Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Ambaye anamkubali huyu jamaa like zake hapa tafadhali
Furahini Mbwambo anaweza
Gd xn
@@magretyamanyisye5151 my love and you are the pikipiki my love and you are not going me to come over
Napenda sana mahubir yake
Da! Huyu jamaa nomaaa sana, nimemvulia kofia kuliko wote niliowahikuwasikia kwenye hii fani. Respect Bro
Kabisaa
Masanja na senga ndo anawezea zaidi jamani, dahhhhhhhhh, kila mtu na kipaji chake
Wote ameweza sana hata Jk 90%
Dahh yaaani Mungu utukuzwe kweli, maaana uumbaji wako niwaajabu. Asante Mungu.
Hahaa, kweli watu wanazo vipaji kweli-kweli, evangelist benard from kenya..... I like this
Jamaa yuko vzr sana,,Big up brother
This man so talented i admire it!
Shafii Mungu akuongoze brother
Jamaa anaweza sanaa masanja msaidie sana huyu ndugu.
This guy is talented, big up brother
Huyu jamaa ni talented @fundi
Uyu jamaa anaweza kaka msaidie, usimtupe, 😘😘😍😍😀😀😁😂 masanja umebarikiwa sana Amen
Wooooow huyu jamaa ni nouma .brother una kipaji .love mingi from st Louis 🇺🇸
Masanja 100magufur 100kikwete 95nyerere 85senga 100
Masanja Ndio Anampatia Kabisa Sauti Og
Kusema za ukweli jamani huyu kaka anakipaji sana. MUNGU Amuweke miaka 10000
Dogo we mkali Sana Mungu akuongoze ktk kipaji chako Aamin🙏🙏🙏🙏
Very talented boy tz is home talents
Sijajua Kama kila ulalapo unamshukuru Mungu kwa kipawa alichokupa! Big up Sana.
Leo ndo nimekukubali, unaweza
Kwa Kikwete na kwa masanja umetosha sanaaa tuu
You’re more than a million keep it up and God bless you
Masanja 100%Senga 100% Kikwete 98%Nyerere 90%Magufur 85%Pembe 70%
Jamaa mkali
Duu wewe noma 100% inatakiwa akopi kila kitu
Hahahahah we nawe unapiga nyayo mule mule huachi
ENOSH MHEMA KAPAYA zote 'A'
Naungana na wewe
Huyu jamaaa nihatari sanaaaaaaa hii talent marekani angekuwa tajiro maana angefanya Sana voice over
He is very talented, God bless him
Masanja 100%Senga 100%
Huyu jamaa n hatari xana Zaid ya xana!!!❤️❤️❤️❤️
Igwe Igwe 👏👏👏👏 masanja mwenyewe..how does he do it..amazing 🔥🔥🔥
Igweeeee
Kweli tunapoelekea viongozi watabakia ofisini nchi itaongozwa na waigizaji.
100/1000 💪🏾🇧🇮 uyu jama nomaa kabisa.
Huyu jamaa ckujua kma ana kipaji hivii 😂😂
Anastahili kupewa uwaziri huyu jamaa ametishaaaa
Yani kanichekesha Sana yupo vizuri
Hongela Sana upo vizuri kaka
The guy gat talent
Kaka tunaweza hongera sana
Huyu jamaa engeener wa sauti anastaili zawad 😂😂😂😂😂😂😂📣📣📣📣📣📢📢📢📢au volume haitosh
noma sana aisee
Kweli kabisa
Noumaaaaa
Mwana anajuaa
Vincent Auxerbius mambo vip
Kwa Masanja 🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Duuuh ♨🔥🔥🔥🔥
Wow 🤩 very talented impressionist!!!
Hongera sana kwa kipaji sema kwa sauti ya magufuli bado tumuachie baraka magufuli 😂😂
Sure
Jamaa uko vzr yaani hutoki kweny point ya kila unaemwigiza
Hongera San uko vinzuri san
Very talented brother 👏👏 God bless u
Nafurahi kuendelea kukuona unapasua mawimbi best... Ulipo toka ni mbali
Kipaji chake Cha sauti kimeficha SAUTI YAKE HALISI😂🤞🤣
Safi sana ***** five star zote zako mchekeshaji wetu.
Masanja100%, senga100%,kikwete97%,magufuri,95% pembe80%
Jamaa acha aitwe jamaa huyu jamaa anaweza kukuibia kiraiiiiiiiisi!
masanja 100%senga 100%nyerere90%kikwete 85%JPM 85%
He's talented for sure Tanzania up
Talented
Kikwete 💯 senga 💯 Masanja 💯
New Tanzanian king 👑 of comedians 🤣🤣😂😂👌👌🙌
100+masanja100+joti100+macregani100+mawalim nyerer100+jk kikwete100+John pombe magufuliumetixha xana brother jk comedy
More than all fantastic
Daaah hongera saana bro
Kikwete kampatia hadi swaga
Sana yani
Jamaa anajua kumuiga rais makufuli. Amempatia sana.
Bw. Mkubwa Njoo Kenya Una Zawadi yangu kama Kigogo🔥
Unasema?
Dyuuu bro uko juu you are gifted
Aiseeee kwa magu umepatia doh hongela kaka
NAOMBA NIKUALIKEHabari naitwa Hero msanii wa muziki naomba nikualike kutizama na kusapoti video ya mziki wangu mpya nao uzindua leo rasmi kwa ku SUBSCRIBE naomba SUSCRIBE yako shabiki wangu GUSA hapa kuona ruclips.net/video/kHp-9wK9Tyw/видео.html
Imekaa poa bonge la talent
Masanja na Senga,katoa kopi
Umetisha sana mzee baba kwa masanja na senga
Hongera sna broo kwamasanaja na senga Umenifurahisha sna kaka
Masshallah una kipaji
Hongera sana sana uko vizuri
Anajua
This man so talented i admire it
Duuh umenishinda tabia upo vzr
Jk & Masanja =100%
Hongera kwake Mungu amjalie kipaji chake
Yaap 100% perfect!!!
Umeiweza sana ya magufuri
huyu jamaa anaweza asee...ana sauti kibao big up sana kwake
Hongera Dana uko vizuri mno
Jaman wa2 na vpaj vyao
Hongera kaka unaweza xana
so talented..
Unajua broh
More Fantansic
Hongeraaa
Umetisha kila sehemu
Safiiiiii SANA UNAPATIAA WEEEE
Huyu ni noma baraka asijisumbue
Jamaa ana kipaji aisee
Balaa
Rare Talent
hunasababu yakugawa asilimia uyu jamaa mpe haki yake,anajua
Kipajiiiiiiii
Huyu mwamba mbish😂😂😂
Hvi anaikumbuka hata sauti yake kwel?😂😂
. Mjomba umetisha sana!
Salute jamaa unajua aiseh
😂😂😂😂😂100 kwa 100 uko huh sana usikanyage chini
Una kipaji Mungu akuzidishie bro
umetisha knoma😀😀😀😀
Jamaa ana kipaji sana
Huyu jamaa ni noma kwelikweli,yaan anatoa kopi ya Masanja,Magufuli na Kikwete
Anaweza sana
Very talented
Safi sana mzee
Uko vizurii aixee
Binafs namkubali sana huyu jamaa ! yaani 100%
Huyu jamaa alisahau sauti ya mama Lwakatale jamaa anatisha usipime
Hakika
kweli wenoma
Ya kikwete hapsna masanja sawa
Magu sawa mia kwa mia
Ahahaaa
Ambaye anamkubali huyu jamaa like zake hapa tafadhali
Furahini Mbwambo anaweza
Gd xn
@@magretyamanyisye5151 my love and you are the pikipiki my love and you are not going me to come over
Napenda sana mahubir yake
Da! Huyu jamaa nomaaa sana, nimemvulia kofia kuliko wote niliowahikuwasikia kwenye hii fani. Respect Bro
Kabisaa
Masanja na senga ndo anawezea zaidi jamani, dahhhhhhhhh, kila mtu na kipaji chake
Wote ameweza sana hata Jk 90%
Dahh yaaani Mungu utukuzwe kweli, maaana uumbaji wako niwaajabu. Asante Mungu.
Hahaa, kweli watu wanazo vipaji kweli-kweli, evangelist benard from kenya..... I like this
Jamaa yuko vzr sana,,
Big up brother
This man so talented i admire it!
Shafii Mungu akuongoze brother
Jamaa anaweza sanaa masanja msaidie sana huyu ndugu.
This guy is talented, big up brother
Huyu jamaa ni talented @fundi
Uyu jamaa anaweza kaka msaidie, usimtupe, 😘😘😍😍😀😀😁😂 masanja umebarikiwa sana Amen
Wooooow huyu jamaa ni nouma .brother una kipaji .love mingi from st Louis 🇺🇸
Masanja 100
magufur 100
kikwete 95
nyerere 85
senga 100
Masanja Ndio Anampatia Kabisa Sauti Og
Kusema za ukweli jamani huyu kaka anakipaji sana. MUNGU Amuweke miaka 10000
Dogo we mkali Sana Mungu akuongoze ktk kipaji chako Aamin🙏🙏🙏🙏
Very talented boy tz is home talents
Sijajua Kama kila ulalapo unamshukuru Mungu kwa kipawa alichokupa! Big up Sana.
Leo ndo nimekukubali, unaweza
Kwa Kikwete na kwa masanja umetosha sanaaa tuu
You’re more than a million keep it up and God bless you
Masanja 100%
Senga 100%
Kikwete 98%
Nyerere 90%
Magufur 85%
Pembe 70%
Jamaa mkali
Duu wewe noma 100% inatakiwa akopi kila kitu
Hahahahah we nawe unapiga nyayo mule mule huachi
ENOSH MHEMA KAPAYA zote 'A'
Naungana na wewe
Huyu jamaaa nihatari sanaaaaaaa hii talent marekani angekuwa tajiro maana angefanya Sana voice over
He is very talented, God bless him
Masanja 100%
Senga 100%
Huyu jamaa n hatari xana Zaid ya xana!!!❤️❤️❤️❤️
Igwe Igwe 👏👏👏👏 masanja mwenyewe..how does he do it..amazing 🔥🔥🔥
Igweeeee
Kweli tunapoelekea viongozi watabakia ofisini nchi itaongozwa na waigizaji.
100/1000 💪🏾🇧🇮 uyu jama nomaa kabisa.
Huyu jamaa ckujua kma ana kipaji hivii 😂😂
Anastahili kupewa uwaziri huyu jamaa ametishaaaa
Yani kanichekesha Sana yupo vizuri
Hongela Sana upo vizuri kaka
The guy gat talent
Kaka tunaweza hongera sana
Huyu jamaa engeener wa sauti anastaili zawad 😂😂😂😂😂😂😂📣📣📣📣📣📢📢📢📢au volume haitosh
noma sana aisee
Kweli kabisa
Noumaaaaa
Mwana anajuaa
Vincent Auxerbius mambo vip
Kwa Masanja 🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Duuuh ♨🔥🔥🔥🔥
Wow 🤩 very talented impressionist!!!
Hongera sana kwa kipaji sema kwa sauti ya magufuli bado tumuachie baraka magufuli 😂😂
Sure
Jamaa uko vzr yaani hutoki kweny point ya kila unaemwigiza
Hongera San uko vinzuri san
Very talented brother 👏👏 God bless u
Nafurahi kuendelea kukuona unapasua mawimbi best... Ulipo toka ni mbali
Kipaji chake Cha sauti kimeficha SAUTI YAKE HALISI😂🤞🤣
Safi sana ***** five star zote zako mchekeshaji wetu.
Masanja100%, senga100%,kikwete97%,magufuri,95% pembe80%
Jamaa acha aitwe jamaa huyu jamaa anaweza kukuibia kiraiiiiiiiisi!
masanja 100%
senga 100%
nyerere90%
kikwete 85%
JPM 85%
He's talented for sure Tanzania up
Talented
Kikwete 💯 senga 💯 Masanja 💯
New Tanzanian king 👑 of comedians 🤣🤣😂😂👌👌🙌
100+masanja
100+joti
100+macregani
100+mawalim nyerer
100+jk kikwete
100+John pombe magufuli
umetixha xana brother jk comedy
More than all fantastic
Daaah hongera saana bro
Kikwete kampatia hadi swaga
Sana yani
Jamaa anajua kumuiga rais makufuli. Amempatia sana.
Bw. Mkubwa Njoo Kenya Una Zawadi yangu kama Kigogo🔥
Unasema?
Dyuuu bro uko juu you are gifted
Aiseeee kwa magu umepatia doh hongela kaka
NAOMBA NIKUALIKE
Habari naitwa Hero msanii wa muziki naomba nikualike kutizama na kusapoti video ya mziki wangu mpya nao uzindua leo rasmi kwa ku SUBSCRIBE naomba SUSCRIBE yako shabiki wangu GUSA hapa kuona ruclips.net/video/kHp-9wK9Tyw/видео.html
Imekaa poa bonge la talent
Masanja na Senga,katoa kopi
Umetisha sana mzee baba kwa masanja na senga
Hongera sna broo kwamasanaja na senga Umenifurahisha sna kaka
Masshallah una kipaji
Hongera sana sana uko vizuri
Anajua
This man so talented i admire it
Duuh umenishinda tabia upo vzr
Jk & Masanja =100%
Hongera kwake Mungu amjalie kipaji chake
Yaap 100% perfect!!!
Umeiweza sana ya magufuri
huyu jamaa anaweza asee...ana sauti kibao big up sana kwake
Hongera Dana uko vizuri mno
Jaman wa2 na vpaj vyao
Hongera kaka unaweza xana
so talented..
Unajua broh
More Fantansic
Hongeraaa
Umetisha kila sehemu
Safiiiiii SANA UNAPATIAA WEEEE
Huyu ni noma baraka asijisumbue
Jamaa ana kipaji aisee
Balaa
Rare Talent
hunasababu yakugawa asilimia uyu jamaa mpe haki yake,anajua
Kipajiiiiiiii
Huyu mwamba mbish😂😂😂
Hvi anaikumbuka hata sauti yake kwel?😂😂
. Mjomba umetisha sana!
Salute jamaa unajua aiseh
😂😂😂😂😂100 kwa 100 uko huh sana usikanyage chini
Una kipaji Mungu akuzidishie bro
umetisha knoma😀😀😀😀
Jamaa ana kipaji sana
Huyu jamaa ni noma kwelikweli,yaan anatoa kopi ya Masanja,Magufuli na Kikwete
Anaweza sana
Very talented
Safi sana mzee
Uko vizurii aixee
Binafs namkubali sana huyu jamaa ! yaani 100%
Huyu jamaa alisahau sauti ya mama Lwakatale jamaa anatisha usipime
Hakika
kweli wenoma
Ya kikwete hapsna masanja sawa
Magu sawa mia kwa mia
Ahahaaa