CHAWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Chawa mwaka huu kazi mnayo, Hakuna mtu atakae kubali kuvunja ndoa yake kisa CHAWA.

Комментарии • 399

  • @ericksangajr7173
    @ericksangajr7173 Год назад +20

    Ijumaa ikifika nikiingia job cha kwanza na connect WiFi naangalia kaman joti kaachia kitu,likes nyingi kwake kama na wewe unafanyaga kama mimi

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Год назад +49

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nishai shemeji nipo kwenye wakati mgumu Sana shemeji nipo kwenye bahari nazama😂😂😂😂 Joti nakubali Sana Bro 🔥🔥🔥

  • @luthakyando8881
    @luthakyando8881 Год назад +25

    Weka like hapa kama unamkubali joti kitombangile kitwango

  • @giftmkumbwa4909
    @giftmkumbwa4909 Год назад +27

    🤣🤣🤣 shetani yupo koko Beach anapunga upepo" 👏🙌🙌🙌

  • @hermandonald9426
    @hermandonald9426 Год назад +14

    kanyinyi na mlelwa dizaino flani wanafanana😂😂au ni mapacha

  • @ivvansiwiti9085
    @ivvansiwiti9085 Год назад +6

    Joti alizaliwa saangapi? Na mama yake na joti hua anawaza nini kili akimuona mwanae?

  • @lemeboyofficial
    @lemeboyofficial Год назад +14

    Joti angekuwa mchezaji Ni halaand Unstoppable

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Год назад +3

    Chawa 3D🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌orijinale
    Mwanamke wa moto hatari🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Год назад +10

    Joti jitahidi ukae nao hao watu wako.Tukiwazoea unawatimua😂

  • @abdulmanila7925
    @abdulmanila7925 Год назад +2

    skiza wimbo huu bora kabisa unaitwa#kifo.
    utajua namna gani ya kuishi.
    ruclips.net/video/EsfI-jO5nF8/видео.html
    bonge moja la ujumbe.

  • @annamduma2504
    @annamduma2504 Год назад +12

    Mie hoi tu joti anavyoruka kinyuma nyuma😂😂😂

  • @mwinyimustafa3227
    @mwinyimustafa3227 Год назад +18

    Big up joti unatumia akili nyingi sana. haya ndo maisha ya halisi ya chawa.

  • @cedricmaina4523
    @cedricmaina4523 Год назад +10

    Shemela, niko kwenye wakati mgumu sana, bahari nzito mimi nazama... 😂😂😂

  • @ummyirembe6145
    @ummyirembe6145 Год назад +13

    Kanyinyi kapendeza sana katika wasanii wako joti wanaofanya vizur kanyinyi ze best🔥🔥🔥

  • @tiffahtiffahbaaby8239
    @tiffahtiffahbaaby8239 Год назад +4

    Kweli mtu akikuletea umbea muheshimu saana maana hujui umbea anautoa mazingira gani anautoa mazingira magumu saana

  • @PendaelHagaiMRPH
    @PendaelHagaiMRPH Год назад +14

    Nakupenda Brother Joti nishai Mikazo hatar Zaidi ya Sana

  • @malikiawamahaba5135
    @malikiawamahaba5135 Год назад +5

    Wa kwanza leooooo

  • @kelvinfongv899
    @kelvinfongv899 Год назад +4

    Tijo

  • @ummyirembe6145
    @ummyirembe6145 Год назад +5

    Kanyinyi Eti shetani yupo Coco Beach anapunga upepo😂😂😂

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Год назад +8

    Hahaa Joti unaenda kufanywa MAMA MCHUNGAJI, lazma ukatoe UPAKO.... hahaha 🤣🤣😂

  • @nelsonbisi6499
    @nelsonbisi6499 Год назад +12

    Excellent Creativity Keep it up bro. Tuko tunaomba one day mtuguse nasisi walevi kwa Job ya ninyi.

  • @abdulishaban6573
    @abdulishaban6573 Год назад +28

    Joti fans from Casablanca much love broo

    • @tztanzania2262
      @tztanzania2262 Год назад

      From Casablanca or buza!

    • @abdulishaban6573
      @abdulishaban6573 Год назад

      @@tztanzania2262 Casablanca habibi

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Год назад

      @@abdulishaban6573 Mmmh 🙄🤭
      من متى صرت من دار البيضاء؟

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 Год назад

      @@allahisone6386 kwani kuandika kiarabu ndio kua casablanca, au rabat au markesh au fes

    • @melaniaherman1098
      @melaniaherman1098 Год назад

      @@tztanzania2262 😂😂😂😂

  • @officialafricancomedycomed7496
    @officialafricancomedycomed7496 Год назад +17

    😂😂😂 mfalme wa comedy

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 Год назад +2

    Naomba sport kaka jot nami napenda na najua Comedy naomba support brother 🤲

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 Год назад +6

    Joti aki act scenes za kiume anapendezaga

  • @TheNewKid_TV
    @TheNewKid_TV Год назад +6

    1:19 Nilikuwa nimemiss huo muondoko muda🤣🤣🤣🤣

  • @salahkassim9729
    @salahkassim9729 Год назад +4

    6today

  • @Nadhifa0313
    @Nadhifa0313 Год назад +6

    Second one

  • @Notorias
    @Notorias Год назад +14

    boom 💥

  • @navivonc
    @navivonc Год назад +13

    "oya mke wa pili huyu" killed it.!!! 😂😂

  • @georgeikizu
    @georgeikizu Год назад +10

    Nakubal sana JOTI

  • @osamadbanarab5162
    @osamadbanarab5162 Год назад +3

    Jana nikikutana nae anakula mishkaki na miogo🤣🤣🤣 shetwani

  • @victoriakyando4307
    @victoriakyando4307 Год назад +5

    Wa kwanza leo

  • @giftmkumbwa4909
    @giftmkumbwa4909 Год назад +22

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 focus ya mama ako ilaaa Nacheka saNa

  • @gaelninkurize9624
    @gaelninkurize9624 Год назад +7

    🤣🤣🤣

  • @johanesnixon5473
    @johanesnixon5473 Год назад +24

    Thanks joti u made my day😂🙏

  • @masika.zubeda.430
    @masika.zubeda.430 Год назад +9

    Nakufaah 😂😂😂😂😂😂Singapore

  • @Divinetvgodsvoice
    @Divinetvgodsvoice Год назад +11

    haya ni Masha halisi kabisa Mambo haya kila siku ysnafanyika mtaani ,

  • @tiffahtiffahbaaby8239
    @tiffahtiffahbaaby8239 Год назад +5

    Oyooooooo ijumaa hatimaye imefikaa alihamdulillah

  • @aloycemango230
    @aloycemango230 Год назад +11

    😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂jotiiiiiiiiiiiiiiii unstopable😂😂😂😂😂

  • @ngasa3420
    @ngasa3420 Год назад +6

    Nikimuona mseminar nacheka san, kwmaba "huyu mimi nakaa nae"😂😂

  • @theresiamartin3150
    @theresiamartin3150 Год назад +3

    🤣🤣🤣shetan yupo koko beach

  • @kamanyile
    @kamanyile Год назад +1

    ndoa za sasa hazishikiki kuna upepo mbya sana yani ni shidaaaa

  • @omnsultan383
    @omnsultan383 Год назад +4

    Mke wapili joti umeyakanyaga

  • @paulshibhiti9584
    @paulshibhiti9584 Год назад +9

    Here in 🇮🇳 India gujarat jot you are so exiting

    • @ntillazolla2213
      @ntillazolla2213 Год назад

      Nishaiiiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @ntillazolla2213
      @ntillazolla2213 Год назад

      Nishaiiiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @cublonwizzy9671
    @cublonwizzy9671 Год назад +6

    Focus ya mamaaaakoooo 😀😀😀😀

  • @msanyawilliam7499
    @msanyawilliam7499 Год назад +3

    Chawa kama chawa sijui wanakwenda kumfanya nini ety???🤣🤣🤣🤣👏🖐

  • @bongatv25
    @bongatv25 Год назад +4

    Mambooo ni moto

  • @eliudijustinyindi5939
    @eliudijustinyindi5939 Год назад +3

    Ilo Buti lilivofungwa halijamuumiza mtu kwelii ila jot bana 🤣🤣💣

  • @Nadhifa0313
    @Nadhifa0313 Год назад +4

    And first

  • @mianomalugumashinga6001
    @mianomalugumashinga6001 Год назад +8

    Joti Kama joti mtu kazi🥣

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Год назад +7

    Kweli wewe jot ni Jembe ❤❤❤❤👍👍👍

  • @ahmadsaid4878
    @ahmadsaid4878 Год назад +2

    Shetwain yupo coco beach anapunga upepo😀😀😀😀

  • @denismross8166
    @denismross8166 Год назад +3

    Jomba Unachukua Focus 😄😄. Hujaigi kosea

  • @salimyahaya7380
    @salimyahaya7380 Год назад +3

    Oyaa ety Mke wa pili huyoo 😆😆😆🙌

  • @aishashomali2716
    @aishashomali2716 Год назад +3

    Nenda ukashonwe umbea tu mishai 😂😂😂😂😂

  • @saidndaki9783
    @saidndaki9783 Год назад +4

    Shetani yuko coco beach anapunga upepo 😄😄

  • @خسنموس
    @خسنموس Год назад +32

    Joti never disappoints 🤣🤣🤣

  • @munyarubugaismailally111
    @munyarubugaismailally111 Год назад +3

    😅😅😅 kashenzi kweli

  • @consorathajames2693
    @consorathajames2693 Год назад +2

    Leo nimewahi 46 ngonga like
    Ingawa nimechapia

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 Год назад +29

    The man is named chawa , it's existing in our environment by the way , thanks for the lesson joti

  • @abubakarinduni8205
    @abubakarinduni8205 Год назад +3

    Inaonekana joti anamkubali sana mlewa adi leo hii bado yupo kwenye team yake wengine wote kawatimua wakina sopa,kipande,mama dame, Rayna na malima kaweka team mpya sema mnafanya kazi nzuri💥💥💥

    • @latifaonesmo7629
      @latifaonesmo7629 Год назад +1

      Ajawatimua ila kumbuka wale kafanyanao kazi mda mrefu anaiunua na awa pia vipaji vionekane

    • @abubakarinduni8205
      @abubakarinduni8205 Год назад

      @@latifaonesmo7629 oooh kumbe

  • @nemeskessy2786
    @nemeskessy2786 Год назад +3

    Ukiwa mbea uwe pia na simu yakazi 😂😂😂

  • @mary2615
    @mary2615 Год назад +19

    I loved this 👌🏻💕👌🏻

  • @amosndosha4222
    @amosndosha4222 Год назад +4

    Leo ndio nimewahi

  • @japhethelijah4252
    @japhethelijah4252 Год назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kweli shetani ni watu kama sisi aseeeeeeee

  • @allymohamedi4668
    @allymohamedi4668 Год назад +10

    King joti

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 Год назад +3

    Nishai bwana umeoponza🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👌👌👌🥰🥰🔥🔥

  • @kingoffishoboy2285
    @kingoffishoboy2285 Год назад +3

    Dar duniani kwakwel nimeamini wapo viumbe ambao wanakufa bira 😂😂😂

  • @Joachim009
    @Joachim009 Год назад +4

    Hata like jaman

  • @andrewjulius6796
    @andrewjulius6796 Год назад +1

    Hizi tabia za kinyaramba kabisa full full,Kila wanaloambiwa na wambea hukurupuka bila kuchunguza na hata wao hua wanawapeleleza watu kuhusu mmewe... kifupi ukioa mnyiramba wengi wao hapo umebug japo sio wotee,,,,wapo na waelewa kwenye 100 wapo 6.🚮🚮

  • @mrkilunga9444
    @mrkilunga9444 Год назад +4

    So nice brow mm nakufatilia Sanaa👊👊💪

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 Год назад +4

    daah nishai hujawai kufeli.😁😁😁😍

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Год назад +3

    🤣🤣🤣za chawa ni ngapi vile

  • @DouglasMassop
    @DouglasMassop Год назад +3

    Kama namuona Mwijaku vile 😂😂

  • @qwirinishao1003
    @qwirinishao1003 Год назад +5

    focus ya mama akoo😂😂😂😂

  • @yusufujamali4577
    @yusufujamali4577 Год назад +3

    Hahaahhaahahahahahahah

  • @issanaseeb7699
    @issanaseeb7699 Год назад +3

    Nachukua focus 😂😂😂

  • @adamsaid156
    @adamsaid156 Год назад +1

    Hawa wanao fanana mlewa na kanyunyu ndugu

  • @orestsanga6294
    @orestsanga6294 Год назад +4

    Kaambulia kuwa mke wa pili🤣🤣🤣

  • @officialmatutu2584
    @officialmatutu2584 Год назад +4

    Wakwanza

  • @wilsonjonas5481
    @wilsonjonas5481 Год назад +4

    🤪🤪🤪🤪🤭

  • @officialTidaz-tv
    @officialTidaz-tv Год назад

    Anae taka kukojozwa aje a Subscriber nimpe namba na lochation plz🥰🥰

  • @officialTidaz-tv
    @officialTidaz-tv Год назад

    Anae taka kukojozwa aje a Subscriber nimpe namba na lochation plz🥰🥰

  • @abdallahghuliku4714
    @abdallahghuliku4714 Год назад +3

    mi nakujulisha tu🤣🤣🤣🤣

  • @safaranimeso6879
    @safaranimeso6879 Год назад +3

    Joti umenishinda tabia

  • @brightonshoo6312
    @brightonshoo6312 Год назад +8

    NEVER DISAPPOINT🔥🔥.. BUT MISS SOPAAAAA

  • @jameswisdomtz8580
    @jameswisdomtz8580 Год назад

    Hivi joti hiyo mishati unachukulia wapi?

  • @anidebezibeautyandlifestyle
    @anidebezibeautyandlifestyle Год назад

    Udaku hautaki uzembe kweli🤣😅 picha za pigwa matako juu juu🤣🤣🤣😂😂😂🤣😆

  • @wellbrand3415
    @wellbrand3415 Год назад +8

    Chawa kajikuta kwenye midomo ya Mamba...
    😂😂😂😂

  • @jonasmongi7811
    @jonasmongi7811 Год назад +1

    Mmbea afi 🤣🤣

  • @anthonylister754
    @anthonylister754 Год назад +3

    Focus ya mamaako 😀😀😀🤙

  • @gaelninkurize9624
    @gaelninkurize9624 Год назад +4

    🤣🤣🤣

  • @mahaluantipas8451
    @mahaluantipas8451 Год назад +4

    Dah joti bwana 😄😄😄
    👉😱👈

  • @alibubamwilomba6262
    @alibubamwilomba6262 Год назад +7

    🔥🔥🔥🤣🤣

  • @suggywest3342
    @suggywest3342 Год назад +5

    Focus ya mamaako 😂😂😂😂😂

  • @emmanuelchilimo
    @emmanuelchilimo Год назад +3

    Joti Cha kwanza kuawaza ni Umalaya🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @simongadiel866
    @simongadiel866 Год назад +3

    Focus ya mama ako😁😁😁😁

  • @amanishiughaaa6345
    @amanishiughaaa6345 Год назад +1

    Iro kof hata kama ni kuigiza rimeingiah kweli kweli pore san
    joti
    Ira nmecheka daaaah

  • @jeniffermasha2540
    @jeniffermasha2540 Год назад +1

    Hii tabia iko saana na wanaume