Yaani mafundi wana laana,Unamuwekea kila kitu saiti kuanzia cement,Nondo,Mchanga, alaf yeye anapita navyo ikiwa kashalipwa....jamani mafundi ni wezi....
Hapana tusikalili kuna maeneo tunapaswa tupate vionjo tofauti kwa jinsi tulivyojijengea wabongo mwenye mwili mkubwa smart akionekana inareta uharisia flan nanukuu tu jins vichwa vyetu wabongo vilivyo
Joti na Crew nzima km na ata km KIPANDE amnasoma msg zetu Basi mtaona Jinsi gani KIPANDE TAULIVYO MKUMBUKA Tunaomba 🙏 KM MMETOFAUTIANA BASI MUNGU awafanyie wepesi muwe sawa na km Yupo Mbali Inshallah Allah Amjalie awe salama na arud kutupa Burudani 😭😭 Kipande anaweza
Joti sku moja tunaomba utuambie kuhus kipande ujue ishakuw too much yaan kl ukiuluzw hujibu tuambie tu kipande wetu alipo hata akiwa sayar ya Pluto tutamfata
Mwanang sasa iv unazingua tuletee Kipande na Sopa Mambo yawe Bulbul tunakosa radha, Hawa wengine hawako serious,kama Kuna tatizo tatueni ili tupate burdan
Wewe CHAWA ni mshenzi. Kwanza ulipanga kumpiga plasta na yeye. PILI, unapiga hesabu ya mafuta kwenye gari? Ya nini sasa? Ili umpalange mwenzako! Dah! hahahaha
Jamani hata mm leo nime wahiwahi hebu naombeni like hata tatu nizione utam wake
Haya umeonaje utam wake 🤣
@@salumally3128 hazina utamu wowote ndugu.
@ATHUMANI WAZIRI 🤣🤣🤣 umeona sasa
@@salumally3128 sasa kwann watu wanaziomba sana zina faida gani ndugu.?
ruclips.net/video/zLKJ7t3bNzg/видео.html
Wangapi wamemmiss kipande
Kipande mkali wao 😀
Nilichati naye Instagram waligombana na joti kwahiyo kira mtu anafanya maisha yake
@@juliusabdiely2215 🤔🤔☹️
Jaman
Kipande arudi
Kama unaaamini jot ni the best like 51
JOTI NDO GWIJI WA COMMEDY TANZANIA KAMA UNAKUBARI TUMPE LIKE JOTI HATA 50 ZINAMTOSHA
ruclips.net/video/3eXtnVzGuz4/видео.html
ruclips.net/video/Z-O8GzZzZ9Y/видео.html
1.Mpoki
2.Joti
Aipingwi iyo
Likes za tunao Mpenda joti mwanzo mwisho Africa nzima
Sopa na kipande ndio mpango wa mjini hao wengine hawaelekei
Samahani ww ni Bim wa Mafia? Kam ndiy mm ni Bab Zung
Wa zenj nabonjesha bonyeeeee kwakweliiii.pba pirioso
Joti hapo umechemka kumuweka huyo jamaa kua Boss, hapo hiyo nafasi alitakiwa Sopa ndio awe Boss ingenoga sana ila Big up💪💪💪 kazi nzur
SOPA anafaa sana hapo yaani yule yupo siriaz
Hapana tusikalili kuna maeneo tunapaswa tupate vionjo tofauti kwa jinsi tulivyojijengea wabongo mwenye mwili mkubwa smart akionekana inareta uharisia flan nanukuu tu jins vichwa vyetu wabongo vilivyo
Joti hapo kwenye nafasi ya bosi ungemueka soap aiseee ila big up
Kweli umeona mbali
Kweli, boss sopa
ruclips.net/video/zLKJ7t3bNzg/видео.html
Ukweli Joti anaweza sana tumpeni heshima na like zake
Na fasi ya boss ungemuweka sopa ingependez zaidi
Kabisa an sopa yupo makin
Haswaaaa
Sopa katika nafasi ya boss anaimudu sana! Hii ni nzuri, ila angekaa mwenye kitengo cha tajiri ingezidi hapa!
ruclips.net/video/zLKJ7t3bNzg/видео.html
Joti na Crew nzima km na ata km KIPANDE amnasoma msg zetu Basi mtaona Jinsi gani KIPANDE TAULIVYO MKUMBUKA Tunaomba 🙏 KM MMETOFAUTIANA BASI MUNGU awafanyie wepesi muwe sawa na km Yupo Mbali Inshallah Allah Amjalie awe salama na arud kutupa Burudani 😭😭 Kipande anaweza
sana mkali
Joti tumemmisi kipande pls kam mmekosana msameheane kama anaumwa mungu amponye haraka iwezekanavyo ili tumuone
@@lampadshigonko3006 mmh hay
Kipande tunae
Daah mwamba sijui yuko wapi
Kwel kipande tumemmiss
Dah kipande arudi bwna
Kwenye boss ungemueka sopa daaaah 🤣🤣🤣🤣
Kwakweli tajiri ake Huwa nampendaga Sana
😂😂😂😂😂sopa anaweza na sauti yake ya kucheka
Daah! Joti shukraan kw hili yani mafundi siku hizi ni waongo sana kupita maelezo
Wenye tunasubiri ya kiboga tukae upande Huu ..😜😂🇸🇦🇰🇪
Mmmh siku hizi video zako Ni mbaya Sana sopa hayupo kipande hayupo upande Wang mm siinjoi hata kidog
😂😂😂😂hata mimi
💃💃💃💃
Nmetok kwa Ray na Paula ndo maan nmechelewa
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂ulienda kula keki
Engineer *NTOMBANGILE KITWANGO MIKAZO* 🔥 Miyayusho sana!
Joti so talented dah hadi raha
Chawa wa boss kafanana na jamaa wa mazuzu Ze comedy
Hi friends 😘🙋🏻♀️😘
ruclips.net/video/3eXtnVzGuz4/видео.html,
Hiyo ndinga anayosukuma.sopa ni ya joti naijua fresh kabisa 😂😂😂😂
💕 l love you 💕
Hahaaaa joti nakupenda bureeee hahahaha leo yamekukuta hahaaaa pole sana hahaaaa
Hapo kamiss boss sopa bana na ile cheko yake
Piga kazi ,piga kaziiiiiiii
PIGA kaziiiiiiiiiiiiii Daaah Joti Toka niko mdogo mpk leo unanichekesha Huyu jamaa ni gwiji
We Joti umeanza kujichanganya Boss ni SOPA peke yake hao wengine maboya2
Kweli kabisa
Ndio
Kweli sopa uboc unamfaaa
Kabisaaa
Naona remix ya mchuzi juu
Nishati
Kipande
Mlelwa
*Engeneer limemkuta jambo dadeki 😂😂😂😂😁😁😁😁😁😁😁 Mafundi wote wako hivo dadeki yaani ukiwapa nafasi tu umeumia*
Ile mchuz juu Una iyonaje kaka
Joti fala sana badala ya maboss kugonga mlango yy ndio kagonga 😆😆😆
Nishai Aki umenichekeshaaaaa🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Kweli nishai Noma🤣🤣🤣
Cjall nilikuwa nasubil burudan kutoka kwako nzul sana kk
Mafundi ni shida siku zoote maishani
Nyie mmekazana nishai kipande je mmeelewa manake 🤣🤣kuwen makin na nyumb zenu mafundi asanten ujumbe umafika❤️❤️👍
Mafundi wezi sana na wanatia hasira.
sopa yuko wap nae fundi sana jamaa anajua ktk sanaa yuko vzr
Joti sku moja tunaomba utuambie kuhus kipande ujue ishakuw too much yaan kl ukiuluzw hujibu tuambie tu kipande wetu alipo hata akiwa sayar ya Pluto tutamfata
ruclips.net/video/Z-O8GzZzZ9Y/видео.html
Joti Alivyo Sikia Mi Ndo Chawa Wako Joti Kashangaaa Sana Na Kamsikuliza Chawa Kwa Umakini Sana.
Daaa nakubar sana
dj mdudu napenda sana kazi ya joti hakosei
Au wewe unataka useme nn wakat sait yangu mm🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂 Marehemu Mzee Shija ndo alimkamata fundi mwizi hivi hivi...
oya sopa yuko wapi 😅😅😅 yey ndo ilibid awe boss
Makin sana na kipande aonekani
daah nimecheka kote ilivyofika nafasi ya bosi umezingua only sopa
😂😂😂🤪 Engineer kitombangile kitwango mikazo
Sopa
Nice one😍😍😍😍😍
"Mimi ndo chawa wako" pro max 😂😂😂
Mhhh ukuta mmoja mifuko ishirin kujenga mimi ndio Basi tena jaman
Hahajaahja nakubal sana
Mwanang sasa iv unazingua tuletee Kipande na Sopa Mambo yawe Bulbul tunakosa radha, Hawa wengine hawako serious,kama Kuna tatizo tatueni ili tupate burdan
Kabisaa
Joti kapatikana Leo 😂😂😂kaambiwa Kuna kamela kashitukia hatali 😂😂
Huyo boss angekuwa sopa
Sopa alifaa kuwa boss
Boss Sopa, na tabasamu lake
Aha aha haa mafuta mafutaa😂😂😂
Kipande arudi Mr. Joti tushammiss sana fanya kwa ajili yetu
bwana joti nagupenda sana plZ naomba nikuone one days
One days🤣🤣🤣
ruclips.net/video/3eXtnVzGuz4/видео.html
HAAHAaa wee piga spana😂😂😂
Hahahaha hii ndo ya kwanza Joti Kunaswa hahaha
Nawapenda sana uwaga munanip furaha san from Saudia Arabia
Joti we ni mwehu 😂😂😂😂ukuta mmoja mifuko ishirini 🤣
Ahsantee👏👏👏
Joti unafeli skuizi awo wengine unawatoa wapi apo sopa tu afu kipande yuko wap wewe daah!!!
We unataka kusema Nini😅🤣🤣🤣
Hapo kwenye boss sopa yupo wap
This guy he's so amazing
Nishai😂😂😂😂
Jotiiiiii😉😉😉😉😉
Jaman tunamtaka sopa n kipande
Piga kazi changamka😁😁😁😁🤣🤣joti
ruclips.net/video/3eXtnVzGuz4/видео.html,
Wapi sopa & kipande..please warejee
First one here
ruclips.net/video/3eXtnVzGuz4/видео.html,
Hahahaha icho kicheko tu mi hoi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahaha kalete bastola yangu...
Apige mkono😂😂😂😂 nishai🙌🏽🙌🏽❤️
Alianza kupotea Kipande Kwenye videos zako...SAA hii sopa pia atumuoni kwenye videos kadhaa zilizopita
Hamna maajab siku hizi,haswa alitoka kipande...
Sopa ndo anaiweza nafasi ya ubosi au utajiri anajua yule jamaa kuigiza
ruclips.net/video/3eXtnVzGuz4/видео.html,
Wanna work with you guys👊🏽🤞🏾
Jotiiiiii
Me too
Kipande muhimu
Tume miss hami jay mPemba
Hahaha hahaha nishai kwa bongo hapaa umepiga atua Kama comedian wewe ni international sio tena local comedian.
Ila mafundi nyie!!!!! Sawa Nishai... Mafundi hamuendi mbinguni.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Chawa waboss mkali huyo
Huyo jamaa ulyo muweka nafac ya Boss hata hajuwi ungemuweka Sopa bhn
😀😀😀😀😀joti bhna
Mzee wa b 1
Dah joti
Sopa ndo anapendeza akiwa boss
Wewe CHAWA ni mshenzi. Kwanza ulipanga kumpiga plasta na yeye. PILI, unapiga hesabu ya mafuta kwenye gari? Ya nini sasa? Ili umpalange mwenzako! Dah! hahahaha
Hapo nafasi ya Uboss Ange kuwa Sopa Inge noga sana
Joti these are the type of videos i love you doing.......
joti piga kazi nakubali
Kipande mbn hatumuoni? Na nilimuona juzi kati apo slipway
Bastora Tena😂😂😂
Nani kaona boss kashindwa kujibana anacheka😂😂
Aixeee hyu bhna noma ila wapo wat km hao
Yani cjawai cheki video ya uyu jamaa nkakosa vunja mbavu daaaaa!😂😂😂
Safi sana joti,ni kweli yanayofanyika.
ruclips.net/video/3eXtnVzGuz4/видео.html
Kari san hiii mzee mwezangu