MCHAWI NDUGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 442

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 Год назад +61

    Mchawi ni Ndugu yako imethibitishwa na Jot Leo 😂😂😂😂

  • @ezekielmtega8960
    @ezekielmtega8960 Год назад +20

    Kama umeona mgongwa anavomuoneshea doct dole gumba nipeni like zangu japo leo tu

  • @maxwellkongoman781
    @maxwellkongoman781 Год назад +41

    Nipeni likes zangu first fun wa jotti Toka CONGO mashariki🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @Christopher-xj5fz
    @Christopher-xj5fz Год назад +109

    Haya mambo yapo kweny familia nyingi sana ,kama unaamin gonga like hapa👏

  • @azizahmwimbe8548
    @azizahmwimbe8548 Год назад +42

    😂😂😂 dunia ya sasa imani imekwisha yaani hata kufa bado watu washaanza kugombeya mali kweli mchawi ndugu. Hongera sana joti mambo haya yapo

  • @ShabaniKwizera
    @ShabaniKwizera 6 месяцев назад +3

    🇧🇮💯nakupa Maua yako Joti wewe ni number one kwa comedy,tunakufatilia tukiwa Burundi💯🇧🇮

  • @Tnjosph25PT
    @Tnjosph25PT Год назад +16

    Kweli kabisa mchawi ndugu nimekuelewa zaidi katika ujumbe huu kupitia igizo hili 👏

    • @baimarrajahbuayan6237
      @baimarrajahbuayan6237 Год назад +2

      Haswaaa 😊

    • @Tnjosph25PT
      @Tnjosph25PT Год назад +1

      @@baimarrajahbuayan6237 ndo maana tunakumbushwa tafuta ila usisahau kuishi,ujipende ule vizuri ulale pazuri nk maana binadam tunabadilika mda na wakati wowote

    • @baimarrajahbuayan6237
      @baimarrajahbuayan6237 Год назад +2

      @@Tnjosph25PT haswaa nimekubal. Udugu

  • @championtop2
    @championtop2 Год назад +33

    On behalf of of family, friends, ancestors I approve this video!

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Год назад +11

    Joty Kama joty once again big up Sana 💪 woof kwishaaaaaàaaa mchawi ndugu I miguu ya nan kenge ama

  • @episonfelician7670
    @episonfelician7670 Год назад +8

    Twende mbele turudi nyuma jot Ni comedian namba one anajua Sana 💥💥💥

  • @mtakabiruyassin
    @mtakabiruyassin Год назад +14

    Joti wataiga wote lkn kwako wanagonga mwamba🔥🔥🔥

  • @jassonkagaruki964
    @jassonkagaruki964 Год назад +10

    Congratulations Joti King 👑 comedian in Tanzania....huna baya kaka Umepoaaaa🇹🇿🤣🤣🤣🤣

  • @ZainaMuhunzi
    @ZainaMuhunzi 2 месяца назад +3

    Vijicho vya mgonjwa mara paah marehemu kafufuka 😂😂😂😂😂

  • @omaryphua191
    @omaryphua191 Год назад +7

    Eti huyu cyo kenge the best comedian in East Africa love u bro

  • @mosesmaiga7408
    @mosesmaiga7408 Год назад +19

    Kuna watu wanaona kama vichekesho lakini hayo mambo yanatia hasira mda mwingine unawaza bora usiowe

    • @franknangonga9166
      @franknangonga9166 Год назад

      Mimi mpaka sasa nipo single naona tabu Mambo ndio kama hivi

    • @Tunu-p6i
      @Tunu-p6i 6 дней назад

      ​@@franknangonga9166usiogope dear ni funzt t

  • @swalehthefinest
    @swalehthefinest Год назад +26

    Napenda hii character ya Babu ije mara nyingi

  • @deakins.z7793t
    @deakins.z7793t Год назад +44

    This man is a legendary since 2014

  • @tariqhassan1385
    @tariqhassan1385 Год назад +28

    Mtoto: Baba naenda wapi
    Mzazi: Nenda kajiuze
    😂😂😂😂😂😂

  • @dennismazanda7226
    @dennismazanda7226 Год назад +1

    Haya mambo yapo sana tu hongera Kwa ujumbe mzuri Joti na team yako

  • @chrismuganwa8634
    @chrismuganwa8634 Год назад +14

    You never disappoint Mr Joti!!ove from Burundi!!

  • @abrahamsuppy6041
    @abrahamsuppy6041 Год назад +7

    Tufike millioni. Shabiki mkuu kutoka kenya🎉🎉🎉

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Год назад +5

    😂😂😂😂😂😂siku zote mchawi hatoki mbali😂😂😂😂😂😂😂😂hukujua

  • @Babuumuvea
    @Babuumuvea Год назад +2

    Nakukubali joti mapini yko sio yakitoto

  • @ignatusmponji3609
    @ignatusmponji3609 Год назад +20

    Wale tupo kitandani kabla ya kwenda job tume muangalia babu tuendelee kujuana 😂😂

  • @simonandrew1489
    @simonandrew1489 Год назад +5

    Good My Favourite Comedian Big Up Mr Joti

  • @salomeblack0
    @salomeblack0 Год назад +83

    Km unaamini joti ni chuma kwa Tz like hapa

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Год назад +10

    Leo nimewahi eti kimenuka 😂😂😂wapenda mali za watu ndugu wabayaa🤣🤣🤣🤣

  • @totoclass2470
    @totoclass2470 Год назад +13

    Msanii wa kwanza Tanzania kuwa na upendo mwingi wa mashabiki

  • @ZainaMuhunzi
    @ZainaMuhunzi 2 месяца назад +2

    Chuma kinaondoka tayariiii😂😂😂😂

  • @kulwanzobe7657
    @kulwanzobe7657 Год назад +6

    Mchawi siku zote huwa hatoki mbali ,kazi nzuri Sana joti

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Год назад

    Nimependa idia Yao,,joti hajawahi kubuni kitu kama icho,,,safi sana joti ,,hongera

  • @agustinemsambila2501
    @agustinemsambila2501 2 месяца назад +2

    Kazi nzuri

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 Год назад +1

    Kweli nimeamini mchawi ndugu duuh joti noma sana respect kwa ubunifu🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @alphamwanamtulekenya5390
    @alphamwanamtulekenya5390 Год назад

    Inamafunzo mno love from KENYA 254

  • @michaelclement8335
    @michaelclement8335 Год назад +3

    😅😅😅😅bora rafiki mmoja kuliko ndugu mia

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 Год назад +1

    Ahaa umetishaa 🎅 Sanaa Nishai

  • @mauasuleysh1404
    @mauasuleysh1404 Год назад +5

    A big lesson walah😢 congratulation joti

  • @officialmsigwa5069
    @officialmsigwa5069 Год назад +9

    Hata kuua mtu watu siku hizi wanasema Mkubwa Dunia hii tutafika tumechoka😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 Год назад +13

    Hakika kweli mchawi NDUGU😢😂DAH

  • @mcbartonkesh3664
    @mcbartonkesh3664 Год назад +3

    Wakati nipo Moshi kwenye gereji moja kuna gari moja ilikuja kumwaga oil na ndan ya gari kulikua kuna mzee anaumwa sana na alikua anaulizwa hati za majumba aliyonayo ziko api,niliumia sana😢,napia alikua amalazimishwa asain baazi ya nyaraka

  • @kararaera8161
    @kararaera8161 Год назад +1

    Joti ishi milele 🇷🇼😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃jamani munisaidie kucheka😃😃😃😃

  • @rubsonheritier5940
    @rubsonheritier5940 Год назад +2

    😂😂 shamba la bangi kkkkkkkkkk i send my love from Kinshasa

  • @alikaru6916
    @alikaru6916 Год назад +1

    Joti anajua sana ....Mpaka anakera....wazee wakyuba wanaelewa...😂😂😂

  • @samsonilengteng-oc4hp
    @samsonilengteng-oc4hp Год назад +5

    Babu joti umetisha sana 👏👏👏👏👏

  • @lwamseletiyonas5232
    @lwamseletiyonas5232 Год назад +2

    Eti nina shamba la bangi😂😂😂

  • @esterdoriye8377
    @esterdoriye8377 Год назад

    Babu ukoo mzima na mashemeji wanakuchukia babu utakuwa mkorofi sana

  • @iddybakery5209
    @iddybakery5209 Год назад +4

    Jot jot umenisababisha nimecheka hadi kamasi limenitoka mbele ya dem wang😁

  • @ndutu6564
    @ndutu6564 Год назад

    Kwel kabisa muchwawi ni dam yko.. From 🙏🙏🙏

  • @sebandaki8795
    @sebandaki8795 Год назад +1

    Bonge ya content big up jot am so proud of you

  • @NotgeraChipeta
    @NotgeraChipeta Год назад

    Iko vizuri meamba

  • @richlaterjunior384
    @richlaterjunior384 Год назад

    Daanh sema huyo sheikh miyeyusho kapanda kofia saba kichwani😃😃

  • @rich_wasparner9233
    @rich_wasparner9233 Год назад +1

    Hongera Sana ubunifu wa Hali ya juu

  • @winnawiliamwinnawiliam8859
    @winnawiliamwinnawiliam8859 Год назад +1

    ety wanaume si wanajiuza nenda kajiuze🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂

  • @AgnesZephania
    @AgnesZephania Год назад

    Hatale ❤

  • @AsmaAsma-gd3mv
    @AsmaAsma-gd3mv Год назад

    Bora hiyo naitaka pepo

  • @zanzibarspice8686
    @zanzibarspice8686 Год назад +1

    "Ana roho ngumu kama Paka"
    ....sumu ya panya....sumu ya mamba"
    Ukiwa na mali Siku zote walee watoto wako katika misingi Mizuri Sana Ili waweze Kunitunza na kuwatunza wao.......

  • @kassimmubba2736
    @kassimmubba2736 Год назад

    Mnamkosea sana mkishindanisha na Kicheche wa Makalio Joti ni level nyingine na Anayofundisha Jamiiiiii.

  • @sammushi1512
    @sammushi1512 Год назад

    😂😂😂atakama n pesa sio kama ivyo dah binadam wa mungu saiv wabaya San

  • @reiphan9894
    @reiphan9894 Год назад +2

    jotiii 😂😂😂😂 umeupiga mwingi mpaka umemwagika ,, let us enjoy .

  • @Mr_destiny
    @Mr_destiny Год назад

    Hahhahahahhahaha hhaahhahahaa hahahahahahahahha hii nchi ngumu sana,,,mafundisho mazuri sana

  • @numohd
    @numohd Год назад +1

    Nani kweli mchawi ndugu joti asema jamaa waona mali ni kama makalio kila mmoja anayo😂😂😂😂😂😂

  • @asiri-romy-simba3671
    @asiri-romy-simba3671 Год назад

    Jot akili nyingi ndo tatizo😅😂😅😂😅

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Год назад

    Eti iziraeli kafika😅😅😅...eti roho inatoka.kweli mchawi ndugu😢

  • @ramosfally2318
    @ramosfally2318 Год назад

    Eti shamba la bangi...hahaha.we police katamaki

  • @milungaapeshijerome
    @milungaapeshijerome Год назад

    Daaah amakweli mchawi pesa

  • @erickmagnus4945
    @erickmagnus4945 Год назад

    Sema joti falaa sanaa kwahyo mwanetu ukakata roho chap tu😂

  • @VeroMfambo
    @VeroMfambo Год назад

    Kazi nzuri kaka❤❤❤

  • @HansCassian
    @HansCassian 2 месяца назад

    Wamevaa na nguo za msibani kabisa duuh

  • @deodatusmwacha719
    @deodatusmwacha719 Год назад

    Yaani asitokee hata mmoja wa kumpenda baba ake haiwezekani

  • @Fatma-to6rq
    @Fatma-to6rq 5 месяцев назад

    😂😂😂😂😂joti eti kafa na yuwapiga jicho moja moja

  • @Waytozanzibar
    @Waytozanzibar Год назад

    Kula chuma icho 😅❤❤❤

  • @abuyassrissacharque-rc2vl
    @abuyassrissacharque-rc2vl Год назад +1

    kweli imenikuta kwenhe familia yangu

  • @FredrickMajami
    @FredrickMajami Год назад

    Nakukubali sana

  • @elisantekaiza373
    @elisantekaiza373 Год назад

    Hii nzuri hata wakiangalia wataona aibuu

  • @ibrahimsaid7032
    @ibrahimsaid7032 Год назад

    Nimependa hapo shamba la bange, halafu unawaambia serikali

  • @mokiwasaid-sg9gd
    @mokiwasaid-sg9gd Год назад

    😂😂😂😂 hapa uliposema wee sii ndio msikiti

  • @PeterUrio-yg3ih
    @PeterUrio-yg3ih Год назад

    Ww ndiyo comedian wakwel Tz...brother.

  • @emanuelmiyonjo4484
    @emanuelmiyonjo4484 Год назад +2

    Nakubari san joti

  • @LuckyProsper-sc4si
    @LuckyProsper-sc4si Год назад

    Serikali serikaliiii 😂😂😂😂 my ribs😅😅

  • @yasiniomary3495
    @yasiniomary3495 Год назад +1

    Kweli mchawi Ndugu 🤣🤣🤣 jina lamarehem brother Hilo mchawi Ndugu 🤣

  • @bboymelvo5494
    @bboymelvo5494 Год назад

    Hii ya babu inafunza sana safii kabisa

  • @bekamansoor5990
    @bekamansoor5990 Год назад

    Eti nenda kajiuze si wanaume hivi sasa wanajiuza.............🤣🤣🤣😂🤣

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh Год назад +1

    Hii ndo ile professor jay alisema;
    "Nashangaa wengi wenu mnafrahi kuniona hivi- Na eti kila mmoja anajiuliza mbna Sifi..." #[Msinitenge]
    ~Prof.jay 🙌🏾🤣🤣🤣

  • @eventstransportationservic9194
    @eventstransportationservic9194 Год назад +1

    Hahahahhaa piga rungu piga rungu hahaha...Joti hatari sana

  • @amanirazalo4338
    @amanirazalo4338 Год назад

    🤣🤣🤣🤣 ndugu kama hao bora ubadilishane na mbizi

  • @davidlaizer5876
    @davidlaizer5876 Месяц назад

    😅😅😅 hiyo drip imewekwa puani.

  • @officialmaasai4602
    @officialmaasai4602 Год назад

    Afande kawa chawa

  • @danielmwakalinga6049
    @danielmwakalinga6049 Год назад

    🤣🤣🤣😂 Nani kamuona mgonjwa aluvyoy mkonyeza doctor?? Kampa 👍

  • @bigshipsounds
    @bigshipsounds Год назад

    😂😂😂😂😂😂 9.41😅😅😅😅😅 shamba la bangiiiiiiiii

  • @asternjulius890
    @asternjulius890 Год назад

    Hahaha joti mpuuzi et hey hey hey ndo anakata moto hivoo

  • @itsdavy_
    @itsdavy_ Год назад

    bingwa mmoja tu tz

  • @christonchristian7448
    @christonchristian7448 Год назад

    dr angekua kanyinyi angeua😅😅😅😅😅

  • @faustinthomas9551
    @faustinthomas9551 Год назад

    😂😂shamba LA bange😂😂😂😂😂

  • @HunterJr-s7c
    @HunterJr-s7c 8 месяцев назад

    daaah namuona shemeji yangu wa ushuzi wa ngedere

  • @jacksonlikunga5666
    @jacksonlikunga5666 Год назад

    Huyu mndamba wabiro yuko vzr

  • @jecoog6086
    @jecoog6086 Год назад

    😂xhamba la bange mulla unaitania serikalii

  • @abdallahmshuza2548
    @abdallahmshuza2548 Год назад +1

    Joti Joti Joti...nakuita mara tatu!

  • @esterantapa452
    @esterantapa452 Год назад +1

    Serikali 😅😅anaipenda kazi yake😅😅😅

  • @lgdnce8309
    @lgdnce8309 Год назад

    funzo kubwa kbsa MUNGU angekuwa anawaamusha marehemu wte wakayaona haya kweli binadamu tusingekuwa na chuki

  • @winfredykahwili1513
    @winfredykahwili1513 Год назад

    😂😂joti ni kisanga