Joti never disappoints My favorite comedian ever😂😂😂😂 Anae amini joty ,ni comedy mkubwa apa tz ngonga like twende mbele😂😂 Sijawahi kuona comedy ya joti bila kucheka 😂😂😂😂
Sometimes maudhui yanakuja kwa njia isiyo ya maadili..mi Leo cjapensa..Ila hongera kwa juhudi za kila siku kwa ajili ya kutupatia ujumbe na kutuburudisha
Anae amini joty ,ni comedy mkubwa apa tz ngonga like twende mbele😂😂
Wataka kuzila
Tuzo za msanii wa kiuome wa comedy joti uwaga anapasua
Kwan izo likes mnaenda kuuza wap
Comedian
@@eginoefrem2516 njombe
Nakubali sana joti namba like zenu kwa anaemkubali mshkaj huyu hana baya 😉😉😉🍻😴😋💝💘💖
Joti never disappoints
My favorite comedian ever😂😂😂😂
Anae amini joty ,ni comedy mkubwa apa tz ngonga like twende mbele😂😂
Sijawahi kuona comedy ya joti bila kucheka 😂😂😂😂
Unacopy comment za watu dah huna akili
Kila nikingia watu ni wakwanza wakwanza haya mimi bora nimeona🤣🤣🤣
RAMADHAN QAREEM.. WAKWANZA LIKE ZANGU WENZANGU
Like itakusaidia nn sasa 😂😂
@@juniorsalum6957 joti atampa hela
Daaah dadekii like zitakusaidia nini wew
Au na wewe ni mzee wa Kitengo? 🤣🤣🤣
Asant jot kwakututembea ijumaa hii kitaani kwetu 😍😍
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂nimecheka mpaka machoziii
Oooooopppp buenas noches 🍁🍁🍁😂😂😂😂...caso serio jajajaja me encanta 🙌🙌🇹🇿🇹🇿🇹🇿💞💞💞cariños Tanzania
My favorite comedian ever😂😂😂😂
Comedian gani huyu anaejifanya shoga ww vp lkn huyu afukuzwe kabisa
Leo tpo na mzee jangala big up Sana 💪za kitengo zpoo
Wa kwanza leo From Njombee😂😂😂
Daaahh joti mbavu zangu jamani
Haha Andunje big respect from Burundi 🇧🇮🇧🇮
Nimewahi tena leo za swaum vipenzi joti anatupa rahaa tunainjoibtuu like basi 🥰
😂😂 nimeua mwananguu
Joti is the best.
The best comedian ever in tz
Joti never disappoints
🤣🤣🤣🤣mama andunje wangu umeua jela inakuhusu
Baba ako huoni umefanana nae ufupi😃😃
WEWE MNDAMBA UNAHATARIII SANA
*Ma legend ndo wanajua hizo code* 😂😂😂
Kwani baba yangu jamani😂😂😂
Best comedian😅😅😅
Nakubali joti
Joti big up san
Ss baba andunje si akaangalie kitengo chumbani kwake
Mbon awajavaa nguooo😂😂
Muwe mnatoa mawazo, ushaur na hongera Sio kila siku "Mi wa kwanza" mara gonga like😂😂😂. Muwe mnacomment vitu vyenye content
Eti mbona watu wenyewe hawana nguo😁😁😁😁❤❤❤❤❤👍👍👍
Pakaa wa blue pisi Kali Wewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌 joti umetisha sanaaaa
Sijawahi kuona comedy ya joti bila kucheka 😂😂😂😂
Joti inabidi abadilike ni njia moja yake ya kueneza ushoga
Joti ni shiidaaaaaaaaa
kitengo kimefanya kazi😊😊😊
Hiiiiiiiih ebwaaaaah eeéeeeeh...kiiteeeengoooo😂🤣😂🤣😂😁😀
Duh noma sana hiii
Nipo china kwasasa najivunia kuona Nchi yangu Tanzania inafuatiliwa sana huku china
mpaka za wamasai 😂 sisi wamsai hatufanyagi hivyo😂
Nakubal San mwananqu mwenyewe joti💞
Mama "nimeua Mwanangu....tunazika au tunasafirisha
Hahahahaha 😂😂😅😆🤣😀😁😅😆. Vitengo🔥🔥
Gonga like kwa KITENGO😂😂😂
Huyu joti afukuzwe kabisa na afungiwe maana huyu ndio anachangia sana kutangaza ushoga kwa kuwa yy anajifanyisha kuwa shoga
Ila kanyinyi nampenda sana jot kija kosana na kanyinyi jua tuta angalia tena
Ww na nani 😅
Anatuboa sana kaka joti Kanyinyi sijui hata kapotelea wapi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mbavu zaumaa jamaniiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kiboko ya ma comedian TZ . Ukifa hauozi Joty
Wazee wa VITENGO 🤣🤣🙌🙌
Watu wana twerk 😂😂😂
Joti Tv, you have great content but few views, lets fix that bro......
Unafanya pw san
Sometimes maudhui yanakuja kwa njia isiyo ya maadili..mi Leo cjapensa..Ila hongera kwa juhudi za kila siku kwa ajili ya kutupatia ujumbe na kutuburudisha
Zakitengo🤣🤣🤣🇧🇮Burundi tumeyielewa xana🤣🤣🤣Like zethu apa jomani🤣
Kitengo 😅😅
Nakubl kaka
First one💗💗
Kiukweri joti anajitahidi Sana jamani napenda Sana komedi zake
Wakwanza leo❤😂😂😂😂😂
Nikajua leo wa kwanza😅😢
Kauwawa sisa kitengo babake joti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani kitengoooo🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaha huyu joti bwana huwa ananichekesha sana
Kitengo😃😃
Mama Idd😂😂😂😂😂😂😂
6:47 mapema sana boss
😂😂kwa mara ya kwanza naskia KITENGO ni kwa masanja mkandamizaji...kipindi icho ORIGINAL COMEDY
Mimi naishi kenya lakini joti namkubali sana na comedy zake
Joti kwae Hali ilivyo usije ukaigiza Tena kama mwanamke
Vita kitengo😂😂😂😂
😁😁😁😁daaaaah joti🙌🙌🙌
Kitengo kkka 😂😂😂
So funny episode 😅😅😅
Aaaahhhhhhhhhhh am soo happy
24 secssss.
Wa kwanzaaaaaaaaaaa
Like zangu jamanii
😂😂nenda kale ubwabwa usiangalie kitengo anduche 😂
Leo nimekuwa wakwanza😂
🎉joti utaniua😅 umeona watu Kama wanafanyeje😅
Duuh nimewahi but. Sio sana eti zachina
Nishai ushanigeuza kua mtumwa wakuisubir ujumaa kwa hamu
😂😂😂kitengo
Balaa sana
Kitengo tena
Atarii😂😂
We jamaa umeshindikana asee
Message sent!
Kali sana
Wa kwanza nipeni like zangu🎉🎉😂
Hahahahahaha Kitengo 😂😂😂😂😂
nimekuwa wa kwanza, nipeni likes
Nishai
Wewe mtoto hamna kutizama kitengo
Joti ni jembeee kenya taveta tunamfangilia
😂😂😂 eti mbona watu wenyewe hawana hata nguo 😂😂
😂😂😂😂 kitengo Kazi juu ya kazi
Na mimi naomba link hata moja kwa joti 😢😢
Watu wana twek
Nakubal joti unajuw sn
If you belive joty is comedian like ❤
Kitengo,Sambwana, Warumi 😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅 nilikua naangalia kitengo watu wana twerk😂😂😂
Parabéns mr joti
😁😁😁😁😁💪 joti ukiigiza kama mwanafunzi unaua😂😂😂😂
Vitengo duh jotti unatisha
Sasa kama umeua tutazika ama tasafirisha😂😂
"Kwa wakala" ya shangazi imeniua😂😂😂😂😂😂😂😂
Never disappoint jotiiii 😂😂🤣