Skia alichoimbiwa Salama na shabiki, Hujui mtu katoka wapi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 12 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
    :Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
    Bongo Star Search
    Follow Our Pages
    Facebook: / bongostarsearch
    Twitter: / bongostarsearch
    Instagram: / bongostarsearch
    SnapChat: BongoStarSearch
    TikTok: bongostarsearch
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz

Комментарии • 247

  • @GiggleGalaxy25
    @GiggleGalaxy25 2 года назад +10

    Love from Kenya. Love you judges, masterj, salama and chief judge pulsen rita

  • @jacobjones9603
    @jacobjones9603 Год назад +1

    You guys hamfai kuwa majaji...mnaeza mfanya mtu akajinyonge tu sio vizuri

  • @tigerclassic-
    @tigerclassic- Год назад +20

    Laizer from Kenya sometime Salama mnakatiza vijana hopes Kwenye mziki

    • @nundamalickofficial9538
      @nundamalickofficial9538 Год назад

      Kweli

    • @stanleysenzota3180
      @stanleysenzota3180 Год назад

      Master jay,salama,madam,na ommy dimpoz nawashangaa sana....MTU HATA KAMA HAJUI MZIKI (MTAZAMO WENU)MUELEZEN KAKOSEA WAP....,KWA KIFUPI SALAMA HUJUI MZIKI...MADAMU RITA HUJUI MZIKI..DIMPOZ MZIKI UNAUJUA ILA UNAAMUA KUWA KIZIWI

    • @Shadya-ju2el
      @Shadya-ju2el 10 месяцев назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila bbs jmn kunavituko

  • @rachealhalima4162
    @rachealhalima4162 Год назад +2

    Someone to came spare my ribs 😂🤣🤣nmecheka adi basii BONGO STAR SEARCH love you guys way from Kenya 🇰🇪

  • @alexlingwendu6780
    @alexlingwendu6780 Год назад +5

    Jamaa Alie Rap kwa ajili salama .Anajua Asee.

  • @quintertheebestnanny1875
    @quintertheebestnanny1875 2 года назад +9

    Hata nyie mna stivo simple boy😂😂😂

    • @IN-ny2kb
      @IN-ny2kb 2 года назад

      😂😂😂😂

    • @lynlk2346
      @lynlk2346 2 года назад

      😂😂😂😂😂

  • @mwasoprince3459
    @mwasoprince3459 Год назад +5

    Ushauri wangu wasanii watanzania mkiona mnajua kuimba nenda studio tu uterekodi utasapotiwa na wananchi ,vipesa vyenyewe vya hawa jamaa vya mandazi haviwezi kukupeleka popote. Hawa wenyewe no judge hapo usenge tu na dharau na kukatisha tamaa wasanii.

  • @aliben9
    @aliben9 2 года назад +7

    One of the best Tv show in Africa. We really miss this show, please guys bring it back soon,#BSS4LIFE❤️

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Год назад +5

    Uyo mama wa mwisho 😂😂😂😂🙌🏻

  • @jacquilinenoah949
    @jacquilinenoah949 Год назад +7

    uyu mama wa mwisho ataniua🤣🤣🤣🤣

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 Год назад +4

    Wimbo wa kumsifu salama ni mzuri bana

  • @Abdulhamid_Suleiman
    @Abdulhamid_Suleiman Год назад +2

    Bangi mbaya sana Asee 😂 wamemuibia

  • @user-ho2ql1zc2z
    @user-ho2ql1zc2z 9 месяцев назад

    Iko vizur

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 Год назад +9

    watu wanapenda mziki lakini mziki hauwapendi

  • @thestoryteller6398
    @thestoryteller6398 2 года назад +2

    i love the confidence of the first guy

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor5969 10 месяцев назад

    Nampenda shishi jamani na salama mashaa allah wanavituko muster J umeibiwa viatu pole Aunt rita punguza English shishi mnamkera 🤣🤣🤣 nawapenda from uk 🇬🇧

  • @Nominated207
    @Nominated207 Год назад +4

    Huyu dimpoz kama msenge yani unakatisha watu tamaa kiasi hiko cha kisenge mpe mtuu nafasi lazima ujue anaimba nn anahitaji nini yupo kama choko

    • @mchilangaakomwaninyoyakwe8399
      @mchilangaakomwaninyoyakwe8399 Год назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁😁😁😁

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Год назад +3

    Kwa gitaa yupo vizuri

  • @manirambonazaza3332
    @manirambonazaza3332 Год назад

    Polenii wenye kwenda kuiimba duuu wana towa noma kishenz muna roh ngum

  • @hamiskadogo8665
    @hamiskadogo8665 Год назад

    Hicho kidada kina roho mbayaaaa sura imekakomaaaa kama kanalimwa Salama mshenzi sanaaa utazani kana maisha mazri hovyo tu

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 9 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂kaibiwaaaa

  • @roi2554
    @roi2554 10 месяцев назад +1

    Maatata kweli kweli 😂😂😂

  • @user-id4it1wz8m
    @user-id4it1wz8m 10 месяцев назад

    Wangebadilisha izo mbwaaa

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 9 месяцев назад +1

    Sema mapengo ndo shida😂😂😂

  • @user-si7yn1pg2y
    @user-si7yn1pg2y 9 месяцев назад

    😂😂😂😂😂 wimbo wa tuma 😅😅😅😅

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Год назад +7

    Salama watu unawazodowa baadae wakitoka mnaona aibu hamjifunzi tu kutoka kwa Rajabu

  • @mohamedschaeublin7374
    @mohamedschaeublin7374 Год назад +12

    Please Judges ama Salama and Co, Heshima kidogo kwa Hao Wasio na vipaji wanao bahatisha , don't Disrespect them..

  • @hejopantumsifusimon21
    @hejopantumsifusimon21 Год назад +2

    mm simpendi salama anakatixha tamaa

  • @OtavinaMsigala-xx5bl
    @OtavinaMsigala-xx5bl 9 месяцев назад

    Salama mjinga sana hayo macho sasa....

  • @tusmokinana3836
    @tusmokinana3836 Год назад +4

    🤣🤣🤣🤣napenda bss kwa ajili ya kucheka tu

    • @vj8313
      @vj8313 Год назад

      🤣🤣🤣🤣

  • @MoyiSanJose-eg1nr
    @MoyiSanJose-eg1nr 8 месяцев назад

    Natamani nikuone, haha, huyu ndo Stivo Simple Boy wa Tz.

  • @marysaituni4584
    @marysaituni4584 Год назад +1

    Imani mola akuongoze kama unajiamini inatosha

  • @ibramayno8447
    @ibramayno8447 2 года назад +2

    Daaaah hii show bhana huwa na uwaki flani

  • @batistkatumbi782
    @batistkatumbi782 Год назад +2

    Huyo mama jaman🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kachangamka

  • @OfficialeugennyPro6130
    @OfficialeugennyPro6130 2 года назад +8

    Salama we ni mnafiki asee

    • @jrsaid4270
      @jrsaid4270 Год назад

      Salama mwenyew katoboa pua ana fikiri ana nn

  • @rizikirobert4596
    @rizikirobert4596 Год назад

    Haaahaaaaaa kwanza pengo Ashike jembe akalimeeeee Iman

  • @nabiichrisstv
    @nabiichrisstv 4 месяца назад

    Hasira✓ Sio( asiraX) 😂😂😂😂

  • @georgenorasco1705
    @georgenorasco1705 Год назад

    Nyie majaji hovyo sana hamfai kabisa, Bora waje watu wengne nyie mnadharau sana mnakejeri vijana wetu

  • @Special_boy_og
    @Special_boy_og 2 года назад +1

    Kwanza ommy unakosoana mwenyewe unapima pima tu mbwa wewe🤣🤣

  • @naomilyoto1977
    @naomilyoto1977 Год назад +3

    Watu wanapenda mzik ila mziki awapendi

  • @fatimamv2723
    @fatimamv2723 2 года назад +4

    🤣🤣🤣🤣mm Huwa naangalia nikichekaa

  • @cleophasmkungu623
    @cleophasmkungu623 Год назад

    Huhuuu, ila wabongo tunatisha. Nesi anapenda kuimba kuliko kazi yake.

  • @djtalkido2547
    @djtalkido2547 2 года назад +4

    Nianze kazi😂🤣

  • @papangoda229
    @papangoda229 Год назад

    Daah aseee noma

  • @Shamimuhamisshamim
    @Shamimuhamisshamim 9 месяцев назад

    Nyie majaji washez sana achen zalau wapumbavu wakubwa

  • @bondokeyofficial5273
    @bondokeyofficial5273 Год назад +3

    Bss michosho watu wanajua lakini wanabadiwa mfano mzuri ni harmoniz aliambiwa hajui Saiz ndio hyo

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j 2 года назад +3

    Omi anasema legeza jicho basi🤣🤣🤣

  • @mrben227
    @mrben227 9 месяцев назад

    Yeah ,majaji munatakiwa kuwa na lugha nzuri kwa wale ambao hawana vipaji na si kuwakashifu

  • @georgenorasco1705
    @georgenorasco1705 Год назад

    Mnadharau sana

  • @manrakizagervais4418
    @manrakizagervais4418 9 месяцев назад

    Hahaha😂😂😂yani madam Rita mnamyoyo kwakweli

  • @mwananjesafari2547
    @mwananjesafari2547 Год назад +1

    Huyo nesi katoroka Mirembe maana sikwa wimbo huo

  • @veronicamnico4773
    @veronicamnico4773 10 месяцев назад

    MUNGU wangu nimecheka duh🤣🤣🤣

  • @noeljacob9644
    @noeljacob9644 Год назад

    Nesi yuko vizuri

  • @user-hs7ex4nh8m
    @user-hs7ex4nh8m 10 месяцев назад

    Yani wapo kimaslahi hawana lolote wanawake wazima huruma hata hawana,,etty wanasema ukifa huozi yani nyio mtaoza mpaka funza sehemu za siriiii laaana sumakaaaaaa

  • @user-mr5tk8oc3t
    @user-mr5tk8oc3t 9 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uyu kaka alie ibiwa kanichekesha

  • @ameirameir4930
    @ameirameir4930 Год назад +1

    Kwa kweli majaji hamjajua lengo la kazi yenu ni nini nyinyi wenyenu mnatakiwa mpate shule kiukweli mnatakiwa kuwatia moyo vijana hata akifika hpo kijana amethubutu

  • @fefeonlyme5394
    @fefeonlyme5394 Год назад +2

    Uyu mama nisimame wapi katikati😂😂😂😂😂😂

    • @flova7022
      @flova7022 Год назад

      Hahahahahaha Hawa wataniuaaa mm...dahh hata kama mi sio fundi kivile WA kuimba Ila dahh

  • @emmanuelernest3596
    @emmanuelernest3596 Год назад

    Majaji mna moyo sana mungu awabariki😅😅😅😜

  • @abdimalikabdulaziz4954
    @abdimalikabdulaziz4954 10 месяцев назад

    😂😂😂 nimecmama kwenye konaa....nesi jaman😂😂😂

  • @demikel
    @demikel Год назад +34

    bongo star search is unprofessional. majaji wana dharau na kudhalilisha wasanii watu hawa sio kama hawana mambo ya kufanya ila mtu anapo amini kuwa anakipaji si vyema kumkashifu, kwa kuwa wapo watu wa aina tofauti wapo amabao ukiwacrush watajiuliza na kufanya juhudi na kufanya marekebisho na wapo ambao ukiwacrush wataumia sana na hawatoweza kunyanyuka tena. Hili suala liangaliwe tena na tena majaji wana lugha chafu hawastahili kutukana wasanii.

    • @rtp9010
      @rtp9010 Год назад +6

      Hakuna cha kudhalilisha, we huoni hao washiriki jinsi wasivyo serious ndugu!!!? Washiriki wanazingua na wako wengi, lazima jaji awe na wenge

    • @demikel
      @demikel Год назад +2

      @@rtp9010 mfano, chukua harmonize alivyo enda bss je? alienda kama mzinguaji? je alifanya hayo masihara ? je unakumbuka majibu gani alipewa na salama pamoja na master j? unadhani kwa uimbaji ambao Harmonize alionyesha ile siku alistahili yale majibu kutoka kwa wale majaji? ila hakukata tamaa aliinuka na kusonga mbele mpaka sasa ni msanii mkubwa je vp kama angekata tamaa kwa yale maneno angekuwa wapi ?? point ni wapo watu wenye vipaji vya kawaida ambao wanahitaji mazoezi au mafunzo zaidi ili wang'ae na ndio maana Harmonize alipo enda wasafi alipewa mafunzo zaidi mpaka ndio maana sasa yupo pale watu kama hapo wanaenda na watukanwa na majaji. Ndio maana kama umegundua wengi wa wenye vipaji vya mziki hawajisumbui na Bss.

    • @emmanuelchilongola5804
      @emmanuelchilongola5804 Год назад

      Nice

    • @mariaalmack3686
      @mariaalmack3686 10 месяцев назад +2

      @@demikel harmo alikua bado ndo akaenda kujipng

    • @johmarleyofficial8460
      @johmarleyofficial8460 10 месяцев назад

      Real talk maniga wak n dharau

  • @angelnchimbi1941
    @angelnchimbi1941 10 месяцев назад

    Huyu mama jmn

  • @christinaonditi9341
    @christinaonditi9341 Год назад +1

    Dah

  • @joaniminza9618
    @joaniminza9618 Год назад

    I never understand why Master J anakichukia kiingereza, anyway much love from Kenya

  • @LuciaGodfrey-sk6lz
    @LuciaGodfrey-sk6lz 10 месяцев назад

    😅😅😅😅😅ila mnakatsha tamaa mwee😂😂😂

  • @mody-guyngido2792
    @mody-guyngido2792 Год назад

    Wapeni watu Moyo wafarijike wazidi kufanya vizuri,na pili muwakosoe wanapokosea na warekebishe kipo.

  • @mussakuntu7702
    @mussakuntu7702 10 месяцев назад

    Jamani mlio muona mwamba Alie ibiwa vitu vyake sm na redio akuje hapa

  • @hillaryestomih8238
    @hillaryestomih8238 9 месяцев назад

    Bss😀😀

  • @robertokasike4824
    @robertokasike4824 Год назад

    Hivi mpo hapo kama watafuta vipaji au kuwakatisha vijana tamaa maana sioni mkisimama kama wasaka vipaji mmesimama kama mahakimu mmesahau kama mpo kwajili ya kuwaweka sawa vijana katika uimbaji wao.

  • @hadijasalim7769
    @hadijasalim7769 10 месяцев назад

    Shishi anaongea sana hatuliyi ajitahidi kidogo tunamupenda

  • @zoransarich1176
    @zoransarich1176 Год назад +1

    Salama Yan sijui unaloho gan unawakatisha tamaa wenzako

  • @user-er2yf9sl9b
    @user-er2yf9sl9b 10 месяцев назад

    Huyu mama wa mwisho jamani nimempenda 🤪🤪🤪

  • @gaudenciaantony5523
    @gaudenciaantony5523 Год назад +1

    Huyu wa mwisho yupo serious kweli

  • @salamagoyal4399
    @salamagoyal4399 Год назад

    na hiyo hapo inaimbwa hvhv yani😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @Ebendentalclinic
    @Ebendentalclinic Год назад

    hahahahaa ila mnakutanaga na mambo aiseee huyo mama hapo😂😂😂😂

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 Год назад

    Gita tofauti kuimba tofauti

  • @davidjoseph9776
    @davidjoseph9776 2 года назад +6

    The struggle is real

  • @Wildwolf254
    @Wildwolf254 Год назад

    Kazi ipo!

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 9 месяцев назад

    😂😂😂😂 hatari sana 🤣🤣

  • @georgenorasco1705
    @georgenorasco1705 Год назад

    Mnatukera sana

  • @saidjafary2000
    @saidjafary2000 Год назад +2

    Salama jifunze kuwa mvumilivu

  • @happynessmasusu3752
    @happynessmasusu3752 2 года назад +6

    Nimecheka Kama mazur vile😁😁😁

  • @abelyphilimon8415
    @abelyphilimon8415 Год назад +2

    Achen kujiona mungu watu

  • @raajtz8073
    @raajtz8073 2 года назад +2

    Hiv bss inaanza lin tena niende na mm

  • @deusmallya6932
    @deusmallya6932 Год назад +1

    Washiriki msikate tamaa hata Konde boy halibaniwaga

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Год назад +1

    Nyimbo za kuimba kilabuni yeye anaomba kwenye mashindano jamani

  • @mariamramadhani3860
    @mariamramadhani3860 Год назад +1

    Maisha haya

  • @mwanahamisahmada7379
    @mwanahamisahmada7379 Год назад

    Yaan Salam Salam acha mamb hay we sikupend Kwa unavo kodovow wenzio mgh

  • @georgenorasco1705
    @georgenorasco1705 Год назад

    Ila humu kunavituko sana da

  • @shaibumasoud2014
    @shaibumasoud2014 Год назад

    Duuuhhh

  • @princephiri6355
    @princephiri6355 Год назад

    Niwajinga saana,kuliko wamuache msani amalize kuimba wanakatikiza kwa dharau

  • @bigdaddy_faustinjumong4427
    @bigdaddy_faustinjumong4427 2 года назад +2

    Huuuu mwaka hakuna #BSS

  • @animalflani
    @animalflani Год назад

    Wueeeeh???!!!

  • @carolinecharles9781
    @carolinecharles9781 Год назад

    Master j huyu jamaa ana kipaji

  • @maryevarist8583
    @maryevarist8583 Год назад +1

    Ila salama anakatisha tamaa jmn

  • @hassanissa4145
    @hassanissa4145 Год назад

    Bongo starsach kunasiku inanihusu lkn nadhani kuna jaji lazima nitokenae kwa mabao ya roho

  • @talibomar7954
    @talibomar7954 Год назад +1

    Nyinyi majaji maandazi ndomana mlimtosa Hamo asaivi mnaona aibu

  • @robertokasike4824
    @robertokasike4824 Год назад +1

    Ommy dimpoz punguza kiherehere

  • @didah4really93
    @didah4really93 8 месяцев назад +1

    😆😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @CharlesMchami-yg2qz
    @CharlesMchami-yg2qz 9 месяцев назад

    Ahaaa🤣

  • @neemamwasomola8663
    @neemamwasomola8663 Год назад

    Wanawake wakiwa kwenye vitengo hawafai nyinyi ni nyumbani tu mkazae