Mm mwenyewe jmn ningependa huyu baraka apewe cheo chochote Ili aweze kuienzi sauti ya hayati babaaetu magufuli kwa vitendo mama etu samia suluhu mwangalie huyo kijana kwa jicho la pili na watanzania tutajivunia maana anajua kutumia sauti vzl km babaaetu jony pombe magufuli
Baraka, nimefurahi kuona ukihojiwa katika tukio hili, naamini kabisa kwamba ni kweli umeumia mno. Mungu akutie nguvu, ikibidi viongozi waliobaki waendelee kukupa nafasi.
😭😭TUTAMKUMBUKA SANA MAGUFULI MAANA KAFANYA MAKUBWA KWA MIAKA MICHACHE UTAZANI KAKAA MIAKA 50 MADALAKANI WENI WAO KUJIMILIKISHA MALI KUTUACHIA MABARABARA YA VUMBI HUYU ALIJITOLEA KWA AJILI YA WATANZANIA NA KUSEMA MGAMBO WATAFUTE KAZIA YA KUFANYA NITALALA NAO MBELE KWA MBELE 😭😭😭😭😭😭😭😭👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Nashukuru kwakua mmeweza kufanya kile nilicho waomba!! Mm nishabiki wako namba Moja kwa kila video unazotoa!! Nimefurahi kumuona Baraka Magufuli!! Akihojiwa leo!! Na nilitamani apate nafasi toka Mwanzo!!
Tuseme tu kwamba maumivu haya yamewagusa waafrika wote kwani uwepo wa jpm madarakani bara lote la afrika, america sikwambii ulaya mpaka Asia walikuwa wakiifuatilia Tanzania kwa karibu na waione mwisho wake kwahiyo kifo hiki kimestua ulimwengu mzima
Baba Magufuli,kwa kweli alisaidia wengi sana Tanzania hii.Watu hawaitakii mema Inchi yetu lakini Mungu yupo nasi mpaka dakika za mwisho na hatutarudi nyuma Watanzania.Baba Magufuli atalala mahali Pema peponi.Yaani inasikitisha Inchi yetu nzima.
"Wasiotakia mema taifa letu...".. teh teh, watu wanaongea kwa kumezeshwa hata kujiongeza hawajui... akili za kuambiwa unachanganya na zako. PM na yule kibichwa cha embe wamewaambia uongo waziwazi.. lakini utakuta boya mmoja anacheza mule mule kwenye tune zao, kama misekule.
afu kuna boya yuko nnje kule kwa wazungu ambao wana nia ya kumtumia kuja kusainisha mikataba ya kipuuzi ambayo mzee alitumia nguv zake nying kuzivunja, ana ropoka tu ujinga kule
Niliwahi kwamwambia Baraka katika page yake wala hapaswi kuogopa na tena anayo bahati kubwa kumuigiza kiongozi akiwa hai, sasa ni mwanzo mpya tena kwa Baraka kumuigiza Mh. baada ya kifo.
Hakika baraka nimeamini unamaumivu makali sana kiukweli imetuumiza watanzania wote msiba huu ni fundisho kwetu tuyaishi mema aliyotuonyesha baba yetu Hayati Joseph Pombe Magufuli
Haijawai tokea rais kunyanyua watoto wa masikini namna hii
Jamani barakaaa hiyo sauti usiiongee tenaaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Daaaaaaaah inaumaa sana Mungu ampumzishe kwa Aman Rais wetu😭😭😭
We mtangazaji unanenepa.sana
@@matopeboybomba5732 kuwa na adabu na ushughulike na maisha yako
@@mustyboymaalim2070 inaonekana anamfwatilia maisha yke xaana.
@@fhvbvgkvgc8073hao ndo wenye kuangusha uchumi wa taifa kwa ajili ya udaku na umbea
Raisi mwenye Upendo wa kweli kwa kila mtu😭😭
Tulimpenda lkn Mungu kampenda zaidi.
Alijitoa mpaka mwisho😭😭
Kumbe Baraka ni Handsome wa nguvu Leo nimekuona vizuree saaan
@Dorka Kazunde Ameen thummah Ameen,🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭😭😭
Ushamtamani wenawe hujaacha tu?
@@rajmkonje7149 Mmmhh,🤐🤐🤐🤐🤐
Allah akupumzishe kwa Amani Rais wetu 🙏😭😭😭😭😭😭
Mm mwenyewe jmn ningependa huyu baraka apewe cheo chochote Ili aweze kuienzi sauti ya hayati babaaetu magufuli kwa vitendo mama etu samia suluhu mwangalie huyo kijana kwa jicho la pili na watanzania tutajivunia maana anajua kutumia sauti vzl km babaaetu jony pombe magufuli
Daaaaahh jamani sitaki kuamini kuwa baraka yule wa zamani kumbe alikuwa kijana hivi daaah rest in peace magufuri 😭😭😭😭
mungu anachukua anacho kipend wa Tanzania tumebaki na jonzi yasiyo kwisha ila Baraka endelea kutu fariji kwa saut ya baba insha anllah
Nakupa pole baraka tunafurahig Sana na familia yangu ukiigiza Kama maguful usiache uwe unamuenzi
Oh my GOD 😭😭😭😭😭😭🙏🏽🙏🏽🙏🏽💔💔💔💔✋✋🇰🇪 May he soul Rest In Peace BABA Daah painfully really 😭😭🤫💔💔🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Amen jirani mwema
Poleni sana familia pamoja na taifanzima mana huo msiba umetugisa wa TZ wote mungu awape nguvu na azidi kuwapigania.
Interview Baraka umehongeya vinzuri sauti yako kama ya Raisi mangufuli Kweli kwali.
Usikufuru baraka magufuli eti isingekua magufuli nisingekua hapa
Uyu kaka yupo kwny machungu mnooooo..
Anakidonda kifuani, pole Baraka tumeumia wote na wengi sana tutateseka kutokana na pengo hili huku tukijua kabisa kazi ya mola haina makosa
Watching from the Sand beaches of Malindi Kenya. Tuwe pole sote
instablaster...
Msifadhaike mioyoni mwenu, Bwana ametuumbia nafsi zinazoonja mauti
Kwel kaka nakup honger kwa ushaur wako lazim tushikaman ss wenyew jamn mm nalia nakuumia
Kumbe baraka is so handsome
Sanaaaa Ni handsome mnooo
Tena mnooo halafu ana mwanya kazuree
Ushamtamani
Hamna haya
@@jenifajuma5395 M'meshakamata Usukani Sasa M'natutongoza Mchana Kweupeee Juwa La Sa 6 🤣🤣🤣🤣
Baraka, nimefurahi kuona ukihojiwa katika tukio hili, naamini kabisa kwamba ni kweli umeumia mno. Mungu akutie nguvu, ikibidi viongozi waliobaki waendelee kukupa nafasi.
😭😭TUTAMKUMBUKA SANA MAGUFULI MAANA KAFANYA MAKUBWA KWA MIAKA MICHACHE UTAZANI KAKAA MIAKA 50 MADALAKANI WENI WAO KUJIMILIKISHA MALI KUTUACHIA MABARABARA YA VUMBI HUYU ALIJITOLEA KWA AJILI YA WATANZANIA NA KUSEMA MGAMBO WATAFUTE KAZIA YA KUFANYA NITALALA NAO MBELE KWA MBELE 😭😭😭😭😭😭😭😭👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Ni huzuni kweli kweli 😭😭😭🤦
Sana tena
Kumbe baraka handsam maashaallah 🥰 kuwa na subrah kakaangu....allah awafanyie wepesi ndugu zetu watanzania
Ushamtamani tayar
@@amanimusenyi8217 kwani sini mwanaume lazima nimtamani...am wataka nitamani mwanamke
@@zaitunali2208 Sina maana hiyo😂 😂 😂
wabongo mnavisa😅
@@zaitunali2208 huna kosa kumtamani endelea
Poleen sanaaaa
Kumbe jamaa handsom😃😃😃
sio kidogo sana tu.
Hahaa
ni mzuri mkaka uyu me nilijuwa ni babu tumeumia kwakweli namsiba wababa yetu
😂😂😂 mwenyewe cjaamini
Haswa mwanya imechangia
Kwakwel nimeumia sana, na sizan kama kutatokea mzalendo kama magufuli, anae penda wanachi kama familia yake..dah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Nashukuru kwakua mmeweza kufanya kile nilicho waomba!! Mm nishabiki wako namba Moja kwa kila video unazotoa!! Nimefurahi kumuona Baraka Magufuli!! Akihojiwa leo!! Na nilitamani apate nafasi toka Mwanzo!!
Juzi pia kahojiwa Ila sikumbuki Ni tiv gani Tena kahojiwa akiwa amekaaa Ni kuhusu huu msiba wa mzee wetu
@@jenifajuma5395 Sikuona hiyo!! Ila kwa Ayo tv nilitamani wamfuate maana kwa kipindi kile alichukua ana vuma walimsumbua Sana
Alihojiwa NA ALAMA ONLIVE TV Ile kahojiwa liundani zaidi
Pole Sana baraka
😭😭😭😭😭Inauma Sana..
😭😭😭😭 congratulations baraka...usijali kaka sote twa elekea huko... poleni sana kutoka kenya
Dahh pole san tumeumia san kuondokewa kwa mzee wetu
Mm nakushauri uendelee hivyo hivyo kuwakumbusha wananchi wasisahau maneno ya baba yetu
Tuseme tu kwamba maumivu haya yamewagusa waafrika wote kwani uwepo wa jpm madarakani bara lote la afrika, america sikwambii ulaya mpaka Asia walikuwa wakiifuatilia Tanzania kwa karibu na waione mwisho wake kwahiyo kifo hiki kimestua ulimwengu mzima
Huyu kijana na Harmonize walipendwa sana na JPM, JPM alimwambia Harmo akagombee ubunge tandahimba.😭😭😭
Pole baraka
Tumuombee baba yetu rais mpendwa Magufuli roho yake itulie kwa amani...Ndugu zangu watanzania tuwe pole...mimi niko Kenya na inauma sanaa ...
Daaa bado ciamin jaman naona kama picha vile ciamin Kwa Kwa kwel pumzika Bba mwendo umeumaliza
Pole baraka,,tumuombee tu hatuna njisi
Baraka uende kwa mama jesca umpe faraja
Imeniuma sana kaul ya tutaonana kesho dah R I P DADY
kumbe baraka ni kijana nilijua ni mtu mzima
Khadija mumeo niko hapa mohammed@khadija
Huyu Jamaa ukichanganyikiwa unaweza fikili ni mtoto wa JPM maana wanafanana hatari.
Jinsi alivyompenda MPAKA kafanana nae Hadi sauti
ilonipengo kubua sana mungu atusitiri
Daah 😭😭😭😭
Nakukubar sana
REST IN PEACE PAPAA 🙏🙏🙏😭😭😭😭
SUBHANNA LLAH alhamdulillah ALLAH AKBAR
Baba Magufuli,kwa kweli alisaidia wengi sana Tanzania hii.Watu hawaitakii mema Inchi yetu lakini Mungu yupo nasi mpaka dakika za mwisho na hatutarudi nyuma Watanzania.Baba Magufuli atalala mahali Pema peponi.Yaani inasikitisha Inchi yetu nzima.
Naitwa wabo
Daah , magufuli mpk alikuwa anapata muda wa kuchati na dogo duuuh
You guys speak Swahili just only you people follow
Chuma kimeenda dahhhh.
Vido vidox
"Wasiotakia mema taifa letu...".. teh teh, watu wanaongea kwa kumezeshwa hata kujiongeza hawajui... akili za kuambiwa unachanganya na zako. PM na yule kibichwa cha embe wamewaambia uongo waziwazi.. lakini utakuta boya mmoja anacheza mule mule kwenye tune zao, kama misekule.
😭😭😭😭 innalillah wainnailayh rajuun
Baraka omba wananchi angalau udiwani ama ubunge basi uchape kazi kama alivyo tufunza baba yetu Magufuli angalau atafurahia huko aliko
Labda muibe kura kama kawaida yenu
Kweli kbs wangu.
baba yetu magufuli pumzika kwa Amani kweli umetusaidia sana watanzania kutuonyesha kuwa hata Tanzania tanaweza sana kujiendesha sisi.
Jaman magufuri alikua mzungu wa roho ee mungu mpunguzie ghazabu ya kaburi.
Acha kutumia neno "mzungu" hapa..kwani mzungu ni nani?
@@dhakomodherooherokoko6037 right
Pole Sana kijana, na Watanzania kwa Ujumura kbsa Musiba mugumu Sana
MWENYEZI mungu amlinde
😭😭pole San balaka magufuli
Inaumiza sana babaangu kipenzi manguu
Jamani Rais alipenda Sana wanyonge ambao tupo wengi
afu kuna boya yuko nnje kule kwa wazungu ambao wana nia ya kumtumia kuja kusainisha mikataba ya kipuuzi ambayo mzee alitumia nguv zake nying kuzivunja, ana ropoka tu ujinga kule
Msenge tu huyo beberu mweusi
Asubutu aone,kwa sasa watanzania tumeamka,baba yetu ameacha ametupika tumeiva kwelikweli,kiakiri ma kiueledi.
We asijaribu shoga yule kabsa tutaandamana nchi nzima kama anataka aolewe tu
Kwakuwa tumejua Nia yake nibora abaki huko huko au Kama akija aje kwaajili ya Mambo mengine na familia yake watanzani saivi tumeamka
Mi ctamani ata kusikia sauti yake uyo Beberu mweusi,
Tutamtafuta ata sisi Wananchi akileta ungese😠😠
Mkuu tutakumisi kweli kweli rip
💔💔😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Niliwahi kwamwambia Baraka katika page yake wala hapaswi kuogopa na tena anayo bahati kubwa kumuigiza kiongozi akiwa hai, sasa ni mwanzo mpya tena kwa Baraka kumuigiza Mh. baada ya kifo.
Huyu atawalizawatu badae siku akimuigiza Jemedariwetu Hayati Magufuli.
baraka pole sana kaka
Laa
Ni kweli kabisa
Pole Baraka jamaniii
Pole sana kijana. Kweli baba alikuwa anakupenda.
Pole Sana tumempoteza baba etu kipenz
Hakika baraka nimeamini unamaumivu makali sana kiukweli imetuumiza watanzania wote msiba huu ni fundisho kwetu tuyaishi mema aliyotuonyesha baba yetu Hayati Joseph Pombe Magufuli
Poleni sana
Rest in peace polen tn sn
Vidox umenona. RIP MAGU
Yaaan kumbe we umeona eeh
Kumbe barak ni mvulana ivi
Dah MAGU wetu😢😢
Jaman
Ayo kwani umebadili sura nini???
So sad
Baraka asante kwa mchango wako
Duh
Mama Samia MUNGU akutangulie ktk kazi yako
Pole sn baraka
So painful 💔😢
Duh
Mtangazaji kavimba macho amakweli magufuli kajua. Kutuliza
Olala 😭😭😭😭😭
baraka pole kaka ila wewe ngoja niishie hapo
Sema ni muhansamu
Poleni sana
mmh xo handsome
pole sana kaka
🙏🙏🙏😭😭😭
R.i.p
THE BIGGEST BOSS NASRI
Dogo upo vizurii
🤦🏻♂️💪💪🇹🇿
pole yetu sote Baraka
Pole baraka itaendelea kuect tumkumbuke j p m
Naumia sana
Pole kijana magu