NAMVESHA PETE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 466

  • @jeremiahromward6784
    @jeremiahromward6784 Год назад +92

    Tuliokimbilia kwenye comment huku tukiangalia gonga like tujuane
    #Joti is the best comedian

  • @ibrahimuselemani4076
    @ibrahimuselemani4076 Год назад +58

    Best comedian huyu hapa em tumpe likes zake kwa kutufurahisha🇹🇿🙌

  • @brianitunda6051
    @brianitunda6051 Год назад +52

    Namba 4 leo kwa mara ya kwanza. Like zenu ndugu zangu nami nijione mtu. 😂😂

  • @mary2615
    @mary2615 Год назад +30

    I like this serie is very funny 😅😅

  • @ashaabdalla924
    @ashaabdalla924 Год назад +12

    Joti kwa makiss ya Tom and Jerry Wallah nikiangalia comedy zako nacheka mawazo yote yaondoka🇬🇧🇬🇧

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 Год назад +10

    Kila siku tunamsifia joti tunasau vijana wake nao wako vizuri. Respect mwamba upo vizuri sana

  • @hotmaxtv
    @hotmaxtv Год назад +142

    Tunaomkubali joti tujuane kwa like 👍

  • @baushjunior4094
    @baushjunior4094 3 месяца назад +1

    Your fan from Kenya🇰🇪joti is the best comedian in East Africa

  • @escaladeokonkwo1048
    @escaladeokonkwo1048 Год назад +16

    Leo WA Kwanza Kutoka UGANDA Tujuane Hapa Inshaallah...

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Год назад +10

    Siku yangu imeanza vizuri leo. Asante joti. Big kaveshwa Pete leo🤣🤣🤣🤣🤣.

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale Год назад +12

    Manina zako Joti, "Kumbe Mwamba! Unamwonea wviu dadako kumbe unataka kuolewa wewe..." Hahahaha, "Umekuwa mchelemchele!" hahahaa

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Год назад +27

    You are the best Bro respect Sana 🙌🏼🙌🏼

  • @successconcious703
    @successconcious703 Год назад +42

    Much love from SA 🇿🇦 😂😂🙌

  • @teacherkaligodottonjige
    @teacherkaligodottonjige Год назад +7

    Nishai KAZI nzuri nimeipenda Mie niwa 31 kucomment

  • @arnhemzuid8885
    @arnhemzuid8885 Год назад +11

    😂😂, Nimecheka kama Hayawani. Lesson learnt mwanzo mwisho. Real life. Keep it up. Nishai - Chauharibifu, Mwamba - The great wall of Manka mana umemuokoa na Hadaa za Fisi Maji (Nishai). Bi Mkubwa yapo haya yakupokea bila hata kujali kimetoka wapi mpaka yawakute na Manka kwa kweli umetuonyesha mchuma janga hula na wa kwao, wewe kwa Nishai ni janga ndiyo ulilokuwa unalitafuta. Hongerani sana mmetendea haki Uhusika wenu.

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Год назад +12

    Never disappoint jotiii 🤣😂🤣😂🤸🤸

  • @agnesbasistian9248
    @agnesbasistian9248 Год назад +13

    Nimejitahidi kuwa makini nikijua nitakuwa wa kwanza 🤦 lakini wa 21watu hamlali kabisa.Hongera mwamba 🤞

  • @burundibujumbura2078
    @burundibujumbura2078 Год назад +8

    From Canberra Australia, nawapenda sana!

  • @akachamilionare8434
    @akachamilionare8434 Год назад +9

    Joti ur game Will be forever on top of Republic of Tanzania Mr Bean🤣🤣

  • @dashuu5295
    @dashuu5295 Год назад +10

    Mashallaah mwamba ni mzury wa umbo na sura pia..mungu amueke zaid

    • @eltajir
      @eltajir Год назад

      mambo

    • @dashuu5295
      @dashuu5295 Год назад

      @@eltajir poa wew jee

    • @eltajir
      @eltajir Год назад

      @@dashuu5295 Alhamdulillah za wap

    • @dashuu5295
      @dashuu5295 Год назад

      @@eltajir pemba voo

  • @josephraphael425
    @josephraphael425 Год назад +24

    Hili ndo igizo la 48 Kwa mwaka huu Kila mwezi video 4*12=unapata jibu 😁😁😁 joti tunakupongeza mwakani mungu akupe aidia za kutosha🙏 Mashabiki nawatakia heri ya krismas na mwaka mpya mungu awalinde awafungulie milango ya riziki na mafanikio🇰🇪🇹🇿🇺🇬

  • @wananchitv8690
    @wananchitv8690 Год назад +11

    Mie wa kwanza leo 💪💪💪👍👍

  • @waluzeomar6853
    @waluzeomar6853 Год назад +8

    Uwiiiii jot kayakanyaga 😂😂😂 Jamani ety anatia mate😅😂

  • @allyali8139
    @allyali8139 Год назад +8

    Joti kudadadeki 😂😂, wengekua unaongea lugha nyengine you would be top 10 comedian 🌍

  • @peteramani7052
    @peteramani7052 Год назад +15

    Wale wa kwanza kutoka 🇰🇪 ndio sisi

  • @uzungupoint
    @uzungupoint Год назад +36

    Wanaopenda kicheko cha joti tujuane hapa😂😂😂🙌🙌🙌

    • @najimungaunga4664
      @najimungaunga4664 Год назад +2

      Daah nikweli jot anajua lakini sasaivi kidogo imepoa yani angekuwepo na sopa ingekua unyama mwingi apo

    • @uzungupoint
      @uzungupoint Год назад

      @@najimungaunga4664 Kabisa ndugu, now simuoni sijui kaenda wapi🤔

  • @kamanyile
    @kamanyile Год назад +12

    Wa kwanza leo Like zangu kama kawa

  • @edwardnelison7485
    @edwardnelison7485 Год назад +11

    Halafu pimbi MMOJA akuja anasema mkojan anachekesha zahd ya joti fuck👀👀,,JOTI ALWAYS BEST 💥

  • @jasmineedamu6089
    @jasmineedamu6089 Год назад +7

    Leo nmewah alihamdulilah, jumaa mbaraka all 💞

  • @Rosemary_Obadiah
    @Rosemary_Obadiah Год назад +2

    Wamama na hela🙌🙌🙌🙌🙌😂😂I thought ni mama angu tu kumbe n wamama wote wa afrika

  • @alphamwanamtulekenya5390
    @alphamwanamtulekenya5390 Год назад

    Sio kitotooooo mama😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂. Mwanangu umenifaaaaa😂😂😂😂😂😂

  • @chrismuganwa8634
    @chrismuganwa8634 Год назад +7

    Joti you always make my day!!
    Love from Burundi 🇧🇮

  • @tarikmvinza2385
    @tarikmvinza2385 Год назад +1

    Respect Mwamba💪

  • @jeconiamlonganile2443
    @jeconiamlonganile2443 Год назад +2

    No,,Mara waaah on fire 🤣🤣🤣🤣 Kaushal damu top in town 🙌🙌

  • @thekibosoundband7489
    @thekibosoundband7489 Год назад +2

    Huyo demu bado kwenye kuigiza akaze sana anaona aibu sana ,anahitaj mazoezi sana 😂

  • @masasijunior1123
    @masasijunior1123 Год назад +8

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 asubuhi hii imeanza vizuri

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Год назад +9

    Huyu mama kwangu ndie mwigizaji pendwa all the time

  • @Samyoungmusic
    @Samyoungmusic Год назад +2

    Walai Nishai.....Wapi lykes za joti jameni....kenyaa tunawapendaaaaa sanaaaaa

  • @emmanuelingimba7381
    @emmanuelingimba7381 Год назад +1

    oya uyu jamaa ni legend wa atr salut xn brother

  • @mbarakaluundu7896
    @mbarakaluundu7896 Год назад +2

    😃😃😃💥💥💥

  • @izo07nyoni40
    @izo07nyoni40 Год назад +1

    Vifupi fupi vimalayaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ramadhanikarino5966
    @ramadhanikarino5966 Год назад +10

    Kidole kipakwe mate😂😂😂😂

  • @FelixJia1
    @FelixJia1 Год назад +4

    Daaah huyu mtu ana kipaji sanaaa... 🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣🤣

  • @خسنموس
    @خسنموس Год назад +33

    Joti never disappoint 🤣🤣🤣

  • @coldfayahmistari254
    @coldfayahmistari254 Год назад +3

    Shabiki mkubwa Sana wa Joti from eldoret Kenya.

  • @ahmadsaid4878
    @ahmadsaid4878 Год назад +5

    😆😆😆😆DAH JOTI NDO UVALISHAJI GAN HUO WA PETE ....ET mbna vidole vinene tulia nkupake mate

  • @detectiveg8718
    @detectiveg8718 Год назад +3

    Bodaboda tumekukosea nini mama 😂😂

  • @bahatimsacky7803
    @bahatimsacky7803 Год назад +25

    Jamani mie Leo wa pili naombeni like zenu😢❤

  • @veronicapascal1485
    @veronicapascal1485 Год назад +1

    Mwamba unajua unajua tena🙌🙌

  • @thomasmturi8116
    @thomasmturi8116 Год назад +6

    Mtoto Nina malengo nae😃😃😃

  • @ngosha4207
    @ngosha4207 Год назад +13

    Moja

  • @fatemafatema8581
    @fatemafatema8581 Год назад +1

    Sheria haipingwi joti leo umejua kunifurahish leo nimechk umekuwa mchel mchel🤣🤣

  • @angekazege664
    @angekazege664 Год назад +1

    Joti You Are so funny From Rwanda.🤙🤙🤙

  • @gladnesskiwonde5975
    @gladnesskiwonde5975 Год назад +13

    Respect 🇲🇾❤😂😂

  • @praxedadominic2794
    @praxedadominic2794 Год назад +3

    Mbavu zangu mimi 🤣🤣🤣joti ni 🔥🥰🥰❤

  • @sulaymanwaziri4455
    @sulaymanwaziri4455 Год назад +2

    Na kidole ushakitia mate kabisaa 😂😂😂😂😂😂

  • @RamaKuliye-yh4uq
    @RamaKuliye-yh4uq Год назад

    Joti number one I'm from South Africa

  • @wilfredroberttv841
    @wilfredroberttv841 Год назад +1

    Hahahaha 😂 Da ni noma aise Kuna ma brother niwanoko Sana

  • @abdourfahaty3301
    @abdourfahaty3301 Год назад +10

    😂😂😂 joti unajua

  • @bantkmaca5756
    @bantkmaca5756 Год назад +3

    Joti nakukubali sana bro ,, from kenya

  • @nasraally4740
    @nasraally4740 Год назад +2

    Nimecheka sana😂😂😂 joti unajua, unajua tena

  • @Hashdough
    @Hashdough Год назад +1

    "" EEEEEEHHHHH BLAZAAAA" "ENDELEA ULICHOKUA UNAFANYA" 😂😂🙌😂😂🙌

  • @spurnboy8197
    @spurnboy8197 Год назад +1

    Mwamba na joti huwaga fireee sana 🔥 🔥

  • @maikojohny345
    @maikojohny345 Год назад +3

    Hhhhhhhhh, mwili mkubwa, kichwa cha pilitoni

  • @majaliwaeliasi9387
    @majaliwaeliasi9387 Год назад +28

    jamani mm kwa mara ya kwanza nimewahi hata like 10 jamani🙏🙏🙏

  • @priscilladama8686
    @priscilladama8686 Год назад

    A Kenyan bt watching from saudia

  • @diamondplatinum3708
    @diamondplatinum3708 Год назад +5

    Joti mtu kazi💪💪🤒

  • @minakshiali2887
    @minakshiali2887 Год назад +1

    1 million coming soon joti🥳🥳🥳

  • @gentiljabpretty
    @gentiljabpretty Год назад

    Number one naku ku bali kutoka Goma Congo Drc

  • @TheNewKid_TV
    @TheNewKid_TV Год назад +2

    Daah nilikuwa nimemmiss sana mwamba❤

  • @Abdul_Rashidkibet
    @Abdul_Rashidkibet Год назад +4

    Imeweza Sana...

  • @costamasuba1099
    @costamasuba1099 Год назад

    Huyu jamaa kuwa na jot safi sana jot fikiria kuwa nae

  • @emmymajula5164
    @emmymajula5164 Год назад

    Et mmwaa mmwaaaaa mmwaaaaaaaa😂😂😂❤️

  • @hidoxtz3559
    @hidoxtz3559 Год назад +1

    Ngoja ncheke kwanza kabla sijaangalia🤣🤣🤣

  • @juniorwilliam6338
    @juniorwilliam6338 Год назад

    Mwamba atakumenya😂😂😂😂ila mwamba

  • @hassanidd2353
    @hassanidd2353 Год назад +1

    Nakubali sana nyote mlioshiriki

  • @MrNdanguza
    @MrNdanguza Год назад +2

    Hahahaha 😂😂😂duh nilikua ma stress za kazi nimecheka duh

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 Год назад +4

    Kaka na dada urafiki hukomaa pale dada atakapo pata mume na kuwekwa ndani sio kuruka ruka mitaani yaan jua mangumi daily 😄🙌

  • @SalmaMohamed-ck3og
    @SalmaMohamed-ck3og Год назад +15

    From Dammam KSA🇸🇦🇸🇦 nimekatiza usingizi leo kisa Joti Tv....Joti unajua kunianzia Ijumaa yangu wewe😃😃....Jumma Kareem

    • @patricemichael6743
      @patricemichael6743 Год назад +1

      Kwani huko sangap saiv maan huku sa 1 asubuh

    • @SalmaMohamed-ck3og
      @SalmaMohamed-ck3og Год назад +2

      Time tuko sawasawa na East Africa.lakini Ijumaa huku ni siku ya mapumziko.watu wanalala mpaka saa tano kuendelea

    • @patricemichael6743
      @patricemichael6743 Год назад +1

      OK by the way kama hutojal unaweza nipati handle yako ya twitter nikuer lafiki ako mtanzani mwenzngu🤝🤌

  • @koyesandatuya5422
    @koyesandatuya5422 Год назад +3

    Joti akilizako unazijua mwenyewe

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Год назад +1

    much love from 🇶🇦🇶🇦🇶🇦😀😀😀

  • @annastaziabega4474
    @annastaziabega4474 Год назад +1

    Jamani huyo mwamba qnajua kuigiza saana, anaitendea haki nafasi yke

  • @liliansauwa3269
    @liliansauwa3269 Год назад +1

    Joti mjinga sanaa, hayo mabusu Sasa😅😅😅😅😅😅😅

  • @mwaminashosi5781
    @mwaminashosi5781 Год назад

    Naskia kuchekaaaaaa hahahaaa 😁😂😂😂

  • @malakimoses6115
    @malakimoses6115 Год назад

    Joti noma hii umetisha kaka

  • @dennycdenny6464
    @dennycdenny6464 Год назад +2

    😂😅😂😅😂😅😂😅 King 🙌🙌🙌

  • @maherzain615
    @maherzain615 Год назад +2

    Mwili mkubwa kichwa cha piritoni😂😂😂😂

  • @fbr5113
    @fbr5113 Год назад +2

    Khaaa Joti Konyo kweli weye😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 Год назад +2

    Joti unaheka heka si mchezo😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @maishacenter-eastafricatv3976
    @maishacenter-eastafricatv3976 Год назад

    Mwamba yupo vizuri sasa hivi

  • @sophiajamali10
    @sophiajamali10 Год назад

    Alvo sema kausha damu nmemkumbuka mamaangu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂🥰

  • @godfreyjulius5132
    @godfreyjulius5132 Год назад +1

    Tulia nikuonyeshe vitu alivyonipa mama🤣🤣🤣🤣🤣

  • @vnasstv363
    @vnasstv363 Год назад

    Kawaida yangu nikitoka kuchek yawa skit lazima nipite Kwa joti big up kaka

  • @mcsam_tz
    @mcsam_tz Год назад

    🤣😂Mtoto mweupe anaogea maziwa huyooo

  • @ashminaabdulla8946
    @ashminaabdulla8946 Год назад +2

    Hivi mnalala kweli ❤️❤️❤️❤️👌💯

  • @mustafampande173
    @mustafampande173 Год назад +1

    arafu kuna kenge moja inataka kufananisha joti na yule bwana mvaa misuli,wakati hana jipya kila filamu "kuumbe we ng'ombe hunijuwii"

  • @samsammushi9844
    @samsammushi9844 Год назад +1

    Mwambaa anatakaa kuolewaa yeyeeee😅😅😅😅

  • @clodoaldusrutakangwa2702
    @clodoaldusrutakangwa2702 Год назад +3

    Unyama sana brooo

  • @issasalum8544
    @issasalum8544 Год назад +2

    No 29 Leo...joti Noma

  • @emmanuelmsafi9581
    @emmanuelmsafi9581 Год назад +1

    Mwamba atakumenyaaa