NAMTAKA HUYU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 955

  • @nadinenyangii5151
    @nadinenyangii5151 Год назад +133

    Ha , ha , ha Congo Na Tanzania ni watoto wa Mama moja... We Love you Tanzania 💕🇨🇩🇹🇿

  • @xvany_tz2837
    @xvany_tz2837 Год назад +26

    Tatizo la legend wangu nishai ni mlaku Wa mademu😂😂anyway mnaweza mruhusu joti alike kwanza comment hii ndio m like na wengine

  • @waziribakari6067
    @waziribakari6067 Год назад +38

    Sio kwa ubaya ila nafkiri Joti ungeandaa tamthiliya ingekuwa powa zaidi maana hii Team yako ni moto🔥🔥

  • @thomasnyingo7272
    @thomasnyingo7272 Год назад +102

    JAMANI WA TZ AND WAKENYA FROM USA 🇺🇸 NIPENI TANO KUMSAPOTI JOTI 👍

  • @jeremiahkapela9859
    @jeremiahkapela9859 Год назад +56

    Hongera Joti kwa kurudisha wazee kazini,,mfalme mhogo mchungu

  • @rajabkiti896
    @rajabkiti896 Месяц назад +1

    Walaii joti na wazee ii umeweza zaid ya zote,,daaaaah!❤❤❤

  • @ElieMunepo
    @ElieMunepo Год назад +50

    Mimi ni Congo , tanzania ni our second home kabisa 🇨🇩🇹🇿

  • @4ktime587
    @4ktime587 Год назад +224

    Naitwa Nishai mtombangile kitwango mikazo miguno misuguano 😆😆😆like 10 tu jmn

  • @jacklinerenson1708
    @jacklinerenson1708 Год назад +28

    Another furahi day Mungu katuwezesha tena kucheka pamoja...❤❤😂😂😂😂😂more love

  • @mary2615
    @mary2615 Год назад +17

    So funny episode 😅😅😅

  • @goodluckndagile9381
    @goodluckndagile9381 Год назад +10

    Huyu jamaa apewe ballon d'or😁

  • @chrismuganwa8634
    @chrismuganwa8634 Год назад +2

    Nishai yule kabisa hata mi naku support she is so beautiful!!
    Love from Burundi 🇧🇮

  • @thesoundtvonline
    @thesoundtvonline Год назад +51

    Walosikia Jina wabembe gonga like jaman❤

  • @prenciaiqram9382
    @prenciaiqram9382 Год назад +13

    Jamaniiiiiii nimechelewa ila naomba like zenu ❤️❤️❤️❤️wakuchelewa kama mimi ila joti namba one 👌

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu Год назад +1

      likes unazipeleka wapi kenge wewe?
      acha ushamba
      idiot 😏

    • @prenciaiqram9382
      @prenciaiqram9382 Год назад +1

      @@officialkamdudu 😏😏😏😏😏pumbafu wewe mushenzi🤥

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu Год назад +1

      @@prenciaiqram9382 utaloa mjinga wewe acha ushamba 😀😀😀

    • @prenciaiqram9382
      @prenciaiqram9382 Год назад +1

      @@officialkamdudu 🤣🤣🤣mbwege bono🙅mavi yabakwenu🥴

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu Год назад +1

      @@prenciaiqram9382 njoo nikupe like kubwa …
      si unapenda like ?

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Год назад +25

    🤣🤣🤣🤣🤣 Jotiii ety nimeamini hii familia hawatutaki, bro never disappoint 👊🏼 👊🏼

  • @ramadhanimalanga9306
    @ramadhanimalanga9306 Год назад +8

    Kofia ya Mshenga 😂😂😂...nakubali sana Team joti

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Год назад +9

    Nimecheka kwa sauti sana. Joti umechenji gia juu kwa juu😂😂😂😂👍.

  • @Vincentksang277
    @Vincentksang277 Год назад +7

    Wakenya tunahumia na watoto wazuri wa kitanzania❤😊heshima nayo

  • @salomeblack0
    @salomeblack0 Год назад +59

    Tulio amka na joti gonga like 😍😍😍

  • @DenisTarimo-d6p
    @DenisTarimo-d6p Год назад +1

    Naitwa nishai nmtombangilie kitonga ,mikazoo😂, miguno misuguanoo😅😂😂

  • @ibrahimadam8623
    @ibrahimadam8623 Год назад +37

    This is now therapy by entertainment, quality delivery. Well done Joti team

  • @mlewazitotv
    @mlewazitotv Год назад +7

    Mashabiki zetu wa joti TV tunawapenda sana 🤗 #mlewa

  • @asha_homedecorations
    @asha_homedecorations Год назад +5

    🤣🤣🤣🤣 Namtaka Huyu Namlia Asali Nampiga Pa Pa Pa 🙌

  • @sikitu8957
    @sikitu8957 Год назад

    Wabembe tupo wengi Tanzania
    Wengine ni wana siasa wakubwa kabisa siwezi kuwataja ni seme Tz is our Secord one we love you our brothers tukijikata Na Kongo sud Kivu yote itakuwa TZ

  • @mozespatnam7469
    @mozespatnam7469 Год назад +5

    Joti unafaaa unge andaa tqmthiliya maaana team yako ni hatari sanaa ipo good good sanaaa✌️🔥🔥

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 Год назад +7

    Mtombagile 😂😂😂😂😂😂😂joti😂😂😂😂😂❤❤❤😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤nawapenda wote Tim joti❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @bonisachubwa1046
    @bonisachubwa1046 Год назад +7

    Hapa Sherbrooke Canada nimekuwa wa kwa kuicheki MV Joti

  • @agnesbasistian9248
    @agnesbasistian9248 Год назад +15

    🤣🤣🤣ushaharibu tayari mtaka yote kwa pupa hukosa yote 🥰😘

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 Год назад +25

    Hakitoka King 👑 kiba kwenye mziki anakuja king joti 🎉 kwenye comedy anaweza mpaka anaweza tena ongerah kaka mungu akusimamie kaka❤❤🙏

  • @JudithDaniel-sw4og
    @JudithDaniel-sw4og 3 месяца назад

    From uk 🇬🇧 penda sana jotiii

  • @hamisimtemi3803
    @hamisimtemi3803 Год назад +6

    Kama umemsikia cameraman anacheka gonga like hapa..Joti on fire!!!

  • @richardscofeld9136
    @richardscofeld9136 Год назад +4

    😂😂nimecheka nusu nife ,huo mkoti/pisha nijambe, nakukubali sana joti

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum Год назад +8

    Nawaambia huyu Jamaa ni Kanumba wa Pili katika Scripts na Story Writing.. Kazi nzuri sana Mr Joti AKA Nishai Mtombangile Kitwango Mikazo😅

    • @kaisarimbisso5011
      @kaisarimbisso5011 9 месяцев назад

      Kanumba wa pili? Mtu akifa anasifiwa zaidi ya uwezo wake halisi

  • @rashidmohammed4887
    @rashidmohammed4887 Год назад +3

    Ehh joti bana kumbe mbembe. Mwavyui

  • @luckyjasho1083
    @luckyjasho1083 Год назад +22

    From Italy, you are so creative. What I watch on my free time

  • @mwanaeddyson5983
    @mwanaeddyson5983 Год назад +1

    Nimeamini hiifamilia haitutaki😅😅😅😅😅😅😅

  • @Hassmith910
    @Hassmith910 Год назад +8

    Hapo kwenye jina la joti nimecheka kwa sauti kubwa😄😄😄

  • @michaelmusyoki1228
    @michaelmusyoki1228 Год назад +1

    Nitavunjika mbavu...Wacha niwaletee mpumbavu mwenzenu

  • @octavianmasala3862
    @octavianmasala3862 Год назад +60

    Joti always deserves to be a GOT 🤣🤣🤣🙌

  • @abbashussein-hz4dr
    @abbashussein-hz4dr Год назад +1

    Nimecheka km fala aiseee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @lewimontaz1373
    @lewimontaz1373 Год назад +3

    Nishai, ndio king of comedy, amebaki, Tanzania,❤❤❤❤

  • @hajiakbar724
    @hajiakbar724 Год назад +1

    Daah eti naenda kuongea na wapumbavu wanzangu, joti unaniuwa mbavu zangu ndugu yangu

  • @ericknjowoka4245
    @ericknjowoka4245 Год назад +31

    JOTI LIVE LONGER....YOU'RE THE BEST

  • @BrysonMayunga-lc6mq
    @BrysonMayunga-lc6mq Год назад

    Naitwa Lukas Charles nkingwa Niko nyuma yako Lucas mhuvile unani inspire Sana joti ila natamani Sana nikufikie na nikupite❤❤❤hongera umeweza Sana u r my favourite comedian

  • @shafiikhamis2336
    @shafiikhamis2336 Год назад +7

    Baba mtu na mtoto mtu wote wahuni...si kwa majina hayo🤣😂😃

  • @Seifbrown
    @Seifbrown Год назад +2

    Mze ku toka Congo 😅😅😅😅 mobimba😂 ❤❤kama una wa kubali gonga like basi 😂tu enjoy

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 Год назад +7

    😀😂😂🤣🤣🤣 Joti kakutananacho leo hadi wazee wa Kyuba wamemkataa kabisa

  • @juniorfariala6505
    @juniorfariala6505 Год назад

    Joti ongera mimi ni mkonkomami kabila yangu ni mbangu mbangu sisi wa kongo ni ndungu na watazania tuko pamoja ❤❤❤❤

  • @angelicaflorian8189
    @angelicaflorian8189 Год назад +4

    Ila joti 😬😬😬🙌 anaulizwa mshenga anajibu yeye
    Eti wao ni watu wa cuba na mtoto wao ni wa cuba 😁😁😁

  • @rajabkiti896
    @rajabkiti896 Месяц назад +1

    Naona mhogo nahemea juu baada kuona twiga😂

  • @hassanidrisankingilea8827
    @hassanidrisankingilea8827 Год назад +41

    Wakwanza ku comment nipeni likes zangu

  • @Rukaka_jr
    @Rukaka_jr Год назад +1

    Mbona muhogo mchung anahangaika 😀😀😀😀

  • @djpatruick
    @djpatruick Год назад +4

    Joti Mungu akuweke myaka mingi kwa kweli uzidi kututowa stress🤣🤣🤣🇧🇮

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba591 Год назад +1

    Iviii jamaaan Kwanii kunaaa nn Apaaa adiii tunashindwa kufikisha 1m subscribers kwa legend wetu joti ??? Tu sheeeee kazii mwaka huu Afikee jamaaan

  • @abuusirleh8196
    @abuusirleh8196 Год назад +7

    Joti huyu mama bonge la actor😂😂

  • @albinusnyaiyo2614
    @albinusnyaiyo2614 Год назад +1

    Hata mimi.nisngkubali.yaan alete Dem mzuli skubali😊

  • @abdillahsalim1623
    @abdillahsalim1623 Год назад +18

    Joti the genius

  • @shawn-the-first.1643
    @shawn-the-first.1643 Год назад +2

    Road to 1 million

  • @lazhzmonteferolagbor1189
    @lazhzmonteferolagbor1189 Год назад +14

    Man u killing trending tv shows mamen 🔥

  • @benjaminmike9778
    @benjaminmike9778 Год назад +1

    Mi mm naitwa zitto😅😊😊😊😅😅

  • @ashabakari6066
    @ashabakari6066 Год назад +3

    Jmn joti akili zako wazijua mwenyewe,umenivunja mbavu hapo ulipokua unasalimia😂😂❤

  • @ishimwemurenziange7609
    @ishimwemurenziange7609 Год назад

    Kumbe nishai mutukutokeya congo🇨🇩🇨🇩 Na mimi mutukutokeya uganda 🇺🇬🇺🇬

  • @godfreyjulius5132
    @godfreyjulius5132 Год назад +8

    JOTI hayo majina yako unauaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥

  • @allynyoni04
    @allynyoni04 Год назад

    hii kali brother hahahaha noma sana bro

  • @zackygomez1241
    @zackygomez1241 Год назад +7

    Ambao leo ni birthday yetu tujuane hapa 🙏🙏🙏

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 Год назад

    *Mnaect vizuri Ila kabila zawatu msizisimange kiasi hcho wakwele wamewakosea Nini hawana Huo upuuzi muwaombe RADHWI*

  • @elikanateonest3126
    @elikanateonest3126 Год назад +10

    Jotiiiiiiiiii kabadili gia angani!! 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @destinkabike5474
    @destinkabike5474 Год назад

    Zaïre mobimba 😹 ba bangubangu 😹

  • @maryamathman8917
    @maryamathman8917 Год назад +5

    Joti jamani aki nimecheka hapo mwisho😂😂😂😂😂😂😂

  • @ArafaAbdulrahaman
    @ArafaAbdulrahaman Год назад +1

    😂😂😂😂😂da Nimecheka iyo mtombangile kitwango

  • @athenaramadhani8889
    @athenaramadhani8889 Год назад +2

    Wabembe tujuane jamani abenu😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @josephinebaran1099
    @josephinebaran1099 Год назад +1

    Joti ujaigiza km mwanamke cku nyingi,huwa inapendeza sn,keep it up

  • @thomasnyingo7272
    @thomasnyingo7272 Год назад +19

    THE COMEDIAN IN AFRICA 🌍 KEEP UP JOTI, NIKIFIKA DAR LAZIMA NIKUTAFUTE 😂😂😂🙏🙏🙏

  • @mohafadhili4464
    @mohafadhili4464 Год назад +1

    Kidawa anapendeza kuact horror

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 Год назад +6

    Joti ni mtu wa kuaribu tuu😂😂😂😂😂😂❤❤

    • @rajabusaidi6692
      @rajabusaidi6692 Год назад +1

      Jamaa mzinguaji sana 😆😆😆😆😆😆

  • @tinabapemacho8650
    @tinabapemacho8650 Год назад

    Iyi njo nyumba yakwenda kuowa kbs watoto wana jua kumu wakilish vyema baba mkwe

  • @nurdinikilapo4264
    @nurdinikilapo4264 Год назад +3

    Daaa joti na hii timu umeonyesha unajua zaidi
    Congratulations Nishai🤝

  • @PendaelHagaiMRPH
    @PendaelHagaiMRPH Год назад

    Unawakisha brother joti

  • @CelestineKimarolelo
    @CelestineKimarolelo Год назад +43

    Joti..😂😂😂😂😂😂😂
    Live longer my brother..
    This was epic..😆😁🤣🤣🤣

  • @muddyaforeal1145
    @muddyaforeal1145 Год назад

    Kuna Mzee Mmoja muhuni sana hapo😊😊😊😊 on a tu hiyo kofia aliyovaa

  • @nangitv5209
    @nangitv5209 Год назад +15

    Joti Hawa wazee wa Cuba wahuni sana wataniuwa😂

  • @ibvisions4321
    @ibvisions4321 Год назад +1

    Tunamlia asali uyo

  • @benjaminkangolo2017
    @benjaminkangolo2017 Год назад +4

    Nyote wa shenzi sana 😂😂😂😂😂 good job guys big up keep going

  • @abelbest4984
    @abelbest4984 Год назад

    LIKE kama umependa jina la NISHAI MTIMBANGILE KITWANGO MIKAZO MIGUNO MISUGUANO

  • @mautopolo
    @mautopolo Год назад +12

    Aiseeh you deserve to be the president of comedy

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 Год назад +1

      Asije kua Zenlekys 😂😂 kaivuruga nchii

  • @yogwemwakulola1634
    @yogwemwakulola1634 Год назад

    😃😃😄😄😃😃😄😄Ata angekua mm ningechange gear angani alaaa mtoto mzuri yuko nipewe jitwanglo ilo hapana

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Год назад +9

    Like father like son 😅😅😅😅😅

  • @habibuhabibu9728
    @habibuhabibu9728 Год назад +1

    😂😂 joti bana

  • @jeromeassey1693
    @jeromeassey1693 Год назад +3

    Leo mmi wakwanza jamani

  • @kilasibashari8931
    @kilasibashari8931 Год назад +2

    Jot 😂kumbuka humwezi mtukufu wa Ramadhani tuache kidogo bro, dah! 🙌 respect comedy yako🧏🤦🔥🔥🔥

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 Год назад +3

    This best comedy in Africa nice team good group

  • @pierrebanza754
    @pierrebanza754 Год назад +1

    Apa ni saa Saba lakini nimecheka kwa sautu

  • @malaikamzuri6604
    @malaikamzuri6604 Год назад +3

    Pale mwisho mbavu zimetaka kutoka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @erickjohn9345
    @erickjohn9345 Год назад +1

    Mi namtaka huyo mtoto huyo ndo nimemuelewa, twiga anakula majani ya juu 😂

  • @mukandamaakbar599
    @mukandamaakbar599 Год назад +5

    🤣🤣❤️❤️ I love it like kuangu jaman from UK 🇬🇧

  • @kassimiddi8593
    @kassimiddi8593 Год назад +2

    😀daa wakwere tumewakosea nini jmn

  • @caponevado1353
    @caponevado1353 Год назад +15

    😂😂😂😂😂Joti 💪💪... Long tym I didn't see mjogo mchungu #Legend 💪pale ITV 😂😂... You guys always make my day.

  • @abdallahathuman9493
    @abdallahathuman9493 Год назад

    Wazee pia wamefanya vizr

  • @plamedihassandor-kk2uw
    @plamedihassandor-kk2uw Год назад +3

    Wabembe wenzangu njooni hapa tujuwane 😂

  • @officialQuanEmpire
    @officialQuanEmpire Год назад +1

    Aty nyama nyamani "😂 jamani wabongo mtatumaliza