WAZEE WA QYUBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Wababa wakikwambia usimchezee bint yangu,ujue wanajua nini walifanya kipindi walivyokuwa vijana,Sasa endelea..

Комментарии • 547

  • @ibrahimnjohole1684
    @ibrahimnjohole1684 Год назад +348

    Ngoja na mimi leo niombe like nione wanazipataje.Joti fara Sana😀

  • @tabuhatibu6496
    @tabuhatibu6496 Год назад +48

    ila joti nampenda sana habagui watu wa kucheza nao nimefurahi kumuona mzee muhogo mchungu❤😅😅😅

  • @wellbrand3415
    @wellbrand3415 Год назад +114

    Full package ya salam
    😂😂
    Ila joti leo hawa wakongwe wamekinukisha sanaa

    • @nelootz9322
      @nelootz9322 Год назад +1

      ruclips.net/video/ryykCmZ_2zM/видео.html

    • @Kizanda_84
      @Kizanda_84 Год назад +2

      Twendeni na huku jamani 😊😊😊😊
      ruclips.net/video/WLa97naM9JM/видео.html

  • @Thebeast_tz
    @Thebeast_tz Год назад +103

    Like za kiziwiii kama umemkubaliii😍😍😍😍🇹🇿🇰🇪

  • @mathewmangii8371
    @mathewmangii8371 Год назад +11

    Mamae joti,muhogo mchungu kwa kweli hii ni mwaka mpya kweli I like it very much appreciated..

  • @saidmo9250
    @saidmo9250 Год назад +21

    Naumwa lakini nimefurahi asante joti🔥🔥🔥

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 Год назад +20

    Bonge la comedy WALAHI UMOJA ni NGUVU ❤️❤️❤️❤️❤️❤️ 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂JOTI kama JOTI 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️♥️♥️♥️♥️♥️♥️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @indiansonglomanticlove8493
    @indiansonglomanticlove8493 Год назад +10

    Mimi Leo wa 207 naombeni like kama umependa mzee anavyoigiza sauti ya mwanamke

  • @eddababy9734
    @eddababy9734 Год назад +26

    Izo palachichi na ndiz wametengeneza uboo awa wazee🤣🤣🤣🤣🤣🙌🤣

    • @japhetlust5050
      @japhetlust5050 Год назад

      😂😂😂 Wazee wasela Sana 🙌

    • @annastaziasteven7070
      @annastaziasteven7070 Год назад

      Ndg yangu kwa style hii utapoteza mashabiki kama ni mkataba we renew tu na Ile crew ya mwaka jana

  • @sophiaruwa1366
    @sophiaruwa1366 Год назад +12

    Wee!!zamani nimempesa baba yetu mhogo wa mchungu leo nimemuona ,maisha marefu kwake

  • @shijathedon5453
    @shijathedon5453 Год назад +11

    Mzee mbembe ndo mzee majuto aliyebaki nakumkubali mzee wangu

  • @Kijosh854
    @Kijosh854 Год назад +15

    Umetisha Sana braza joti kwaawa wazee wa cuba👍🙈

  • @chrismuganwa8634
    @chrismuganwa8634 Год назад +12

    Cha kike kabisa!!
    Love from Burundi 🇧🇮

  • @salmamahawi7132
    @salmamahawi7132 Год назад +9

    Mzee wa house keeping😂nimeleta taolo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @phillphilipo5153
    @phillphilipo5153 Год назад +26

    "Nakuongezea na mitishamba" joti jinga sanaa 🤣🤣🤣 all in all siku yangu imeisha vizuri GOAT

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Год назад +41

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kwakweli Nimecheka Sana mpaka nimepaliwa kwakweli Jotiii kiboko na wazee kweli ni wazee wa QYUBA😂😂😂😂😂

    • @nelootz9322
      @nelootz9322 Год назад

      ruclips.net/video/ryykCmZ_2zM/видео.html

  • @blackpanther4825
    @blackpanther4825 Год назад +11

    Hahaha mzee kanifurahisha aliyobadili sauti 🤣🤣🤣

  • @agnesbasistian9248
    @agnesbasistian9248 Год назад +131

    Sasa jamani kila mtu wa kwanza ndio nini hivyo???? Mimi wa 20 naombeni like zenu nione utamu wake 😋

    • @japhetlust5050
      @japhetlust5050 Год назад +2

      Apo sasa😆

    • @nelootz9322
      @nelootz9322 Год назад

      ruclips.net/video/ryykCmZ_2zM/видео.html

    • @Kizanda_84
      @Kizanda_84 Год назад +1

      Twendeni na huku jamani 😊😊😊😊
      ruclips.net/video/WLa97naM9JM/видео.html

    • @benhanclove5997
      @benhanclove5997 Год назад

      Au sio😂😂😂

  • @jennifersamwel8951
    @jennifersamwel8951 Год назад +5

    Haahahha nmecheka huyo baba alivyosema😂 housekeeping 😂😂😂😂😂

  • @emmanuelmtonyole9958
    @emmanuelmtonyole9958 Год назад +11

    Jamani nimechelewa lakini naomba like 80 hapa Kwa joti

  • @iCloud_unlock_tz
    @iCloud_unlock_tz Год назад +7

    Nlikua nasubiri punch line ya Muogo mchungu..🤣🤣🤣 mzee jau sana ndo nn sasa kuweka matunda vile

  • @chamtvonline9058
    @chamtvonline9058 Год назад +13

    Sisi tu Siyo pata like tuta acha ku agalia best comedian 😒😀

  • @uwerauweraanicet3443
    @uwerauweraanicet3443 Год назад

    from burundi kwakweli joti nishida.sana.

  • @misungwikids563
    @misungwikids563 Год назад +6

    Joti msenge sana😂😂😂😂 hyo inaitwa New Vs Old Generation kina muhogo wamekinukisha bala😂😂😂

  • @ednakadilana1065
    @ednakadilana1065 Год назад +8

    House keeping 🤣 Nimeleta taaulooo😂😂😂😂

  • @ibrahimmkombozi9871
    @ibrahimmkombozi9871 Год назад +15

    Huyu sister anajua sana😂🙌

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys Год назад +4

    NISHAI na BLACK PASS nyieeee 🤭🤗😂 Leo njo Leo 🙌🙌🙌😂😂😂😂😂😂

  • @Lewinglovbi6699
    @Lewinglovbi6699 Год назад +31

    Nilikuwa macho nasubiria mzee wangu joti 😂😂😂 in 3 munite

    • @nelootz9322
      @nelootz9322 Год назад

      ruclips.net/video/ryykCmZ_2zM/видео.html

  • @kelvinokelo7992
    @kelvinokelo7992 Год назад +5

    Hiyo style ya kupanga msosi ndo imemchanganya Joto akaona siyo kawaida ni heri achomoke!🤣🤣🤣

  • @erickmidomsodock8716
    @erickmidomsodock8716 Год назад +8

    Siku Yangu imeisha hvyooo Sina stress kabca 😆😂

  • @zuzuutv8782
    @zuzuutv8782 Год назад +15

    muhogo muhuni sana nimecheka kwa nguvu😁😁😁

  • @maxwellkongoman781
    @maxwellkongoman781 Год назад +3

    Uyu Nishai jamani😂😂leo yupo smart😂😂kijogoo cha mtaa

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Год назад +1

    Wazee wa Quba ni WA hovyo Sana Sasa Kuna ulazima gani wa kupanga parachichi na ndizi vile😂🤣🤣🤣

  • @yusuphmdoe5451
    @yusuphmdoe5451 Год назад

    Siku tuwekee saplayz nampoki tuone Kama nae mpoki anaweza au kaisha zeheka joty👐👐👐

  • @xfamefatetv
    @xfamefatetv Год назад +33

    😂 Na NDALAAA... wapi likes zangu East Africans

    • @nelootz9322
      @nelootz9322 Год назад

      ruclips.net/video/ryykCmZ_2zM/видео.html

  • @erickkenzo2381
    @erickkenzo2381 Год назад +13

    Nime leta taulo dawa ya meno 😂😂😂😂😂😂 like tafadhali

  • @jumaraha
    @jumaraha Год назад

    Weeee hii nimecheke Sana Tu ....weeee kali ajabu.pongezi JOTI

  • @husseinkaoneka5834
    @husseinkaoneka5834 Год назад +1

    Muogo mchungu kashikaje yale maparachichi na ndizi, mzee mhuni hyo duh 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @annaki318
    @annaki318 Год назад +27

    Hahahahahahahaha mzeeeee wa house keeping jamaniii... Nimecheka apooo... Waliokikubali iko kipande tujuane kwa like

    • @nelootz9322
      @nelootz9322 Год назад

      ruclips.net/video/ryykCmZ_2zM/видео.html

    • @herikaniugu
      @herikaniugu Год назад +2

      Hahah mzee sio poa

    • @Kizanda_84
      @Kizanda_84 Год назад +2

      Twendeni na huku jamani 😊😊😊😊
      ruclips.net/video/WLa97naM9JM/видео.html

    • @MgeniTwins-hv9qc
      @MgeniTwins-hv9qc Год назад +1

      Hongra

  • @johndenakayajn9733
    @johndenakayajn9733 Год назад +1

    Ila joti bhana,noma sana afu wazee wamekinukisha htar
    Like bs wanangu wa faida

  • @mary2615
    @mary2615 Год назад +23

    I love your vids 😘💕👍🏻

  • @sultantz7635
    @sultantz7635 Год назад +12

    Combination ya maana sana hii 😅😅😅😅

  • @malakimoses6115
    @malakimoses6115 Год назад +6

    Wazee wa qyuba hao 😂😂😂😂😂 nimecheka Sana mpaka mbavu zinauma aise

  • @charlesmbena9121
    @charlesmbena9121 Год назад +2

    Nafurahi tu kwakua umewakumbuka na wazee wetu hongera kaka mkubwa

  • @teambabz9969
    @teambabz9969 Год назад +6

    Joti noma sana,anaweza kwa kila design💥💯mpe likes zake

  • @lewiskombole2917
    @lewiskombole2917 Год назад +3

    This act aisee deserves an Oscar award, hasa huyu dada si mchezo.

  • @mansourally91
    @mansourally91 Год назад +15

    🤣🤣🤣😂😂 WAZEE WAHUNI SANA AISEE 🙌

  • @sadikijambari6736
    @sadikijambari6736 Год назад +6

    Sehemu ya pili tafadhali wote wazee wawe wepo

  • @liliansauwa8448
    @liliansauwa8448 Год назад +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kazi nzuri sanaaa 👏🏽👏🏽

  • @nicocredo2280
    @nicocredo2280 Год назад +5

    Daaah Joti msenge Sanaa🤣🤣🤣

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale Год назад +9

    Sanaa iliyotumika hapa kuonyesha chakula atakachokula ni kutoka CUBA. Sisi tuliosomea huko tumeelewa. Ha ha ha ha... ahsante nyingi kwa DOP kwa kutuwekea picha ya ndizi na avocado kwa ukaribu mno. Frame by frame... hahaha

  • @frankfrancis5736
    @frankfrancis5736 Год назад

    Hawa ma Legend imependeza Sana kuwepo humu

  • @mrmangetown4323
    @mrmangetown4323 Год назад +1

    Hata Mimi ningekimbia siyo kwa kula vitu vile🤣🤣🤣🤣🤣

  • @geraldndosi2083
    @geraldndosi2083 Год назад +7

    😂😂😂wazee wa quba nimewaelewa

  • @emmajud1237
    @emmajud1237 Год назад +2

    Joti mshenzi sana na hao wazee wako wa Quba😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ferouzmasoud3104
    @ferouzmasoud3104 Год назад +18

    House keeping 😂🤣😂🤣 father noma Sanaaa 🤣

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 Год назад +5

    Joti we nomaaaa❤😂😂

  • @wisperfect5320
    @wisperfect5320 Год назад +6

    Cha ajabu nimeanza kucheka kabla ya kuangalia😂😂

  • @lydiacharles5966
    @lydiacharles5966 Год назад +3

    Joti unajua bhana duuh😂😂😂😂😂🤣🤣🤣♥️🇹🇿

  • @evanswinston5102
    @evanswinston5102 Год назад

    🤣😆🤣😆😂🤣😆eti hajakula chakula bado kipo demu mngesse sana

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 Год назад +5

    Safi Sana Joti Kwa Kuwashirikisha Wakongwe Hii Itazd Kuongeza Views

  • @bongoswahilimax09
    @bongoswahilimax09 Год назад +4

    Kazi Nzuri 💪💪💪

  • @omaryteddy535
    @omaryteddy535 Год назад +4

    Nime ludia bahazi ya vipande 5 nime vielewa sana 😂😂😂😂😂😂

  • @kizitokasulamo9167
    @kizitokasulamo9167 Год назад +9

    Kama umeelewa palachichi na ndizi basi na wewe umesoma Cuba 😂😂😂😂

  • @saidramadhan5961
    @saidramadhan5961 Год назад +3

    nmependa hii joti mzee kuinclude wakongwe pamoja the king joti

  • @upendosebastian5629
    @upendosebastian5629 Год назад

    Hzo ndz parachichii wametengenezaa uboo na pumbu zakee😃😃😃😃 dadeq

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 Год назад

    Mwaka huu umekuja style mpya safi sana

  • @mmassadieudonnengomoya8607
    @mmassadieudonnengomoya8607 Год назад

    Oooh ameanza kuskia vzr uyo pass 🤣🤣😁😁

  • @nehemiakiswaga1819
    @nehemiakiswaga1819 Год назад +1

    Mwogo Mchungu ulivyopanga hizo parachichi na ndizi umemaanisha nini 😂😂😂😂

  • @buggaloh0201
    @buggaloh0201 Год назад +16

    My role model 😁😁

  • @ruttajames6873
    @ruttajames6873 Год назад

    😋😋😋😋😋 noma Sana tulio somea Cuba ndoo tuna jua

  • @oscarakyoo4641
    @oscarakyoo4641 Год назад +1

    Tuliosoma qube nana kaelewa hizo parachichi mbili na ndizi, alizoshka muogo mchungu 😜😜😜 nipeni like zangu jaman🤣🤣🤣

  • @mnanakhalidi1968
    @mnanakhalidi1968 Год назад

    Mi muogo mchungu nikimuona najua kazi nzur

  • @winfridapeter9455
    @winfridapeter9455 Год назад +5

    Nimecheka kabla sijatazama😂😂😂😂

  • @seinabelimi2296
    @seinabelimi2296 Год назад

    wangap wameona ndizi moja na parachichi mbili rojo lake unashiba miez tisa km umeona gonga like twende sawa😁😁😁

  • @edwinkhisa
    @edwinkhisa Год назад +4

    My favourite character, Black Pass, happy to see you here. Nakupenda bure from Kenya.

  • @MwajRama-x7w
    @MwajRama-x7w 2 месяца назад

    Yani ww Bob J ndo mrithi wa marehemu Majuto una jua sn! Big up nishai

  • @othmanmbarouk8499
    @othmanmbarouk8499 Год назад +1

    😀😀😀wazee qyba hyo style yao ya ulimi

  • @shafydaudaluhwago
    @shafydaudaluhwago Год назад +1

    Naombeni raki namimi hivi joti hizi Sean anapata api😂

  • @kachabisnea8815
    @kachabisnea8815 Год назад

    Dah haya maisha bhana we acha tu eti mbona kama kunajicho la ng'ombe 😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Год назад +53

    Leo nimekuwa wakwanza like zenu hapa joti 🤣🤣🤣🤣

    • @emmanuelchilimo
      @emmanuelchilimo Год назад +1

      Na huku upoooo🤪🤪✌🏼✌🏼 Simulizi Timu

    • @shadyasalum192
      @shadyasalum192 Год назад +1

      @@emmanuelchilimo nipo na huku kipenzi kujuana raha wanasimulizi mix🤣🥰🥰🥰🥰

    • @nelootz9322
      @nelootz9322 Год назад

      ruclips.net/video/ryykCmZ_2zM/видео.html

    • @Kizanda_84
      @Kizanda_84 Год назад +1

      😂😂😂😂

    • @Kizanda_84
      @Kizanda_84 Год назад +1

      Twendeni na huku jamani 😊😊😊😊
      ruclips.net/video/WLa97naM9JM/видео.html

  • @dariuskasitu4083
    @dariuskasitu4083 Год назад +1

    Hawa wazee wahuni Sana duuh🤣🤣🤣

  • @japhetlust5050
    @japhetlust5050 Год назад +6

    Parachch na ndiz 😂😂😂 Wazee wauni Sana

  • @issanofal2166
    @issanofal2166 Год назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂unakimbia chakula hhhhhhh

  • @nasramtuluma3949
    @nasramtuluma3949 Год назад +1

    Jicho la ng'ombe🤣🤣🤣🤣🤣

  • @dr.mgungo1429
    @dr.mgungo1429 Год назад

    Sikutegemea kama mtapanga hivyo hayo maparachichi na ndizi🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje9700 Год назад

    Full package joti mpumbavu sana....hahahaaasa mjinga huyu

  • @zephaniamwangu9857
    @zephaniamwangu9857 Год назад +1

    Mzee muhogo mpumbavu sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @floraleonard9095
    @floraleonard9095 Год назад +1

    Nimewakubali wazee aiseee🤣🤣🤣

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Год назад +11

    Never disappoint Jotiiii 🤣🤸

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 Год назад +1

    We muhogo Mchungu icho ulichoshika Mungu anakuona ujuwe, somo la vitendo huwa hakuna kufeli mtu, wote tumepata daraja A+ 🤣🤣😂😂

  • @peterjanuary429
    @peterjanuary429 Год назад +1

    Dahhh 😂🤣 wakongwe 🔥

  • @abubakarsuleman1983
    @abubakarsuleman1983 Год назад

    Aliemuona muhogo mchungu alivoikisha ndizi ktk mfumo wa kiume akimaanisha leo nishai atagongwa anipe like zangu.

  • @khalidjafary1120
    @khalidjafary1120 Год назад +1

    Hatariiii 😳😳😳

  • @rehemafredrick7794
    @rehemafredrick7794 Год назад +8

    Joti nakukubali sana🤣🤣🤣🤣

  • @m.l.b2066
    @m.l.b2066 Год назад +15

    Nimenyoosha mikono kwa JOTI!

  • @djchiccotzofficialdjorigin1280
    @djchiccotzofficialdjorigin1280 Год назад +4

    Nimechokaa sana nimeletaa Taylor😁😁😁😁

  • @mariomsigwa9428
    @mariomsigwa9428 Год назад

    Joti hujawahi niangusha big up

  • @AncyMerci-un2nu
    @AncyMerci-un2nu Год назад

    Kkkkkkk hawa wazeee ni mwisho yaani muna kipaji kbsa

  • @nkurunzizaabou7029
    @nkurunzizaabou7029 Год назад

    Muhogo weye wakuache kweli nani kaona kama mimi nilivyo oona liker kama zote