Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Aliyeona style aliyoingia nayo joti na masela wake wakati wanaingia kula bonyeza like kama umeikubali hiyo style 😀
Tom and Jerry come on boys hhhhhhh
Genius
oi
Mandonga style
@@abdullatifkhamis9943 🤣🤣🤣na mie nisema hivo hivo🤣🤣🤣
Ila kiukweli Huyu mama naye amecheza vzr mno !! 🌹🌹🌹
Nampenda sana uyu bibi kabuya anajua kuigiza sana 😂😂😂😂 alivyo wachamba ao wakaka
Kuwachamba ndo kujua kuigiza
Hata jua kali yupo vizuri hatar
Bibi yupo kwenye muv y jua Kali hatar wamekutana n mwehu mwenzie yule Bibi 😆😆
bi kabuya au bi kauye my dear
Huyo ukitaka kumfaid akutune na kurya boy
HUYU MAZA ANAKELELE SANA ANAZINGUA ANAONDOA UHALISIA KUNA VITU ANAFANYA HAVINA UHALISIA
kwel ase
Yes ni kweelii aache kupiga makelele yaanii anatumia nguvu nyingi duuuuh
Nishai utabadilisha wafanya kaz wote dunia nzima ila kamwe haitakuja kutokea Team Kipande,sopa,mlewa,kisnai,mama dame,Bleina,mjomba
io team ilkua nzur sana ase! kipande namkubal sana
akina sopa ni motooo
Mwamba
Wanamishe gani kina sopa na kipande siku hizi?
Ilikuwa n hatari akna sopa na kipande
Huyu mmama anaweza...kwenye juakali pia yupo😍😅
Kumbe
Siku ya kwanza nilicheka sana walivochambana na mama semeni😂😂
Mama iddiiiii
Mama Iddi wa jua Kali! 😂😂😂 Mama anajua Sana huyu
Maza uKo vizuri kelele apnguze
Huyu mama Yuko vizuri bhana yanakula kam majibwa😂😂😂😂🤣🤣🤣
"Umeenda kumuita Nishai au Manishai" 😂😂😂 huyu mama Kibokoooo
jaman hii stayle ya joti anavyoingia ndani na masela wke kula mpunga kwa kweli 😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nmeshindwa kuvumilia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila uyu mama ana moto hatari..
Kaka mrudishe Sopa 🙌🙌🙌🙌
Superb 😉💕👍🏻
Nimecheka kifala sana asubui hii😄😄😄😄😄😄make my day good 😃😃😃.
@@malenagain oi
Huyo mskhaji nimempendaaa buree msela wa nishai
Nishai nomaa unawapenda mabest zako 😂🤣
Huyo mama ni the best comedian ,,,joti don't loose that talent
Hawa Wana Banda Hawa...Atakuw Ashib Kaka Ako😂😂😂
Et manishai😂😂😂oll in oll mpo vizuri ,Ila tunamtaka na kurya Boy
Nawakubali joti TV mia Kwa mia
Safii Sanaa jot hii imepitaa yotee imenifurahiishaa sanaa mwanzo mwishoo
Much from uganda by wizzo
Huyu Mimi nampenda Mimi. Ananifurahisha Kwa kweli 😂😂😂
Utacheka vibayaruclips.net/video/2XKsuurDfEk/видео.html
Nishai never disappoint 😂😂😂😂
😊😂😂😂WA KWANZAAA
Always good work 🔥♥️
Ila huyu mama anaongeaaa huyoooo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌Nimecheka.
Huyu mama nimempendea kwenye jua Kali, amekuwa kiboko ya mama semeni.
Sana yaani
@@faustadonasian2777 huyu mama ndo komesha kabisa kwa Ashura Nongwa
Ah weee hamuwezi, Mama Semeni balaa, hatumii nguvu nyingi maneno yanaporomoka tu
Ni wamoto sanaaa
Mama semeni ni mashine 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
I like your comedy joti am your number one fun # from Kenya
Hauniangushi nimecheka kwa kwel ubarikiwe na Mungu uishi tu
Sawa kweli Mimi ni mchungaji lkn pia mwenyewe pia ni mhuni kweli kweli 😄😄🙌🙌
Mseminari: "Wale wamesepa ee?"🤣 Mimi mwenyewe muhuni
Never disappoint Jotiiii 🤣😂🤸
Yote kwa yote, wazee kwenye tasnia ya filam wanajua sana kuigiza tofaut sana vijana tulionao sasa hiv. Huyu bibi bn namkubali sana big up
noma sana mkali wetu seminali siopoa
Hhh kaongea mchina!!Love from Burundi 🇧🇮!! You make my day guys!!!
Am curious. How much is internet bundle service in Burundi?
Bi mkubwa anaweza masha Allah
Mwamba anafanana na Gwaji Boy
Nishai unajua maana ya friendship 👌👌
🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu bibi kiboko kuigiza 😂😂😂 Mishai umepelekea chakula miumbwa koko yako 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Hadi nishaii amempa salute 🫡 sana 😂😂
❤❤❤best of the best ❤joti no stress 😅
ila joti uyu mama kiboko yao swaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hatakuja kutokea joti kama huyu.Aisee nakubali.
Yaan Nishai,acha tu!!!
Huyu mama yupo vizuri😂😂😂
Naona mwanangu umekua Kama msukule..... Umeita shinai, au manishai
Gym body is always looked down upon when you don't have money 🤦♂️.. Waswahili
ih shawai tokea kwa jamaaa yngu mpka tamaa ya kula kani shinda walah
Hapo kwa mgeni umekosea mama hata kiti atulie kidogo mnaongea mmesimama.
Yees kweli hata mm nimelionaaaa hilii hapo amekosea script! Mgen hta kama hawakuwexa kumuingiza ndani alipaswa apewe hata kiti kwanza
Wazaramo hao
Huyu bibi mbn kachangamka sn
Maza anakelele sana anaharibu sasa
Joti never disappoints 😂😂😂🙌🏽
Huyu mama anajua sana kuigiza😂🤣
Ajui kitu
@@kwisa4899 WIVU
@@dannylinguist15 mimi kwa kipimo changu Huyu mama hajui kuigiza hata kama anajua ni kiwango cha kawaida sana hawezi fanana na Mama semeni wala yule Mama anayecheza na joti .
Mama amesimama poa sana na amependeza kuwa mama yako ktk scenes daah maneno mengi
Uyu bibi mdomo Kawekaje hapo🤣🙌
Uyu bibi🔥🔥🔥😂
8:54 Hiko sio kichina kweli 😂😂😂😂
Uyo mushati wa NISHAI jamaniiiiii😃😃
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huyo Bibi 🔥🔥🔥🔥
Bibi wa moto kweli kweli
Huyu mama ananifurahisha sana...Ahahaaaaa
Upendo wa kwiyooooo...mseminari hatari 😂😂😂😂
Joti nakupedra bure from 254
Hakuna character ninayoikubali ya joti Kama hii character ya Nishai! Ni noma sana
Nishaiii 😂😂😂
niaje
Safi
Hongera
Unakuza limwili kama nyumba🤣🤣🔥
😂😂😂😂😂😂hayo maombi ya kichina balaaa 🤣🤣🤣🤣
Bwana yesu asifiwe....milele Amina😅😂😂ila joti🙌😂
Nmecheka sana at milele amina😀😀🤣🤣🤣🤣
Mama anaongea saana adi ana_haribu, anatukana saaana matusi ya reja_reja.. Apunguze maneno yasiyo ya msingi..
Mna wazazi kwanza😃😃😃😃
Tz washatoa Majuto wa kike,au sio!
Wenye wivu wanasema bibi hawezi mm namkubali kachangamka balaa 😂😂😂
Angekua mamangu uyu mm nahama kaya
The best ever comedian
Mchungaji wa mchongo🤣🤣🤣
Mama ana upiga mwingi😂😂😂🙌🙌sana
Uyu bibi anajuwa sanaaa
Am first like it
Diehard Friends + Kupatwa kwa maombi😂😂😂
Nishai 🙌🙌
Best comedy ever ❤️❤️❤️❤️❤️
Naisha anatisha saana 😀😀🙌🇶🇦🇹🇿
😂😂😂 bikauye unanivunja mbavu bikauye anaweza sanaaa
😂😂😂😂huyu Bibi wa kizaramo
Joti uko juu nakpenda San vituko vyak
Hahahahah🤣🤣🤣 etii MAMWBEHA wakubwa, hahah aki huyu mama kaniacha hoi🤣🤣🤣
Eh mama ni noma kweli hii ni kiboko ya seminali
Hiii kali sana 😂😂😂😂
Nishai nyoookooo
Sema huyu hawa wamama balaa wanajua kucheza scene zao 🔥🔥🔥
huyu mama anajua sana kuigiza sana yani
Kwani mkiondoka lazima msemeee....si muondokeee😂😂😂😂😂😂
Imeweza
Huyo mama nimependa vile ana charuka na maneno
Kondoo wa bwana sio hawa wa kimasai wanaochunga😂🤣🤣Mseminari ni hatari ametawanya kwa fimbo ya Musa mpk wamesepa
Ukikosa Bando siku Moja 🇹🇿 Unakosa Vingi sana
Dah nmecheka san
Ngoja kwanzaa Umekuja mwenye dini hapa saiv
Aliyeona style aliyoingia nayo joti na masela wake wakati wanaingia kula bonyeza like kama umeikubali hiyo style 😀
Tom and Jerry come on boys hhhhhhh
Genius
oi
Mandonga style
@@abdullatifkhamis9943 🤣🤣🤣na mie nisema hivo hivo🤣🤣🤣
Ila kiukweli
Huyu mama naye amecheza vzr mno !!
🌹🌹🌹
Nampenda sana uyu bibi kabuya anajua kuigiza sana 😂😂😂😂 alivyo wachamba ao wakaka
Kuwachamba ndo kujua kuigiza
Hata jua kali yupo vizuri hatar
Bibi yupo kwenye muv y jua Kali hatar wamekutana n mwehu mwenzie yule Bibi 😆😆
bi kabuya au bi kauye my dear
Huyo ukitaka kumfaid akutune na kurya boy
HUYU MAZA ANAKELELE SANA ANAZINGUA ANAONDOA UHALISIA KUNA VITU ANAFANYA HAVINA UHALISIA
kwel ase
Yes ni kweelii aache kupiga makelele yaanii anatumia nguvu nyingi duuuuh
Nishai utabadilisha wafanya kaz wote dunia nzima ila kamwe haitakuja kutokea Team Kipande,sopa,mlewa,kisnai,mama dame,Bleina,mjomba
io team ilkua nzur sana ase! kipande namkubal sana
akina sopa ni motooo
Mwamba
Wanamishe gani kina sopa na kipande siku hizi?
Ilikuwa n hatari akna sopa na kipande
Huyu mmama anaweza...kwenye juakali pia yupo😍😅
Kumbe
Siku ya kwanza nilicheka sana walivochambana na mama semeni😂😂
Mama iddiiiii
Mama Iddi wa jua Kali! 😂😂😂 Mama anajua Sana huyu
Maza uKo vizuri kelele apnguze
Huyu mama Yuko vizuri bhana yanakula kam majibwa😂😂😂😂🤣🤣🤣
"Umeenda kumuita Nishai au Manishai" 😂😂😂 huyu mama Kibokoooo
jaman hii stayle ya joti anavyoingia ndani na masela wke kula mpunga kwa kweli 😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nmeshindwa kuvumilia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila uyu mama ana moto hatari..
Kaka mrudishe Sopa 🙌🙌🙌🙌
Superb 😉💕👍🏻
Nimecheka kifala sana asubui hii😄😄😄😄😄😄make my day good 😃😃😃.
oi
@@malenagain oi
Huyo mskhaji nimempendaaa buree msela wa nishai
Nishai nomaa unawapenda mabest zako 😂🤣
Huyo mama ni the best comedian ,,,joti don't loose that talent
Hawa Wana Banda Hawa...Atakuw Ashib Kaka Ako😂😂😂
Et manishai😂😂😂oll in oll mpo vizuri ,Ila tunamtaka na kurya Boy
Nawakubali joti TV mia Kwa mia
Safii Sanaa jot hii imepitaa yotee imenifurahiishaa sanaa mwanzo mwishoo
Much from uganda by wizzo
Huyu Mimi nampenda Mimi. Ananifurahisha Kwa kweli 😂😂😂
Utacheka vibayaruclips.net/video/2XKsuurDfEk/видео.html
Nishai never disappoint 😂😂😂😂
😊😂😂😂WA KWANZAAA
Always good work 🔥♥️
Ila huyu mama anaongeaaa huyoooo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌
Nimecheka.
Huyu mama nimempendea kwenye jua Kali, amekuwa kiboko ya mama semeni.
Sana yaani
@@faustadonasian2777 huyu mama ndo komesha kabisa kwa Ashura Nongwa
Ah weee hamuwezi, Mama Semeni balaa, hatumii nguvu nyingi maneno yanaporomoka tu
Ni wamoto sanaaa
Mama semeni ni mashine 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
I like your comedy joti am your number one fun # from Kenya
Hauniangushi nimecheka kwa kwel ubarikiwe na Mungu uishi tu
Sawa kweli Mimi ni mchungaji lkn pia mwenyewe pia ni mhuni kweli kweli 😄😄🙌🙌
Mseminari: "Wale wamesepa ee?"🤣 Mimi mwenyewe muhuni
Never disappoint Jotiiii 🤣😂🤸
Yote kwa yote, wazee kwenye tasnia ya filam wanajua sana kuigiza tofaut sana vijana tulionao sasa hiv. Huyu bibi bn namkubali sana big up
noma sana mkali wetu seminali siopoa
Hhh kaongea mchina!!
Love from Burundi 🇧🇮!! You make my day guys!!!
Am curious. How much is internet bundle service in Burundi?
Bi mkubwa anaweza masha Allah
Mwamba anafanana na Gwaji Boy
Nishai unajua maana ya friendship 👌👌
🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu bibi kiboko kuigiza 😂😂😂 Mishai umepelekea chakula miumbwa koko yako 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Hadi nishaii amempa salute 🫡 sana 😂😂
❤❤❤best of the best ❤joti no stress 😅
ila joti uyu mama kiboko yao swaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hatakuja kutokea joti kama huyu.
Aisee nakubali.
Yaan Nishai,acha tu!!!
Huyu mama yupo vizuri😂😂😂
Naona mwanangu umekua Kama msukule..... Umeita shinai, au manishai
Gym body is always looked down upon when you don't have money 🤦♂️.. Waswahili
ih shawai tokea kwa jamaaa yngu mpka tamaa ya kula kani shinda walah
Hapo kwa mgeni umekosea mama hata kiti atulie kidogo mnaongea mmesimama.
Yees kweli hata mm nimelionaaaa hilii hapo amekosea script! Mgen hta kama hawakuwexa kumuingiza ndani alipaswa apewe hata kiti kwanza
Wazaramo hao
Huyu bibi mbn kachangamka sn
Maza anakelele sana anaharibu sasa
Joti never disappoints 😂😂😂🙌🏽
Huyu mama anajua sana kuigiza😂🤣
Ajui kitu
@@kwisa4899 WIVU
@@dannylinguist15 mimi kwa kipimo changu Huyu mama hajui kuigiza hata kama anajua ni kiwango cha kawaida sana hawezi fanana na Mama semeni wala yule Mama anayecheza na joti .
Mama amesimama poa sana na amependeza kuwa mama yako ktk scenes daah maneno mengi
Uyu bibi mdomo Kawekaje hapo🤣🙌
Uyu bibi🔥🔥🔥😂
8:54 Hiko sio kichina kweli 😂😂😂😂
Uyo mushati wa NISHAI jamaniiiiii😃😃
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huyo Bibi 🔥🔥🔥🔥
Bibi wa moto kweli kweli
Huyu mama ananifurahisha sana...Ahahaaaaa
Upendo wa kwiyooooo...mseminari hatari 😂😂😂😂
Joti nakupedra bure from 254
Hakuna character ninayoikubali ya joti Kama hii character ya Nishai! Ni noma sana
Nishaiii 😂😂😂
niaje
Safi
Hongera
Unakuza limwili kama nyumba🤣🤣🔥
😂😂😂😂😂😂hayo maombi ya kichina balaaa 🤣🤣🤣🤣
Bwana yesu asifiwe....milele Amina😅😂😂ila joti🙌😂
Nmecheka sana at milele amina😀😀🤣🤣🤣🤣
Mama anaongea saana adi ana_haribu, anatukana saaana matusi ya reja_reja.. Apunguze maneno yasiyo ya msingi..
Mna wazazi kwanza😃😃😃😃
Tz washatoa Majuto wa kike,au sio!
Wenye wivu wanasema bibi hawezi mm namkubali kachangamka balaa 😂😂😂
Angekua mamangu uyu mm nahama kaya
The best ever comedian
Mchungaji wa mchongo🤣🤣🤣
Mama ana upiga mwingi😂😂😂🙌🙌sana
Uyu bibi anajuwa sanaaa
Am first like it
Diehard Friends + Kupatwa kwa maombi
😂😂😂
Nishai 🙌🙌
Best comedy ever ❤️❤️❤️❤️❤️
Naisha anatisha saana 😀😀🙌🇶🇦🇹🇿
😂😂😂 bikauye unanivunja mbavu bikauye anaweza sanaaa
😂😂😂😂huyu Bibi wa kizaramo
Joti uko juu nakpenda San vituko vyak
Hahahahah🤣🤣🤣 etii MAMWBEHA wakubwa, hahah aki huyu mama kaniacha hoi🤣🤣🤣
Eh mama ni noma kweli hii ni kiboko ya seminali
Hiii kali sana 😂😂😂😂
Nishai nyoookooo
Sema huyu hawa wamama balaa wanajua kucheza scene zao 🔥🔥🔥
huyu mama anajua sana kuigiza sana yani
Kwani mkiondoka lazima msemeee....si muondokeee😂😂😂😂😂😂
Imeweza
Huyo mama nimependa vile ana charuka na maneno
Kondoo wa bwana sio hawa wa kimasai wanaochunga😂🤣🤣
Mseminari ni hatari ametawanya kwa fimbo ya Musa mpk wamesepa
Ukikosa Bando siku Moja 🇹🇿 Unakosa Vingi sana
Dah nmecheka san
Ngoja kwanzaa Umekuja mwenye dini hapa saiv