Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
😂😂😂😂😂😂😂😂 Nimecheka mpaka ila naomba like hata tano
Wapenda kusoma comment kama mm tufahamiane bas ktk like japo ata kumi tu 👍
Tupo wengi mimi binafsi napenda kusoma comment
@@user-fs7xc2bb5d weacha kama mm siwezi maliza kuangalia clp piba kuchungulia comment
Nimecheka
Tupo
Andunje mtoto mzuri🤣🤣🤣🤣🤣kumbe panya rodi nayo kazi🤣🤣🤣ila joti kipaji chako sio cha nchi hii🤣🤣🤣mashaAllah
Ukila ndumu unaweza kula miwa eka mbili😂😂😂😂
Afande kanyinyi joti namuona kanyinyi mbali sana kazi nzuriiiiiii
Joti(Nishai) is a super comedian around the east Africa and almost in all Africa love you ma brother joti God bless you 🥰🥰🇹🇿🇹🇿
Nakuona Raisi wa comedy TZ God bless more
Nkubali sana kazi za nishai, andunje, kiboga a.k.a jot 💥💥💥
Joti nomaaaa 😂😂
🔥 hatari sana sijawah kosa
Kwa kweli huu ndio usanii,tangu hii character ya Andunje yanitia kichefuchefu mpaka sasa naipenda.Pongezi
Haaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁joti nenda mtoto mzr andunje 😂😂🤣🤣🤣
Akili yako Joti aijuae zaidi ni alikuumba jameni , ✌✌✌kutoka Kenya ni ❤ tu - MUMBI
Anduje 😂🤣🤣🙌 kayakanyaga
KAZI NZURI KAKA... HAUKURUPUKI UNAJIPANGA NA HUKOSEAGI👏🙌
Yeah
Joti my number one comedian in tanzania 🇹🇿 🥰
me two
Ujambo
Joti 4 life We love you in USA🇺🇲🇺🇲
Hi
@@AsmaAsma-gd3mv umechanganyikiwa na bendera😁.... Yuko buza huyo shaur yako
Kazi nzuri ila imeisha vibaya inaonekana inahitaji muendelezo
Hiyo gari la polisi joti umetisha best comedian afrika mashariki na kati na jangwa la sahara
safi sana manina na ndomana sasa iv tuna jidai ktumbea usiku kumbe polis mefanya vizr sana kulishika gwiji tulikua tuna laaa jamani
Darasa la misita hahaha😂😂😂😂😂
Mi nafanywa chambo😂😂😂, mlewa anakichwa kikubwa 😂😂😂
I don’t understand Swahili but I do enjoy watching joti.
U should learn swahili its simple
Tupumzishe🙄
Acha uongo
hahaha sorry
Yeah it's a problem because at this point Joti should know he's popular in all Africa. He should atleast write English subs
Hahahhas😂 Malkia panya buku Mwamba hahha Huko mahabusu hatakunyonga ulimi mwamba 😂
hiyo gari ya polisi iko nimeikubali 😂😂
Nishai, JOTI,Andunje 🤣🤣🤣ilo limwamba limekaaje kwa tank jamn lilivyo kubwa 😂😂😂
😂 umesahau da kibogaa🙌🤣
@@aisharashidy9796 kweli jmn
Nmestukaa😂
@@aisharashidy9796 c ndooo huyoo huyoo jot kiboga adunje
naombeni like zeeeenu😂😂😂😂😂
The super Comedian Mr Joti
Joti,kibogaa,nishai,the best unachezaa part zoteee vzriii😍😁🙏
shamba zima la miwa🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 Andunje umeupiga mwingi sana jamani subiri hukumu jinga wewe 😁😁
Make kwanza nipumue😂
Bonden kwa mandella😆😆😆😆😆😆😆😆
Oh adunje you are super star like it🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ship dont tell any ono🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫
Eti mnara wa kumbukumbu daah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏽
Mwamba yeye ni panya Buku 😂🤣🫵🫵🔥🔥🔥 anduje weye
Unakula hata heka mbili za miwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimependa namna mlivyoonesha Polisi wetu wako imara katika kudhibiti majanga ndani ya Nchi yetu, safi sana
Heka mbili za miwa umekuwa nguruwe kkkk 😂
Love from Muscat 🇴🇲 🇹🇿
Hallo...
Nadir Kuna kitu nataka kukuuliza kuhusu muscat labda utakua na ukweli Zaid ..asante
Mji gn
We are together ✌️
Big up💪💪 Best 🇹🇿 comedianKeep it up💯
We appreciate your job andunje all the way from Tanzania 🇹🇿 tuna ku support wauni tupo south Africa 🇿🇦 wewe ndiye mrithi wa mzee majuto 🎊🎉🌹
Haswaa
Nikiona hili gari la Askari Mimi hoi wallah 🤣 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Gar ya mchongo
😆😆😆salut andunje kwa madiba apo
Yani hiyo nchi yakisenge Sana 😂😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥😂😂
Andunje 🔥🔥🔥
NI KWELI KABISAAAA!!!!!
Banya Lodi katika maelezo yaliyonyooka🤣🤣🤣
Kumbe uncle panya 😆 🤣 😂
Natural talent Bro! Hongera aise
Jaman nitachek mpka nife jot I appreciate you brooo
Keep up the good work
Napenda anavyo pumuwa nihatari 😁😁
Tanzania we got #joti 🖤
Kazi nzuri kaka
Namkubali sana huyu jamaa weka zingine comedy zake
Unakuw bonden kwa Mandela🤣🤣🤣
Jina la Muddy limetajwa! 😂😂😂😂
Iyo gar Yaa police mumeiyona😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Panya buku aliyetoka face bukuu🤣🤣😂😂😂
Mwambia alipokuwa sasa🤣🤣🙌
Nimependa Jeshi La Polisi Lilivokubali kutoa Sare zao Kuectia Ni kwa mara ya Kwanza Naona Sare Sahihi Za Polis zimetumika kwenye Maigizo
Kaka mungu azidi kukubariki akulinde akupe maisha marefu xnaaaaaa 🔥🙌🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 *Hilo Guta ndio Gari la Police kmmk* 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😅😅
hahahaha hahahaha! tangu darasa la 4 mpk sasa niko la 6 nafanya panya rodi
Ety Mwamba ni Panya Buku 🤣🤣🤣🤣🤣
I like this na mafunzo kibao
Omg this man he is sooo funny 🤣 I just love his video 📷 a lot ☺️
Na bado ata hujaifungua😁😁😁
🤣🤣🤣🤣Anaomba apumueee kidog maana Ana pressure
Hahahaha bonden kw mandela dogo hatar sn
hahahaa
Sauti sasa kama katoto kweli vile! Eti afande usinichome 😂😂😂😂😂😂
Oya brother joti respect sana master
😂😂sio panya Road ni panya buku 😂😂😂
😂😂😂😂akili ya mtaani
Unkuwa bondeni uko kwa mandela🤣🤣
Uko vizur sana
Adunje andunje🤣🤣🤣👏👏
Joti Comedy Namba1 Duniani
Kenya tunakupebda joti ❤💪
Joti amebarikiwa sana na uasaniii..hongera sana
Imeweza bro joti.... Nakukubali 🇰🇪
Good 👍😅😂😂🤣🤣
Duuu kwenye tank uyo kweli panya book😂😂
Panya buku,fesibuku,kaunta buku😂😂😂🤣
Some comedian watching jot and they know how excellent he is🤣🇹🇿
Sana tyuu 💪💪💪
Huyu joti ni chz kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mamaa sisiii panya road😂😂😂😂
Sijakuchoma nimekuwasha
Joti heka2 za miwa 🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂msengee sana andunje
Best comedian wangu bora huyu Joti ndio bora sana yaani mtupie kokote pale atafanya vile ambavyo jamii inataka kama unakubaliana na mimi please dondosha like hapa ili tujuane kama tupo pamoja
Salute sanaaaa
Weeeh ni noma ,, umefumbua vitu vingi xana🤣🤣🤣
Joti🤣🤣🤣🙌
🤣🤣🤣🤣🤣mesj nzr kwa jamii
Joti ww sio mzima,😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂wee ni kali siku zote
Hio gari la police ni land Rover au land cruiser au ni Land bongo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana ilo ni v8
@@fatmaally7252 Hatari mno labda v-8
Hahahaaa mapanyaa au mabuku hayo yamejaa
Shtimu inakupa appetite ya kula acre mbili za miwa😂😂😂😂😂anduje😜😜
😂😂😂😂😂😂😂😂 Nimecheka mpaka ila naomba like hata tano
Wapenda kusoma comment kama mm tufahamiane bas ktk like japo ata kumi tu 👍
Tupo wengi mimi binafsi napenda kusoma comment
@@user-fs7xc2bb5d weacha kama mm siwezi maliza kuangalia clp piba kuchungulia comment
Nimecheka
Tupo
Andunje mtoto mzuri🤣🤣🤣🤣🤣kumbe panya rodi nayo kazi🤣🤣🤣ila joti kipaji chako sio cha nchi hii🤣🤣🤣mashaAllah
Ukila ndumu unaweza kula miwa eka mbili😂😂😂😂
Afande kanyinyi joti namuona kanyinyi mbali sana kazi nzuriiiiiii
Joti(Nishai) is a super comedian around the east Africa and almost in all Africa love you ma brother joti God bless you 🥰🥰🇹🇿🇹🇿
Nakuona Raisi wa comedy TZ God bless more
Nkubali sana kazi za nishai, andunje, kiboga a.k.a jot 💥💥💥
Joti nomaaaa 😂😂
🔥 hatari sana sijawah kosa
Kwa kweli huu ndio usanii,tangu hii character ya Andunje yanitia kichefuchefu mpaka sasa naipenda.Pongezi
Haaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁joti nenda mtoto mzr andunje 😂😂🤣🤣🤣
Akili yako Joti aijuae zaidi ni alikuumba jameni , ✌✌✌kutoka Kenya ni ❤ tu - MUMBI
Anduje 😂🤣🤣🙌 kayakanyaga
KAZI NZURI KAKA... HAUKURUPUKI UNAJIPANGA NA HUKOSEAGI👏🙌
Yeah
Joti my number one comedian in tanzania 🇹🇿 🥰
me two
Ujambo
Joti 4 life We love you in USA🇺🇲🇺🇲
Hi
@@AsmaAsma-gd3mv umechanganyikiwa na bendera😁.... Yuko buza huyo shaur yako
@@AsmaAsma-gd3mv umechanganyikiwa na bendera😁.... Yuko buza huyo shaur yako
Kazi nzuri ila imeisha vibaya inaonekana inahitaji muendelezo
Hiyo gari la polisi joti umetisha best comedian afrika mashariki na kati na jangwa la sahara
safi sana manina na ndomana sasa iv tuna jidai ktumbea usiku kumbe polis mefanya vizr sana kulishika gwiji tulikua tuna laaa jamani
Darasa la misita hahaha😂😂😂😂😂
Mi nafanywa chambo😂😂😂, mlewa anakichwa kikubwa 😂😂😂
I don’t understand Swahili but I do enjoy watching joti.
U should learn swahili its simple
Tupumzishe🙄
Acha uongo
hahaha sorry
Yeah it's a problem because at this point Joti should know he's popular in all Africa. He should atleast write English subs
Hahahhas😂 Malkia panya buku Mwamba hahha Huko mahabusu hatakunyonga ulimi mwamba 😂
hiyo gari ya polisi iko nimeikubali 😂😂
Nishai, JOTI,Andunje 🤣🤣🤣ilo limwamba limekaaje kwa tank jamn lilivyo kubwa 😂😂😂
😂 umesahau da kibogaa🙌🤣
@@aisharashidy9796 kweli jmn
Nmestukaa😂
@@aisharashidy9796 c ndooo huyoo huyoo jot kiboga adunje
naombeni like zeeeenu😂😂😂😂😂
The super Comedian Mr Joti
Joti,kibogaa,nishai,the best unachezaa part zoteee vzriii😍😁🙏
shamba zima la miwa🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 Andunje umeupiga mwingi sana jamani subiri hukumu jinga wewe 😁😁
Make kwanza nipumue😂
Bonden kwa mandella😆😆😆😆😆😆😆😆
Oh adunje you are super star like it🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ship dont tell any ono🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫
Eti mnara wa kumbukumbu daah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏽
Mwamba yeye ni panya Buku 😂🤣🫵🫵🔥🔥🔥 anduje weye
Unakula hata heka mbili za miwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimependa namna mlivyoonesha Polisi wetu wako imara katika kudhibiti majanga ndani ya Nchi yetu, safi sana
Heka mbili za miwa umekuwa nguruwe kkkk 😂
Love from Muscat 🇴🇲 🇹🇿
Hallo...
Hi
Nadir Kuna kitu nataka kukuuliza kuhusu muscat labda utakua na ukweli Zaid ..asante
Mji gn
We are together ✌️
Big up💪💪
Best 🇹🇿 comedian
Keep it up💯
We appreciate your job andunje all the way from Tanzania 🇹🇿 tuna ku support wauni tupo south Africa 🇿🇦 wewe ndiye mrithi wa mzee majuto 🎊🎉🌹
Haswaa
Nikiona hili gari la Askari Mimi hoi wallah 🤣 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Gar ya mchongo
😆😆😆salut andunje kwa madiba apo
Yani hiyo nchi yakisenge Sana 😂😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥😂😂
Andunje 🔥🔥🔥
NI KWELI KABISAAAA!!!!!
Banya Lodi katika maelezo yaliyonyooka🤣🤣🤣
Kumbe uncle panya 😆 🤣 😂
Natural talent Bro! Hongera aise
Jaman nitachek mpka nife jot I appreciate you brooo
Keep up the good work
Napenda anavyo pumuwa nihatari 😁😁
Tanzania we got #joti 🖤
Kazi nzuri kaka
Namkubali sana huyu jamaa weka zingine comedy zake
Unakuw bonden kwa Mandela🤣🤣🤣
Jina la Muddy limetajwa! 😂😂😂😂
Iyo gar Yaa police mumeiyona😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Panya buku aliyetoka face bukuu🤣🤣😂😂😂
Mwambia alipokuwa sasa🤣🤣🙌
Nimependa Jeshi La Polisi Lilivokubali kutoa Sare zao Kuectia Ni kwa mara ya Kwanza Naona Sare Sahihi Za Polis zimetumika kwenye Maigizo
Kaka mungu azidi kukubariki akulinde akupe maisha marefu xnaaaaaa 🔥🙌🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 *Hilo Guta ndio Gari la Police kmmk* 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😅😅
hahahaha hahahaha! tangu darasa la 4 mpk sasa niko la 6 nafanya panya rodi
Ety Mwamba ni Panya Buku 🤣🤣🤣🤣🤣
I like this na mafunzo kibao
Omg this man he is sooo funny 🤣 I just love his video 📷 a lot ☺️
Na bado ata hujaifungua😁😁😁
🤣🤣🤣🤣Anaomba apumueee kidog maana Ana pressure
Hahahaha bonden kw mandela dogo hatar sn
hahahaa
Sauti sasa kama katoto kweli vile! Eti afande usinichome 😂😂😂😂😂😂
Oya brother joti respect sana master
😂😂sio panya Road ni panya buku 😂😂😂
😂😂😂😂akili ya mtaani
Unkuwa bondeni uko kwa mandela🤣🤣
Uko vizur sana
Adunje andunje🤣🤣🤣👏👏
Joti Comedy Namba1 Duniani
Kenya tunakupebda joti ❤💪
Joti amebarikiwa sana na uasaniii..hongera sana
Imeweza bro joti.... Nakukubali 🇰🇪
Good 👍😅😂😂🤣🤣
Duuu kwenye tank uyo kweli panya book😂😂
Panya buku,fesibuku,kaunta buku😂😂😂🤣
Some comedian watching jot and they know how excellent he is🤣🇹🇿
Sana tyuu 💪💪💪
Huyu joti ni chz kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mamaa sisiii panya road😂😂😂😂
Sijakuchoma nimekuwasha
Joti heka2 za miwa 🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂msengee sana andunje
Best comedian wangu bora huyu Joti ndio bora sana yaani mtupie kokote pale atafanya vile ambavyo jamii inataka kama unakubaliana na mimi please dondosha like hapa ili tujuane kama tupo pamoja
Salute sanaaaa
Weeeh ni noma ,, umefumbua vitu vingi xana🤣🤣🤣
Joti🤣🤣🤣🙌
🤣🤣🤣🤣🤣mesj nzr kwa jamii
Joti ww sio mzima,😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂wee ni kali siku zote
Hio gari la police ni land Rover au land cruiser au ni Land bongo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana ilo ni v8
@@fatmaally7252 Hatari mno labda v-8
Hahahaaa mapanyaa au mabuku hayo yamejaa
Shtimu inakupa appetite ya kula acre mbili za miwa😂😂😂😂😂anduje😜😜