😂😂, Nimecheka kama Hayawani. Lesson learnt mwanzo mwisho. Real life. Keep it up. Nishai - Chauharibifu, Mwamba - The great wall of Manka mana umemuokoa na Hadaa za Fisi Maji (Nishai). Bi Mkubwa yapo haya yakupokea bila hata kujali kimetoka wapi mpaka yawakute na Manka kwa kweli umetuonyesha mchuma janga hula na wa kwao, wewe kwa Nishai ni janga ndiyo ulilokuwa unalitafuta. Hongerani sana mmetendea haki Uhusika wenu.
Hili ndo igizo la 48 Kwa mwaka huu Kila mwezi video 4*12=unapata jibu 😁😁😁 joti tunakupongeza mwakani mungu akupe aidia za kutosha🙏 Mashabiki nawatakia heri ya krismas na mwaka mpya mungu awalinde awafungulie milango ya riziki na mafanikio🇰🇪🇹🇿🇺🇬
Tuliokimbilia kwenye comment huku tukiangalia gonga like tujuane
#Joti is the best comedian
Yaani ilinijue kinachoendelea nasoma comment kwanza
pamoja
Best comedian huyu hapa em tumpe likes zake kwa kutufurahisha🇹🇿🙌
Tunampenda hasaa anatupa furaha
Namba 4 leo kwa mara ya kwanza. Like zenu ndugu zangu nami nijione mtu. 😂😂
I like this serie is very funny 😅😅
Mary Kila Ijumaa uko fastaaa... 💪
me two
Joti kwa makiss ya Tom and Jerry Wallah nikiangalia comedy zako nacheka mawazo yote yaondoka🇬🇧🇬🇧
Kila siku tunamsifia joti tunasau vijana wake nao wako vizuri. Respect mwamba upo vizuri sana
Kabisa, asingefanikisha bila hiyo team nzuri..........
Tunaomkubali joti tujuane kwa like 👍
One my fav
pamoja
Pa1 Sana hakikaa!! 💪🙌👊
Your fan from Kenya🇰🇪joti is the best comedian in East Africa
Leo WA Kwanza Kutoka UGANDA Tujuane Hapa Inshaallah...
Siku yangu imeanza vizuri leo. Asante joti. Big kaveshwa Pete leo🤣🤣🤣🤣🤣.
Manina zako Joti, "Kumbe Mwamba! Unamwonea wviu dadako kumbe unataka kuolewa wewe..." Hahahaha, "Umekuwa mchelemchele!" hahahaa
You are the best Bro respect Sana 🙌🏼🙌🏼
Nishai ni m1 tyu
Much love from SA 🇿🇦 😂😂🙌
We uko bongoo bhanaa🤣🤣
Nishai KAZI nzuri nimeipenda Mie niwa 31 kucomment
😂😂, Nimecheka kama Hayawani. Lesson learnt mwanzo mwisho. Real life. Keep it up. Nishai - Chauharibifu, Mwamba - The great wall of Manka mana umemuokoa na Hadaa za Fisi Maji (Nishai). Bi Mkubwa yapo haya yakupokea bila hata kujali kimetoka wapi mpaka yawakute na Manka kwa kweli umetuonyesha mchuma janga hula na wa kwao, wewe kwa Nishai ni janga ndiyo ulilokuwa unalitafuta. Hongerani sana mmetendea haki Uhusika wenu.
Never disappoint jotiii 🤣😂🤣😂🤸🤸
Nimejitahidi kuwa makini nikijua nitakuwa wa kwanza 🤦 lakini wa 21watu hamlali kabisa.Hongera mwamba 🤞
From Canberra Australia, nawapenda sana!
Joti ur game Will be forever on top of Republic of Tanzania Mr Bean🤣🤣
Mashallaah mwamba ni mzury wa umbo na sura pia..mungu amueke zaid
mambo
@@eltajir poa wew jee
@@dashuu5295 Alhamdulillah za wap
@@eltajir pemba voo
Hili ndo igizo la 48 Kwa mwaka huu Kila mwezi video 4*12=unapata jibu 😁😁😁 joti tunakupongeza mwakani mungu akupe aidia za kutosha🙏 Mashabiki nawatakia heri ya krismas na mwaka mpya mungu awalinde awafungulie milango ya riziki na mafanikio🇰🇪🇹🇿🇺🇬
kauxha damu
Hahaha kuna week 2-3 hakupost,kwasisi wa jino kwa jino
mungu ❌❌❌
Mungu au MUNGU ✅✅✅✅
Mie wa kwanza leo 💪💪💪👍👍
Uwiiiii jot kayakanyaga 😂😂😂 Jamani ety anatia mate😅😂
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Joti kudadadeki 😂😂, wengekua unaongea lugha nyengine you would be top 10 comedian 🌍
Wale wa kwanza kutoka 🇰🇪 ndio sisi
Wanaopenda kicheko cha joti tujuane hapa😂😂😂🙌🙌🙌
Daah nikweli jot anajua lakini sasaivi kidogo imepoa yani angekuwepo na sopa ingekua unyama mwingi apo
@@najimungaunga4664 Kabisa ndugu, now simuoni sijui kaenda wapi🤔
Wa kwanza leo Like zangu kama kawa
Halafu pimbi MMOJA akuja anasema mkojan anachekesha zahd ya joti fuck👀👀,,JOTI ALWAYS BEST 💥
Mkojani ndio Nani?
Leo nmewah alihamdulilah, jumaa mbaraka all 💞
Wamama na hela🙌🙌🙌🙌🙌😂😂I thought ni mama angu tu kumbe n wamama wote wa afrika
Sio kitotooooo mama😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂. Mwanangu umenifaaaaa😂😂😂😂😂😂
Joti you always make my day!!
Love from Burundi 🇧🇮
Respect Mwamba💪
No,,Mara waaah on fire 🤣🤣🤣🤣 Kaushal damu top in town 🙌🙌
Huyo demu bado kwenye kuigiza akaze sana anaona aibu sana ,anahitaj mazoezi sana 😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 asubuhi hii imeanza vizuri
Huyu mama kwangu ndie mwigizaji pendwa all the time
Walai Nishai.....Wapi lykes za joti jameni....kenyaa tunawapendaaaaa sanaaaaa
oya uyu jamaa ni legend wa atr salut xn brother
😃😃😃💥💥💥
Vifupi fupi vimalayaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kidole kipakwe mate😂😂😂😂
😂😂😂
Daaah huyu mtu ana kipaji sanaaa... 🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣🤣
Joti never disappoint 🤣🤣🤣
Yes
Shabiki mkubwa Sana wa Joti from eldoret Kenya.
😆😆😆😆DAH JOTI NDO UVALISHAJI GAN HUO WA PETE ....ET mbna vidole vinene tulia nkupake mate
Bodaboda tumekukosea nini mama 😂😂
Jamani mie Leo wa pili naombeni like zenu😢❤
Mwamba unajua unajua tena🙌🙌
Mtoto Nina malengo nae😃😃😃
Moja
Sheria haipingwi joti leo umejua kunifurahish leo nimechk umekuwa mchel mchel🤣🤣
Joti You Are so funny From Rwanda.🤙🤙🤙
Respect 🇲🇾❤😂😂
Mbavu zangu mimi 🤣🤣🤣joti ni 🔥🥰🥰❤
Na kidole ushakitia mate kabisaa 😂😂😂😂😂😂
Joti number one I'm from South Africa
Hahahaha 😂 Da ni noma aise Kuna ma brother niwanoko Sana
😂😂😂 joti unajua
Joti nakukubali sana bro ,, from kenya
Nimecheka sana😂😂😂 joti unajua, unajua tena
"" EEEEEEHHHHH BLAZAAAA" "ENDELEA ULICHOKUA UNAFANYA" 😂😂🙌😂😂🙌
Mwamba na joti huwaga fireee sana 🔥 🔥
Hhhhhhhhh, mwili mkubwa, kichwa cha pilitoni
jamani mm kwa mara ya kwanza nimewahi hata like 10 jamani🙏🙏🙏
A Kenyan bt watching from saudia
Joti mtu kazi💪💪🤒
1 million coming soon joti🥳🥳🥳
Number one naku ku bali kutoka Goma Congo Drc
Daah nilikuwa nimemmiss sana mwamba❤
Imeweza Sana...
Huyu jamaa kuwa na jot safi sana jot fikiria kuwa nae
Et mmwaa mmwaaaaa mmwaaaaaaaa😂😂😂❤️
Ngoja ncheke kwanza kabla sijaangalia🤣🤣🤣
Mwamba atakumenya😂😂😂😂ila mwamba
Nakubali sana nyote mlioshiriki
Hahahaha 😂😂😂duh nilikua ma stress za kazi nimecheka duh
Kaka na dada urafiki hukomaa pale dada atakapo pata mume na kuwekwa ndani sio kuruka ruka mitaani yaan jua mangumi daily 😄🙌
True🔥🔥🔥🔥🔥
From Dammam KSA🇸🇦🇸🇦 nimekatiza usingizi leo kisa Joti Tv....Joti unajua kunianzia Ijumaa yangu wewe😃😃....Jumma Kareem
Kwani huko sangap saiv maan huku sa 1 asubuh
Time tuko sawasawa na East Africa.lakini Ijumaa huku ni siku ya mapumziko.watu wanalala mpaka saa tano kuendelea
OK by the way kama hutojal unaweza nipati handle yako ya twitter nikuer lafiki ako mtanzani mwenzngu🤝🤌
Joti akilizako unazijua mwenyewe
much love from 🇶🇦🇶🇦🇶🇦😀😀😀
Jamani huyo mwamba qnajua kuigiza saana, anaitendea haki nafasi yke
Joti mjinga sanaa, hayo mabusu Sasa😅😅😅😅😅😅😅
Naskia kuchekaaaaaa hahahaaa 😁😂😂😂
Joti noma hii umetisha kaka
😂😅😂😅😂😅😂😅 King 🙌🙌🙌
Mwili mkubwa kichwa cha piritoni😂😂😂😂
Khaaa Joti Konyo kweli weye😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Joti unaheka heka si mchezo😂😂😂😂😂😂😂😂
Mwamba yupo vizuri sasa hivi
Alvo sema kausha damu nmemkumbuka mamaangu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂🥰
Tulia nikuonyeshe vitu alivyonipa mama🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu joti noma sanaaaaaaa anajua
Kawaida yangu nikitoka kuchek yawa skit lazima nipite Kwa joti big up kaka
🤣😂Mtoto mweupe anaogea maziwa huyooo
Hivi mnalala kweli ❤️❤️❤️❤️👌💯
😂😂yn we acha watu hawalal
arafu kuna kenge moja inataka kufananisha joti na yule bwana mvaa misuli,wakati hana jipya kila filamu "kuumbe we ng'ombe hunijuwii"
Mwambaa anatakaa kuolewaa yeyeeee😅😅😅😅
Unyama sana brooo
No 29 Leo...joti Noma
Mwamba atakumenyaaa