Bro Kicheche. We ni comedian mzuri ila hizi ceko zako zinakera. Mda mwingine zinaaribu script yako na inapunguwa uwezo unaosababisha mtu afurahie ucezaji wako. Maoni yangu🙏
Na ww hujajua anafanya hvyo script ndo inataka acheke hivyo ili akere huyo c anafanya hvy ili kuwauzi hao wakereke Hyo n saanaaa na iko ndani ya igizo Mzee ndo lengo kuu
Kicheche mwenyewe huku Kenya tunakutambua🇰🇪🇰🇪
😂😂😂😂
Fg
Yjkc
😂😂😂😂😂😂 umbwa mchepuko...
Kicheche tunakukubali Sana 🇰🇪
Unafanya vizuri kicheche 🔥🔥
5:26
Kutoka Kenya fan mkuu wa kicheche wapi like 🇰🇪🇰🇪
Mbwa huyu napenda jinsi alivyo muwazi🤣🤣🤣🤣🤣
Nafikiria kwa mfano angemdanganya kangefoka balaaa🤩🤩
Bwa mchepuko napend anavyo cheka kicheche
Kutoka Burundi🇧🇮, kicheche, nafuta comedy zako 100%. Big up kbsa. Nakupenda sana❤
Tulanezegwa
Kicheche wewe ni fire 🔥🔥🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Buga
Kicheche nakutambua sana from Kenya huku tunakupenda 💖💖💖
Why
Strong my G.. by Undisputed fleek boys dancers 🔥 unyama mwingi 💪
Nawakubali sana boss wangu 🙏🙏
Please Kicheche unaeza fanya show moja huku Kenya🇰🇪🇰🇪 tunakukubali sana huku mchepukooooooo umbwa mchepuko pumbavu zako🤣🤣🤣ati Nagwaaaaa😂😂😂
Kicheche wewe ni moto kabisa 🔥🔥🔥🇨🇩🇨🇩🇨🇩 hiyo talaka naikubali kabisa
Bro Kicheche. We ni comedian mzuri ila hizi ceko zako zinakera. Mda mwingine zinaaribu script yako na inapunguwa uwezo unaosababisha mtu afurahie ucezaji wako. Maoni yangu🙏
Na ww hujajua anafanya hvyo script ndo inataka acheke hivyo ili akere huyo c anafanya hvy ili kuwauzi hao wakereke Hyo n saanaaa na iko ndani ya igizo Mzee ndo lengo kuu
I agree anazidisha inakaa useless kiasi anafaa apunguze kucheka sana
Hapo kicheche KAZI Iko sawa ukiwa na Jao wadada violet na queen tunawapenda huku Kenya tunawafatilia
Tunamtabua kabisaa....kicheche kikofia kibongeeeee😂😂😂😂
Hakika Leo unanikubalisha kicheche🤣🤣🤣🤣🔥🇨🇩❤️♥️♥️🤣
Nimekupenda kicheche Na comédie zako nimekufata toka Congo drc
Jamani ndugu zangu michepuko sio dili team @kicheche na @vai tujuane kwa like🔥🔥🔥
Kicheche anaweza sanaaa yani
Mbwa mchepuko wewe kicheche rudi kwa kibonge chako😂😂😂😂
All the way from uholanzi..bro good work 👏
Again still that country🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼 much love kicheche
Mchepuko kwa kweli..
Mimi napenda MCHEPUKO pia...🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Nyie team kicheche mume jua kunichekesha kweli good job guys
Nakufwata kutoka Congo 🇨🇩 mpuuzi 😂😂 pumbafu zako😂😂😂😂
Nakupali sana kicheche kwa kutoa stress ukiangalia comedy zako
Kicheche bna 💔😂😂😂😂😂 I really like this character
Huyu kicheche ni mwehu wallahi dah
Kicheche unatisha sana bro 😀🙌🇶🇦
stive,ndaro,kicheche,mr bigibigi mungu abariki kazi zenu maana naondoa stress na video zenu kila nikiangalia.
Unasahau clam mbona
Mimi ndo wakwanza..naombeni likes zangu..kwa mpigo..pia mimi napenda mchepuko
J
like zinakusaidia nini kenge wewe ?
acha ushamba 😏
@@officialkamdudu 😂😂😂
Unapenda mchepuko mbwa wewe
Nagwaaaaaa mbwa wrweee
I like kicheche comedy...Nairobi Kenya support you guys
From Birchenought bridge Zimbabwe) pamoja sana cross border Mozambique
Hii nayo imenimaliza😂😂😂mchepukooo🤣🤣🤣
Pumbavu zangu.... Salamu kutoka Burundi 🇧🇮🇧🇮
Kali sana kicheche
Kkkkkk kicheche utaniua love you from ethiopia😂😂😂😂😂😂
Anae mkubali mbwa kicheche apige like kama zote Apa mbwa Sisi wa kwanza Leo😂😂
Unanifurahisha mzee makofia
Naipenda hiyo nyimbo jamani
mashallah kicheche M.Mungu akuzidishie kipaji inshallah
Nilisema tu Kicheche anaeza fanya ujinyonge 😂😂😂😂🤣🤣🤣,mob love from 🇰🇪🇰🇪
Haki huyu hafai 😂😂😂😂
Love from Burundi
Nakubali San bro kicheche🙌
Imefundisha sana...
Hili igizo lina pande mbili
Salute ya soldier bwana Kicheche! Mchepuko Noma aisèèèeeee.
Kuna style za kuchepuka Naomba unifudishe mchepukaji 😂😂😂💀💀💀💀 love from RWANDA 🇷🇼🚀🚀
Hey
kicheche unafanya kazi nzuri sana
Kicheche 💪 from 🇧🇮
Ni ba last
Mchepukaji maarufu😂😂😂😂😂 konki baba mkwe🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣baba mkwe hatar
Kicheche unatisha 😅🤣🤣😅😅😅😅😅😅😅😅🤣🤣😅😅😅 kicheche keep it up u are doing well 🇺🇲🇺🇲
Amazing 🤩🤩
Kicheche unajua ila punguza kucheka cheka
HIVI MUNAWEZA VIPI KUIGIZA NAE HUYU JAMAA😂😂😂😂
😂😂😂😂ata mm najiulizaga sana
😂😂😂
Daa Nimecheka kwa nguvu yaani jamaa nimemkubali ni kipaji kabisa halazimishi kila neno unacheka true comedian. Mbwa kicheche
Mi hapo kwa baba mkwe daah eti uwongooo🤣🤣🤣🤣
Mm mwenyew napenda 😂 michepko 💕
Nakubali kazi Yako. Nkiwa Malindi Kenya
Hata mm nimelala huko huko ndio nalud saivi umbwa mchepuko.🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂utaniua siku moja Kicheche.kichecheeeeee
Hahaha 🤣😂🤣😂😂 you made my day bavu sina
Kicheche kupunguza kuigiza ukicheka zaidi ya unaowachekesha
Haya bwana
mbwa baba nakukubali kinoma unanimalizia sana bando langu mbwa wewe 😂😂😂
Nzuri big up
💥💥💥💥✊✊✊ from congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩📿
Aisee kicheche noma sana anafurahisha
kuwa na mme kama kicheche ni stress😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀🙌🙌🙌🙌🙌mbwa ww
Mbwa mmi naombeni like zangu Kama umeludia kuangalia mchepuko Mara zaidi ya moja🤣🤣🤣
Djambo mipiya nimwana commedia napatikana Congo DRC
Wangu wi ni mwinsho
Cong kicheche 🙏🙏🔥
Kicheche weyejomwisho umbwawewe 🇨🇩🇨🇩 utoka Lubumbashi
Nawakubari kutoka Rwanda Kigali 🇷🇼🇷🇼🔥🔥 kama inamukubari kicheche piga like hapa
Namkubali zadi yazaidi kicheche comediani number mojaja
Kicheche wakenya twakuoenda sanaa🤣🤣🤣🤣🤣🇰🇪
Mwoto 🔥🔥💪🏿💪🏿💪🏿
Kichecheee,🤣🤣🤣🤣🤣🤣utaniua siku moja
Hahahahhah uyu kichecke noma sana kabisa yuko hit siku izi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣good job keep it up
🇨🇩 Big up
Yani mimi unaniwa naceko kweli mucebukooooo wewe dombalaaa kabis karibu bas🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤❤
Kicheche noma sana
Never disappointed
Yan kama Kuna mtu ananilaza bila ucngzi basi ni kicheche mchepuko all the way n muhimu mbwa mchepuko
Kicheche hio kicheko noma sana 😂
Kicheche mpuzi sana. Hhhhh
From KANAIRO Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kaliyoooooo 🤣🤣🤣 love from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Yani bongo na kicheche 😃😃😃 toka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 sijuwi nimala ngapi naitezama ii, jameni like hapa.
Kicheche ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Kicheche nakubali hufichi kitu unapasua tu then huo mwendo balaaaaa
Watching from Nairobi 😂, kicheche.........😂😂😂😂😂 You make me crazy with this drama😅
Kicheche.wewe ni balaha na itwa Rafiki Mulenda from Congo comedy zako, Mungu tu.ata hapa msumbiji tuna ku enjoy
Kicheche nakukubali pumbavu zako
Nguvu moja twende sawa 💪😂
maliza kwanz Pesa na Matatizo broow but ❤❤ story zk
maliza kazi then ndiyo uendelee na kazi zengine
Part 2 please kicheche 🤣🤣
Unafanana na lulu
Uhakika kicheche nakukubari sana 💪💪
Duh kicheche tunainjoy kinoma noma
We mbwa mchepuko embu acha ndoa ya watu🤣🤣🤣
Kicheche tu es très drôle 😀😀😀😀....depuis Tanzanie
Wallah kicheche na vahi mnajuwa ceza sana ongela kabsa
Blegedia mwamba nondo mwamba stiliwaya kikot bigapu sana
Nakubali