WEWE NI NGULI NA BINGWA WA HIZI KAZI KAKA JOTI, HUJAWAHI KUHARIBU WALA KUTUANGUSHA MASHABIKI WA COMEDY AFRIKA MASHARIKI NA KATI... NAJIVUNIA KUWA MTANZANIA NA MUAFRIKA KUPITIA WEWE. VIJANA WANAPASWA WAJIFUNZE KUTOKA KWAKO HASWA... MUNGU AENDELEE KUKUSIMAMIA UZIDI KUTUBURUDISHA👍🙌
@@yahyayazidi6767 JOTI HAJAKUBIPU, KUKUTEXT, WALA KUKUPIGIA SIMU KUOMBA SUPPORT YAKO MZEE BABA... HAYA NI MAIGIZO, TENA VICHEKESHO VYA KUFURAHISHA. MWANAUME GANI UNAZUNGUMZIA MAANA MIE MWANAUME NA NASUPPORT NA INA MANTIKI.. KAMA UNAMTUMIA TU MTOTO WA WATU HUNA MPANGO WA KUMUOA NI HERI UMUACHE LABDA BAHATI YAKE IKO KWINGINE KULIKO KUMCHELEWESHEA MAISHA
@@shadymbuki87 comedian kibao bongo but what he's doing is something many have failed..Each and every Friday he upload a video which many of the comedian can't do that. He's one of the well known Tanzania comedian in East and Central Africa.
Sheikh ally na kaka yake kiboga wako fasta hao Kumbe mwamba alikuwa anataka kuoa basi tu alikuwa analeta ngumu 😂😂😂😂😂😂 joti u never disappoint bro kazi nzuri nimecheka Sana aise
Joti Akicheza kuwa kiboga Anapendeza sanaaaa.... Like nyingi kwakee 😀😀😀😀😀
Vote anapendeza
Tunatakiwa tuwakomeshe
Yani napenda sana akicheza kama kiboga
Joti ur the most crazy comedian in Tanzania u always crack my ribs dammnn😂😂😂😂😂
😁😁😂
The best comedian of all time from Tz love from Uganda. Like nyingi kwake
Jaman leo sijachelewa sana,nipeni like hata kumi
🤣🤣🤣🤣Mwamba Leo kapatikana Kwa kiboga but bro joti you are the best 👏👏
Joto kuna siku utaniua 🤣🤣🤣much love from Italy 🇮🇹
Naakuona rais wa comedy TZ God bless more brother
🤣🤣🤣🤣🤣 my tanzania favourite comedian 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jua linazama daah ww joti noma xan kk 😂😂
Nakigoma pia kiboga wee nomaa sana best pikipiki kaicha wapi😂😂😂😂😂
Sema hii Kali aisee, nimeipenda sana ila joti🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂
Kiboga wewe akili zako unazijua mwenyewe unalazimishia ndoa huogopi risasi wewe 👌👌
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
mwambaa
Joti umeua iyo miluzi🤣🤣🤣🤣
Mambo
😁😁😁😁😁😁😁😁🙌
Kiboga jamani ingekuwa watu wanalamisha kuolewa hivyo wwewwe nishida😹😹😹😹😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
WEWE NI NGULI NA BINGWA WA HIZI KAZI KAKA JOTI, HUJAWAHI KUHARIBU WALA KUTUANGUSHA MASHABIKI WA COMEDY AFRIKA MASHARIKI NA KATI... NAJIVUNIA KUWA MTANZANIA NA MUAFRIKA KUPITIA WEWE.
VIJANA WANAPASWA WAJIFUNZE KUTOKA KWAKO HASWA...
MUNGU AENDELEE KUKUSIMAMIA UZIDI KUTUBURUDISHA👍🙌
Kisa kaigiza kama mwanamke hii sio Sawa kama mwanaume uwez support hii
Tunampenda Joti hajawahi kukosea we love you
@@yahyayazidi6767 JOTI HAJAKUBIPU, KUKUTEXT, WALA KUKUPIGIA SIMU KUOMBA SUPPORT YAKO MZEE BABA...
HAYA NI MAIGIZO, TENA VICHEKESHO VYA KUFURAHISHA.
MWANAUME GANI UNAZUNGUMZIA MAANA MIE MWANAUME NA NASUPPORT NA INA MANTIKI.. KAMA UNAMTUMIA TU MTOTO WA WATU HUNA MPANGO WA KUMUOA NI HERI UMUACHE LABDA BAHATI YAKE IKO KWINGINE KULIKO KUMCHELEWESHEA MAISHA
Yaani uyo mwamba atakunyonga na icho kikaptula🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂jua linazama Kwa upande wangu 😂😂joti
hahahaa
@@nadyasalim7956 ni htr sana joti
@@nemesapollo4846 yeah joti kiboko
😀😂😂😂😂😂😂
Daahhh....hii mwishoo...kabambee
..Kiboga huna mchezo...jua saa kumi na mbili unusu🤣🤣🤣🤣🤣
Nimekubali kwa mahari tulio kubaliana magetoni 😂😆
Jot unatakiwa ujengewe sanamu lako kabisa 🙌🙌
Du
Kumbe ulijipanga kabisa... Sio kwa sapraizi hilo... hehehe
Mwamba, Mwamba,Mwamba, njoo Mwamba 😂😂😂
Aweeee hakuna kama wewe salut😂😂😂😂😂
Jmni mambo ya Joti sio mabaya hata chembe 👍👍👌👌❤️❤️🔥🔥🔥🔥
I can't stop laughing 😂😂😂🤣🤣🤣
Kiboga is my best character 😂😂😂😂😂🙌🏽
Thank you Joti somehow you make me happy 🤣🤣🤣🤣🤣
JOTI IS GENIUS COMEDIAN ALWAYS 💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Love how Kiboga's brother is dancing
Congratulation kiboga yni nmecheka mpaka basi😂😂😂😂😂🥰🥰🥰🥰
This is next level. Heshima Kama hupewi, force it!
Daah aisee biharusi mbabe
ILA ilo nyonyo leo kimekuzidi kimo 🤣🤣🤣👌
Yaani the best, kiboga umeua hahahhahahah
Nimemkumbuka sopa daah cjui yuko wapi kumbe mwamba ndugu yang kabisaa bin omary 😂😂😂
Hahahah jotii jotii jotii nimeita mara tatu na mara afutatu 😂😂😂🤌were bac tenaaa
🤣🤣🤣🤣🤣cheza jua limezama ww mwenyewe kalidhia si kwa mibao ile
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kiboga hubahatishi kazi nzuri sana tu
Joti muogope mungu wacha kuekti kama wanawake unapata laana ya mungu unawafurahisha freemason
We koma
Ka chiz😅😅😅
Kwa mahari tuliyo kubaliana maghettoni 😂😂😂😂
Aaah! Si madada wote mngekua hivi.. au basi! Acha tu..! 🤣🤣🤣🤣 #FromKenya💯💯
😅😅😅😅mwamba kakutanana mkubwa ake mwamba 💃💃💯💯mwamba Kama unarisasi yeye kiboga Ana mabom ya nyuklia
Dah joti...😂😂😂 yani mwamba kanuna akijikuta na yeye ana mzuka ule ule yani safi sana...😂😂🤙🏾
Hahaha hawakuwezi joti... salute 🤣🤣
Kwani anashindana na nani?
@@shadymbuki87 comedian kibao bongo but what he's doing is something many have failed..Each and every Friday he upload a video which many of the comedian can't do that. He's one of the well known Tanzania comedian in East and Central Africa.
Ila mwamba yuko vizuri sana 😅😅🤣🤣🤣🤣
Upo Nyonyo ilo ndo Nyonyo 🤣😂😂🤣🤣🤣🤣la da kiboga 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Eti hamna haja ya Dua🤣🤣🤣🤣 u nailed
Nimeacha ma G-string kama 65 hivi......joti umenimaliza😂😂😂😂😂🇰🇪🇰🇪 na ane kupaka makeup 👌
G-String ndio nini? Mimi mzee sijaelewa
We joti ww,nakupenda yani kunamda nasahau kabisa Kama ni mwanaume nakupenda Sana da kiboga
namm hua nasahau kweli kua huyu ni wakiume
Jua linazama🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂utaisoma kaka mke huyooo 😂😂😂😂
MUNAJUA SANA
upo siliasi sana jot
unatumia bajet kubwa sana
#AVATASTAR255 👽
😀😀😅😅😅😅kwa upande wangu jua linazama
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mshenzi sna joti et kw mahar tlyokbaliana mageton🤣🤣🤣
Jua lishazama kwa upande wangu
😂🤣🤣🤣🤣
hii ni nzuri sana big up Joti.... dah u made my day nimechekaaaa sana
Ety Dua hakun m nimejipng na vitu vyangu...shenziii sanaaa...🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Baada ya marehemu Max, the Best Commedian in TANZANIA, East African and African in general is you JOTi
Respect kwa Marehemu Max
Jamn joty aongezewe tuz
Mwamba bin omary😂😂😂😂😸
🤣🤣🤣ngoja niandae na me kikoc changu tumfwate job kwake
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mwamba mwamba
King of Comedy 😂😂😂🙌... unahitaji sanamu tz😂😂
unanitisha na uo mwilii na wakati naulazaga ndani mwenyew.. 🤣🤣🤣
Hongera sana joti umepata nyomii kitaaa chote kimeitika umetishaa tena umetisha tenaa #JotikingofcomedyTZ
Lukas mungu anakuona🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸🤸🤸🤸
Joti nakukubali wewe ni comediest kidhunguuuuuuuuuu tayariiiiiii. Inabidi mabinti waited mbina mambo yatakua safi😀😀😀😀
Manake kwanza nchekeee😂😂😂😂😂💃💃💃👌
Mwamba m nampenda jmn🥰🥰🥰🥰
Joti huna akili unatupasua mbavu hivi hivi kweli wewe ni KING
I love watching your video
Hahahahaaha jua linazidi kwenda kwangu
Joti ww noma aiseee nimechk kiseng dua hakun nimejipang nina vtu vyng uwiii jmn hii ni moto san🤣🤣🤣🤣😆
🤣🤣🤣🤣🤣daaa joti kibokoo
Duu nimecheka Hadi nimeanguka Nini😂😂😂😂😂
Kama ndo mara ya kwanza unaangalia hii video na humjui jotty halafu aje mtu akwambie huyu ni mwanaume hamna elewana kabsa🤣🤣🤣🤣🤣
Kaka uyu jamaa kiboko
🤣🤣😂😂🤣🤣safiiii kabisa ndio dawa yao hiyoooooo, nyooooo utaoa tu kwa lazimaaa😜😜😜
hao mashehe hawakufaa kucheza next time ingekua vyema wasicheze na waondoke mara baada ya kuozesha ingenoga sana .though big up sana
Kabeba ujumbee kuna mashekheee wpo ivo na hao ni wtu wa karibu kuna kaka mtu na uyo ustadhi apoo😁
😂 the imaam also joined the traditional party
Nimechekaaaa kwa sauti🤣🤣🤣🤣joti wee balaa
Yaaani na mimi adi machoziii yamenitokaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂kila mtu aitaka pambana 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🙄 alieona ziwa la kiboga agonge like.apa jamn daa
Tobaa mke anabutyua huyooo siyo kwa mingumu hyo ya kifua na hiyo miluzi mpk qatar tyumeamshwa na miluziiiii.....😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
OMG am dead🤣🤣🤣🤣👌👌👌. For years I have searched for you #Joti finally I find you. Enjoying your shows from #NewJersey #USA
Kiboga jiandae na Risasi 7 kutoka kwa mwamba mn umelazimisha ndoa kiboga risasi zinakuhusu😂😂😂😂🙂
Sema mwamba hana ile midevu. Ana kipili pili tu. So hana hasira kali
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa mahar Mulio kubariana geto😂😂😂❤❤
Bwana alikuwa amekataa lakini mwisho mwisho amefurahia yua katika kweli🕺🕺🕺😂😂😂😂
Walai 😂 joti miyayosho 😂 sna 😂 daah ila nimty mwenyew kipaji kikubwa sana 😂
😆we jamaa. Eti Dua yann nimejipangaa😁😁😁😁😁
😂😂😂😂hakunaa namnaaa wataoa kwa lazima tu
Nimecheka sana nackuiz wanaume tuwafanyie hvhv mana wanatuzingua
Ndoa imekuwa lazima😂😂😂😂😂😂😂😂😂joti ❤ 🔥
Sheikh ally na kaka yake kiboga wako fasta hao Kumbe mwamba alikuwa anataka kuoa basi tu alikuwa analeta ngumu 😂😂😂😂😂😂 joti u never disappoint bro kazi nzuri nimecheka Sana aise
Kiboga 👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽
Dahh kwamahari tuliokubaliana magetoni😁😁
😂😂😂😂 JOTI UNAUWAA MBAV ZANGU AISEE 🙌
Not mikono waitupa na vidole jamani nyie uyu 🤣🤣🤣 kiboga hiyo ya ngumi 👊👌 sijaona llazima
Huo mwili c naulaza ndani mwenyew 😂😂😂
mtaan pambe🎉🎉🎉
Sijui leo mutalala vipi chumbani hahahaaa
Nimejipanga, niko na vitu vyangu... Fyuuuuuu, vipi huku tena? “Nimemaliza” 🤣🤣🤣🤣
Kwa mahari tuliyokubaliana magetoni😆😂😂😂
Jamani daa kiboga ww huzeeki wallah🤣😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sijutiagi kukufwatilia alooooooh👰💃💃💃💃💃💃💃💃