🤣🤣, Andunje kwa KUDUSA mpaka umejipa uraia wa familia nyingine. Ungekoma kama Bi Mkubwa angekuwa na mwanawe Mwamba angeakikisha hata ukinawa mikono huli. Bi Mkubwa nimefurahi kukuona. Nice combination na Bi huyo mwengine , I mean Mama Andunje. You made my day.
Best of comedian Joti anaupiga mwingi sana like nyingi kwa mfalme wa comedy😇😇❤️❤️❤️❤️
🤣🤣, Andunje kwa KUDUSA mpaka umejipa uraia wa familia nyingine. Ungekoma kama Bi Mkubwa angekuwa na mwanawe Mwamba angeakikisha hata ukinawa mikono huli. Bi Mkubwa nimefurahi kukuona. Nice combination na Bi huyo mwengine , I mean Mama Andunje. You made my day.
Nimesoma Kuna ujirani mwema ndani yake, tunafaa kuishi hivi ❤️.
Joti joti 🤣🤣🤣🤣 we msenge Kweli
Jaman nawamben like zenuu
Another great episode 👋🏻💖👋🏻
Hahahah😂😂😂eti hat kwetu Kuna miti aje achezee ,nimecheka sana🥳🥳😂
Huu Ugali Umetoka Nchi za Nje 😀😀😀😀 mpkani
Dahhh eti niko kwenye atua nzuri naitwa mpaka mtoto wa humu 😂😂
Jiwaze 🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂Hiko kipande nimecheka sana
Kwa kweli nimecheka Sana... Eti hatua nzuri😅😅😅😅😅
Hapo amekosea bi ubwa angechanganya asingejua kitu❤❤❤👍👍👍
Bi ubwa Inna lillah wainn illah
Wanajua sana!!
Joti ajitahidi kuweka stori za maadili kama hizi
Tulopiga Stolo way Enzi hizo tujuane 😂😂
Nobody talks about this great. Nifikisheni 1k subs nitashukuru 🙏 wadau
Ugali unaning'ong'a.... Chakula cha mbi-mdashi🤣🤣
Huyu mtu atanipasua mbavu km simba mchezaji wa kt chamaa
😆😆kaisanukia eti kitu ya bi mdashi kabisa hii
Nilikuwa nime Miss uyu mama mnene anajua sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Leo nimechelewa lakini Nakubali Sana Bro Jotiii 🔥🔥🔥🙌🏼
Nakuona CEO wa comedy TZ God bless more brother
Andunje adi ugali alopika mama ake anaujua😂😂😂😂
Tuliokuwa tunakula kwajirani tujuane😂😂😂
Hahaha we acha tu
Iii kwetu iii🤣🤣🤣🤣nime kumbukumbu mbali sana 😂😂😂🤣marafiki zang wana kuja nyumban kila cku
You're always the best bro
Siku yangu imeisha hvyooo Sina stress kabca 😆😆😂
joti 4 president 😁😁😁😁
Huu ugali umetoka nchi za nje
Andunje toto baya🤣🤣Team Andunje sema oyooooo
Ila we jamaa ulitakiwa uwe imataifa sana ni basi tu language barrier,u always make our days.
Kenya tunapenda Sana Mr joti🙏💯
You make my day jotiii ...# Andunje#Nishai#Kiboga much love from county 001...Mombasa
😂😂😂🙈Ugali umetoka mpaka au nchi za nje... hatareee! Joti hii umeua mno👌
UGALI UMETOKA NCHI ZA NJE 😄😄😄😄😄😄😄
Never disappoint Jotiiii 🔥😂
Ugali una maziwa, blueband na glycerin 😂😂😂😂
Dagaa wamesimama
Living legendary #joti tv on fire 🔥🔥
Eti ugali umetoka nchi za nje😂😂
I never miss Andunji's product!!
Love from Burundi 🇧🇮
Muta niho wama wiberey wew kabisa nama nakubony😄😄😄
There is a great lesson in this fellows, joti is great
aisee raha sana. asanten. eti mtu mpka mamake anamshika kwa nguvu amtoe kwa watu kisa msosi
Mama huu sio Ugali nakula mwamba Nakula matofali 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Joti bwana, ati aaaaa kumbe ndo plan yenu eeee 🤣🤣🤣
😆😆😂😂😂umenikumbusha mbali sana
Ulipokuwa ukidusa vijumbani
Ati ugali unatoka mpakani 😁😁
Yani atakama umenuna kwa andunje utafurai tu big up bro🇰🇪🇰🇪🙏🙏👌🤝
Wale tulio view kabla ya kwenda job tu gonge like
Jotti mshenzi huyu kanichelewesha Ofisini 😂 ngoja niite Bolt
@@LumolaSteven nisaidie kitu mwanangu
Wale kama mm hatuna @jbu like
@@alfhasanga2895 kwann huna job uko likizo au
@@LumolaSteven 7777⁷
Hahaha jotiii nomaaa🤣🤣🤣
Ugali umettoka nchi za nje🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
Nani kaskia kula kulana kama mie 🤣🤣🤣🤣🤣
Mie shehe wangu 🔥🔥😂
Huyu mama mhuni
😂😂😂💪jot unajua Hadi unakela
Andunje toto htr...utoke kwenu uhamie kwa wenzio 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣et nmefkia hatua nzuur naitwa mtt wa umu 😄😄😄😄
Daaah hayo maisha watu tumekulia hayo home kuna 🐄 waudingo joti ni fundi sana
"Huu ugali umetoka mpakani huu"🤣🤣😅...joti
Hahaa eti kafikia hatua nzuri mpaka nae kawa mmoja kati ya watoto wa ile familia joti ana vituko sanaa...
🤣🤣🤣🤣joti uniacha oi
Duuh nshachelewa!!🤣🤣🤣🤣🤣
Nimekuwa wa pili kwa kukomenti ni noma sana
alo wew dogo kumamamayo sana
andunje et dagaa wamesimama wagum
😂🤣😂🤣Anduje 😂🤣🤣
Weeeee jott ni shida nyingine 🤣🤣🤣🤣
Joti anachekesha duh mbavu zangu mie😁😁😁
Daaaaah yaaan naangalia but kabla Mama hajaingia ndani na chakula ikoo Kama naona 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌 andunje Hilo timbwili
Joti n kiboko kabsa never disappoints🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nilikuwa Nimewamisi hawa wa mama ♥️😂
Hii haichekeshi , ila kwa kuwa ni Joti wacha nichekeee 🤣🤣🤣🤣🤣 Weee nomaa dah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nakukubali sana broo
Ludisha sopa na kipande wako na talented wale jamaa
Joti you make it wonderfulll
Ugali umetoka mpkani😂😂😂
Ni somari na dubai🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂ugali umetoka mpakani
Bi Kaye anaweza Andunj
Joti best comedian ever .
Ugali umetok mpakan wa dubai maaan ht mkono unakuwa na ganz joti ww noma nimechk dagaaa wanakwam misumal🤣🤣🤣🤣
Mzee kashituka😁😁ugali from somalia huu
Umetoka Mpakani😂😂bwege huyuuu😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nipo hatua nzuri 😂😂
Ugari umetoka nchi za nje 🤣😂🤣😂🤠🇧🇮🇧🇮
Ila ugali mbovu hata polini hawali ivo 😂😂😂
Iyo kweli Somalia na Dubai duuuh nooma💯💯💯
Joti ni nomaaa..
Joti wewe kwakweli daa umenishinda Tabia inapenda misosomolo🤣🤣
🤣🤣🤣🤣chakula kimetoka nchi zanjeee
Nimeanza kucheka na comment kabla sijafikia
@@eliyaharry8048 🤣🤣🤣🤣
This was hilarious 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ugali umetoka nchi za nje
Joti noma sana aisee
Nakukubali Joti 💯🔥
Nimekutilia blueband mpaka gryceline 😂
Hatari sanaaa 💪👍👍👍
Nikitaka kula mkono kama umepigwa ganzii 😃😂
jamanii jotii kila ckuu unatubadilishiaa wasanii, wapii mama dame jamanii
Dagaa misumari
Uwono
We ujui chochote wananichezea
Akili hiki chakula cha bi mdashi
😆😂😂😆😆😂
Ugali umetoka mpakani😂😂😂😂😂
Yani weye😂😂
Ujue joti ni fala wew
Siamn kama huyu Mama Bi Ubwa ndo hayupo Tena 😢😢😢😭😭
❤️❤️❤️ love from USA 🇺🇸
Thanks🇹🇿🇹🇿
@@lydiacharles5966 sister Lydia
Ugari umetoka inchi za nje🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
movie iko sawa twendelee hivyo hivo
Ugali umetoka nchi za nje😂😂😂😂
menYu ya bimdashiiiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ugali unatoka Somalia ama Dubai 😄😄😄😄
Ugali umetoka mpakani 😄😄