JIONGEZE MWANANGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2023
  • Kwa wazazi mnapokwenda sehemu na watoto kama kula hivi kama huna hela usimpeleke utampa mtoto aibu..
  • ПриколыПриколы

Комментарии • 415

  • @thengejunior8180
    @thengejunior8180 Год назад +25

    Sijawahi kuomba like leo naomba like watu wangu namcheki joti nikiwa Saudi Arabia 🇸🇦 💯💯💯

    • @bryanlimbi326
      @bryanlimbi326 Год назад +1

      Hiyo like ukishaipata inakusaidia nini , pumbavu wewe..!

  • @abuusirleh8196
    @abuusirleh8196 Год назад +65

    Huyu mzee joti usimuache anajua😍

    • @Mimy_keys
      @Mimy_keys Год назад +7

      Anajuwa Kitambo sema wanapendeza sana na Joti 😊🤗👌

    • @dianerditto
      @dianerditto Год назад +1

      Yuko vzr sanaaa

    • @ibrahimadam8623
      @ibrahimadam8623 Год назад +3

      I agree, huyu Mzee is a great actor!

  • @agnesbasistian9248
    @agnesbasistian9248 Год назад +18

    Baba kapitia kula vyuku sehemu nyingine Joti wewe kula Chip's kavu zinakutosha sana🤣🤣🤣.Jot is a best

  • @nyembomajid1262
    @nyembomajid1262 Год назад +7

    joti mzee amesema doze doze yaani subiri subiri lakini wewe bado walaa 😂😂😂

  • @Dysmedia254
    @Dysmedia254 Год назад +6

    Joti huyu mzee namkubali sanaaa tunataka uendelee nae

  • @bantkmaca5756
    @bantkmaca5756 Год назад +13

    Joti jamani mbavu zangu ,, yaani kabla kucheck vidio uwa nacheka kichizi, wallah natamani ungekuwa uku Kenya siku Moja ningetaka kukuona live

  • @cadettemwangaza1959
    @cadettemwangaza1959 Год назад +100

    Wakwanza naomba like🎉🎉

  • @kondonassoro26
    @kondonassoro26 Год назад +15

    Joti unatisha hauna mshindani Ze best comedian in Tanzania Br. unajua hahaha

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Год назад +79

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Weka kachumbari ,weka tomato ,weka ukwaju , weka majivu , weka na mate wee shika adabu yako. Bro Jotiii hukosei😂😂😂👌🏼👌🏼👌🏼

  • @andrewkilave3532
    @andrewkilave3532 Год назад +8

    Huyu mzee anajua sana aisee

  • @stinaismail846
    @stinaismail846 Год назад +20

    Nakukubali sana wangu jot evevy Friday its must to watch your video ❤️❤️😘 team joti gather here ♥️♥️ I am from Kenya 😘 we love you

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Год назад +6

    Hehehehe mbona wateja🤣🤣🤣🤣🤣wa chips kavu🤣🤣🤣

  • @totoozebingwatshumani4642
    @totoozebingwatshumani4642 Год назад +2

    Naloba Nini eeeeh!!! niseme Nini eeeeh!!!! Tujuane basi ,🇨🇩🇹🇿🇨🇩🇹🇿

  • @mohamedefranciscoxavier9130
    @mohamedefranciscoxavier9130 Год назад +9

    From Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🤝

  • @mary2615
    @mary2615 Год назад +41

    Absolutely stunning 👋🏻💖👋🏻

  • @russia1253
    @russia1253 Год назад +2

    Joti huyu mzee anafaa kufanya nae kazi 💯🫶

  • @paulshibhiti9584
    @paulshibhiti9584 Год назад +3

    Daaaah nimechelewa tena basi hata like 50 naomba

  • @Seifbrown
    @Seifbrown Год назад +7

    😅😅😅😅😅joti 😂 na mzee wake 😂😂best 😊❤

  • @collinsbella8360
    @collinsbella8360 Год назад +5

    Weka na mate 🔥😂😂😂😂

  • @venturecollen1315
    @venturecollen1315 Год назад +15

    Huyu jamaa anaweza Sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mohamedomarrashid7810
    @mohamedomarrashid7810 Год назад +5

    Nimeskia vibaya vipi naskia ata kwa ben manjiwa🤣🤣🤣🤣

  • @messaabbas739
    @messaabbas739 Год назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣uyu mzee uwagaa na mpendagaa anafurahisa ajaab,,joti bhana mzee mkongwe huyu anagaa baya kabis 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @thengejunior8180
    @thengejunior8180 Год назад +5

    Alafu pia tu subscribe kwa wingi joti afikishe 1 million 💪💪💪

  • @emmanuelmtonyole9958
    @emmanuelmtonyole9958 Год назад +15

    Kama unakubaliii joti ni mwamba nione like 259hapa

  • @AaAa-tb2zw
    @AaAa-tb2zw Год назад +9

    Joti hujawai kuniangusha 🤣🤣🤣...napenda kazi zako 🥰🥰❤️..nakutazama nikiwa Qatar

  • @nemesapollo4846
    @nemesapollo4846 Год назад +6

    Baba una mikono michafu 😂

  • @rag17tv2
    @rag17tv2 Год назад +40

    Kama unamkubali joti tujuane kwa like

  • @shabani_Osee_Ngena
    @shabani_Osee_Ngena Год назад +7

    Nguvu moja twende sawa 💪😂

  • @rukiasultan716
    @rukiasultan716 Год назад +3

    Kati ya wale top 100 Nami nipo 🤣🤣🤣🤣🤣naombeni like zenu

  • @IddyJuma-q4k
    @IddyJuma-q4k 3 дня назад

    Nakubari sana jotii

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 Год назад +1

    Mtoto mwehu baba mwehu ni majanga tu 🤣🤣🤣 eti tia na majivu mtoto weka na mate baba koma wee hahaha

  • @ishimwemurenziange7609
    @ishimwemurenziange7609 Год назад +1

    Joti wenoma kabisa anae kubali joti anipe like tafadhali 🙏🙏

  • @marleybyams
    @marleybyams Год назад +4

    Naskiya luwa yangu apo kbs
    Lingala Langues la plus belle Du monde 💥❤️❤️❤️💥💪 Drc mon pay🇨🇩🇨🇩🙏🙏

  • @mustapherkassimu9202
    @mustapherkassimu9202 Год назад +4

    😂Temea na mate..we shika Adabu yako

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 Год назад +4

    Joti na huyo mzee metisha 🤣🤣🤣

  • @aresdadu
    @aresdadu Год назад +3

    Weka na mate,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 love from Rwanda 🇷🇼

  • @r33c3r3
    @r33c3r3 Год назад +3

    Wapi Sopa?
    Wapi Kanyinyi?
    Hawa jamaa wanachangamsha sana shows...

  • @innocentmushi4675
    @innocentmushi4675 Год назад

    Unajua Babu kibongo bongo ww number 1

  • @ed3ezekiel388
    @ed3ezekiel388 Год назад +4

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂dah et wamenileta wasamalia wema hao hapo🏃

  • @AshulaSelemani
    @AshulaSelemani 11 месяцев назад

    Pamban broo unaweza

  • @peterstanslaus2477
    @peterstanslaus2477 Год назад +3

    Joti jamani 😂😂😂😂 eti hatujamchafua mtu

  • @user-dh5ex2in6e
    @user-dh5ex2in6e 2 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂 temea na mate

  • @mawaidhatv8557
    @mawaidhatv8557 Год назад +18

    Mtu wa 100 like kwangu please

  • @slimpeewee1426
    @slimpeewee1426 Год назад +1

    hii inafaa kwa watoto wasumbufu

  • @abdallahkikungulu9141
    @abdallahkikungulu9141 Год назад

    Wote wapo vizuri sana sana

  • @babaswaggaboy2442
    @babaswaggaboy2442 Год назад

    Nimekubali mwimbo 😂😂 atasielewi ❤❤

  • @giressentumwa6906
    @giressentumwa6906 Год назад +1

    Sisi wakongomani tunawasapoti sana. Tunawafurahiyaga tukisikiya munaimba nyimbo za lingala

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys Год назад +3

    Eeh Hamna Mbuzi 😜😩 Mme FAIL 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @juniorwilliam6338
    @juniorwilliam6338 Год назад +1

    😂😂😂😂😂uyu mzee jaman jot is so creative

  • @AbdulhakimAbdala-qc5pj
    @AbdulhakimAbdala-qc5pj 11 месяцев назад

    Aliefaham dozee dozeee

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 Год назад

    Joti huyu mzee usimuache ako Sawa maskini wazee wenzake wote waliaga, king majuto, small

  • @rebecakigutu
    @rebecakigutu Год назад +1

    Joti umenichekesha et au tuongeze mtaji wa chipsi 🤣🤣🤣... et na hakili za kuvukia barabara 😅😅

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Год назад

    Mzee namkubali sana

  • @saidmo9250
    @saidmo9250 Год назад +5

    Most talented 🐐

  • @omollotv8780
    @omollotv8780 Год назад +2

    Joti uyo mzee anajua sana

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 Год назад +1

    😂😂😂😂😂😂ali iyo chips kavu je mngeagiza na iyo nyama ingekuwaje

  • @mosesindiri7562
    @mosesindiri7562 Год назад +2

    Peace love and blessings from me in Kenya

  • @marianakamb-fg7sk
    @marianakamb-fg7sk Год назад

    We umekuja saa ngp mmh wamenileta wasamaria wema hawaapa😂😂😂😂

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 Год назад +1

    Huyo mzee anajua sana 😄😄😄😄

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Год назад +4

    kumbe ndo stail ih ya aasaiv 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @TheZepporah
    @TheZepporah Год назад

    Mzeee mjanja sana kwa kweli

  • @ericarugabandana4888
    @ericarugabandana4888 Год назад +1

    Nice joti, lakini kiukweli unapendeza sana sana ukiigiza kama dada kiboga ...kuna namna kwa dada kiboga unavaa uhalisia kabisa...

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Год назад +3

    Nimewahi leo like zenu wadauu wa tunaompenda joti🥰🥰 joti temea na mate🤣🤣🤣🤣🤣

  • @lovenoor988
    @lovenoor988 Год назад +1

    Umetisha sana 😃

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 Год назад +2

    Et wamenileta wasamalia wema🤣🤣🤣😂😂😂

  • @seinabelimi2296
    @seinabelimi2296 Год назад

    joti mshenzi amempiga bonge la dole ktk kitovu baba ake 😁😁😁😁

  • @yudaaraphati9673
    @yudaaraphati9673 Год назад +1

    Joti mbwaa kabisa ndomana kamezaliwa pipiroo😂😂🤣🤣🤣

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Год назад +2

    Jot mzee huyo mkongwe wa fram usimwache❤❤❤❤🙏🙏🙏

  • @sirmwangangi4497
    @sirmwangangi4497 8 месяцев назад

    Natazama kutoka hapa Kenya, aisee huyu mzee amefanya hii comedy inoge kabisa,,,

  • @princejchassama1776
    @princejchassama1776 Год назад

    im praying for you my brother @mlewateamfis. Mlewa uzidi kufika mbali kupitia kipaji chako

  • @vero57
    @vero57 Год назад +2

    Hizo chips zinatamanisha 😋😋

  • @japhetlust5050
    @japhetlust5050 Год назад +3

    Uku zuwena uko jot tukomjini🤣

  • @meshackaloyce9662
    @meshackaloyce9662 Год назад +3

    Jott jamani hahahahaha 🤣🤣

  • @Dulla_kite
    @Dulla_kite Год назад

    mzee nimemkubali sana yani 🔥

  • @abdullahalmahruqi7158
    @abdullahalmahruqi7158 Год назад +29

    So happy to see such a legend in this project. Keep it up

  • @simonandrew1489
    @simonandrew1489 Год назад +3

    Good Mr Joti

  • @SarahKeza-lp1fv
    @SarahKeza-lp1fv 8 месяцев назад

    Uyo mze nimu congo

  • @nyakungukimakon1883
    @nyakungukimakon1883 Год назад +3

    Temea na mate 😂😂😂😂😂😂

  • @maulidi_abdalah1351
    @maulidi_abdalah1351 Год назад

    Duuu! nishai anani pigia kiepe kavu kavu leo umeingia chakikike 😂😂😂😂😂😁😁😁

  • @jacklineezekiah3762
    @jacklineezekiah3762 Год назад +1

    Mim Leo nimecoment nipo namba 69

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 Год назад +3

    Joti hapa tz huna mpinzani wakitaka wasitaki ww best comedy in tanzania%

  • @phoebena4ty
    @phoebena4ty Год назад

    Jmn uyu baba nampenda bure anajua Lingala 😃 kwani anatokea wapi

  • @ridhiwanikhalifa9036
    @ridhiwanikhalifa9036 Год назад +1

    baba anasema wewe haukusoma code😂😂

  • @aishatarimotarimo2689
    @aishatarimotarimo2689 Год назад +2

    Wa 31 leo nimewahi😂😂😂😂

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Год назад

    Joti Leo mzee wamjini kakuwezaa

  • @ibrahimuselemani4076
    @ibrahimuselemani4076 Год назад +17

    Best Comedian likes kwako brother 🙏🇹🇿🇹🇿JOTI

  • @dominickbisharo1661
    @dominickbisharo1661 Год назад

    Nakumbuka kipindi hivyo mambo nayo, :jailed sanaa group huyu mzee aliigiza igizo akiitwa mashaka

  • @finiaskalist747
    @finiaskalist747 Год назад +1

    Eti weka na majivu, temea na mate😆😆😆😆

  • @evanchimbi7121
    @evanchimbi7121 Год назад +2

    Kaka joti we kiboko🤣🤣🤣🤣

  • @samwelimoshi5614
    @samwelimoshi5614 Год назад

    MBAVU yupo WAP yupo vzr Sana mnamsaau sana

  • @egnokinunda4539
    @egnokinunda4539 Год назад +1

    Temea na mateee😃😃😃😃

  • @tiagopeter3634
    @tiagopeter3634 Год назад

    Uyo mzee ni kipaji sana

  • @toussaintsaidi9213
    @toussaintsaidi9213 Год назад +1

    Lingala😂😂😂

  • @hemmedyrizz7449
    @hemmedyrizz7449 Год назад

    Kanileta wasamaria wema.😁😂😀😂😂

  • @yohanatulito1182
    @yohanatulito1182 Год назад +1

    😂😂😂😂😂 Jiongeze hahahahaha

  • @manyakuulaompondelo4419
    @manyakuulaompondelo4419 Год назад

    Hii tabia ya kuomba likes Sasa imekuwa ugonjwa. Mimi sitaki mtu alike comment yangu. Kama nawe unakerwa na wanaoomba like, ebu gonga like hapa

  • @hamzamohamed8495
    @hamzamohamed8495 Год назад

    From Rwanda Kigali 🇷🇼

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Год назад +3

    joti anatisha...😂😂

  • @munirahamid6947
    @munirahamid6947 5 месяцев назад +1

    Never disappoint😂

  • @Mr.BrokeGuy
    @Mr.BrokeGuy Год назад +1

    Hahahaha sawa Joti mkuu