Aiseeee hii comedy imenifanyaa nicheke kwa uzuni sio kama nacheka kwa mazur sababu na mimi yashawahi kunikuta n akulizwa wakat huo 2017 nimetoka zangu oman kupumzikaa nikagumianaa nao hawa wakaniimbia simu zangu 3 na pesa laki 2 tena nilienda kuchukua mimi mwneywe ndan kwa akili zangu lkn nakuja kutahamakii nimelizwaa vibaya mnoo nusu nipatee uchizi maan simu zilikuwa zawadi za ndug znagu aiseee kila nikiwaona watu kama hawa wallah napata wazimu nao nataman niwakateee pua niendee nazo asanteee sanaa jot kwa comedy mzur ambayo ipo katika uaribia sababu na mimi pia mchangaaa wa ili japo na shuhuda pia😒😒😒🤣🤣🤣
Yaani mm nimetoka zangu Saudi Arabia na laki tano yangu yenye nimesugulia toilet za waarabu nikawakuta wakanitabeli zote pamoja na simu yangu na ndo nilitaka kufungua biashara 😭😭😭😭😭😭 na ni jusi tu ikabidi nirudi uarabuni tena.
Poleeee me nakumbuka kuna mdada wa ndani alipelekaaa simu za maboss wake na pesa million 1 aiseee yule dada aliungua uchizi maan alilia kama mtoto mdogo
Joti na mpoki ndio masupa stars wa comedy nchini Tanzania.... 😂😂Joti nyota yake Ni mpoki pia Mungu awahifadhi na awape umoja wa Hali ya juu.. I'm from Zanzibar
Mpoki nahisi haezi enda peke yake angekaa na Nishai angekuwa mbali sana Nishai sahi wacha afukuziwe na kina bigi, dogo sele, wengine wafwate lkn joti kaweza kashinda tabia🤣 🤣
@@fasterwalker1464 sijaona ufundi wa mpoki kwa kweli kelele tu ndo naona 🤣ila tusibishane kwa comments za joti hapa twaongelea mwamba wetu joti tu mpoki sioni anachofanya kwakweli lbda aje kwa joti afanye colabo itafana
Hao wasenge wapo kuanzia ubungo mbaka magomeni mimi nuc wanitapel ivyo ivyo guys kila actor act reality but dis guy as bring for u as comedy more love to joti
“Kuna mda Naenda kujichukulia sheria mkononi” 😂😂😂🙌
Yn nyeto
@@samwelimoshi5614 Noma
Nyeto
😂😂😂
@@youngweezy3846 🤣
Huyu Joti hanaga wakushindana nae😂😂😂 you Best comedian
Tuliokwepa kutapeliwa Kwa staili hiyo tujuane🤣🥲🥲
MWAMBA anakuja vizuri sana 🔥🔥🔥
Kipaji kilichokomaa Tanzanua😇🤗🥳🥳🥳🥳
Itakuwa nchi mpya hiyo🤪🤪
@@jumakassim5351 😂😂😂 Tanzanua
@@jumakassim5351 nime cheka nilijua ata nyooshwa
This is what I call Real Talent ,,Big Up Nishai Mtombangile Kitwango Wa Mikazo..🤙🤙🤙🤙
Umesahau ktu broh "Miguno"😀😃😃😃
Miguno
😂😂😂😂😂😂😂
Huwa nacheka sana litamkwapo hilo jina Nishai mtombangile kitwango wa mikazo 😀😀, nihakiyake kuchukua mchekeshaji bora,, Big up sana broo Nishai
😂😂😂 mm hilo jina tu, eti mtombangile kitwango wamkazo daaa 😂😂😂😂
Aliyemskia joti akisema "anaona mpaka kesho"🤣🤣🤣 like moja nzito
Jirani
Nampendaga uyu bibi yn anajuwa kuigizi vby Lamatah ajamuona uyuuu au nimemwona peke yangu
Kamnyima mama ake kaenda kuwapa mataper jaman laana kapata mapema kabla jua kuwaka..nimejifunza kitu hapo😅😅😅😅joti nomah
Mwamba umetisha sana hilo koti utafikiria upo Iringa duh hahahahahahahahaha
nataka nione like za WACHUKUA SHERIA MKONONI 😂😂😂
Hatar
joti fundi
Watu wa Kigoma wanapenda ramli sana.
Mama, nimepigwaaaaaa... 🤣😂🤣😂
Nimepata tabu kumgundua baunsa kwamba ndio mganga hhahahahaha nyiiiiee Joti anajuaa sanaa
Na mm nimechukua muda mrefu kumjua Kama ni yy😅😅😅
Kuna Mdaa uwaga naenda kujichukulia Sheria mkononi😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yaan kumuelewa maneno yake ni kipaj pia
Anaona mbaka kesho Joti we Love you bro 😁😁😁😁😁😁😁😁
😂😂😂MAMAA wamenipigaaaaaaaaa. Nishai kapigwa na kitu kizito😁😁😁
Huyu mbababe leo kabeba shangazi kaja 😂😂😂😂😂 Na anapita mlemle kwenye matatizo ya jot
🤣🤣🤣
Aaaaaaaah Mwamba sikukujua kabisaaaaaa mpaka umeongea hilo lisauti ndio nimekugundua.
Ila Leo joti umepita ndimo kabisa Hawa jamaa wameshawatapeli Sana watu
😂😂😂😂😂😂NAJICHUKULIAGA SHERIA MKONONI......JOTI is the best EVER🔥🙌
Kumbe 2meelewa wengi🤣
Nishai unajua sana, unaigiza kwa kuchekesha watu wa lika zote, uko vizuri sana nakukubaliiii😂😂😂😂😂😂
Nimechaka Sana tena sana Jamani 🤣🤣🤣🤣🤣
Yaani hii Kama haijawahi kukukuta huwezi elewa, niliibiwa simu,hela,vitambulisho kwa mtindo huohuo. Walaaniwe wale watu iseee 😭😭😭2015
nliwah tapliwa hvi hvi kipumbaf kariakoo😄😄😄walinsomba mzgo wte sitosahau
Comedian namba moja Tanzania
Wallah nimecheka mpaka mkojo unataka kunitoka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣joti unanini lkn 🔥🔥🔥🔥🔥
😂🤣😂🤣😂 asiye funzwa na mamaye tafunzwa na ulimwengu. The most talented comedian ever.
😂😂😂😂😂Bro Joti umenikumbusha nilivyotapeliwa simu yangu Mwenge pale 2021
Aiseeee hii comedy imenifanyaa nicheke kwa uzuni sio kama nacheka kwa mazur sababu na mimi yashawahi kunikuta n akulizwa wakat huo 2017 nimetoka zangu oman kupumzikaa nikagumianaa nao hawa wakaniimbia simu zangu 3 na pesa laki 2 tena nilienda kuchukua mimi mwneywe ndan kwa akili zangu lkn nakuja kutahamakii nimelizwaa vibaya mnoo nusu nipatee uchizi maan simu zilikuwa zawadi za ndug znagu aiseee kila nikiwaona watu kama hawa wallah napata wazimu nao nataman niwakateee pua niendee nazo asanteee sanaa jot kwa comedy mzur ambayo ipo katika uaribia sababu na mimi pia mchangaaa wa ili japo na shuhuda pia😒😒😒🤣🤣🤣
Yaani mm nimetoka zangu Saudi Arabia na laki tano yangu yenye nimesugulia toilet za waarabu nikawakuta wakanitabeli zote pamoja na simu yangu na ndo nilitaka kufungua biashara 😭😭😭😭😭😭 na ni jusi tu ikabidi nirudi uarabuni tena.
Nomaaa sanaaa hawa watu
Yani hata mie nilitoka omani walichuku a dhahabu cm na pochi
Poleeee me nakumbuka kuna mdada wa ndani alipelekaaa simu za maboss wake na pesa million 1 aiseee yule dada aliungua uchizi maan alilia kama mtoto mdogo
Mm mwenyewe walinitapeli cm yangu nimetoka nayo oman uwawei sina hamu nao yan wanaondoka hakili ndo inarudi
Naenda kujichukulia SHERIA mkononi😂😂😂
This guy is another level 😂😂😂😂😂🙌🏽🙌🏽
Amenikumbusha mzee jongo na majuto wengine tumetoka hm miaka ya 80
Nishai Mtombangile kitwango mikazo 😂😂😂😂😂😂
Katapeliwa aaah jotiii 🤣🤣🤣🤣
Umenikumbusha joti na me nilipigwa ivo daah 😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌
I'm the number one fan of joti
Kaka nakufuatilia kama mlo wa kila siku😂😂😂😂
Daah hii ya leo kali kaka umetisha kaka 😅😅😅😂😂
Joti na mpoki ndio masupa stars wa comedy nchini Tanzania....
😂😂Joti nyota yake Ni mpoki pia Mungu awahifadhi na awape umoja wa Hali ya juu..
I'm from Zanzibar
Mpoki nahisi haezi enda peke yake angekaa na Nishai angekuwa mbali sana Nishai sahi wacha afukuziwe na kina bigi, dogo sele, wengine wafwate lkn joti kaweza kashinda tabia🤣 🤣
Mpoki huyu ni yupi sisi ni.joti
@@kimsamespa8490 🤣
@@mohamedsheealom8745 mpoki ni fundi Sana hata joti pia
@@fasterwalker1464 sijaona ufundi wa mpoki kwa kweli kelele tu ndo naona 🤣ila tusibishane kwa comments za joti hapa twaongelea mwamba wetu joti tu mpoki sioni anachofanya kwakweli lbda aje kwa joti afanye colabo itafana
Kuna mdogo wangu alishatepeliwa kwa style hii… akaenda nyumbani akachukua pesa za Mama akaenda kuwapa matapeli…
Nishai kitombangile mikazo 😂😂😂 wewe ni moto 🔥
Nampenda mama, she is good 👍
sijapata ata muda wakujipongeza na pesa yangu 😜😁😁🤣🤣😂😂
😂😂😂😂😂Mtombangile Kitwango,Mikazo…Miguno😂😂😂
Ayo majina sasa😀😀😀😀
@@redmioman8105 😂😂😂
Nishai nakubali sana kaz zak🌏🌏🌏
Noma sana umetisha sana joti
Hahahaha dada ni mweupe
Lakin anajidownload 😂😂😂😂
This guy is talented 😂😂😂🙌
For sure!
Nataka ni mlete Italy atufurahishe wabongo
Maf respect from 🇰🇪🇰🇪.
Eti huwa anachukulia Sheria mkononi 😂😂😂😂😂.
Nishai umeshinda
Jot nakupenda sana ijumaa nilitaka kukuchek tu mb ikakata, ila umenichekesha sana hii kaz nzur mnafanya, we ndo best Tanzania
Umemnyima mama era hatimae wamechukuwa wajanja Doo inafundisha sana bg up jot
Aki nimecheka 🤣🤣🤣🤣🤣Eti wamenipiga😂😂😂😂😂
Stasahau 😀😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kweli katapeliwa
nilitolewa nywele kwenye mdomo ,, na moshi kwenye magoti,,, ati ni za maiti,,,, bongo bwana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wezi wa buguruni walinifanyia hivyo
Leo nimejikuta nacheka .hata mie pia walitaka twende hadi nyumban badae .wakahisi nitashituka
Wapo sana bunguruni sokon
Thank you for making my morning 😅😅😅
Pure talent😂
😀😀joti mseng sana et wamenipga
Hizi ndio content zakufurashisha.. sio kuonesha wanawake na mizigo yao
Doris wa maneno ya kwambiwa 🔥🔥
Niliwah kutapeliwa hv hv...wakanituma tv na simu na pasi nyumban niwapelekee
Leo umekoma Dadadekiii 🔥🔥😂😂
Anajichukulia sheria mkononi. Hii crew yako mpya naipenda sana wananifurahisha sana 🤣🤣🤣🤣
Wapo vizur sana
Hao wasenge wapo kuanzia ubungo mbaka magomeni mimi nuc wanitapel ivyo ivyo guys kila actor act reality but dis guy as bring for u as comedy more love to joti
Mama yupo so natural ❤😂
Duhh brow Kali sana wewe joti 😂😂🇲🇿🔥🕌
Sema walio nitokea mm walisema tafuna karatasi kumbe inanywer 😂😂 #joti
I swear things happen I once face such people but I thank God I heard a same story from a friend so I recall before things went bad.
Hiya kali
💜💙🖤❤️naona hapa Dubai 🇦🇪
Daaaj bigi fundi sana 😂😂
😂😂😂😂😂😂Mbona kama imenigusa hivi hawa matapeli kama mm nilivotapeliwA😂
Ata mimi ilinikuta style iyoiyo jamn 🤣🤣🤣🤣
dah mi mwenyewe nishapigwa ivo mamae
Gonga like hapa twende sawa fans wa joti😂😂😂
Karbuni tena tandale home ,scene nilicheka sana hiii dah 😀😀😀
😁nilitapeliwa hv hvo pale garden magomen nikatapeliwa kanga za mama mpya kabsa dot 3 wallah nmekumbuka mbalii sana
Wa kumi jmn wapi like za joti
Kuna muda naenda kujichukulia Sheria mkononi kwahiyo unaenda kupiga Nyeto 🤣😂
Team joti Mlio wahi wapema tujuane
👇hapa tafathali 😂😂😂
Watching from Kyiv Ukraine. Joti you are the best in Africa! 💣🔥
Uko Ukraine wapi wewe😀😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ATI Kyiv🙌🙌🙌
@@maembamwita4716 Так, я в Україні, і я хочу повернутися додому, в Танзанію через війну тут!
🇺🇦🇺🇦 + 🇹🇿🇹🇿 = ❤️
Sheikh umepona na mabomu huko ya urusi
🔥🔥🔥kweli katapeliwa duuh
wanamkubali mwamba saa hv anakuja kwa kasi gonga like tujuane
😂😂😂😂nishai mtombangwile kitwango mikazo
The king of comedy👑✊
Yan jamaaa anajua kufikisha ujumbe kwa jamii sana, tafakar chukua hatua
Mwamba bro unafany vizur sna afu umependez sana😅😅
Hahahahaa daaa et Sheria mkononi
😂😂😂😂 Sio utapata Tabu tu ata utapata Mwajuma 🤣🤣🤣
Hiyo style tumetapeliwa wengi jamaa wanatumia dawa kukupumbaza ili wakupige
Sio dawa ni research
Fanya uoe utakuja kutubaka🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahaha umetisha Sana.
Inafurahisha sana
Wa pili leo kwa King comedy Joti 😁😁😁😁😁😁😁
Nishai mtoto wa mjini Leo kapigwa!
Dokta mwambaa😂😂😂🙌🙌🙌
Nakweli ume pigwa kitu kizito cha kichwa😄😄😄😄🤣😄🤣
anaona mpaka kesho
😂😂😂😂
Hata mimi kwa hari hiyoo ningepigwa 😂😂😂😂😂😂
Nishai ndo ukome!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 daaaaaaaaah sio kupata tabu 2 hata mwajuma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Najichukulia sheria mkononi 🤣🤣🤣🤣joti una lanaaaaa🤣🤣🤣🤣
Nakubali bloo
Hahahahahahahaha uwiiiiii mamaa yangu nishai utaniua😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣