KAFIA KWA MUUZA SUPU

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 480

  • @paulshibhiti9584
    @paulshibhiti9584 Год назад +3

    Sabuni inatundu katikati hahahaha 😆😂🤣😅😄💖😆 ila jot weye

  • @MeryDeo-xw5ti
    @MeryDeo-xw5ti Год назад +6

    Jamani huyu kaka ananifurahisha sana kama umeikubali gonga like hapa

  • @jeangodelo5349
    @jeangodelo5349 2 года назад +7

    Hapana chezea mpemba 🤣🤣🤣🤣🤣 jotiiiiii 👌👌 unatupa rahaaaaa 🥰🥰

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 2 года назад +12

    🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏼 Bro you are the best never disappoint 😂😂🙌🏼

  • @khatibaliy4738
    @khatibaliy4738 2 года назад +5

    Jot huna baya wala hujawahi kosea 😉😂😂😂😂😂😂😂😂 mbuzi kafia kw Muuza supu

  • @saidmo9250
    @saidmo9250 2 года назад +30

    Joti your super talented Tanzanian legend 🔥

  • @hassanissakibao7510
    @hassanissakibao7510 2 года назад +37

    Me ndo wa kwanza naomben like 👍 jaman

    • @wisperfect5320
      @wisperfect5320 2 года назад +1

      Mtoto wa kiume unaomba like angalia kijana😂😂

  • @cedricmaina4523
    @cedricmaina4523 2 года назад +8

    Weye baki na shangazi, mimi nabaki na mamdogo 😂🤣😂

  • @naimaabuualii578
    @naimaabuualii578 2 года назад +16

    Siku nyingi sijakuona ukingiza kipemba joti 😂

  • @jimsonmakweta545
    @jimsonmakweta545 2 года назад +8

    😁😁😁 wazee wakuchukua sheria mkononi ila Joti unajua sana mwanangu

  • @malakimoses6115
    @malakimoses6115 Год назад

    Hamijei umetisha kaka kweli mbuzi kafia kwa muuza supu aise kaka kazi imependa kaka joti ww haunampinzani ww ndo king wa comedy hapa bongo haipingwi

  • @godfrey3926
    @godfrey3926 Год назад +2

    Usiniite shemeji....Mimi jirani tu....🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 2 года назад +2

    Mbona kupanda mnazi na mkono mmoja🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @azorindege2556
    @azorindege2556 2 года назад +7

    Ahahaha hongera sana Joti vijana naona wameivaaaaaaaa

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys 2 года назад +10

    😂😂😂😂😂 Ndo dawa kila Mtu na wake , Shangazi na Mamdogo Aloooooo 👌🤭🤣🤣🤣🤣🤣

  • @texazcarwash5455
    @texazcarwash5455 2 года назад +13

    Sehemu za siri hazitulizwi!!! Ziko bize muda woote 😀😀😀😀😀

  • @Waytozanzibar
    @Waytozanzibar 2 года назад +11

    Jotiii ❤️❤️❤️ Niko Chamanzi.. ZANZIBAR, see you soon 😊

  • @jamesmatimba3154
    @jamesmatimba3154 2 года назад +1

    Oya kanyinyi mbona una taka kumpiga mlewa kisa kakuita tuu kanyinyi weeee 😂😂😂😂😂

    • @mlewazitotv
      @mlewazitotv 2 года назад

      Hahahahaha ningemchukulia demu wake

  • @gkantate4918
    @gkantate4918 2 года назад +8

    Joti actor number one east Africa and all over the Africa 🤣🤣🙌

  • @alisterlexter1115
    @alisterlexter1115 2 года назад +2

    😂😂ziko bize na kweli kbsa Kuna WAtu kupumzik kwao mwiko👏

  • @erickjohn9345
    @erickjohn9345 2 года назад +5

    Oyaaaa HamiJey huwa anaua kinoma , shangaz kaja ndo kaja sasa 😂

  • @safiasaleh669
    @safiasaleh669 2 года назад +7

    Joti asaaa eti sehem za Siri ziko bize hahaha.......Ami kama amiiii

  • @misananyamanda4784
    @misananyamanda4784 2 года назад +11

    Joti balaa. Leo ijumaa watu wanaenda kazini lkn wanaamka nae . Dk 9 tu views 200+ jamaa Yuko kimkakati sana . Anajua tunapenda nini . Tangu video ya kwanza mpk hii zote nimeangalia .
    Ila ile ya MVUVI NA MSOMI ndo favorite yangu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @mkamaboy2016
      @mkamaboy2016 2 года назад

      Hajafika laki mbili Mzee Bado
      Ana Yuko na viewers 3k na sio 200k

    • @gracethomas683
      @gracethomas683 2 года назад

      @@mkamaboy2016 hujaelewa dk tisa ni watu 200

  • @SalmaMohamed-ck3og
    @SalmaMohamed-ck3og 2 года назад +48

    😃😃😃 Jumma kareem everyone....Joti🔥🔥🔥 huna mpinzani Tanzania na Africa yote.watching from Saudi Arabia🇸🇦🇸🇦🇸🇦

  • @Mona-by5sx
    @Mona-by5sx 2 года назад +33

    Sehemu za siri ziko bize 😂😂🇰🇪

  • @alimuchiri6151
    @alimuchiri6151 2 года назад +2

    "We baki na shangazi mi nabaki na ma mdogo"..🤣🤣🤣🤣

  • @dominicknondo7681
    @dominicknondo7681 Год назад

    Eti kwanini hautulizi sem zako zasiri😁😁😁😁😁 kizaz chasasa kimekunwa huji wa mgojwa Brother 😁😁😁😁

  • @darvie7653
    @darvie7653 Год назад +1

    Hahahah et kanynyii wazir wa china 😅😅😅,utatuua Amy jey

  • @limdrew6106
    @limdrew6106 2 года назад +4

    untakaa kunitiliia janabaa ndanii 😆😆🙌🏿🙌🏿 this got me

  • @aishatarimotarimo2689
    @aishatarimotarimo2689 2 года назад +4

    😂😂😂nimecheka vibaya😂😂at la sabun ka kiaz mbatata

  • @dashuu5295
    @dashuu5295 2 года назад +1

    Ukiona malemba ujue joti Kawa mpemba...Teina mpemba sjui wa kaskazini kwao akina mkojani...badikika weyyeee...apo Sasa kipemba pure🤣🤣🤣🤣

  • @ahmadsaid4878
    @ahmadsaid4878 2 года назад

    Yakhee hunchokoa pweza weee.... Naona mwatumia sabun vibaya mwatoboa kati😀😀😀

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад +4

    Mlewa na kanyinyi wame fananaaaaa sana

  • @febregzabafeba
    @febregzabafeba 2 года назад +17

    Sehemu za Siri zinatumika, ziko busy 🤣🤣🤣

  • @robinhorobson8857
    @robinhorobson8857 2 года назад +4

    Ami tumeisubiria sanaaa sante sanaa joti 💯🔥❤️

  • @meshackaloyce9662
    @meshackaloyce9662 2 года назад +6

    Jot jamani utaacha kwakweli 😂😂😂😂

  • @hopesonmataya7794
    @hopesonmataya7794 Год назад

    can't stop laughing..joti eeehh🙌🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣

  • @praxedaandrewkato7472
    @praxedaandrewkato7472 2 года назад +4

    Joti abakia na ma mdogo weye bakia na aunt🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mshika mbili kweli moja umponyoka but for this boy you have loose all 2 girls 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jamesmpiga5935
    @jamesmpiga5935 2 года назад +18

    wa kwanza mimi weka like kama unamkubali joti

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 2 года назад +7

    Joti😂😂😂umepata mzigo kiulaini dadeki hami jay😂😂😂nimecheka kifala sana.

  • @marthinethomas3020
    @marthinethomas3020 2 года назад +4

    Niliacha darassa la saba nasomea upadri 🔥😂

  • @giersulley3257
    @giersulley3257 Год назад

    hii mbunu nzuri sana dadeki, ndio dawa yao hao akina kanyenye 🤣🤣🤣

  • @jacklinejacklinejonh6530
    @jacklinejacklinejonh6530 2 года назад +6

    🤣🤣🤣🤣🤣 sehem zake zasir ziko busy

  • @lemeboyofficial
    @lemeboyofficial Год назад +2

    we Baki na shangazi sawaa Mimi nabaki na mamdogooooo😂😂😋

  • @adammgaya5396
    @adammgaya5396 Год назад

    Kanyinyo nlikua nakuheshi mnooo😅😅😅

  • @bonifacejuma2701
    @bonifacejuma2701 Год назад

    😄😄😄😄et anapanda mnaz kwa mkono m1😂😂🙌

  • @lauriannicas401
    @lauriannicas401 2 года назад +98

    Gonga Like kama upo kwenye top 10 ya walio ona hii 😂😂😂

  • @chrismuganwa8634
    @chrismuganwa8634 2 года назад +18

    Thank you Mr Joti!
    Love from Burundi 🇧🇮

  • @officialmaasai4602
    @officialmaasai4602 2 года назад +1

    Amiii j acha ukorof🤣

  • @elsnyng6815
    @elsnyng6815 Год назад

    Unapanda mnazi kwa mkono mmoja 😂😂

  • @mageuzimwampamba2855
    @mageuzimwampamba2855 Год назад

    Weye baki na shangazi mi nabaki na mandogo sawaaaaaa eeh

  • @dereckdavid9609
    @dereckdavid9609 2 года назад +11

    Joti akiigiza kama mpemba ndo namkubaligi😂😂

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 Год назад

    mbuzi kufia kwa muuza supu hiyo ni kibudu tupaaaaaa

  • @taharamohd2515
    @taharamohd2515 Год назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣ety sehemu Zako za Siri ziko bize bize🤣🤣🤣🤣🤣

  • @erickmidomsodock8716
    @erickmidomsodock8716 2 года назад +3

    Siku yangu imeisha hvyooo Sina stress kabca 😆😆😂

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Год назад +2

    Eti sehemu zako za siri zipo bize 🤣🤣🤣..
    Nipo Afrika Kusini

  • @SafiaSeif-gw4ut
    @SafiaSeif-gw4ut Год назад

    Sehemu za siri hazitulii ziko bize😅😅😅

  • @wellbrand3415
    @wellbrand3415 2 года назад +3

    😂😂😂😂😂
    Spare my ribs man...

  • @lastbornsaadah7632
    @lastbornsaadah7632 2 года назад +5

    From oman 🇴🇲 we love you joti

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 2 года назад +14

    Never disappoint Jotiiii 🤣🔥

  • @adammgaya5396
    @adammgaya5396 Год назад

    Mie sijaoaa kiukwellii nachokoa chaza Tu na nchuzi WA pwezaa😅

  • @godfrey3926
    @godfrey3926 Год назад +1

    Daaaang..🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @geraldkibasa1495
    @geraldkibasa1495 2 года назад

    Daaa nimecheka kichizi.... Eeet kanyinyi naemjua mimi ni yule waziri mkuu wa China.

  • @missmannydxb
    @missmannydxb Год назад +1

    Leo kama mbuzi kafia kwa muuza supu 😁😂😂😂

  • @mary2615
    @mary2615 2 года назад +20

    Really amazing 👍🏻💕👍🏻

  • @fatumaramadhani596
    @fatumaramadhani596 Год назад

    Yan we nishai nimekupigia salute haahhah

  • @tiffahtiffahbaaby8239
    @tiffahtiffahbaaby8239 2 года назад +3

    Huyo anae somea upadri ndo mtumia sabuni huyooo

  • @giftkenga461
    @giftkenga461 2 года назад +3

    JoTi Maunyama kwa Sana Watching from Saudi Arabia Riyadh

  • @IMAFLOW
    @IMAFLOW Год назад +2

    Joti always impressed Congolese 🤣🤣

  • @fatmaabeid9668
    @fatmaabeid9668 2 года назад +3

    Mbavuuu zanguuu 🤣🤣🤣🤣🤣👍💃❤🔥💪

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 Год назад +3

    Joti number one comedy 🤣 😂

  • @maxwelmjema8485
    @maxwelmjema8485 2 года назад +1

    😃😃😃😃 ww Baki na Shangazi, mm nabaki na mamdogo

  • @darvie7653
    @darvie7653 Год назад

    Ety waita wazunguuu🌚🌚😂😂mie na bakii na mammamdgo

  • @paulchiloleti578
    @paulchiloleti578 2 года назад

    Jamani background kanyimbo ka zamani sana mwenye kujua jina

  • @innojoel
    @innojoel 2 года назад +2

    😂😂😂eti sabuni zinatumika vibaya

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 2 года назад +2

    Wazili wa China🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @omarymnyankasi9690
    @omarymnyankasi9690 2 года назад

    Hapo 🔥🔥 ila unaniudhi kitu 1 kuigiza mwanamke kweny mov zingne

  • @MohdMohd-z2p
    @MohdMohd-z2p 2 месяца назад

    Usilete Janaba Ndani Kwangu 😅

  • @marcelinenkwera31
    @marcelinenkwera31 2 года назад +5

    Shangazi Kaja😂🤣

  • @dizodigital9281
    @dizodigital9281 2 года назад +2

    Kanyinyi waziri wa china 😂😂

  • @alfredjohn5693
    @alfredjohn5693 2 года назад +8

    kanyinyi waziri wa china🤣🤣🤣🤣Joti bana🙌

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale 2 года назад

    SHNGAZI + MAMDOGO. Kakalia dudu! Hahahaha

  • @tiboruhanga258
    @tiboruhanga258 Год назад +1

    🎥hii movie 🎥 thx u

  • @aljabilyyahaya4832
    @aljabilyyahaya4832 2 года назад

    Jotii weeee mbavu zanguuuuuuu hamiiiiii unafaaaaa kweli tuletee vitu kama hv

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 2 года назад +5

    😀😁😂 Mlewa bhana eti sijui mimi nakwama wapi Kanyenye anafaidi!!

    • @mlewazitotv
      @mlewazitotv 2 года назад

      Hahaha sijui nimekwama wapi hahah

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 2 года назад +1

    joti msenge sanaaa et sinite shemeji fala sana wewwwwwww🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @muslims_wedding_solution1380
    @muslims_wedding_solution1380 Год назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣shangazi kaja

  • @imaxshine2210
    @imaxshine2210 Год назад

    Kanyinyi wazir wa wap ety😂😂😂

  • @mashakhalfan
    @mashakhalfan Год назад

    Hahaha 🤣😂 upendi kuzituliza sehemu zako za siri

  • @youngweezy3846
    @youngweezy3846 Год назад

    Et anapanda mnazi na mkono mmoja😁😁😁😁

  • @nawechi4818
    @nawechi4818 2 года назад +3

    🤣🤣🤣eti sehemu za siri zipo bize🤣🤣

  • @wolfgangkichai8577
    @wolfgangkichai8577 2 года назад +6

    Baki na Shangazi mi nanaki na mandogo 😆😆😂😂😂😂👏👏

  • @lovenoor988
    @lovenoor988 2 года назад +3

    Hahaha nakukubali Mr Joti

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 2 года назад +3

    Dah, ajali siku hizi ni nyingi I see.😂

  • @anithastanley5208
    @anithastanley5208 2 года назад

    😆😆😆😆😆sehem za cri hazi2liii😆😆😆😆😆😆asantee huwa unafanya cku yangu kuwa nzur

  • @shedrackdamian2870
    @shedrackdamian2870 Год назад

    Joti saivi tusi mwite joti tumuite king of comedian African

  • @chabybaby1691
    @chabybaby1691 2 года назад +1

    Uyoo shangz alivootok kaach poch yk

  • @sophiesadick5510
    @sophiesadick5510 2 года назад +1

    😂😂😂 . Kanyinyiii, umetoka wapi kumuamini Fisimaji kama huyo. Kelbu mkubwa huyo unamrushia nyama halafu utegemee aiche, tangu lini.

  • @saumurashid4571
    @saumurashid4571 Год назад

    🤣🤣🤣🤣🤣hutuliz sehem zako za Siri🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @LeylatVlogs
    @LeylatVlogs 2 года назад +11

    He’s always up to date and 🔥🔥🔥