BARAKA MAGUFULI ARUDI NA WAZIRI JAFO ''NIMESIKIA UNA WAKE WATATU, KUNYWA MAZIWA UNENEPE''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 321

  • @abuuazhar3738
    @abuuazhar3738 4 года назад +328

    haki ya Mungu hiki ni kipajiiiii. Kama unaamini Mungu anaweza gonga like hapa

  • @Tino_Official_tz
    @Tino_Official_tz 4 года назад +27

    🍁hii sauti anaipatia sana na vionjo vya mueshimiwa raisi wetu. Kama umegendua ina mamlaka hata kama anafanya "comedy" lkn bado unahisi kama ni Rais mwenyewe anaongea. Hongera sana kijana.🍁

  • @kajugaa4537
    @kajugaa4537 4 года назад +23

    Unajua kuna mda fulani akiwaita viongozi wanashtuka wanajua ni magu kweli mfano akisema mkurugenzi yuko wapi? Basi mkurugenzi anashtuka akijua ni magu kweli!! Haa haa haa baraka unaweza

  • @festomishita3303
    @festomishita3303 4 года назад +24

    Yan hapo hao waheshimiwa wanatetemeka wanahisi n magu kabisa 😂😂😂😂😂 dah

  • @francisruambothetechnician
    @francisruambothetechnician 4 года назад +143

    Baraka fungua RUclips channel yako tafuta camera man kila unapopita weka videos zako zitakuongezea kipato na kuwa na kabrand kako.

  • @aymankhadija619
    @aymankhadija619 3 года назад +5

    Haki ya Mungu jamanii sasa huyu ni raisi auuuuu!!??,Manake nachekaga nikimsikiliza mwenzenuuu ana kazi ya kuwasimamisha viongozi tu na wanasimama😄😄

  • @adammakoye4198
    @adammakoye4198 4 года назад +35

    Tatizo huko kutunzwa tunzwa kutamlemaza akasahau hizi view zetu zilikuwa ni pesa yke. Pia

  • @benjaminabisemba5331
    @benjaminabisemba5331 3 года назад +2

    Hii ndo picha ya Magufuli kabsa , atakayekuwa anafuta machozi

  • @pulikisia7963
    @pulikisia7963 3 года назад +2

    Yani kama yeye vile, duh! Aendelee hivihivi hata kama mheshimiwa kaondoka.

  • @stevencherdiel9522
    @stevencherdiel9522 4 года назад +27

    Jiandae 2025 mzee Magu akistaafu uendeleze kidogo hata kwa awamu moja tu

  • @saidmilambo5717
    @saidmilambo5717 4 года назад +44

    Kama tangazo la asas lmefka penyewe

  • @ابوعبدالرحمن-س5ز3ض
    @ابوعبدالرحمن-س5ز3ض 4 года назад +2

    Mimi nimemkubali baraka magufuli anajua sanaaaaaa kuigiza sauti ya mh magufuli

  • @yusufkechbow8153
    @yusufkechbow8153 4 года назад +2

    Kwa kweli..... MAZIWA YA ASASI.... Ni bora Sana, ni NAMBA MOJA
    Kila nikijaribu mengine.... Mepesi sana, sijui wanawake Maji
    Ila Asasi wanajitahidi Sana, huwezi kuchukiau, ....safi Sana ASASI endeleeni hivyo hivyo..... Naona hadi prezdaa kawakubali

  • @briannyiti8234
    @briannyiti8234 4 года назад +31

    Bod guard tu mimi😂😂😂

    • @jacklinejacksone1165
      @jacklinejacksone1165 3 года назад

      We mimi kabisaa pamoja na🤣🤣🤣🤣 kwamba tunamajonzi ya rais😭 wetu

  • @MYCYOBEL
    @MYCYOBEL 4 года назад +3

    Hawa viongozi safi sana wamerespond vizuri bila dharau.

  • @zittotv9972
    @zittotv9972 4 года назад +19

    Wafanya Kazi wangu nyinyi mtakunywa chai Hahahahahaaaaaaaaaaaaaa

  • @wilfredmoshi6507
    @wilfredmoshi6507 4 года назад +15

    Da nimemkubalia sana huyu jamaa yaani hapo kwenye maziwa kafanya bonge la tangazo.Keep it up baraka.

  • @lewiskombole2917
    @lewiskombole2917 4 года назад +7

    Raia gani anajeuri ya kumuinua mkuu wa mkoa zaid ya huyu dogo magu😁😁😁

  • @zittotv9972
    @zittotv9972 4 года назад +30

    Wafanya Kazi wangu nyinyi mtakunywa chai Hahahahahaaaaaaaaaaaaaa

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 4 года назад

      Nimecheka mpaka machoziiii
      Ha ha haaaaaaaaaa

    • @donaldmhulula6888
      @donaldmhulula6888 4 года назад

      hahahaaaaaahaaaaaaaaa

    • @tonnymusic9396
      @tonnymusic9396 4 года назад

      an bulk ko ß2o0ow
      pesa an bulk ko 2aào1qan bulk ko an bulk ko

  • @zuberikamote2078
    @zuberikamote2078 4 года назад +15

    Eti wasaidi wngu nyinyi mtakunywa chai🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kadijakk6384
    @kadijakk6384 4 года назад +6

    Penye ukweli uongo ujitenga baraka ndg yetu unaweza sana mwenyezi mungu akupe afya njema

  • @Johnmasanja27
    @Johnmasanja27 4 года назад +7

    😂😂🤣 uwii jaman huyu jamaaa ni shidaah

  • @davidwambura5915
    @davidwambura5915 4 года назад +19

    Fungua account yako RUclips usiwaze faida waandishi hizi views ni pesa

  • @riobanobert9358
    @riobanobert9358 4 года назад +15

    That scout behind him took everything so serious 😅

    • @allanbrano5362
      @allanbrano5362 3 года назад +1

      He did his part perfectly well. He looked like a trained soldier

    • @allanbrano5362
      @allanbrano5362 3 года назад

      That brown boy in scouts uniform can make a perfect soldier

  • @MAFUNDISHO1
    @MAFUNDISHO1 4 года назад +3

    Kipaji na Ubunifu so perfect

  • @richardmwandali7722
    @richardmwandali7722 3 года назад +2

    Brother baraka magufuri tishaa sanaa

  • @mctidohondoa1652
    @mctidohondoa1652 4 года назад +1

    Hapa anapiga kazi wala sio comedy

  • @allyndambwe4354
    @allyndambwe4354 4 года назад +3

    Huyu jamaa anajua Mpaka mapozi ya magu aisee

  • @minyarothomas8167
    @minyarothomas8167 4 года назад +6

    Hii kitu naiangalia mpaka leo 😂😂😂

  • @hayasaboyofficalmusic2902
    @hayasaboyofficalmusic2902 4 года назад +7

    Tanzania vipaji tunavyo ila ndo havina usimamizi

  • @vulfridakessy7148
    @vulfridakessy7148 3 года назад +5

    Nyie huyu kaka nimeamua kumchek baada ya msiba wa Uncle. Duniani wawili wawili..huyu jamaa Mungu azidi kumuinuaa

  • @Tino_Official_tz
    @Tino_Official_tz 4 года назад +5

    🍁Daah huyu jamaa ni noma. Embu fungua tuu RUclips account yako ukusanye hizi video zako uongeze kipato.🍁

  • @prophetantonyraymondy7165
    @prophetantonyraymondy7165 4 года назад +2

    Uko sawa

  • @wilkinssimkoko7920
    @wilkinssimkoko7920 4 года назад +2

    Asee kwa Sauti imekaribia sana kufanana ila manenoo ni 100% safi sana. Fuata ushauri wa Smart Technology

  • @andersonchibule4761
    @andersonchibule4761 4 года назад +5

    Nice speach...... Thumb up broh.

  • @barakamarwa9796
    @barakamarwa9796 3 года назад +1

    Nayeye ana mlinzi nyuma

  • @Segerethom
    @Segerethom 4 года назад +2

    Kakayangu BARAKA MAGUFULI unapiga kazi nzuri. Ila ukitaka kufanikiwa zaidi fungua acount za RUclips na Instagram. Angalia mwenzako kutoka UGANDA teacher MPAMIRE anakula maisha hongera kaka

  • @michaelsiweya6500
    @michaelsiweya6500 4 года назад

    Chee..chee ..chee...Vangoshya...Yaani Magufuli kabisa...Kipaji hicho hakika

  • @wailesdeus3764
    @wailesdeus3764 4 года назад +25

    Safi Sana baraka.. viongoz wanaitika Sauti ya Rais Magu wala hawakaidi jamani 😂😂 kipaji na ujasiri wako ndio msingi wako.. nakutabiria makubwa zaidi.. maana ninavyoijua serikali haitakuacha hivi hivi..❤️

    • @zittotv9972
      @zittotv9972 4 года назад

      Wailes Deus ndo isha mwacha hivo kijana

    • @kassimomari4786
      @kassimomari4786 3 года назад

      Hahahaha nimecheka sana kuigiza sauti kajisahau kajikuta magufuli tayar

  • @gerodimkulu8062
    @gerodimkulu8062 4 года назад +6

    Wasaidizi wangu mtakunywa chai😀

  • @abrahburaheze8879
    @abrahburaheze8879 4 года назад +3

    daaaah😂😂😂😂aka kajama bana kananichekesha

  • @iddytemba9362
    @iddytemba9362 3 года назад +1

    safi sana kaka mungu akuongoze sana

  • @ramahamis5793
    @ramahamis5793 3 года назад

    Pumzika kwa AMANI mpendwa WETU j p m vita umevipiga mwendo umeumaliza shujaa WETU wa TANZANIA

  • @tonyi6807
    @tonyi6807 2 года назад +1

    Safi idumu

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 3 года назад +3

    Rest In Peace Rais Wetu 😭😭😭😭

  • @nayopamlimbatv1382
    @nayopamlimbatv1382 4 года назад +2

    Adi raha nakukubari sana Mr.Presedent Baraka Magufuri

  • @francismkenda
    @francismkenda 4 года назад +7

    Daaah😂😂😂😂 shikamoo mheshimiwa

  • @bnsonimakle1155
    @bnsonimakle1155 2 года назад +1

    I like it very impressive...

  • @alwattanchinga
    @alwattanchinga 4 года назад +2

    Hahahahahahaa God bless you brother 🤣🤣🤣🤣, nafurahi sana, magufuli amebarikiwa sana, yaani yuasaidiwa siasa na watu wake,raha sana walai

  • @polycarpmicky4151
    @polycarpmicky4151 4 года назад

    ruclips.net/video/UWbuppK_p78/видео.html karibu tuangalie video nzuri ya injili usisabau kusubscribe

  • @ambakisyemwakinunu2002
    @ambakisyemwakinunu2002 4 года назад +7

    Huyu jamaa yuko vizuri aisee😂😂

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 4 года назад +4

    We magu mdogo hicho ni kitambiiii au ni unga wa ngano

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 4 года назад +2

    Nikimsikiliza Jamaa Anakipaji sana.Mungu Amsimamie Ampe Afya Tele.

  • @elizabethmeru3256
    @elizabethmeru3256 3 года назад +1

    Wsaidizi mtakunywa chai 😂😂😂😂

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 4 года назад +1

    Inabidi sehemu ambazo Magufuli anashindwa kufika anapoalikwa wewe ndo umkaimu maana inaleta Radha inayofananafanana

  • @patriciaboniphace7141
    @patriciaboniphace7141 4 года назад

    Kamwene nyalukolo.pongez kwako kama kuna wahehe humu nyoosha mikono juuùuuuù

  • @azizaz1628
    @azizaz1628 4 года назад +2

    Baraka magufuli hapa umetisha sana💪

  • @johnyoye4275
    @johnyoye4275 3 года назад

    Our next President after John Pombe is Seleman Jaffo.

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 года назад

    Yaani wee acha tu siku mwenyew alivyomuonaga alicheka

  • @drmtangi3649
    @drmtangi3649 4 года назад +6

    Huyu jamaa ninouma ana weza

    • @stevencherdiel9522
      @stevencherdiel9522 4 года назад +1

      Aisei we we hata JPM akisema amegairi au anastaafu tutakupa wewe

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 4 года назад

    Huyu Jamaa anajielewa

  • @ziadasalim1459
    @ziadasalim1459 3 года назад

    Wasaidizi watakunywa chai khaa joto lote ili

  • @lydiachembe9376
    @lydiachembe9376 3 года назад

    Jaman umenikumbusha baba etu umeniliza sio siri

  • @nyotamapene5059
    @nyotamapene5059 4 года назад

    Safi sana! Ila afupishe kidogo maana inaweza ikawa inabore.

    • @agaowajouniar6614
      @agaowajouniar6614 3 года назад

      Mara nying anafupisha ila ni hii tyu ndo karefusha,maan katoa zawad ile kidog ndo imerefush

  • @OpportunityTvchambuaonline
    @OpportunityTvchambuaonline 4 года назад +1

    Very creative!!!

  • @athumanichato9644
    @athumanichato9644 4 года назад +1

    Kwa kweli umeweza kuigiza sauti 100 sauti ya magufuli

  • @karimmohammed2596
    @karimmohammed2596 3 года назад +1

    vizur ila nimejisikia hadi uzuni RIP magufuli 🙏

  • @jacksonbohbahck6307
    @jacksonbohbahck6307 4 года назад +2

    Kwanza skauti yuko vizur kanuna kweli kweli

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend5745 4 года назад +2

    Awe anamsaidia Raisi kufanya kampeni mkoa kwa mkoa

  • @ramadhaninurrumtungi4474
    @ramadhaninurrumtungi4474 4 года назад +2

    Du huyu jamaa anachekesha eti unawanawake watatu nikwer jafo

  • @wanderenyeura9011
    @wanderenyeura9011 4 года назад +2

    Korea kuiqa mnyoo tu warais unauwawa tz raha xana

  • @mamadida6100
    @mamadida6100 3 года назад

    Dah unauma kwakweli lkn hakuna jins

  • @linusrohomoja8856
    @linusrohomoja8856 4 года назад +3

    jamaa unaweza sana

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor3081 3 года назад +1

    Mashaallah huyu jamaa simchezo

  • @TUMAINIMBEMBELA7
    @TUMAINIMBEMBELA7 4 года назад

    Fungua channel yako wakati ni ukuta wakati unatrend ni wakati wa kujiimalisha kwa channel yako

  • @kastuliamos656
    @kastuliamos656 2 года назад

    😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀❤️😀❤️❤️❤️❤️❤️❤️ Barak

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 3 года назад

    Hakika ni zaidi ya uchungu

  • @danneismail5442
    @danneismail5442 4 года назад +4

    Nakubali 💯

  • @patrickkwibe4431
    @patrickkwibe4431 8 месяцев назад

    😂😂😂huyu Jamaa anaweza ❤❤❤❤

  • @zuberikamote2078
    @zuberikamote2078 4 года назад +4

    Anautani na anko maguu😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @mashimbazephania3511
      @mashimbazephania3511 4 года назад

      Ndiyo huyo anatoka iringa kwa hyo ni lazima ai2mie hyo nafac ndo utanzania, leo utani umempa maisha

    • @frankjoely3313
      @frankjoely3313 4 года назад

      We ndo unautani kwan anatukana? Nidham za woga bhana! Shida kweli.sasa Kama unaona Hadi mawaziri anawaita wanaenda unadhani kakurupuka?

  • @boniimsokwa8627
    @boniimsokwa8627 2 года назад

    baraka noma

  • @charlesgeorge2855
    @charlesgeorge2855 3 года назад +1

    Duh kapatia sana huyu jamaa

  • @stewardmbena3737
    @stewardmbena3737 4 года назад +1

    Tanzania bana ni,nchii inayo sapot sana ujinga 😁 ,😀

  • @hamisimageni7834
    @hamisimageni7834 4 года назад +2

    Ana bodyguard Jamaa... Dah

  • @gregorychogelo2013
    @gregorychogelo2013 4 года назад +3

    Hahaha... safi sana!!

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 4 года назад +1

    #Millard Ayo . Nahisi Jafo ndie raisi ajae

  • @oliverkyando9897
    @oliverkyando9897 4 года назад +2

    Uko vizuri Baraka

  • @chrispinjohn144
    @chrispinjohn144 3 года назад

    Feb 2021 watching this

  • @stiviemshuza446
    @stiviemshuza446 3 года назад

    Mpangilio wa speech 100%

  • @madamejescarandrew.g.9534
    @madamejescarandrew.g.9534 3 года назад

    Kabisa yani

  • @dinho6292
    @dinho6292 4 года назад +11

    usimalize bajeti ya Ikulu😂😂😂😂😂

  • @mbilimatungaraza4510
    @mbilimatungaraza4510 2 года назад

    😂😂😂😂 hapo kwenye msisitizo wa mahusiano mazuri ni amaizing sana!!

  • @abbasmohamed5066
    @abbasmohamed5066 4 года назад +5

    baraka hujawahi kuniangusha,dah unajua kaka!

  • @hassanpyallah8750
    @hassanpyallah8750 4 года назад +3

    100% baraka magufuri

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 4 года назад +1

    Jamaa anampatia Sana my Presdaa

  • @hemrodngunga9967
    @hemrodngunga9967 4 года назад +1

    Huyu jamaa yupo vizur

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila1487 3 года назад

    Jaman Anawez😀

  • @mickwealthy500
    @mickwealthy500 4 года назад +2

    Nice work

  • @zuhuranadahhinda1366
    @zuhuranadahhinda1366 4 года назад +1

    Walahi unakipaji ❤️❤️❤️❤️

  • @gapiskills1735
    @gapiskills1735 4 года назад

    Bonyeza ucheki nyingine hii hapa
    m.ruclips.net/video/eScLmlheu2o/видео.html