ACHENI MCHEZO NA QURAANI ALLAH ATAWAPA MTIHANI HAMTASAHAU MNACHEKESHA WATU KUHUSU QURAANI. SHEKENI ADABU ZENU .NAMUOMBA ALLAH AWAANGAMIZE WOTE WANAOCHEZEA KITABU CHAKE
Allah is the great, He is the creator of universe, He is beyond to human comprehension, Mungu ni mkubwa halinganishwi na na kiumbe chochote, tuyatamke maneno yake aliyotuteremshia kwa heshima na utulivu na si kuyafanyia mzaha, Wallah ogopa siku ambayo huyu uliemfanyia mzaha dunian ndie mfalme na Hakimu wa siku ngumu ya kuhesabiwa cku ya mateso.. May Allah grant us goodness and be among those have achieved your mercy on the day of judgement
Unamkuta huyu nae Kuna wakati anajinadi na kujifaharisha kua ni muislam Akisahau kua waislam wakweli hua na heshima na adabu na mambo ya muumba (mungu) ikiwemo maneno yake (Qur an) Waislam tubadilike kwan mpaka yafanyiwe mzaha mambo ya dini ndio watu watacheka? Tubadilike Mimi Wewe Yeye Wote kwa ujumla Tuache kufanya mambo ya ki Iman Sehemu ambapo hayastahili kuwepo Ahsante .
Igizo zuri lakin msiichezee qur an kwan ni kitab kitaka tifu kuna watu walitolewa main kwa sabab ya quran ,kuna wat walipoteza meno sababu ya quran mtume mwenyewe pia mfano mzuri sasa mm na wewe tunapokuwa twaichezea inakuwa siyo vizuri Kwenye maisha haya hakuna mkamilifu tutubie kwake kwa Allah maadam tupo hai atapokea toba zetu
Kitale kisha staafiru pia usirudie tena kutumia kuurani illa nimeipenda shoo yako noma unatisha ustazi kajikata fasta 😁👍pia kumbe muislam mzuri tuu dini unaijuwa sheh wangu leo mimecheka sana wewe noma broo
ACHENI MCHEZO NA QURAANI
ALLAH ATAWAPA MTIHANI HAMTASAHAU
MNACHEKESHA WATU KUHUSU QURAANI. SHEKENI ADABU ZENU .NAMUOMBA ALLAH AWAANGAMIZE WOTE WANAOCHEZEA KITABU CHAKE
Acha kuwalani bali waombeye dua kwa ALLAH awaongoze
Washitqkiwe
Allah is the great, He is the creator of universe, He is beyond to human comprehension, Mungu ni mkubwa halinganishwi na na kiumbe chochote, tuyatamke maneno yake aliyotuteremshia kwa heshima na utulivu na si kuyafanyia mzaha, Wallah ogopa siku ambayo huyu uliemfanyia mzaha dunian ndie mfalme na Hakimu wa siku ngumu ya kuhesabiwa cku ya mateso.. May Allah grant us goodness and be among those have achieved your mercy on the day of judgement
Innah Lillah Wainnah Illah Rajjiun wallah sijapanda Hata kidgo kuona maeneo matakatifu ya Allah yanachezea kizemba kama hvyo
Maigizo
Tofautisha Uhalisia na Maigizo
Ayo ni maigizo sio uwaĺisia
Mungu anajipigania mwenyewe hahitaji msaada wa mwanadamu.. hayo maneno tu we usichokipenda kitu gani hapo?
I'm a Tanzanian🇹🇿but to the honest, online support for the Tanzanians from Kenya🇰🇪 massively
Uwo ni mzaha na maneno ya Allah tena mnajifaharisha kwa watu muombeni Allah msamaha
Apo ww umekwazika nn
Ostadhi usije ukatoa mimba yangu uwiiii mbavu zangu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Innaa lillah wainnaa ilayhi raajiuun achen kufanya mzaha na quran kitale 😭😭
😁😁😁😁😁😁😁😁
🚮🚮🚮 Mzaha gani sasa
Mmmh!! Unafiki upi ss
Msiyaaambatanishe maneno ya muumba ktk upumbavu wenu TAFADHALI 🙏🙏
Yani hadi Mm mwenyewe Nimecheka wallah 🤣🤣
Hahahahahaahah
Mkude wa mchongo 😂😂
😂😂😂😂😂🙌🏼🙌🏼 jinga sana
Jina la move
Ila wewe nizaidi ya chizi😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂 maostadh wa mchongo 🤣🤣🤣🤣
Nimependa jinsi mwamba alivyomaliza hii inatufundisha jambo moja kubwa sana kiukweli. Vipigo vya maisha havimaanishi kwamba hatuijui dini.
Inalillah wainnailah raj hoon daaah 😭 bro japo mi ni shabiki ako umezingua sana Quran sio ya kuifanyia mazaa hivo tafadhali
Msifanye mzaha na maneno Ya mwenyezi munguo
Haifai kichezea Quran kama hivyo ni kosa kubwa kisheria
Tubia kwa ALLAAH
Masha Allah alhamdulillah
Waislamu bana sasa wamechukia hata video za Comedy khaaaaaaaa 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Ila kitale anajuaa bhanaaaaaaaa😁😁😁😁😂😂et afande
Ombeni msamaha kwa allha mmezifanyia istizai Aya za allha
daa nikweli kabisa
Daaah kitale kitale sasa cm kachukua saa ngap🙌🙌😁
😂😂😂kazi safi ilammekosea kitukimoja dua huainaandaliwa mazingira maalum yakusomewa siikilamahali nyiimmesomea mbele ya sinki lachooo kitale wemuislam qur'an inakanunizausomaji siihivyo ulivyofanya ingawa unatuburudisha nakutuelimisha ilachunga mipaka nakanuni kaka
Khatarii hii eti ustadh kageuka afande..mbona mtihanii huu hahahahahaha
Sasa wazeee mnaakoeleeekeaa siko mnachezea maneno matukufu mcheni mola wenu ujingaaa wenu usiwafanye mnachupa mipakaà ohooo
Ashataghafirullah😂😂😂😂🙌
Buradha kitale na kukubali sana sana ile kindaki ndaki natamani miwe na mimi mchekeshaji mkubwa sana sana
Kwakuandika buradh kweli utatuchekesh
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ostazi kachimba 🤣🤣🤣🤣🤣
Umeuwa baba kitale tambatiada abilaha habiu watabba 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 msenge kabisa hili kitale
Innalillah nusra ya Allah ni ushindi
Hawa wapumbafu wanachezea maneno ya ALLAAH
Na Dua ya waislamu hatajwi Baba mungu. Kuweni makini
Ostaz usitoe mimba yangu
Hiiiiii kasoma Tabatiada kweli😂😂😂
Kitale wee noma bro
Yaarabi wasamehe kwakuzitumia ayazako vibaya
Mazinge
Mnazini
Ole wenu, istihzai kweny dini jahannam inawaongoja!
STANLEY Swala haifungwi ivo inakua mkono wa kulia upo juu wa keshoto
🤣🤣😂😂isotope mimba yangu
Nakukubali kinyama aiseee
Naaam😁😁😁😁😁😁
Kitaleee Mtt wa Mjini hahahahhahahahahahja😭😭
Subhallah mzaha ya Qur'an?😭😭😭
Ndo ya kajala na majizo
Eti Bwana Afande🤣🤣
QUR -AN YA ALLAH HAICHEZEWI
Unamkuta huyu nae Kuna wakati anajinadi na kujifaharisha kua ni muislam
Akisahau kua waislam wakweli hua na heshima na adabu na mambo ya muumba (mungu) ikiwemo maneno yake (Qur an)
Waislam tubadilike kwan mpaka yafanyiwe mzaha mambo ya dini ndio watu watacheka?
Tubadilike Mimi
Wewe
Yeye
Wote kwa ujumla
Tuache kufanya mambo ya ki Iman
Sehemu ambapo hayastahili kuwepo
Ahsante .
Kitale noma wallahi 🤣🤣🤣🤣🤣
Jamani tuweni makini namaneno ya Allah sioyakuchezea
Aisee kitale katisha😀😀😀😀😀😀
Hayupo 😂😂😂😂
🙌🙌
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mbavu zangu❤️🇧🇮🇧🇮❤️
Shekhe kakutana na jini linalojuwa kisomo😂😂😂😂😂
Allah atawalipa mnachostahiki
Unawaombea mabaya
Pore sana kitare nimwizi
Umekosea Sana
Kitale wewe nomaaaaaa
Hap.ndugu mumeanguka....hii sio sawa ...kuafnya mzaha na Quran sio sawa
Mzaha kwenye Qur- aan mnatangaza vita na Allah na mtaharibikiwa .Acheni Mara moja please!!
Maneno ya mwenyezi mungu hayachezewi jamani ombeni msamaha kwa aliyewaumba
Mweu kweli kitalee
Igizo zuri lakin msiichezee qur an kwan ni kitab kitaka tifu kuna watu walitolewa main kwa sabab ya quran ,kuna wat walipoteza meno sababu ya quran mtume mwenyewe pia mfano mzuri sasa mm na wewe tunapokuwa twaichezea inakuwa siyo vizuri
Kwenye maisha haya hakuna mkamilifu tutubie kwake kwa Allah maadam tupo hai atapokea toba zetu
Jamani acheni kuchezea Quran
Kitale kisha staafiru pia usirudie tena kutumia kuurani illa nimeipenda shoo yako noma unatisha ustazi kajikata fasta 😁👍pia kumbe muislam mzuri tuu dini unaijuwa sheh wangu leo mimecheka sana wewe noma broo
🤣🤣🤣🤣🤣kitale shida kbs
Pwahahaaa aaah kitale wewee, uniwachagi salama cku zote
Kk mkubwa kitale
kariiiiiiiíi nakbar san blooooo
Sio bloooo ni broo
Kitale unajua unajua tena
Kitare ayah hizo kumbuka hilo
Kitale Amiiiiiiiiina😂😂😂😂
Hahaaaaaaa ostazi usitoe mimba yngu
Stan
Kitale kuna movies yako natfta siioni
Kitali nakubali sana
aaaaaaAcha😍
😄😁😁 hii kali
🤣🤣🤣🤣🤣 ostadhi usije ukatoa mimba yangu uwiiiii mbavu zangu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Dah
Shekhe leo kakutana nacho 😂😂😂
Amina🤣🙏🙌
angalia kaka kama tunaweza kufanya kazi mimi na wewe
🇲🇿🙏salute mkuako bRO kitale
Kudadek Broh Kitaluiii 😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kibititi hiki uku ostadh✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️
Aminaa😂
Tusieke mzaha kwenye aya za quran
Allah atusameh sote .
Musichezee quran tukufu ndiyo muongozo wa watu wote
Ni Muongozo wa wapagani na wachawi na waganga na siyo watu wote.
@@sirpurkinje2836 kijana acha matusi tafadhal
@@sirpurkinje2836 Naomba rudia tena kakangu
Qurani siyo muongozo Wa watu wote.
Umekosea Sana kusema mwongozo wa watu wote sio kwamba wote wanaamini vile unavyo amini
Hahaha 🤣😂😂😂😂
😂😂😂bhagosha kaji gashii
Haifai kufanya mas'hara na Qur-an, na nyinyi mnajiita waislamu.
Jamani kumbe kitale anajua kusona quran
Kwaya mtakatifu makuburi
Kitale 😂😂😂
Hii ya tabatiada Kali 🤣🤣😂😂
Cool
Awapo Wenyewe Wametoka 🤣🤣 Kitale Bhana.
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂kiboko
Hahahaha 😂😂😂😂😂😂😂
Vizur San kitareee
🤣🤣😂😂😂🤩