Team #wasafi Kijana wenu nahtaj support yenu pia Naomba ckiliza my single trap music na naomben subscribe channel yetu pendwa 👇👇👇👇👇 ruclips.net/video/xZGwjRjN4Wk/видео.html
Mnazingua na hizo sauti za kuEdit, watu hawawezi kucheka then wanyamaze kwa pamoja. Inatoa Ladha Halisi. Bofya picha yangu hapo juu kusubscribe RUclips channel yangu. #ahsante🙏
@Change Mindset shukrani kaka, Huna Elimu ya Technology siwezi kubishana na wewe ila wale walionielewa wanajua ni nini namaanisha and by the way USIWE NA MIHEMUKO kwa Mwanaume Mwenzio. #UtageuzwaKisusio
Bonge la show Sema hao Audience inabidi waelekezwe na wapewe Darasa jinsi ya kutoa applause 👏. Na inabidi wawe active namna Fulani yani wamepoa Fulani. Natumaini mtatoa Darasa
Hao Audience wanazingua wanaboa wameboaaaaaa sanaa watangazaji wako vizuri sema wanachuo hawa wa kizazi cha Corona hawa wanazinguaaaaa hahahahahahhahah
Wasafi Media mmezingua hiii ni talk show si mnarecord live hizo sound effects mmeweka za nn za makofi na watu kucheka then hata haziendani na matukio kuweni makini msipoteze ubora wenu pia huyo mtu anaeswitch hizo camera awe anaenda na matukio pia hata camera inayoshoot audience isiwe shot moja tu wide mchanganye na shot mbali mbali za watu ili kipindi kivutie.Mr Director
Dah saut ya President
Magufuli kwa sasa
Upo nayo vizl sana verry clier
Kaka umeuwa sana sana upo vzl
Mungu awarehemu wote waliokufa humu, zaidi mzee magufuli.
Watu wa Tanzania ni wagumu sana kucheka 😂😂😂😂😂😂😂😂
@Change Mindset 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ahahahahaaaa nooooooh naongea ukweli
Sio poa, maisha yashatupiga cheko litoke wapi!? 😂😂😂
tumekua makatuni tosha ndo maana haha
@@maverickcreativesolutions8285 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ukiona ivyo awajachekeshw bd
Iv kiingilio huwa bei gani? Na huwa wanafanyia wapi? Natamani siku na mm niwepo ila cjui utaratibu jamani nisaidieni
@Change Mindset namna ya kupata huo mwaliko inakuwaje
@@simplissamba1943 hii nikwawanachuo mara nyng
@@alexkazimoto7059 kama nilishamaliza siwez ingia piah
Ni wana chuo tu apo UDSM sana
kakangu una kipaji walahi sauti ya magu na babake diamond umepatia sana
Team #wasafi
Kijana wenu nahtaj support yenu pia
Naomba ckiliza my single trap music na naomben subscribe channel yetu pendwa
👇👇👇👇👇
ruclips.net/video/xZGwjRjN4Wk/видео.html
Editor kazngua makofi na vicheko haviendani na tukio lenyewe
Jamaa anamuezeaga kikwete sana kuliko watu
Leten Baraka Magufuri
Spot on
Mnazingua na hizo sauti za kuEdit, watu hawawezi kucheka then wanyamaze kwa pamoja.
Inatoa Ladha Halisi.
Bofya picha yangu hapo juu kusubscribe RUclips channel yangu.
#ahsante🙏
@Change Mindset shukrani kaka, Huna Elimu ya Technology siwezi kubishana na wewe ila wale walionielewa wanajua ni nini namaanisha and by the way USIWE NA MIHEMUKO kwa Mwanaume Mwenzio.
#UtageuzwaKisusio
🤣
Dudu la yuyu🤣🤣🤣
Jaman tucheki nahii nihatar bonyeza linck usisahau kusubscribe ruclips.net/video/I5FGOVj-BBg/видео.html
Bonge la show Sema hao Audience inabidi waelekezwe na wapewe Darasa jinsi ya kutoa applause 👏. Na inabidi wawe active namna Fulani yani wamepoa Fulani. Natumaini mtatoa Darasa
😂😂😂😂😂😂😂Apo kwa dingi mond kmk necheka ka msenge umeuwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
noma sana
Nakumbuka uwepo wako jpm 😭😭😭😪😪jebedali wa Tz🇹🇿🇹🇿
Dudu la yuyu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahahahaaaa kwakwel hiki ni kipaji
kazi nzuri ubunifu mkubwa hongera sana uongozi wa wasafi niwashauri tu ukumbi uwe mkubwa wasiwe wanahudhulia wanachuo tu na wengine
Baba yake diamond😁😁😁😁
Kah! Noma na nusu aseee✌️
Ubunifu wa kizaaazi kabisa
Saut ya JPM umeipatia mkuu keep it up
Mnazingua... Kipindi hata mwezi hakina Kimeanza kupoteza ubora
Media Inaedit Saut na makofi ya Audiance utopolo mtupu
We unaangalia kipindi au makofi au we makofi yakiwa hayaendani yanakusaidia nini
Hao Audience wanazingua wanaboa wameboaaaaaa sanaa watangazaji wako vizuri sema wanachuo hawa wa kizazi cha Corona hawa wanazinguaaaaa hahahahahahhahah
Oyooo
Salute imetixha
Shoo kali
Yaan ww ni balaaa
du jamaa noma sana
Jamaa kauuaaa🤣🤣🤣🤣
Safi sana angalia na hii anaigiza saut ya maraisi wote hadi kicheko bonyeza link hiyo
ruclips.net/video/s52sE4HvNgE/видео.html
Yanga
Hahahahaha uyu jamaa ana Chekesha gusa Link hii ruclips.net/video/oF34oC6iReo/видео.html
Kuna vicheko vya uongo humu hakuna uhalisia
Sauti ya Jk unauwaga mjomba....😃😃😃
Sound system haiko sawa mawimbi chenga tupu
Am the First one
Hiyo sauti ya Rwakatale umeuaaaa
Ushanenepa asaiv huwezi kuigiza tena saut za waheshimiwa😂😂😂😂😂😂😂 nenda jimu ukonde koo lirud kwenye hali yake
@Fatherjaytz 😂😂😂😂😂😂kweli kabisa
dah kwel kbs
@@abbasmohamed5066 😂😂😂😂😂😂😂umeona ee
Jamaa ametisha sana
Tuwekeen nzima banaaa
noma sana
Hizi Mic mnavyozisogeza mdomoni sijui hata tahadhari mnachukuaje
Kwenye send off hukuwepo??
Hakuna Corona tz wewe
🤣🤣🤣
Vey talented 🔥🔥 🔥
Jamani huyu kaka hadi amenenepa😁. Kweli pesa sabuni ya moyo na mwili. Khaaa....!
Comedy za kwenye stage wanaoweza ni Wakenya pekee
Anajua sana mwamba
hahhaaa
Talented
Hapo kwa baba ake mondi😂😂😂
Mkn 🔥 🔥 mkn 🔥 🔥 xanaaaaaaaa
Kpaji cha hli ya juu
Duhhh cyo kivleeeee lakn kwa mbal sana
Ila huyu jamaa......
Ure very talented make more effort
Hahahaha 🤣🤣🤣
Sauti haiskiki vzr
Jamani Tanzania Kuna watu Wana vipaji sio poa
Uko vzl sana bro
JK Comedian Umeishaaaa
Ni yeye
❤❤
👌👌👌🤣🤣🤣🤣uko kibokoo
Huyu sauti yake huwa inafanana Sana nag Kikwete
Noma
Safi
Sound mbovu sana kabisa...
KONDE BOY JESHIIIII WEKENI NGOMA ZAKE TUBULUDIKE
Amazing
Safi brother shafiiii
Kkkkkkk
N0maaa sanaa
Soma iyooo
Hatar cna uyo kiumbe
😁😁😁❤🔥🦁
htre uyu bna
Mwanaaaa
Qsm
😁😁😁😁
Good
🇿🇦🇿🇦
This iz more than talent hongeraa sana
Good
Munafic
Nice
Nice
Noumah 🤣🤣🤣
😂
Good luck bro your de best
katisha
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 hatarry san
Hatar san
Good luck
Mmepoa ka kipolo cha juzi
🇲🇿🇲🇿🇲🇿❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿
I like it
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamaa Ni ataliii Sana uyu
Wasafi Media mmezingua hiii ni talk show si mnarecord live hizo sound effects mmeweka za nn za makofi na watu kucheka then hata haziendani na matukio kuweni makini msipoteze ubora wenu pia huyo mtu anaeswitch hizo camera awe anaenda na matukio pia hata camera inayoshoot audience isiwe shot moja tu wide mchanganye na shot mbali mbali za watu ili kipindi kivutie.Mr Director
Wow. Show amazing. Big up to Big Sunday live. Halla
we jama fundiii
Nice👏👏
😆😆😆😆😆😆😆