BASTOLA YA BABA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Wazazi tunajua tunawapenda watoto zetu,tunapo wanunulia vitu vya kuchezea tuwape na maelekezo,bila hivyo mtaitafuta maneno serikalii

Комментарии • 497

  • @nadanasser1020
    @nadanasser1020 Год назад +203

    Sijawai kabisaah kuwa wa Kwanzaa ila kufika hapa wa 14 mungu Ni mwema saaana,🤭🌹❤️ like ata kumi tunakukubali saaana joti haujawai kubaatisha❤️💃,🇴🇲🇹🇿

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b Год назад +87

    🤣🤣🤣🤣 Joti never disappoint
    Kama unamkubal joti pita na like hapa ❤🤣

  • @Marjeby
    @Marjeby Год назад +4

    Mwalim waliyefungiwa chooni anajua sana kuact aiseee very talented

  • @drnyumba7292
    @drnyumba7292 Год назад +50

    Genius and elite in the making, Joti is next level. I think the team should focus on international market. U hv done with local market,none can beat u. Awesomest good.

  • @amaanelso2753
    @amaanelso2753 Год назад +7

    Hivi watu wafupi mnanini lakin i😅 ila joti unajua kutuweza mungu aendelee kukiweka kipajichako ❤❤

  • @aronpaul2331
    @aronpaul2331 Год назад +4

    Badilisha masomo 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @noelydembe5040
    @noelydembe5040 Год назад +50

    Kama unamkubali joto like twende sawa joti ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @kivaradaudi3892
    @kivaradaudi3892 Год назад +5

    waooo safi sana, darasa zuri sana vitu vya hatari kama hivyo sio vizuri kuviweka hadharani vinaweza kusababisha madhara makubwa sana. Hongera sana Joti na Timu yako kwa ujumla

  • @deogratiusmabima5753
    @deogratiusmabima5753 Год назад +4

    Huyu jamaa hazeeki 😀😀😀😀

  • @abdulbora812
    @abdulbora812 Год назад +15

    Team and joti all the way from 🇰🇪 to 🇺🇸

  • @washingtonleckiemilongo5501
    @washingtonleckiemilongo5501 Год назад +13

    Aiseeh JOTI unaongeza siku zangu duniani kwa vituko vyako mwanangu... shabiki wako kutoka +254...

  • @chrismuganwa8634
    @chrismuganwa8634 Год назад +10

    That scrip is very nice Mr Andunje!!
    Thank you so much! Love from Burundi 🇧🇮!

  • @barakaelias8591
    @barakaelias8591 Год назад +1

    Yaan nmecheka kwa saut daah mbele ya cha mtoto hatare san

  • @yurry_meh8911
    @yurry_meh8911 Год назад +4

    Dah leo nmelala sana ila nikipata nafas ya kuwa wakwanza mtakoma ntacheka nyieeeeeeee ila big up team fis nmeamka saaaaafiiiiiiii jogoo aliwika lakin kumsikia anduje akatulia mwenyew😂😂😂😂

  • @binttsulu647
    @binttsulu647 Год назад +2

    Nimecheka kaa fala😃😃😃kwani andunje amekua komando tena,, nakupenda joti aki mungu akuzidishie umri uzidi kutufuraisha from 254

  • @Being_Hussein
    @Being_Hussein Год назад +7

    Acha nicheke kwanza ndio niangalie🤣🤣🤣

  • @damarisonsabwa1293
    @damarisonsabwa1293 Год назад +10

    Joti you are good in everything you do🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nadyasalim7956
    @nadyasalim7956 Год назад +4

    joti best comedian in Tanzania tunakupenda sanaa

  • @msasenathpotiphar1732
    @msasenathpotiphar1732 Год назад +1

    Joti kibokoooo,ila huyo dada aliyeigiza ualimu atakuwa mwalimu kweli maana ameuvaa uhalisia kama waoo kabisaaaa 😁🤣👏

  • @queenandchill91
    @queenandchill91 Год назад +15

    BABA: Mtoto mshenzi sana kachukua ya kwangu 🤣🤣🤣🤣
    BABA: Walimuuuuuuuuu, walimuuuuu huyu hapa huyu 😂😂😂😂

  • @lucygodfrey2224
    @lucygodfrey2224 Год назад +1

    Jot bana 🤣🤣🙌sir kanyinyi ad namuogopa anapiga fimbo hahahaha

  • @richardsawe7010
    @richardsawe7010 Год назад +1

    Bravooooo😅😅😅😅😅 umefundisha Jambo kubwa Sana hapo

  • @carlosleonard6050
    @carlosleonard6050 Год назад +2

    Arnold ya jenny..mamae ......mwamba huyu hapa

  • @mohamedborry1030
    @mohamedborry1030 Год назад +2

    Niependa sana lile kofi la mzeehahahah

  • @abutalibmkubwa9111
    @abutalibmkubwa9111 Год назад

    Hahahaa aiseee huyu jamaa noma😀😀

  • @husseinhajji4099
    @husseinhajji4099 Год назад +2

    Joti Kiboko Weweh Umewatoa jasho Walimu

  • @JohnLauMusic
    @JohnLauMusic Год назад +2

    Ujawai kuniangusha boss

  • @meshakimmary5753
    @meshakimmary5753 Год назад +1

    Mungu akusaidie sana kaka yangu katika kazi zako maan nikaz nzry zenye maadili na mafundisho

  • @blackpanther4825
    @blackpanther4825 Год назад +1

    Huyu Joti mpumbavu sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mosesmlowe7006
    @mosesmlowe7006 Год назад

    Mmmh kwa kweli we kijamaa unajua sana

  • @nelsonbisi6499
    @nelsonbisi6499 Год назад +5

    Baba ametumia akili kubwa Sana 🤣🤣🤣💪

  • @wellbrand3415
    @wellbrand3415 Год назад

    Waalimu wachunguzwe pale...
    Watakuwa wameharibu...
    🎵Wameloa, wameloaa🎶

  • @akachamilionare8434
    @akachamilionare8434 Год назад +9

    Joti he's a crazy genius comedian in Tanzania all the way from Saudi Arabia he always crack my ribs🤣🤣🤣

  • @allenmoses5669
    @allenmoses5669 Год назад +8

    Hahaaa hiyo sio ya kwako... Ya kwako ni hii hahaa😂😂😂😂 Big up @joti

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior Год назад +1

    DAAAAH 😂😂😂 HUYU JOTI AMESHINDIKANA.AISEEEEEE🙌🏻ANASTAHILI TUZO NA HESHIMA KATIKA TASNIA HII.NI MBUNIFU WA HALI JUU.

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Год назад +17

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Bro Jotiii you are the best never disappoint nakubali Sana Team Jotiii respect Walimuu Walimuu huyu hapa😂😂😂😂 🙌🏼🙌🏼🔥

  • @amourhabiby5118
    @amourhabiby5118 4 месяца назад

    Msogelee kama ulivyokuwa unamsogelea mlipokuwa mnaongea kwenye bench 😂😂 Mwalim Suzi kumbe anayake😅

  • @fatemafatema8581
    @fatemafatema8581 Год назад

    Ita mvua na ukame huo nilisem narud mikono juu nimechk huy adunje noma san😂😂😂

    • @alphamwanamtulekenya5390
      @alphamwanamtulekenya5390 Год назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 badilisha masomo auah sio poa 🙏🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Год назад

    Nyingine sio. Nzur utafundisha Hali mbaya kwa watoto wengine kuiba siraha kwa wazaz kufanya uharifu

  • @shabanimriri6425
    @shabanimriri6425 Год назад

    Mwendelezo upo wapj jaman

  • @fatumaramadhani596
    @fatumaramadhani596 Год назад

    Nakukubar sana nishai

  • @malakimoses6115
    @malakimoses6115 Год назад +2

    Andunje shoziniga anaokoa mateka😂😂😂😂😂😂

  • @dennismazanda7226
    @dennismazanda7226 Год назад +1

    Joti your the best comedy nice clip 😂😂🤣🤣🤣😂😂

  • @mootyga1542
    @mootyga1542 Год назад

    This iz too much brother good 4 u

  • @mlewazitotv
    @mlewazitotv Год назад +37

    Tunawapenda sana mashabiki wetu wa joti tv

  • @baiyamohd
    @baiyamohd Год назад +2

    Katisha sana kwakwel joti 😁😁😁😁😁

  • @upendommbaga7070
    @upendommbaga7070 Год назад

    Hii ya leo nzuri..
    Ila uwoga ni wasije wakaona watoto alafu wakaiga..

  • @ianbryse1417
    @ianbryse1417 Год назад +3

    😂😂😂😂😂 ita mvua nchi ina ukame hii 🔥🤣🤣🤣

  • @gracecharles1244
    @gracecharles1244 Год назад +1

    Nan karudia kuangalia 😅😅

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Год назад +2

    Kweli joti Tv baba lao

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Год назад +1

    Jamaa kamfanyia mwezie huuni kaacha begi

  • @tato8979
    @tato8979 Год назад +1

    🤣🤣🤣nimecheka mpaka basi joti we noma sana

  • @thesoundtvonline
    @thesoundtvonline Год назад +10

    Joti msenge Kweli🤣🤣🤣🤣🤣

  • @japhetlust5050
    @japhetlust5050 Год назад +3

    Moja kwa moja kwenye comet nakucheka 😀😀

  • @exhaudyvalentine7907
    @exhaudyvalentine7907 Год назад

    Jamani bakora kama zakweli

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale Год назад +3

    Mamae! Hilo kofi la baba... hahahahaha

  • @sportsnewss8779
    @sportsnewss8779 Год назад +1

    😁😁😁😁 andunje yako hiii 😁😁😁

  • @maulidnjokamtaly5184
    @maulidnjokamtaly5184 Год назад +4

    Fireeeeeee ndoigeeeee

  • @taqozer
    @taqozer Год назад +8

    Rambo andunje 🤣🤣🤣🤣🤣pumbavu sana wewe nimecheka kazini mpaka nimeitwa na boss 🤣🤣

    • @kingzito31
      @kingzito31 Год назад +2

      😄😄😂😂muambie bosi akusamehe tu😄😄

    • @shemastepula5567
      @shemastepula5567 Год назад +1

      Jot kama anold kweny predator😂😂😂😂😂😂

    • @taqozer
      @taqozer Год назад

      @@kingzito31 yani 😂😂

    • @taqozer
      @taqozer Год назад

      @@shemastepula5567 halafu kweli🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @francismandwa7413
    @francismandwa7413 Год назад +1

    😂😂😂 kudadeki walah mwalimu likikuta hili lazma mkojo ukutoke

  • @imanueliharry1279
    @imanueliharry1279 Год назад

    Nimecheka sana

  • @jovinedominick9367
    @jovinedominick9367 Год назад

    Fara kabisa huyu anduje,😀😀😀 sema hilo Kofi kama la kwenye maonyesho😀😀😀😀😀

  • @user-fo6bp9yi3t
    @user-fo6bp9yi3t Год назад

    Namkubal sana jot

  • @anuarysuleymani2728
    @anuarysuleymani2728 Год назад +1

    Yaaan hauwai kukosea joti hngr sanaa

  • @marthinethomas3020
    @marthinethomas3020 Год назад +3

    Andunje kafurugwa mnaleta utani 😂😂

  • @davidmj8166
    @davidmj8166 Год назад

    Hivi niwaulize he hopo mnafundisha nini Kwa watoto mimi sijapenda kabisa mahali uripo chezeya pamichezo hiyo

  • @nyakungukimakon1883
    @nyakungukimakon1883 Год назад

    Sijui ni lini Andunje atamaliza shule ya msingi uko walimu wapumue

  • @jumabolingo9583
    @jumabolingo9583 Год назад +10

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥bastola ya babaaaaaaa

  • @charlesmanase4507
    @charlesmanase4507 Год назад +2

    Eti mm nampasua kweli mtu😁😂😂sema bastola haina masihara

  • @kizitokasulamo9167
    @kizitokasulamo9167 Год назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂 walimu huyu hapa mshikee

  • @checheblessum8343
    @checheblessum8343 Год назад +2

    Joti igweeeee! 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂😂😂

  • @alexmahenge9408
    @alexmahenge9408 Год назад

    Nawapenda hao waalimu wa kike kwakweli

  • @elibertmtabili8705
    @elibertmtabili8705 Год назад +3

    Wa kwanza 😂🔥

  • @suleimanali101
    @suleimanali101 Год назад +6

    Joti kama joti...... like zenu wapenz wenzangu💯💯

  • @mathiasshayo6348
    @mathiasshayo6348 Год назад +3

    ita mvua nchi ina ukame hii🤣🤣🤣

  • @morrismsemo1996
    @morrismsemo1996 Год назад +1

    Wewe n nyokoo! 😂😂😂

  • @jacksonndalu4095
    @jacksonndalu4095 Год назад

    Tanguuu kina sopa watokee mnakimbizwaaa na kina cram na kichechee

    • @mlewazitotv
      @mlewazitotv Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @enockchangwa8534
    @enockchangwa8534 Год назад

    Mwalimu anamlocha Andunjeee

  • @bashirfuad1130
    @bashirfuad1130 Год назад

    Mwanafunzi ananiDiNDIA nn!! Aahah

  • @officialraprofet
    @officialraprofet Год назад +11

    From +254🇰🇪hujai niboa Joti😂😂

  • @anthonymwambepo7441
    @anthonymwambepo7441 Год назад +1

    Unanilocha Aiseee 🤣🤣🤣 nitakutoa ubongo

  • @aineaelias8430
    @aineaelias8430 Год назад +1

    Hahahahahahahaha hilo toi

  • @chawalangatv1578
    @chawalangatv1578 Год назад +1

    I like it,Ila director ingependeza ikiwa ungekazia uangalifu uhalisia wa andunje wa kutoroka adhabu kwa walimu.Walimu walikuwa normal andunje alipotoroka.Na mwanafunzi anayedhamiria kutoroka adhabu kwa walimu watatu hawezi kuwakimbia kwa njia rahisi hivyo.Ila nimefurahia iko vizuri,hongereni wote mlioshiriki na director pia kwa kazi nzuri....🙏🙏🙏

  • @shemastepula5567
    @shemastepula5567 Год назад

    Baba ety mtoto mpumbavu sana huyu kachukua yakwangu🤣🤣🤣 mwalm ety toi afu sogea karbu kama mnavosogeleana mkiongea kwenye bench, 😂😂😂 anduje mtoto mzuri walimu wanavompamba andunje kujtetea😆😆😆😆😆😆

  • @darvie7653
    @darvie7653 Год назад +1

    Hahahah etiii itaaa mvuaaa😂😂😂na mvua ije kweliii

  • @khatibaliy4738
    @khatibaliy4738 Год назад

    Joti big up sana yani wewe namba moja komediani TANZANIA

  • @kingsulyemani2559
    @kingsulyemani2559 Год назад +2

    unahaki kuchukua tunzo

  • @frankenock2853
    @frankenock2853 Год назад

    Joti tv hakuna stress, na mafundisho tunayapata , bonge la fundisho kazi nzuri

  • @jumajustine6690
    @jumajustine6690 Год назад

    Utakubali leo anduje

  • @issajafarimzi2784
    @issajafarimzi2784 Год назад

    Uyu jamaa napenda Sana akigiza kama babu

  • @joojjooj7204
    @joojjooj7204 Год назад +1

    Jot noma san

  • @realzeflin6433
    @realzeflin6433 Год назад +1

    Andunje is the best, anajuasana huyu, 🤣🤣🤣🤣

  • @asmasoud6498
    @asmasoud6498 Год назад +1

    Una laana,Andunje.

  • @scholasticalaurent1542
    @scholasticalaurent1542 Год назад

    Jamani hivi Mlelwa na Kanyinyi na mapacha au ni mtu na ndugu yake maana naona kama wanafanana

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 Год назад +4

    The clip is incredible

  • @julietazakaria2838
    @julietazakaria2838 Год назад +1

    Joti ni Moto Kama yanga du! Sjawahi kucomments

  • @charlestheopister221
    @charlestheopister221 Год назад +1

    Mbavu zangu znauma kwa kucheka🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sportsnewss8779
    @sportsnewss8779 Год назад

    Andunje hujawai toa kaz mbaya, well done jotii, ur a real comedian

  • @elishalugodisha2038
    @elishalugodisha2038 Год назад

    Hongera kwa female teachers wameubeba uhuska vzri sanaa

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo2099 Год назад +4

    Mvua njoo, katarina asije😂😂😂😂