BARAKA POMBE MAGUFULI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Kijana kutoka wilayani Mufindi akiongea kama Raisi katika mahafali ya kidato cha sita shule ya sekondari Mdabulo....
    HAKIKA KUNA WATU WANA VIPAJI

Комментарии • 142

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay 5 лет назад +17

    Uki msikiliza muda mrefu unjikuta kama unamsikiliza magufuli kabisa

  • @amanimtasha9168
    @amanimtasha9168 5 лет назад +16

    Unajua sana naupo vizuri kwelikweli. Ushauri wangu fanya mpango uwe unavaa mavazi mazuri uwe smart maana unamuigiza Mh nautaingia maeneo nyeti ambayo kwamavazi unayovaa sasahivi hayataendana.

    • @dinahbasemera4672
      @dinahbasemera4672 5 лет назад

      its comedy...hivi hivi..ndo inapendeza.

    • @M7-Band
      @M7-Band 5 лет назад

      Huyu ni comedian

    • @gosbertrwezahura3645
      @gosbertrwezahura3645 5 лет назад

      We huelewi maana ya kuwa mwigizaji. Akivaa vizuri ataharibu. Ndo maana anaitwa msanii.

    • @dinahbasemera4672
      @dinahbasemera4672 5 лет назад

      @@gosbertrwezahura3645 kweli bro,nimejaribu kuelezea hivyo.Nashangagaa y watu wanataka avae so called vizuri!!!!hii ndo style yake na kwa upande wangu,inapendeza...hivi hivi super....watu tusisahau hii ni COMEDY.....PLZ

    • @amanimtasha9168
      @amanimtasha9168 5 лет назад

      Gosbert Rwezahura Naweza kuwa sijui kweli lakini sidhani kama ukiwa muigizaji lazima uvae vibaya au uwe namuonekano mchafu. Labda uniambie mavazi yaendane na mazingira yake ya kazi. Kwasababu kunamazingira mengine hawezi kuingia akiwa namuonekano kama huu. Mfano mzuri juzkati alipokutana na Raisi alivaa suti yake safi kabisa nakuendana namazingira aliyokutananayo. Pia kuna wachekeshaji wengi tu wapo smart nawanachekesha raia tunacheka.

  • @pascalshiwa8876
    @pascalshiwa8876 5 лет назад +11

    daaaa, unaweza sana kaka aiseeeeeee,, heb nipen like kwahuyu jamaa jmn

  • @Chekanamimi_
    @Chekanamimi_ 5 лет назад +7

    Huyo jamaa anayemlinda kauzu kweli kweli hata hacheki ng'oooo wenzie hoi yeye kimyaaa

  • @agustinomgaya7873
    @agustinomgaya7873 5 лет назад +2

    Ingefaa zaid kama utavaa kiheshma kama mh mwenyew aisee itapendeza zaid!

  • @kisianganijob1068
    @kisianganijob1068 5 лет назад +7

    Hey this gentleman,we need you in Nairobi...drop me your contact.

  • @MagufulipresidencyFacts
    @MagufulipresidencyFacts 5 лет назад +5

    Mchekeshaji boresha mavazi yako uwe smart. Unaweza sana na hongera.

    • @ob_wani
      @ob_wani 5 лет назад

      Magufuli4presidency2020 Facts asante Sana kwa ushauri wako nachoomba upitie kwenye channel yangu na usubscribe kupata video nyingi zaidi

  • @musamanyanda5112
    @musamanyanda5112 5 лет назад +14

    Anatakiwa awe smart iwe heshima kwa rais c kwa hivyo alivyovaaa maana kipaji anacho tena kikubwa tu maoni yangu

    • @goodluckbenny123
      @goodluckbenny123 5 лет назад

      true bro jamaa yuko vzr

    • @boazmkama2721
      @boazmkama2721 5 лет назад

      Kweli jamaa yuko vzuri... Inatakiwa avae vzuri

    • @ssafricancreator9151
      @ssafricancreator9151 5 лет назад

      Kumbuka uyo ni comedian kwa sisi kwenye yupo saihi

    • @musamanyanda5112
      @musamanyanda5112 5 лет назад +1

      Kwani ukiwa comedian ndo lazima uwe mchafu mbona wakina jk wanavaa smart tu na wanachekesha vizuri harafu kumbuka aigiza sauti ya mkuu wa nchi

    • @dinahbasemera4672
      @dinahbasemera4672 5 лет назад +1

      hi ndo style yake..mi naona poa tu...it is comedy,na comedies zi aina nyingi saana,i prefer his way.

  • @givenngoko4528
    @givenngoko4528 5 лет назад +12

    Very talented.... Kapatia sana na muonekano wake kama yeye

  • @husseinomary4466
    @husseinomary4466 5 лет назад +2

    Duh hiki ndicho kipaji haswaaa

  • @danielmacha3642
    @danielmacha3642 5 лет назад +7

    This is the best imitation for H.E JPM so far. Very good comedy.

  • @zamanmuhammad4154
    @zamanmuhammad4154 3 года назад

    angalia YANAYOJIRIMITAANI TV UMUONE BARAKA MAGUFULI

  • @mohamednassormohamed3027
    @mohamednassormohamed3027 5 лет назад +7

    Uko vizuri sn na tai yako ndogo

  • @fatoomfatoom5590
    @fatoomfatoom5590 5 лет назад +8

    Unaweza kaka Yani umewafunika wote

  • @goodluckbenny123
    @goodluckbenny123 5 лет назад +6

    please magu hebu muone uyu jamaa daaah safi sana kaka

  • @britonkatety1434
    @britonkatety1434 4 года назад +1

    Duuuhh huyu jamaaa ni noma asee
    salute kwake

  • @francisngugi1998
    @francisngugi1998 Год назад +1

    Uko top baraka

  • @esterbegina1022
    @esterbegina1022 5 лет назад +8

    Dah sijui baba kakuona maana max zote nakupa

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo3084 5 лет назад +2

    Goood😃😂😃😂😃

  • @abdulchikuti6603
    @abdulchikuti6603 5 лет назад +6

    mh! Huyu jamaaa noma sana! Nimemkubali sana, jamaaa anajuwa sana

  • @adammartin4139
    @adammartin4139 5 лет назад +9

    Good pambana unaweza sana,tafuta nafasi,umeshatoka wewe

  • @mussaisaac
    @mussaisaac 5 лет назад +10

    Safi sana unakipaji pia hutuba yako umeipangilia vzr sana.

  • @msafwawaitende1159
    @msafwawaitende1159 5 лет назад +6

    Saafi!kuzaa ni raha jamani!

  • @reloadlogistics419
    @reloadlogistics419 4 года назад

    Jamaa anajua na anajua kutuliza akil kuwaza speech ya papo kwa papo ni hatar kwel

  • @omariselemani479
    @omariselemani479 5 лет назад +1

    Ikiwa ulitoa viwanja dodoma kwa taifa stars kushinda uganda sasa na kuhusu kupigwa magoli manne kwa moja na TP mazembe ya DRC unasemaje JPM kwa taifa stars zawadi tena kwao au?

  • @ibnahmad607
    @ibnahmad607 5 лет назад +6

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    Roma kamkuta Mwajuma kaolewa!
    😂😂😂😂😂😂

  • @mrishorashidy1603
    @mrishorashidy1603 5 лет назад +1

    Nikweli amani huyu jamaa awe anavaa sasa mavaz ya kupendeza ili aendane na heshima ya RAIS kama akna stve nyerere gonga chini kama ushauri unafaa.

  • @mirajiibrahim51
    @mirajiibrahim51 5 лет назад +8

    Very talented man 😂😂😂😂

  • @jumabias4917
    @jumabias4917 5 лет назад +5

    Vaa nguo safi kipaji unacho

    • @ob_wani
      @ob_wani 5 лет назад

      Juma Bias Magufuli4presidency2020 Facts asante Sana kwa ushauri wako nachoomba upitie kwenye channel yangu na usubscribe kupata video nyingi zaidi

  • @andreajoseph5285
    @andreajoseph5285 5 лет назад +1

    full good massege i like it real president

  • @zamanmuhammad4154
    @zamanmuhammad4154 3 года назад

    ruclips.net/video/SHhvVmylpzA/видео.html .BARAKA MAGUFULI

  • @richytarimo4656
    @richytarimo4656 5 лет назад +1

    usiweke kitambi coz maguful hana kitambi

  • @dr.godwinmaimu-mchumi8432
    @dr.godwinmaimu-mchumi8432 5 лет назад +6

    Naomba mwenye namba babu Maguu nataka nimpe kazi great vipaji kama hivi nivyakuviendeleza

  • @ernestrobert5794
    @ernestrobert5794 5 лет назад

    Uko vizur sema vaa suti kalii

  • @malale4580
    @malale4580 5 лет назад +1

    njo hapa Malale TV

  • @ladislausmusomi5426
    @ladislausmusomi5426 4 года назад

    Watu wanavipaji 😀😀

  • @helmanikomba576
    @helmanikomba576 5 лет назад +2

    Akuna cha nani wala nani,,, we nikiboko yao.
    Nashauri tu, AZAM TV, wamuone huyu kijana, wasibenzi uko DR, vipaji ndo hivi bhana, safi sana.

    • @francolazaro8646
      @francolazaro8646 5 лет назад

      AZAM TV ndo nani

    • @helmanikomba576
      @helmanikomba576 5 лет назад +1

      PARIS ~ AZAM TV, ndo wanao onyesha vichekesho vya namna hiyo, hakuna TV nyingine.
      Una kingamuzi kimoja nini !!!

    • @francolazaro8646
      @francolazaro8646 5 лет назад +1

      @@helmanikomba576.. Azam TV washafulia hawana jamboo

  • @teddyjosejoseph.moviesnzur591
    @teddyjosejoseph.moviesnzur591 5 лет назад +1

    Bodigadi sharobalo 😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @dullybrown3635
    @dullybrown3635 5 лет назад +1

    mhahahahahhahahaha keep it up bro

  • @habibrwegoshora6624
    @habibrwegoshora6624 5 лет назад +4

    Huyu buanaaaa do mjanja hatari

    • @terimbereassir2326
      @terimbereassir2326 5 лет назад

      Ameona MAGUFURI snatowa apo, anayipim bahati yake. Inategemea kupea kitu cha maana kutok Kwake MAGUFURE.
      Ila atashaanga asipo pea. Na ndio ataamini kua mtowaji ni MUNGU sio magufuri

  • @iranangole7007
    @iranangole7007 5 лет назад +1

    Pierre jiangalie anakuja uyo

  • @hamdunimgalapo2967
    @hamdunimgalapo2967 5 лет назад +2

    huyo bordgurd wako. hayupo makini. hata vaa yake sio

  • @maxjofrey70
    @maxjofrey70 5 лет назад +1

    Anajua sana uyu jamaa

  • @frenkmachera93
    @frenkmachera93 5 лет назад +4

    Jamaa anaweza

  • @ndoanirahaonlinetv5031
    @ndoanirahaonlinetv5031 5 лет назад +1

    duh hatari

  • @hamisihamisisaidi8832
    @hamisihamisisaidi8832 5 лет назад +2

    Big up brother good talent

  • @lucasmuteti700
    @lucasmuteti700 5 лет назад +1

    I love your comedy ,uko sawa

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika7477 5 лет назад +1

    hiki kitumbo cha chini chini😂😂😂😂

  • @amirmotors9735
    @amirmotors9735 5 лет назад +1

    Upo vizur u need a support

  • @agreymsemwa8021
    @agreymsemwa8021 5 лет назад +2

    Mule mule yn hhhhh

  • @janethpallangyo2633
    @janethpallangyo2633 5 лет назад +4

    Nice one

  • @amannkuba4175
    @amannkuba4175 5 лет назад +2

    Aisee uko vzr broo

  • @faidamkambwa4269
    @faidamkambwa4269 5 лет назад +5

    Kipaji unacho, nakupa asilimia 98

  • @ufc-ultimatefightingchampi8456
    @ufc-ultimatefightingchampi8456 5 лет назад +1

    mvalisheni kama rais basi

  • @yanayojirimitaaniTV
    @yanayojirimitaaniTV 5 лет назад

    ANGALIA YANAYOJIRI MITAANI TV uone BARAKA MAGUFULI AKIHUTUBIA MKUTANO

  • @kingbidder
    @kingbidder 5 лет назад +1

    Ww ni kiboko

  • @joharihamisi1305
    @joharihamisi1305 5 лет назад +1

    big up

  • @yusufusalimu5397
    @yusufusalimu5397 5 лет назад +1

    Makonda Wengne haooo

  • @mcmkolosai7979
    @mcmkolosai7979 5 лет назад +4

    Anajitahidi ni sawa, lkn nivizuri kama angevaa nguo safi siyo kama hizo alizo nazo maana Mh. Rais ni smart sana, akubali kuvaa vizuri

  • @khalidkibakuli8048
    @khalidkibakuli8048 5 лет назад +1

    Unaweza sana jamaaaa big up

  • @hashimmwemamwema9179
    @hashimmwemamwema9179 5 лет назад +3

    Du yani niyy kabx😁😁😁

  • @lavamixerginimbi3098
    @lavamixerginimbi3098 3 года назад

    Pole namusiba

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi1241 5 лет назад +1

    Nice job

  • @samsonsaimon7351
    @samsonsaimon7351 5 лет назад +3

    Jitahid uvae vizur bahna tay kama shuka kua smart

    • @gosbertrwezahura3645
      @gosbertrwezahura3645 5 лет назад +1

      Huo ndo usanii. Akivaa vizuri ataharibu. Hata yeye anajua.

    • @heshimakibali1431
      @heshimakibali1431 5 лет назад

      Samson Saimon yeye ni muigizaji... alafu mnataka awe smart, haiwezekani jamani.. akiwa smart ina maana awe sawa na mheshimiwa rais? uigizaji hautapendeza.

    • @dinahbasemera4672
      @dinahbasemera4672 5 лет назад

      @@gosbertrwezahura3645 ndo kitu hawaaelewi...hivi hivi poa saaaaana..

  • @taaonlinetv1820
    @taaonlinetv1820 5 лет назад +1

    unaweza sanaaaa

  • @omaryomary6154
    @omaryomary6154 5 лет назад +1

    hongera sana bpm

  • @feisalomar2807
    @feisalomar2807 5 лет назад +1

    Good

  • @frenklivingstone4115
    @frenklivingstone4115 5 лет назад +1

    Umeweza.....

  • @fabianmoses3105
    @fabianmoses3105 5 лет назад +1

    Very talented ila muonekano wake wa ovyo ovyoooo tuuuu

    • @ob_wani
      @ob_wani 5 лет назад +1

      fabian moses Magufuli4presidency2020 Facts asante Sana kwa ushauri wako nachoomba upitie kwenye channel yangu na usubscribe kupata video nyingi zaidi

  • @dasilvajunior3016
    @dasilvajunior3016 5 лет назад +1

    big up

  • @mujibuabdallah2376
    @mujibuabdallah2376 5 лет назад +3

    Good

  • @gosbertrwezahura3645
    @gosbertrwezahura3645 5 лет назад +3

    Saaaaaaaaafi kabisa. Amepatia.

    • @pendomarco7161
      @pendomarco7161 5 лет назад

      2019

    • @lucasmale8545
      @lucasmale8545 5 лет назад

      Jamaa yupo vizuri, akiboresha baadhi ya vitu mfano, mavazi anaweza kufika mbali kisanaa na kiuchumi

  • @davidsamwel8487
    @davidsamwel8487 5 лет назад +2

    Kazi nzuri sana,vaa mavazi mazuri na utazidi kufanya vizuri zaidi.

    • @ob_wani
      @ob_wani 5 лет назад +1

      DAVID SAMUEL Magufuli4presidency2020 Facts asante Sana kwa ushauri wako nachoomba upitie kwenye channel yangu na usubscribe kupata video nyingi zaidi

  • @gomarakimwamaro6306
    @gomarakimwamaro6306 5 лет назад

    Hio tai tu na tumbo limeharibu

  • @mwidinijuma1580
    @mwidinijuma1580 5 лет назад +2

    Uko vizuri sana ispokuwa uwe unatupia na suti ili muonekano uwe mzuri I

  • @goldgod9963
    @goldgod9963 5 лет назад +2

    Nijambo nzuri xana good talent ongezaaa bidiii

  • @mwalimramachannel8325
    @mwalimramachannel8325 5 лет назад

    hahaha ametisha

  • @witnessemmanuel8785
    @witnessemmanuel8785 5 лет назад +4

    Haaa jamaa upo vizuri

  • @viladhatv4473
    @viladhatv4473 5 лет назад

    Kijana uko poa tafuta mavazi uvae na hilo tai litupe utatoka tu

    • @JOHN16verse33
      @JOHN16verse33 5 лет назад

      Thats comedy style....You need first get attention of your audience...

  • @haibasalehe3568
    @haibasalehe3568 5 лет назад +1

    Huyu mlizi tu me ananipa rahaa haahaaaa

    • @glorymrema6609
      @glorymrema6609 4 года назад +1

      Haiba Salehe kashajipatia kipaji fasta

  • @thehuntervevothehuntervevo7703
    @thehuntervevothehuntervevo7703 5 лет назад

    Uko vizuri

  • @jonhsoncrispo2462
    @jonhsoncrispo2462 5 лет назад +2

    Nice sana

  • @saimonmgeta5239
    @saimonmgeta5239 5 лет назад

    Hahahaaa

  • @sadikidaudi1223
    @sadikidaudi1223 5 лет назад

    Saafi kipaji

  • @nusuramrota4116
    @nusuramrota4116 5 лет назад

    Unaweza

  • @ahmedkhamis9470
    @ahmedkhamis9470 5 лет назад +1

    Usilitumie jina la rais kufnya uhuni

  • @yohanasimon5190
    @yohanasimon5190 5 лет назад +1

    Hahahaaa

  • @breezepharmacybreezepharma6563
    @breezepharmacybreezepharma6563 5 лет назад

    Umeweza san, hongera

  • @mussawilliam2954
    @mussawilliam2954 5 лет назад +2

    hizi njaa kaka zitawafanya mfanye ya aibu

  • @stewartmagiri472
    @stewartmagiri472 5 лет назад

    dogo unajitahidi

  • @denismwalukunga8686
    @denismwalukunga8686 5 лет назад +1

    Good try keep it up

  • @manmacho6529
    @manmacho6529 5 лет назад

    Ivi mnavutaga bangi ya monduli au ya wapi hasa?