Huyu mkuu wa shule kachukua ustarabu kutokuchapa watoto, mfano mzuri sana, walimu wengine wana watoto lakini wanachapa watoto wa watu kwa hasira sana mpaka wana poteza maisha. Walimu wote oneni mfano BORA HUO.
Asateni Mlewa nisipo kuona wewe kwa video ama Kanyinyi huwa sina raha jmni mie ,, nawapenda balaa nyie vijana,, much love from Saudi Arabia 🇸🇦 🇸🇦🇸🇦 Kenya Mombasa ndio mjini 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Waungwana yee, mwanzo ckua nimefaham maan ya NIKI MINAJI ila baada ya kuon mwalim anatingish kiuno ndo nili_pause video kwanz alaf nikacheka😅😅😅😅...dahhh hatar hiii
Ni wangap wanaamin joti ni comedy bora hapa Tanzania❤
Mimi naamni hilo
Comedy mzuri tz Ni kicheche Na calm kwa Sasa tz
From Kenya
@@hamdiabdi1420 kicheche amna kitu
Clam anaweza kuwa bora kwa sasa
Saiv joti hamna kitu
In Africa bro
Best comedian 🙌🙌Ramadan kareem,accept with liking ❤️🇹🇿🇹🇿
Thank nawe pia Ramadan Karim ❤️
Anunde mjinga sana huwa namkubali sana huyu mtu tz hakuna mchekeshaji kama joti...kama wamkubali gonga like mashabiki wangu
Baba unajua hadi unajua tena nimecheka peke yangu asubuhi hii.Hakuna wa kukufata wewe 🥰😘🙏
Naomba like zangu nimekuwa wakwanza kulukanayo. Tunao mkubali Jot tumpe like Zake 🔥🔥🔥🔥🔥
Joti noma Sana hakuna Kama yeye Tanzania Kwa iyo fani
@@mophatsamwel6587 Hakika ni champion.
ruclips.net/video/MlioNYel2Z0/видео.html
Huyu mwanamke akivaa hijab anakuwa mzuri sana mashallah
Weka ma like kama unawakubali watu wafupi kwa upande wa comedian 😂😂😂
Jot😂😂😂 chukuwa mauwa yako
From Korea kusini 😀 watching joti tv
Mwl niko minaji kafungasha kumbe 😂😂😂😂
Joti u will always be the best comedian in Republic of Tanzania 😂😂😂salute u..
ruclips.net/video/MlioNYel2Z0/видео.html
Alafu joti huyu Zuuh usimuache anajua kuakti💪💪💪
Zuu anapendeza kua mwanafunzi🥰
from Minneapolis USA love mingiii
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mwalimu Nikki Minaj alivokuwa anatikisa hayo makalio😂😂😂. Bro Jotiii you are the best 👏🏼👏🏼
Kwa tako hilo hata mimi ningekuita Nick Minaj 😂😂😂
Mwalimu niki minaji😂😂😂
Mwalimu nick minaj😂😂😂
Sujalala nakusubiria my favourite comedian 😂😂
Huyu kaka jmn Hana mfano
Hii nadhani ni best kuliko zoteee 😂😂
Kazi tunayo ...Nick Minaj wa michongo 😁
ruclips.net/video/MlioNYel2Z0/видео.html
Nimecheka mpaka mbavu zina uma nahombeni dawa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mjomba ni mama shikamoo joti❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😅😂😂😂😂😂😂😂
Nani kafurahi kumuona zuuh n joti😂❤
ruclips.net/video/MlioNYel2Z0/видео.html
My favourite comedian in Tanzania
Never disappoint brother
Mwalimu nicki minaj ana kimbwinyo 😂😂
Joti never disappoint 😂😂😂😂😂
Kiukweli acha wachekeshe lakini kiboko yao ni jot
M
Simn
Mm
@@simonrwiza9553 sim ba
Mwalimu Nikki Minaaaaaaaaaji😂😂😂😂 alafu mwalim mkuu kama anataka Kujichekesha ila anabana
Mjomba ni mama lakini ana trakoooooooo😂😂😂😂😂 gonga like km umeelewa😅😅😅
Tunainjoi tuuu na swaum hiii inakuwa nyepesi tu like kidogo 🤣🤣🤣
Tuna-enjoy zaidi ikiwa tutasoma Qur An na kusikiliza mawaidha
Aise joti no balaaa
www shadiy www
@@omarymnuru8746 ndiy
@@omaromar2810 niambie omar wangu🥰
Nimesema hivi ulipo nipo kaka mkubwa 😘❤️
🤣 🤣 Mwalimu niki minaji😂😂hapa kwa comments nimeona mwengine namuita hivi niki minajiii😂
Jot kwa vituko ni hatari sana sana❤❤👍👍👍
Huk vzr san
Huyu mkuu wa shule kachukua ustarabu kutokuchapa watoto, mfano mzuri sana, walimu wengine wana watoto lakini wanachapa watoto wa watu kwa hasira sana mpaka wana poteza maisha. Walimu wote oneni mfano BORA HUO.
Nilikuwa nimekorofishana na mpenzi wangu lakini nilipo angalia hii nimemsamehe 😂😂😂😂😂
Mwalim nicki minaj 😹😂
Mwalimu mwenyewe ana taarabu kama kuku wa segasega 😂😂😂😂😂
Kuku wa segasega soyo wa pembe😂😂
@@AsmaAsma-gd3mv Joti atatu fanya tu kufuru haki 🤣🤣🤣🤣
For real people his the best But I would like to know mire more Swahili
Nimekusoma jotiiiiii kumbuka mwez mwez huu .kwalesma,,,ramadhan.
Wa kwanza naombeni like...😇
Joti hii umekopi na kupest kwwnye memes😂😂😂😂
sema mdada mwenye ushungi, manshallah!!
Weeee in this Ramadan 😅😅😅😅wewe joti
Haya joti ngoja tuiangalie sasa 😂😂😂
😅😅😅😅😅ana shepu alafu ana mgongo ....mgongo wa baba ang tofauti na wa mwalimu 😮
Zuuuu COME BACK 👊👊👊👊👊
Joti the best and genius
Mwl.niki miiiinaaaajiiiiiih
Mwalim niki minaji
😂😂😂😂😂😂😂Jotiiiiii mwalimu ni kimiaji
Hujawahi Kosea joti love you so much
Nakukubali Mr Joti 💯😂
Joti yeye ni wazamani sana 🙏 Mimi namkubali 80%
😂😂😂😂 joti shikamoo! Jichukuliage EMB zetu!
"Sasa mwalimu kwann wanakwita mwalim niki minaj" huyo mzee ni muhuni🤣🤣🤣🤣🤣mkorofi
Wapi mwl kp hahaaa wowow kama loteeeee nimekumbuka mbaliiii kinomaa
From Kenya we salute you bro
Huyu madame samia ni 🔥🔥🔥
Asateni Mlewa nisipo kuona wewe kwa video ama Kanyinyi huwa sina raha jmni mie ,, nawapenda balaa nyie vijana,, much love from Saudi Arabia 🇸🇦 🇸🇦🇸🇦 Kenya Mombasa ndio mjini 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Asante sana
Joti umeona shepu,mgongo na nini vileee😂😂😂😂😂😂😂😂😂🔥❤
Trakooo😀😃😂😂
Zuuu wapi ❤️❤️❤️🚶
Mwalimu niki minaj😅😅😅
Jot anawaza sana …… 😂😂
Hahahahahaha, alaf nimempenda uyo mwanafunz alo vaa shungi
Waungwana yee, mwanzo ckua nimefaham maan ya NIKI MINAJI ila baada ya kuon mwalim anatingish kiuno ndo nili_pause video kwanz alaf nikacheka😅😅😅😅...dahhh hatar hiii
Alafu mwalimu Niki katisha kinyamaaa😂
Zuuu Siku hizi Siku sikiyi jaman ume poteya kabisa 🕔🕔🕔🕔
No me pierdo ni uno ..hola buenas noches 💕😂💫💫💫💫😂😂😂😂oh mi dulce joty
Hee
Da nimejikuta nacheka sana
Joti hana baya mnaomkubali joti naombeni like zangu
Eti nishakufaaa😅😅😅😅 amejua kbs hatoboiii😅😅😅😅😅😅
uko vizur sana jot
Andunje kombe ww pia unamjuwa Niki minaj😅😅😅😅😅
Never disappoint 🤣😂😄
Jamani mashabiki wa nishai tujuwane Leo apa kwa like
Good Work Bro joti
Zuu tokea aondoke kwa mr big big kipaji kimepungua
Unapoa toa unyayo minimo the best comedian
1*mboneke
2*joti
3*dulah
4*tinwhite
5*Ringo. Hao ndo Tano Bora wngu
Kishundu cha mwalimu kama cha NIKI MINAJ kweli😂😂😂😂😂
Hahahaaa ni yupi huyo niki minaji
Kwa kusunda huku lazma aitwe Niki minaji🤣🤣🤣
Mwigizaj bora tz mzima
Sabab ya 3, nimemuona kama mjomba na mjomba ni mama sabab ana tarcooo 🤣🤣🤣🤣
Nimecheka yangu yote heeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
Wale ambao atuweziii kuangalia video bila kusoma comments tujuane hapaa
Duuuuu❤❤❤
Teacher alivyosunder 😂😃🤣😆😂
Wa tatu leo💃💃💃😍😍😍
Nimecheka kwa sauti hadi mtoto ameamka
Kwan nik minajili ndo choko au mbn selew 😂😂😂😂
Walimu wakike wanamcheka mwenzao😂😂😂😂
Anajua bhn🎉
Jot anajua san best comedian
Kkkkkkkk mpaka walimu wanashindWa kuongeya haki weee Maboga we ni sombe Sana yaani mpaka madjonzi yananitoka nikicheka aaaaah haki ya Mungu 🤦🥱
Eti sababu ya pili ana mgongo ila hilo shundu syo mchezo 😁
Mjomba ni mama😁
Nakupenda sana
Jeuli mwenzid kiburii😊😊😊😊😊😊
Me Naamin 😂😂
Akhasanteni sana, mkoliyiiiiiiivu
Tatizo huyu mwalimu ana Ka kabeji
Mjomba n mama ila jotii😀😀