Jamani nyumba za kupanga zina shida sana... yaani usiwe na tumbo la kuhara/kukojoa Au kuingiza Totoz, Utakoma... Shida ni hawa wamama ambao hawana shughuli ya kufanya...
@@gloriousgal2001 eti wanataka kufanya😂😂😂😂 Na Huyo mnene mweupe nampenda sana maana anaongea sana😂 Na huyo mlewa kanichekesha alivyosema mna bahati nngewanyea😂😂😂
Katika mahali ambapo umezidi kuupiga mwingi ni kumchukua huyu Bibi Wa Pisi kali, paka wa Buluu wewe, much respect brother, you never disappoint, you ain't King of Comedy, You're comedy
@@angelamshama1288 Aisee sijawahi ona kwa kweli hizi hekaheka poleni sana yani wamama wameshindwa hata kusukana wamekalia umbea😂halafu ni watu wazima hadi kuchungulia🙆
😃😃,Joti kusema kweli nimepatana kuwaona comedians wengi mno,ila wewe pamoja na timu yako mko na moto aseeh ni wabunifu wa mawazo (ideas). Nyumba za kupanga ziko na changamoto mingi sana,alafu sijui kwanini nyumba nyingi za kupanga, wamama kama hawa hawakosagi.
"Ninachojivunia nisisi walevi huwa tuko wepesi Sana kusema Samahani"
Big up Bro Joti 🇹🇿💪
😂😂😂af kwl
True
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Afu kweli
🤣
Alie sikia wanafanyaaaaaaaa gonga like zangu tuburudike na king of comedy Mr JOTY
😂😂😂🤣🤣🤣🤣Joty safiiiii huyu bihi mngoni anaweza sanaaaa
From Kenya Joti ni Moto wakuotea mbali🤣
Nimempenda sana bi Kauye, joti wamekuharibia washone wote wawili au wape body to body hahaha joti you and your team are the best.
Hahaha Hahaha
Jotii hawezi,,anachezea tuu
*😂😂 Joti umemchukua uyu bibi (mamake mkurya.!!!) 🤣🤣 aaaah hapo nd umeuwaaaa ani wte mpo on 💥*
Hivi ndio huyu kweli ety, UNANIANGALIA NINI NA WEWE MENO KAMA NGANJI🤣🤣🤣, huyu bibi kavu sana
@@johnmwandu2116 Yani nimefurahi kumuona huyu mama humu🤣🤣
Uyo mlevi katisha sana 😂😂😂😂😂
Watatu Leo wapi like za joti jmn
Majuto alituachia joti i love u from kenya
Ndiyo maana watu hawapendi kuishi uswazi, wanawake kama hawa uchelewi watia mibao utapata kesi🤣🤣
Harafu dk 2 washaenda polisi 🤣🤣
Mabao ya nn, unawapelekea MOTO tu' ..piga sana PARA...!
Joti kakosea wamama wa uswahilini unawapelekea moto kwanza kimya kimya .. halafu unaleta mademu.. midomo zipu kali! tehee!
Uyo mlevi anajua sana😄😄😄😄Big up joti😃😃😃.
🤣🤣🤣🤣🤣Hao wamama wamenifurahisha Sana ety Heeeeeee wanafanya. Joti huwa hukosei 😂😂😂🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Asante JOTI kwa kutuletea BI KAUYE 🤣🤣🤣🤣🤣
Joti pisi kaliiii leo nmekufa mbavu jmni🤣hao wamama wameua akyanani nmecheka mpk watu wameshangaaa🤣
😂😂😂😂😂Hawa Wamama wananichekesha Sana
Wa mama kisirani🤣🤣🤣
@@gloriousgal2001 eti wanataka kufanya😂😂😂😂
Na Huyo mnene mweupe nampenda sana maana anaongea sana😂
Na huyo mlewa kanichekesha alivyosema mna bahati nngewanyea😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 fala kweli Hawa wamama
@@mzeewajambo8293 🤣🤣🤣
@@allymwashambwa5920 😂😂😂😂Sana
Hivi vichwa vya hawa wa wamama vimekutana ungo na beseni 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣yaan
ruclips.net/video/wgOvd3qXWlc/видео.html SIO MCHONGO KAFUMANIWA NA MCHEPUKO WAKE
Katika mahali ambapo umezidi kuupiga mwingi ni kumchukua huyu Bibi Wa Pisi kali, paka wa Buluu wewe, much respect brother, you never disappoint, you ain't King of Comedy, You're comedy
Much loves from 🇰🇪🇰🇪..joti very funny🤣🤣👋👋
Dah sema uyu maza anasauti kali kama kameza switer bna
🤣🤣🤣Jott una wasanii wazurii saaana
Uswahilini aisee😅😂😂😂😂😂
"Sina hela nina mzigo tu "🤣🤣🤣
Noma sana aisee
Wew ndie king 👑 wa comedy
Huyo mlevi nimemkubali sana aisee 😂
Ningewanyea 🤣🤣🤣 Nyumba za kupanga ukute wamama wamekaa hivyo Afu upitishe Dem
Bi Kauye, ndani ya Nyumba🔥
Daah! Jot damuyagu ilo zigo la mwisho uliokujanalo daah hatay alafu daah umeshindwa kulitumia hata me nikilud lzm nije kuuwasha 🔥🔥🔥
😂😂😂 haya mambo yapo sana uswahilini
Mind blowing 😉
ruclips.net/user/shortsMpG0_AB2pkw?feature=share
MAPEPO YAMEKUSHUPALIAAA JOT...😃😁😆🤣😂😅😄😀🤓 MIMI HUWA MGUMU SANA KUCHEKA LAKINI MOVIE ZA JOT HUNIFANYA NICHEKE
Hawa mama jamani....dah!!! Eti wanafanya🤣🤣🤣🙌🙌
Wamama wengine wanazingua 😂😂😂😂
Aaaahahahaaa 😂😂😂
Aiseee #JOTI hauna Mpinzani ndani ya NCHI hii😂🇹🇿😂
Namkubali Sana huyo Mjomba wakuitwa #Zitto💪💪💯🔥🔥
..
Joti is amazing ila Bi'Kauye shkamoo 🙌
Akinywa maji tuu....Gogo 😂😂😂😂
Never disappoint Jotiiii 🤣🤣😂😂🤸
Mna bahati ningewanyea 😂😂😂😂
Mamae mlewa
🤣🤣🤣🤣
😹😹😹🙈
Hahaha mlewa maku..!
Hahahahaha wamama wametisha sana...Joti leo wamekuweza😂😂😂
ruclips.net/video/wgOvd3qXWlc/видео.html SIO MCHONGO KAFUMANIWA NA MCHEPUKO WAKE
Aaaah Wana taka Kufanya 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 mbavu zangu 🙌🏾
Love from Burundi 🇧🇮
Hahaha uwii Joti wewe jamani hao mama zako unaanzaje kuwashona sasa 🤣🤣🤣🤣
😁😁😁 hayondo na mimi yananikuta ga ninapokaaa ivoivo duu kumbe tunao onewa tukowengi kwenye nyumba za kupanga😁😁😁
Nakukubali Mr Joti 🤣🤣
😀😀😀😀😀JOT bhnaa et hela ya gest sina ila mashine nnalo ndomana nataka kulitoa njoo nkushone
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nani mwenyewe amefurahi gonga likes hapa
ruclips.net/user/shortsMpG0_AB2pkw?feature=share
Anataka kuwashona bib zake
Pamoja
Hhhaaah sio kwa hich kichekooo😂😂😂🤌ieheheee kam cjakosea
Hahaha ma bibi wameuwaa😀😀😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣😂😂😂 washone wote ❤
Hana nguvu mpeni testi ya kachumbari hahaha 😂😂
Vivunja Rizki😂😂😂😂
Mlewa ety ningewanyea 😂😂big up my brother 👊
Ndomana kukaa uswazi wahun hawataki,mambo yenyewe kama haya😂
Always doing great work
Joti uyo mama mgeni usimuache anajua sana
ruclips.net/video/wgOvd3qXWlc/видео.html SIO MCHONGO KAFUMANIWA NA MCHEPUKO WAKE
🤣🤣🤣🤣 Nimecheka kichiz an hii itakua Funga mwaka
Ila joti una kaufala fulani hv 😂😂😂😂
Joti nakuelewa sana sema Ile Clip yetu unatakiwa uiweke humu bx mzee
#Nitawashona #SinahelaYaLodge 🤣🤣🤣😂 Daah Joti hujawahi ziacha salama mbavu Zangu
🤣🤣🤣 huyu maza 👐👐 ety wanataka kufanya
Joti always makes people loughing
he never dissapoints! 🤣🤣
ruclips.net/user/shortsMpG0_AB2pkw?feature=share
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣 plot 10 Kali sana
😂😂😂 Ningewanyea
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 daaah nimeangalia hii video nimecheka sana...
Huyo mama mpya katiwa NDIMU balaa! Hahahaha ni kama mtu aliyepania kuwepo humu!
Huyu mamah ni star pia kivyake
@@athmanhussein454 Kumbe? Aitwa nani?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huyu Bibi niwamoto
Nimecheka kifala sana sana 😄😄😄😄😄😄
nyumba za hivi zipo wakiona umeingia tu na Mwanamke wanakaa kabsa mlangoni wanachambua na tembele kabsa
Aghhhh Wanafanyaaaaaaaaaa...😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😅🤣😄😄🤣😄😅Mama mkwe wa kurya boy kaamia huku daa daa
Huhuu unge m buruza mmoja au apo apo nje mdandie umbea tu, nanyie wakaka mmezid
Joti moooore fireeeeee nakuchek frok 254
Ni ijumaa nyingine Tena mapemaaaa 😁😁😁😁👏👏👏
Pisi kali😂😂😂😂😂💡
Ila hawa wamama daah kumbe uswahilini kuna tabu hivi 🤣🤣
Dada kama unaishi ushuan mshukuru sana mungu, Yan huo ni uhalisia kabisa wauni tunatoka asbh kurud ucku kwa ajil ya itkad km hz
@@angelamshama1288 Aisee sijawahi ona kwa kweli hizi hekaheka poleni sana yani wamama wameshindwa hata kusukana wamekalia umbea😂halafu ni watu wazima hadi kuchungulia🙆
Nyumba za uswahilini zina shida sana,ongera sana jot❤❤❤👍👍👍😁😁😁😁😁😁
Na zina raha yake 🤣
Na hio ndio Raha yake 🤣🤣🤣 Mimi nilikuwa nagonga Tu wakiwa apo apo kibarazani
Duuu uyobibi noma namkubali sana
Nishai Mtombangile kitwango Mikazo miguno mzee ndinga😂😂
😃😃,Joti kusema kweli nimepatana kuwaona comedians wengi mno,ila wewe pamoja na timu yako mko na moto aseeh ni wabunifu wa mawazo (ideas). Nyumba za kupanga ziko na changamoto mingi sana,alafu sijui kwanini nyumba nyingi za kupanga, wamama kama hawa hawakosagi.
Subiani na makata🤣🤣🤣🤣
Unatoka na mkojo ndani halafu unaenda kuumwaga chooni kwanini usingeenda kukojoa chooni 🤣 😂mama big thumb up
😂😂😂
Wanafanya😁😁mama mbea
Joti never disappoints...😂🙌🏽
Love from Pacha joti ❤️
Kiukweli tabia kama ya Joti tunayo wengi sema tunashindwa kulingana na mazingira
ruclips.net/video/wgOvd3qXWlc/видео.html SIO MCHONGO KAFUMANIWA NA MCHEPUKO WAKE
🔥🔥🔥🔥🔥 kama ume kubal mzigo ngonga like
Mzigo ule black beauty unanimaliza balaa
Aaaah wanataka kufanya !!!aaah wanafanya !!!hahahaaa
🤣🤣🤣🤣🤣
Hii ya Leo nimecheka vibaya sana
Wanafanya 🤣🤣🤣🤣
Ee wanafanya😂
From Kenya joti nakukubali sana m nshabiki wako sana
Huyu bibi jamani mm nampenda sana kakosa mkulia na mke wake2😂
Watching from KSA
Joti joti joti asant Sana kutuletea bi kauye mkwe wa kurya boy mama pendo
Huyo ndo nishai bhana 🤣 ungemvutia m1 ndani ukapunguze mzigo 🤸
Hawa wa mama ni kisirani tupu🤣🤣🤣
😂😂😂 Salute Sana brother
From Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wow nice video 📸
hatari sana joti uko vizuri
Anna from Kenya love u joti show ysko