HIVI NDIVYO JK:COMEDIAN ALIVYOIGIZA SAUTI ZA MARAIS WA TANZANIA/ PAMOJA SAUTI YA BABA DIAMOND

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • #wasafi #bigsundaylive

Комментарии • 133

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 4 года назад +19

    Dah saut ya President
    Magufuli kwa sasa
    Upo nayo vizl sana verry clier
    Kaka umeuwa sana sana upo vzl

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 3 года назад +5

    Mungu awarehemu wote waliokufa humu, zaidi mzee magufuli.

  • @Mjingafaki
    @Mjingafaki 4 года назад +26

    Watu wa Tanzania ni wagumu sana kucheka 😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @Mjingafaki
      @Mjingafaki 4 года назад +2

      @Change Mindset 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ahahahahaaaa nooooooh naongea ukweli

    • @fidurashidi5781
      @fidurashidi5781 4 года назад

      Sio poa, maisha yashatupiga cheko litoke wapi!? 😂😂😂

    • @maverickcreativesolutions8285
      @maverickcreativesolutions8285 4 года назад +1

      tumekua makatuni tosha ndo maana haha

    • @Mjingafaki
      @Mjingafaki 4 года назад +1

      @@maverickcreativesolutions8285 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @chamblainreuben7431
      @chamblainreuben7431 3 года назад

      Ukiona ivyo awajachekeshw bd

  • @nelsonwolden6878
    @nelsonwolden6878 4 года назад +19

    Iv kiingilio huwa bei gani? Na huwa wanafanyia wapi? Natamani siku na mm niwepo ila cjui utaratibu jamani nisaidieni

    • @simplissamba1943
      @simplissamba1943 4 года назад +1

      @Change Mindset namna ya kupata huo mwaliko inakuwaje

    • @alexkazimoto7059
      @alexkazimoto7059 4 года назад +1

      @@simplissamba1943 hii nikwawanachuo mara nyng

    • @simplissamba1943
      @simplissamba1943 4 года назад

      @@alexkazimoto7059 kama nilishamaliza siwez ingia piah

    • @yerikokisoma236
      @yerikokisoma236 4 года назад

      Ni wana chuo tu apo UDSM sana

  • @somoehussein7948
    @somoehussein7948 4 года назад +8

    kakangu una kipaji walahi sauti ya magu na babake diamond umepatia sana

  • @KINGriiskWorld255
    @KINGriiskWorld255 4 года назад +3

    Team #wasafi
    Kijana wenu nahtaj support yenu pia
    Naomba ckiliza my single trap music na naomben subscribe channel yetu pendwa
    👇👇👇👇👇
    ruclips.net/video/xZGwjRjN4Wk/видео.html

  • @ShawnBeatz
    @ShawnBeatz 4 года назад +14

    Editor kazngua makofi na vicheko haviendani na tukio lenyewe

    • @islamsefu3394
      @islamsefu3394 4 года назад

      Jamaa anamuezeaga kikwete sana kuliko watu

  • @lordsmenas3267
    @lordsmenas3267 4 года назад +3

    Leten Baraka Magufuri

  • @francodesus9519
    @francodesus9519 4 года назад +2

    Spot on

  • @VyuoTanzania
    @VyuoTanzania 4 года назад +9

    Mnazingua na hizo sauti za kuEdit, watu hawawezi kucheka then wanyamaze kwa pamoja.
    Inatoa Ladha Halisi.
    Bofya picha yangu hapo juu kusubscribe RUclips channel yangu.
    #ahsante🙏

    • @VyuoTanzania
      @VyuoTanzania 4 года назад +2

      @Change Mindset shukrani kaka, Huna Elimu ya Technology siwezi kubishana na wewe ila wale walionielewa wanajua ni nini namaanisha and by the way USIWE NA MIHEMUKO kwa Mwanaume Mwenzio.
      #UtageuzwaKisusio

    • @johnmophat5300
      @johnmophat5300 4 года назад

      🤣

  • @whatif..6961
    @whatif..6961 4 года назад +15

    Dudu la yuyu🤣🤣🤣

  • @tjking7960
    @tjking7960 4 года назад +1

    Jaman tucheki nahii nihatar bonyeza linck usisahau kusubscribe ruclips.net/video/I5FGOVj-BBg/видео.html

  • @raphaelkanoni3453
    @raphaelkanoni3453 4 года назад +17

    Bonge la show Sema hao Audience inabidi waelekezwe na wapewe Darasa jinsi ya kutoa applause 👏. Na inabidi wawe active namna Fulani yani wamepoa Fulani. Natumaini mtatoa Darasa

  • @hajikishuwa1078
    @hajikishuwa1078 4 года назад +9

    😂😂😂😂😂😂😂Apo kwa dingi mond kmk necheka ka msenge umeuwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @annaanyosisye8682
    @annaanyosisye8682 3 года назад

    Nakumbuka uwepo wako jpm 😭😭😭😪😪jebedali wa Tz🇹🇿🇹🇿

  • @mossesmtundi9782
    @mossesmtundi9782 4 года назад +7

    Dudu la yuyu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @z.shondezshonde5663
    @z.shondezshonde5663 4 года назад +5

    Hahahahaaaa kwakwel hiki ni kipaji

  • @harunajuma8836
    @harunajuma8836 4 года назад +2

    kazi nzuri ubunifu mkubwa hongera sana uongozi wa wasafi niwashauri tu ukumbi uwe mkubwa wasiwe wanahudhulia wanachuo tu na wengine

  • @saidikikoma6579
    @saidikikoma6579 3 года назад +1

    Baba yake diamond😁😁😁😁

  • @merynjau5614
    @merynjau5614 4 года назад +6

    Kah! Noma na nusu aseee✌️

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 4 года назад +5

    Ubunifu wa kizaaazi kabisa

  • @honestfinancialsolutionltd6960
    @honestfinancialsolutionltd6960 4 года назад +3

    Saut ya JPM umeipatia mkuu keep it up

  • @issahmtv9853
    @issahmtv9853 4 года назад +1

    Mnazingua... Kipindi hata mwezi hakina Kimeanza kupoteza ubora
    Media Inaedit Saut na makofi ya Audiance utopolo mtupu

    • @allymorata9452
      @allymorata9452 4 года назад

      We unaangalia kipindi au makofi au we makofi yakiwa hayaendani yanakusaidia nini

  • @idelphoncefrolian9067
    @idelphoncefrolian9067 4 года назад +1

    Hao Audience wanazingua wanaboa wameboaaaaaa sanaa watangazaji wako vizuri sema wanachuo hawa wa kizazi cha Corona hawa wanazinguaaaaa hahahahahahhahah

  • @frankatilio4377
    @frankatilio4377 4 года назад +2

    Oyooo

  • @abdulwalumi3467
    @abdulwalumi3467 4 года назад +5

    Salute imetixha

  • @tjking7960
    @tjking7960 4 года назад

    Shoo kali

  • @gracepaulo7354
    @gracepaulo7354 3 года назад

    Yaan ww ni balaaa

  • @rubensamson8681
    @rubensamson8681 4 года назад +3

    du jamaa noma sana

  • @bruceclassic7127
    @bruceclassic7127 4 года назад +4

    Jamaa kauuaaa🤣🤣🤣🤣

  • @henrymulengera
    @henrymulengera 4 года назад +1

    Safi sana angalia na hii anaigiza saut ya maraisi wote hadi kicheko bonyeza link hiyo
    ruclips.net/video/s52sE4HvNgE/видео.html

  • @boryzozo5683
    @boryzozo5683 4 года назад +2

    Yanga

  • @akilalitv5791
    @akilalitv5791 4 года назад

    Hahahahaha uyu jamaa ana Chekesha gusa Link hii ruclips.net/video/oF34oC6iReo/видео.html

  • @OmegaThreads
    @OmegaThreads 4 года назад +1

    Kuna vicheko vya uongo humu hakuna uhalisia

  • @jeremiahmasunzu3437
    @jeremiahmasunzu3437 4 года назад +1

    Sauti ya Jk unauwaga mjomba....😃😃😃

  • @joshuapeter6967
    @joshuapeter6967 4 года назад

    Sound system haiko sawa mawimbi chenga tupu

  • @mussdossantos6472
    @mussdossantos6472 4 года назад +12

    Am the First one

  • @norbertmigele7807
    @norbertmigele7807 4 года назад +1

    Hiyo sauti ya Rwakatale umeuaaaa

  • @Mjingafaki
    @Mjingafaki 4 года назад +4

    Ushanenepa asaiv huwezi kuigiza tena saut za waheshimiwa😂😂😂😂😂😂😂 nenda jimu ukonde koo lirud kwenye hali yake

    • @Mjingafaki
      @Mjingafaki 4 года назад +1

      @Fatherjaytz 😂😂😂😂😂😂kweli kabisa

    • @abbasmohamed5066
      @abbasmohamed5066 4 года назад +2

      dah kwel kbs

    • @Mjingafaki
      @Mjingafaki 4 года назад

      @@abbasmohamed5066 😂😂😂😂😂😂😂umeona ee

  • @charlesroben1666
    @charlesroben1666 4 года назад +2

    Jamaa ametisha sana

  • @amanromward207
    @amanromward207 4 года назад +2

    Tuwekeen nzima banaaa

  • @utamuwaleo1970
    @utamuwaleo1970 4 года назад

    noma sana

  • @jisamjoseph4558
    @jisamjoseph4558 4 года назад +5

    Hizi Mic mnavyozisogeza mdomoni sijui hata tahadhari mnachukuaje

  • @untouchboymsafi1788
    @untouchboymsafi1788 4 года назад +2

    Vey talented 🔥🔥 🔥

  • @sweetmama6885
    @sweetmama6885 4 года назад

    Jamani huyu kaka hadi amenenepa😁. Kweli pesa sabuni ya moyo na mwili. Khaaa....!

  • @fabianndimanya2055
    @fabianndimanya2055 4 года назад

    Comedy za kwenye stage wanaoweza ni Wakenya pekee

  • @jumaally5006
    @jumaally5006 4 года назад +1

    Anajua sana mwamba

  • @benjamininyambaso5041
    @benjamininyambaso5041 4 года назад +2

    hahhaaa

  • @avelinamalima7036
    @avelinamalima7036 4 года назад +2

    Talented

  • @Chimamy5242
    @Chimamy5242 3 года назад

    Hapo kwa baba ake mondi😂😂😂

  • @chiefdarwizziy9518
    @chiefdarwizziy9518 4 года назад +1

    Mkn 🔥 🔥 mkn 🔥 🔥 xanaaaaaaaa

  • @surelove9682
    @surelove9682 4 года назад

    Kpaji cha hli ya juu

  • @elishachenya5341
    @elishachenya5341 4 года назад

    Duhhh cyo kivleeeee lakn kwa mbal sana

  • @AmCool_
    @AmCool_ 4 года назад

    Ila huyu jamaa......

  • @daudimasano5326
    @daudimasano5326 2 года назад

    Ure very talented make more effort

  • @mc_mrope
    @mc_mrope 4 года назад +2

    Hahahaha 🤣🤣🤣

  • @elsabio11
    @elsabio11 4 года назад

    Sauti haiskiki vzr

  • @roseeliasi4339
    @roseeliasi4339 4 года назад

    Jamani Tanzania Kuna watu Wana vipaji sio poa

  • @shebynizedaudi336
    @shebynizedaudi336 4 года назад +1

    Uko vzl sana bro

  • @MZIZE
    @MZIZE 4 года назад

    JK Comedian Umeishaaaa

  • @frankatilio4377
    @frankatilio4377 4 года назад +1

    Ni yeye

  • @SophiaRamadhani-e6b
    @SophiaRamadhani-e6b 10 месяцев назад

    ❤❤

  • @sammysamia7534
    @sammysamia7534 4 года назад

    👌👌👌🤣🤣🤣🤣uko kibokoo

  • @kishimbamusic5116
    @kishimbamusic5116 4 года назад

    Huyu sauti yake huwa inafanana Sana nag Kikwete

  • @jumamofu9573
    @jumamofu9573 4 года назад +1

    Noma

  • @samsonjohn4917
    @samsonjohn4917 4 года назад

    Safi

  • @emmanuelsiboth9180
    @emmanuelsiboth9180 4 года назад

    Sound mbovu sana kabisa...

  • @ramadhanyusuph7633
    @ramadhanyusuph7633 4 года назад

    KONDE BOY JESHIIIII WEKENI NGOMA ZAKE TUBULUDIKE

  • @ramakhan5882
    @ramakhan5882 Год назад

    Amazing

  • @unjubinbadiru5854
    @unjubinbadiru5854 4 года назад

    Safi brother shafiiii

  • @madaisaide6971
    @madaisaide6971 4 года назад +1

    Kkkkkkk

  • @Ciphalee
    @Ciphalee 4 года назад

    N0maaa sanaa

  • @omarihamisi2186
    @omarihamisi2186 4 года назад +1

    Soma iyooo

  • @shukurumusitafa4867
    @shukurumusitafa4867 4 года назад

    Hatar cna uyo kiumbe

  • @Noah-se3ni
    @Noah-se3ni 4 года назад +2

    😁😁😁❤🔥🦁

  • @mu-crzymahez9229
    @mu-crzymahez9229 4 года назад +1

    htre uyu bna

  • @boryzozo5683
    @boryzozo5683 4 года назад

    Qsm

  • @salhanshimirimana7521
    @salhanshimirimana7521 4 года назад +2

    😁😁😁😁

  • @rizikikimbeho9342
    @rizikikimbeho9342 4 года назад +1

    Good

  • @aminathaaibrahim3426
    @aminathaaibrahim3426 4 года назад

    This iz more than talent hongeraa sana

  • @davidmalachi882
    @davidmalachi882 4 года назад

    Good

  • @jacksondenga7930
    @jacksondenga7930 4 года назад

    Munafic

  • @sidaryotv8821
    @sidaryotv8821 4 года назад

    Nice

  • @sidaryotv8821
    @sidaryotv8821 4 года назад

    Nice

  • @hkfreeboy9533
    @hkfreeboy9533 4 года назад

    Noumah 🤣🤣🤣

  • @kiulajoshua6029
    @kiulajoshua6029 4 года назад +1

    😂

  • @lewismpangala927
    @lewismpangala927 4 года назад

    Good luck bro your de best

  • @farahanrama6137
    @farahanrama6137 4 года назад

    katisha

  • @frankchief2032
    @frankchief2032 4 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 hatarry san

  • @davido-scooper9471
    @davido-scooper9471 4 года назад

    Hatar san

  • @bonifaceteodol4487
    @bonifaceteodol4487 4 года назад

    Good luck

  • @salmacharles6539
    @salmacharles6539 4 года назад

    Mmepoa ka kipolo cha juzi

  • @kingcicero1708
    @kingcicero1708 4 года назад +1

    🇲🇿🇲🇿🇲🇿❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @anoldmedia6036
    @anoldmedia6036 4 года назад

    I like it

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 3 года назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @abuuabuuamed5366
    @abuuabuuamed5366 4 года назад +2

    Jamaa Ni ataliii Sana uyu

    • @samwelntevi9620
      @samwelntevi9620 4 года назад

      Wasafi Media mmezingua hiii ni talk show si mnarecord live hizo sound effects mmeweka za nn za makofi na watu kucheka then hata haziendani na matukio kuweni makini msipoteze ubora wenu pia huyo mtu anaeswitch hizo camera awe anaenda na matukio pia hata camera inayoshoot audience isiwe shot moja tu wide mchanganye na shot mbali mbali za watu ili kipindi kivutie.Mr Director

  • @dapillar5440
    @dapillar5440 4 года назад +1

    Wow. Show amazing. Big up to Big Sunday live. Halla

  • @franklugalamila3577
    @franklugalamila3577 4 года назад

    we jama fundiii

  • @peterdaniel3162
    @peterdaniel3162 4 года назад

    Nice👏👏

  • @aishaaisha2957
    @aishaaisha2957 4 года назад

    😆😆😆😆😆😆😆