PENZI LA MAMA NTILIE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • #kicheche #mtotoasma #bhailam

Комментарии • 614

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 Год назад +18

    Bailam na vay muko talented nawapenda 🥰🥰👌👌na kicheche pumbavu zake 🥰🥰🥰🥰🥰👌👌👌👌siwezi wamaliza majina nyote nawapenda

  • @elishajohn455
    @elishajohn455 Год назад +36

    Afadhali leo mmetupumuzisha na neno MALAYA. Big yes mmefanya kazi nzuri sana

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Год назад +99

    Huyu dada namkubali sanaaah yaan anajua kisha anajua tena 🔥🔥🔥

  • @nicksonmwala9855
    @nicksonmwala9855 Год назад +12

    Hapa hamna comedy,bonge la bongo movie 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @ahmedyhassan4059
    @ahmedyhassan4059 Год назад +36

    Nampenda uyu dada mwenye kijola Anaweza mno sana

  • @francescafrancesca8901
    @francescafrancesca8901 Год назад +134

    Wanao unga mkono hii team kwa kazi nzuri wanao ifanya tujuwane kwa 👍. Merry Christmas kwa team na kwa mashabiki wa team yetu kipenzi.
    Mungu awalinde.

  • @nasirmohamed6329
    @nasirmohamed6329 Год назад +18

    Hii team kwann isichukue tunzo ya short clip Yani kazi yao zinafunza sana mm binfsi from Zanzibar nawakubali ila neno Malaya punguzeni kweli mna mpk watoto huku ni shabiki zenu mungu awajalie Kila l kheri

  • @sultanngaugia3336
    @sultanngaugia3336 Год назад +15

    Kicheche we unajua sana zaidi ya sana kiujumla wote mko vizuri

    • @kelvinpacha4193
      @kelvinpacha4193 Год назад

      hahahaha pumbavu zangu mbwe weewe kicheche noma

  • @ndayijeanclaude5094
    @ndayijeanclaude5094 Год назад +27

    Baby wangu Vai leo kapigwa mpaka naumia. Pole bby.
    Bregadia atakukumbuka

  • @marrialmary3510
    @marrialmary3510 Год назад +11

    Akii Vai unajua mpaka nashindwa kuelezea mpenziy 💕💞💞

  • @yudithamwambenja3775
    @yudithamwambenja3775 Год назад +33

    Vai jina kama la mdogo wangu nakupenda bure Mungu aendeleee kubariki kazi yako 💕

  • @Mushalotelevisionkiswahili
    @Mushalotelevisionkiswahili Год назад +37

    Hii team naikubali sana. ZAIDI BAILAM,VARIET,QUEEN,KICHECHE

  • @Frank-yq5pj
    @Frank-yq5pj Год назад +15

    Uyu vailet nampnd sana Kwa Kazi yake dah ,, ilove vailet

  • @dayanaamoit6951
    @dayanaamoit6951 Год назад +252

    Wapi kelele ya team KICHECHE😍😍🥳🥳, angusha like za kicheche jamani tujuane mbwa sisi😅😅🙌🙌

  • @VELON-f7j
    @VELON-f7j 9 месяцев назад +2

    I love kicheches movies they are so amazing,feel supported from Kenya by kenyans

  • @gspofficial7977
    @gspofficial7977 Год назад +3

    Vailet I love you mwaa njoo acha mbwa izooo 😂😂😂 kicheche makofia mbwa mie nakupenda sana

  • @Halimamaere
    @Halimamaere Год назад +16

    VAI NKUPENDA WEE MDADAA 🥰🥰🥰NA UNAJUA SANA ADI RAHA🔥🔥🔥

  • @hunaydajuma3046
    @hunaydajuma3046 Год назад +43

    Naipenda Sana hiii team❣️❤️km ww unaipenda like

  • @dubadontv8387
    @dubadontv8387 Год назад +47

    hii team ni 🔥🔥🔥🔥🔥 kama unawakubal like tuwe sawa

  • @danielmjarifu8546
    @danielmjarifu8546 Год назад +8

    Yani ilianza kama comedy ila mtaa unawaelewa NYIE jamaa bring it for our country 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @jackiekavugho3252
    @jackiekavugho3252 Год назад

    Namimi namupenda kicheche,ok kaka kicheche ni kongo🇨🇩

  • @issaskighanga3199
    @issaskighanga3199 Год назад +24

    Kicheche ndie mwamba pumbavuzake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @petermaro9852
    @petermaro9852 Год назад +66

    Vai is more than actress and I really like her diction when she acts.She and Bailam have a perfect chemistry.

  • @ibrahimadan7653
    @ibrahimadan7653 Год назад +8

    Huyu sista manze unimaliza sana.naeza pata namba yake jo niko doha Qatar now baby ur so beautiful

  • @asinajasna3347
    @asinajasna3347 Год назад +23

    Ila kicheche akili zake anazijuwa mwenyewe 🤣🤣🤣

  • @josephlemi8084
    @josephlemi8084 Год назад +3

    Hongera xana mnaweza Ila naomba kujua jina la huo wimbo bora nibaki mwenyew 🔥🔥🔥

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx3043 Год назад +8

    Ilaa Kiukweli kabxaa kwny story mko pow sanaa... na Actin pia mko pow sanaaaa yaaaaan

  • @zephaniamwangu9857
    @zephaniamwangu9857 Год назад +12

    Kicheche ni bonge la star!!!

    • @livingstonejuma
      @livingstonejuma Год назад +1

      Mbwa mapenzi Mbwa kicheche....Pumbavu zake

  • @MuedasomosnosMML
    @MuedasomosnosMML Год назад +15

    Vailet nimekupenda bure ningekuwa Tz ningekuowa lakini nipo Mozambique 🇲🇿🇲🇿

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 Год назад +2

    huyu dada NI noma ana kipaji utahisi kama kweli hivi 🔥🔥🔥🥰🥰

  • @mititokevin6878
    @mititokevin6878 Год назад

    VAI MUCH LOVE FROM KENYA MAMA.NAKUPENDA BURE KIPENZI

  • @benjaminkangolo2017
    @benjaminkangolo2017 Год назад +11

    lidada ili lina juwa ku jikiza adi raha big up good job

  • @ignancenshimiyimana8267
    @ignancenshimiyimana8267 Год назад +2

    Kicheche much love from that country🙏🙏🙏🇷🇼🇷🇼🇷🇼

  • @saumukahindi3795
    @saumukahindi3795 Год назад +35

    Duuh uyo mwanamke imeniuma sana 😥😥

  • @callistobarasa-yo2gm
    @callistobarasa-yo2gm Год назад +1

    nakupenda xana wewe Malaya ndoige coz unajua kuigiza shikilia tu hapo but punguza ku heart break wanaume poa but kenya mnapendwa❤❤❤❤❤❤❤💖💕💓💓🌺💞💓❣️👌

  • @monyaichimakuri537
    @monyaichimakuri537 Год назад +3

    Leteni nyingine Basi I wish I marry Christmas

  • @rachelmikey5493
    @rachelmikey5493 Год назад +5

    Ivi wanaume wana nini...mi cijui kama ntaja penda tena...MUNGU nisaidie tu nilee watoto wangu.

  • @iraakasubete8287
    @iraakasubete8287 Год назад +5

    Sema nakukubali sana Bailam huwa unafaa kuigwa kwa msimamo wako

  • @yusuffacota1953
    @yusuffacota1953 Год назад +6

    Nakubali sana , punguzeni neno malaya, iyi Safi sana

  • @jacksonchamwinji3897
    @jacksonchamwinji3897 21 день назад +1

    Vai ni bonge la mwanamke nakubali sana💘💘

  • @alifungo6794
    @alifungo6794 Год назад +31

    I like this team especially kicheche he is 💥💥

  • @michaelshiraku7217
    @michaelshiraku7217 Год назад

    Vaileti njo Kenya to much love mbwa mm❤

  • @bahatikaruma-fz7lz
    @bahatikaruma-fz7lz Год назад

    Nampenda kicheche jaman....muse mnaigiz na cawina

  • @abdallahswalehe1771
    @abdallahswalehe1771 Год назад +1

    Kiukweli vay anajua sana kuigiza nampenda sana tena sana iclam naomba unikutanishe na vay plz mana wew nimeanza kukufatilia kitambo sana mpaka leo hii namjua vay kupitia wew

  • @alexmachioni2
    @alexmachioni2 Год назад +7

    Nakupenda hii team tengezeni filamu ndefi

  • @nkwabitz233
    @nkwabitz233 Год назад +12

    Vaiii mzurii 😍

  • @lightnessgoodluck8123
    @lightnessgoodluck8123 Год назад +1

    Naipendaa Sanaa hii timu mwajuma ,vai ,kicheche nyieee

  • @vincej9275
    @vincej9275 Год назад +4

    Asanteni sana Vai na Bailam, you are the best.

  • @jumaradhomary8591
    @jumaradhomary8591 Год назад +8

    Tunapenda kazi zenu,na tumeanza kuwafatlia ktambo,ila kwenye hii y leo.MMEZINGUA MWISHONI.

    • @kashindijohn5145
      @kashindijohn5145 Год назад

      Wamezingua kivipi bro, lete correction tuelewe, because we learn through mistake basi tueleze.

  • @marrysimon-h1n
    @marrysimon-h1n 3 месяца назад

    Nawakubar kinoma❤

  • @yohanatulito1182
    @yohanatulito1182 Год назад +4

    😭😭 Yaaaani ukimwaangalia Hawa Watu Wana kitty Kikubwa Sanaa walianza Kama comedy Lakini Hawa niwalimu ukiwafatilia fisuri utawaelewa sanna 🔥🔥🔥💯💯🙏🙏

  • @martinmuthii1900
    @martinmuthii1900 Год назад +11

    Kicheche nakukubali Sana👏👍

  • @Neclar-wn3yp
    @Neclar-wn3yp Год назад

    From 🇰🇪 am in Love with that lady mwenye analia aki someone anifanyie connection please Kicheche nipee huyo

  • @zuberisalim2443
    @zuberisalim2443 Год назад +6

    Huyu dada alofkuzwa jina lake nani...anajua sana kuigiza nampenda hatari

  • @ignassindabaha1813
    @ignassindabaha1813 Год назад +2

    Vai hii movie umeuaaaaaa♥️♥️♥️♥️♥️😘mbwa kicheche 😂😂😂🏃

  • @wisemelodytz589
    @wisemelodytz589 Год назад

    Uyu dada anaeliaga anaitwa nan asee ni anajua mpaka anajua tena siku lamata akimuona mta enjoy zaidi na mtaona ukubwa wake zaidi

  • @shamsahasan2748
    @shamsahasan2748 Год назад +8

    Kumekucha 😀😀😀😀😀😀bailam ww,yani kicheche yupo makini 😀😀😀😀 kwa uchawa

  • @vince0044
    @vince0044 Год назад +33

    my vai & bailam their perfect combination without forgetting umbwaa kicheche their vibes comes at one place 👌👏👏👌💜

  • @asahdhamza1034
    @asahdhamza1034 Год назад +2

    Kicheche nakukubali mbwa wewe😂😂 like ya kenya hii

  • @JakoboKazilo
    @JakoboKazilo Месяц назад

    Nimewafuatilia hawa watu hii collabo ya vai na bairam ni hatari sana,,, wote mna filling 😥😥 kali sana za kuect 👋👋

  • @mwljuliuskiwovele
    @mwljuliuskiwovele Год назад +4

    Huyu Dada Asma sijui ndio ndoige anajua sana kwanza mimi nakataa siku zote huyu dada ni actress mzuri sana na sio comedian.

  • @mititokevin6878
    @mititokevin6878 Год назад

    Nakupenda kicheche unapenda kusema ukweli baba

  • @michaelshiraku7217
    @michaelshiraku7217 Год назад

    Mbwa ss watching from Nairobi ❤❤

  • @nassorhabdalla1734
    @nassorhabdalla1734 Год назад +2

    Nawakubali sans VAI na BAILAM. nyinyi ni Waigizaji wazuri Sana.

  • @saidimusa6313
    @saidimusa6313 Год назад +1

    Huyu jamaa wa kikofia ni miyeyusho sana mda wote analiamsha

  • @ibrahimmahinda9547
    @ibrahimmahinda9547 Год назад

    Naupenda huo wimbo mwisho... mwenye kuujua aniambie guyz

  • @johngithuma6276
    @johngithuma6276 Год назад

    Mbona mwajuma leo ana makalio....... Pumbavu zake

  • @salimmasoud1253
    @salimmasoud1253 Год назад +1

    Daah wewe Vai unaweza kupafom vzr hongera Sana

  • @anolddeomassawe24anoldimas12
    @anolddeomassawe24anoldimas12 Год назад +3

    Huu wimbo wanan naunaitwaje anaye jua aniambie

  • @killamanempire
    @killamanempire Год назад +1

    Kicheche njo wangu kabisa

  • @AhadiBwanyungu-j6s
    @AhadiBwanyungu-j6s 6 месяцев назад

    Bailamu na Bibi yako nawakubali kiunyamatu munajuwa usikuwe nacheza film yoyote ile bila huyo bibiyako munaendana talent

  • @teacherd
    @teacherd Год назад +1

    Huyu dada anajua saana.. anajua mnooo

  • @amish9amina899
    @amish9amina899 Год назад +3

    Vaai nakupenda ❤️uko vizur sister 😊

  • @abeidmsimange7840
    @abeidmsimange7840 Год назад

    Nampenda sana huyu vaileti hakika huyu anakipaji chahali yajuu wakati anaigiza wengne machozi yanatoka kwamanyanyaso naukatili anao fanyiwa hakika anakipaji chahaliyajuu

  • @anicethjanga6505
    @anicethjanga6505 Год назад +3

    cograts vai,, then nataman nijue nyimbo inayoimba mwishon nan kaimba( bora nibaki na stress) kipande ikoo

  • @aishatwaha7863
    @aishatwaha7863 Год назад +4

    Some one kiss my comment pls mbwa kicheche🤣🤣🤣🤣 watching from qatar

  • @AaSs-x7v
    @AaSs-x7v 12 дней назад

    Asante..hii ipo vizuri saanaaa

  • @rajabumihayo6235
    @rajabumihayo6235 Год назад +1

    Daaaah yaaan Vai ni mzuri aise unafanan kabisa na x Wang

  • @marthawillium2547
    @marthawillium2547 Год назад +1

    Jmn huyu dada mbn anafanana Sana na Lulu wa majay

  • @mariamundayikengurikiye9266
    @mariamundayikengurikiye9266 Год назад +4

    Nyinyi wanaume nawachukia nawachukia,nawachukia tena ila mungu anisaidie

  • @mustaphnauli2197
    @mustaphnauli2197 Год назад +1

    Jomba bailam kaza mzee

  • @irenefrancis4899
    @irenefrancis4899 Год назад +4

    Huyu ni broo wangu kabisa na wifi

  • @clintonimara8483
    @clintonimara8483 Год назад +9

    Huyu vailet ningepewa awe wangu duh mbwa Mimi ningetulia tuli

    • @evelynoscar5104
      @evelynoscar5104 Год назад +1

      Hahahaaaaa mbwa ww umenivunja mbavu pumbavu zako😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @clintonimara8483
      @clintonimara8483 Год назад

      🤣🤣🤣🤣mbwa mm ndo bligidia mwenyewe pumbavu zangu hizo

    • @clintonimara8483
      @clintonimara8483 Год назад

      @@evelynoscar5104🤣🤣🤣🤣🤣

  • @josephjulius3327
    @josephjulius3327 Год назад +1

    Part2 plz yule mchiz bado anamsubir

  • @SwaumuSwaumu-hi2sx
    @SwaumuSwaumu-hi2sx 5 месяцев назад

    Ooh jamn hay mapenz tuyaachie we nyew

  • @andrewkilave3532
    @andrewkilave3532 Год назад +11

    Hichi mlichoigiza ni kitu ambacho kipo kabsa mimi niliachana na mchumba wangu mtalajiwa kwasababu na yeye aliachana na mtu wake lakini jamaa alikuja kumwambia wewe ni wangu tu na Mwanamke akaniambia kuwa na mpenda sana mzazi mwenzangu daaah.

    • @Mary-vw6ur
      @Mary-vw6ur Год назад

      1

    • @catherinescott9113
      @catherinescott9113 Год назад

      Pole

    • @andrewkilave3532
      @andrewkilave3532 Год назад

      @@catherinescott9113 Asante japo bado hata sijapoa kivile

    • @catherinescott9113
      @catherinescott9113 Год назад +1

      @@andrewkilave3532 ukitaka umesahau uwe bizee na kazi na kusikiliza nyimbo mbalimbali na usiwe unakaa pkee ako pkee ako

    • @andrewkilave3532
      @andrewkilave3532 Год назад

      @@catherinescott9113 Asante sana kwa ushauri wako nitaufatilia

  • @nawalmohd3362
    @nawalmohd3362 Год назад +11

    Napenda hii song ya humu❤

  • @cheka_264
    @cheka_264 Год назад +5

    Vaileth nyota yako inang'aa sana nakuombea ufike mbali

  • @soomzoomdon5335
    @soomzoomdon5335 Год назад +5

    hii team ndoinge nawapenda pure pumbavu zangu

  • @EzekieliMose
    @EzekieliMose Месяц назад

    kwakwel Hawa jamaa wanajua wadaue gongen ❤❤❤❤😅

  • @EstarThadeo
    @EstarThadeo Год назад +1

    Mumetisha sana

  • @lissaaminaamina8351
    @lissaaminaamina8351 Год назад +1

    Nampenda Vai jamn hata sijui niseme anajuwa paka anajuwa tenaa

  • @salmamgeni5016
    @salmamgeni5016 Год назад

    Nyimbo ilotumika ni nzuri mashallah❤

  • @amourshadhil2005
    @amourshadhil2005 Год назад +7

    Huyu Vai. Hahaha. Hana zari

  • @zainalugome412
    @zainalugome412 Год назад

    Good vai tunakuombea ndg Duke apa

  • @callistobarasa-yo2gm
    @callistobarasa-yo2gm Год назад +1

    mbwa Mimi lakini wazidishe mapenzi coz Ina mafunzo mengi🎉😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @yohanamuchabo6002
    @yohanamuchabo6002 Год назад

    Njamani naomba majina yawasani waliyo imba katika izi filamu naomba Niko congo

  • @AminaAmina-of5mv
    @AminaAmina-of5mv Год назад +4

    Kazi nzury 🙌😍

  • @Filamumaridhawa
    @Filamumaridhawa 11 месяцев назад

    Daaaah niko zanzibar ila huyo dada anajua sana

  • @nadzuamrema5837
    @nadzuamrema5837 Год назад +1

    Leo ameact vizurii vaii akiii nakukubali kama niya chrismas shuaaa