Enzi niko A level..nimetoka posta kuchukua pesa nilitumiwa kwa njia ya T.M.O...(kwa vijana wa zamani tu).. nililiwa 2,000 kati ya 8,000.Sijarudia tena ujinga huo
@Iddy Salim Hahahaa pole sana, ukiacha hao pia kuna wale wa vyombo (hasa vifaa vya umeme) aisee usijaribu. Halafu walivyo wajanja huwatumia hadi wanawake, hivyo utaona wanawake wengi hao wa vyombo ila ukiwa makini ukiangalia sura zao tu unatambua tu kuwa hawa si watu wa kawaida ila binadamu huwa anapenda urahisi na bei chee ndio hao mnatapeliwa.
@Abdulhamid Basha hahahaa pole sana, shukuru labda mazingira au na wewe unajiweza ila wengi wao hao ni wahuni unakuta hadi visu/bisibisi wanavyo kwenye nguoni ukileta ubishi unapigwa. 2017 ilikuwa jioni kama saa 11 jioni walimtapeli mdada mmoja pale Vingunguti stendi kama unaelekea Gongo la mboto aisee yule mdada kumbe mmewe ni mjeda alimpa taarifa ametapeliwa na wale wahuni hawakutaka kumrudishia hata robo ya hela na waliamini yule mdada kashaondoka. Kumbe alienda kukaa mahali akimpa taarifa mmewe aisee hata sijui yule mjeda aliibuka saa ngapi mbona walichezea vitasa na hela wakarudisha.
Huo mchezo sio kbc nakumbuk kind cha ramadhan nilitumwa futari bhasi niliend kutzam mwisho wa cku nililiwa pes ya futar mpk leo ctk ht kusikia mwisho nimechk naend kwa mama ako🤣🤣
Huhuu jot ume nikumbusha mbali , tulitumwa vitatu vya shangaz yangu raba nyeupe zakazn, tumezunguka soko tumenunua vitu vyote . Ikabaki ela yaraba dada angu akachezea iyo karata tatu akijua itazaa si ikaliwa mmh kurud nyumban kama kwenda jehanam
@I love Jesus hahahaa pole sana, wengi wametapeliwa sana hasa miaka ile ya 90's aisee walikuwa wengi mitaani nakumbuka pale Tandale kwa Mtogole darajani kama unatoka Kijitonyama Pr. School yaani wanakaa pale asubuhi kuwategea wote wanaoenda Sokoni Tandale pale hasa wanawake wametapeliwa sana acha tu. Siku zote vitu vya short cut vina gharama
@@osbertvalerian4986 habhabhaaa kweli yaani short cut sio nzuri kabisa. Nakumbuka ilikuwa 5,000 yaani ukiangalia unaona kweli utashinda lakini sijui mazingaumbwe gani yanatokea unakuta hola😁😁😁
Mambo ya karata tatu jaman watu walikua wanalizwa Kiwalani loh.....afu sjui walikua wanatumiaga na madawa,ukiwafuata wanakuchana viwembe wakishakupurusa😂
@Selina Emanuel huibiwi kirahisi ila unaibiwa kimaarifa. Mfano ukisogea hapo wanakupa hela yao wenyewe ujaribu na ukijaribu kweli utashinda hata mara 5. Ishu inakuja pale utakapoweka tu hela yako ndio utajua hujui. Hao wazee wa dawa, huwezi shinda huo mchezo hata siku moja. Wahuni sio watu
🤣🤣 This man impress young comedian day after day ...let me get those like today
Definitely!
😂 😂 😂 SaUti ya mwamba ni noumaa
ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
Hizi series za uzee nde huwaga unapendeza vizuri kuliko zile za kike
si agizo mzee 😂😂😂
nimeshindwa kujivumilia aisee kucheka etiii ngoja niwaonyeshe kwamba dar ni jiji au manispaa🤣🤣
ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
😂😂😂😂 leo nimefurahi kumuona character wa joti babu aka msela wa zamani huwanakumbali Sana kazi nzuri nimecheka mpaka mbavu zinauma aise
ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
_"MI MWENYEWE MWOGA"_ 😂😂😂😂😂
ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
Huo mchezo ni noooma, Joty ameshindwa kuvumilia maumivu 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Jot kama joti mh! kunawale tishio weza kuangalia tu bila kusoma comment tujuane basi japo kwa 👍
Jifunze Motion Graphics link ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
Joti ulipata waigizaji bora pia...Body hatari 💪
ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
Built like that too. Dm
From Kenya 🇰🇪
Nimejikaza imeshindikana..nipeni Hela yangu💔😂😂😂😂
ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
Hii michezo sio poa watyu mpate Fundixho 😂😂😂
Kama umeshawahi kupigwa kwa kamali ya hivii gonga like , mim nimeshawahi kupigwa
ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
🤣🤣🤣
Enzi niko A level..nimetoka posta kuchukua pesa nilitumiwa kwa njia ya T.M.O...(kwa vijana wa zamani tu).. nililiwa 2,000 kati ya 8,000.Sijarudia tena ujinga huo
Dar es salaam
Ni Jiji au manisipaa , jikaze Mzee
😂😂😂😂
Joti Ni msenge Sana eti naenda kwa mamaako 😂😂😂
ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
Mpuuuz sanaaaa
@@johnyema3360 😂😂
Hiyo kitu nilipigwaga 8000 ya kibubu sitasahau hao jamaa ni mashetani tena walaaniwe sana 🤣🤣🤣
Ulitumwa ucheze?😁
😂😂
Walaaniwe Kwan walikuita..?🙄
Ha
@Iddy Salim Hahahaa pole sana, ukiacha hao pia kuna wale wa vyombo (hasa vifaa vya umeme) aisee usijaribu. Halafu walivyo wajanja huwatumia hadi wanawake, hivyo utaona wanawake wengi hao wa vyombo ila ukiwa makini ukiangalia sura zao tu unatambua tu kuwa hawa si watu wa kawaida ila binadamu huwa anapenda urahisi na bei chee ndio hao mnatapeliwa.
Ahsant sana broo unafanya vzur
Hii mchezo nikiona uwaga napita na mbali sana yashanikuta 🤣
Jifunze Motion Graphics link ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
🤣🤣😅😆 Mzee Jacky Chan si mchezo!😂🤣
ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
hahahahahahahaha uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii umekula ili wakutamanishe hahahaha ungemsikiliza maza kwamba muondoke hahahahaha
Hahaha huh si usahau nilimkaba mchezaji karume hadi alirudisha pesa zangu
@Abdulhamid Basha hahahaa pole sana, shukuru labda mazingira au na wewe unajiweza ila wengi wao hao ni wahuni unakuta hadi visu/bisibisi wanavyo kwenye nguoni ukileta ubishi unapigwa. 2017 ilikuwa jioni kama saa 11 jioni walimtapeli mdada mmoja pale Vingunguti stendi kama unaelekea Gongo la mboto aisee yule mdada kumbe mmewe ni mjeda alimpa taarifa ametapeliwa na wale wahuni hawakutaka kumrudishia hata robo ya hela na waliamini yule mdada kashaondoka. Kumbe alienda kukaa mahali akimpa taarifa mmewe aisee hata sijui yule mjeda aliibuka saa ngapi mbona walichezea vitasa na hela wakarudisha.
Huo mchezo sio kbc nakumbuk kind cha ramadhan nilitumwa futari bhasi niliend kutzam mwisho wa cku nililiwa pes ya futar mpk leo ctk ht kusikia mwisho nimechk naend kwa mama ako🤣🤣
😂😂😂🤭
😅😅😅😅😅😅 hela futari ukacheze kamari
Real comedian 😂😂😂😂🔥❤️
ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
Huhuu jot ume nikumbusha mbali , tulitumwa vitatu vya shangaz yangu raba nyeupe zakazn, tumezunguka soko tumenunua vitu vyote . Ikabaki ela yaraba dada angu akachezea iyo karata tatu akijua itazaa si ikaliwa mmh kurud nyumban kama kwenda jehanam
Jifunze Motion Graphics link ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
Babu kapigwa na kitu chenye ncha Kali 🤣🤣🤣
Umeandika mesej kabla hujaangalia video
Mwendawazimu😂😂😂
Kaka ahsant sana
😂😂😂😂😂 nilijua tuu hawaponi babu tena
Jifunze Motion Graphics link ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
Da hii ni mafunzo makubwa na wewe kama uliwai kuibiwa kwa mchezo huu nipe 👊
jifunze Adobe After Effect kiupitia link ruclips.net/video/2MFj4G9GjE0/видео.html
Mwanangu we acha tuu kisim cangu camabatani kililiwa mpaka leo cjasahau uyo ujinga
@@TUnech7 🤣🤣🤣 ukiwasanukia wanakutimua
@@karimmababe1251 da pole Sana aise Mimi waliniuzia kanga fake
We mi uyu mzee namcheka kdg yalisha wait kunikuta
Babu kama Babu ❤️🇰🇪✌🏾
jifunze Adobe After Effect kiupitia link ruclips.net/video/2MFj4G9GjE0/видео.html
Uyo jamaa anaechezesha mchezo alivompiga jicho uyo mmama hhhhhhhh
Sina hamu na huu mchezo, nlipewa hela kwenda sokoni nkaliwa zamani zile yaani wanajuanaga hao
Mie nilipigwa karume
@@kwisa4899 Mjini Akili nyingi nguvu kidogo.
@I love Jesus hahahaa pole sana, wengi wametapeliwa sana hasa miaka ile ya 90's aisee walikuwa wengi mitaani nakumbuka pale Tandale kwa Mtogole darajani kama unatoka Kijitonyama Pr. School yaani wanakaa pale asubuhi kuwategea wote wanaoenda Sokoni Tandale pale hasa wanawake wametapeliwa sana acha tu. Siku zote vitu vya short cut vina gharama
@@osbertvalerian4986 habhabhaaa kweli yaani short cut sio nzuri kabisa. Nakumbuka ilikuwa 5,000 yaani ukiangalia unaona kweli utashinda lakini sijui mazingaumbwe gani yanatokea unakuta hola😁😁😁
From zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
jifunze Adobe After Effect kiupitia link ruclips.net/video/2MFj4G9GjE0/видео.html
Nahisi kuna watu wanacomment before kuangalia vida yenyewe 🤣🤣🤣ili aongoze
Jifunze Motion Graphics link ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
Nililiwa pesa yamboga yote morogoro nikabaki macho kama natunga shanga 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 eti kama natunga shanga
🤣🤣🤣🤣🤣Joti Haya bhana
jifunze Adobe After Effect kiupitia link ruclips.net/video/2MFj4G9GjE0/видео.html
Tunakulana huu ni mchezo wa kulana😀😀
Jifunze Motion Graphics link ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
Naenda kwa mamaako😅😅
Nakubari sana broo
Mambo ya karata tatu jaman watu walikua wanalizwa Kiwalani loh.....afu sjui walikua wanatumiaga na madawa,ukiwafuata wanakuchana viwembe wakishakupurusa😂
Hahahaha Love umekaa kiwaside maeneo gani?
Yalinikuta kiwalan bomb bom
Joti Licha ya kuwa msanii wa ucheshi, ila jamaa ni Mtundu sana
Jifunze Motion Graphics link ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
🤣🤣🤣joti duuh
Joty team yako na wew kwa ujumla mnajua😂😂😂😂huyo mwamba tulizike tukila tulizike tukiliwa
The great of comedy
ruclips.net/video/2MFj4G9GjE0/видео.html
Naenda kwa mama ako
Izo samasot za mwisho sasa😂😂
ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
Naenda kwa mama ako🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umejikuta jackchen 🤣🤣🤣🤣
jifunze Adobe After Effect kiupitia link ruclips.net/video/2MFj4G9GjE0/видео.html
Mchezeshaj kakaa kiwz kabisa yan alvyo kla ingebd akmbie sana
Hahaha 😂🤣 motivational speaker,,, ukiweka pesa unakula Hela,, ukimwona bundi mjini 🤣🤣🤣 Nani kaona!!
haahahha joti kiboko kabisa
@@annajackson4198 hahaha 😂 wazee wa Nani kaona 😂😂kwa kweli hii ni atari
😂😂🔥joti never disappoint
ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
Aah jot noma
Nimejikaza imeshindikana😁😁😁
ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
Cwez pita bila ku comment 😂😂😂 jot mshenz xana
Hizo pesa huko zinakotolewa 😂😂😂😂😂
jifunze Adobe After Effect kiupitia link ruclips.net/video/2MFj4G9GjE0/видео.html
Frm kenya 🇰🇪 currently in Qatar 🇶🇦
Jifunze Motion Graphics link ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
“Naenda kwa Mama’ko”😂😂😂😂
ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
ilajoti bwana uwe naekti ivoivo babuuuuuuuuuuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
jifunze Adobe After Effects link ruclips.net/video/2MFj4G9GjE0/видео.html
kinatuponzaga ni tamaa tu,njia ya mkato mara nyingi si sahihi,mvumilivu ndiye hufaidi mbivu
Mzee wamjini 😂😂😂😂
Jifunze Motion Graphics link ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
Nimecheka sanaaaa ndgu yanguu duuu
😂😂😂😂😂😂😂Naenda kwa mama akooo
jifunze Adobe After Effect kiupitia link ruclips.net/video/2MFj4G9GjE0/видео.html
Mimwenyewe mgaigai🤣😅
jifunze Adobe After Effect kiupitia link ruclips.net/video/2MFj4G9GjE0/видео.html
Dah wakenya hakunaga kitu, sanaaa haipo kabisa. Hamien bongo
Mbwembwe nyingi wkt ushaibiwa 🤣🤣🤣 me nikifkiri utachukua mchanga uondoke nao wangekoma
Likes za kutoshaaaaa kwa jotii kama unamkubaliiiiiii
Naenda kwa mama ako🤣🤣🤣🤣
ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
🤣 🤣 🤣 Imeweza eti mi mwenyewe muoga
jifunze Adobe After Effects ruclips.net/video/2MFj4G9GjE0/видео.html
Banger 💥
ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
Dar es salaam ni jiji au manispaa haaaha
Mwisho wa videos zako zinakuwaka nanimaliza joti 😭😭😂😂😅😂😂😂😅😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇺🇸🇺🇸🇺🇸
ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
Dah ila jamaa mungu akuweke maisha malefu mwanangu kipaji unacho
Huu mchezo hao wote wapo pamoja
Life yenyewe ngumu uniibie pesa kirahis 😂🤣
jifunze Adobe After Effect kiupitia link ruclips.net/video/2MFj4G9GjE0/видео.html
@Selina Emanuel huibiwi kirahisi ila unaibiwa kimaarifa. Mfano ukisogea hapo wanakupa hela yao wenyewe ujaribu na ukijaribu kweli utashinda hata mara 5. Ishu inakuja pale utakapoweka tu hela yako ndio utajua hujui. Hao wazee wa dawa, huwezi shinda huo mchezo hata siku moja. Wahuni sio watu
@@osbertvalerian4986 🤣🤣
Dah juzi nimelowa elf55 nzima sitaki hata kukumbuka😢😢
ohooo pole sana man
Hahahaha joti noma
jifunze Adobe After Effect kiupitia link ruclips.net/video/2MFj4G9GjE0/видео.html
Dar es salaam ni jiji au manispaaa
jifunze Adobe After Effects link ruclips.net/video/2MFj4G9GjE0/видео.html
eti mzeee jikazeee
Kuna siku nilipita manzese wanacheza kuna jamaa alicheza akalizwa
Ety hapa nmebakiza korodani tuu🤣🤣🤣Joti bhn🙌🙌
Wamenibakisha korodani 🤣🤣🤣🤣🤣
Mzee ana upepo🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣
ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
Courage à vous muz unaenda naenda kwa babako😂😂😂😂😂
ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
Sema bigi anajua Sana 😂
jifunze Adobe After Effect kiupitia link ruclips.net/video/2MFj4G9GjE0/видео.html
Mbona kwa mama yako😂😂😂😂😂😂😂
Ila Mbavu Mshenzi Sana....
Mbavu zangu aiseee 😂😂🙌🙌
Kama mtu anaikubali teamfisi agongeee like
😂😂😂😂😂😂
😅😅
Nishai noumaaa
Hahahahaha!
Yan mzee Joti hapa umenicjekesha san haki yke Mungu
ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mwenyewe muoga
😂😂 kweli karata tatu 🤣🤣
ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
Nice job mr joti
Jifunze Motion Graphics link ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
😂😂😂😂😂😂babu msengee kwer kamuwez jmaaa kashinda Afu kaondoka akuna kurudia
🤣🤣🤣🤣 kwa mama tena
Hao wote lao moja 😁😁😁
Jifunze Motion Graphics link ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂 dah nimecheka kiboya
From Drcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Naenda kwa mamaako
hahah great funny comedy idea
ruclips.net/video/HEkFmwkgR3Y/видео.html