🍁hii sauti anaipatia sana na vionjo vya mueshimiwa raisi wetu. Kama umegendua ina mamlaka hata kama anafanya "comedy" lkn bado unahisi kama ni Rais mwenyewe anaongea. Hongera sana kijana.🍁
Unajua kuna mda fulani akiwaita viongozi wanashtuka wanajua ni magu kweli mfano akisema mkurugenzi yuko wapi? Basi mkurugenzi anashtuka akijua ni magu kweli!! Haa haa haa baraka unaweza
Kwa kweli..... MAZIWA YA ASASI.... Ni bora Sana, ni NAMBA MOJA Kila nikijaribu mengine.... Mepesi sana, sijui wanawake Maji Ila Asasi wanajitahidi Sana, huwezi kuchukiau, ....safi Sana ASASI endeleeni hivyo hivyo..... Naona hadi prezdaa kawakubali
Kakayangu BARAKA MAGUFULI unapiga kazi nzuri. Ila ukitaka kufanikiwa zaidi fungua acount za RUclips na Instagram. Angalia mwenzako kutoka UGANDA teacher MPAMIRE anakula maisha hongera kaka
Safi Sana baraka.. viongoz wanaitika Sauti ya Rais Magu wala hawakaidi jamani 😂😂 kipaji na ujasiri wako ndio msingi wako.. nakutabiria makubwa zaidi.. maana ninavyoijua serikali haitakuacha hivi hivi..❤️
haki ya Mungu hiki ni kipajiiiii. Kama unaamini Mungu anaweza gonga like hapa
Baraka oyeeeee
🍁hii sauti anaipatia sana na vionjo vya mueshimiwa raisi wetu. Kama umegendua ina mamlaka hata kama anafanya "comedy" lkn bado unahisi kama ni Rais mwenyewe anaongea. Hongera sana kijana.🍁
Unajua kuna mda fulani akiwaita viongozi wanashtuka wanajua ni magu kweli mfano akisema mkurugenzi yuko wapi? Basi mkurugenzi anashtuka akijua ni magu kweli!! Haa haa haa baraka unaweza
Hahahah
Wasije dondoka kwa pressure
Ha ha haaaaa
Nawanainuka kwaheshima kweli 🤣🤣🤣🤣
Nimecheka kweli ameinuka na akainama ishara ya kuheshimu
Yan hapo hao waheshimiwa wanatetemeka wanahisi n magu kabisa 😂😂😂😂😂 dah
Baraka fungua RUclips channel yako tafuta camera man kila unapopita weka videos zako zitakuongezea kipato na kuwa na kabrand kako.
Sure man
Kweli
Hapa umenena
good idea
Aisee umeongea point sanaaa... Ebu atekeleze ushauri wako
Haki ya Mungu jamanii sasa huyu ni raisi auuuuu!!??,Manake nachekaga nikimsikiliza mwenzenuuu ana kazi ya kuwasimamisha viongozi tu na wanasimama😄😄
Tatizo huko kutunzwa tunzwa kutamlemaza akasahau hizi view zetu zilikuwa ni pesa yke. Pia
Fact mkuu
Hii ndo picha ya Magufuli kabsa , atakayekuwa anafuta machozi
Yani kama yeye vile, duh! Aendelee hivihivi hata kama mheshimiwa kaondoka.
Jiandae 2025 mzee Magu akistaafu uendeleze kidogo hata kwa awamu moja tu
Tayari kastaafu Maxima😃😁😄
Kama tangazo la asas lmefka penyewe
Katisha
Mimi nimemkubali baraka magufuli anajua sanaaaaaa kuigiza sauti ya mh magufuli
Kwa kweli..... MAZIWA YA ASASI.... Ni bora Sana, ni NAMBA MOJA
Kila nikijaribu mengine.... Mepesi sana, sijui wanawake Maji
Ila Asasi wanajitahidi Sana, huwezi kuchukiau, ....safi Sana ASASI endeleeni hivyo hivyo..... Naona hadi prezdaa kawakubali
Bod guard tu mimi😂😂😂
We mimi kabisaa pamoja na🤣🤣🤣🤣 kwamba tunamajonzi ya rais😭 wetu
Hawa viongozi safi sana wamerespond vizuri bila dharau.
Wafanya Kazi wangu nyinyi mtakunywa chai Hahahahahaaaaaaaaaaaaaa
Da nimemkubalia sana huyu jamaa yaani hapo kwenye maziwa kafanya bonge la tangazo.Keep it up baraka.
Daaaa!!!
Raia gani anajeuri ya kumuinua mkuu wa mkoa zaid ya huyu dogo magu😁😁😁
Wafanya Kazi wangu nyinyi mtakunywa chai Hahahahahaaaaaaaaaaaaaa
Nimecheka mpaka machoziiii
Ha ha haaaaaaaaaa
hahahaaaaaahaaaaaaaaa
an bulk ko ß2o0ow
pesa an bulk ko 2aào1qan bulk ko an bulk ko
Eti wasaidi wngu nyinyi mtakunywa chai🤣🤣🤣🤣🤣
Penye ukweli uongo ujitenga baraka ndg yetu unaweza sana mwenyezi mungu akupe afya njema
😂😂🤣 uwii jaman huyu jamaaa ni shidaah
Fungua account yako RUclips usiwaze faida waandishi hizi views ni pesa
David Wambura o
David Wambura msaidie nyie wenye upeo,unaweza ona yeye hafahamu kuwa ni pesa hizo
niews 100 ni kias gani
True
That scout behind him took everything so serious 😅
He did his part perfectly well. He looked like a trained soldier
That brown boy in scouts uniform can make a perfect soldier
Kipaji na Ubunifu so perfect
Brother baraka magufuri tishaa sanaa
Hapa anapiga kazi wala sio comedy
Huyu jamaa anajua Mpaka mapozi ya magu aisee
Hii kitu naiangalia mpaka leo 😂😂😂
Tanzania vipaji tunavyo ila ndo havina usimamizi
Nyie huyu kaka nimeamua kumchek baada ya msiba wa Uncle. Duniani wawili wawili..huyu jamaa Mungu azidi kumuinuaa
Mashaalah
🍁Daah huyu jamaa ni noma. Embu fungua tuu RUclips account yako ukusanye hizi video zako uongeze kipato.🍁
Tino upo kaka
@@jameskalolo7795 nipo ndugu yangu
@@jameskalolo7795 0658066777 nicheck kwa number hii ndugu yangu
Uko sawa
Asee kwa Sauti imekaribia sana kufanana ila manenoo ni 100% safi sana. Fuata ushauri wa Smart Technology
Nice speach...... Thumb up broh.
Nayeye ana mlinzi nyuma
Kakayangu BARAKA MAGUFULI unapiga kazi nzuri. Ila ukitaka kufanikiwa zaidi fungua acount za RUclips na Instagram. Angalia mwenzako kutoka UGANDA teacher MPAMIRE anakula maisha hongera kaka
Chee..chee ..chee...Vangoshya...Yaani Magufuli kabisa...Kipaji hicho hakika
Safi Sana baraka.. viongoz wanaitika Sauti ya Rais Magu wala hawakaidi jamani 😂😂 kipaji na ujasiri wako ndio msingi wako.. nakutabiria makubwa zaidi.. maana ninavyoijua serikali haitakuacha hivi hivi..❤️
Wailes Deus ndo isha mwacha hivo kijana
Hahahaha nimecheka sana kuigiza sauti kajisahau kajikuta magufuli tayar
Wasaidizi wangu mtakunywa chai😀
daaaah😂😂😂😂aka kajama bana kananichekesha
safi sana kaka mungu akuongoze sana
Pumzika kwa AMANI mpendwa WETU j p m vita umevipiga mwendo umeumaliza shujaa WETU wa TANZANIA
Safi idumu
Rest In Peace Rais Wetu 😭😭😭😭
Adi raha nakukubari sana Mr.Presedent Baraka Magufuri
Daaah😂😂😂😂 shikamoo mheshimiwa
I like it very impressive...
Hahahahahahaa God bless you brother 🤣🤣🤣🤣, nafurahi sana, magufuli amebarikiwa sana, yaani yuasaidiwa siasa na watu wake,raha sana walai
ruclips.net/video/UWbuppK_p78/видео.html karibu tuangalie video nzuri ya injili usisabau kusubscribe
Huyu jamaa yuko vizuri aisee😂😂
Haha😁😁😁😁
We magu mdogo hicho ni kitambiiii au ni unga wa ngano
Nikimsikiliza Jamaa Anakipaji sana.Mungu Amsimamie Ampe Afya Tele.
Wsaidizi mtakunywa chai 😂😂😂😂
Inabidi sehemu ambazo Magufuli anashindwa kufika anapoalikwa wewe ndo umkaimu maana inaleta Radha inayofananafanana
Kamwene nyalukolo.pongez kwako kama kuna wahehe humu nyoosha mikono juuùuuuù
Baraka magufuli hapa umetisha sana💪
Our next President after John Pombe is Seleman Jaffo.
Yaani wee acha tu siku mwenyew alivyomuonaga alicheka
Huyu jamaa ninouma ana weza
Aisei we we hata JPM akisema amegairi au anastaafu tutakupa wewe
Huyu Jamaa anajielewa
Wasaidizi watakunywa chai khaa joto lote ili
Jaman umenikumbusha baba etu umeniliza sio siri
Safi sana! Ila afupishe kidogo maana inaweza ikawa inabore.
Mara nying anafupisha ila ni hii tyu ndo karefusha,maan katoa zawad ile kidog ndo imerefush
Very creative!!!
Kwa kweli umeweza kuigiza sauti 100 sauti ya magufuli
R I P JPM
vizur ila nimejisikia hadi uzuni RIP magufuli 🙏
Kwanza skauti yuko vizur kanuna kweli kweli
Awe anamsaidia Raisi kufanya kampeni mkoa kwa mkoa
Du huyu jamaa anachekesha eti unawanawake watatu nikwer jafo
Korea kuiqa mnyoo tu warais unauwawa tz raha xana
Dah unauma kwakweli lkn hakuna jins
jamaa unaweza sana
Mashaallah huyu jamaa simchezo
Fungua channel yako wakati ni ukuta wakati unatrend ni wakati wa kujiimalisha kwa channel yako
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀❤️😀❤️❤️❤️❤️❤️❤️ Barak
Hakika ni zaidi ya uchungu
Nakubali 💯
😂😂😂huyu Jamaa anaweza ❤❤❤❤
Anautani na anko maguu😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ndiyo huyo anatoka iringa kwa hyo ni lazima ai2mie hyo nafac ndo utanzania, leo utani umempa maisha
We ndo unautani kwan anatukana? Nidham za woga bhana! Shida kweli.sasa Kama unaona Hadi mawaziri anawaita wanaenda unadhani kakurupuka?
baraka noma
Duh kapatia sana huyu jamaa
Tanzania bana ni,nchii inayo sapot sana ujinga 😁 ,😀
Ana bodyguard Jamaa... Dah
Hahaha... safi sana!!
#Millard Ayo . Nahisi Jafo ndie raisi ajae
Uko vizuri Baraka
Feb 2021 watching this
Mpangilio wa speech 100%
Kabisa yani
usimalize bajeti ya Ikulu😂😂😂😂😂
Safi baraka
😂😂😂😂 hapo kwenye msisitizo wa mahusiano mazuri ni amaizing sana!!
baraka hujawahi kuniangusha,dah unajua kaka!
100% baraka magufuri
Jamaa anampatia Sana my Presdaa
Huyu jamaa yupo vizur
Jaman Anawez😀
Nice work
Walahi unakipaji ❤️❤️❤️❤️
Bonyeza ucheki nyingine hii hapa
m.ruclips.net/video/eScLmlheu2o/видео.html