MUUZA SHANGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Jamani kila kazi ina ugumu wake, ila ugumu mwingine mnautaka wenyewe, Nishai kapata ugumu...

Комментарии • 955

  • @margaritaraymond4070
    @margaritaraymond4070 2 года назад +80

    The best comedian in Tanzania ,we are proud to have such a talented man ,🔥🔥🔥🔥

    • @ahmedlee3022
      @ahmedlee3022 2 года назад +3

      😂😂😂

    • @fredfrancis104
      @fredfrancis104 2 года назад +1

      kaondoka majuto ametuachia huyu na msanja mkandamizaji

  • @abdirizackkala4593
    @abdirizackkala4593 2 года назад +25

    Nishai, much more love from Kenya 🇰🇪

  • @stn4873
    @stn4873 2 года назад +7

    Oya Mwamba nakubali💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾....Wakijaaa waduanzi kama hao hiyo ndio dawa yao.

  • @fahmisaliim1914
    @fahmisaliim1914 2 года назад +24

    Joti umenishinda tabiaaa wallah we ni mshenzi,,first comedian wallah nakupa zangu 100000000000000000

  • @joejux1380
    @joejux1380 2 года назад +85

    Joti una sifa zote za kuwa best comedian
    Kwa hapa kwetu TANZANIA kwani una uwezo wa kuvaa uhusika wa aina tofauti na ukawa kwenye ubora wako
    Ukiwa mtoto(ANDUNJE)
    Ukiwa msela(NISHAI)
    Ukiwa demu(KIBOGA)
    Ukiwa mpemba(AMIIII JEI)
    Ukiwa mzee(BABU)
    na kila uhusika wako unajua ujiweke vipi hilo ndio kubwa linalo kufanya uwe bora
    na Mashati yako ya ILALA BOMA😁😁
    viatu vya KARUME😁😁😁😁
    Una kila sababu za kumaliza bando langu

  • @princeismailsnr291
    @princeismailsnr291 2 года назад +40

    Wazungu ni wetu wametuletea shanga za kuvaa shingoni,za kuvaa kiunoni! Iyoooo fagilia wahhhhh!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙏❤️💕

  • @jiduah1602
    @jiduah1602 2 года назад +35

    You've the best acting art in this industry, just keep up the good work Ndugu Andunje😜😜😜

  • @markbahati6516
    @markbahati6516 2 года назад +6

    Ndio mana uwaganakuita king of COMEDY

  • @KibweOnlineTv
    @KibweOnlineTv 2 года назад +100

    😂😂🤣🤣 JOTI ME SIACHI KUKUFUATILIA SABABU UNAJUWA KUNICHEKESHA ADI NIMEJAMBA MBWIIIIIII 😎😎😂😂🤣🤣

  • @liciouscharles3370
    @liciouscharles3370 2 года назад +14

    So hakuna anaongelea kuhusu uigizaji Mzuri wa huyo dada apo....anajua sana kuigiza

  • @dutchsafari7562
    @dutchsafari7562 2 года назад +10

    Wazungu ni wetu wazungu ni wetu wametuletea shanga😂😂😂😂

  • @nickchengula9983
    @nickchengula9983 2 года назад +15

    Jot ni mtu na nusu wazungu ni wetu wamekuletea shanga nimecheka sana kwa saut🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😹

  • @anidebezibeautyandlifestyle
    @anidebezibeautyandlifestyle 2 года назад +13

    🤣🤣😅 wazungu ni wetu! Kataa!! Katika!!🤣🤣😅 to be sincere Joti makes my day every time!!

  • @ayshamadege7981
    @ayshamadege7981 2 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌😍kitombangile kitwanga wa mikazo leo umejaa🤣🤣🤣🤣🤣👏

  • @mchemargaret3500
    @mchemargaret3500 2 года назад +3

    Wazungu ni wetu hahaaaa

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 2 года назад +3

    Yaaaani mguu wake kama muwa ili avae azungushe mara sita mmmmmh 😂😂😂😂😂😂😂 we mtu balaaaa joti 🔥🔥🔥

  • @jacklineaidano2808
    @jacklineaidano2808 2 года назад +8

    😁😁😁joti Kama joti king of comedy

  • @bettymash6181
    @bettymash6181 2 года назад +10

    Mwamba you have a presence as an actor mbali na comedian, ningependa kukuona kwa movie ivi.

  • @kwalilian3276
    @kwalilian3276 2 года назад +13

    Joti ,ur the top comedian in Tanzania ,,,tunakupenda wewe tu kwakweli endelea kitupa comedy nzur

  • @eddahfrancis8478
    @eddahfrancis8478 2 года назад +15

    🤣🤣 huyu joti jmn uwii nampenda bure kwakweli,maana anatuongezea siku za kuishi

  • @iamdjgunz1414
    @iamdjgunz1414 2 года назад +4

    joti msenge sana🙌🏼😂😂😂😂😂😂

  • @damarisonsabwa1293
    @damarisonsabwa1293 2 года назад +42

    Always on point Joti 😂😂😂😂🔥❤️

  • @nitunda
    @nitunda 2 года назад +4

    Wazungu ni wetu wametuletea shanga za kuvaa shingoni,za kuvaa kiunoni! Iyoooo fagilia wahhhhh!😂😂

  • @nuhungitao5822
    @nuhungitao5822 2 года назад +5

    Umeua sana leo home boy🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @simonandrew1489
    @simonandrew1489 2 года назад +7

    Dah!!! Joti fundi hatari kwenye comedy nakibali sana

  • @bwagizoselemani8434
    @bwagizoselemani8434 2 года назад

    Duuh nilichelewa kuitazama hii ila jot wewe daah hivi unawatoto kweli yaani unachekesha mpaka vichaa duuh my brother you are the best

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum 2 года назад +4

    Kiukweli kabisa hata Mimi Siku nikimkuta Msugua Kucha anamshika Mke wangu ntaua maana kila siku nakuta Mke wangu amependeza tu Kucha ila Boya anayemsafisha simuoni. Sasa Ama zangu ama zake.

  • @raisimseveni1955
    @raisimseveni1955 2 года назад +12

    🤣🤣🤣🤣This guy mara is very amazing and talented #joti 🙏🙏away from 🇿🇦

  • @hamisikijombo6044
    @hamisikijombo6044 2 года назад +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂jamaa anajua had anakera yan😂😂😂Top comedian

  • @blackpanther4825
    @blackpanther4825 2 года назад +2

    Jamaa baunsa anapatia sana namkubali sana 😂😂😂

  • @praxedadominic6670
    @praxedadominic6670 2 года назад +4

    🤣🤣🤣🤣nampenda joti nampenda tenaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤️❤️🇹🇿🇹🇿

  • @abdullahtiphsaidy6605
    @abdullahtiphsaidy6605 2 года назад +4

    Kuna Joti mmoja tu..... nimecheka sana

  • @Showdeemo36
    @Showdeemo36 2 года назад +9

    One of the best 😅😅😅😅

  • @dicksonlaurean1614
    @dicksonlaurean1614 2 года назад

    Kweli,bhana,ilo somo tosha,namimi nawachukia sana wasugua,kuchaa

  • @wemasumari3272
    @wemasumari3272 2 года назад +15

    Nina msiba ila daaah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nacheka tu hata sijui kwanini nimekuangalia siku kama ya leo ningeacha hata siku ipite tu

  • @dingoomagawa6950
    @dingoomagawa6950 2 года назад +10

    best comedian in tz🇹🇿🇹🇿... shout out to u Joti

  • @clevermngao7565
    @clevermngao7565 2 года назад +3

    Mbavu zanguuuu 😄😁😆🤣😂🤣 joti ni hatari na nusuuu!

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila3038 2 года назад +2

    Mziki Daimond
    Filamu RIP Kanumba
    Comedy Joti
    Mpira Samata
    Ndondi Mwakinyo

  • @artemisneoy9596
    @artemisneoy9596 2 года назад +48

    😂😂😂😂 Hawa mabouncer wanazingua kinyama ila wapaka rangi, wauza shanga,njegere na kibua mnavunja ndoa kama bodaboda

  • @kgchippy
    @kgchippy 2 года назад

    Afadhali uyu aezakua msemaji bora

  • @iddysalim6331
    @iddysalim6331 2 года назад +5

    Hiyo miuno ya joti sasa kama mwali aliyetoka unyagoni 🤣🤣🤣 na nyimbo yake ....wazunguuu ni wetuuu, wazunguuu ni wetuuu wametuletea shanga hadi za shingoni daaah we mwamba ni funga kazi, saluuut broooo ur no 1comedian in Tz 🔥🔥🔥

  • @lewisdomician1634
    @lewisdomician1634 2 года назад

    Ety! Wapiii Nashoooo..
    🤣😂😀😄🤣😀😂

  • @leonardemmanuel9249
    @leonardemmanuel9249 2 года назад +3

    Namfurahia joti akiigiza kama Nishai ni nomaaaa,🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 2 года назад +1

    ukiona ivv kuna muza shanga ime mkutaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @fatumaramadhani8221
    @fatumaramadhani8221 2 года назад +3

    Nimechekaa adi nimeliaaa joti🤣🤣🤣

  • @youjadcellyoujadcell7032
    @youjadcellyoujadcell7032 Год назад

    Hii nayo nimecheka yangu yote🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌

  • @davidnchoji
    @davidnchoji 2 года назад +3

    Daah asee Joti hapana...😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @kingzito31
    @kingzito31 2 года назад

    Hakika Mungu amekubariki sana braza kila sehemu unafit

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 2 года назад +4

    😂😂🤣 Nishai hata apigwe vip kofia haitoki kichwani big up bro 🙌

  • @twistreseach3133
    @twistreseach3133 2 года назад +1

    Joti Fundi mwenyew like yangu unayoo mzee wa kazi

  • @malakimoses6115
    @malakimoses6115 2 года назад +4

    Joti ww hatari nimecheka mpaka mbavu zinauma aise 😂😂😂😂😂 kazi nzuri

  • @rayakhaled1037
    @rayakhaled1037 2 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣leo kapatikana tena na tenaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @singinggirl6554
    @singinggirl6554 2 года назад +4

    Wallah nimecheka wazungu ni wetu 🤣🤣🤣🤣😂😂😂

  • @evarnebarnabas2870
    @evarnebarnabas2870 2 года назад

    Joti umeyataka mwenyew sa ndani vip tn saut ya huyu kaka kama bordgad 😄😄😄😄😄😄😄💃💗

  • @sicac33
    @sicac33 2 года назад +5

    Joti daily anapatikanaga na majanga.🤣🤣🤣🤣

  • @kidumo4118
    @kidumo4118 2 года назад

    Daaah hizo nguo zako znaniacha hoi

  • @suleimanngare6707
    @suleimanngare6707 2 года назад +6

    Noma sana 🤣🤣🤣imeweza kinoma🇰🇪👊

  • @adellaidewilliam659
    @adellaidewilliam659 2 года назад +1

    Wazungu ni wetu wazungu ni wetu wametuletea shanga za kuvaa kiunoni😂😂😂😂🥱🥱😂😂

  • @mansourally91
    @mansourally91 2 года назад +25

    KING OF COMEDY 😂😂😂

  • @babudeemapete6680
    @babudeemapete6680 2 года назад

    Kali sana alafu wazo limenda shule big up joti

  • @kombakomba7922
    @kombakomba7922 2 года назад +9

    Joti i love you!!!!! 😍😍😂😂😂

  • @aliabdallah8908
    @aliabdallah8908 2 года назад

    Hahaha muuza shanga jmni atarii

  • @rajabuhamisi3340
    @rajabuhamisi3340 2 года назад +7

    Best comedian of all time

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 2 года назад +1

    Jooooooootiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii unaga kazi mboovuuuuuuu🙋‍♀️🥰😂😂😂😂

  • @kabambabigiraneza372
    @kabambabigiraneza372 2 года назад +4

    King of comedy big up joti

  • @thelastking5180
    @thelastking5180 2 года назад +2

    Etiiiii muoshwa huoshwaaa😹

  • @camiloaidani2467
    @camiloaidani2467 2 года назад +20

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 king of komedy

  • @humalysaidy1214
    @humalysaidy1214 2 года назад +1

    Hahaha 😂😂😂 Ni Raha San

  • @bennyngoye8707
    @bennyngoye8707 2 года назад +6

    Joti unazingua sana.

  • @asnaissa5891
    @asnaissa5891 Год назад

    Dah🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimeiludia n nimecheka😂😂😂😂

  • @eduardomoussa4508
    @eduardomoussa4508 2 года назад +6

    Joti wewe 🥰

  • @allyjuma6869
    @allyjuma6869 2 года назад

    Wazungu ni wetu 😀😀😀😀😀😀

  • @charlesrichard7270
    @charlesrichard7270 2 года назад +5

    Afu uyu mbavu nae anaupiga mwingi 😂

  • @حليمهالبلوشي-ز5ث

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mbavu zangu mie jamani duuuuh atari nimecheka sana etikatika

  • @justinejackson1731
    @justinejackson1731 2 года назад +7

    Only one KING!!! JOTI a.k.a nishai

  • @ericka.mulamula9680
    @ericka.mulamula9680 2 года назад

    Kali Sana mxee

  • @guccij6236
    @guccij6236 2 года назад +4

    Ukikutwa na mke wa mtu utachagua upigwe kavu au na vilainishi

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 2 года назад

    Duh! Leo mechelewa sana

  • @lugendosindi4729
    @lugendosindi4729 2 года назад +4

    Watching from Ukraine here 🔥🔥🔥

  • @estayohana75
    @estayohana75 Год назад

    Wewe ni noma joti

  • @mcdanta6919
    @mcdanta6919 2 года назад +11

    Joti akili zako Zina kutosha mwe nyewe 😁😁

  • @JumaMwachindiri-ut3qi
    @JumaMwachindiri-ut3qi 10 месяцев назад

    😂😂😂😂 joti duuh wallah nilikuwa na stress Ila thank for this

  • @noordndmn2443
    @noordndmn2443 2 года назад +8

    😂😂😂es increíble ..este hombre es un cómico y creador de alegrías 😂😂😂

  • @njunisamweli2410
    @njunisamweli2410 2 года назад

    nakukubali sana mkuu ongera kwa kutufulaisha

  • @HusseinRj
    @HusseinRj 2 года назад +3

    Nyumba aliyoingia tofauti na alipofumaniwa😂

    • @rahelkiula1988
      @rahelkiula1988 2 года назад

      Kumbe umeona na wewe. Ila nimehisi jamaa kaingilia mlango wa nyuma labda. Confused

    • @gloriousgal2001
      @gloriousgal2001 2 года назад

      🤣🤣🤣

    • @muhsiniyahaya2219
      @muhsiniyahaya2219 2 года назад

      ndo yenyewe sema mwanzo walikaa mbele na muuza shanga kakutwa kwa uwani

  • @isharafreshekid7404
    @isharafreshekid7404 2 года назад +1

    Habari yako mosani vous Niko Congo

  • @wairimumosha9655
    @wairimumosha9655 2 года назад +7

    😂😂😂nishai achana na biashara ya uchuuzi,utafia ndani kwa watu🤣🤣

  • @protv2627
    @protv2627 2 года назад +2

    Nishai Mtombangile Kitwango muuza shanga 😂😂😂

  • @muddyjumaa604
    @muddyjumaa604 2 года назад +5

    Legend 🤣🤣🤣💥

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo 2 года назад

    Ni baba na mke katulia nyumbani ahsante 🤣🤣🤣🔥

  • @mohamedmusa2279
    @mohamedmusa2279 2 года назад +6

    Joti never disapoite...this is more than spice

  • @lemmywanjeh4366
    @lemmywanjeh4366 2 года назад

    Nishaiiii
    Big Sound

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 2 года назад +3

    Jamani Joti shanga mpaka ndani pia nikiwa United Kingdom 😂😂😂😜

  • @maryhosea3845
    @maryhosea3845 2 года назад +1

    Joti anamuogo😂😂👋jmniii khaaaa🙌

  • @queenandchill91
    @queenandchill91 2 года назад +5

    From 7:23 - to the end nimekufaaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @michaelnjunwa9270
    @michaelnjunwa9270 2 года назад +1

    "Nishai mishangaaa"🤣🤣🤣!!! Hapo lazima uchezeee mzee

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 2 года назад +9

    Joti is so talented

  • @emilykadogo8931
    @emilykadogo8931 2 года назад +1

    Jot bro umenifuraisha wakata kiuno

  • @foibeshemayabibuka9769
    @foibeshemayabibuka9769 2 года назад +4

    🤣🤣🤣 Never dissapoint

  • @amanigeorge9886
    @amanigeorge9886 2 года назад

    Bababu kubwa sana.imeisha vizuri sana