KIBOKO YA SEMINARI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2022
  • Kwa kweli hakufukuzae hakwambii toka,ila utaonyeshwa kila staili ndio utajua utakiwi yaani unafukuzwa kiroho (Seminari balaa)
  • ПриколыПриколы

Комментарии • 620

  • @michaelmafuru5842
    @michaelmafuru5842 Год назад +205

    Aliyeona style aliyoingia nayo joti na masela wake wakati wanaingia kula bonyeza like kama umeikubali hiyo style 😀

  • @saidimussa8128
    @saidimussa8128 Год назад +12

    Ila kiukweli
    Huyu mama naye amecheza vzr mno !!
    🌹🌹🌹

  • @janeongala6684
    @janeongala6684 Год назад +83

    Nampenda sana uyu bibi kabuya anajua kuigiza sana 😂😂😂😂 alivyo wachamba ao wakaka

  • @joshuantagala2872
    @joshuantagala2872 Год назад +8

    HUYU MAZA ANAKELELE SANA ANAZINGUA ANAONDOA UHALISIA KUNA VITU ANAFANYA HAVINA UHALISIA

  • @ahmadsaid4878
    @ahmadsaid4878 Год назад +53

    Nishai utabadilisha wafanya kaz wote dunia nzima ila kamwe haitakuja kutokea Team Kipande,sopa,mlewa,kisnai,mama dame,Bleina,mjomba

  • @finah791
    @finah791 Год назад +31

    Huyu mmama anaweza...kwenye juakali pia yupo😍😅

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 Год назад +20

    Mama Iddi wa jua Kali! 😂😂😂 Mama anajua Sana huyu

  • @izo07nyoni40
    @izo07nyoni40 Год назад +3

    Maza uKo vizuri kelele apnguze

  • @lydiacharles5966
    @lydiacharles5966 Год назад +18

    Huyu mama Yuko vizuri bhana yanakula kam majibwa😂😂😂😂🤣🤣🤣

  • @hermescash9463
    @hermescash9463 Год назад +10

    "Umeenda kumuita Nishai au Manishai" 😂😂😂 huyu mama Kibokoooo

  • @youngdady6149
    @youngdady6149 Год назад +19

    jaman hii stayle ya joti anavyoingia ndani na masela wke kula mpunga kwa kweli 😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nmeshindwa kuvumilia

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Год назад +29

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila uyu mama ana moto hatari..

  • @salumuhafidhimtabe420
    @salumuhafidhimtabe420 Год назад +2

    Kaka mrudishe Sopa 🙌🙌🙌🙌

  • @mary2615
    @mary2615 Год назад +17

    Superb 😉💕👍🏻

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Год назад +18

    Nimecheka kifala sana asubui hii😄😄😄😄😄😄make my day good 😃😃😃.

  • @wardamarungu2478
    @wardamarungu2478 Год назад +1

    Huyo mskhaji nimempendaaa buree msela wa nishai

  • @sarahmosessanga3195
    @sarahmosessanga3195 Год назад +13

    Nishai nomaa unawapenda mabest zako 😂🤣

  • @Mtituboy
    @Mtituboy Год назад +13

    Huyo mama ni the best comedian ,,,joti don't loose that talent

    • @pmall8867
      @pmall8867 Год назад

      Hawa Wana Banda Hawa...Atakuw Ashib Kaka Ako😂😂😂

  • @thesoundtvonline
    @thesoundtvonline Год назад +10

    Et manishai😂😂😂oll in oll mpo vizuri ,Ila tunamtaka na kurya Boy

  • @sillaasiemapesa5306
    @sillaasiemapesa5306 Год назад +8

    Nawakubali joti TV mia Kwa mia

  • @rehemasimba5731
    @rehemasimba5731 Год назад +4

    Safii Sanaa jot hii imepitaa yotee imenifurahiishaa sanaa mwanzo mwishoo

  • @aggreymwaseba25
    @aggreymwaseba25 Год назад +2

    Much from uganda by wizzo

  • @naimaabuualii578
    @naimaabuualii578 Год назад +19

    Huyu Mimi nampenda Mimi. Ananifurahisha Kwa kweli 😂😂😂

    • @KileleMartin
      @KileleMartin Год назад

      Utacheka vibayaruclips.net/video/2XKsuurDfEk/видео.html

  • @maxwellkongoman781
    @maxwellkongoman781 Год назад +43

    Nishai never disappoint 😂😂😂😂

  • @ernestfred6813
    @ernestfred6813 Год назад +11

    😊😂😂😂WA KWANZAAA

  • @damarisonsabwa1293
    @damarisonsabwa1293 Год назад +18

    Always good work 🔥♥️

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Год назад +3

    Ila huyu mama anaongeaaa huyoooo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌
    Nimecheka.

  • @samwelshilungu4370
    @samwelshilungu4370 Год назад +31

    Huyu mama nimempendea kwenye jua Kali, amekuwa kiboko ya mama semeni.

    • @faustadonasian2777
      @faustadonasian2777 Год назад

      Sana yaani

    • @hosianakibona659
      @hosianakibona659 Год назад +1

      @@faustadonasian2777 huyu mama ndo komesha kabisa kwa Ashura Nongwa

    • @adetaurus
      @adetaurus Год назад +3

      Ah weee hamuwezi, Mama Semeni balaa, hatumii nguvu nyingi maneno yanaporomoka tu

    • @ahazylutha7881
      @ahazylutha7881 Год назад

      Ni wamoto sanaaa

    • @chrissjoel7752
      @chrissjoel7752 Год назад

      Mama semeni ni mashine 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @papasiful
    @papasiful Год назад +4

    I like your comedy joti am your number one fun # from Kenya

  • @WiselightOfficial
    @WiselightOfficial Год назад +1

    Hauniangushi nimecheka kwa kwel ubarikiwe na Mungu uishi tu

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 Год назад +10

    Sawa kweli Mimi ni mchungaji lkn pia mwenyewe pia ni mhuni kweli kweli 😄😄🙌🙌

  • @dreusebiusjmikongoti248
    @dreusebiusjmikongoti248 Год назад +30

    Mseminari: "Wale wamesepa ee?"🤣 Mimi mwenyewe muhuni

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Год назад +17

    Never disappoint Jotiiii 🤣😂🤸

  • @abdulshakurothman5719
    @abdulshakurothman5719 Год назад +4

    Yote kwa yote, wazee kwenye tasnia ya filam wanajua sana kuigiza tofaut sana vijana tulionao sasa hiv. Huyu bibi bn namkubali sana big up

  • @ramadhanimadeni363
    @ramadhanimadeni363 Год назад +1

    noma sana mkali wetu seminali siopoa

  • @chrismuganwa8634
    @chrismuganwa8634 Год назад +13

    Hhh kaongea mchina!!
    Love from Burundi 🇧🇮!! You make my day guys!!!

    • @pip_rake
      @pip_rake Год назад

      Am curious. How much is internet bundle service in Burundi?

  • @eshahassan7682
    @eshahassan7682 Год назад +4

    Bi mkubwa anaweza masha Allah

  • @mwombekikatabalo9046
    @mwombekikatabalo9046 Год назад +3

    Mwamba anafanana na Gwaji Boy

  • @beatusmtui507
    @beatusmtui507 Год назад +2

    Nishai unajua maana ya friendship 👌👌

  • @shifaazawadi4438
    @shifaazawadi4438 Год назад +5

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu bibi kiboko kuigiza 😂😂😂 Mishai umepelekea chakula miumbwa koko yako 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @benhanclove5997
    @benhanclove5997 Год назад +13

    Hadi nishaii amempa salute 🫡 sana 😂😂

  • @Seifbrown
    @Seifbrown Год назад +3

    ❤❤❤best of the best ❤joti no stress 😅

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Год назад +16

    ila joti uyu mama kiboko yao swaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @eliariro5514
    @eliariro5514 Год назад +2

    Hatakuja kutokea joti kama huyu.
    Aisee nakubali.

  • @faridaharuna2621
    @faridaharuna2621 Год назад +3

    Yaan Nishai,acha tu!!!

  • @kimrudiger4454
    @kimrudiger4454 Год назад +5

    Huyu mama yupo vizuri😂😂😂

  • @davidodehero8760
    @davidodehero8760 Год назад +1

    Naona mwanangu umekua Kama msukule..... Umeita shinai, au manishai

  • @k.o.n.g8925
    @k.o.n.g8925 Год назад +6

    Gym body is always looked down upon when you don't have money 🤦‍♂️.. Waswahili

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Год назад +1

    ih shawai tokea kwa jamaaa yngu mpka tamaa ya kula kani shinda walah

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 Год назад +5

    Hapo kwa mgeni umekosea mama hata kiti atulie kidogo mnaongea mmesimama.

    • @lilianbitegeko6790
      @lilianbitegeko6790 Год назад

      Yees kweli hata mm nimelionaaaa hilii hapo amekosea script! Mgen hta kama hawakuwexa kumuingiza ndani alipaswa apewe hata kiti kwanza

    • @carinamatt1031
      @carinamatt1031 Год назад

      Wazaramo hao

  • @abdulraufmohammedsalum6806
    @abdulraufmohammedsalum6806 Год назад +5

    Huyu bibi mbn kachangamka sn

  • @youngyayoo2805
    @youngyayoo2805 Месяц назад

    Maza anakelele sana anaharibu sasa

  • @davidnchoji
    @davidnchoji Год назад +7

    Joti never disappoints 😂😂😂🙌🏽

  • @LeonardMwakapusya
    @LeonardMwakapusya Год назад +9

    Huyu mama anajua sana kuigiza😂🤣

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 Год назад +1

      Ajui kitu

    • @dannylinguist15
      @dannylinguist15 Год назад

      @@kwisa4899 WIVU

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 Год назад

      @@dannylinguist15 mimi kwa kipimo changu Huyu mama hajui kuigiza hata kama anajua ni kiwango cha kawaida sana hawezi fanana na Mama semeni wala yule Mama anayecheza na joti .

  • @emmanuelchilimo
    @emmanuelchilimo Год назад +2

    Mama amesimama poa sana na amependeza kuwa mama yako ktk scenes daah maneno mengi

  • @hyasintndimbo2998
    @hyasintndimbo2998 Год назад +2

    Uyu bibi mdomo Kawekaje hapo🤣🙌

  • @sheilaamanzi3001
    @sheilaamanzi3001 Год назад +3

    Uyu bibi🔥🔥🔥😂

  • @nemeskessy2786
    @nemeskessy2786 Год назад +8

    8:54 Hiko sio kichina kweli 😂😂😂😂

  • @wallasfoundation2389
    @wallasfoundation2389 Год назад +6

    Uyo mushati wa NISHAI jamaniiiiii😃😃

  • @paulpajero3511
    @paulpajero3511 Год назад +3

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huyo Bibi 🔥🔥🔥🔥

  • @yohanasimba581
    @yohanasimba581 Год назад +4

    Bibi wa moto kweli kweli

  • @wardamohammed2802
    @wardamohammed2802 Год назад +3

    Huyu mama ananifurahisha sana...Ahahaaaaa

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Год назад +11

    Upendo wa kwiyooooo...mseminari hatari 😂😂😂😂

  • @binttsulu647
    @binttsulu647 Год назад +1

    Joti nakupedra bure from 254

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 Год назад +1

    Hakuna character ninayoikubali ya joti Kama hii character ya Nishai! Ni noma sana

  • @ukhutymamuu7470
    @ukhutymamuu7470 Год назад +15

    Nishaiii 😂😂😂

  • @user-ju7dw6tg6d
    @user-ju7dw6tg6d Год назад

    Hongera

  • @jp1780
    @jp1780 Год назад +4

    Unakuza limwili kama nyumba🤣🤣🔥

  • @sophiezakaria
    @sophiezakaria Год назад +9

    😂😂😂😂😂😂hayo maombi ya kichina balaaa 🤣🤣🤣🤣

  • @wendeisaack6385
    @wendeisaack6385 Год назад +1

    Bwana yesu asifiwe....milele Amina😅😂😂ila joti🙌😂

  • @slimbaj3148
    @slimbaj3148 Год назад +2

    Mama anaongea saana adi ana_haribu, anatukana saaana matusi ya reja_reja.. Apunguze maneno yasiyo ya msingi..

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Год назад +2

    Mna wazazi kwanza😃😃😃😃

  • @tahiraabdul1701
    @tahiraabdul1701 Год назад

    Tz washatoa Majuto wa kike,au sio!

  • @mariamgodfrey53
    @mariamgodfrey53 Год назад +7

    Wenye wivu wanasema bibi hawezi mm namkubali kachangamka balaa 😂😂😂

  • @MOPEBLETv657
    @MOPEBLETv657 Год назад +1

    Angekua mamangu uyu mm nahama kaya

  • @evancetilya167
    @evancetilya167 Год назад

    The best ever comedian

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo2099 Год назад +7

    Mchungaji wa mchongo🤣🤣🤣

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад +4

    Mama ana upiga mwingi😂😂😂🙌🙌sana

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 Год назад

    Uyu bibi anajuwa sanaaa

  • @lopomarima8359
    @lopomarima8359 Год назад +3

    Am first like it

  • @wellbrand3415
    @wellbrand3415 Год назад +4

    Diehard Friends + Kupatwa kwa maombi
    😂😂😂

  • @allanykanyota
    @allanykanyota Год назад

    Nishai 🙌🙌

  • @furahabanekwa7013
    @furahabanekwa7013 Год назад +6

    Best comedy ever ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Год назад +1

    Naisha anatisha saana 😀😀🙌🇶🇦🇹🇿

  • @allykagoro754
    @allykagoro754 Год назад

    😂😂😂 bikauye unanivunja mbavu bikauye anaweza sanaaa

  • @massoudsultan8484
    @massoudsultan8484 Год назад +7

    😂😂😂😂huyu Bibi wa kizaramo

  • @faustineedward2425
    @faustineedward2425 Год назад

    Joti uko juu nakpenda San vituko vyak

  • @jacksongeorge3964
    @jacksongeorge3964 Год назад +2

    Hahahahah🤣🤣🤣 etii MAMWBEHA wakubwa, hahah aki huyu mama kaniacha hoi🤣🤣🤣

  • @davidtimotheo7988
    @davidtimotheo7988 Год назад

    Eh mama ni noma kweli hii ni kiboko ya seminali

  • @rahmahasan32
    @rahmahasan32 Год назад

    Hiii kali sana 😂😂😂😂

  • @amosngenzi4790
    @amosngenzi4790 Год назад +1

    Nishai nyoookooo

  • @dr.mgungo1429
    @dr.mgungo1429 Год назад +1

    Sema huyu hawa wamama balaa wanajua kucheza scene zao 🔥🔥🔥

  • @evaristkomba3340
    @evaristkomba3340 Год назад +1

    huyu mama anajua sana kuigiza sana yani

  • @monicageorge2181
    @monicageorge2181 Год назад +4

    Kwani mkiondoka lazima msemeee....si muondokeee😂😂😂😂😂😂

  • @sillaasiemapesa5306
    @sillaasiemapesa5306 Год назад +2

    Imeweza

  • @thanksryo637
    @thanksryo637 Год назад +2

    Huyo mama nimependa vile ana charuka na maneno

  • @mkamaboy2016
    @mkamaboy2016 Год назад +4

    Kondoo wa bwana sio hawa wa kimasai wanaochunga😂🤣🤣
    Mseminari ni hatari ametawanya kwa fimbo ya Musa mpk wamesepa

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum Год назад +1

    Ukikosa Bando siku Moja 🇹🇿 Unakosa Vingi sana

  • @danilokamnya5433
    @danilokamnya5433 Год назад

    Dah nmecheka san

  • @abdallahamad4682
    @abdallahamad4682 Год назад

    Ngoja kwanzaa Umekuja mwenye dini hapa saiv