Genius and elite in the making, Joti is next level. I think the team should focus on international market. U hv done with local market,none can beat u. Awesomest good.
waooo safi sana, darasa zuri sana vitu vya hatari kama hivyo sio vizuri kuviweka hadharani vinaweza kusababisha madhara makubwa sana. Hongera sana Joti na Timu yako kwa ujumla
Dah leo nmelala sana ila nikipata nafas ya kuwa wakwanza mtakoma ntacheka nyieeeeeeee ila big up team fis nmeamka saaaaafiiiiiiii jogoo aliwika lakin kumsikia anduje akatulia mwenyew😂😂😂😂
I like it,Ila director ingependeza ikiwa ungekazia uangalifu uhalisia wa andunje wa kutoroka adhabu kwa walimu.Walimu walikuwa normal andunje alipotoroka.Na mwanafunzi anayedhamiria kutoroka adhabu kwa walimu watatu hawezi kuwakimbia kwa njia rahisi hivyo.Ila nimefurahia iko vizuri,hongereni wote mlioshiriki na director pia kwa kazi nzuri....🙏🙏🙏
Baba ety mtoto mpumbavu sana huyu kachukua yakwangu🤣🤣🤣 mwalm ety toi afu sogea karbu kama mnavosogeleana mkiongea kwenye bench, 😂😂😂 anduje mtoto mzuri walimu wanavompamba andunje kujtetea😆😆😆😆😆😆
Sijawai kabisaah kuwa wa Kwanzaa ila kufika hapa wa 14 mungu Ni mwema saaana,🤭🌹❤️ like ata kumi tunakukubali saaana joti haujawai kubaatisha❤️💃,🇴🇲🇹🇿
😄
For what
Acha kumtaja MUNGU kwa mambo yasokuwa na maana
alafu tukilike ndo nn acha ushamba ww😂
Acha ushamba
🤣🤣🤣🤣 Joti never disappoint
Kama unamkubal joti pita na like hapa ❤🤣
Mwalim waliyefungiwa chooni anajua sana kuact aiseee very talented
Genius and elite in the making, Joti is next level. I think the team should focus on international market. U hv done with local market,none can beat u. Awesomest good.
Hivi watu wafupi mnanini lakin i😅 ila joti unajua kutuweza mungu aendelee kukiweka kipajichako ❤❤
Badilisha masomo 🤣🤣🤣🤣🤣
Kama unamkubali joto like twende sawa joti ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
😃😃😃
Pamoja 🤝
Nawapenda sana
waooo safi sana, darasa zuri sana vitu vya hatari kama hivyo sio vizuri kuviweka hadharani vinaweza kusababisha madhara makubwa sana. Hongera sana Joti na Timu yako kwa ujumla
Huyu jamaa hazeeki 😀😀😀😀
Team and joti all the way from 🇰🇪 to 🇺🇸
Aiseeh JOTI unaongeza siku zangu duniani kwa vituko vyako mwanangu... shabiki wako kutoka +254...
Uku +255 usije ari ni mbaya tulia hukohuko
😃😃 jot bna
That scrip is very nice Mr Andunje!!
Thank you so much! Love from Burundi 🇧🇮!
Yaan nmecheka kwa saut daah mbele ya cha mtoto hatare san
Dah leo nmelala sana ila nikipata nafas ya kuwa wakwanza mtakoma ntacheka nyieeeeeeee ila big up team fis nmeamka saaaaafiiiiiiii jogoo aliwika lakin kumsikia anduje akatulia mwenyew😂😂😂😂
Nimecheka kaa fala😃😃😃kwani andunje amekua komando tena,, nakupenda joti aki mungu akuzidishie umri uzidi kutufuraisha from 254
Nimecheka mpk tumbo linauma
Acha nicheke kwanza ndio niangalie🤣🤣🤣
Joti you are good in everything you do🤣🤣🤣🤣🤣
joti best comedian in Tanzania tunakupenda sanaa
Joti kibokoooo,ila huyo dada aliyeigiza ualimu atakuwa mwalimu kweli maana ameuvaa uhalisia kama waoo kabisaaaa 😁🤣👏
BABA: Mtoto mshenzi sana kachukua ya kwangu 🤣🤣🤣🤣
BABA: Walimuuuuuuuuu, walimuuuuu huyu hapa huyu 😂😂😂😂
Jot bana 🤣🤣🙌sir kanyinyi ad namuogopa anapiga fimbo hahahaha
Bravooooo😅😅😅😅😅 umefundisha Jambo kubwa Sana hapo
Arnold ya jenny..mamae ......mwamba huyu hapa
Niependa sana lile kofi la mzeehahahah
Hahahaa aiseee huyu jamaa noma😀😀
Joti Kiboko Weweh Umewatoa jasho Walimu
Ujawai kuniangusha boss
Mungu akusaidie sana kaka yangu katika kazi zako maan nikaz nzry zenye maadili na mafundisho
Huyu Joti mpumbavu sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mmmh kwa kweli we kijamaa unajua sana
Baba ametumia akili kubwa Sana 🤣🤣🤣💪
Waalimu wachunguzwe pale...
Watakuwa wameharibu...
🎵Wameloa, wameloaa🎶
Joti he's a crazy genius comedian in Tanzania all the way from Saudi Arabia he always crack my ribs🤣🤣🤣
Hahaaa hiyo sio ya kwako... Ya kwako ni hii hahaa😂😂😂😂 Big up @joti
DAAAAH 😂😂😂 HUYU JOTI AMESHINDIKANA.AISEEEEEE🙌🏻ANASTAHILI TUZO NA HESHIMA KATIKA TASNIA HII.NI MBUNIFU WA HALI JUU.
Mvua njoo kstalina usije
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Bro Jotiii you are the best never disappoint nakubali Sana Team Jotiii respect Walimuu Walimuu huyu hapa😂😂😂😂 🙌🏼🙌🏼🔥
Msogelee kama ulivyokuwa unamsogelea mlipokuwa mnaongea kwenye bench 😂😂 Mwalim Suzi kumbe anayake😅
Ita mvua na ukame huo nilisem narud mikono juu nimechk huy adunje noma san😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 badilisha masomo auah sio poa 🙏🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nyingine sio. Nzur utafundisha Hali mbaya kwa watoto wengine kuiba siraha kwa wazaz kufanya uharifu
Mwendelezo upo wapj jaman
Nakukubar sana nishai
Andunje shoziniga anaokoa mateka😂😂😂😂😂😂
Joti your the best comedy nice clip 😂😂🤣🤣🤣😂😂
This iz too much brother good 4 u
Tunawapenda sana mashabiki wetu wa joti tv
Hongereni sana, tunapata burudani na elimu pia👏🏽👏🏽👏🏽
Aaah mister Mlewa mbona kina sopa kipande hatuwaoni?
Tunataka uhusika wa Babu
🔥🔥
pamoja🙌👊
Katisha sana kwakwel joti 😁😁😁😁😁
Hii ya leo nzuri..
Ila uwoga ni wasije wakaona watoto alafu wakaiga..
😂😂😂😂😂 ita mvua nchi ina ukame hii 🔥🤣🤣🤣
Nan karudia kuangalia 😅😅
Kweli joti Tv baba lao
Jamaa kamfanyia mwezie huuni kaacha begi
🤣🤣🤣nimecheka mpaka basi joti we noma sana
Joti msenge Kweli🤣🤣🤣🤣🤣
😂🤣😄😆😅😀😃
😂🤣😄😆😅😀😃
Moja kwa moja kwenye comet nakucheka 😀😀
Jamani bakora kama zakweli
Mamae! Hilo kofi la baba... hahahahaha
😁😁😁😁 andunje yako hiii 😁😁😁
Fireeeeeee ndoigeeeee
Rambo andunje 🤣🤣🤣🤣🤣pumbavu sana wewe nimecheka kazini mpaka nimeitwa na boss 🤣🤣
😄😄😂😂muambie bosi akusamehe tu😄😄
Jot kama anold kweny predator😂😂😂😂😂😂
@@kingzito31 yani 😂😂
@@shemastepula5567 halafu kweli🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂 kudadeki walah mwalimu likikuta hili lazma mkojo ukutoke
Nimecheka sana
Fara kabisa huyu anduje,😀😀😀 sema hilo Kofi kama la kwenye maonyesho😀😀😀😀😀
Namkubal sana jot
Yaaan hauwai kukosea joti hngr sanaa
Andunje kafurugwa mnaleta utani 😂😂
Hivi niwaulize he hopo mnafundisha nini Kwa watoto mimi sijapenda kabisa mahali uripo chezeya pamichezo hiyo
Sijui ni lini Andunje atamaliza shule ya msingi uko walimu wapumue
🔥🔥🔥🔥🔥🔥bastola ya babaaaaaaa
Eti mm nampasua kweli mtu😁😂😂sema bastola haina masihara
😂😂😂😂😂😂😂😂 walimu huyu hapa mshikee
Joti igweeeee! 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂😂😂
Nawapenda hao waalimu wa kike kwakweli
Wa kwanza 😂🔥
Joti kama joti...... like zenu wapenz wenzangu💯💯
ita mvua nchi ina ukame hii🤣🤣🤣
Wewe n nyokoo! 😂😂😂
Tanguuu kina sopa watokee mnakimbizwaaa na kina cram na kichechee
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwalimu anamlocha Andunjeee
Mwanafunzi ananiDiNDIA nn!! Aahah
From +254🇰🇪hujai niboa Joti😂😂
Unanilocha Aiseee 🤣🤣🤣 nitakutoa ubongo
Hahahahahahahaha hilo toi
I like it,Ila director ingependeza ikiwa ungekazia uangalifu uhalisia wa andunje wa kutoroka adhabu kwa walimu.Walimu walikuwa normal andunje alipotoroka.Na mwanafunzi anayedhamiria kutoroka adhabu kwa walimu watatu hawezi kuwakimbia kwa njia rahisi hivyo.Ila nimefurahia iko vizuri,hongereni wote mlioshiriki na director pia kwa kazi nzuri....🙏🙏🙏
Baba ety mtoto mpumbavu sana huyu kachukua yakwangu🤣🤣🤣 mwalm ety toi afu sogea karbu kama mnavosogeleana mkiongea kwenye bench, 😂😂😂 anduje mtoto mzuri walimu wanavompamba andunje kujtetea😆😆😆😆😆😆
Hahahah etiii itaaa mvuaaa😂😂😂na mvua ije kweliii
Joti big up sana yani wewe namba moja komediani TANZANIA
unahaki kuchukua tunzo
Joti tv hakuna stress, na mafundisho tunayapata , bonge la fundisho kazi nzuri
Utakubali leo anduje
Uyu jamaa napenda Sana akigiza kama babu
Jot noma san
Andunje is the best, anajuasana huyu, 🤣🤣🤣🤣
Una laana,Andunje.
Jamani hivi Mlelwa na Kanyinyi na mapacha au ni mtu na ndugu yake maana naona kama wanafanana
The clip is incredible
Joti ni Moto Kama yanga du! Sjawahi kucomments
Mbavu zangu znauma kwa kucheka🤣🤣🤣🤣🤣
Andunje hujawai toa kaz mbaya, well done jotii, ur a real comedian
Hongera kwa female teachers wameubeba uhuska vzri sanaa
Mvua njoo, katarina asije😂😂😂😂