"Babe na kusubiria kwenye uwanja wa mipasho.."..Ongea haraka Vitu zisha changanywa ..Kisungura pori..nime kikamata porini....😅😅😅 Huyu mtoto ni kno...😅😅
Usichukulie kama Comedy tu Imebeba Maudhui pia. Hii Tabia Wadada wamekuwa Wakiitumia kuwalaghai wanaume(Wachati wao) Kwa kuweka Madawa ya Kulevya Kwenye Manyonyo,Pindi tu mwanaume anapoenda Kuogelea Ziwa Victoria Basi Hulamba Dawa za Kulevya Baada ya Hapo Mwanaume hajielewi Mwanamke anabeba Kila Kitu.Tuweni makini Hali Ni ngumu
Kontawa katutana na kontinyu 😂😂😂 kibunda kimesepa kaambulia kunyonya Chuchu 😂😂😂😂😂😂😂 jot mshenzi sana hili ni fundisho kwa wanaume malaya na wanawake malaya pia wasiopitwa na kitu chochote wakiutana nacho unashindwa kufata kitu ulichoagizwa kikazi unaenda kujishokokesha kwa mtu usie mfahamu madhara yake ndo hayo
Sijachelewa nimewahi naomba like zifike 100 my best comedian
Zikifika Mia halafu utatupa jicho?
@@criminalminds7723😢😢😢😢😢þ😢
like unazipeleka wapi kenge wewe?
acha ushamba 😏
@@officialkamdudu😂😂😂😂
Peleka likes sokoni 😅😅😅😂😂
From Burundi 🇧🇮 I like so much your work!!!
Weeeeh ni noma sana, kiukweli unafundisha kwa vitendo💯💯💯
Huyu ndio mrithi sahihi wa marehemu king majuto Akiyamungu Bora ni enjoy 😂😂😂
kweli uko sawa ndo mrithi wa majuto huyo
Kweli yn kk😂
Yn joti huna baya kabisa ww ni Mr bean wa tz😂😂😂
@@mohammedkidody5618 Ndio
Nan kafurahi kumuona coletha ❤😊
😂😂😂😂❤ kalamba chuchu kwa milioni kumi
🙆🙆.daah,inauma Sana,kuramba chuchu tu Kwa milioni 10...walimwengu hawana huruma.kibegi kimetoweka na mgeni.
Jamani na mie nipate utamu wa like from USA
Joti 1 million subscribers 🥰 .
MERRY NI BEST CAST KWA VDEO HII ✌✌😍😍🇹🇿✊✊
Congrats Joti on reaching 1M subscribers 🎉..Keep up the excellent work ❤
O
Hii ndio tafsiri ya komedy kuburudisha na kuelimisha,hii iko vizuri sana
Leo kiofs ofs tmekja j ka j big up Sana 💪wazee tsnyonyee tenaa chuchuu tmeshajuwaaa kmekchaa kmekchaaaa
😂😂😂 Uyu jamaa pale nikiwa nipo nawaza nimuangalie nani ndo nakutana na Video yake dah so powa Joti🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Best comedian in Africa wa kwanza Brain Jotter.wapili Joti,watatu Mkojani.
Coletha tulikumiss sana, hongereni sana Joti TV, kazi nzuri
Amenakili sauti ya gunulu kwenye tamthiria ya saa tatu Azam burudani Kwa
Haya jamani wale wa Dumila tujuwane hapa!!!!
Ndio alipotokea magole
haha dada Rose, nmefurahi kuona unafuatilia Joti TV
Hahahahaaaaa
Dumila home base
Mimi nipo Turiani unakujua
Mapema watu washalamba nyonyo.. chezea joti na kisix chake wewweee😂 muwe na ijumaa njemmaaa
Huyu akipew pesa na mwanamke vyote havifiki 😂😂😂😂😂
Yn hy jamaa kweny mishe zake zte hajawahi kufnkisha 😄😄😄😄
Nishai,kitombangire kitwango😂😂😂 aka Jot baba wawil
Andunje, kiboga au Kibabu😂😂😂dah characharists kama zote
hahahaa
Hi kaka Joti from Tanzania live in UK 🎉
Kweli umelamba chuchu 😂😂😂😂😂😂😂❣️
Nakukubare sanaaa mwamba
Huyu dada kawa serious mpk raha,kaigiza vzr sana
Huwaga nakupotezea tu Joti lkn leo nimekufatilia vzr na nimecheka sana.
"Babe na kusubiria kwenye uwanja wa mipasho.."..Ongea haraka Vitu zisha changanywa ..Kisungura pori..nime kikamata porini....😅😅😅
Huyu mtoto ni kno...😅😅
Imelia ya mezani imepokelewa ya mkononi, lkn ww ni bora sana bila mbambaaa 😂😂😂😂😂😂.
Watu mnaangalia,
@@IsraelKisailaAtari
Joti his very talented 😂😂😂😂😂
Jamni nafurahi kumuona kopetha raymond jmnn mpeni salam arafat from zenjy
Jamn tujuzane kusema kweli mie sijaelewa alipo sema kalamba chuchu Kisha kawa katika Hali Ile Kwan wakinadada wamelata tecnolojia gn jmn please MSAADA wakunijulisha
Hiii Imeenda hata kabla sijamaliza kuangalia 😂😂
Kuhusu kipaji cha joti no comment but huyo Boss anajua sana
Inakuwa movie ya Kwanza kuonyeshe pesa taslim sio fake money Kama zile zingine za mchongo 👏👏😃😃
duuh Unazikaguaga uko vzuri
Kwa kweli 😀
@@mikidadially2288 maana 😂
Yah that was real cash
Very nice ujumbe tunapata. Rahahahaa
Million tumeeneza😂 kama umeona jiandikishe hapa
👇🏿
Duh joti umenikumbusha miaka 8 iliyopita ilishanikutaga hii kitu sinza ambiance!!
😂😂😂
@@IsraelKisaila hatari
Waliondoka na TSH NGAPI? HAHA 🤣🤣🤣
@@IsraelKisaila elfu 76 , simu ,vitatu na saa ya mkononi halafu sikutomba Wala Nini....chuchu ziliniponza ...kitoto unakikuta chuchu zimesimama Dede asiee lazima uanze nazo kwanza....
@@mtzhalisi2232 pole sana, hahaha 🤣🤣 uliamka saa ngapi?
Nimecheka Kwakweli Zitto ety kwani wewe Nan Ake. 😂😂😂😂 Ahaaa nikajua mke wake😂
Mtombangile mikazo
Huyo dada wa ofisini ni actress Mzuri inabidi tuwe tuna mwona mara kwa mara
Ni mkongwe yuko vzr
Kabisa 🎉🎉🎉🎉 tumpe maua yake
@@annaki318 kabisaa anastahili
@@sabramhina7547 bonge la muigizaji
Mm wa kwanza leo... joti komedian mkali tz wakuelmsha na kuburudsha
Kujifanya kujua kwingi 😂😂😂binadamu😂😂😂ongea na watu uvae viatu,
😂😂😂joti akili zake anazijua mwenyewe wallah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Na show umekosa daaaah! Hasara tupu bora ungepata kimoja umekosa show na hela pia
Never disappoint jotiiii😅 😂😂🎉
Ni maigizo. Lakini Yalomkuta Joti usiombe yakukute. Huu Ni msiba mkubwa
Boss kacheza vizur Sana
Hatari sana mzee baba😂
Umelamba chuchu Kwa mil 10😂😂
Best comedian in Africa
Kwell
nillijua ijumaa hii ,ni zamu ya kua kiboga😂maan naenjoy san ,moment za kiboga jmn i hope next friday ni zam ya kiboga😂❤
😂😂Kweli Hii Kalamba Chuchu Hayaa Joti Jibu
Joti ela ya koreta lakini,umepigwa na jimwanamke lala jiji❤❤❤👍👍
me leo nimemkubali dada boss kapendeza boss like na kacheza vyema
Show sijapiga ile nimenyonya chuchu tu nishai fala kweli😂😂😂😂😂😂😂😂
Kunyonya chuchu nikufanya nini nielemishe
Chuchu ndio???😂😂😂😂
@@vokeskevin222 wanawekaga dawa
Usichukulie kama Comedy tu Imebeba Maudhui pia.
Hii Tabia Wadada wamekuwa Wakiitumia kuwalaghai wanaume(Wachati wao) Kwa kuweka Madawa ya Kulevya Kwenye Manyonyo,Pindi tu mwanaume anapoenda Kuogelea Ziwa Victoria Basi Hulamba Dawa za Kulevya
Baada ya Hapo Mwanaume hajielewi Mwanamke anabeba Kila Kitu.Tuweni makini Hali Ni ngumu
Wangap tumeludia kipande cha bola ni enjoy😂😂😂
😂😂😂mimi hapaa
@@anneakimana-od6bq 😂😂😂umekionaje
Show tame ya chuchu,wanawake nyie mtafika mbinguni mmechoka...😂😂😂😂 joti wew ni kwele dingiii
Sister jua kali anajua sana kuigiza yuko vizur
Ijumaa nyingine toka kwa nishai😂😂😂😂😂
Saut ya coleta ❤mashallah
Siku Yangu imeisha hvyooo Sina stress kabca 😆😂😂😊
1M subscribers 🥳👏👏🎉
Baba kaenda kazini, Jodi chizi
Bora niinjoy😂😂😂😂
1m joti soon🎉
Always the best😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka vibaya sana uyu mtu mmmh
Wakwanzaaaa
joti unaweza
Fundi wa comedy 😀🤣
Joti bana😂😂
Joti naulikuwa ushapita yule dem vizuri,aki shetani mbaya 🤣🤣🤣.lkn umenibwaga ungepiga mechi ata short moja 2
SIKU ZOTE UKIWA USICHANGANYE KAZI NA STAREHE VINGINEVYO HUWA NI MAJUTO BAADAYE
🤣🤣🤣🤣🤣jotiiii konyoooo
❤❤❤❤❤❤joti upo juu sana
Sitaki like lkn naendlea kuchek kalambaje chuchu😂😂
kitombangile kanasa leo 😅😅😅😅
Eti boss unachap kazi ila ndani Yako unaubaba pia😂😂😂😂
Huna kazi mbovu kaka... hongera sana 🤣🤣🤣🤣
Jott utafika mbinguni ukiwa umechoka sana😂😂😂😂
😂😂😂😂 ukweli kabisa
Boss umeibiwa😂😂😂😂
Good Job Mr Joti 👏
Nakusubiria hapa kwenye uwanja wa vipaji🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo mama anajua kuigiza❤
Kweli kabisa
Kontawa katutana na kontinyu 😂😂😂 kibunda kimesepa kaambulia kunyonya Chuchu 😂😂😂😂😂😂😂 jot mshenzi sana hili ni fundisho kwa wanaume malaya na wanawake malaya pia wasiopitwa na kitu chochote wakiutana nacho unashindwa kufata kitu ulichoagizwa kikazi unaenda kujishokokesha kwa mtu usie mfahamu madhara yake ndo hayo
Bosi kawaruhusu vijana wampige nua joti...makuruti yameelewa😂😂
Nimeibiwa mim au umeibiwaa wwee😂😂😂🙌
Show hakupija
Kanyonya chuchu tu
Wapi nduru ya nishai mtomba ngile kitwango 😂😂😂😂😂
Wale wa mwanza tujuane🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Coletha hujasahau tu 🤣🤣🤣 piga nuwaaa ....kweli ile kitu iko damuni tena unasimamia doso kwa unaa balaa 🤣🤣🤣
Vipi alikuwa Soja ehee!!!???
😂😂joti unajua sanaaa
Hahaaah nishai mwanangu unajua san
😅😅😅 😅 Jot bana😂
Hatimae JOTI TV tumefika 1M subscriber 😊❤🎉🎉
I know he has come so far 🎉🎉
sasa joti hapo ulivyomuona boss tu ungezimia mara ya pili hahahahahaa
Joti mchukue coletha kwenye kundi lako anajua sana aisee
Da coreta apigweee nua jamani mambo ys dumilaa hayooo😂😂😂
Coletha nakukubali sana
Boss nae kakasirika joti kalamba chuchu aisee😂😂😂 Bora hata angepiga