ameshatoka baso tu
Duh huyu mbona kama sie yan mtu ushatoka unaendelea kuishi kigoma