BARAKA MAGUFULI KAFUNGUKA MSIBANI CHATO "NAUMIA SANA, BILA MAGUFULI HATA HAPA NISINGEKUEPO"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 194

  • @mnegaamina6085
    @mnegaamina6085 3 года назад +38

    Haijawai tokea rais kunyanyua watoto wa masikini namna hii

  • @neemamayombya4130
    @neemamayombya4130 3 года назад +4

    Jamani barakaaa hiyo sauti usiiongee tenaaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @blasidajulius2240
    @blasidajulius2240 3 года назад +18

    Daaaaaaaah inaumaa sana Mungu ampumzishe kwa Aman Rais wetu😭😭😭

    • @matopeboybomba5732
      @matopeboybomba5732 3 года назад

      We mtangazaji unanenepa.sana

    • @mustyboymaalim2070
      @mustyboymaalim2070 3 года назад +2

      @@matopeboybomba5732 kuwa na adabu na ushughulike na maisha yako

    • @fhvbvgkvgc8073
      @fhvbvgkvgc8073 3 года назад +1

      @@mustyboymaalim2070 inaonekana anamfwatilia maisha yke xaana.

    • @mustyboymaalim2070
      @mustyboymaalim2070 3 года назад +1

      @@fhvbvgkvgc8073hao ndo wenye kuangusha uchumi wa taifa kwa ajili ya udaku na umbea

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 3 года назад +10

    Raisi mwenye Upendo wa kweli kwa kila mtu😭😭
    Tulimpenda lkn Mungu kampenda zaidi.
    Alijitoa mpaka mwisho😭😭

  • @agaowajouniar6614
    @agaowajouniar6614 3 года назад +14

    Kumbe Baraka ni Handsome wa nguvu Leo nimekuona vizuree saaan

    • @agaowajouniar6614
      @agaowajouniar6614 3 года назад

      @Dorka Kazunde Ameen thummah Ameen,🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭😭😭

    • @rajmkonje7149
      @rajmkonje7149 3 года назад

      Ushamtamani wenawe hujaacha tu?

    • @agaowajouniar6614
      @agaowajouniar6614 3 года назад

      @@rajmkonje7149 Mmmhh,🤐🤐🤐🤐🤐

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 3 года назад +5

    Allah akupumzishe kwa Amani Rais wetu 🙏😭😭😭😭😭😭

  • @estomiailomo7844
    @estomiailomo7844 3 года назад +5

    Mm mwenyewe jmn ningependa huyu baraka apewe cheo chochote Ili aweze kuienzi sauti ya hayati babaaetu magufuli kwa vitendo mama etu samia suluhu mwangalie huyo kijana kwa jicho la pili na watanzania tutajivunia maana anajua kutumia sauti vzl km babaaetu jony pombe magufuli

  • @kelvinkidanga9214
    @kelvinkidanga9214 3 года назад +6

    Daaaaahh jamani sitaki kuamini kuwa baraka yule wa zamani kumbe alikuwa kijana hivi daaah rest in peace magufuri 😭😭😭😭

  • @fadinarashidi4520
    @fadinarashidi4520 3 года назад +6

    mungu anachukua anacho kipend wa Tanzania tumebaki na jonzi yasiyo kwisha ila Baraka endelea kutu fariji kwa saut ya baba insha anllah

  • @lightnessdaniel7965
    @lightnessdaniel7965 3 года назад +3

    Nakupa pole baraka tunafurahig Sana na familia yangu ukiigiza Kama maguful usiache uwe unamuenzi

  • @bintimohamed2646
    @bintimohamed2646 3 года назад +14

    Oh my GOD 😭😭😭😭😭😭🙏🏽🙏🏽🙏🏽💔💔💔💔✋✋🇰🇪 May he soul Rest In Peace BABA Daah painfully really 😭😭🤫💔💔🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @grace.mungubariki.520
    @grace.mungubariki.520 3 года назад +7

    Poleni sana familia pamoja na taifanzima mana huo msiba umetugisa wa TZ wote mungu awape nguvu na azidi kuwapigania.

  • @Noah-se3ni
    @Noah-se3ni 3 года назад +1

    Interview Baraka umehongeya vinzuri sauti yako kama ya Raisi mangufuli Kweli kwali.

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092 3 года назад +3

    Usikufuru baraka magufuli eti isingekua magufuli nisingekua hapa

  • @faudhiatmasoud4025
    @faudhiatmasoud4025 3 года назад +4

    Uyu kaka yupo kwny machungu mnooooo..

  • @allyhuyu1892
    @allyhuyu1892 3 года назад +3

    Anakidonda kifuani, pole Baraka tumeumia wote na wengi sana tutateseka kutokana na pengo hili huku tukijua kabisa kazi ya mola haina makosa

  • @vincentnyawa
    @vincentnyawa 3 года назад +12

    Watching from the Sand beaches of Malindi Kenya. Tuwe pole sote

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 3 года назад +1

    Msifadhaike mioyoni mwenu, Bwana ametuumbia nafsi zinazoonja mauti

  • @kassaramadhani1903
    @kassaramadhani1903 3 года назад +5

    Kwel kaka nakup honger kwa ushaur wako lazim tushikaman ss wenyew jamn mm nalia nakuumia

  • @dianashija5674
    @dianashija5674 3 года назад +17

    Kumbe baraka is so handsome

    • @jenifajuma5395
      @jenifajuma5395 3 года назад

      Sanaaaa Ni handsome mnooo

    • @agaowajouniar6614
      @agaowajouniar6614 3 года назад

      Tena mnooo halafu ana mwanya kazuree

    • @rajmkonje7149
      @rajmkonje7149 3 года назад

      Ushamtamani

    • @rajmkonje7149
      @rajmkonje7149 3 года назад

      Hamna haya

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад +1

      @@jenifajuma5395 M'meshakamata Usukani Sasa M'natutongoza Mchana Kweupeee Juwa La Sa 6 🤣🤣🤣🤣

  • @eliasbufula2482
    @eliasbufula2482 3 года назад +4

    Baraka, nimefurahi kuona ukihojiwa katika tukio hili, naamini kabisa kwamba ni kweli umeumia mno. Mungu akutie nguvu, ikibidi viongozi waliobaki waendelee kukupa nafasi.

  • @ramadhanyusuph7633
    @ramadhanyusuph7633 3 года назад +4

    😭😭TUTAMKUMBUKA SANA MAGUFULI MAANA KAFANYA MAKUBWA KWA MIAKA MICHACHE UTAZANI KAKAA MIAKA 50 MADALAKANI WENI WAO KUJIMILIKISHA MALI KUTUACHIA MABARABARA YA VUMBI HUYU ALIJITOLEA KWA AJILI YA WATANZANIA NA KUSEMA MGAMBO WATAFUTE KAZIA YA KUFANYA NITALALA NAO MBELE KWA MBELE 😭😭😭😭😭😭😭😭👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @hawamazengo5807
    @hawamazengo5807 3 года назад +10

    Ni huzuni kweli kweli 😭😭😭🤦

  • @zaitunali2208
    @zaitunali2208 3 года назад +12

    Kumbe baraka handsam maashaallah 🥰 kuwa na subrah kakaangu....allah awafanyie wepesi ndugu zetu watanzania

  • @wabo_199
    @wabo_199 3 года назад +2

    Poleen sanaaaa

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 3 года назад +10

    Kumbe jamaa handsom😃😃😃

  • @gracembaka5689
    @gracembaka5689 3 года назад +3

    Kwakwel nimeumia sana, na sizan kama kutatokea mzalendo kama magufuli, anae penda wanachi kama familia yake..dah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @ernestndauka9301
    @ernestndauka9301 3 года назад +18

    Nashukuru kwakua mmeweza kufanya kile nilicho waomba!! Mm nishabiki wako namba Moja kwa kila video unazotoa!! Nimefurahi kumuona Baraka Magufuli!! Akihojiwa leo!! Na nilitamani apate nafasi toka Mwanzo!!

    • @jenifajuma5395
      @jenifajuma5395 3 года назад +2

      Juzi pia kahojiwa Ila sikumbuki Ni tiv gani Tena kahojiwa akiwa amekaaa Ni kuhusu huu msiba wa mzee wetu

    • @ernestndauka9301
      @ernestndauka9301 3 года назад

      @@jenifajuma5395 Sikuona hiyo!! Ila kwa Ayo tv nilitamani wamfuate maana kwa kipindi kile alichukua ana vuma walimsumbua Sana

    • @Aminaamina-cg8sf
      @Aminaamina-cg8sf 3 года назад

      Alihojiwa NA ALAMA ONLIVE TV Ile kahojiwa liundani zaidi

  • @asumpternjojo6296
    @asumpternjojo6296 3 года назад +2

    Pole Sana baraka

  • @tatubadi9010
    @tatubadi9010 3 года назад +6

    😭😭😭😭😭Inauma Sana..

  • @mustyboymaalim2070
    @mustyboymaalim2070 3 года назад +2

    😭😭😭😭 congratulations baraka...usijali kaka sote twa elekea huko... poleni sana kutoka kenya

  • @hussenyassin3499
    @hussenyassin3499 3 года назад +13

    Dahh pole san tumeumia san kuondokewa kwa mzee wetu

    • @عباسعباس-ش9ه4ت
      @عباسعباس-ش9ه4ت 3 года назад

      Mm nakushauri uendelee hivyo hivyo kuwakumbusha wananchi wasisahau maneno ya baba yetu

    • @allyhuyu1892
      @allyhuyu1892 3 года назад

      Tuseme tu kwamba maumivu haya yamewagusa waafrika wote kwani uwepo wa jpm madarakani bara lote la afrika, america sikwambii ulaya mpaka Asia walikuwa wakiifuatilia Tanzania kwa karibu na waione mwisho wake kwahiyo kifo hiki kimestua ulimwengu mzima

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 3 года назад +6

    Huyu kijana na Harmonize walipendwa sana na JPM, JPM alimwambia Harmo akagombee ubunge tandahimba.😭😭😭

  • @judithrichard2665
    @judithrichard2665 3 года назад +1

    Pole baraka

  • @bentajoseph7298
    @bentajoseph7298 3 года назад +6

    Tumuombee baba yetu rais mpendwa Magufuli roho yake itulie kwa amani...Ndugu zangu watanzania tuwe pole...mimi niko Kenya na inauma sanaa ...

  • @happinessaron2110
    @happinessaron2110 3 года назад +2

    Daaa bado ciamin jaman naona kama picha vile ciamin Kwa Kwa kwel pumzika Bba mwendo umeumaliza

  • @shanifesto9037
    @shanifesto9037 3 года назад +4

    Pole baraka,,tumuombee tu hatuna njisi

  • @mariamramadhani3860
    @mariamramadhani3860 3 года назад +3

    Baraka uende kwa mama jesca umpe faraja

  • @gaspertyme
    @gaspertyme 3 года назад +2

    Imeniuma sana kaul ya tutaonana kesho dah R I P DADY

  • @khadijaomari9344
    @khadijaomari9344 3 года назад +4

    kumbe baraka ni kijana nilijua ni mtu mzima

    • @princemoudy5377
      @princemoudy5377 3 года назад

      Khadija mumeo niko hapa mohammed@khadija

  • @emmanueljohn8970
    @emmanueljohn8970 3 года назад +1

    Huyu Jamaa ukichanganyikiwa unaweza fikili ni mtoto wa JPM maana wanafanana hatari.
    Jinsi alivyompenda MPAKA kafanana nae Hadi sauti

  • @menyajoseph9729
    @menyajoseph9729 3 года назад +2

    ilonipengo kubua sana mungu atusitiri

  • @fatimahamisi9235
    @fatimahamisi9235 3 года назад +2

    Daah 😭😭😭😭

  • @azaelieliyud1463
    @azaelieliyud1463 3 года назад +2

    Nakukubar sana

  • @deuspeter6276
    @deuspeter6276 3 года назад +5

    REST IN PEACE PAPAA 🙏🙏🙏😭😭😭😭

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 3 года назад +1

    SUBHANNA LLAH alhamdulillah ALLAH AKBAR

  • @giloogilo6589
    @giloogilo6589 3 года назад

    Baba Magufuli,kwa kweli alisaidia wengi sana Tanzania hii.Watu hawaitakii mema Inchi yetu lakini Mungu yupo nasi mpaka dakika za mwisho na hatutarudi nyuma Watanzania.Baba Magufuli atalala mahali Pema peponi.Yaani inasikitisha Inchi yetu nzima.

  • @wabo_199
    @wabo_199 3 года назад +1

    Naitwa wabo

  • @hassanissa4792
    @hassanissa4792 3 года назад +1

    Daah , magufuli mpk alikuwa anapata muda wa kuchati na dogo duuuh

  • @julietturya5479
    @julietturya5479 3 года назад +1

    You guys speak Swahili just only you people follow

  • @amacachatraders6198
    @amacachatraders6198 3 года назад +1

    Chuma kimeenda dahhhh.

  • @andrewkilave3532
    @andrewkilave3532 3 года назад +1

    Vido vidox

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb 3 года назад +2

    "Wasiotakia mema taifa letu...".. teh teh, watu wanaongea kwa kumezeshwa hata kujiongeza hawajui... akili za kuambiwa unachanganya na zako. PM na yule kibichwa cha embe wamewaambia uongo waziwazi.. lakini utakuta boya mmoja anacheza mule mule kwenye tune zao, kama misekule.

  • @khadijasalim3546
    @khadijasalim3546 3 года назад +2

    😭😭😭😭 innalillah wainnailayh rajuun

  • @carloskietimutinda579
    @carloskietimutinda579 3 года назад +2

    Baraka omba wananchi angalau udiwani ama ubunge basi uchape kazi kama alivyo tufunza baba yetu Magufuli angalau atafurahia huko aliko

  • @shitengeshitenge481
    @shitengeshitenge481 3 года назад +1

    baba yetu magufuli pumzika kwa Amani kweli umetusaidia sana watanzania kutuonyesha kuwa hata Tanzania tanaweza sana kujiendesha sisi.

  • @hawamazengo5807
    @hawamazengo5807 3 года назад +10

    Jaman magufuri alikua mzungu wa roho ee mungu mpunguzie ghazabu ya kaburi.

  • @justinmutabazi7353
    @justinmutabazi7353 3 года назад +1

    Pole Sana kijana, na Watanzania kwa Ujumura kbsa Musiba mugumu Sana

  • @Tanznia2000s
    @Tanznia2000s 8 месяцев назад

    MWENYEZI mungu amlinde

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 3 года назад +2

    😭😭pole San balaka magufuli

  • @dizelakituleKitule-qx6ss
    @dizelakituleKitule-qx6ss 10 месяцев назад

    Inaumiza sana babaangu kipenzi manguu

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 3 года назад +1

    Jamani Rais alipenda Sana wanyonge ambao tupo wengi

  • @n.o.m4385
    @n.o.m4385 3 года назад +5

    afu kuna boya yuko nnje kule kwa wazungu ambao wana nia ya kumtumia kuja kusainisha mikataba ya kipuuzi ambayo mzee alitumia nguv zake nying kuzivunja, ana ropoka tu ujinga kule

    • @josephemmanuel3175
      @josephemmanuel3175 3 года назад

      Msenge tu huyo beberu mweusi

    • @frankcosta4986
      @frankcosta4986 3 года назад +3

      Asubutu aone,kwa sasa watanzania tumeamka,baba yetu ameacha ametupika tumeiva kwelikweli,kiakiri ma kiueledi.

    • @janekikoti2179
      @janekikoti2179 3 года назад +1

      We asijaribu shoga yule kabsa tutaandamana nchi nzima kama anataka aolewe tu

    • @jenifajuma5395
      @jenifajuma5395 3 года назад +1

      Kwakuwa tumejua Nia yake nibora abaki huko huko au Kama akija aje kwaajili ya Mambo mengine na familia yake watanzani saivi tumeamka

    • @hyasintndimbo2998
      @hyasintndimbo2998 3 года назад +2

      Mi ctamani ata kusikia sauti yake uyo Beberu mweusi,
      Tutamtafuta ata sisi Wananchi akileta ungese😠😠

  • @mimiwewe6617
    @mimiwewe6617 3 года назад +2

    Mkuu tutakumisi kweli kweli rip

  • @mariamakanu1690
    @mariamakanu1690 3 года назад +2

    💔💔😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @charlzcon6812
    @charlzcon6812 3 года назад +4

    Niliwahi kwamwambia Baraka katika page yake wala hapaswi kuogopa na tena anayo bahati kubwa kumuigiza kiongozi akiwa hai, sasa ni mwanzo mpya tena kwa Baraka kumuigiza Mh. baada ya kifo.

  • @teresiapetro2548
    @teresiapetro2548 3 года назад +1

    Huyu atawalizawatu badae siku akimuigiza Jemedariwetu Hayati Magufuli.

  • @tuwenasitv9695
    @tuwenasitv9695 3 года назад +1

    baraka pole sana kaka

  • @yohanakinyere5422
    @yohanakinyere5422 3 года назад

    Laa

  • @mejammoleli2325
    @mejammoleli2325 3 года назад +1

    Ni kweli kabisa

  • @tusajigwemathias1808
    @tusajigwemathias1808 3 года назад +3

    Pole Baraka jamaniii

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905 3 года назад +1

    Pole sana kijana. Kweli baba alikuwa anakupenda.

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 3 года назад +1

    Pole Sana tumempoteza baba etu kipenz

  • @petrocristian5364
    @petrocristian5364 3 года назад

    Hakika baraka nimeamini unamaumivu makali sana kiukweli imetuumiza watanzania wote msiba huu ni fundisho kwetu tuyaishi mema aliyotuonyesha baba yetu Hayati Joseph Pombe Magufuli

  • @dorothycherono6295
    @dorothycherono6295 3 года назад +2

    Poleni sana

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 10 месяцев назад

    Rest in peace polen tn sn

  • @hadijaangura6572
    @hadijaangura6572 3 года назад +1

    Vidox umenona. RIP MAGU

  • @queenjayztz8615
    @queenjayztz8615 3 года назад

    Kumbe barak ni mvulana ivi
    Dah MAGU wetu😢😢

  • @pendolazaro4686
    @pendolazaro4686 3 года назад +2

    Jaman

  • @okellocollins9343
    @okellocollins9343 3 года назад

    Ayo kwani umebadili sura nini???

  • @neemakimaro6871
    @neemakimaro6871 7 месяцев назад

    So sad

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 3 года назад +2

    Baraka asante kwa mchango wako

  • @salimhassan4770
    @salimhassan4770 3 года назад

    Mama Samia MUNGU akutangulie ktk kazi yako

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 3 года назад +1

    Pole sn baraka

  • @rachelpease7302
    @rachelpease7302 3 года назад +1

    So painful 💔😢

  • @sophiasophia6945
    @sophiasophia6945 3 года назад +1

    Duh

  • @زيتونتنزانيا
    @زيتونتنزانيا 3 года назад

    Mtangazaji kavimba macho amakweli magufuli kajua. Kutuliza

  • @christinemapendo1584
    @christinemapendo1584 3 года назад

    Olala 😭😭😭😭😭

  • @nisethamuleke5633
    @nisethamuleke5633 3 года назад +1

    baraka pole kaka ila wewe ngoja niishie hapo

  • @ashwramashallah7242
    @ashwramashallah7242 3 года назад

    Poleni sana

  • @floridajonhmatata4365
    @floridajonhmatata4365 3 года назад +1

    mmh xo handsome

  • @jhhail8633
    @jhhail8633 3 года назад +1

    pole sana kaka

  • @deuspeter6276
    @deuspeter6276 3 года назад +1

    🙏🙏🙏😭😭😭

  • @jephutantigwanamba6923
    @jephutantigwanamba6923 3 года назад +1

    R.i.p

  • @biggestnasritv2601
    @biggestnasritv2601 3 года назад

    THE BIGGEST BOSS NASRI

  • @brendaleonard6134
    @brendaleonard6134 3 года назад

    Dogo upo vizurii

  • @nasrinairi9556
    @nasrinairi9556 3 года назад +2

    🤦🏻‍♂️💪💪🇹🇿

  • @pelesmwaipopo4382
    @pelesmwaipopo4382 3 года назад +1

    pole yetu sote Baraka

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 3 года назад

      Pole baraka itaendelea kuect tumkumbuke j p m

  • @kombozimbwilo4289
    @kombozimbwilo4289 3 года назад

    Naumia sana

  • @generozakayoza8482
    @generozakayoza8482 3 года назад

    Pole kijana magu