KALAMBA CHUCHU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Wadada wa mjini mnaojiita wapigaji ni bora mkatupiga pesa lakini sio mtupatie starehe alafu mnatuzimisha mazima...

Комментарии • 493

  • @evaristimramba9047
    @evaristimramba9047 Год назад +182

    Sijachelewa nimewahi naomba like zifike 100 my best comedian

  • @chrismuganwa8634
    @chrismuganwa8634 Год назад +15

    From Burundi 🇧🇮 I like so much your work!!!

  • @herongwikwi1021
    @herongwikwi1021 Год назад +3

    Weeeeh ni noma sana, kiukweli unafundisha kwa vitendo💯💯💯

  • @ismailngulingar2133
    @ismailngulingar2133 Год назад +19

    Huyu ndio mrithi sahihi wa marehemu king majuto Akiyamungu Bora ni enjoy 😂😂😂

  • @kendrick9339
    @kendrick9339 Год назад +8

    Nan kafurahi kumuona coletha ❤😊

  • @user-nb6tv5jc3d
    @user-nb6tv5jc3d Год назад +16

    😂😂😂😂❤ kalamba chuchu kwa milioni kumi

  • @allyfatma7359
    @allyfatma7359 Год назад +2

    🙆🙆.daah,inauma Sana,kuramba chuchu tu Kwa milioni 10...walimwengu hawana huruma.kibegi kimetoweka na mgeni.

  • @madetetv6576
    @madetetv6576 Год назад +6

    Jamani na mie nipate utamu wa like from USA

  • @arkamsaid7600
    @arkamsaid7600 Год назад +9

    Joti 1 million subscribers 🥰 .

  • @ozil_artvdeo
    @ozil_artvdeo Год назад +6

    MERRY NI BEST CAST KWA VDEO HII ✌✌😍😍🇹🇿✊✊

  • @bestsuma5826
    @bestsuma5826 Год назад +24

    Congrats Joti on reaching 1M subscribers 🎉..Keep up the excellent work ❤

  • @ibrahimowen5573
    @ibrahimowen5573 Год назад +5

    Hii ndio tafsiri ya komedy kuburudisha na kuelimisha,hii iko vizuri sana

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Год назад +1

    Leo kiofs ofs tmekja j ka j big up Sana 💪wazee tsnyonyee tenaa chuchuu tmeshajuwaaa kmekchaa kmekchaaaa

  • @malamafyisamkanda5362
    @malamafyisamkanda5362 Год назад +26

    😂😂😂 Uyu jamaa pale nikiwa nipo nawaza nimuangalie nani ndo nakutana na Video yake dah so powa Joti🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @saidilome-ue2df
    @saidilome-ue2df Год назад +2

    Best comedian in Africa wa kwanza Brain Jotter.wapili Joti,watatu Mkojani.

  • @violethswai8061
    @violethswai8061 Год назад +4

    Coletha tulikumiss sana, hongereni sana Joti TV, kazi nzuri

    • @nuruzebedayo5458
      @nuruzebedayo5458 Год назад +1

      Amenakili sauti ya gunulu kwenye tamthiria ya saa tatu Azam burudani Kwa

  • @rosemuhandoofficial5676
    @rosemuhandoofficial5676 Год назад +75

    Haya jamani wale wa Dumila tujuwane hapa!!!!

  • @dashuu5295
    @dashuu5295 Год назад +10

    Mapema watu washalamba nyonyo.. chezea joti na kisix chake wewweee😂 muwe na ijumaa njemmaaa

  • @Jumamakanta
    @Jumamakanta 8 месяцев назад +1

    Huyu akipew pesa na mwanamke vyote havifiki 😂😂😂😂😂

  • @kulwamafuluka9122
    @kulwamafuluka9122 Год назад +2

    Yn hy jamaa kweny mishe zake zte hajawahi kufnkisha 😄😄😄😄

  • @DanielChankwa-cc4ns
    @DanielChankwa-cc4ns Год назад +12

    Nishai,kitombangire kitwango😂😂😂 aka Jot baba wawil

  • @Kdia334
    @Kdia334 Год назад +12

    Hi kaka Joti from Tanzania live in UK 🎉

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Год назад +6

    Kweli umelamba chuchu 😂😂😂😂😂😂😂❣️

  • @user-kf9rs6xp1j
    @user-kf9rs6xp1j Год назад +4

    Nakukubare sanaaa mwamba

  • @mtutumtutwe2739
    @mtutumtutwe2739 Год назад +1

    Huyu dada kawa serious mpk raha,kaigiza vzr sana

  • @rashidmohammed4887
    @rashidmohammed4887 Год назад +4

    Huwaga nakupotezea tu Joti lkn leo nimekufatilia vzr na nimecheka sana.

  • @kilatyaerick
    @kilatyaerick Год назад +2

    "Babe na kusubiria kwenye uwanja wa mipasho.."..Ongea haraka Vitu zisha changanywa ..Kisungura pori..nime kikamata porini....😅😅😅
    Huyu mtoto ni kno...😅😅

  • @kawanga0073
    @kawanga0073 Год назад +5

    Imelia ya mezani imepokelewa ya mkononi, lkn ww ni bora sana bila mbambaaa 😂😂😂😂😂😂.

  • @almisfahcs8255
    @almisfahcs8255 Год назад +13

    Joti his very talented 😂😂😂😂😂

  • @user-yc7vf4ln5q
    @user-yc7vf4ln5q Год назад

    Jamni nafurahi kumuona kopetha raymond jmnn mpeni salam arafat from zenjy

  • @abalhassanjumaa8735
    @abalhassanjumaa8735 Год назад +1

    Jamn tujuzane kusema kweli mie sijaelewa alipo sema kalamba chuchu Kisha kawa katika Hali Ile Kwan wakinadada wamelata tecnolojia gn jmn please MSAADA wakunijulisha

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 Год назад +8

    Hiii Imeenda hata kabla sijamaliza kuangalia 😂😂

  • @brianjulius255
    @brianjulius255 Год назад

    Kuhusu kipaji cha joti no comment but huyo Boss anajua sana

  • @MwigaKatumpula-mi3zt
    @MwigaKatumpula-mi3zt Год назад +21

    Inakuwa movie ya Kwanza kuonyeshe pesa taslim sio fake money Kama zile zingine za mchongo 👏👏😃😃

  • @ponsiankahesi3458
    @ponsiankahesi3458 Год назад

    Very nice ujumbe tunapata. Rahahahaa

  • @Nickojunior
    @Nickojunior Год назад +3

    Million tumeeneza😂 kama umeona jiandikishe hapa
    👇🏿

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Год назад +1

    Duh joti umenikumbusha miaka 8 iliyopita ilishanikutaga hii kitu sinza ambiance!!

    • @IsraelKisaila
      @IsraelKisaila Год назад

      😂😂😂

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 Год назад

      @@IsraelKisaila hatari

    • @IsraelKisaila
      @IsraelKisaila Год назад +1

      Waliondoka na TSH NGAPI? HAHA 🤣🤣🤣

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 Год назад +1

      @@IsraelKisaila elfu 76 , simu ,vitatu na saa ya mkononi halafu sikutomba Wala Nini....chuchu ziliniponza ...kitoto unakikuta chuchu zimesimama Dede asiee lazima uanze nazo kwanza....

    • @IsraelKisaila
      @IsraelKisaila Год назад

      @@mtzhalisi2232 pole sana, hahaha 🤣🤣 uliamka saa ngapi?

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Год назад +4

    Nimecheka Kwakweli Zitto ety kwani wewe Nan Ake. 😂😂😂😂 Ahaaa nikajua mke wake😂

  • @fabianclato3101
    @fabianclato3101 Год назад +1

    Mtombangile mikazo

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 Год назад +8

    Huyo dada wa ofisini ni actress Mzuri inabidi tuwe tuna mwona mara kwa mara

  • @barakasircholle4098
    @barakasircholle4098 Год назад +1

    Mm wa kwanza leo... joti komedian mkali tz wakuelmsha na kuburudsha

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Год назад +4

    Kujifanya kujua kwingi 😂😂😂binadamu😂😂😂ongea na watu uvae viatu,

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Год назад +3

    😂😂😂joti akili zake anazijua mwenyewe wallah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Fgldesigns
    @Fgldesigns Год назад

    Na show umekosa daaaah! Hasara tupu bora ungepata kimoja umekosa show na hela pia

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Год назад +9

    Never disappoint jotiiii😅 😂😂🎉

  • @hamiskisime6973
    @hamiskisime6973 Год назад +3

    Ni maigizo. Lakini Yalomkuta Joti usiombe yakukute. Huu Ni msiba mkubwa

  • @delisercheminest118
    @delisercheminest118 Год назад +1

    Boss kacheza vizur Sana

  • @masakijack9905
    @masakijack9905 Год назад +12

    Hatari sana mzee baba😂

  • @shedrackhyera1844
    @shedrackhyera1844 Год назад +6

    Umelamba chuchu Kwa mil 10😂😂

  • @OnesmoMwipopo-co8dr
    @OnesmoMwipopo-co8dr Год назад +17

    Best comedian in Africa

  • @witnesskimaro216
    @witnesskimaro216 Год назад +4

    nillijua ijumaa hii ,ni zamu ya kua kiboga😂maan naenjoy san ,moment za kiboga jmn i hope next friday ni zam ya kiboga😂❤

  • @mwinyitz7256
    @mwinyitz7256 Год назад +12

    😂😂Kweli Hii Kalamba Chuchu Hayaa Joti Jibu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Год назад +1

    Joti ela ya koreta lakini,umepigwa na jimwanamke lala jiji❤❤❤👍👍

  • @madahaimani1258
    @madahaimani1258 Год назад

    me leo nimemkubali dada boss kapendeza boss like na kacheza vyema

  • @khalfannyanje8970
    @khalfannyanje8970 Год назад +19

    Show sijapiga ile nimenyonya chuchu tu nishai fala kweli😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @amoury1481
    @amoury1481 Год назад +1

    Usichukulie kama Comedy tu Imebeba Maudhui pia.
    Hii Tabia Wadada wamekuwa Wakiitumia kuwalaghai wanaume(Wachati wao) Kwa kuweka Madawa ya Kulevya Kwenye Manyonyo,Pindi tu mwanaume anapoenda Kuogelea Ziwa Victoria Basi Hulamba Dawa za Kulevya
    Baada ya Hapo Mwanaume hajielewi Mwanamke anabeba Kila Kitu.Tuweni makini Hali Ni ngumu

  • @ahmadsaid4878
    @ahmadsaid4878 Год назад +2

    Wangap tumeludia kipande cha bola ni enjoy😂😂😂

  • @gaspersoka6111
    @gaspersoka6111 Год назад +4

    Show tame ya chuchu,wanawake nyie mtafika mbinguni mmechoka...😂😂😂😂 joti wew ni kwele dingiii

  • @oscarnyange4065
    @oscarnyange4065 Год назад +2

    Sister jua kali anajua sana kuigiza yuko vizur

  • @andrewraphael3098
    @andrewraphael3098 Год назад +5

    Ijumaa nyingine toka kwa nishai😂😂😂😂😂

  • @diamond_killertz1995
    @diamond_killertz1995 Год назад +1

    Saut ya coleta ❤mashallah

  • @erickmidomsodock8716
    @erickmidomsodock8716 Год назад +4

    Siku Yangu imeisha hvyooo Sina stress kabca 😆😂😂😊

  • @gataliya
    @gataliya Год назад +6

    1M subscribers 🥳👏👏🎉

  • @Nyalafu
    @Nyalafu Год назад +1

    Baba kaenda kazini, Jodi chizi

  • @selemankhalfan7820
    @selemankhalfan7820 Год назад +5

    Bora niinjoy😂😂😂😂

  • @footballlegends715
    @footballlegends715 Год назад +2

    1m joti soon🎉

  • @albertdomician8598
    @albertdomician8598 Год назад +7

    Always the best😂😂

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 Год назад +4

    😂😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka vibaya sana uyu mtu mmmh

  • @sumakijaji4547
    @sumakijaji4547 Год назад +6

    Wakwanzaaaa

  • @martinsbernabentadolamarti8479
    @martinsbernabentadolamarti8479 9 месяцев назад

    joti unaweza

  • @user-si4cj4mg2b
    @user-si4cj4mg2b Год назад +7

    Fundi wa comedy 😀🤣

  • @abdallahmbonabona8860
    @abdallahmbonabona8860 Год назад +6

    Joti bana😂😂

  • @kenray9321
    @kenray9321 Год назад +5

    Joti naulikuwa ushapita yule dem vizuri,aki shetani mbaya 🤣🤣🤣.lkn umenibwaga ungepiga mechi ata short moja 2

  • @goodluckpeter7371
    @goodluckpeter7371 Год назад +3

    SIKU ZOTE UKIWA USICHANGANYE KAZI NA STAREHE VINGINEVYO HUWA NI MAJUTO BAADAYE

  • @junioremmanuel1695
    @junioremmanuel1695 Год назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣jotiiii konyoooo

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 Год назад +3

    ❤❤❤❤❤❤joti upo juu sana

  • @Justin-eb2xn
    @Justin-eb2xn Год назад +6

    Sitaki like lkn naendlea kuchek kalambaje chuchu😂😂

  • @yonamatowo
    @yonamatowo Год назад +1

    kitombangile kanasa leo 😅😅😅😅

  • @DominickNondoMussa-gf5gk
    @DominickNondoMussa-gf5gk Год назад +1

    Eti boss unachap kazi ila ndani Yako unaubaba pia😂😂😂😂

  • @SingoMedia
    @SingoMedia Год назад +2

    Huna kazi mbovu kaka... hongera sana 🤣🤣🤣🤣

  • @meshackaloyce9662
    @meshackaloyce9662 Год назад +14

    Jott utafika mbinguni ukiwa umechoka sana😂😂😂😂

  • @breackychangwe-zm9cm
    @breackychangwe-zm9cm Год назад +1

    Boss umeibiwa😂😂😂😂

  • @simonandrew1489
    @simonandrew1489 Год назад +3

    Good Job Mr Joti 👏

  • @mathiasshayo6348
    @mathiasshayo6348 Год назад

    Nakusubiria hapa kwenye uwanja wa vipaji🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mrishowjohnny9316
    @mrishowjohnny9316 Год назад +8

    Huyo mama anajua kuigiza❤

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 Год назад +1

    Kontawa katutana na kontinyu 😂😂😂 kibunda kimesepa kaambulia kunyonya Chuchu 😂😂😂😂😂😂😂 jot mshenzi sana hili ni fundisho kwa wanaume malaya na wanawake malaya pia wasiopitwa na kitu chochote wakiutana nacho unashindwa kufata kitu ulichoagizwa kikazi unaenda kujishokokesha kwa mtu usie mfahamu madhara yake ndo hayo

  • @ejmonline206
    @ejmonline206 Год назад

    Bosi kawaruhusu vijana wampige nua joti...makuruti yameelewa😂😂

  • @user-fb6nh1tj7r
    @user-fb6nh1tj7r Год назад +1

    Nimeibiwa mim au umeibiwaa wwee😂😂😂🙌

  • @hafidhamana325
    @hafidhamana325 Год назад +1

    Show hakupija
    Kanyonya chuchu tu
    Wapi nduru ya nishai mtomba ngile kitwango 😂😂😂😂😂

  • @annaki318
    @annaki318 Год назад +4

    Wale wa mwanza tujuane🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @BestRupia-ix5hv
    @BestRupia-ix5hv Год назад +2

    Coletha hujasahau tu 🤣🤣🤣 piga nuwaaa ....kweli ile kitu iko damuni tena unasimamia doso kwa unaa balaa 🤣🤣🤣

  • @victormosha6137
    @victormosha6137 Год назад +5

    😂😂joti unajua sanaaa

  • @Michugan-lm7hf
    @Michugan-lm7hf Год назад

    Hahaaah nishai mwanangu unajua san

  • @dicksonrevocatus9711
    @dicksonrevocatus9711 Год назад

    😅😅😅 😅 Jot bana😂

  • @bellogregory7175
    @bellogregory7175 Год назад +5

    Hatimae JOTI TV tumefika 1M subscriber 😊❤🎉🎉

    • @bestsuma5826
      @bestsuma5826 Год назад +1

      I know he has come so far 🎉🎉

  • @user-wf9lm5sb8d
    @user-wf9lm5sb8d Год назад +1

    sasa joti hapo ulivyomuona boss tu ungezimia mara ya pili hahahahahaa

  • @andrewkilave3532
    @andrewkilave3532 Год назад +1

    Joti mchukue coletha kwenye kundi lako anajua sana aisee

  • @emmanuelchiziwa
    @emmanuelchiziwa Год назад

    Da coreta apigweee nua jamani mambo ys dumilaa hayooo😂😂😂

  • @kipangatz19
    @kipangatz19 Год назад

    Coletha nakukubali sana

  • @mwitadaniel4081
    @mwitadaniel4081 Год назад +3

    Boss nae kakasirika joti kalamba chuchu aisee😂😂😂 Bora hata angepiga