Joti una sifa zote za kuwa best comedian Kwa hapa kwetu TANZANIA kwani una uwezo wa kuvaa uhusika wa aina tofauti na ukawa kwenye ubora wako Ukiwa mtoto(ANDUNJE) Ukiwa msela(NISHAI) Ukiwa demu(KIBOGA) Ukiwa mpemba(AMIIII JEI) Ukiwa mzee(BABU) na kila uhusika wako unajua ujiweke vipi hilo ndio kubwa linalo kufanya uwe bora na Mashati yako ya ILALA BOMA😁😁 viatu vya KARUME😁😁😁😁 Una kila sababu za kumaliza bando langu
Kiukweli kabisa hata Mimi Siku nikimkuta Msugua Kucha anamshika Mke wangu ntaua maana kila siku nakuta Mke wangu amependeza tu Kucha ila Boya anayemsafisha simuoni. Sasa Ama zangu ama zake.
Hiyo miuno ya joti sasa kama mwali aliyetoka unyagoni 🤣🤣🤣 na nyimbo yake ....wazunguuu ni wetuuu, wazunguuu ni wetuuu wametuletea shanga hadi za shingoni daaah we mwamba ni funga kazi, saluuut broooo ur no 1comedian in Tz 🔥🔥🔥
The best comedian in Tanzania ,we are proud to have such a talented man ,🔥🔥🔥🔥
😂😂😂
kaondoka majuto ametuachia huyu na msanja mkandamizaji
Nishai, much more love from Kenya 🇰🇪
Oya Mwamba nakubali💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾....Wakijaaa waduanzi kama hao hiyo ndio dawa yao.
Joti umenishinda tabiaaa wallah we ni mshenzi,,first comedian wallah nakupa zangu 100000000000000000
hahaaahaaahaaaaa joti fala nyieee
Joti una sifa zote za kuwa best comedian
Kwa hapa kwetu TANZANIA kwani una uwezo wa kuvaa uhusika wa aina tofauti na ukawa kwenye ubora wako
Ukiwa mtoto(ANDUNJE)
Ukiwa msela(NISHAI)
Ukiwa demu(KIBOGA)
Ukiwa mpemba(AMIIII JEI)
Ukiwa mzee(BABU)
na kila uhusika wako unajua ujiweke vipi hilo ndio kubwa linalo kufanya uwe bora
na Mashati yako ya ILALA BOMA😁😁
viatu vya KARUME😁😁😁😁
Una kila sababu za kumaliza bando langu
Proud of him wallah
Yaaaani uyu mtu anatisha sanaaa
Hahahaha eti mashati ya ilala boma
😂😂😂😂 woyoooo
Akiwa nishai aise n shida🤣🤣🤣
Wazungu ni wetu wametuletea shanga za kuvaa shingoni,za kuvaa kiunoni! Iyoooo fagilia wahhhhh!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙏❤️💕
😂😂😂😂
😂😂ila mguu wako kama muwa😅
You've the best acting art in this industry, just keep up the good work Ndugu Andunje😜😜😜
Ndio mana uwaganakuita king of COMEDY
😂😂🤣🤣 JOTI ME SIACHI KUKUFUATILIA SABABU UNAJUWA KUNICHEKESHA ADI NIMEJAMBA MBWIIIIIII 😎😎😂😂🤣🤣
Utakua na mattzo ya linda
Itabidi tuiagize tume ya uchunguzi
@@kavisheonline2418 😅😅😅😅😅😅😅😅🙌
,🤣🤣🤣
Huna linda
So hakuna anaongelea kuhusu uigizaji Mzuri wa huyo dada apo....anajua sana kuigiza
Fact ✊🏼✊🏼
Yeah she’s very talented
She's an actor... Tafuta series inaitwa maneno ya kuambiwa.
Wazungu ni wetu wazungu ni wetu wametuletea shanga😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Jot ni mtu na nusu wazungu ni wetu wamekuletea shanga nimecheka sana kwa saut🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😹
🤣🤣😅 wazungu ni wetu! Kataa!! Katika!!🤣🤣😅 to be sincere Joti makes my day every time!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌😍kitombangile kitwanga wa mikazo leo umejaa🤣🤣🤣🤣🤣👏
Wazungu ni wetu hahaaaa
Yaaaani mguu wake kama muwa ili avae azungushe mara sita mmmmmh 😂😂😂😂😂😂😂 we mtu balaaaa joti 🔥🔥🔥
😁😁😁joti Kama joti king of comedy
Mwamba you have a presence as an actor mbali na comedian, ningependa kukuona kwa movie ivi.
Joti ,ur the top comedian in Tanzania ,,,tunakupenda wewe tu kwakweli endelea kitupa comedy nzur
🤣🤣 huyu joti jmn uwii nampenda bure kwakweli,maana anatuongezea siku za kuishi
🤣
joti msenge sana🙌🏼😂😂😂😂😂😂
Always on point Joti 😂😂😂😂🔥❤️
Wazungu ni wetu wametuletea shanga za kuvaa shingoni,za kuvaa kiunoni! Iyoooo fagilia wahhhhh!😂😂
Umeua sana leo home boy🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dah!!! Joti fundi hatari kwenye comedy nakibali sana
Duuh nilichelewa kuitazama hii ila jot wewe daah hivi unawatoto kweli yaani unachekesha mpaka vichaa duuh my brother you are the best
Kiukweli kabisa hata Mimi Siku nikimkuta Msugua Kucha anamshika Mke wangu ntaua maana kila siku nakuta Mke wangu amependeza tu Kucha ila Boya anayemsafisha simuoni. Sasa Ama zangu ama zake.
Inaweza ikawa ni mwanamke
🤣🤣🤣🤣This guy mara is very amazing and talented #joti 🙏🙏away from 🇿🇦
😂😂😂😂😂😂😂😂😂jamaa anajua had anakera yan😂😂😂Top comedian
Jamaa baunsa anapatia sana namkubali sana 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣nampenda joti nampenda tenaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤️❤️🇹🇿🇹🇿
Kuna Joti mmoja tu..... nimecheka sana
One of the best 😅😅😅😅
Kweli,bhana,ilo somo tosha,namimi nawachukia sana wasugua,kuchaa
Nina msiba ila daaah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nacheka tu hata sijui kwanini nimekuangalia siku kama ya leo ningeacha hata siku ipite tu
Pole namsimbaaa
best comedian in tz🇹🇿🇹🇿... shout out to u Joti
Mbavu zanguuuu 😄😁😆🤣😂🤣 joti ni hatari na nusuuu!
ay bhn jot ila uuponzi kweli??????
Mziki Daimond
Filamu RIP Kanumba
Comedy Joti
Mpira Samata
Ndondi Mwakinyo
Mziki Harmonize
@@elvisoscar9912 Sawa mkuu😂
Limeisha ilo
😂😂😂😂 Hawa mabouncer wanazingua kinyama ila wapaka rangi, wauza shanga,njegere na kibua mnavunja ndoa kama bodaboda
ruclips.net/video/lP8QOGCTzxo/видео.html
Kuna na wauza boflo
Kuna wasajili laini wa mitaani nao
Wewe ndio umetoa ushuhuda@@magrethlehao5927
Msisahau waganga wa kienyeji
Afadhali uyu aezakua msemaji bora
Hiyo miuno ya joti sasa kama mwali aliyetoka unyagoni 🤣🤣🤣 na nyimbo yake ....wazunguuu ni wetuuu, wazunguuu ni wetuuu wametuletea shanga hadi za shingoni daaah we mwamba ni funga kazi, saluuut broooo ur no 1comedian in Tz 🔥🔥🔥
😂😂📍
Ety! Wapiii Nashoooo..
🤣😂😀😄🤣😀😂
Namfurahia joti akiigiza kama Nishai ni nomaaaa,🤣🤣🤣🤣🤣
Best character yake 😀😁
ukiona ivv kuna muza shanga ime mkutaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimechekaa adi nimeliaaa joti🤣🤣🤣
Hii nayo nimecheka yangu yote🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Daah asee Joti hapana...😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Hakika Mungu amekubariki sana braza kila sehemu unafit
😂😂🤣 Nishai hata apigwe vip kofia haitoki kichwani big up bro 🙌
Hahahah 😂😂
Joti Fundi mwenyew like yangu unayoo mzee wa kazi
Joti ww hatari nimecheka mpaka mbavu zinauma aise 😂😂😂😂😂 kazi nzuri
🤣🤣🤣🤣🤣leo kapatikana tena na tenaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wallah nimecheka wazungu ni wetu 🤣🤣🤣🤣😂😂😂
Joti umeyataka mwenyew sa ndani vip tn saut ya huyu kaka kama bordgad 😄😄😄😄😄😄😄💃💗
Joti daily anapatikanaga na majanga.🤣🤣🤣🤣
Daaah hizo nguo zako znaniacha hoi
Noma sana 🤣🤣🤣imeweza kinoma🇰🇪👊
Wazungu ni wetu wazungu ni wetu wametuletea shanga za kuvaa kiunoni😂😂😂😂🥱🥱😂😂
KING OF COMEDY 😂😂😂
Kali sana alafu wazo limenda shule big up joti
Joti i love you!!!!! 😍😍😂😂😂
Hahaha muuza shanga jmni atarii
Best comedian of all time
Jooooooootiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii unaga kazi mboovuuuuuuu🙋♀️🥰😂😂😂😂
King of comedy big up joti
Etiiiii muoshwa huoshwaaa😹
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 king of komedy
Hahaha 😂😂😂 Ni Raha San
Joti unazingua sana.
Dah🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimeiludia n nimecheka😂😂😂😂
Joti wewe 🥰
Wazungu ni wetu 😀😀😀😀😀😀
Afu uyu mbavu nae anaupiga mwingi 😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mbavu zangu mie jamani duuuuh atari nimecheka sana etikatika
Only one KING!!! JOTI a.k.a nishai
Kali Sana mxee
Ukikutwa na mke wa mtu utachagua upigwe kavu au na vilainishi
Duh! Leo mechelewa sana
Watching from Ukraine here 🔥🔥🔥
Ukraine ipi au ya buza
@@sirkingsky108 🤣🤣🤣
Wabongo mtaniuaaa🤣🤣🤣🤣khaa....Ucraine
@@mumyhendry2919 🤣🤣🤣
@@lugendosindi4729 I salute honey😅
Wewe ni noma joti
Joti akili zako Zina kutosha mwe nyewe 😁😁
🤣🤣🤣
😂😂😂😂 joti duuh wallah nilikuwa na stress Ila thank for this
😂😂😂es increíble ..este hombre es un cómico y creador de alegrías 😂😂😂
Sure
nakukubali sana mkuu ongera kwa kutufulaisha
Nyumba aliyoingia tofauti na alipofumaniwa😂
Kumbe umeona na wewe. Ila nimehisi jamaa kaingilia mlango wa nyuma labda. Confused
🤣🤣🤣
ndo yenyewe sema mwanzo walikaa mbele na muuza shanga kakutwa kwa uwani
Habari yako mosani vous Niko Congo
😂😂😂nishai achana na biashara ya uchuuzi,utafia ndani kwa watu🤣🤣
Nishai Mtombangile Kitwango muuza shanga 😂😂😂
Legend 🤣🤣🤣💥
Ni baba na mke katulia nyumbani ahsante 🤣🤣🤣🔥
Joti never disapoite...this is more than spice
Nishaiiii
Big Sound
Jamani Joti shanga mpaka ndani pia nikiwa United Kingdom 😂😂😂😜
Mambo
Joti anamuogo😂😂👋jmniii khaaaa🙌
From 7:23 - to the end nimekufaaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂
"Nishai mishangaaa"🤣🤣🤣!!! Hapo lazima uchezeee mzee
Joti is so talented
Jot bro umenifuraisha wakata kiuno
🤣🤣🤣 Never dissapoint
Bababu kubwa sana.imeisha vizuri sana