NATAKA NDOA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 892

  • @alexpalangyo5501
    @alexpalangyo5501 2 года назад +244

    Joti Akicheza kuwa kiboga Anapendeza sanaaaa.... Like nyingi kwakee 😀😀😀😀😀

  • @PabloEscobar-wt1fq
    @PabloEscobar-wt1fq 2 года назад +74

    Joti ur the most crazy comedian in Tanzania u always crack my ribs dammnn😂😂😂😂😂

  • @nurutwaha6710
    @nurutwaha6710 2 года назад +17

    The best comedian of all time from Tz love from Uganda. Like nyingi kwake

  • @emanueledwin5685
    @emanueledwin5685 2 года назад +35

    Jaman leo sijachelewa sana,nipeni like hata kumi

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 2 года назад +8

    🤣🤣🤣🤣Mwamba Leo kapatikana Kwa kiboga but bro joti you are the best 👏👏

  • @asnate8493
    @asnate8493 2 года назад +9

    Joto kuna siku utaniua 🤣🤣🤣much love from Italy 🇮🇹

  • @peterswai391
    @peterswai391 2 года назад +14

    Naakuona rais wa comedy TZ God bless more brother

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 2 года назад +6

    🤣🤣🤣🤣🤣 my tanzania favourite comedian 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @abdallamohammed6059
    @abdallamohammed6059 2 года назад +3

    Jua linazama daah ww joti noma xan kk 😂😂

  • @roseallen7198
    @roseallen7198 2 года назад +1

    Nakigoma pia kiboga wee nomaa sana best pikipiki kaicha wapi😂😂😂😂😂

  • @francisfrancis1342
    @francisfrancis1342 2 года назад +5

    Sema hii Kali aisee, nimeipenda sana ila joti🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂

  • @agnesbasistian9248
    @agnesbasistian9248 2 года назад +26

    Kiboga wewe akili zako unazijua mwenyewe unalazimishia ndoa huogopi risasi wewe 👌👌

  • @mashiassenga8849
    @mashiassenga8849 2 года назад +1

    Kiboga jamani ingekuwa watu wanalamisha kuolewa hivyo wwewwe nishida😹😹😹😹😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @googleus4903
    @googleus4903 2 года назад +34

    WEWE NI NGULI NA BINGWA WA HIZI KAZI KAKA JOTI, HUJAWAHI KUHARIBU WALA KUTUANGUSHA MASHABIKI WA COMEDY AFRIKA MASHARIKI NA KATI... NAJIVUNIA KUWA MTANZANIA NA MUAFRIKA KUPITIA WEWE.
    VIJANA WANAPASWA WAJIFUNZE KUTOKA KWAKO HASWA...
    MUNGU AENDELEE KUKUSIMAMIA UZIDI KUTUBURUDISHA👍🙌

    • @yahyayazidi6767
      @yahyayazidi6767 2 года назад

      Kisa kaigiza kama mwanamke hii sio Sawa kama mwanaume uwez support hii

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 2 года назад +1

      Tunampenda Joti hajawahi kukosea we love you

    • @googleus4903
      @googleus4903 2 года назад

      @@yahyayazidi6767 JOTI HAJAKUBIPU, KUKUTEXT, WALA KUKUPIGIA SIMU KUOMBA SUPPORT YAKO MZEE BABA...
      HAYA NI MAIGIZO, TENA VICHEKESHO VYA KUFURAHISHA.
      MWANAUME GANI UNAZUNGUMZIA MAANA MIE MWANAUME NA NASUPPORT NA INA MANTIKI.. KAMA UNAMTUMIA TU MTOTO WA WATU HUNA MPANGO WA KUMUOA NI HERI UMUACHE LABDA BAHATI YAKE IKO KWINGINE KULIKO KUMCHELEWESHEA MAISHA

  • @agripinamgema3656
    @agripinamgema3656 2 года назад +1

    Yaani uyo mwamba atakunyonga na icho kikaptula🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nemesapollo4846
    @nemesapollo4846 2 года назад +33

    😂😂😂jua linazama Kwa upande wangu 😂😂joti

  • @HassanAlJabri
    @HassanAlJabri 2 года назад

    Daahhh....hii mwishoo...kabambee
    ..Kiboga huna mchezo...jua saa kumi na mbili unusu🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ibrahimwali4457
    @ibrahimwali4457 2 года назад +9

    Nimekubali kwa mahari tulio kubaliana magetoni 😂😆

  • @eunicejohn5520
    @eunicejohn5520 2 года назад +19

    Jot unatakiwa ujengewe sanamu lako kabisa 🙌🙌

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale 2 года назад +1

    Kumbe ulijipanga kabisa... Sio kwa sapraizi hilo... hehehe

  • @nemesapollo4846
    @nemesapollo4846 2 года назад +11

    Mwamba, Mwamba,Mwamba, njoo Mwamba 😂😂😂

  • @kusuniahnurdini7741
    @kusuniahnurdini7741 2 года назад +2

    Aweeee hakuna kama wewe salut😂😂😂😂😂

  • @elizabethkibombo8151
    @elizabethkibombo8151 2 года назад +2

    Jmni mambo ya Joti sio mabaya hata chembe 👍👍👌👌❤️❤️🔥🔥🔥🔥

  • @teson8858
    @teson8858 2 года назад +15

    I can't stop laughing 😂😂😂🤣🤣🤣

  • @_blessedann
    @_blessedann 2 года назад +22

    Kiboga is my best character 😂😂😂😂😂🙌🏽

  • @dainesgeofrey2892
    @dainesgeofrey2892 2 года назад +18

    Thank you Joti somehow you make me happy 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Conshamusic
    @Conshamusic 2 года назад +36

    JOTI IS GENIUS COMEDIAN ALWAYS 💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @bestsuma5826
    @bestsuma5826 2 года назад +35

    Love how Kiboga's brother is dancing

  • @asiabakar9624
    @asiabakar9624 2 года назад

    Congratulation kiboga yni nmecheka mpaka basi😂😂😂😂😂🥰🥰🥰🥰

  • @benhamza5649
    @benhamza5649 2 года назад +8

    This is next level. Heshima Kama hupewi, force it!

  • @angelmbuya9236
    @angelmbuya9236 2 года назад +2

    ILA ilo nyonyo leo kimekuzidi kimo 🤣🤣🤣👌

  • @adelinatate9704
    @adelinatate9704 2 года назад +1

    Yaani the best, kiboga umeua hahahhahahah

  • @allyomary9258
    @allyomary9258 2 года назад +1

    Nimemkumbuka sopa daah cjui yuko wapi kumbe mwamba ndugu yang kabisaa bin omary 😂😂😂

  • @darvie7653
    @darvie7653 Год назад +1

    Hahahah jotii jotii jotii nimeita mara tatu na mara afutatu 😂😂😂🤌were bac tenaaa

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣cheza jua limezama ww mwenyewe kalidhia si kwa mibao ile

  • @khadijahali6856
    @khadijahali6856 2 года назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kiboga hubahatishi kazi nzuri sana tu

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 2 года назад +4

    Joti muogope mungu wacha kuekti kama wanawake unapata laana ya mungu unawafurahisha freemason

  • @gaspermganda6814
    @gaspermganda6814 2 года назад +3

    Kwa mahari tuliyo kubaliana maghettoni 😂😂😂😂

  • @athmanywaomary3204
    @athmanywaomary3204 2 года назад +1

    Aaah! Si madada wote mngekua hivi.. au basi! Acha tu..! 🤣🤣🤣🤣 #FromKenya💯💯

  • @julytito3891
    @julytito3891 2 года назад +1

    😅😅😅😅mwamba kakutanana mkubwa ake mwamba 💃💃💯💯mwamba Kama unarisasi yeye kiboga Ana mabom ya nyuklia

  • @morrismsemo1996
    @morrismsemo1996 2 года назад +1

    Dah joti...😂😂😂 yani mwamba kanuna akijikuta na yeye ana mzuka ule ule yani safi sana...😂😂🤙🏾

  • @thomaslandwhale
    @thomaslandwhale 2 года назад +12

    Hahaha hawakuwezi joti... salute 🤣🤣

    • @shadymbuki87
      @shadymbuki87 2 года назад

      Kwani anashindana na nani?

    • @thomaslandwhale
      @thomaslandwhale 2 года назад +3

      @@shadymbuki87 comedian kibao bongo but what he's doing is something many have failed..Each and every Friday he upload a video which many of the comedian can't do that. He's one of the well known Tanzania comedian in East and Central Africa.

  • @sostentulian4192
    @sostentulian4192 2 года назад +3

    Ila mwamba yuko vizuri sana 😅😅🤣🤣🤣🤣

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад

    Upo Nyonyo ilo ndo Nyonyo 🤣😂😂🤣🤣🤣🤣la da kiboga 🤣🤣

  • @halimaali1157
    @halimaali1157 Год назад

    Eti hamna haja ya Dua🤣🤣🤣🤣 u nailed

  • @levinaringoma
    @levinaringoma 2 года назад +17

    Nimeacha ma G-string kama 65 hivi......joti umenimaliza😂😂😂😂😂🇰🇪🇰🇪 na ane kupaka makeup 👌

    • @minormine4417
      @minormine4417 2 года назад

      G-String ndio nini? Mimi mzee sijaelewa

  • @considerregnaldykumburu6014
    @considerregnaldykumburu6014 2 года назад +21

    We joti ww,nakupenda yani kunamda nasahau kabisa Kama ni mwanaume nakupenda Sana da kiboga

    • @hamzaame3266
      @hamzaame3266 2 года назад

      namm hua nasahau kweli kua huyu ni wakiume

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 2 года назад +2

    Jua linazama🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 2 года назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂utaisoma kaka mke huyooo 😂😂😂😂

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 2 года назад +2

    MUNAJUA SANA
    upo siliasi sana jot
    unatumia bajet kubwa sana
    #AVATASTAR255 👽

  • @jensennashon6147
    @jensennashon6147 2 года назад +2

    😀😀😅😅😅😅kwa upande wangu jua linazama

  • @alfeshhassan4181
    @alfeshhassan4181 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mshenzi sna joti et kw mahar tlyokbaliana mageton🤣🤣🤣

  • @hamadiabdallah3906
    @hamadiabdallah3906 2 года назад +1

    Jua lishazama kwa upande wangu
    😂🤣🤣🤣🤣

  • @abumahirali7149
    @abumahirali7149 2 года назад +4

    hii ni nzuri sana big up Joti.... dah u made my day nimechekaaaa sana

  • @hamisahodari9229
    @hamisahodari9229 2 года назад +1

    Ety Dua hakun m nimejipng na vitu vyangu...shenziii sanaaa...🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ramadhanimohamed2272
    @ramadhanimohamed2272 2 года назад +14

    Baada ya marehemu Max, the Best Commedian in TANZANIA, East African and African in general is you JOTi

  • @barakaaman6506
    @barakaaman6506 Год назад +2

    Mwamba bin omary😂😂😂😂😸

  • @faidherkanyenda7429
    @faidherkanyenda7429 2 года назад +1

    🤣🤣🤣ngoja niandae na me kikoc changu tumfwate job kwake

  • @singinggirl6554
    @singinggirl6554 2 года назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mwamba mwamba

  • @carolineaaron1167
    @carolineaaron1167 2 года назад

    King of Comedy 😂😂😂🙌... unahitaji sanamu tz😂😂

  • @joelmlavi400
    @joelmlavi400 2 года назад +1

    unanitisha na uo mwilii na wakati naulazaga ndani mwenyew.. 🤣🤣🤣

  • @chiefbebe3001
    @chiefbebe3001 2 года назад

    Hongera sana joti umepata nyomii kitaaa chote kimeitika umetishaa tena umetisha tenaa #JotikingofcomedyTZ

  • @agathahumbe7004
    @agathahumbe7004 2 года назад +2

    Lukas mungu anakuona🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸🤸🤸🤸

  • @swafiajuma9053
    @swafiajuma9053 2 года назад +5

    Joti nakukubali wewe ni comediest kidhunguuuuuuuuuu tayariiiiiii. Inabidi mabinti waited mbina mambo yatakua safi😀😀😀😀

  • @aminasubira6591
    @aminasubira6591 2 года назад +1

    Manake kwanza nchekeee😂😂😂😂😂💃💃💃👌

  • @mwanaishamkindi7763
    @mwanaishamkindi7763 2 года назад +1

    Mwamba m nampenda jmn🥰🥰🥰🥰

  • @jumanneshawa3375
    @jumanneshawa3375 2 года назад +6

    Joti huna akili unatupasua mbavu hivi hivi kweli wewe ni KING

  • @mbkim6215
    @mbkim6215 2 года назад

    I love watching your video

  • @amosikondo778
    @amosikondo778 2 года назад +2

    Hahahahaaha jua linazidi kwenda kwangu

  • @fatemafatema8581
    @fatemafatema8581 2 года назад

    Joti ww noma aiseee nimechk kiseng dua hakun nimejipang nina vtu vyng uwiii jmn hii ni moto san🤣🤣🤣🤣😆

  • @rayakhaled1037
    @rayakhaled1037 2 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣daaa joti kibokoo

  • @asteriaprotas6395
    @asteriaprotas6395 2 года назад

    Duu nimecheka Hadi nimeanguka Nini😂😂😂😂😂

  • @yonajacob8350
    @yonajacob8350 2 года назад +21

    Kama ndo mara ya kwanza unaangalia hii video na humjui jotty halafu aje mtu akwambie huyu ni mwanaume hamna elewana kabsa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Elizabeth0980
    @Elizabeth0980 2 года назад

    🤣🤣😂😂🤣🤣safiiii kabisa ndio dawa yao hiyoooooo, nyooooo utaoa tu kwa lazimaaa😜😜😜

  • @mamlee7983
    @mamlee7983 2 года назад +2

    hao mashehe hawakufaa kucheza next time ingekua vyema wasicheze na waondoke mara baada ya kuozesha ingenoga sana .though big up sana

    • @saleemmussah
      @saleemmussah 2 года назад

      Kabeba ujumbee kuna mashekheee wpo ivo na hao ni wtu wa karibu kuna kaka mtu na uyo ustadhi apoo😁

  • @cizarmilan1837
    @cizarmilan1837 11 месяцев назад

    😂 the imaam also joined the traditional party

  • @najmaabood6127
    @najmaabood6127 2 года назад +2

    Nimechekaaaa kwa sauti🤣🤣🤣🤣joti wee balaa

    • @hazimamohammed1340
      @hazimamohammed1340 2 года назад

      Yaaani na mimi adi machoziii yamenitokaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 2 года назад +11

    😂😂😂😂😂kila mtu aitaka pambana 😂😂😂😂

  • @rudomaimraan7989
    @rudomaimraan7989 Год назад +1

    🤣🤣🤣🙄 alieona ziwa la kiboga agonge like.apa jamn daa

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 2 года назад

    Tobaa mke anabutyua huyooo siyo kwa mingumu hyo ya kifua na hiyo miluzi mpk qatar tyumeamshwa na miluziiiii.....😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @McHellenIsaboke
    @McHellenIsaboke 2 года назад +4

    OMG am dead🤣🤣🤣🤣👌👌👌. For years I have searched for you #Joti finally I find you. Enjoying your shows from #NewJersey #USA

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis3303 2 года назад +7

    Kiboga jiandae na Risasi 7 kutoka kwa mwamba mn umelazimisha ndoa kiboga risasi zinakuhusu😂😂😂😂🙂

    • @hildamsuya4569
      @hildamsuya4569 2 года назад +1

      Sema mwamba hana ile midevu. Ana kipili pili tu. So hana hasira kali

    • @hazimamohammed1340
      @hazimamohammed1340 2 года назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @JasminiJamsoni
    @JasminiJamsoni 11 месяцев назад

    Kwa mahar Mulio kubariana geto😂😂😂❤❤

  • @anidebezibeautyandlifestyle
    @anidebezibeautyandlifestyle 2 года назад

    Bwana alikuwa amekataa lakini mwisho mwisho amefurahia yua katika kweli🕺🕺🕺😂😂😂😂

  • @tanalkisanduku5968
    @tanalkisanduku5968 2 года назад

    Walai 😂 joti miyayosho 😂 sna 😂 daah ila nimty mwenyew kipaji kikubwa sana 😂

  • @allymwanikee1800
    @allymwanikee1800 2 года назад

    😆we jamaa. Eti Dua yann nimejipangaa😁😁😁😁😁

  • @shadoally551
    @shadoally551 2 года назад

    😂😂😂😂hakunaa namnaaa wataoa kwa lazima tu

  • @nuratzimbwe8655
    @nuratzimbwe8655 2 года назад

    Nimecheka sana nackuiz wanaume tuwafanyie hvhv mana wanatuzingua

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 2 года назад +7

    Ndoa imekuwa lazima😂😂😂😂😂😂😂😂😂joti ❤ 🔥

  • @malakimoses6115
    @malakimoses6115 2 года назад +1

    Sheikh ally na kaka yake kiboga wako fasta hao Kumbe mwamba alikuwa anataka kuoa basi tu alikuwa analeta ngumu 😂😂😂😂😂😂 joti u never disappoint bro kazi nzuri nimecheka Sana aise

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад +1

    Kiboga 👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽

  • @ashaally7065
    @ashaally7065 2 года назад

    Dahh kwamahari tuliokubaliana magetoni😁😁

  • @mansourally91
    @mansourally91 2 года назад +10

    😂😂😂😂 JOTI UNAUWAA MBAV ZANGU AISEE 🙌

  • @إيميكينياني
    @إيميكينياني 2 года назад

    Not mikono waitupa na vidole jamani nyie uyu 🤣🤣🤣 kiboga hiyo ya ngumi 👊👌 sijaona llazima

  • @khalidshoo7847
    @khalidshoo7847 2 года назад +1

    Huo mwili c naulaza ndani mwenyew 😂😂😂

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 2 года назад

    Sijui leo mutalala vipi chumbani hahahaaa

  • @cedricmaina4523
    @cedricmaina4523 2 года назад +1

    Nimejipanga, niko na vitu vyangu... Fyuuuuuu, vipi huku tena? “Nimemaliza” 🤣🤣🤣🤣

  • @mwajumahemed7582
    @mwajumahemed7582 2 года назад

    Kwa mahari tuliyokubaliana magetoni😆😂😂😂

  • @Amina-xc8tl
    @Amina-xc8tl 2 года назад +1

    Jamani daa kiboga ww huzeeki wallah🤣😂

  • @devothamwamwezi2036
    @devothamwamwezi2036 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sijutiagi kukufwatilia alooooooh👰💃💃💃💃💃💃💃💃