@@gosbertrwezahura3645 kweli bro,nimejaribu kuelezea hivyo.Nashangagaa y watu wanataka avae so called vizuri!!!!hii ndo style yake na kwa upande wangu,inapendeza...hivi hivi super....watu tusisahau hii ni COMEDY.....PLZ
Gosbert Rwezahura Naweza kuwa sijui kweli lakini sidhani kama ukiwa muigizaji lazima uvae vibaya au uwe namuonekano mchafu. Labda uniambie mavazi yaendane na mazingira yake ya kazi. Kwasababu kunamazingira mengine hawezi kuingia akiwa namuonekano kama huu. Mfano mzuri juzkati alipokutana na Raisi alivaa suti yake safi kabisa nakuendana namazingira aliyokutananayo. Pia kuna wachekeshaji wengi tu wapo smart nawanachekesha raia tunacheka.
Ikiwa ulitoa viwanja dodoma kwa taifa stars kushinda uganda sasa na kuhusu kupigwa magoli manne kwa moja na TP mazembe ya DRC unasemaje JPM kwa taifa stars zawadi tena kwao au?
Ameona MAGUFURI snatowa apo, anayipim bahati yake. Inategemea kupea kitu cha maana kutok Kwake MAGUFURE. Ila atashaanga asipo pea. Na ndio ataamini kua mtowaji ni MUNGU sio magufuri
Samson Saimon yeye ni muigizaji... alafu mnataka awe smart, haiwezekani jamani.. akiwa smart ina maana awe sawa na mheshimiwa rais? uigizaji hautapendeza.
Uki msikiliza muda mrefu unjikuta kama unamsikiliza magufuli kabisa
Unajua sana naupo vizuri kwelikweli. Ushauri wangu fanya mpango uwe unavaa mavazi mazuri uwe smart maana unamuigiza Mh nautaingia maeneo nyeti ambayo kwamavazi unayovaa sasahivi hayataendana.
its comedy...hivi hivi..ndo inapendeza.
Huyu ni comedian
We huelewi maana ya kuwa mwigizaji. Akivaa vizuri ataharibu. Ndo maana anaitwa msanii.
@@gosbertrwezahura3645 kweli bro,nimejaribu kuelezea hivyo.Nashangagaa y watu wanataka avae so called vizuri!!!!hii ndo style yake na kwa upande wangu,inapendeza...hivi hivi super....watu tusisahau hii ni COMEDY.....PLZ
Gosbert Rwezahura Naweza kuwa sijui kweli lakini sidhani kama ukiwa muigizaji lazima uvae vibaya au uwe namuonekano mchafu. Labda uniambie mavazi yaendane na mazingira yake ya kazi. Kwasababu kunamazingira mengine hawezi kuingia akiwa namuonekano kama huu. Mfano mzuri juzkati alipokutana na Raisi alivaa suti yake safi kabisa nakuendana namazingira aliyokutananayo. Pia kuna wachekeshaji wengi tu wapo smart nawanachekesha raia tunacheka.
daaaa, unaweza sana kaka aiseeeeeee,, heb nipen like kwahuyu jamaa jmn
aminia baba umetesha
@@richardmwankina6524 Safi Sana magu
Huyo jamaa anayemlinda kauzu kweli kweli hata hacheki ng'oooo wenzie hoi yeye kimyaaa
Yaani daah!!
Ingefaa zaid kama utavaa kiheshma kama mh mwenyew aisee itapendeza zaid!
Hey this gentleman,we need you in Nairobi...drop me your contact.
0765620475
Mchekeshaji boresha mavazi yako uwe smart. Unaweza sana na hongera.
Magufuli4presidency2020 Facts asante Sana kwa ushauri wako nachoomba upitie kwenye channel yangu na usubscribe kupata video nyingi zaidi
Anatakiwa awe smart iwe heshima kwa rais c kwa hivyo alivyovaaa maana kipaji anacho tena kikubwa tu maoni yangu
true bro jamaa yuko vzr
Kweli jamaa yuko vzuri... Inatakiwa avae vzuri
Kumbuka uyo ni comedian kwa sisi kwenye yupo saihi
Kwani ukiwa comedian ndo lazima uwe mchafu mbona wakina jk wanavaa smart tu na wanachekesha vizuri harafu kumbuka aigiza sauti ya mkuu wa nchi
hi ndo style yake..mi naona poa tu...it is comedy,na comedies zi aina nyingi saana,i prefer his way.
Very talented.... Kapatia sana na muonekano wake kama yeye
Duh hiki ndicho kipaji haswaaa
This is the best imitation for H.E JPM so far. Very good comedy.
he is great!!!!
angalia YANAYOJIRIMITAANI TV UMUONE BARAKA MAGUFULI
Uko vizuri sn na tai yako ndogo
Unaweza kaka Yani umewafunika wote
please magu hebu muone uyu jamaa daaah safi sana kaka
Duuuhh huyu jamaaa ni noma asee
salute kwake
Uko top baraka
Dah sijui baba kakuona maana max zote nakupa
Goood😃😂😃😂😃
mh! Huyu jamaaa noma sana! Nimemkubali sana, jamaaa anajuwa sana
Good pambana unaweza sana,tafuta nafasi,umeshatoka wewe
vizuri xana lakini hayo mavazi yako
Safi sana unakipaji pia hutuba yako umeipangilia vzr sana.
Saafi!kuzaa ni raha jamani!
Jamaa anajua na anajua kutuliza akil kuwaza speech ya papo kwa papo ni hatar kwel
Ikiwa ulitoa viwanja dodoma kwa taifa stars kushinda uganda sasa na kuhusu kupigwa magoli manne kwa moja na TP mazembe ya DRC unasemaje JPM kwa taifa stars zawadi tena kwao au?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Roma kamkuta Mwajuma kaolewa!
😂😂😂😂😂😂
Mr. Hanjumad bodi gadi mhh
Nikweli amani huyu jamaa awe anavaa sasa mavaz ya kupendeza ili aendane na heshima ya RAIS kama akna stve nyerere gonga chini kama ushauri unafaa.
Very talented man 😂😂😂😂
Vaa nguo safi kipaji unacho
Juma Bias Magufuli4presidency2020 Facts asante Sana kwa ushauri wako nachoomba upitie kwenye channel yangu na usubscribe kupata video nyingi zaidi
full good massege i like it real president
ruclips.net/video/SHhvVmylpzA/видео.html .BARAKA MAGUFULI
usiweke kitambi coz maguful hana kitambi
Naomba mwenye namba babu Maguu nataka nimpe kazi great vipaji kama hivi nivyakuviendeleza
Uko vizur sema vaa suti kalii
njo hapa Malale TV
Watu wanavipaji 😀😀
Akuna cha nani wala nani,,, we nikiboko yao.
Nashauri tu, AZAM TV, wamuone huyu kijana, wasibenzi uko DR, vipaji ndo hivi bhana, safi sana.
AZAM TV ndo nani
PARIS ~ AZAM TV, ndo wanao onyesha vichekesho vya namna hiyo, hakuna TV nyingine.
Una kingamuzi kimoja nini !!!
@@helmanikomba576.. Azam TV washafulia hawana jamboo
Bodigadi sharobalo 😁😁😁😁😁😁😁😁😁
mhahahahahhahahaha keep it up bro
Huyu buanaaaa do mjanja hatari
Ameona MAGUFURI snatowa apo, anayipim bahati yake. Inategemea kupea kitu cha maana kutok Kwake MAGUFURE.
Ila atashaanga asipo pea. Na ndio ataamini kua mtowaji ni MUNGU sio magufuri
Pierre jiangalie anakuja uyo
huyo bordgurd wako. hayupo makini. hata vaa yake sio
Movezakibong
Anajua sana uyu jamaa
Jamaa anaweza
duh hatari
Big up brother good talent
I love your comedy ,uko sawa
hiki kitumbo cha chini chini😂😂😂😂
Upo vizur u need a support
Mule mule yn hhhhh
Nice one
Aisee uko vzr broo
Kipaji unacho, nakupa asilimia 98
mvalisheni kama rais basi
ANGALIA YANAYOJIRI MITAANI TV uone BARAKA MAGUFULI AKIHUTUBIA MKUTANO
Ww ni kiboko
big up
Makonda Wengne haooo
Anajitahidi ni sawa, lkn nivizuri kama angevaa nguo safi siyo kama hizo alizo nazo maana Mh. Rais ni smart sana, akubali kuvaa vizuri
Unaweza sana jamaaaa big up
Du yani niyy kabx😁😁😁
Pole namusiba
Nice job
Jitahid uvae vizur bahna tay kama shuka kua smart
Huo ndo usanii. Akivaa vizuri ataharibu. Hata yeye anajua.
Samson Saimon yeye ni muigizaji... alafu mnataka awe smart, haiwezekani jamani.. akiwa smart ina maana awe sawa na mheshimiwa rais? uigizaji hautapendeza.
@@gosbertrwezahura3645 ndo kitu hawaaelewi...hivi hivi poa saaaaana..
unaweza sanaaaa
hongera sana bpm
Good
Umeweza.....
Very talented ila muonekano wake wa ovyo ovyoooo tuuuu
fabian moses Magufuli4presidency2020 Facts asante Sana kwa ushauri wako nachoomba upitie kwenye channel yangu na usubscribe kupata video nyingi zaidi
big up
Good
Saaaaaaaaafi kabisa. Amepatia.
2019
Jamaa yupo vizuri, akiboresha baadhi ya vitu mfano, mavazi anaweza kufika mbali kisanaa na kiuchumi
Kazi nzuri sana,vaa mavazi mazuri na utazidi kufanya vizuri zaidi.
DAVID SAMUEL Magufuli4presidency2020 Facts asante Sana kwa ushauri wako nachoomba upitie kwenye channel yangu na usubscribe kupata video nyingi zaidi
Hio tai tu na tumbo limeharibu
Uko vizuri sana ispokuwa uwe unatupia na suti ili muonekano uwe mzuri I
Nijambo nzuri xana good talent ongezaaa bidiii
hahaha ametisha
Haaa jamaa upo vizuri
Witness Emmanuel VP na kichekesho kipo poa
Nice
Kijana uko poa tafuta mavazi uvae na hilo tai litupe utatoka tu
Thats comedy style....You need first get attention of your audience...
Huyu mlizi tu me ananipa rahaa haahaaaa
Haiba Salehe kashajipatia kipaji fasta
Uko vizuri
Nice sana
Safi Mdogo wangu big up
Upo vzr
Hahahaaa
Saafi kipaji
Unaweza
Usilitumie jina la rais kufnya uhuni
Hahahaaa
Umeweza san, hongera
Exx
hizi njaa kaka zitawafanya mfanye ya aibu
Tisha sana
dogo unajitahidi
Good try keep it up
Congratulations!!, Most talented
Ivi mnavutaga bangi ya monduli au ya wapi hasa?