NJANUARI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 617

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 Год назад +60

    Hatukatai Tanzania yetu ina waigizaji wengi wazuri kwenye comedy lakini huyu bwana ni hatari na nusu🤩 joti your the best brother

  • @princesigala9382
    @princesigala9382 Год назад +504

    Naombeni na mimi leo nipate likes ata tano 😂

  • @peterstanslaus2477
    @peterstanslaus2477 Год назад +4

    Mnavyoshikana shika mnanikomaza 😂😂😂😂😃😃😅😅😆😆

  • @henrykagiso2533
    @henrykagiso2533 Год назад +3

    Duh msingi wa samaki oyeeeee, halafu mzee kaleta mizinguo.....

  • @emmanuelchilimo
    @emmanuelchilimo Год назад +48

    Huyu mama Yuko active ktk scene zake🔥🔥🔥🔥🔥✊🏽

  • @rukiyacutelady4796
    @rukiyacutelady4796 Год назад +24

    Joti uki act kama mtoto mdogo unatoka vizuri kuliko ku act kama mwanamke☺👏👏👏

  • @emmanuelmtonyole9958
    @emmanuelmtonyole9958 Год назад +70

    Jamani nani amevuka mwaka nakuiona January likes za KUTOSHA HAPA

  • @godymastermind9534
    @godymastermind9534 Год назад +16

    The best comedy this January. Safi sana hapa Joti kaonyesha uwezo wake na hasa kushirikisha hao wasanii wengine maarufu imenoga balaa

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia4140 Год назад +30

    Majirani,Majirani,njooni Baba anapigwa na Mama.Joti wewe kiboko na hujawahi kuwaangusha mafans wako.Keep it up.

  • @hamisahakim4926
    @hamisahakim4926 Год назад +117

    Joti is a best🙌🙌 mashallah 😂😂😂

  • @frowinmgimba8513
    @frowinmgimba8513 Год назад +4

    Sisi kwenye ukoo wetu tuna unyani nyani na upakaupaka😂😂😂

  • @stiffmenake4700
    @stiffmenake4700 Год назад +4

    Sema huyu Joti nyie mpeni maua yake akiwa bado yupo ujue.. hii ni tunu ya taifa katika uwanja huu wa comedy msichukulie poa ujue wanangu this guy is a gift from God and you guys I don't know if you have realized this guy is something to keeping praying for... Just imagine jamaa anacheza kama Andunje,Kiboga,Nishai,Mpemba na babu and both of them anazitendea haki oyaa wee this ninja here is a legacy No doubt ✅

  • @meckgeorge6224
    @meckgeorge6224 Год назад +7

    Baba hana mipango..Ona anavyonitolea macho hakyaMungu me nasema..Joti tisha sana🔥🔥😂😂

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Год назад +16

    Wakina mama oyeeeee 👏👏👏🥰🥰🔥🔥🔥

  • @momscute4550
    @momscute4550 Год назад +51

    Wakwanza leo, we love you Joti❤️❤️

  • @justinekaroli9573
    @justinekaroli9573 Год назад +62

    He is very creative and talented

  • @erickjohn9345
    @erickjohn9345 Год назад +1

    Waigizaji classic sahv naona wanaingia pia

  • @mudathirkhelef
    @mudathirkhelef Год назад +62

    What a combination 😍

  • @shelomaday4633
    @shelomaday4633 Год назад +9

    Waoo hongera joti kwakuwaongeza wazee hao.mpo vzr sana

  • @YoungboyNeverBrokeAgain3845
    @YoungboyNeverBrokeAgain3845 Год назад +9

    Mama angu anauza samaki,baba ana honga😂😂

  • @selemanimisalaba
    @selemanimisalaba 5 месяцев назад +1

    nampends sana jot sichoki kumfuatilia

  • @user-mh9qg1bo2y
    @user-mh9qg1bo2y 10 месяцев назад +2

    Joti wewe kuku define we need albert Einstein 😂😂😂😂 you the best

  • @musaomary6128
    @musaomary6128 Год назад +15

    Brother wewe ni zaidi ya talent tulizo nazo bongo 🔥🔥🔥👊🏽👊🏽

  • @rukiacharo2688
    @rukiacharo2688 Год назад +15

    Joti the king of comedian uko sawa broo keep it up

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs4330 Год назад +9

    👏👏👏Hogeren kwa kazi nzuri, mnastahili kupewa 🏅🏆🏅🏆

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Год назад +10

    Mali ya mama ya liwa hio🤣🤣🤣50 imetoka kilaini bila jasho achana na hivi viumbe🤣🤣🤣🤣

  • @shadyarif653
    @shadyarif653 Год назад +25

    😂😂😂😂akili ya baba adunje nikama haina akili..mama adunje kasema😂😂😂💔

  • @victorkadiriashayo2791
    @victorkadiriashayo2791 Год назад +11

    Msingi wa samaki hoyeeee 😂😂😂😂

  • @silvandaddy
    @silvandaddy Год назад +4

    Kazi nzur sana nimeipenda kama na wewe umeipenda kama mimi kuna zawadi ya nyimbo kali njoo kwenye account yang

  • @harvaboy
    @harvaboy Год назад +8

    Jamani naombeni liki mia tano apa Leo😂😂

  • @aresdadu
    @aresdadu Год назад +9

    Thank you 💕 Mr Jot love from Rwanda 🇷🇼 tunakupenda

  • @elizabethkabanda4105
    @elizabethkabanda4105 Год назад +33

    Kila mtu wakwanza yeye basi wamwisho ni Mimi 😆😆

  • @saidfela7579
    @saidfela7579 Год назад +5

    Joti A.K.A Andunje the best comedy🤣

  • @malakimoses6115
    @malakimoses6115 Год назад +6

    Joti ni king wa comedy Tz nimecheka Sana 😂😂😂😂😂😂

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Год назад +30

    Never disappoint Jotiiii 🔥

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Год назад

    mashaallah yaani hata kama namawazo lazima ucheke asante joti

  • @noelydembe5040
    @noelydembe5040 Год назад +46

    Joti mtu kazi like zangu jamani mambo ni ❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥

  • @ibrahimadam8623
    @ibrahimadam8623 Год назад +10

    Thank you Joti, a superb New Year present! Well spiced.

  • @kaundajonas7531
    @kaundajonas7531 Год назад +1

    Dhuu na Mimi naombeni like zenu jmn dhuu 😁

  • @ndayisengaamissi6102
    @ndayisengaamissi6102 Год назад +9

    Baba mjue mnanikomaza😁😁😁😁,Yaani nazinguka,😁😁😁 eti Baba analainika🤣🤣🤣🤣eti Ada yangu inapasuka🤣🤣🤣🤣

  • @dailylifetz
    @dailylifetz Год назад +21

    🤣🤣Daah huyu mwamba ni balaa sana 🇹🇿

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Год назад +9

    Nimecheka kifala sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣nyumba ndogo imekula ada.

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @agnesbasistian9248
    @agnesbasistian9248 Год назад +7

    Andunje mmbea jamani 😂😂😂 unashangilia baba kupigwa 😅😅

  • @NUH23
    @NUH23 Год назад +8

    Si humor es contagioso
    ..que genial joty 💞💞💞😁😁😁💫🇦🇷🇦🇷 buenas noches

  • @alexiddtv
    @alexiddtv Год назад +84

    Tulio angalia clip hii mara nyingi nyingi tujuane kwa likes 😂😂😂😂😂😂

  • @zackygomez1241
    @zackygomez1241 Год назад

    Joti www ufungwee kbs nimecheka mpaka napaliwa 🤣😅😆😀😃😃😄😄🤣😅😆

  • @reinatave780
    @reinatave780 Год назад +2

    Duuu nmecheka kwakwer

  • @martinmuthii1900
    @martinmuthii1900 Год назад +5

    Kwa familia yetu tuna unyani Na upakapaka🙉😸

  • @realzeflin6433
    @realzeflin6433 Год назад +5

    Joti is the best , tuna unyani na upakaupaka 🤣🤣🤣

  • @gebochuma9000
    @gebochuma9000 Год назад +6

    Daaah Pua ya Mbwa imewakosea nini joti😀😀😀

  • @chrismuganwa8634
    @chrismuganwa8634 Год назад +3

    Joti respect from Burundi 🇧🇮🇧🇮

  • @episonfelician7670
    @episonfelician7670 Год назад +16

    Aisee jot Ni balaa😂😂😂 Best comedian huna mpingamizi unaweza

  • @ahmedjuma8664
    @ahmedjuma8664 Год назад +1

    Huyo mwanafuzi na izo nywere

  • @mpokimathias6780
    @mpokimathias6780 Год назад +3

    Mama Anduje:
    Baba Anduje mbona akili zako hazina akili 😂😂😂😂😂😂😂....

  • @peterjanuary429
    @peterjanuary429 Год назад +5

    Bro Lucas ur unstoppable 😄😅😂😂😂😅😂😅😂😂

  • @selemanimisalaba
    @selemanimisalaba 5 месяцев назад +1

    aduje hatari mzee kalowana

  • @mansourally91
    @mansourally91 Год назад +6

    🤣😂🤣🤣🤣 KWEL NJANUARI ILA JOTI UNAJUA WALLAHI

  • @adolphdamas3189
    @adolphdamas3189 Год назад +5

    Muda wa kuwaona walimu wabaya ndio ushafika👌👌👌🔊🔊🔊

  • @ericmunoru622
    @ericmunoru622 Год назад +5

    Noma Sana shukrani joti u never disappoint

  • @denisyohana8104
    @denisyohana8104 Год назад +1

    Joti mwamba sana ....your the best

  • @omarkibwanabaluna2410
    @omarkibwanabaluna2410 Год назад +3

    Ada ishahongwa 😄

  • @rukiasultan716
    @rukiasultan716 Год назад +2

    Kwani mimi mbona sipati like za joti🤔🤔

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 Год назад +7

    Joti maliza mwenyewe iyo kesi majirani wa nini sasa😂😂😂😂😂Big up ❤🔥

  • @rakaytff2096
    @rakaytff2096 Месяц назад

    Nakubari sana jamaa fundi sana😂😂😂😂

  • @fazel_African
    @fazel_African Год назад

    Kuna waigizaji halafu kuna huyu mama..aiseee eeeh balaaa huyu mama ni nyoko SHIKAMOO BIMKUBWA 🙌🙌

  • @mche653
    @mche653 Год назад +1

    😂😂 napenda hizi za shule 😂😂

  • @tabuhatibu6496
    @tabuhatibu6496 Год назад +15

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimecheka jmn uwiii no one lyk u jotiiiiiii❤❤

  • @sajomathias8003
    @sajomathias8003 Год назад +6

    Joti ni moto ❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥

  • @afterx3172
    @afterx3172 Год назад +11

    best comedian

  • @mkojanielectricalsolution1195
    @mkojanielectricalsolution1195 Год назад +1

    Mimi nimekamilisha 200k naomba like zangu

  • @ibrahimuselemani4076
    @ibrahimuselemani4076 Год назад +12

    Familia ina unyani na upaka paka🤣🙌🙌jotinho 😂😂

  • @yohanalukindo3737
    @yohanalukindo3737 Год назад

    Msingi wa samaki oyeeee 😃😃😃 baba Hana ata mipango

  • @minaselemani1772
    @minaselemani1772 10 месяцев назад +1

    Mnavoshikana hivo mnanikomaza mjue

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 Год назад +4

    Unyani na upaka paka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ayubunicolauszakalia8810
    @ayubunicolauszakalia8810 Год назад +4

    Haha🤣🤣🤣 mzee kakamatika

  • @lewiskombole2917
    @lewiskombole2917 Год назад +1

    Pilau tulikua tunaungvaunga kwa majirani,,, bars🤣🤣🤣🤣

  • @phiniaskishenyi297
    @phiniaskishenyi297 Год назад +17

    Nipeni likes zanguu janiii

  • @Lewinglovbi6699
    @Lewinglovbi6699 Год назад +9

    Wa kwanza me from Drc 👌👌

  • @rehemafredrick7794
    @rehemafredrick7794 Год назад +5

    Mashallah Joti 💯 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @zanzibarspice8686
    @zanzibarspice8686 Год назад

    Watanzania Tuna Kipaji cha Uchekeshaji na hata ndgu zetu Kenya and UGANDA... Nimependa New actors waliokuepo tunahitaji Liquidity ya wasanii kwa njia kama hizi

  • @abdulspoultryfarm8244
    @abdulspoultryfarm8244 Год назад

    Safiii sanaaa nakukubaliiiu

  • @Notorias
    @Notorias Год назад +2

    Acha tukaribishe mwaka mpya InshaAllah 2023 welcome

  • @bluechater
    @bluechater Год назад +13

    Joti never disappoint

  • @tracyjohn2957
    @tracyjohn2957 Год назад +8

    kumbe unapendaa😂😂😂😂😂😂

  • @sidesidevunjabei882
    @sidesidevunjabei882 Год назад +2

    Jaman mim sijawahi pata like ata moja naomben like ata 3

  • @emerusengeinnocent8519
    @emerusengeinnocent8519 7 месяцев назад +1

    Eti kwenye familia yetu Kuna unyani na upakapaka😂😂

  • @misscrypto481
    @misscrypto481 Год назад

    Behind ucheshi kuna ukweli ndani yake. Pole mama andunje mumewe kakuangusha

  • @ibrahimchris7160
    @ibrahimchris7160 Год назад

    Jotiii kama jotiiii fire

  • @marryofficial9143
    @marryofficial9143 27 дней назад

    Joti umefanyaa nicheke kwl na niangalie mara mbili mbilii et mm ni mwalimu mm mwanafunzi,upande wa baba na mjomb tuna unyani na upwaka pwaka😂😂😂😂😂

  • @Officialchiwena
    @Officialchiwena Год назад +1

    Jmn yan wew andunje ungekuw unaigiz hv Kila siku mm ningekuw nacheka ty Kila siku 😂😂

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Год назад +2

    Joti kweli we commend hatari ssna nakupenda sana😁😁❤❤👍👍👍❤

  • @Boaz22
    @Boaz22 Год назад +23

    Joti huyu mzee usimwache,anakipaji mno

  • @saidsalim3407
    @saidsalim3407 Год назад +8

    joti is the best

  • @selemanimisalaba
    @selemanimisalaba 5 месяцев назад +1

    jot mwamba wa wachekeshaji unyani na upaka paka

  • @vannyboym7733
    @vannyboym7733 Год назад

    😄😄eti katika família yetu...kuna unyani na upakapaka😄😄😄🤭esse gajo é mau

  • @michaelmkata4512
    @michaelmkata4512 Год назад +5

    Wadau like hata moja team joti 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @lynlondo84
    @lynlondo84 Год назад +3

    😂😂😂 tumekula mapilau ila yakuunga unga kwa majirani

  • @zachariakonyanza2259
    @zachariakonyanza2259 Год назад +1

    Hahhahahahahah antena zinanyanyuka😂😂😂😂😂

  • @avitrugakingirajr1669
    @avitrugakingirajr1669 Год назад

    Tuna unyani na upakapaka ✋✋😂😂😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🤣🤣🤣🤣🤣

  • @wenceslausmpanduji134
    @wenceslausmpanduji134 Год назад

    Andunje kwa Mara ya Kwanza Leo naona Kaipenda Shule