Nimehuzunika kwa Vailet anaigiza kama kabakwa kweli😭😭😭, Ila kutokea Kicheche tu kabalansi nimecheka sana 😂😂😂, Mbwa Kicheche (Best actress na best comedian Vai + Kicheche)
baada ya akina iren uwoya, jacklny wolper, wema sepetu kwa bongo movie kupoteza ladha na sanaa ya uigizaji ikaisha nguvu ila vai kachipuka kwa haraka sana kuzuia nafasi ya wema sepetu twaomba huu mwaka kuchipuke tena wengine wanaojua kama vai kushika izo nafasi zingine twakupenda vai huku kenya🔥🔥💪
Vailent nakupenda Sana na kicheche mzee kikofia 😄 🤣 😂 😆 😄 kwa kazi nzuri
Mbwa gogooooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,,,mbwa binge🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,,,pumbavu zake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,,,,kicheche kwl wanimaliza walai
Bonge katoa siri zote kwa andazi 🤣🤣😆😆😀😆😀"Mbwa Bonge" "Mbwa kenge" "Mbwa gogo" 😀😀😀😁😀😁😀😁😀😁😀we Amrishpoor unakera sana Mjini.
Vai we ni super women,,,,,super star,,,ni noumaaaaaa upo vzr na ndoto yako (SOLUTE)
Huyu dada anajua mpaka anamboa..🔥🔥🔥🔥🔥
Kicheche unaweza kumpiga mwehu uyu 🤣🤣🤣🤣🤣
Vai mungu akubariki Sana na talent uliyo nayo.pia nampongeza mbwa kicheche pumbavu zako mbwa ww
Watching from Kenya, Vailet umeweza katika uigizaji 👍
This girl is a good actress that I have ever seen in my life she deserve more ❤❤
vailet kicheche bairamu we love you guys much appreciated from Kenya pumpavu zetu mbwa sisi kiufupi twawalike tu sana
As a team hawa wanafanya makubwa stick together you people's to make this comedy industry good far
Vailety 💖💖💖 nkupenda bure aky kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 kumbafu zetuuuuu 🤣🤣
Hahaha 🤣
Mbwa miki
Mbwasisi😂🤣😂🤣😂
Mbwa @@estherezzy136
😂😂😂😂😂
Jaman huyu mdada nampenda bure🥰
vaireti uko vizuri mungu akupe nguvu na akili uwe juu ya hapo ulipo
😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂uuwiiiiiii kicheche utakuja niua mbwa wewe daaahhh!!
Natokea Burundi, uyu dada kwa kweli anajuwa kuigiza big up Vai nakupenda bure
Vaileth yupo serious sana hadi tunalia huku wenye roho nyepesi 😭
😄🤣😂 me leo nimejikaza ila bado kidogo yatoke
😀😜😛
@@duhrurhhddhheud8575 hatar huyu dada
Leo nimejikaza cozi halijatok😂😂😂
Huyu dada nasema hakika Ni no moja namtafta nimpe zawadi hongera sna vailet jina la chezo
Nilimis jamn uyu mdada alikuwa wapi..uyu ni namba moja wangu kwa wadada wote waingizaj..bongo movie mpk kweny comedy Big up♥️✌️
Na kwenye bongo movie yupo?
Ata mie nilimmiss nampenda
Wako wengi Wanafusa nao
Hata mm nampenda Sana sana sana vailet💓💓💓💓
Uko Sawa kila Mutu namaoni yake sindio 🤣🤣 kuja waiona ATI
Ila vai kuigiza anaweza sanaa
Ulituhaid kuwa unakuja na vitu vipya na vikali hakika huu pia nzuri tupe sehem ya pili
Nimehuzunika kwa Vailet anaigiza kama kabakwa kweli😭😭😭,
Ila kutokea Kicheche tu kabalansi nimecheka sana 😂😂😂, Mbwa Kicheche (Best actress na best comedian Vai + Kicheche)
I love this lady so muchh keep it up dear vailet ,,
Kicheche pumbavu zako 🤣🤣🤣unajua kunitoa stress mbwa ww
Vai Vai Vai daaa Mungu akuinue sana sana
Mbona sidyapata like kyenhe kazi ya kicheche
Hili lidemu Vaireti linajua kuigiza sana wallah nibasi😍😍🔥🔥
Kirikou vip😂
@@sherrymoli247 Nani kiriku?
🤣🤣🤣🤣🤣 eti kirikou hapa lazima ucheke
@@bajosdamour2347 Aime apa Na huna chaku nifanya😂😂😂😂
@@baloz8974 hhhha
Ila wew mdad vai nmekupenda bure akiamungu me pia napenda kuigza ndokipaj changuu natamn niwe kama wew
Vai gogooooo mbwa gogooo kichechee weee unaweza pumbavu sanaa
Vai ni muigizaji mzuri anajuw kuigiza kbs anahitaji sopoti kubwa ili aendelee kufanya makubwa zaidi
Jamani naomba jina zaizi nyimbo tafanza naomba Niko Dr Congo Kinshasa
Jamanii vaiii is the best number 1 tanzanian girl bongo movies
Ila mbwa kicheche unajuwa sana pumbavu zako😁😁😁
Waa ni muvi nzuri sana hongereni nyie
Kicheche noma Sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yani noma mpuuzi 🤣🤣🤣🤣
Huyu jamaa me namkubali sana kicheche am
this lady she is really talented
Vailety ni namba moja aki ingilikua kanumba angali angamwacha uyu dada kucheza naye
Kicheche nichizi kweli mbwa mimi pumbavuzangu 🤣 🤣🤣🤣🤣🤣
vai nakupenda sana uko Congo🇹🇿🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Daah ni kwelii kweny uhalisia wa maisha haya mambo yapo
Very nice 👍 kazi nzuli Asanteni 🙏🙏🙏
jamani daa vai umeigiza vizuri usilie jamani
Vaileth kweli wewe Mtoto unakipaji sana morogoro nimkoa wavipaji sanatu
Dada huyu nimulmbo sana anajua kulia hongela
Vaileti pôle Sana duniasionzuli kwakweli hainauluma na kicheche zmekuzalau kweli 😭inaumiza Sana 😭😭🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Daaah kicheche jau sana mmbwa kenge
Amlishi polii kakataliwaa pumbavu zakee
Kali bana mie mwenyewe kaipenda
Mimi nimependa tu hapo alipochomoa kisu izo shanga duuuh bonge lashanga dada gofo
Nakupenda sana vai unajua sana kipenz kazabuti utafka mbal sanA
Huuum
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂YAAN KICHECHE KAJA KAHALIBU KABISA
Mpo vizuri vaireti na kicheche
I love this lady my no 1 actress ❤
Vailet mrembo sanaaaaaaa mashallah
Vailet hongera unajua sana kuact
Vai upo vizuri sana,
Eehee movie zake ziko poa👍👍
Jmn nawapenda sana kwa kazi zenu
Cheche anachekesha sana jamn
Kazi nzuri vairet
Kazi nzuri mmefanya vairety
Kicheche mi n stability wake kutoka kenya
Kicheche unachekesha sana baba
Kicheche nakukubali man wangu ila vaianazingua kinoma anapenda kulialia
Lady anajua kuigiza
Anapendez kweli uyu mrembo kweli kweli kicheche ubwa koko aiiii
Kapewa andazi katoa siri zoteee kichecheeeee
Kicheche mi mshabiki wako kutoka👉🇹🇿👉🇰🇲
Kicheche n mbwa huyu pumbavu zakeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nawapenda namna munavyo jisitiri
Dada hyu uko vizuri napenda kazi yake kwa kweli
Nice,mlembo,
Kicheche we fala kweli😂😂😂 pumbavu zangu
Mwenye No' ya huyu vai anitumie. Nampenda snaa.
Kicheche unachekesha sana kbs
Vaileth nakupenda sana
Voilet nakukubali saaaana
Alafu tulikua tumemmiss sna jamani like za Vaireti tafazali👍👍
Kicheche eeee nakubali sana piga kazi
Atanasi kanenepa balaa😮
Mbwa kenge 😆😆😆😃😃 Kama wa mkubali kicheche gonga like 👍👍👍
Kicheche wewe ni star Amish puri mbwa wewe
Kicheche wazimu kweli
Nakukubar sana vairet
Nzur movie
Vai unajua kuigiza kulia Yan serious hongera sana ☑️
Vailet my lovely nakupenda bure hongera sana 🙏
Waooooo Vai umerud tena kazin karibu sana tulikuwa tume miss sana comed zako
Jamani Vai love san
Jamani mli tunyima sehemu y pili
Vai😊😊😊❤
Hahahaha ww variety unanipa laha sana sana sana nipo siku tutacheza muvi pamoja asante sana mlembo
anamachozi ya karibu ka mhindi Vai
huyu vailet yuko level ingine baanaa.. watching from mombasa Kenya
😢wako sawa tunawapenda keny
Bonge mshukuru kicheche.
Huyu dada anajua kuigiza sana kbx
Uyo dada anajua sana kulia natamani San kucheza nae kwenye comedy zangu jaman na mpenda San katika wasanii wa kike apa bongo😘😘🥑
Mimi napenda kicheche
Vaai jamani,unatisha vibaya sana,utafika mbali sana,uko vizuri mno.Afu mmmh 🙏🏿
Mh yaan unachaa ww baba 🙌
Kicheche fara sana hahahahahahaaaaa
baada ya akina iren uwoya, jacklny wolper, wema sepetu kwa bongo movie kupoteza ladha na sanaa ya uigizaji ikaisha nguvu ila vai kachipuka kwa haraka sana kuzuia nafasi ya wema sepetu twaomba huu mwaka kuchipuke tena wengine wanaojua kama vai kushika izo nafasi zingine twakupenda vai huku kenya🔥🔥💪
Kicheche mxenge anajua xan jamanii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu Dada anajuwa sana