Nampenda shishi jamani na salama mashaa allah wanavituko muster J umeibiwa viatu pole Aunt rita punguza English shishi mnamkera 🤣🤣🤣 nawapenda from uk 🇬🇧
Ushauri wangu wasanii watanzania mkiona mnajua kuimba nenda studio tu uterekodi utasapotiwa na wananchi ,vipesa vyenyewe vya hawa jamaa vya mandazi haviwezi kukupeleka popote. Hawa wenyewe no judge hapo usenge tu na dharau na kukatisha tamaa wasanii.
bongo star search is unprofessional. majaji wana dharau na kudhalilisha wasanii watu hawa sio kama hawana mambo ya kufanya ila mtu anapo amini kuwa anakipaji si vyema kumkashifu, kwa kuwa wapo watu wa aina tofauti wapo amabao ukiwacrush watajiuliza na kufanya juhudi na kufanya marekebisho na wapo ambao ukiwacrush wataumia sana na hawatoweza kunyanyuka tena. Hili suala liangaliwe tena na tena majaji wana lugha chafu hawastahili kutukana wasanii.
@@rtp9010 mfano, chukua harmonize alivyo enda bss je? alienda kama mzinguaji? je alifanya hayo masihara ? je unakumbuka majibu gani alipewa na salama pamoja na master j? unadhani kwa uimbaji ambao Harmonize alionyesha ile siku alistahili yale majibu kutoka kwa wale majaji? ila hakukata tamaa aliinuka na kusonga mbele mpaka sasa ni msanii mkubwa je vp kama angekata tamaa kwa yale maneno angekuwa wapi ?? point ni wapo watu wenye vipaji vya kawaida ambao wanahitaji mazoezi au mafunzo zaidi ili wang'ae na ndio maana Harmonize alipo enda wasafi alipewa mafunzo zaidi mpaka ndio maana sasa yupo pale watu kama hapo wanaenda na watukanwa na majaji. Ndio maana kama umegundua wengi wa wenye vipaji vya mziki hawajisumbui na Bss.
Kwa kweli majaji hamjajua lengo la kazi yenu ni nini nyinyi wenyenu mnatakiwa mpate shule kiukweli mnatakiwa kuwatia moyo vijana hata akifika hpo kijana amethubutu
Hivi mpo hapo kama watafuta vipaji au kuwakatisha vijana tamaa maana sioni mkisimama kama wasaka vipaji mmesimama kama mahakimu mmesahau kama mpo kwajili ya kuwaweka sawa vijana katika uimbaji wao.
Vijana tusikate tamaa ipo siku mungu ajajalia walio kuzalau watakuona kivingine
Hivi nyiye majaji elimu kwanza hanma ,angalie Amerika got talent ilivyo .hovyo sana majaji imbeni tuone kkeeeemm
Someone to came spare my ribs 😂🤣🤣nmecheka adi basii BONGO STAR SEARCH love you guys way from Kenya 🇰🇪
You guys hamfai kuwa majaji...mnaeza mfanya mtu akajinyonge tu sio vizuri
😂😂😂😂😂Hawampi mtu faraja
Love from Kenya. Love you judges, masterj, salama and chief judge pulsen rita
957
Huyo wa kwanza alopiga gitaa. Kapatia hiyo ngoma ya pili.
One of the best Tv show in Africa. We really miss this show, please guys bring it back soon,#BSS4LIFE❤️
Nampenda shishi jamani na salama mashaa allah wanavituko muster J umeibiwa viatu pole Aunt rita punguza English shishi mnamkera 🤣🤣🤣 nawapenda from uk 🇬🇧
Jamaa Alie Rap kwa ajili salama .Anajua Asee.
Kwakweli sema wanazingua kina salama
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🔥
Sana
Bangi mbaya sana Asee 😂 wamemuibia
Dah huyo mama jaman , nacheka kama mazuri 🤣🤣🤣🤣🤣
Hata nyie mna stivo simple boy😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Sisi sote ni ndugu😂😂😂😂
Uyo mama wa mwisho 😂😂😂😂🙌🏻
nmechekaaaa😂😂😂
i love the confidence of the first guy
Laizer from Kenya sometime Salama mnakatiza vijana hopes Kwenye mziki
Kweli
Master jay,salama,madam,na ommy dimpoz nawashangaa sana....MTU HATA KAMA HAJUI MZIKI (MTAZAMO WENU)MUELEZEN KAKOSEA WAP....,KWA KIFUPI SALAMA HUJUI MZIKI...MADAMU RITA HUJUI MZIKI..DIMPOZ MZIKI UNAUJUA ILA UNAAMUA KUWA KIZIWI
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila bbs jmn kunavituko
Hicho kidada kina roho mbayaaaa sura imekakomaaaa kama kanalimwa Salama mshenzi sanaaa utazani kana maisha mazri hovyo tu
Polenii wenye kwenda kuiimba duuu wana towa noma kishenz muna roh ngum
Wimbo wa kumsifu salama ni mzuri bana
I never understand why Master J anakichukia kiingereza, anyway much love from Kenya
uyu mama wa mwisho ataniua🤣🤣🤣🤣
Haibu jamani
Hahaha
Hamna bhana kuna washiriki hamna kitu michosho tupu majaji wapo sawa kabisa
😂😂😂😂😂kaibiwaaaa
Ushauri wangu wasanii watanzania mkiona mnajua kuimba nenda studio tu uterekodi utasapotiwa na wananchi ,vipesa vyenyewe vya hawa jamaa vya mandazi haviwezi kukupeleka popote. Hawa wenyewe no judge hapo usenge tu na dharau na kukatisha tamaa wasanii.
Ahaaaaa
I like it
Maatata kweli kweli 😂😂😂
bongo star search is unprofessional. majaji wana dharau na kudhalilisha wasanii watu hawa sio kama hawana mambo ya kufanya ila mtu anapo amini kuwa anakipaji si vyema kumkashifu, kwa kuwa wapo watu wa aina tofauti wapo amabao ukiwacrush watajiuliza na kufanya juhudi na kufanya marekebisho na wapo ambao ukiwacrush wataumia sana na hawatoweza kunyanyuka tena. Hili suala liangaliwe tena na tena majaji wana lugha chafu hawastahili kutukana wasanii.
Hakuna cha kudhalilisha, we huoni hao washiriki jinsi wasivyo serious ndugu!!!? Washiriki wanazingua na wako wengi, lazima jaji awe na wenge
@@rtp9010 mfano, chukua harmonize alivyo enda bss je? alienda kama mzinguaji? je alifanya hayo masihara ? je unakumbuka majibu gani alipewa na salama pamoja na master j? unadhani kwa uimbaji ambao Harmonize alionyesha ile siku alistahili yale majibu kutoka kwa wale majaji? ila hakukata tamaa aliinuka na kusonga mbele mpaka sasa ni msanii mkubwa je vp kama angekata tamaa kwa yale maneno angekuwa wapi ?? point ni wapo watu wenye vipaji vya kawaida ambao wanahitaji mazoezi au mafunzo zaidi ili wang'ae na ndio maana Harmonize alipo enda wasafi alipewa mafunzo zaidi mpaka ndio maana sasa yupo pale watu kama hapo wanaenda na watukanwa na majaji. Ndio maana kama umegundua wengi wa wenye vipaji vya mziki hawajisumbui na Bss.
Nice
@@demikel harmo alikua bado ndo akaenda kujipng
Real talk maniga wak n dharau
Huhuuu, ila wabongo tunatisha. Nesi anapenda kuimba kuliko kazi yake.
Ajali ya ndege
Hahahahah 😅😅😅 huyo bb ni atariiiii
Haaahaaaaaa kwanza pengo Ashike jembe akalimeeeee Iman
Nyie majaji hovyo sana hamfai kabisa, Bora waje watu wengne nyie mnadharau sana mnakejeri vijana wetu
Huyo mama jaman🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kachangamka
Kwa gitaa yupo vizuri
watu wanapenda mziki lakini mziki hauwapendi
Salama mjinga sana hayo macho sasa....
😂😂😂😂😂 aseeee majaj poleni mama sokwaivyo vitukojamani mm mbavusina wallah
Sema mapengo ndo shida😂😂😂
Imani mola akuongoze kama unajiamini inatosha
Huyu dimpoz kama msenge yani unakatisha watu tamaa kiasi hiko cha kisenge mpe mtuu nafasi lazima ujue anaimba nn anahitaji nini yupo kama choko
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁😁😁😁
Ila wengine wanavyoimba mpaka kuna muda nahis wanaigiza tu🤣🤣🤣
😆😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaha😂😂😂yani madam Rita mnamyoyo kwakweli
🤣🤣🤣🤣napenda bss kwa ajili ya kucheka tu
🤣🤣🤣🤣
Wangebadilisha izo mbwaaa
😅😅😅😅😅ila mnakatsha tamaa mwee😂😂😂
Yeah ,majaji munatakiwa kuwa na lugha nzuri kwa wale ambao hawana vipaji na si kuwakashifu
Majaji mna moyo sana mungu awabariki😅😅😅😜
mm simpendi salama anakatixha tamaa
😂😂😂😂ila mziki sio rahisi
😂😂😂 wee mbavu zangu mm nacheka2
Kwanza ommy unakosoana mwenyewe unapima pima tu mbwa wewe🤣🤣
Please Judges ama Salama and Co, Heshima kidogo kwa Hao Wasio na vipaji wanao bahatisha , don't Disrespect them..
🤣🤣🤣🤣mm Huwa naangalia nikichekaa
Salama kapatikana 😂😂😂
😂😂😂 nimecmama kwenye konaa....nesi jaman😂😂😂
Maskin kaibiwa wamemvuruga😅😅😅😅
Daah aseee noma
Yaaani mnao jipeleka bss mnajichora,majaji wenyewe wadharau
Nianze kazi😂🤣
MUNGU wangu nimecheka duh🤣🤣🤣
Shemeji enu anaimba😂😂😂😂😂😂
Wapeni watu Moyo wafarijike wazidi kufanya vizuri,na pili muwakosoe wanapokosea na warekebishe kipo.
Kwa kweli majaji hamjajua lengo la kazi yenu ni nini nyinyi wenyenu mnatakiwa mpate shule kiukweli mnatakiwa kuwatia moyo vijana hata akifika hpo kijana amethubutu
Amekomeshaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Omi anasema legeza jicho basi🤣🤣🤣
Shishi anaongea sana hatuliyi ajitahidi kidogo tunamupenda
😂😂😂😂 hatari sana 🤣🤣
Nesi yuko vizuri
Hivi ndo inavyokuwaga kuwa jaji lazima ukutane na vituko hivi jamani daaah.😂😂
Ila salama umenichekesha 😂😂😂
Sasa hiyo ndo nyimbo gani? Kama anapambana?.
Natamani nikuone, haha, huyu ndo Stivo Simple Boy wa Tz.
Mnadharau sana
Bss michosho watu wanajua lakini wanabadiwa mfano mzuri ni harmoniz aliambiwa hajui Saiz ndio hyo
Alikuwa hajui zaman..angalia zman na sasa hvi
Mtu kama uyo imani unataka kusemaje
Watu wanapenda mzik ila mziki awapendi
Salama watu unawazodowa baadae wakitoka mnaona aibu hamjifunzi tu kutoka kwa Rajabu
😂Anawazodowa!Haswa lugha siyo ya kibiashara, sifa tu
Rajabu ndo kayumba ?
@@mishikikoti2948 Hapana Rajabu ni Harmonize
@@fathimamct232 ahaa ok
Jamani mlio muona mwamba Alie ibiwa vitu vyake sm na redio akuje hapa
😂😂😂😂😂 wimbo wa tuma 😅😅😅😅
Iko vizur
Hivi mpo hapo kama watafuta vipaji au kuwakatisha vijana tamaa maana sioni mkisimama kama wasaka vipaji mmesimama kama mahakimu mmesahau kama mpo kwajili ya kuwaweka sawa vijana katika uimbaji wao.
😂😂😂😂😂Inachekesha
Duka la vipodozi😂😂
Salama jau😂😂
Dimpoz, ili mradi usikike?
Hayo alifanyiwa Harmonize, KIBOKO YENU BSS
hahahahaa ila mnakutanaga na mambo aiseee huyo mama hapo😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣eeee Kuna Watu wanachekesha
jman uyo ni kiziwii au manaa so pwa😂😂😂
Uyu mama nisimame wapi katikati😂😂😂😂😂😂
Hahahahahaha Hawa wataniuaaa mm...dahh hata kama mi sio fundi kivile WA kuimba Ila dahh
Ila humu kunavituko sana da
Mnatukera sana
😂😂😂😂😂😂 nikicheko jamani
KUNA VIPAJI MNAVIUA KUNA MTU AKIACHWA NEXT STAGE ANAKUWA MZURI,ILA MNATAKA MTU TAYARI NI BEST DURING DAY ONE.
Some were comedians but they forgot , they came to dance.
Shida yenu majaji hamfanyi kazi kwa kuinua na kuwapa moyo hao vijana, wanakuja na hofu wanashindwa hata kuonesha kitu halisi walichonacho.
Tuma mamaaaaaaa
Dah
Hasira✓ Sio( asiraX) 😂😂😂😂
sema nikiwa na stress nakujaga huku kuchekaa
ila nyie majaji mungu anawaona😂😂😂😂😂 duhh
SASA HAPO KATI YENU SIJUI ANAMTAMANI YUPI?😂😂😂😂😂😂😂😂🎉😂😂
Wewe unamuambia mshiriki "wewe unajua mi natoka wapi"
Km kisasi, hufai kuwa Jaji