SIKU NILIYOPATA MIMBA (Part 01)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • #kicheche #mtotoasma #vaileth

Комментарии • 507

  • @wambuievelynwaithira
    @wambuievelynwaithira Год назад +30

    Vailent nakupenda Sana na kicheche mzee kikofia 😄 🤣 😂 😆 😄 kwa kazi nzuri

  • @deborahwekesa1318
    @deborahwekesa1318 Год назад +8

    Mbwa gogooooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,,,mbwa binge🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,,,pumbavu zake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,,,,kicheche kwl wanimaliza walai

  • @ndayisengaamissi6102
    @ndayisengaamissi6102 Год назад +2

    Bonge katoa siri zote kwa andazi 🤣🤣😆😆😀😆😀"Mbwa Bonge" "Mbwa kenge" "Mbwa gogo" 😀😀😀😁😀😁😀😁😀😁😀we Amrishpoor unakera sana Mjini.

  • @mohamedimaliki6253
    @mohamedimaliki6253 Год назад +13

    Vai we ni super women,,,,,super star,,,ni noumaaaaaa upo vzr na ndoto yako (SOLUTE)

  • @teacherd
    @teacherd Год назад +9

    Huyu dada anajua mpaka anamboa..🔥🔥🔥🔥🔥

  • @munasaid1429
    @munasaid1429 Год назад +19

    Kicheche unaweza kumpiga mwehu uyu 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @medzauledi8634
    @medzauledi8634 Год назад +4

    Vai mungu akubariki Sana na talent uliyo nayo.pia nampongeza mbwa kicheche pumbavu zako mbwa ww

  • @MwanauluHaruni
    @MwanauluHaruni 4 месяца назад

    Watching from Kenya, Vailet umeweza katika uigizaji 👍

  • @emmanuelngiriwonsanga2157
    @emmanuelngiriwonsanga2157 Год назад +10

    This girl is a good actress that I have ever seen in my life she deserve more ❤❤

  • @soomzoomdon5335
    @soomzoomdon5335 Год назад +6

    vailet kicheche bairamu we love you guys much appreciated from Kenya pumpavu zetu mbwa sisi kiufupi twawalike tu sana

    • @baloz8974
      @baloz8974 Год назад

      As a team hawa wanafanya makubwa stick together you people's to make this comedy industry good far

  • @nicholaskibet8280
    @nicholaskibet8280 Год назад +15

    Vailety 💖💖💖 nkupenda bure aky kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 kumbafu zetuuuuu 🤣🤣

  • @aishandanu
    @aishandanu Год назад +19

    Jaman huyu mdada nampenda bure🥰

  • @hassanmwangosi602
    @hassanmwangosi602 Год назад +10

    vaireti uko vizuri mungu akupe nguvu na akili uwe juu ya hapo ulipo

  • @jimmymbella997
    @jimmymbella997 Год назад +3

    😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂uuwiiiiiii kicheche utakuja niua mbwa wewe daaahhh!!

  • @tanashanahreel-qo3es
    @tanashanahreel-qo3es Год назад +3

    Natokea Burundi, uyu dada kwa kweli anajuwa kuigiza big up Vai nakupenda bure

  • @stevennyondo2215
    @stevennyondo2215 Год назад +51

    Vaileth yupo serious sana hadi tunalia huku wenye roho nyepesi 😭

  • @johnurio1900
    @johnurio1900 Год назад +5

    Huyu dada nasema hakika Ni no moja namtafta nimpe zawadi hongera sna vailet jina la chezo

  • @aryanchuumu362
    @aryanchuumu362 Год назад +90

    Nilimis jamn uyu mdada alikuwa wapi..uyu ni namba moja wangu kwa wadada wote waingizaj..bongo movie mpk kweny comedy Big up♥️✌️

    • @stevennyondo2215
      @stevennyondo2215 Год назад +3

      Na kwenye bongo movie yupo?

    • @bahatinassor5823
      @bahatinassor5823 Год назад +4

      Ata mie nilimmiss nampenda

    • @Zainab_salat
      @Zainab_salat Год назад +1

      Wako wengi Wanafusa nao

    • @doctagelopita1213
      @doctagelopita1213 Год назад +7

      Hata mm nampenda Sana sana sana vailet💓💓💓💓

    • @hadjidjae
      @hadjidjae Год назад +1

      Uko Sawa kila Mutu namaoni yake sindio 🤣🤣 kuja waiona ATI

  • @MunilaHamisi
    @MunilaHamisi 16 дней назад

    Ila vai kuigiza anaweza sanaa

  • @mbungewakujitegemea1399
    @mbungewakujitegemea1399 Год назад +1

    Ulituhaid kuwa unakuja na vitu vipya na vikali hakika huu pia nzuri tupe sehem ya pili

  • @Tchidymbanga
    @Tchidymbanga Год назад +6

    Nimehuzunika kwa Vailet anaigiza kama kabakwa kweli😭😭😭,
    Ila kutokea Kicheche tu kabalansi nimecheka sana 😂😂😂, Mbwa Kicheche (Best actress na best comedian Vai + Kicheche)

  • @lubnafaizaidd2983
    @lubnafaizaidd2983 Год назад +1

    I love this lady so muchh keep it up dear vailet ,,

  • @cutesuu7255
    @cutesuu7255 Год назад +3

    Kicheche pumbavu zako 🤣🤣🤣unajua kunitoa stress mbwa ww

  • @gabrielmamela2206
    @gabrielmamela2206 Год назад

    Vai Vai Vai daaa Mungu akuinue sana sana

  • @macaicaandre
    @macaicaandre Год назад +10

    Mbona sidyapata like kyenhe kazi ya kicheche

  • @bajosdamour2347
    @bajosdamour2347 Год назад +31

    Hili lidemu Vaireti linajua kuigiza sana wallah nibasi😍😍🔥🔥

  • @PapaaMaphid
    @PapaaMaphid 2 месяца назад

    Ila wew mdad vai nmekupenda bure akiamungu me pia napenda kuigza ndokipaj changuu natamn niwe kama wew

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo5290 Год назад +2

    Vai gogooooo mbwa gogooo kichechee weee unaweza pumbavu sanaa

  • @bestfutur968
    @bestfutur968 Год назад +2

    Vai ni muigizaji mzuri anajuw kuigiza kbs anahitaji sopoti kubwa ili aendelee kufanya makubwa zaidi

  • @yohanamuchabo6002
    @yohanamuchabo6002 Год назад

    Jamani naomba jina zaizi nyimbo tafanza naomba Niko Dr Congo Kinshasa

  • @khadijahmohammed9467
    @khadijahmohammed9467 Год назад +1

    Jamanii vaiii is the best number 1 tanzanian girl bongo movies

  • @kiustaa7701
    @kiustaa7701 Год назад

    Ila mbwa kicheche unajuwa sana pumbavu zako😁😁😁

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 Год назад

    Waa ni muvi nzuri sana hongereni nyie

  • @OnePablo.
    @OnePablo. Год назад +1

    Kicheche noma Sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yani noma mpuuzi 🤣🤣🤣🤣

  • @RamaJumanne-k9u
    @RamaJumanne-k9u Год назад

    Huyu jamaa me namkubali sana kicheche am

  • @soomzoomdon5335
    @soomzoomdon5335 Год назад +17

    this lady she is really talented

  • @elishalugano5679
    @elishalugano5679 Год назад +1

    Vailety ni namba moja aki ingilikua kanumba angali angamwacha uyu dada kucheza naye

  • @issaskighanga3199
    @issaskighanga3199 Год назад +2

    Kicheche nichizi kweli mbwa mimi pumbavuzangu 🤣 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ToubbyKasongo
    @ToubbyKasongo 4 месяца назад

    vai nakupenda sana uko Congo🇹🇿🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @bestinajosephmagoiga28
    @bestinajosephmagoiga28 Год назад +1

    Daah ni kwelii kweny uhalisia wa maisha haya mambo yapo

  • @shabaninasolo8545
    @shabaninasolo8545 Год назад +2

    Very nice 👍 kazi nzuli Asanteni 🙏🙏🙏

    • @linahjozhe2956
      @linahjozhe2956 Год назад

      jamani daa vai umeigiza vizuri usilie jamani

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 Год назад +1

    Vaileth kweli wewe Mtoto unakipaji sana morogoro nimkoa wavipaji sanatu

    • @ericbahizi6526
      @ericbahizi6526 Год назад

      Dada huyu nimulmbo sana anajua kulia hongela

  • @DieudonnéMUGIRANGABO-f2o
    @DieudonnéMUGIRANGABO-f2o Год назад

    Vaileti pôle Sana duniasionzuli kwakweli hainauluma na kicheche zmekuzalau kweli 😭inaumiza Sana 😭😭🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @anafisuwerd875
    @anafisuwerd875 Год назад

    Daaah kicheche jau sana mmbwa kenge

  • @fabianallex
    @fabianallex Год назад

    Amlishi polii kakataliwaa pumbavu zakee

  • @EliasMunene-my7do
    @EliasMunene-my7do 2 месяца назад

    Kali bana mie mwenyewe kaipenda

  • @ramadhaniibrahimu5972
    @ramadhaniibrahimu5972 Год назад

    Mimi nimependa tu hapo alipochomoa kisu izo shanga duuuh bonge lashanga dada gofo

  • @asanatjuma5260
    @asanatjuma5260 Год назад

    Nakupenda sana vai unajua sana kipenz kazabuti utafka mbal sanA

  • @Halimamaere
    @Halimamaere Год назад +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂YAAN KICHECHE KAJA KAHALIBU KABISA

  • @khairunisimba9013
    @khairunisimba9013 Год назад +1

    Mpo vizuri vaireti na kicheche

  • @kelvinndungu2207
    @kelvinndungu2207 Год назад +9

    I love this lady my no 1 actress ❤

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo5290 Год назад +11

    Vailet mrembo sanaaaaaaa mashallah

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk Год назад

    Vailet hongera unajua sana kuact

  • @rabinzsinoya1434
    @rabinzsinoya1434 Год назад

    Vai upo vizuri sana,

  • @DaviddeusDaviddeus-wr2gh
    @DaviddeusDaviddeus-wr2gh Год назад

    Eehee movie zake ziko poa👍👍

  • @JeannetteManirambona-o6m
    @JeannetteManirambona-o6m Год назад

    Jmn nawapenda sana kwa kazi zenu

  • @fauziyaomar7090
    @fauziyaomar7090 Год назад

    Cheche anachekesha sana jamn

  • @khairunisimba9013
    @khairunisimba9013 Год назад +1

    Kazi nzuri vairet

  • @Charlesokoth-kc6dc
    @Charlesokoth-kc6dc 8 месяцев назад

    Kicheche mi n stability wake kutoka kenya

  • @EustoOfficiel
    @EustoOfficiel Год назад

    Kicheche unachekesha sana baba

  • @JohnMtaita-fm4lh
    @JohnMtaita-fm4lh 6 месяцев назад

    Kicheche nakukubali man wangu ila vaianazingua kinoma anapenda kulialia

  • @rajabuayubu3903
    @rajabuayubu3903 Год назад +1

    Lady anajua kuigiza

  • @kelvinsalamba4483
    @kelvinsalamba4483 Год назад

    Anapendez kweli uyu mrembo kweli kweli kicheche ubwa koko aiiii

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo5290 Год назад +1

    Kapewa andazi katoa siri zoteee kichecheeeee

  • @mwelimazozo
    @mwelimazozo Год назад +3

    Kicheche mi mshabiki wako kutoka👉🇹🇿👉🇰🇲

  • @evelynoscar5104
    @evelynoscar5104 Год назад

    Kicheche n mbwa huyu pumbavu zakeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @allymangogasya8068
    @allymangogasya8068 Год назад

    Nawapenda namna munavyo jisitiri

  • @3face254
    @3face254 Год назад +3

    Dada hyu uko vizuri napenda kazi yake kwa kweli

  • @salehkhamis9994
    @salehkhamis9994 Год назад +4

    Kicheche we fala kweli😂😂😂 pumbavu zangu

  • @sairamadai1370
    @sairamadai1370 Год назад

    Mwenye No' ya huyu vai anitumie. Nampenda snaa.

  • @mpawenayoaimegodas8438
    @mpawenayoaimegodas8438 Год назад +8

    Kicheche unachekesha sana kbs
    Vaileth nakupenda sana

  • @OliverReport
    @OliverReport 9 месяцев назад

    Voilet nakukubali saaaana

  • @bajosdamour2347
    @bajosdamour2347 Год назад +80

    Alafu tulikua tumemmiss sna jamani like za Vaireti tafazali👍👍

  • @Eliaaroni
    @Eliaaroni Год назад +2

    Kicheche eeee nakubali sana piga kazi

  • @bellogregory7175
    @bellogregory7175 Год назад +2

    Atanasi kanenepa balaa😮

  • @sadamxadam1807
    @sadamxadam1807 Год назад +1

    Mbwa kenge 😆😆😆😃😃 Kama wa mkubali kicheche gonga like 👍👍👍

  • @salimnazir6000
    @salimnazir6000 Год назад

    Kicheche wewe ni star Amish puri mbwa wewe

  • @SaeedhSaeedh-f6i
    @SaeedhSaeedh-f6i 10 месяцев назад

    Kicheche wazimu kweli

  • @sarataunes
    @sarataunes Год назад

    Nakukubar sana vairet

  • @nsumbaboy3549
    @nsumbaboy3549 Год назад

    Nzur movie

  • @EstherNawanzi-ds5xg
    @EstherNawanzi-ds5xg Год назад

    Vai unajua kuigiza kulia Yan serious hongera sana ☑️

  • @hlimaa5182
    @hlimaa5182 Год назад +1

    Vailet my lovely nakupenda bure hongera sana 🙏

  • @ndayiragijekennedy76
    @ndayiragijekennedy76 Год назад +1

    Waooooo Vai umerud tena kazin karibu sana tulikuwa tume miss sana comed zako

  • @dereenflaye1437
    @dereenflaye1437 Год назад

    Jamani Vai love san

  • @kattouftelecom5119
    @kattouftelecom5119 Год назад

    Jamani mli tunyima sehemu y pili

  • @Mr_Lionize
    @Mr_Lionize 10 месяцев назад +1

    Vai😊😊😊❤

  • @sharomapesataiga246
    @sharomapesataiga246 Год назад +1

    Hahahaha ww variety unanipa laha sana sana sana nipo siku tutacheza muvi pamoja asante sana mlembo

  • @sammyclass
    @sammyclass Год назад +1

    anamachozi ya karibu ka mhindi Vai

  • @daktariissah9562
    @daktariissah9562 Год назад +1

    huyu vailet yuko level ingine baanaa.. watching from mombasa Kenya

  • @FabriceNduwamahoro-i7l
    @FabriceNduwamahoro-i7l 7 месяцев назад

    😢wako sawa tunawapenda keny

  • @RajabuBaba-mb4gs
    @RajabuBaba-mb4gs 5 месяцев назад

    Bonge mshukuru kicheche.

  • @juniorpogba-t6w
    @juniorpogba-t6w 10 месяцев назад

    Huyu dada anajua kuigiza sana kbx

  • @Morejay744
    @Morejay744 Год назад +2

    Uyo dada anajua sana kulia natamani San kucheza nae kwenye comedy zangu jaman na mpenda San katika wasanii wa kike apa bongo😘😘🥑

  • @kingrasta4299
    @kingrasta4299 Год назад

    Mimi napenda kicheche

  • @elizaddy5806
    @elizaddy5806 Год назад +1

    Vaai jamani,unatisha vibaya sana,utafika mbali sana,uko vizuri mno.Afu mmmh 🙏🏿

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Год назад

    Mh yaan unachaa ww baba 🙌

  • @jafarsalum6891
    @jafarsalum6891 Год назад +2

    Kicheche fara sana hahahahahahaaaaa

  • @vince0044
    @vince0044 Год назад +4

    baada ya akina iren uwoya, jacklny wolper, wema sepetu kwa bongo movie kupoteza ladha na sanaa ya uigizaji ikaisha nguvu ila vai kachipuka kwa haraka sana kuzuia nafasi ya wema sepetu twaomba huu mwaka kuchipuke tena wengine wanaojua kama vai kushika izo nafasi zingine twakupenda vai huku kenya🔥🔥💪

  • @sospeterlazaro614
    @sospeterlazaro614 Год назад +1

    Kicheche mxenge anajua xan jamanii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt Год назад

    Huyu Dada anajuwa sana