MTOTO HALI KWANGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 327

  • @magaritanzania6540
    @magaritanzania6540 Год назад +22

    Best of comedian Joti anaupiga mwingi sana like nyingi kwa mfalme wa comedy😇😇❤️❤️❤️❤️

  • @arnhemzuid8885
    @arnhemzuid8885 Год назад +15

    🤣🤣, Andunje kwa KUDUSA mpaka umejipa uraia wa familia nyingine. Ungekoma kama Bi Mkubwa angekuwa na mwanawe Mwamba angeakikisha hata ukinawa mikono huli. Bi Mkubwa nimefurahi kukuona. Nice combination na Bi huyo mwengine , I mean Mama Andunje. You made my day.

  • @khalidhaminadia1741
    @khalidhaminadia1741 Год назад +47

    Nimesoma Kuna ujirani mwema ndani yake, tunafaa kuishi hivi ❤️.

  • @thesoundtvonline
    @thesoundtvonline Год назад +23

    Joti joti 🤣🤣🤣🤣 we msenge Kweli
    Jaman nawamben like zenuu

  • @mary2615
    @mary2615 Год назад +19

    Another great episode 👋🏻💖👋🏻

  • @darvie7653
    @darvie7653 Год назад +6

    Hahahah😂😂😂eti hat kwetu Kuna miti aje achezee ,nimecheka sana🥳🥳😂

  • @remenmunis7729
    @remenmunis7729 Год назад +2

    Huu Ugali Umetoka Nchi za Nje 😀😀😀😀 mpkani

  • @anthonymwambepo7441
    @anthonymwambepo7441 Год назад +20

    Dahhh eti niko kwenye atua nzuri naitwa mpaka mtoto wa humu 😂😂

    • @Mimy_keys
      @Mimy_keys Год назад +1

      Jiwaze 🤣🤣🤣

    • @salmahabdallah7203
      @salmahabdallah7203 Год назад

      😂😂😂😂😂Hiko kipande nimecheka sana

    • @barakahassan8743
      @barakahassan8743 Год назад

      Kwa kweli nimecheka Sana... Eti hatua nzuri😅😅😅😅😅

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 5 месяцев назад +2

    Hapo amekosea bi ubwa angechanganya asingejua kitu❤❤❤👍👍👍

  • @mailacamillius
    @mailacamillius Год назад +4

    Wanajua sana!!
    Joti ajitahidi kuweka stori za maadili kama hizi

  • @ahmedsdk6736
    @ahmedsdk6736 Год назад +11

    Tulopiga Stolo way Enzi hizo tujuane 😂😂

  • @Iammose776
    @Iammose776 Год назад +6

    Nobody talks about this great. Nifikisheni 1k subs nitashukuru 🙏 wadau

  • @adolphdamas3189
    @adolphdamas3189 Год назад +18

    Ugali unaning'ong'a.... Chakula cha mbi-mdashi🤣🤣

    • @omarmsuya2459
      @omarmsuya2459 Год назад

      Huyu mtu atanipasua mbavu km simba mchezaji wa kt chamaa

    • @amanimadinda6081
      @amanimadinda6081 Год назад +1

      😆😆kaisanukia eti kitu ya bi mdashi kabisa hii

  • @furahaangelique775
    @furahaangelique775 Год назад +7

    Nilikuwa nime Miss uyu mama mnene anajua sana

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Год назад +7

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Leo nimechelewa lakini Nakubali Sana Bro Jotiii 🔥🔥🔥🙌🏼

  • @mathiasswai7006
    @mathiasswai7006 Год назад +4

    Nakuona CEO wa comedy TZ God bless more brother

  • @Rahmah-dr9xd
    @Rahmah-dr9xd Год назад +11

    Andunje adi ugali alopika mama ake anaujua😂😂😂😂

  • @edithajohn9600
    @edithajohn9600 Год назад +3

    Tuliokuwa tunakula kwajirani tujuane😂😂😂

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад +3

    Iii kwetu iii🤣🤣🤣🤣nime kumbukumbu mbali sana 😂😂😂🤣marafiki zang wana kuja nyumban kila cku

  • @Dulla_kite
    @Dulla_kite Год назад +3

    You're always the best bro

  • @erickmidomsodock8716
    @erickmidomsodock8716 Год назад +8

    Siku yangu imeisha hvyooo Sina stress kabca 😆😆😂

  • @Notorias
    @Notorias Год назад +26

    joti 4 president 😁😁😁😁

  • @adolphdamas3189
    @adolphdamas3189 Год назад +11

    Andunje toto baya🤣🤣Team Andunje sema oyooooo

  • @elishalugodisha2038
    @elishalugodisha2038 Год назад +2

    Ila we jamaa ulitakiwa uwe imataifa sana ni basi tu language barrier,u always make our days.

  • @coldfayahmistari254
    @coldfayahmistari254 Год назад +6

    Kenya tunapenda Sana Mr joti🙏💯

  • @Samyoungmusic
    @Samyoungmusic Год назад +1

    You make my day jotiii ...# Andunje#Nishai#Kiboga much love from county 001...Mombasa

  • @salimjumaa8180
    @salimjumaa8180 Год назад +4

    😂😂😂🙈Ugali umetoka mpaka au nchi za nje... hatareee! Joti hii umeua mno👌

  • @tanzaniaseriesinswahili5700
    @tanzaniaseriesinswahili5700 Год назад +10

    UGALI UMETOKA NCHI ZA NJE 😄😄😄😄😄😄😄

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Год назад +9

    Never disappoint Jotiiii 🔥😂

  • @shabanmohammed8235
    @shabanmohammed8235 Год назад +8

    Ugali una maziwa, blueband na glycerin 😂😂😂😂

  • @marthinethomas3020
    @marthinethomas3020 Год назад +5

    Living legendary #joti tv on fire 🔥🔥

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila3038 Год назад +10

    Eti ugali umetoka nchi za nje😂😂

  • @chrismuganwa8634
    @chrismuganwa8634 Год назад +8

    I never miss Andunji's product!!
    Love from Burundi 🇧🇮

    • @julesndayi3787
      @julesndayi3787 Год назад

      Muta niho wama wiberey wew kabisa nama nakubony😄😄😄

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 Год назад +5

    There is a great lesson in this fellows, joti is great

  • @jolinkimaro9939
    @jolinkimaro9939 Год назад +2

    aisee raha sana. asanten. eti mtu mpka mamake anamshika kwa nguvu amtoe kwa watu kisa msosi

  • @hemedjumaa390
    @hemedjumaa390 Год назад +9

    Mama huu sio Ugali nakula mwamba Nakula matofali 😂😂😂

  • @abangaabanga4677
    @abangaabanga4677 Год назад

    Joti bwana, ati aaaaa kumbe ndo plan yenu eeee 🤣🤣🤣

  • @wolfgangkichai8577
    @wolfgangkichai8577 Год назад +8

    😆😆😂😂😂umenikumbusha mbali sana

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Год назад +11

    Ati ugali unatoka mpakani 😁😁

  • @suleimanngare6707
    @suleimanngare6707 Год назад +1

    Yani atakama umenuna kwa andunje utafurai tu big up bro🇰🇪🇰🇪🙏🙏👌🤝

  • @mustorytellermullah2737
    @mustorytellermullah2737 Год назад +91

    Wale tulio view kabla ya kwenda job tu gonge like

    • @LumolaSteven
      @LumolaSteven Год назад +1

      Jotti mshenzi huyu kanichelewesha Ofisini 😂 ngoja niite Bolt

    • @allytv6448
      @allytv6448 Год назад

      @@LumolaSteven nisaidie kitu mwanangu

    • @alfhasanga2895
      @alfhasanga2895 Год назад +2

      Wale kama mm hatuna @jbu like

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 Год назад

      @@alfhasanga2895 kwann huna job uko likizo au

    • @charlesmohamed3082
      @charlesmohamed3082 Год назад

      @@LumolaSteven 7777⁷

  • @castorymakole2225
    @castorymakole2225 Год назад +11

    Hahaha jotiii nomaaa🤣🤣🤣

  • @lewiskombole2917
    @lewiskombole2917 Год назад +2

    Ugali umettoka nchi za nje🤣🤣🤣🤣🤣

  • @selemanzuber50
    @selemanzuber50 Год назад +15

    Nani kaskia kula kulana kama mie 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @grorycleophace4189
    @grorycleophace4189 Год назад +4

    😂😂😂💪jot unajua Hadi unakela

  • @mkasysaidswalleh9222
    @mkasysaidswalleh9222 Год назад +1

    Andunje toto htr...utoke kwenu uhamie kwa wenzio 🤣🤣🤣

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 Год назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣et nmefkia hatua nzuur naitwa mtt wa umu 😄😄😄😄

  • @obadiakaguo1116
    @obadiakaguo1116 Год назад

    Daaah hayo maisha watu tumekulia hayo home kuna 🐄 waudingo joti ni fundi sana

  • @samopemo2357
    @samopemo2357 Год назад +1

    "Huu ugali umetoka mpakani huu"🤣🤣😅...joti

  • @johsonkazimili2808
    @johsonkazimili2808 Год назад +1

    Hahaa eti kafikia hatua nzuri mpaka nae kawa mmoja kati ya watoto wa ile familia joti ana vituko sanaa...

  • @bantkmaca5756
    @bantkmaca5756 Год назад +2

    🤣🤣🤣🤣joti uniacha oi

  • @zeddymourice4249
    @zeddymourice4249 Год назад +10

    Duuh nshachelewa!!🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nawandafamito500
    @nawandafamito500 Год назад +2

    Nimekuwa wa pili kwa kukomenti ni noma sana

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Год назад

    alo wew dogo kumamamayo sana
    andunje et dagaa wamesimama wagum

  • @jeangodelo5349
    @jeangodelo5349 Год назад +5

    😂🤣😂🤣Anduje 😂🤣🤣

  • @meshackaloyce9662
    @meshackaloyce9662 Год назад +6

    Weeeee jott ni shida nyingine 🤣🤣🤣🤣

  • @hafidhali4336
    @hafidhali4336 Год назад +1

    Joti anachekesha duh mbavu zangu mie😁😁😁

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba591 Год назад +1

    Daaaaah yaaan naangalia but kabla Mama hajaingia ndani na chakula ikoo Kama naona 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌 andunje Hilo timbwili

  • @octavianmasala3862
    @octavianmasala3862 Год назад +5

    Joti n kiboko kabsa never disappoints🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @AsmaAsma-gd3mv
    @AsmaAsma-gd3mv Год назад +4

    Nilikuwa Nimewamisi hawa wa mama ♥️😂

  • @hamzasuleiman9605
    @hamzasuleiman9605 Год назад +1

    Hii haichekeshi , ila kwa kuwa ni Joti wacha nichekeee 🤣🤣🤣🤣🤣 Weee nomaa dah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @neemamapunda5296
    @neemamapunda5296 Год назад +2

    Nakukubali sana broo

  • @jeffmastertz
    @jeffmastertz Год назад +1

    Ludisha sopa na kipande wako na talented wale jamaa

  • @simonandrew1489
    @simonandrew1489 Год назад +1

    Joti you make it wonderfulll

  • @nyakungukimakon1883
    @nyakungukimakon1883 Год назад +3

    Ugali umetoka mpkani😂😂😂

  • @aishalove4599
    @aishalove4599 Год назад +1

    Ni somari na dubai🤣🤣🤣🤣🤣

  • @janethmsogoti8677
    @janethmsogoti8677 Год назад +1

    😂😂😂😂ugali umetoka mpakani

  • @ndayishimiyeelias9692
    @ndayishimiyeelias9692 Год назад

    Bi Kaye anaweza Andunj

  • @bensonlameck6348
    @bensonlameck6348 Год назад +16

    Joti best comedian ever .

  • @fatemafatema8581
    @fatemafatema8581 Год назад +1

    Ugali umetok mpakan wa dubai maaan ht mkono unakuwa na ganz joti ww noma nimechk dagaaa wanakwam misumal🤣🤣🤣🤣

  • @thomasmartinez786
    @thomasmartinez786 Год назад

    Mzee kashituka😁😁ugali from somalia huu

  • @nimujocentre2173
    @nimujocentre2173 Год назад +4

    Umetoka Mpakani😂😂bwege huyuuu😂😂

  • @khadijahbanana5602
    @khadijahbanana5602 Год назад

    Nipo hatua nzuri 😂😂

  • @kamikaziannemarie5124
    @kamikaziannemarie5124 Год назад

    Ugari umetoka nchi za nje 🤣😂🤣😂🤠🇧🇮🇧🇮

  • @geeva99
    @geeva99 Год назад +4

    Ila ugali mbovu hata polini hawali ivo 😂😂😂

  • @williamsmartin295
    @williamsmartin295 Год назад +3

    Iyo kweli Somalia na Dubai duuuh nooma💯💯💯

  • @danielsangasangadaniel8263
    @danielsangasangadaniel8263 Год назад +4

    Joti ni nomaaa..

  • @sharifaabdala1565
    @sharifaabdala1565 Год назад +2

    Joti wewe kwakweli daa umenishinda Tabia inapenda misosomolo🤣🤣

  • @johanesnixon5473
    @johanesnixon5473 Год назад +5

    🤣🤣🤣🤣chakula kimetoka nchi zanjeee

  • @veronicakalondji2375
    @veronicakalondji2375 Год назад +6

    This was hilarious 😂😂😂

  • @siambimungahu4822
    @siambimungahu4822 Год назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ugali umetoka nchi za nje

  • @essaunyange9206
    @essaunyange9206 Год назад +3

    Joti noma sana aisee

  • @lovenoor988
    @lovenoor988 Год назад +2

    Nakukubali Joti 💯🔥

  • @muddyville
    @muddyville Год назад +2

    Nimekutilia blueband mpaka gryceline 😂

  • @clodoaldusrutakangwa2702
    @clodoaldusrutakangwa2702 Год назад +2

    Hatari sanaaa 💪👍👍👍

  • @mohamedslh5478
    @mohamedslh5478 Год назад +2

    Nikitaka kula mkono kama umepigwa ganzii 😃😂

  • @suleimansalim8744
    @suleimansalim8744 Год назад +1

    jamanii jotii kila ckuu unatubadilishiaa wasanii, wapii mama dame jamanii

  • @timetravellor5367
    @timetravellor5367 Год назад +1

    Dagaa misumari

  • @hamadiabdallah3906
    @hamadiabdallah3906 Год назад

    We ujui chochote wananichezea
    Akili hiki chakula cha bi mdashi
    😆😂😂😆😆😂

  • @Josh_1194
    @Josh_1194 Год назад +2

    Ugali umetoka mpakani😂😂😂😂😂

  • @Hearts4rucyah
    @Hearts4rucyah Год назад +3

    Yani weye😂😂

  • @masakaneema4618
    @masakaneema4618 Год назад

    Ujue joti ni fala wew

  • @osamamahmouds9827
    @osamamahmouds9827 5 месяцев назад

    Siamn kama huyu Mama Bi Ubwa ndo hayupo Tena 😢😢😢😭😭

  • @holylostborn
    @holylostborn Год назад +9

    ❤️❤️❤️ love from USA 🇺🇸

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 Год назад +1

    Ugari umetoka inchi za nje🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @washisanyaproduction
    @washisanyaproduction Год назад

    movie iko sawa twendelee hivyo hivo

  • @Relaxer02
    @Relaxer02 Год назад

    Ugali umetoka nchi za nje😂😂😂😂

  • @izo07nyoni40
    @izo07nyoni40 Год назад +2

    menYu ya bimdashiiiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @yeyemkulu8743
    @yeyemkulu8743 Год назад +2

    Ugali unatoka Somalia ama Dubai 😄😄😄😄

  • @hishamahmed8551
    @hishamahmed8551 Год назад

    Ugali umetoka mpakani 😄😄