KATAPELIWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 апр 2022
  • Kuna watu unaweza kuwafanyia kibuli lakini sio mama miezi tisa tumboni. Mama akisema pesa yako inapotea ujue inapotea kweli...
  • ПриколыПриколы

Комментарии • 796

  • @elifurahambowe510
    @elifurahambowe510 2 года назад +54

    “Kuna mda Naenda kujichukulia sheria mkononi” 😂😂😂🙌

  • @ycmrpondis1537
    @ycmrpondis1537 2 года назад +15

    Huyu Joti hanaga wakushindana nae😂😂😂 you Best comedian

  • @bennysady469
    @bennysady469 2 года назад +17

    Tuliokwepa kutapeliwa Kwa staili hiyo tujuane🤣🥲🥲

  • @CertifiedStoic
    @CertifiedStoic 2 года назад +10

    MWAMBA anakuja vizuri sana 🔥🔥🔥

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 2 года назад +23

    Kipaji kilichokomaa Tanzanua😇🤗🥳🥳🥳🥳

  • @captainalabama2065
    @captainalabama2065 2 года назад +36

    This is what I call Real Talent ,,Big Up Nishai Mtombangile Kitwango Wa Mikazo..🤙🤙🤙🤙

    • @davevice3178
      @davevice3178 2 года назад

      Umesahau ktu broh "Miguno"😀😃😃😃

    • @victormwabuka1850
      @victormwabuka1850 2 года назад

      Miguno

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 2 года назад

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @frankenock2853
      @frankenock2853 2 года назад

      Huwa nacheka sana litamkwapo hilo jina Nishai mtombangile kitwango wa mikazo 😀😀, nihakiyake kuchukua mchekeshaji bora,, Big up sana broo Nishai

    • @jacksonnduna4419
      @jacksonnduna4419 2 года назад

      😂😂😂 mm hilo jina tu, eti mtombangile kitwango wamkazo daaa 😂😂😂😂

  • @iddysalim6331
    @iddysalim6331 2 года назад +48

    Aliyemskia joti akisema "anaona mpaka kesho"🤣🤣🤣 like moja nzito

  • @isayajames6874
    @isayajames6874 2 года назад +2

    Nampendaga uyu bibi yn anajuwa kuigizi vby Lamatah ajamuona uyuuu au nimemwona peke yangu

  • @maigekelvin75
    @maigekelvin75 2 года назад +5

    Kamnyima mama ake kaenda kuwapa mataper jaman laana kapata mapema kabla jua kuwaka..nimejifunza kitu hapo😅😅😅😅joti nomah

  • @bahatilufingo5602
    @bahatilufingo5602 2 года назад +6

    Mwamba umetisha sana hilo koti utafikiria upo Iringa duh hahahahahahahahaha

  • @dj.ino.official
    @dj.ino.official 2 года назад +51

    nataka nione like za WACHUKUA SHERIA MKONONI 😂😂😂

  • @Watema23
    @Watema23 2 года назад +8

    Watu wa Kigoma wanapenda ramli sana.

  • @cedricmaina4523
    @cedricmaina4523 2 года назад +14

    Mama, nimepigwaaaaaa... 🤣😂🤣😂

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 2 года назад +7

    Nimepata tabu kumgundua baunsa kwamba ndio mganga hhahahahaha nyiiiiee Joti anajuaa sanaa

    • @user-nj2kx3hg1i
      @user-nj2kx3hg1i 11 месяцев назад

      Na mm nimechukua muda mrefu kumjua Kama ni yy😅😅😅

  • @mohamedmuhajiri4690
    @mohamedmuhajiri4690 2 года назад +16

    Kuna Mdaa uwaga naenda kujichukulia Sheria mkononi😂😂😂

    • @MrBriarth
      @MrBriarth 2 года назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @husseinmaingo7116
      @husseinmaingo7116 2 года назад +1

      Yaan kumuelewa maneno yake ni kipaj pia

  • @neemairakoze9218
    @neemairakoze9218 2 года назад +13

    Anaona mbaka kesho Joti we Love you bro 😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 2 года назад +8

    😂😂😂MAMAA wamenipigaaaaaaaaa. Nishai kapigwa na kitu kizito😁😁😁

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 2 года назад +11

    Huyu mbababe leo kabeba shangazi kaja 😂😂😂😂😂 Na anapita mlemle kwenye matatizo ya jot

  • @stn4873
    @stn4873 2 года назад +7

    Aaaaaaaah Mwamba sikukujua kabisaaaaaa mpaka umeongea hilo lisauti ndio nimekugundua.

  • @omarcarlos4595
    @omarcarlos4595 2 года назад +13

    Ila Leo joti umepita ndimo kabisa Hawa jamaa wameshawatapeli Sana watu

  • @hkthebaddest
    @hkthebaddest 2 года назад +8

    😂😂😂😂😂😂NAJICHUKULIAGA SHERIA MKONONI......JOTI is the best EVER🔥🙌

  • @sanja_graphix
    @sanja_graphix 2 года назад +4

    Nishai unajua sana, unaigiza kwa kuchekesha watu wa lika zote, uko vizuri sana nakukubaliiii😂😂😂😂😂😂

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz4427 2 года назад +6

    Nimechaka Sana tena sana Jamani 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @victorsomba867
    @victorsomba867 2 года назад +4

    Yaani hii Kama haijawahi kukukuta huwezi elewa, niliibiwa simu,hela,vitambulisho kwa mtindo huohuo. Walaaniwe wale watu iseee 😭😭😭2015

  • @khadijaymohammed4002
    @khadijaymohammed4002 2 года назад +2

    nliwah tapliwa hvi hvi kipumbaf kariakoo😄😄😄walinsomba mzgo wte sitosahau

  • @jameskayanda1702
    @jameskayanda1702 2 года назад +5

    Comedian namba moja Tanzania

  • @tabuhatibu6496
    @tabuhatibu6496 2 года назад +4

    Wallah nimecheka mpaka mkojo unataka kunitoka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣joti unanini lkn 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @lorenzokelly4374
    @lorenzokelly4374 2 года назад +13

    😂🤣😂🤣😂 asiye funzwa na mamaye tafunzwa na ulimwengu. The most talented comedian ever.

  • @allstars7526
    @allstars7526 2 года назад +8

    😂😂😂😂😂Bro Joti umenikumbusha nilivyotapeliwa simu yangu Mwenge pale 2021

  • @zarikassim7738
    @zarikassim7738 2 года назад +17

    Aiseeee hii comedy imenifanyaa nicheke kwa uzuni sio kama nacheka kwa mazur sababu na mimi yashawahi kunikuta n akulizwa wakat huo 2017 nimetoka zangu oman kupumzikaa nikagumianaa nao hawa wakaniimbia simu zangu 3 na pesa laki 2 tena nilienda kuchukua mimi mwneywe ndan kwa akili zangu lkn nakuja kutahamakii nimelizwaa vibaya mnoo nusu nipatee uchizi maan simu zilikuwa zawadi za ndug znagu aiseee kila nikiwaona watu kama hawa wallah napata wazimu nao nataman niwakateee pua niendee nazo asanteee sanaa jot kwa comedy mzur ambayo ipo katika uaribia sababu na mimi pia mchangaaa wa ili japo na shuhuda pia😒😒😒🤣🤣🤣

    • @damarisosebe4161
      @damarisosebe4161 2 года назад +4

      Yaani mm nimetoka zangu Saudi Arabia na laki tano yangu yenye nimesugulia toilet za waarabu nikawakuta wakanitabeli zote pamoja na simu yangu na ndo nilitaka kufungua biashara 😭😭😭😭😭😭 na ni jusi tu ikabidi nirudi uarabuni tena.

    • @zarikassim7738
      @zarikassim7738 2 года назад

      Nomaaa sanaaa hawa watu

    • @modadiiiooop3336
      @modadiiiooop3336 2 года назад

      Yani hata mie nilitoka omani walichuku a dhahabu cm na pochi

    • @zarikassim7738
      @zarikassim7738 2 года назад

      Poleeee me nakumbuka kuna mdada wa ndani alipelekaaa simu za maboss wake na pesa million 1 aiseee yule dada aliungua uchizi maan alilia kama mtoto mdogo

    • @halimameledy6926
      @halimameledy6926 2 года назад

      Mm mwenyewe walinitapeli cm yangu nimetoka nayo oman uwawei sina hamu nao yan wanaondoka hakili ndo inarudi

  • @leengamlay99
    @leengamlay99 2 года назад +6

    Naenda kujichukulia SHERIA mkononi😂😂😂

  • @davidnchoji
    @davidnchoji 2 года назад +50

    This guy is another level 😂😂😂😂😂🙌🏽🙌🏽

    • @prosperkullaya6721
      @prosperkullaya6721 2 года назад +2

      Amenikumbusha mzee jongo na majuto wengine tumetoka hm miaka ya 80

  • @ernestmwakalambo3938
    @ernestmwakalambo3938 2 года назад +5

    Nishai Mtombangile kitwango mikazo 😂😂😂😂😂😂

  • @nemesapollo4846
    @nemesapollo4846 2 года назад +7

    Katapeliwa aaah jotiii 🤣🤣🤣🤣

  • @chondeboy5121
    @chondeboy5121 2 года назад +2

    Umenikumbusha joti na me nilipigwa ivo daah 😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @freddybamba3423
    @freddybamba3423 2 года назад +8

    I'm the number one fan of joti

  • @brianchriss81
    @brianchriss81 2 года назад +14

    Kaka nakufuatilia kama mlo wa kila siku😂😂😂😂

  • @jumaselemani2720
    @jumaselemani2720 2 года назад +3

    Daah hii ya leo kali kaka umetisha kaka 😅😅😅😂😂

  • @mrjaula7769
    @mrjaula7769 2 года назад +50

    Joti na mpoki ndio masupa stars wa comedy nchini Tanzania....
    😂😂Joti nyota yake Ni mpoki pia Mungu awahifadhi na awape umoja wa Hali ya juu..
    I'm from Zanzibar

    • @mohamedsheealom8745
      @mohamedsheealom8745 2 года назад +4

      Mpoki nahisi haezi enda peke yake angekaa na Nishai angekuwa mbali sana Nishai sahi wacha afukuziwe na kina bigi, dogo sele, wengine wafwate lkn joti kaweza kashinda tabia🤣 🤣

    • @kimsamespa8490
      @kimsamespa8490 2 года назад +1

      Mpoki huyu ni yupi sisi ni.joti

    • @mohamedsheealom8745
      @mohamedsheealom8745 2 года назад

      @@kimsamespa8490 🤣

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 2 года назад +1

      @@mohamedsheealom8745 mpoki ni fundi Sana hata joti pia

    • @mohamedsheealom8745
      @mohamedsheealom8745 2 года назад +4

      @@fasterwalker1464 sijaona ufundi wa mpoki kwa kweli kelele tu ndo naona 🤣ila tusibishane kwa comments za joti hapa twaongelea mwamba wetu joti tu mpoki sioni anachofanya kwakweli lbda aje kwa joti afanye colabo itafana

  • @danielmatemu9698
    @danielmatemu9698 2 года назад +7

    Kuna mdogo wangu alishatepeliwa kwa style hii… akaenda nyumbani akachukua pesa za Mama akaenda kuwapa matapeli…

  • @iankweyamba7776
    @iankweyamba7776 2 года назад +2

    Nishai kitombangile mikazo 😂😂😂 wewe ni moto 🔥

  • @agripinamgema3656
    @agripinamgema3656 2 года назад +3

    Nampenda mama, she is good 👍

  • @starjay3052
    @starjay3052 2 года назад +5

    sijapata ata muda wakujipongeza na pesa yangu 😜😁😁🤣🤣😂😂

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 2 года назад +6

    😂😂😂😂😂Mtombangile Kitwango,Mikazo…Miguno😂😂😂

  • @gulamthabit3933
    @gulamthabit3933 2 года назад

    Nishai nakubali sana kaz zak🌏🌏🌏

  • @danielmussa4101
    @danielmussa4101 Год назад

    Noma sana umetisha sana joti

  • @kayjuma2629
    @kayjuma2629 2 года назад +14

    Hahahaha dada ni mweupe
    Lakin anajidownload 😂😂😂😂

  • @joohnicoh3596
    @joohnicoh3596 2 года назад +43

    This guy is talented 😂😂😂🙌

  • @lamarmullahzalim2748
    @lamarmullahzalim2748 2 года назад +2

    Maf respect from 🇰🇪🇰🇪.
    Eti huwa anachukulia Sheria mkononi 😂😂😂😂😂.
    Nishai umeshinda

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 2 года назад +1

    Jot nakupenda sana ijumaa nilitaka kukuchek tu mb ikakata, ila umenichekesha sana hii kaz nzur mnafanya, we ndo best Tanzania

  • @hassanhamza6616
    @hassanhamza6616 2 года назад +8

    Umemnyima mama era hatimae wamechukuwa wajanja Doo inafundisha sana bg up jot

  • @sarahomary3615
    @sarahomary3615 2 года назад +7

    Aki nimecheka 🤣🤣🤣🤣🤣Eti wamenipiga😂😂😂😂😂

  • @fatmafetty4117
    @fatmafetty4117 2 года назад +5

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kweli katapeliwa

  • @aliomari5961
    @aliomari5961 2 года назад +9

    nilitolewa nywele kwenye mdomo ,, na moshi kwenye magoti,,, ati ni za maiti,,,, bongo bwana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @marymungi2104
      @marymungi2104 2 года назад

      Wezi wa buguruni walinifanyia hivyo

    • @modadiiiooop3336
      @modadiiiooop3336 2 года назад

      Leo nimejikuta nacheka .hata mie pia walitaka twende hadi nyumban badae .wakahisi nitashituka

    • @modadiiiooop3336
      @modadiiiooop3336 2 года назад

      Wapo sana bunguruni sokon

  • @sylviakoech2204
    @sylviakoech2204 2 года назад +16

    Thank you for making my morning 😅😅😅

  • @chrismaswali3704
    @chrismaswali3704 2 года назад +8

    Pure talent😂

  • @mpembawizzy5865
    @mpembawizzy5865 2 года назад

    😀😀joti mseng sana et wamenipga

  • @Adnan.Shidhani
    @Adnan.Shidhani 2 года назад +11

    Hizi ndio content zakufurashisha.. sio kuonesha wanawake na mizigo yao

  • @leeabd9057
    @leeabd9057 2 года назад +3

    Doris wa maneno ya kwambiwa 🔥🔥

  • @liciouscharles3370
    @liciouscharles3370 2 года назад

    Niliwah kutapeliwa hv hv...wakanituma tv na simu na pasi nyumban niwapelekee

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila3038 2 года назад +3

    Leo umekoma Dadadekiii 🔥🔥😂😂

  • @blackpanther4825
    @blackpanther4825 2 года назад +4

    Anajichukulia sheria mkononi. Hii crew yako mpya naipenda sana wananifurahisha sana 🤣🤣🤣🤣

  • @ninodebox3855
    @ninodebox3855 2 года назад

    Hao wasenge wapo kuanzia ubungo mbaka magomeni mimi nuc wanitapel ivyo ivyo guys kila actor act reality but dis guy as bring for u as comedy more love to joti

  • @aminamsouth9
    @aminamsouth9 Год назад +2

    Mama yupo so natural ❤😂

  • @orestemanenomaneno7726
    @orestemanenomaneno7726 2 года назад +1

    Duhh brow Kali sana wewe joti 😂😂🇲🇿🔥🕌

  • @ninodebox3855
    @ninodebox3855 2 года назад +3

    Sema walio nitokea mm walisema tafuna karatasi kumbe inanywer 😂😂 #joti

  • @CHITUS
    @CHITUS 2 года назад +5

    I swear things happen I once face such people but I thank God I heard a same story from a friend so I recall before things went bad.

  • @tiboruhanga258
    @tiboruhanga258 Год назад +1

    💜💙🖤❤️naona hapa Dubai 🇦🇪

  • @jumaselemani2720
    @jumaselemani2720 2 года назад +1

    Daaaj bigi fundi sana 😂😂

  • @treshazgodfather9219
    @treshazgodfather9219 2 года назад +6

    😂😂😂😂😂😂Mbona kama imenigusa hivi hawa matapeli kama mm nilivotapeliwA😂

    • @leilatemba9871
      @leilatemba9871 2 года назад +1

      Ata mimi ilinikuta style iyoiyo jamn 🤣🤣🤣🤣

    • @muharas0059
      @muharas0059 2 года назад

      dah mi mwenyewe nishapigwa ivo mamae

  • @ndochiboetz8299
    @ndochiboetz8299 2 года назад +11

    Gonga like hapa twende sawa fans wa joti😂😂😂

  • @ahmadkasika7114
    @ahmadkasika7114 2 года назад +2

    Karbuni tena tandale home ,scene nilicheka sana hiii dah 😀😀😀

  • @saleemmussah
    @saleemmussah 2 года назад

    😁nilitapeliwa hv hvo pale garden magomen nikatapeliwa kanga za mama mpya kabsa dot 3 wallah nmekumbuka mbalii sana

  • @adamumbise9755
    @adamumbise9755 2 года назад +2

    Wa kumi jmn wapi like za joti

  • @ferouzmasoud4870
    @ferouzmasoud4870 2 года назад +3

    Kuna muda naenda kujichukulia Sheria mkononi kwahiyo unaenda kupiga Nyeto 🤣😂

  • @dutchsafari7562
    @dutchsafari7562 2 года назад +15

    Team joti Mlio wahi wapema tujuane
    👇hapa tafathali 😂😂😂

  • @VerifiedComment
    @VerifiedComment 2 года назад +30

    Watching from Kyiv Ukraine. Joti you are the best in Africa! 💣🔥

    • @maembamwita4716
      @maembamwita4716 2 года назад

      Uko Ukraine wapi wewe😀😀

    • @mumyhendry2919
      @mumyhendry2919 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ATI Kyiv🙌🙌🙌

    • @VerifiedComment
      @VerifiedComment 2 года назад +1

      @@maembamwita4716 Так, я в Україні, і я хочу повернутися додому, в Танзанію через війну тут!

    • @VerifiedComment
      @VerifiedComment 2 года назад

      🇺🇦🇺🇦 + 🇹🇿🇹🇿 = ❤️

    • @husseinally7052
      @husseinally7052 2 года назад

      Sheikh umepona na mabomu huko ya urusi

  • @brianaldo5084
    @brianaldo5084 2 года назад +1

    🔥🔥🔥kweli katapeliwa duuh

  • @nancyjonas3484
    @nancyjonas3484 2 года назад

    wanamkubali mwamba saa hv anakuja kwa kasi gonga like tujuane

  • @kodackdeblack7982
    @kodackdeblack7982 2 года назад +3

    😂😂😂😂nishai mtombangwile kitwango mikazo

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 2 года назад +15

    The king of comedy👑✊

  • @johnmushi8739
    @johnmushi8739 2 года назад +1

    Yan jamaaa anajua kufikisha ujumbe kwa jamii sana, tafakar chukua hatua

  • @mussamageme2748
    @mussamageme2748 7 месяцев назад

    Mwamba bro unafany vizur sna afu umependez sana😅😅

  • @augustmbuya7051
    @augustmbuya7051 2 года назад +1

    Hahahahaa daaa et Sheria mkononi

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys 2 года назад +2

    😂😂😂😂 Sio utapata Tabu tu ata utapata Mwajuma 🤣🤣🤣

  • @tchipppo
    @tchipppo 2 года назад +3

    Hiyo style tumetapeliwa wengi jamaa wanatumia dawa kukupumbaza ili wakupige

  • @queenandchill91
    @queenandchill91 2 года назад +1

    Fanya uoe utakuja kutubaka🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sadikinjabula8180
    @sadikinjabula8180 2 года назад

    Hahahaha umetisha Sana.

  • @daudimyombe8879
    @daudimyombe8879 2 года назад +1

    Inafurahisha sana

  • @neemairakoze9218
    @neemairakoze9218 2 года назад +8

    Wa pili leo kwa King comedy Joti 😁😁😁😁😁😁😁

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 2 года назад +1

    Nishai mtoto wa mjini Leo kapigwa!

  • @ismailichipatu5856
    @ismailichipatu5856 2 года назад +1

    Dokta mwambaa😂😂😂🙌🙌🙌

  • @gastonjoseph2596
    @gastonjoseph2596 2 года назад +1

    Nakweli ume pigwa kitu kizito cha kichwa😄😄😄😄🤣😄🤣

  • @mturithomas7818
    @mturithomas7818 2 года назад +1

    anaona mpaka kesho

  • @giuseppemanaos75
    @giuseppemanaos75 2 года назад +2

    😂😂😂😂
    Hata mimi kwa hari hiyoo ningepigwa 😂😂😂😂😂😂

  • @tiffahdangote7548
    @tiffahdangote7548 2 года назад +1

    Nishai ndo ukome!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 2 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣 daaaaaaaaah sio kupata tabu 2 hata mwajuma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hassanally4647
    @hassanally4647 2 года назад +1

    Najichukulia sheria mkononi 🤣🤣🤣🤣joti una lanaaaaa🤣🤣🤣🤣

  • @kapwiletv7166
    @kapwiletv7166 2 года назад

    Nakubali bloo

  • @zachariakonyanza2259
    @zachariakonyanza2259 2 года назад

    Hahahahahahahaha uwiiiiii mamaa yangu nishai utaniua😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣