Sema huyu Joti nyie mpeni maua yake akiwa bado yupo ujue.. hii ni tunu ya taifa katika uwanja huu wa comedy msichukulie poa ujue wanangu this guy is a gift from God and you guys I don't know if you have realized this guy is something to keeping praying for... Just imagine jamaa anacheza kama Andunje,Kiboga,Nishai,Mpemba na babu and both of them anazitendea haki oyaa wee this ninja here is a legacy No doubt ✅
Watanzania Tuna Kipaji cha Uchekeshaji na hata ndgu zetu Kenya and UGANDA... Nimependa New actors waliokuepo tunahitaji Liquidity ya wasanii kwa njia kama hizi
Hatukatai Tanzania yetu ina waigizaji wengi wazuri kwenye comedy lakini huyu bwana ni hatari na nusu🤩 joti your the best brother
Sure uchoki kumuangalia
Naombeni na mimi leo nipate likes ata tano 😂
Umepata 50😊
Za nn sasa
@@iqramaxamed474😅
Zimezidi zingine rudisha 🤣🤣🤣
Chukua
Mnavyoshikana shika mnanikomaza 😂😂😂😂😃😃😅😅😆😆
Duh msingi wa samaki oyeeeee, halafu mzee kaleta mizinguo.....
Huyu mama Yuko active ktk scene zake🔥🔥🔥🔥🔥✊🏽
Joti uki act kama mtoto mdogo unatoka vizuri kuliko ku act kama mwanamke☺👏👏👏
Jamani nani amevuka mwaka nakuiona January likes za KUTOSHA HAPA
The best comedy this January. Safi sana hapa Joti kaonyesha uwezo wake na hasa kushirikisha hao wasanii wengine maarufu imenoga balaa
Majirani,Majirani,njooni Baba anapigwa na Mama.Joti wewe kiboko na hujawahi kuwaangusha mafans wako.Keep it up.
Joti is a best🙌🙌 mashallah 😂😂😂
Sisi kwenye ukoo wetu tuna unyani nyani na upakaupaka😂😂😂
Sema huyu Joti nyie mpeni maua yake akiwa bado yupo ujue.. hii ni tunu ya taifa katika uwanja huu wa comedy msichukulie poa ujue wanangu this guy is a gift from God and you guys I don't know if you have realized this guy is something to keeping praying for... Just imagine jamaa anacheza kama Andunje,Kiboga,Nishai,Mpemba na babu and both of them anazitendea haki oyaa wee this ninja here is a legacy No doubt ✅
Baba hana mipango..Ona anavyonitolea macho hakyaMungu me nasema..Joti tisha sana🔥🔥😂😂
Wakina mama oyeeeee 👏👏👏🥰🥰🔥🔥🔥
Wakwanza leo, we love you Joti❤️❤️
He is very creative and talented
Creativity
Waigizaji classic sahv naona wanaingia pia
What a combination 😍
Kabisa aisew
Exactly 💯
indeed
Waoo hongera joti kwakuwaongeza wazee hao.mpo vzr sana
Mama angu anauza samaki,baba ana honga😂😂
nampends sana jot sichoki kumfuatilia
Joti wewe kuku define we need albert Einstein 😂😂😂😂 you the best
Brother wewe ni zaidi ya talent tulizo nazo bongo 🔥🔥🔥👊🏽👊🏽
Joti the king of comedian uko sawa broo keep it up
👏👏👏Hogeren kwa kazi nzuri, mnastahili kupewa 🏅🏆🏅🏆
Mali ya mama ya liwa hio🤣🤣🤣50 imetoka kilaini bila jasho achana na hivi viumbe🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂akili ya baba adunje nikama haina akili..mama adunje kasema😂😂😂💔
Msingi wa samaki hoyeeee 😂😂😂😂
Kazi nzur sana nimeipenda kama na wewe umeipenda kama mimi kuna zawadi ya nyimbo kali njoo kwenye account yang
Jamani naombeni liki mia tano apa Leo😂😂
Thank you 💕 Mr Jot love from Rwanda 🇷🇼 tunakupenda
Kila mtu wakwanza yeye basi wamwisho ni Mimi 😆😆
Joti A.K.A Andunje the best comedy🤣
Joti ni king wa comedy Tz nimecheka Sana 😂😂😂😂😂😂
Never disappoint Jotiiii 🔥
mashaallah yaani hata kama namawazo lazima ucheke asante joti
Joti mtu kazi like zangu jamani mambo ni ❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Thank you Joti, a superb New Year present! Well spiced.
Dhuu na Mimi naombeni like zenu jmn dhuu 😁
Baba mjue mnanikomaza😁😁😁😁,Yaani nazinguka,😁😁😁 eti Baba analainika🤣🤣🤣🤣eti Ada yangu inapasuka🤣🤣🤣🤣
🤣🤣Daah huyu mwamba ni balaa sana 🇹🇿
Nimecheka kifala sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣nyumba ndogo imekula ada.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Andunje mmbea jamani 😂😂😂 unashangilia baba kupigwa 😅😅
Si humor es contagioso
..que genial joty 💞💞💞😁😁😁💫🇦🇷🇦🇷 buenas noches
Tulio angalia clip hii mara nyingi nyingi tujuane kwa likes 😂😂😂😂😂😂
Mimiapa 🤣🤣👍
Joti www ufungwee kbs nimecheka mpaka napaliwa 🤣😅😆😀😃😃😄😄🤣😅😆
Duuu nmecheka kwakwer
Kwa familia yetu tuna unyani Na upakapaka🙉😸
Joti is the best , tuna unyani na upakaupaka 🤣🤣🤣
Daaah Pua ya Mbwa imewakosea nini joti😀😀😀
Joti respect from Burundi 🇧🇮🇧🇮
Aisee jot Ni balaa😂😂😂 Best comedian huna mpingamizi unaweza
Huyo mwanafuzi na izo nywere
Mama Anduje:
Baba Anduje mbona akili zako hazina akili 😂😂😂😂😂😂😂....
Bro Lucas ur unstoppable 😄😅😂😂😂😅😂😅😂😂
yani joti kibiko
aduje hatari mzee kalowana
🤣😂🤣🤣🤣 KWEL NJANUARI ILA JOTI UNAJUA WALLAHI
Muda wa kuwaona walimu wabaya ndio ushafika👌👌👌🔊🔊🔊
Noma Sana shukrani joti u never disappoint
Joti mwamba sana ....your the best
Ada ishahongwa 😄
Kwani mimi mbona sipati like za joti🤔🤔
Joti maliza mwenyewe iyo kesi majirani wa nini sasa😂😂😂😂😂Big up ❤🔥
Nakubari sana jamaa fundi sana😂😂😂😂
Kuna waigizaji halafu kuna huyu mama..aiseee eeeh balaaa huyu mama ni nyoko SHIKAMOO BIMKUBWA 🙌🙌
😂😂 napenda hizi za shule 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimecheka jmn uwiii no one lyk u jotiiiiiii❤❤
Joti ni moto ❤️🔥❤️🔥❤️🔥
best comedian
Mimi nimekamilisha 200k naomba like zangu
Familia ina unyani na upaka paka🤣🙌🙌jotinho 😂😂
llll
Msingi wa samaki oyeeee 😃😃😃 baba Hana ata mipango
Mnavoshikana hivo mnanikomaza mjue
Unyani na upaka paka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Haha🤣🤣🤣 mzee kakamatika
Pilau tulikua tunaungvaunga kwa majirani,,, bars🤣🤣🤣🤣
Nipeni likes zanguu janiii
Wa kwanza me from Drc 👌👌
Mashallah Joti 💯 🤣🤣🤣🤣🤣
Watanzania Tuna Kipaji cha Uchekeshaji na hata ndgu zetu Kenya and UGANDA... Nimependa New actors waliokuepo tunahitaji Liquidity ya wasanii kwa njia kama hizi
Safiii sanaaa nakukubaliiiu
Acha tukaribishe mwaka mpya InshaAllah 2023 welcome
Joti never disappoint
kumbe unapendaa😂😂😂😂😂😂
Jaman mim sijawahi pata like ata moja naomben like ata 3
Eti kwenye familia yetu Kuna unyani na upakapaka😂😂
Behind ucheshi kuna ukweli ndani yake. Pole mama andunje mumewe kakuangusha
Jotiii kama jotiiii fire
Joti umefanyaa nicheke kwl na niangalie mara mbili mbilii et mm ni mwalimu mm mwanafunzi,upande wa baba na mjomb tuna unyani na upwaka pwaka😂😂😂😂😂
Jmn yan wew andunje ungekuw unaigiz hv Kila siku mm ningekuw nacheka ty Kila siku 😂😂
Joti kweli we commend hatari ssna nakupenda sana😁😁❤❤👍👍👍❤
Joti huyu mzee usimwache,anakipaji mno
Huyo Mzee ni mwigizaji WA Muda mrefu sana
joti is the best
jot mwamba wa wachekeshaji unyani na upaka paka
😄😄eti katika família yetu...kuna unyani na upakapaka😄😄😄🤭esse gajo é mau
Wadau like hata moja team joti 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
😂😂😂 tumekula mapilau ila yakuunga unga kwa majirani
Hahhahahahahah antena zinanyanyuka😂😂😂😂😂
Tuna unyani na upakapaka ✋✋😂😂😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🤣🤣🤣🤣🤣
Andunje kwa Mara ya Kwanza Leo naona Kaipenda Shule