Skia alichoimbiwa Salama na shabiki, Hujui mtu katoka wapi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 331

  • @daudimfalmegosper7636
    @daudimfalmegosper7636 5 дней назад +3

    Vijana tusikate tamaa ipo siku mungu ajajalia walio kuzalau watakuona kivingine

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 22 дня назад +2

    Hivi nyiye majaji elimu kwanza hanma ,angalie Amerika got talent ilivyo .hovyo sana majaji imbeni tuone kkeeeemm

  • @rachealhalima4162
    @rachealhalima4162 2 года назад +2

    Someone to came spare my ribs 😂🤣🤣nmecheka adi basii BONGO STAR SEARCH love you guys way from Kenya 🇰🇪

  • @jacobjones9603
    @jacobjones9603 2 года назад +12

    You guys hamfai kuwa majaji...mnaeza mfanya mtu akajinyonge tu sio vizuri

    • @RayChausa-g6m
      @RayChausa-g6m 27 дней назад

      😂😂😂😂😂Hawampi mtu faraja

  • @ToylandAdventurezy
    @ToylandAdventurezy 2 года назад +11

    Love from Kenya. Love you judges, masterj, salama and chief judge pulsen rita

  • @demask3423
    @demask3423 Месяц назад +5

    Huyo wa kwanza alopiga gitaa. Kapatia hiyo ngoma ya pili.

  • @aliben9
    @aliben9 2 года назад +8

    One of the best Tv show in Africa. We really miss this show, please guys bring it back soon,#BSS4LIFE❤️

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor5969 Год назад +1

    Nampenda shishi jamani na salama mashaa allah wanavituko muster J umeibiwa viatu pole Aunt rita punguza English shishi mnamkera 🤣🤣🤣 nawapenda from uk 🇬🇧

  • @alexlingwendu6780
    @alexlingwendu6780 2 года назад +13

    Jamaa Alie Rap kwa ajili salama .Anajua Asee.

  • @Abdulhamid_Suleiman
    @Abdulhamid_Suleiman 2 года назад +5

    Bangi mbaya sana Asee 😂 wamemuibia

  • @CollimsBella
    @CollimsBella Месяц назад +2

    Dah huyo mama jaman , nacheka kama mazuri 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @quintertheebestnanny1875
    @quintertheebestnanny1875 2 года назад +13

    Hata nyie mna stivo simple boy😂😂😂

    • @IN-ny2kb
      @IN-ny2kb 2 года назад

      😂😂😂😂

    • @lynne2346
      @lynne2346 2 года назад

      😂😂😂😂😂

    • @bwiremgonya07
      @bwiremgonya07 8 дней назад

      Sisi sote ni ndugu😂😂😂😂

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 2 года назад +6

    Uyo mama wa mwisho 😂😂😂😂🙌🏻

  • @thestoryteller6398
    @thestoryteller6398 2 года назад +2

    i love the confidence of the first guy

  • @tigerclassic-
    @tigerclassic- 2 года назад +25

    Laizer from Kenya sometime Salama mnakatiza vijana hopes Kwenye mziki

    • @nundamalickofficial9538
      @nundamalickofficial9538 2 года назад

      Kweli

    • @stanleysenzota3180
      @stanleysenzota3180 2 года назад +1

      Master jay,salama,madam,na ommy dimpoz nawashangaa sana....MTU HATA KAMA HAJUI MZIKI (MTAZAMO WENU)MUELEZEN KAKOSEA WAP....,KWA KIFUPI SALAMA HUJUI MZIKI...MADAMU RITA HUJUI MZIKI..DIMPOZ MZIKI UNAUJUA ILA UNAAMUA KUWA KIZIWI

    • @Shadya-ju2el
      @Shadya-ju2el Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila bbs jmn kunavituko

  • @hamiskadogo8665
    @hamiskadogo8665 2 года назад

    Hicho kidada kina roho mbayaaaa sura imekakomaaaa kama kanalimwa Salama mshenzi sanaaa utazani kana maisha mazri hovyo tu

  • @manirambonazaza3332
    @manirambonazaza3332 2 года назад

    Polenii wenye kwenda kuiimba duuu wana towa noma kishenz muna roh ngum

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 2 года назад +4

    Wimbo wa kumsifu salama ni mzuri bana

  • @joaniminza9618
    @joaniminza9618 2 года назад +2

    I never understand why Master J anakichukia kiingereza, anyway much love from Kenya

  • @jacquilinenoah949
    @jacquilinenoah949 2 года назад +7

    uyu mama wa mwisho ataniua🤣🤣🤣🤣

  • @ElfurahaKidabulo
    @ElfurahaKidabulo 24 дня назад +1

    Hamna bhana kuna washiriki hamna kitu michosho tupu majaji wapo sawa kabisa

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Год назад +2

    😂😂😂😂😂kaibiwaaaa

  • @mwasoprince3459
    @mwasoprince3459 2 года назад +11

    Ushauri wangu wasanii watanzania mkiona mnajua kuimba nenda studio tu uterekodi utasapotiwa na wananchi ,vipesa vyenyewe vya hawa jamaa vya mandazi haviwezi kukupeleka popote. Hawa wenyewe no judge hapo usenge tu na dharau na kukatisha tamaa wasanii.

  • @RinaAlex-e4q
    @RinaAlex-e4q Месяц назад +1

    I like it

  • @roi2554
    @roi2554 Год назад +1

    Maatata kweli kweli 😂😂😂

  • @demikel
    @demikel 2 года назад +62

    bongo star search is unprofessional. majaji wana dharau na kudhalilisha wasanii watu hawa sio kama hawana mambo ya kufanya ila mtu anapo amini kuwa anakipaji si vyema kumkashifu, kwa kuwa wapo watu wa aina tofauti wapo amabao ukiwacrush watajiuliza na kufanya juhudi na kufanya marekebisho na wapo ambao ukiwacrush wataumia sana na hawatoweza kunyanyuka tena. Hili suala liangaliwe tena na tena majaji wana lugha chafu hawastahili kutukana wasanii.

    • @rtp9010
      @rtp9010 2 года назад +11

      Hakuna cha kudhalilisha, we huoni hao washiriki jinsi wasivyo serious ndugu!!!? Washiriki wanazingua na wako wengi, lazima jaji awe na wenge

    • @demikel
      @demikel 2 года назад +5

      @@rtp9010 mfano, chukua harmonize alivyo enda bss je? alienda kama mzinguaji? je alifanya hayo masihara ? je unakumbuka majibu gani alipewa na salama pamoja na master j? unadhani kwa uimbaji ambao Harmonize alionyesha ile siku alistahili yale majibu kutoka kwa wale majaji? ila hakukata tamaa aliinuka na kusonga mbele mpaka sasa ni msanii mkubwa je vp kama angekata tamaa kwa yale maneno angekuwa wapi ?? point ni wapo watu wenye vipaji vya kawaida ambao wanahitaji mazoezi au mafunzo zaidi ili wang'ae na ndio maana Harmonize alipo enda wasafi alipewa mafunzo zaidi mpaka ndio maana sasa yupo pale watu kama hapo wanaenda na watukanwa na majaji. Ndio maana kama umegundua wengi wa wenye vipaji vya mziki hawajisumbui na Bss.

    • @emmanuelchilongola5804
      @emmanuelchilongola5804 2 года назад

      Nice

    • @mariaalmack3686
      @mariaalmack3686 Год назад +2

      @@demikel harmo alikua bado ndo akaenda kujipng

    • @johmarleyofficial8460
      @johmarleyofficial8460 Год назад

      Real talk maniga wak n dharau

  • @cleophasmkungu623
    @cleophasmkungu623 2 года назад

    Huhuuu, ila wabongo tunatisha. Nesi anapenda kuimba kuliko kazi yake.

  • @AbdulrazaqFaraji
    @AbdulrazaqFaraji 29 дней назад

    Hahahahah 😅😅😅 huyo bb ni atariiiii

  • @rizikirobert4596
    @rizikirobert4596 2 года назад

    Haaahaaaaaa kwanza pengo Ashike jembe akalimeeeee Iman

  • @georgenorasco1705
    @georgenorasco1705 2 года назад

    Nyie majaji hovyo sana hamfai kabisa, Bora waje watu wengne nyie mnadharau sana mnakejeri vijana wetu

  • @batistkatumbi782
    @batistkatumbi782 2 года назад +3

    Huyo mama jaman🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kachangamka

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 2 года назад +3

    Kwa gitaa yupo vizuri

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 2 года назад +9

    watu wanapenda mziki lakini mziki hauwapendi

  • @OtavinaMsigala-xx5bl
    @OtavinaMsigala-xx5bl Год назад

    Salama mjinga sana hayo macho sasa....

  • @MaryamHAMISI-ei9fq
    @MaryamHAMISI-ei9fq Месяц назад

    😂😂😂😂😂 aseeee majaj poleni mama sokwaivyo vitukojamani mm mbavusina wallah

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Год назад +1

    Sema mapengo ndo shida😂😂😂

  • @marysaituni4584
    @marysaituni4584 2 года назад +1

    Imani mola akuongoze kama unajiamini inatosha

  • @Nominated207
    @Nominated207 2 года назад +4

    Huyu dimpoz kama msenge yani unakatisha watu tamaa kiasi hiko cha kisenge mpe mtuu nafasi lazima ujue anaimba nn anahitaji nini yupo kama choko

    • @mchilangaakomwaninyoyakwe8399
      @mchilangaakomwaninyoyakwe8399 2 года назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁😁😁😁

  • @SamouOman
    @SamouOman 24 дня назад

    Ila wengine wanavyoimba mpaka kuna muda nahis wanaigiza tu🤣🤣🤣

  • @didah4really93
    @didah4really93 Год назад +1

    😆😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @manrakizagervais4418
    @manrakizagervais4418 Год назад

    Hahaha😂😂😂yani madam Rita mnamyoyo kwakweli

  • @tusmokinana3836
    @tusmokinana3836 2 года назад +5

    🤣🤣🤣🤣napenda bss kwa ajili ya kucheka tu

  • @Luckynayza
    @Luckynayza Год назад

    Wangebadilisha izo mbwaaa

  • @LuciaGodfrey-sk6lz
    @LuciaGodfrey-sk6lz Год назад

    😅😅😅😅😅ila mnakatsha tamaa mwee😂😂😂

  • @mrben227
    @mrben227 Год назад

    Yeah ,majaji munatakiwa kuwa na lugha nzuri kwa wale ambao hawana vipaji na si kuwakashifu

  • @emmanuelernest3596
    @emmanuelernest3596 2 года назад

    Majaji mna moyo sana mungu awabariki😅😅😅😜

  • @hejopantumsifusimon21
    @hejopantumsifusimon21 2 года назад +2

    mm simpendi salama anakatixha tamaa

  • @EdisonMdoe-iu2or
    @EdisonMdoe-iu2or 29 дней назад

    😂😂😂😂ila mziki sio rahisi

  • @WazohilllUhasibu
    @WazohilllUhasibu 16 дней назад

    😂😂😂 wee mbavu zangu mm nacheka2

  • @Special_boy_og
    @Special_boy_og 2 года назад +1

    Kwanza ommy unakosoana mwenyewe unapima pima tu mbwa wewe🤣🤣

  • @mohamedschaeublin7374
    @mohamedschaeublin7374 2 года назад +12

    Please Judges ama Salama and Co, Heshima kidogo kwa Hao Wasio na vipaji wanao bahatisha , don't Disrespect them..

  • @fatimamv2723
    @fatimamv2723 2 года назад +4

    🤣🤣🤣🤣mm Huwa naangalia nikichekaa

  • @AhmeddyLameck
    @AhmeddyLameck Месяц назад

    Salama kapatikana 😂😂😂

  • @abdimalikabdulaziz4954
    @abdimalikabdulaziz4954 Год назад

    😂😂😂 nimecmama kwenye konaa....nesi jaman😂😂😂

  • @QueenJoas
    @QueenJoas 28 дней назад

    Maskin kaibiwa wamemvuruga😅😅😅😅

  • @papangoda229
    @papangoda229 2 года назад

    Daah aseee noma

  • @CharlesWaryobha
    @CharlesWaryobha Месяц назад

    Yaaani mnao jipeleka bss mnajichora,majaji wenyewe wadharau

  • @djtalkido2547
    @djtalkido2547 2 года назад +4

    Nianze kazi😂🤣

  • @veronicamnico4773
    @veronicamnico4773 Год назад

    MUNGU wangu nimecheka duh🤣🤣🤣

  • @SadaHashimhadoswa
    @SadaHashimhadoswa Месяц назад

    Shemeji enu anaimba😂😂😂😂😂😂

  • @mody-guyngido2792
    @mody-guyngido2792 2 года назад

    Wapeni watu Moyo wafarijike wazidi kufanya vizuri,na pili muwakosoe wanapokosea na warekebishe kipo.

  • @ameirameir4930
    @ameirameir4930 2 года назад +1

    Kwa kweli majaji hamjajua lengo la kazi yenu ni nini nyinyi wenyenu mnatakiwa mpate shule kiukweli mnatakiwa kuwatia moyo vijana hata akifika hpo kijana amethubutu

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Месяц назад

    Amekomeshaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @زيتونتنزانيا
    @زيتونتنزانيا 2 года назад +3

    Omi anasema legeza jicho basi🤣🤣🤣

  • @hadijasalim7769
    @hadijasalim7769 Год назад

    Shishi anaongea sana hatuliyi ajitahidi kidogo tunamupenda

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Год назад

    😂😂😂😂 hatari sana 🤣🤣

  • @noeljacob9644
    @noeljacob9644 2 года назад

    Nesi yuko vizuri

  • @arya-star53
    @arya-star53 Месяц назад

    Hivi ndo inavyokuwaga kuwa jaji lazima ukutane na vituko hivi jamani daaah.😂😂

  • @HamidaMwino-m1h
    @HamidaMwino-m1h Месяц назад

    Ila salama umenichekesha 😂😂😂

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Месяц назад

    Sasa hiyo ndo nyimbo gani? Kama anapambana?.

  • @MoyiSanJose-eg1nr
    @MoyiSanJose-eg1nr Год назад

    Natamani nikuone, haha, huyu ndo Stivo Simple Boy wa Tz.

  • @georgenorasco1705
    @georgenorasco1705 2 года назад

    Mnadharau sana

  • @bondokeyofficial5273
    @bondokeyofficial5273 2 года назад +3

    Bss michosho watu wanajua lakini wanabadiwa mfano mzuri ni harmoniz aliambiwa hajui Saiz ndio hyo

    • @fefeonlyme5394
      @fefeonlyme5394 2 года назад

      Alikuwa hajui zaman..angalia zman na sasa hvi

    • @florianminja1127
      @florianminja1127 2 года назад

      Mtu kama uyo imani unataka kusemaje

  • @naomilyoto1977
    @naomilyoto1977 2 года назад +3

    Watu wanapenda mzik ila mziki awapendi

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 2 года назад +7

    Salama watu unawazodowa baadae wakitoka mnaona aibu hamjifunzi tu kutoka kwa Rajabu

  • @mussakuntu7702
    @mussakuntu7702 Год назад

    Jamani mlio muona mwamba Alie ibiwa vitu vyake sm na redio akuje hapa

  • @AminaMsomba
    @AminaMsomba Год назад

    😂😂😂😂😂 wimbo wa tuma 😅😅😅😅

  • @ShijaJoseph-i9d
    @ShijaJoseph-i9d Год назад

    Iko vizur

  • @roberomartnez4020
    @roberomartnez4020 2 года назад

    Hivi mpo hapo kama watafuta vipaji au kuwakatisha vijana tamaa maana sioni mkisimama kama wasaka vipaji mmesimama kama mahakimu mmesahau kama mpo kwajili ya kuwaweka sawa vijana katika uimbaji wao.

  • @KaryanFerran-x8k
    @KaryanFerran-x8k Месяц назад

    😂😂😂😂😂Inachekesha

  • @SalumJohn-h2s
    @SalumJohn-h2s 8 дней назад

    Duka la vipodozi😂😂

  • @westcijosh
    @westcijosh 29 дней назад

    Salama jau😂😂

  • @Worldunite
    @Worldunite Месяц назад

    Dimpoz, ili mradi usikike?
    Hayo alifanyiwa Harmonize, KIBOKO YENU BSS

  • @Ebendentalclinic
    @Ebendentalclinic 2 года назад

    hahahahaa ila mnakutanaga na mambo aiseee huyo mama hapo😂😂😂😂

  • @sophiankwera9020
    @sophiankwera9020 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣eeee Kuna Watu wanachekesha

  • @AsmaAlijuma
    @AsmaAlijuma Месяц назад

    jman uyo ni kiziwii au manaa so pwa😂😂😂

  • @fefeonlyme5394
    @fefeonlyme5394 2 года назад +2

    Uyu mama nisimame wapi katikati😂😂😂😂😂😂

    • @flova7022
      @flova7022 2 года назад

      Hahahahahaha Hawa wataniuaaa mm...dahh hata kama mi sio fundi kivile WA kuimba Ila dahh

  • @georgenorasco1705
    @georgenorasco1705 2 года назад

    Ila humu kunavituko sana da

  • @georgenorasco1705
    @georgenorasco1705 2 года назад

    Mnatukera sana

  • @SaumuJomba
    @SaumuJomba Год назад

    😂😂😂😂😂😂 nikicheko jamani

  • @rajabumrope8732
    @rajabumrope8732 Месяц назад

    KUNA VIPAJI MNAVIUA KUNA MTU AKIACHWA NEXT STAGE ANAKUWA MZURI,ILA MNATAKA MTU TAYARI NI BEST DURING DAY ONE.

  • @kaleenyakwardamba2670
    @kaleenyakwardamba2670 12 дней назад

    Some were comedians but they forgot , they came to dance.

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Месяц назад

    Shida yenu majaji hamfanyi kazi kwa kuinua na kuwapa moyo hao vijana, wanakuja na hofu wanashindwa hata kuonesha kitu halisi walichonacho.

  • @PendezaPendezaallybakaly
    @PendezaPendezaallybakaly 25 дней назад

    Tuma mamaaaaaaa

  • @christinaonditi9341
    @christinaonditi9341 2 года назад +1

    Dah

  • @nabiichrisstv
    @nabiichrisstv 9 месяцев назад

    Hasira✓ Sio( asiraX) 😂😂😂😂

  • @moseslorenzo6082
    @moseslorenzo6082 Месяц назад

    sema nikiwa na stress nakujaga huku kuchekaa

  • @AsmaAlijuma
    @AsmaAlijuma Месяц назад

    ila nyie majaji mungu anawaona😂😂😂😂😂 duhh

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Месяц назад

    SASA HAPO KATI YENU SIJUI ANAMTAMANI YUPI?😂😂😂😂😂😂😂😂🎉😂😂

  • @Worldunite
    @Worldunite Месяц назад

    Wewe unamuambia mshiriki "wewe unajua mi natoka wapi"
    Km kisasi, hufai kuwa Jaji