@@baimarrajahbuayan6237 ndo maana tunakumbushwa tafuta ila usisahau kuishi,ujipende ule vizuri ulale pazuri nk maana binadam tunabadilika mda na wakati wowote
Wakati nipo Moshi kwenye gereji moja kuna gari moja ilikuja kumwaga oil na ndan ya gari kulikua kuna mzee anaumwa sana na alikua anaulizwa hati za majumba aliyonayo ziko api,niliumia sana😢,napia alikua amalazimishwa asain baazi ya nyaraka
"Ana roho ngumu kama Paka" ....sumu ya panya....sumu ya mamba" Ukiwa na mali Siku zote walee watoto wako katika misingi Mizuri Sana Ili waweze Kunitunza na kuwatunza wao.......
Hii ndo ile professor jay alisema; "Nashangaa wengi wenu mnafrahi kuniona hivi- Na eti kila mmoja anajiuliza mbna Sifi..." #[Msinitenge] ~Prof.jay 🙌🏾🤣🤣🤣
Mchawi ni Ndugu yako imethibitishwa na Jot Leo 😂😂😂😂
Kama umeona mgongwa anavomuoneshea doct dole gumba nipeni like zangu japo leo tu
Nipeni likes zangu first fun wa jotti Toka CONGO mashariki🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Haya mambo yapo kweny familia nyingi sana ,kama unaamin gonga like hapa👏
❤❤
😂😂😂 dunia ya sasa imani imekwisha yaani hata kufa bado watu washaanza kugombeya mali kweli mchawi ndugu. Hongera sana joti mambo haya yapo
🇧🇮💯nakupa Maua yako Joti wewe ni number one kwa comedy,tunakufatilia tukiwa Burundi💯🇧🇮
Kweli kabisa mchawi ndugu nimekuelewa zaidi katika ujumbe huu kupitia igizo hili 👏
Haswaaa 😊
@@baimarrajahbuayan6237 ndo maana tunakumbushwa tafuta ila usisahau kuishi,ujipende ule vizuri ulale pazuri nk maana binadam tunabadilika mda na wakati wowote
@@Tnjosph25PT haswaa nimekubal. Udugu
On behalf of of family, friends, ancestors I approve this video!
Joty Kama joty once again big up Sana 💪 woof kwishaaaaaàaaa mchawi ndugu I miguu ya nan kenge ama
😂😂
Twende mbele turudi nyuma jot Ni comedian namba one anajua Sana 💥💥💥
Joti wataiga wote lkn kwako wanagonga mwamba🔥🔥🔥
Congratulations Joti King 👑 comedian in Tanzania....huna baya kaka Umepoaaaa🇹🇿🤣🤣🤣🤣
Vijicho vya mgonjwa mara paah marehemu kafufuka 😂😂😂😂😂
Eti huyu cyo kenge the best comedian in East Africa love u bro
Kuna watu wanaona kama vichekesho lakini hayo mambo yanatia hasira mda mwingine unawaza bora usiowe
Mimi mpaka sasa nipo single naona tabu Mambo ndio kama hivi
@@franknangonga9166usiogope dear ni funzt t
Napenda hii character ya Babu ije mara nyingi
This man is a legendary since 2014
Be for 2014
@@TungoZaMswahiliJk exactly 💯
Mtoto: Baba naenda wapi
Mzazi: Nenda kajiuze
😂😂😂😂😂😂
Hii imeenda..Dah
Haya mambo yapo sana tu hongera Kwa ujumbe mzuri Joti na team yako
You never disappoint Mr Joti!!ove from Burundi!!
Tufike millioni. Shabiki mkuu kutoka kenya🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂siku zote mchawi hatoki mbali😂😂😂😂😂😂😂😂hukujua
Nakukubali joti mapini yko sio yakitoto
Wale tupo kitandani kabla ya kwenda job tume muangalia babu tuendelee kujuana 😂😂
Good My Favourite Comedian Big Up Mr Joti
Km unaamini joti ni chuma kwa Tz like hapa
Leo nimewahi eti kimenuka 😂😂😂wapenda mali za watu ndugu wabayaa🤣🤣🤣🤣
Msanii wa kwanza Tanzania kuwa na upendo mwingi wa mashabiki
Chuma kinaondoka tayariiii😂😂😂😂
Mchawi siku zote huwa hatoki mbali ,kazi nzuri Sana joti
Nimependa idia Yao,,joti hajawahi kubuni kitu kama icho,,,safi sana joti ,,hongera
Kazi nzuri
Kweli nimeamini mchawi ndugu duuh joti noma sana respect kwa ubunifu🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Inamafunzo mno love from KENYA 254
😅😅😅😅bora rafiki mmoja kuliko ndugu mia
Ahaa umetishaa 🎅 Sanaa Nishai
A big lesson walah😢 congratulation joti
Hata kuua mtu watu siku hizi wanasema Mkubwa Dunia hii tutafika tumechoka😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hakika kweli mchawi NDUGU😢😂DAH
Wakati nipo Moshi kwenye gereji moja kuna gari moja ilikuja kumwaga oil na ndan ya gari kulikua kuna mzee anaumwa sana na alikua anaulizwa hati za majumba aliyonayo ziko api,niliumia sana😢,napia alikua amalazimishwa asain baazi ya nyaraka
Joti ishi milele 🇷🇼😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃jamani munisaidie kucheka😃😃😃😃
😂😂 shamba la bangi kkkkkkkkkk i send my love from Kinshasa
😂😂
Joti anajua sana ....Mpaka anakera....wazee wakyuba wanaelewa...😂😂😂
Babu joti umetisha sana 👏👏👏👏👏
Eti nina shamba la bangi😂😂😂
Babu ukoo mzima na mashemeji wanakuchukia babu utakuwa mkorofi sana
Jot jot umenisababisha nimecheka hadi kamasi limenitoka mbele ya dem wang😁
😅😅😅😅
Kwel kabisa muchwawi ni dam yko.. From 🙏🙏🙏
Bonge ya content big up jot am so proud of you
Iko vizuri meamba
Daanh sema huyo sheikh miyeyusho kapanda kofia saba kichwani😃😃
Hongera Sana ubunifu wa Hali ya juu
ety wanaume si wanajiuza nenda kajiuze🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂
Hatale ❤
Bora hiyo naitaka pepo
"Ana roho ngumu kama Paka"
....sumu ya panya....sumu ya mamba"
Ukiwa na mali Siku zote walee watoto wako katika misingi Mizuri Sana Ili waweze Kunitunza na kuwatunza wao.......
Mnamkosea sana mkishindanisha na Kicheche wa Makalio Joti ni level nyingine na Anayofundisha Jamiiiiii.
😂😂😂atakama n pesa sio kama ivyo dah binadam wa mungu saiv wabaya San
jotiii 😂😂😂😂 umeupiga mwingi mpaka umemwagika ,, let us enjoy .
Hahhahahahhahaha hhaahhahahaa hahahahahahahahha hii nchi ngumu sana,,,mafundisho mazuri sana
Nani kweli mchawi ndugu joti asema jamaa waona mali ni kama makalio kila mmoja anayo😂😂😂😂😂😂
Jot akili nyingi ndo tatizo😅😂😅😂😅
Eti iziraeli kafika😅😅😅...eti roho inatoka.kweli mchawi ndugu😢
Eti shamba la bangi...hahaha.we police katamaki
Daaah amakweli mchawi pesa
Sema joti falaa sanaa kwahyo mwanetu ukakata roho chap tu😂
Kazi nzuri kaka❤❤❤
Wamevaa na nguo za msibani kabisa duuh
Yaani asitokee hata mmoja wa kumpenda baba ake haiwezekani
😂😂😂😂😂joti eti kafa na yuwapiga jicho moja moja
Kula chuma icho 😅❤❤❤
kweli imenikuta kwenhe familia yangu
Nakukubali sana
Hii nzuri hata wakiangalia wataona aibuu
Nimependa hapo shamba la bange, halafu unawaambia serikali
😂😂😂😂 hapa uliposema wee sii ndio msikiti
Ww ndiyo comedian wakwel Tz...brother.
Nakubari san joti
Serikali serikaliiii 😂😂😂😂 my ribs😅😅
Kweli mchawi Ndugu 🤣🤣🤣 jina lamarehem brother Hilo mchawi Ndugu 🤣
Hii ya babu inafunza sana safii kabisa
Eti nenda kajiuze si wanaume hivi sasa wanajiuza.............🤣🤣🤣😂🤣
Hii ndo ile professor jay alisema;
"Nashangaa wengi wenu mnafrahi kuniona hivi- Na eti kila mmoja anajiuliza mbna Sifi..." #[Msinitenge]
~Prof.jay 🙌🏾🤣🤣🤣
Hahahahhaa piga rungu piga rungu hahaha...Joti hatari sana
🤣🤣🤣🤣 ndugu kama hao bora ubadilishane na mbizi
😅😅😅 hiyo drip imewekwa puani.
Afande kawa chawa
🤣🤣🤣😂 Nani kamuona mgonjwa aluvyoy mkonyeza doctor?? Kampa 👍
😂😂😂😂😂😂 9.41😅😅😅😅😅 shamba la bangiiiiiiiii
Hahaha joti mpuuzi et hey hey hey ndo anakata moto hivoo
bingwa mmoja tu tz
dr angekua kanyinyi angeua😅😅😅😅😅
😂😂shamba LA bange😂😂😂😂😂
daaah namuona shemeji yangu wa ushuzi wa ngedere
Huyu mndamba wabiro yuko vzr
😂xhamba la bange mulla unaitania serikalii
Joti Joti Joti...nakuita mara tatu!
Serikali 😅😅anaipenda kazi yake😅😅😅
funzo kubwa kbsa MUNGU angekuwa anawaamusha marehemu wte wakayaona haya kweli binadamu tusingekuwa na chuki
😂😂joti ni kisanga