WANATUFUATILIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 сен 2022
  • Jamani nyumba za kupanga zina shida sana...
    yaani usiwe na tumbo la kuhara/kukojoa Au kuingiza Totoz, Utakoma...
    Shida ni hawa wamama ambao hawana shughuli ya kufanya...
  • ПриколыПриколы

Комментарии • 640

  • @nelsonbisi6499
    @nelsonbisi6499 Год назад +83

    "Ninachojivunia nisisi walevi huwa tuko wepesi Sana kusema Samahani"
    Big up Bro Joti 🇹🇿💪

  • @abubakarsuleman1983
    @abubakarsuleman1983 Год назад +10

    Alie sikia wanafanyaaaaaaaa gonga like zangu tuburudike na king of comedy Mr JOTY

  • @donathasimon9292
    @donathasimon9292 Год назад +15

    😂😂😂🤣🤣🤣🤣Joty safiiiii huyu bihi mngoni anaweza sanaaaa

  • @mwambiretv165
    @mwambiretv165 Год назад +30

    From Kenya Joti ni Moto wakuotea mbali🤣

  • @imranakber2212
    @imranakber2212 Год назад +27

    Nimempenda sana bi Kauye, joti wamekuharibia washone wote wawili au wape body to body hahaha joti you and your team are the best.

  • @jumamwandai3941
    @jumamwandai3941 Год назад +23

    *😂😂 Joti umemchukua uyu bibi (mamake mkurya.!!!) 🤣🤣 aaaah hapo nd umeuwaaaa ani wte mpo on 💥*

    • @johnmwandu2116
      @johnmwandu2116 Год назад +1

      Hivi ndio huyu kweli ety, UNANIANGALIA NINI NA WEWE MENO KAMA NGANJI🤣🤣🤣, huyu bibi kavu sana

    • @TheNewKid_TV
      @TheNewKid_TV Год назад

      @@johnmwandu2116 Yani nimefurahi kumuona huyu mama humu🤣🤣

  • @lacheekah1849
    @lacheekah1849 Год назад +11

    Uyo mlevi katisha sana 😂😂😂😂😂

  • @adamumbise9755
    @adamumbise9755 Год назад +13

    Watatu Leo wapi like za joti jmn

  • @bintaliali5437
    @bintaliali5437 Год назад +2

    Majuto alituachia joti i love u from kenya

  • @andersonmutta3807
    @andersonmutta3807 Год назад +22

    Ndiyo maana watu hawapendi kuishi uswazi, wanawake kama hawa uchelewi watia mibao utapata kesi🤣🤣

    • @yassonmganga8705
      @yassonmganga8705 Год назад +1

      Harafu dk 2 washaenda polisi 🤣🤣

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Год назад +1

      Mabao ya nn, unawapelekea MOTO tu' ..piga sana PARA...!

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 Год назад

      Joti kakosea wamama wa uswahilini unawapelekea moto kwanza kimya kimya .. halafu unaleta mademu.. midomo zipu kali! tehee!

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Год назад +4

    Uyo mlevi anajua sana😄😄😄😄Big up joti😃😃😃.

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Год назад +11

    🤣🤣🤣🤣🤣Hao wamama wamenifurahisha Sana ety Heeeeeee wanafanya. Joti huwa hukosei 😂😂😂🙌🏼🙌🏼🙌🏼

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr Год назад +21

    Asante JOTI kwa kutuletea BI KAUYE 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @beatricemshiu2816
    @beatricemshiu2816 Год назад +4

    Joti pisi kaliiii leo nmekufa mbavu jmni🤣hao wamama wameua akyanani nmecheka mpk watu wameshangaaa🤣

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 Год назад +36

    😂😂😂😂😂Hawa Wamama wananichekesha Sana

    • @gloriousgal2001
      @gloriousgal2001 Год назад +4

      Wa mama kisirani🤣🤣🤣

    • @mzeewajambo8293
      @mzeewajambo8293 Год назад +3

      @@gloriousgal2001 eti wanataka kufanya😂😂😂😂
      Na Huyo mnene mweupe nampenda sana maana anaongea sana😂
      Na huyo mlewa kanichekesha alivyosema mna bahati nngewanyea😂😂😂

    • @allymwashambwa5920
      @allymwashambwa5920 Год назад +2

      🤣🤣🤣🤣 fala kweli Hawa wamama

    • @allymwashambwa5920
      @allymwashambwa5920 Год назад +1

      @@mzeewajambo8293 🤣🤣🤣

    • @mzeewajambo8293
      @mzeewajambo8293 Год назад

      @@allymwashambwa5920 😂😂😂😂Sana

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Год назад +10

    Hivi vichwa vya hawa wa wamama vimekutana ungo na beseni 🤣🤣🤣🤣

    • @eunicejohn5520
      @eunicejohn5520 Год назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣yaan

    • @mishetv8705
      @mishetv8705 Год назад

      ruclips.net/video/wgOvd3qXWlc/видео.html SIO MCHONGO KAFUMANIWA NA MCHEPUKO WAKE

  • @omarychande54
    @omarychande54 Год назад +5

    Katika mahali ambapo umezidi kuupiga mwingi ni kumchukua huyu Bibi Wa Pisi kali, paka wa Buluu wewe, much respect brother, you never disappoint, you ain't King of Comedy, You're comedy

  • @mebzbilo2272
    @mebzbilo2272 Год назад +5

    Much loves from 🇰🇪🇰🇪..joti very funny🤣🤣👋👋

  • @abdulramadhan7308
    @abdulramadhan7308 Год назад +1

    Dah sema uyu maza anasauti kali kama kameza switer bna

  • @fatmamrihani6828
    @fatmamrihani6828 Год назад +7

    🤣🤣🤣Jott una wasanii wazurii saaana

  • @zaituniomar992
    @zaituniomar992 Год назад +5

    Uswahilini aisee😅😂😂😂😂😂

  • @sande6410
    @sande6410 Год назад +3

    "Sina hela nina mzigo tu "🤣🤣🤣
    Noma sana aisee

  • @zachariazabron3192
    @zachariazabron3192 Год назад +7

    Wew ndie king 👑 wa comedy

  • @sultantz7635
    @sultantz7635 Год назад +2

    Huyo mlevi nimemkubali sana aisee 😂

  • @ahmedsdk6736
    @ahmedsdk6736 Год назад +16

    Ningewanyea 🤣🤣🤣 Nyumba za kupanga ukute wamama wamekaa hivyo Afu upitishe Dem

  • @ruwapeter1155
    @ruwapeter1155 Год назад +9

    Bi Kauye, ndani ya Nyumba🔥

  • @samsonkhan2144
    @samsonkhan2144 Год назад +8

    Daah! Jot damuyagu ilo zigo la mwisho uliokujanalo daah hatay alafu daah umeshindwa kulitumia hata me nikilud lzm nije kuuwasha 🔥🔥🔥

  • @mariamgodfrey53
    @mariamgodfrey53 Год назад +6

    😂😂😂 haya mambo yapo sana uswahilini

  • @mary2615
    @mary2615 Год назад +17

    Mind blowing 😉

    • @officialkay823
      @officialkay823 Год назад

      ruclips.net/user/shortsMpG0_AB2pkw?feature=share

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 Год назад +4

    MAPEPO YAMEKUSHUPALIAAA JOT...😃😁😆🤣😂😅😄😀🤓 MIMI HUWA MGUMU SANA KUCHEKA LAKINI MOVIE ZA JOT HUNIFANYA NICHEKE

  • @Majembe12
    @Majembe12 Год назад +4

    Hawa mama jamani....dah!!! Eti wanafanya🤣🤣🤣🙌🙌

  • @gibsonkabusola6923
    @gibsonkabusola6923 Год назад +5

    Wamama wengine wanazingua 😂😂😂😂

  • @janaakimu6171
    @janaakimu6171 Год назад +6

    Aaaahahahaaa 😂😂😂
    Aiseee #JOTI hauna Mpinzani ndani ya NCHI hii😂🇹🇿😂
    Namkubali Sana huyo Mjomba wakuitwa #Zitto💪💪💯🔥🔥
    ..

  • @mgomboally2652
    @mgomboally2652 Год назад +5

    Joti is amazing ila Bi'Kauye shkamoo 🙌

  • @monicageorge2181
    @monicageorge2181 Год назад +4

    Akinywa maji tuu....Gogo 😂😂😂😂

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Год назад +12

    Never disappoint Jotiiii 🤣🤣😂😂🤸

  • @davidodehero8760
    @davidodehero8760 Год назад +14

    Mna bahati ningewanyea 😂😂😂😂
    Mamae mlewa

  • @Wanisimbula
    @Wanisimbula Год назад +3

    Hahahahaha wamama wametisha sana...Joti leo wamekuweza😂😂😂

    • @mishetv8705
      @mishetv8705 Год назад

      ruclips.net/video/wgOvd3qXWlc/видео.html SIO MCHONGO KAFUMANIWA NA MCHEPUKO WAKE

  • @pmall8867
    @pmall8867 Год назад +4

    Aaaah Wana taka Kufanya 😂😂😂😂

  • @husnajumanne9801
    @husnajumanne9801 Год назад +2

    😂😂😂😂😂 mbavu zangu 🙌🏾

  • @chrismuganwa8634
    @chrismuganwa8634 Год назад +6

    Love from Burundi 🇧🇮

  • @agnesbasistian9248
    @agnesbasistian9248 Год назад +4

    Hahaha uwii Joti wewe jamani hao mama zako unaanzaje kuwashona sasa 🤣🤣🤣🤣

  • @masudikhatibu9179
    @masudikhatibu9179 Год назад +5

    😁😁😁 hayondo na mimi yananikuta ga ninapokaaa ivoivo duu kumbe tunao onewa tukowengi kwenye nyumba za kupanga😁😁😁

  • @lovenoor988
    @lovenoor988 Год назад +4

    Nakukubali Mr Joti 🤣🤣

  • @ahmadsaid4878
    @ahmadsaid4878 Год назад +4

    😀😀😀😀😀JOT bhnaa et hela ya gest sina ila mashine nnalo ndomana nataka kulitoa njoo nkushone

  • @emmanuelmtonyole9958
    @emmanuelmtonyole9958 Год назад +71

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nani mwenyewe amefurahi gonga likes hapa

  • @darvie7653
    @darvie7653 Год назад +1

    Hhhaaah sio kwa hich kichekooo😂😂😂🤌ieheheee kam cjakosea

  • @hamidabdalla1814
    @hamidabdalla1814 Год назад +3

    Hahaha ma bibi wameuwaa😀😀😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @mengecitytotheworld
    @mengecitytotheworld Год назад +7

    🤣🤣🤣😂😂😂 washone wote ❤

  • @ramadhaninasibu9443
    @ramadhaninasibu9443 Год назад +4

    Hana nguvu mpeni testi ya kachumbari hahaha 😂😂

  • @barakakatana5398
    @barakakatana5398 Год назад +1

    Vivunja Rizki😂😂😂😂

  • @harunathomas516
    @harunathomas516 Год назад +5

    Mlewa ety ningewanyea 😂😂big up my brother 👊

  • @tumlakimwaitumule
    @tumlakimwaitumule Год назад +5

    Ndomana kukaa uswazi wahun hawataki,mambo yenyewe kama haya😂

  • @baracktengia6686
    @baracktengia6686 Год назад +7

    Always doing great work

  • @hiltonmjema4189
    @hiltonmjema4189 Год назад +2

    Joti uyo mama mgeni usimuache anajua sana

    • @mishetv8705
      @mishetv8705 Год назад

      ruclips.net/video/wgOvd3qXWlc/видео.html SIO MCHONGO KAFUMANIWA NA MCHEPUKO WAKE

  • @ahmedsdk6736
    @ahmedsdk6736 Год назад +4

    🤣🤣🤣🤣 Nimecheka kichiz an hii itakua Funga mwaka

  • @hamfreymbuma8415
    @hamfreymbuma8415 Год назад +4

    Ila joti una kaufala fulani hv 😂😂😂😂

  • @josephombaka
    @josephombaka Год назад +11

    Joti nakuelewa sana sema Ile Clip yetu unatakiwa uiweke humu bx mzee

  • @barakaborn8859
    @barakaborn8859 Год назад +5

    #Nitawashona #SinahelaYaLodge 🤣🤣🤣😂 Daah Joti hujawahi ziacha salama mbavu Zangu

  • @giftmkumbwa4909
    @giftmkumbwa4909 Год назад +1

    🤣🤣🤣 huyu maza 👐👐 ety wanataka kufanya

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b Год назад +40

    Joti always makes people loughing
    he never dissapoints! 🤣🤣

    • @officialkay823
      @officialkay823 Год назад

      ruclips.net/user/shortsMpG0_AB2pkw?feature=share

    • @ashurabally3976
      @ashurabally3976 Год назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 Год назад +1

    🤣🤣🤣 plot 10 Kali sana

  • @msamyfransic5861
    @msamyfransic5861 Год назад +1

    😂😂😂 Ningewanyea

  • @borabbm1969
    @borabbm1969 Год назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 daaah nimeangalia hii video nimecheka sana...

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale Год назад +5

    Huyo mama mpya katiwa NDIMU balaa! Hahahaha ni kama mtu aliyepania kuwepo humu!

  • @paulpajero3511
    @paulpajero3511 Год назад +3

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huyu Bibi niwamoto

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Год назад +3

    Nimecheka kifala sana sana 😄😄😄😄😄😄

  • @andrewkilave3532
    @andrewkilave3532 Год назад +4

    nyumba za hivi zipo wakiona umeingia tu na Mwanamke wanakaa kabsa mlangoni wanachambua na tembele kabsa

  • @monicageorge2181
    @monicageorge2181 Год назад +4

    Aghhhh Wanafanyaaaaaaaaaa...😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ashorass4431
    @ashorass4431 Год назад

    😅🤣😄😄🤣😄😅Mama mkwe wa kurya boy kaamia huku daa daa

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 Год назад

    Huhuu unge m buruza mmoja au apo apo nje mdandie umbea tu, nanyie wakaka mmezid

  • @binttsulu647
    @binttsulu647 Год назад +1

    Joti moooore fireeeeee nakuchek frok 254

  • @josephraphael425
    @josephraphael425 Год назад +4

    Ni ijumaa nyingine Tena mapemaaaa 😁😁😁😁👏👏👏

  • @officialmimi269
    @officialmimi269 Год назад +2

    Pisi kali😂😂😂😂😂💡

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 Год назад +1

    Ila hawa wamama daah kumbe uswahilini kuna tabu hivi 🤣🤣

    • @angelamshama1288
      @angelamshama1288 Год назад +1

      Dada kama unaishi ushuan mshukuru sana mungu, Yan huo ni uhalisia kabisa wauni tunatoka asbh kurud ucku kwa ajil ya itkad km hz

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 Год назад

      @@angelamshama1288 Aisee sijawahi ona kwa kweli hizi hekaheka poleni sana yani wamama wameshindwa hata kusukana wamekalia umbea😂halafu ni watu wazima hadi kuchungulia🙆

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Год назад +4

    Nyumba za uswahilini zina shida sana,ongera sana jot❤❤❤👍👍👍😁😁😁😁😁😁

    • @jaymwinyi6957
      @jaymwinyi6957 Год назад

      Na zina raha yake 🤣

    • @djgthehotstepper
      @djgthehotstepper Год назад

      Na hio ndio Raha yake 🤣🤣🤣 Mimi nilikuwa nagonga Tu wakiwa apo apo kibarazani

  • @eliudijustinyindi5939
    @eliudijustinyindi5939 Год назад

    Duuu uyobibi noma namkubali sana

  • @4ktime587
    @4ktime587 Год назад +1

    Nishai Mtombangile kitwango Mikazo miguno mzee ndinga😂😂

  • @ecostats51
    @ecostats51 Год назад +8

    😃😃,Joti kusema kweli nimepatana kuwaona comedians wengi mno,ila wewe pamoja na timu yako mko na moto aseeh ni wabunifu wa mawazo (ideas). Nyumba za kupanga ziko na changamoto mingi sana,alafu sijui kwanini nyumba nyingi za kupanga, wamama kama hawa hawakosagi.

  • @ukhutymamuu7470
    @ukhutymamuu7470 Год назад +4

    Subiani na makata🤣🤣🤣🤣

  • @shabanfitnesstv3977
    @shabanfitnesstv3977 Год назад

    Unatoka na mkojo ndani halafu unaenda kuumwaga chooni kwanini usingeenda kukojoa chooni 🤣 😂mama big thumb up

  • @alfredjohn5693
    @alfredjohn5693 Год назад +2

    Wanafanya😁😁mama mbea

  • @davidnchoji
    @davidnchoji Год назад +10

    Joti never disappoints...😂🙌🏽

  • @Chady_Kizzo_Boy
    @Chady_Kizzo_Boy Год назад

    Love from Pacha joti ❤️

  • @josephombaka
    @josephombaka Год назад +7

    Kiukweli tabia kama ya Joti tunayo wengi sema tunashindwa kulingana na mazingira

    • @mishetv8705
      @mishetv8705 Год назад

      ruclips.net/video/wgOvd3qXWlc/видео.html SIO MCHONGO KAFUMANIWA NA MCHEPUKO WAKE

  • @gomwaahmad4142
    @gomwaahmad4142 Год назад +3

    🔥🔥🔥🔥🔥 kama ume kubal mzigo ngonga like

    • @baloz8974
      @baloz8974 Год назад

      Mzigo ule black beauty unanimaliza balaa

  • @lazarojr8923
    @lazarojr8923 Год назад +2

    Aaaah wanataka kufanya !!!aaah wanafanya !!!hahahaaa

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 Год назад +1

    Hii ya Leo nimecheka vibaya sana

  • @jasmineedamu6089
    @jasmineedamu6089 Год назад +6

    Wanafanya 🤣🤣🤣🤣

  • @rukiacharo2688
    @rukiacharo2688 Год назад

    From Kenya joti nakukubali sana m nshabiki wako sana

  • @selinaemanuel1877
    @selinaemanuel1877 Год назад +5

    Huyu bibi jamani mm nampenda sana kakosa mkulia na mke wake2😂

  • @priscilladama8686
    @priscilladama8686 Год назад

    Watching from KSA

  • @poureenmkude8659
    @poureenmkude8659 Год назад

    Joti joti joti asant Sana kutuletea bi kauye mkwe wa kurya boy mama pendo

  • @jeangodelo5349
    @jeangodelo5349 Год назад +1

    Huyo ndo nishai bhana 🤣 ungemvutia m1 ndani ukapunguze mzigo 🤸

  • @gloriousgal2001
    @gloriousgal2001 Год назад +3

    Hawa wa mama ni kisirani tupu🤣🤣🤣

  • @yasinijuma6646
    @yasinijuma6646 Год назад +2

    😂😂😂 Salute Sana brother

  • @afandemoturi
    @afandemoturi Год назад +2

    From Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @ahmadsugemacalinabdi
    @ahmadsugemacalinabdi Год назад +2

    Wow nice video 📸

  • @emanuelmpare772
    @emanuelmpare772 Год назад +1

    hatari sana joti uko vizuri

  • @AnnaKilugya
    @AnnaKilugya 3 месяца назад

    Anna from Kenya love u joti show ysko