Hahah joti we kwani nlikusmulia stor yang walah kuna mdg wng alkuj field kwang sas cku1 natoka kazn mdg wng ananambia m-baba wa jrani altak kumbaka na ni mtu mzma kbs ni kam baba etu nikamuita mzee kumuuliza et ananiambia hayo mambo yalipita ko nikaushe weeeh nilitaka kumpeleka police nikamsema kwa boss wke akakiri ni kweli altaka kumbaka na akaomb msamaha😂😂😂 nyie wazeee wa cku hz🙌
Tunaaamka nayo hahaha mapema sana big up team Jot
Mimi napenda character ya Joti akiwa Mzee haya nipeni like zangu twende kazi ♥️😂😂
Akiwa kjana anakuwa poa zaid.
Mimi napenda akiwa da😂😂 kiboga😂😂😂😂😂
Mzee kweli hapo umesema
Na mm pia kabisa whes hes acting old hes gud
Hata mimi mzee
Me nakubali sana joti hajawahi kosea best comedy ni afrika hakuna kam joti 😋😋😋😘😘😘❣❣💖💖🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mwenye comedy yake,ameshasema
Unajua baba🔥🔥
😂😂kwahio leo nimewai .....
Joti leo umeongea sauti tamu balaa
Hongera sana na mtoto ukamkosa 😆
Wangapi tumeelewa Ile aiiiaaaaaaa 🤣🤣
Kagusisha Kwa tako tu kakojoa 😂
Very very nice 😅😅😅
Mambo❤
Leo nimewahi 😅😅😂😂😂
Hahah joti we kwani nlikusmulia stor yang walah kuna mdg wng alkuj field kwang sas cku1 natoka kazn mdg wng ananambia m-baba wa jrani altak kumbaka na ni mtu mzma kbs ni kam baba etu nikamuita mzee kumuuliza et ananiambia hayo mambo yalipita ko nikaushe weeeh nilitaka kumpeleka police nikamsema kwa boss wke akakiri ni kweli altaka kumbaka na akaomb msamaha😂😂😂 nyie wazeee wa cku hz🙌
Leo nimewahi like hapa kama umewahi kama mimi jamani babu 😂😂joti anabadilika kama kinyonga😂😂
Team gulf hamuachwi nyuma Shogaangu 😂😂😂😂😂😂😂
@@Farthun umeonaeee team gulf tupo hapa kipenzi 🤣🤣🤣
like unazipeleka wapi kenge wewe ?
acha ushamba wewe 😏
Dah @joti we ni noma sana
Best comedian in Tz
Best comedian for all the time🥰🥰
Kwishaaaaaa nipe no ya cm jot Kama jot big up Sana 💪 woof
Joti my man I really like you!!
Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮
❤️❤️
joti me nakukubali sanaaaaa
lakini
sana ukiwa kwenye zile katalogi za kiarusha na makoti yako❤❤❤
Iyapa tena🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌👏👏👏
Huyu joti ni mbunifu aisee anatishaa😆😅
Mr. bean wa TZ mkali akitokea msibani wafiwa waneweza kucheka kwanza. big up kaza buti
Siku Yangu imeisha hvyooo Sina stress kabca 😆😂😂
Jot unajuwa sana mzeee
Nawewe nilikuwa nakutaka😂😂😂
Nianze na 🎉🎉🎉 yako joti auchuji bro pia unakuwa mtamu zaidi unapo ekti uzee aiseeee jot salute zote kwako. Nawakilisha mtwara moja.
Vitu vingine tutamaliza juu kwa juu.. ilivyosemwa sasa😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
Hv like Zina faida gani jmn munisanue na Mim niwe naziomba bas
Ilo dada tamu
Dada wa kazi anatafutiwa dada wa kazi tena.🤣🤣🤣🤣🤣
Umeona eehh
@@mohamedhaji2200 Hatari na nusu.😂😂😂🙌
Anawataka wote😂
@@alfredjohn5693 Muhuni tu huyu.😂😂😂🚮
@@shyfettymtunda4619 🤣🤣🤣 eti kakajikuta ka Suleiman
Jot akiigiza kama nishai au mzee ndoanakua ametisha zaidi kuliko awe andunje au mwanamke anapunguza utam nipeni like zangu
Kwani mashabiki hawajaona comment yako ama ni dharau ?😂😂😂
Joti ukiigiza mzee inakuwa pouwa sana
Safi sana kaka ❤ 😂😂
😂😂😂 number kama nataka roho jamen joti bana....msitunyime number sio roho😅
😂😂😂😂 ety nmekukataa kama yuda eskariote nmekusaliti
😂😂😂 yaaaani joti wewe kuna mzee umemgusa kabisa mtaani kwetu
Weee muoneshe hyo
😂😂😂 amuonyeshee tenaa hahaha
Never disappoint jotiiii 💥
Sana mjomba 👊👊
Mwamba ukifanya maigizo ya uzee unatisha balaa umeweza😂😂😂
😂😂😂 Babu akipiga sound like kwa wingi
like unazipeleka wapi kenge wewe ?
acha ushamba wewe 😏
@@officialkamdudu ukituliza mshono utakuwa wa maana
Sema jamaa anajua sna
Nashangaa 👀 mume wangu nashangaa👀 hayo macho😂😂😂
Bro unajua sana
Comedian bora wa muda wote 😂😂😂😂😂 joti, u always kill it @Kaboba
Jaman leo sija chelewa sana nimepen like jamn Joti is the best comedy
Hahaha nilimsubir sana jot akiwa babu😊
namkubali joti sanaa
Kaka tunakutaka the Comedie
😂😂😂😂joti akili yako unaijua mwenyewe
Nimekuwa wa kwanza leo mnipe like 😂
Huyu Nnilikuwa Namtaka Na Wewe Nlikuwa nakutaka 😂😂😂😂😂
Kazi nzuri joti ni mmoja tu apa bongo. Hatumii nguvu kuchekesha😂😂
Mtomba ngileee kitwango migunoo mikazoo😂😂😂😂 respect blood 👊💪
Eti "Nyie mnavaaa Kamba.. mi nataka Gaguloo 😂😂😂😂"
Mwishoo pamenogaa kwer
Ety natakaa busu😅😅
Wanaosoma coment huku wanaangalia tujuane😂😂😂
youtube.com/@QuanNrb
mi namupenda joti sanaa kwa vichekesho vyake by mssa
Napenda akiwa mwanamke ❤
Kiboga for life❤❤❤❤
Nimecheka kifala sana 😅😅😅😅😅😅. Joti number one😂😂😂.ukiekti mzee unauwa 😂😂😂😂😂.
Alijua atatoroshwa kabeba na begi mapema kabisaa😂😂😂😂
Ukiwa babu inapendeza zaidi em gongeni likes twenden sawa
from kigoma namim nipo nabibi yak😅😅
Ila joti na Uyo mdada wa Kazi Doris sidhani kama awajawahi kukulana kweli😂😂😂
Pale lazima ningekuwa Yuda😂😂
Joti akiet Mzee n bora kuliko kuigiza kama mdada
Kote kote ana FAA
Waambie joti ni yule yule kama vile sheria za barabara, hazipungui lakini zinaongezeka😂 lazima uzifate
Huyu namtaka na huyu namtaka 😂😂
Nimewah leo.
Wa kwanza ku like
Hatariii na nusu
Leo mapema San ream joti😀😀
kaka unajua😂😂😂
Joti angali wakwanz tanzania
As mbona mm Niko na Bibi ako mpaka niseme nampenda ili uskie wivu😂😂😂
Nzuri s@n@ 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mama kaskas huyo babu atakuua ... Hajamaliza huyo mhuni 😅😅
🤔🤣pole saaaana 😂😂😅
Never disamppoint kabisa nakubali Joti 😂😂😂😂😂😂
Babu anasimu ya macho matatu
BABU MJENGO ANA MACHO MATATU
Joti ww ni balaa unazidi kuwakalisha🔥🔥🔥
Babuuuu huyooo❤
Man anae jua jina la uo wimbo aloimba joti. Pole sana mama kwa safari
Wa juma kakele
😂😂😂Joti is always talented😅❤
❤😊
❤❤et fadha selemani 😂😂
SEMA ukiwa Babu ni hatari zaid😂😂😂😂😂
😂😂 Uyuu babu fala sanaa😂😂
Mimi namupenda akiwa Kiboga haya munipeni like 😍
Mm napenda character ya nishai
Yani Tanzania hii hakuna anaye mfikia kwa vichekesho😅😅
Eti hizi nyama kwenye sambusa zipo hizi 😂
😂😂😂we mzee pumbavu sana
😂😂😂daaah mbavu zangu🙌🏾🙌🏾
ukiweka ugoko me naweka chuma nipe namba unajua san joti
😂😂😂 Inamaana Joti Alitoa Kamoja ka Chap Chap kwa kukumbatia tu..
Hahahaha
Wakenya wenzang mko wp ama nko mwenyewe😂😂
Nmewahi leo
Mwisho ngapi😂
Jamani huyo mdada alie vaa gauni jekundu hiv hilo uno tako kweli ama manguo.......?
Sipendagi ujinga huuu una mtongoza mtu then anaenda kusema sehemu
🔥🔥🔥🔥🔥