Nay Wa Mitego Ft Phina - Nakuja (Official Music Audio)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 янв 2023
  • Music Video by Nay Wa Mitego featuring Phina performing "Nakuja" is a love
    Studio : Freenation Record
    Produced : Chiby_Beats
    Writter : Hamadai
    Mixing : The Mixing Killer
    Artwork & Visual :Mariot
    Stream/Download:linktr.ee/naywamitego
    Listen to Nay Wa Mitego on Digital Streaming:
    Audiomack:audiomack.com/naywamitego
    Apple Music: / nay-wa-mitego
    Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
    RUclips: / @naywamiteg
    Spotify:open.spotify.com/artist/3P97o...
    Connect Nay Wa Mitego on Social Media:
    Instagram: / naytrueboytz
    Facebook: / naywamitego
    Twitter: / naythetrueboy
    Catch Up With Saraphina On:
    Instagram: / saraphina__tz
    Facebook: / saraphinatz
    Twitter: / saraphina_tz
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 226

  • @loicenyika8723
    @loicenyika8723 Год назад +109

    Ubaya sisi wakenya tunawapenda wabongo ila nyie hamutupei likes angalau...basi leo nipeni...angalau 500 likes

  • @azmongodfrey3384
    @azmongodfrey3384 Год назад +93

    Wakwanza leo Jamn naombeni like 10 za rais wa kitaa 🙌🙌⚡⚡🔥🔥

  • @niyonkurufadhoulillah4916
    @niyonkurufadhoulillah4916 Год назад +11

    Kaka bila kuskiliza najua hutoniangusha like naiangusha kabla ya kuskiliza ngoma love frome South 🇿🇦

  • @shaababy2570
    @shaababy2570 Год назад +7

    Km unarudia Mara 2 kusikiliza ngm ram gonga like hpa😋😋😎

  • @shadrecknazarethboy8852
    @shadrecknazarethboy8852 Год назад +26

    Kama mnamkubali laisi wetu wa kitaa naombeni ma like 🔥🔥🔥🇯🇲🇯🇲🇯🇲🇯🇲🇯🇲🇯🇲🇯🇲♥️♥️🇿🇲

  • @flavianchuwa4370
    @flavianchuwa4370 Год назад +12

    😄Muhuni akishapenda hanaga Mengi baba yagaaahh!!!!!! Asante kwa Song la Kufungua Mwaka🔥🔥

  • @matthewmsukwa5605
    @matthewmsukwa5605 Год назад +9

    Mwaka wetu tumeuanza vizuri na mfalme wa kitaa🔥🔥

  • @PaulMrira
    @PaulMrira Год назад +10

    My ALL TIME favorite artist from +255 ..jiwe baada ya jiwe..HIT like if you from +254 who enjoy his music..🔥🔥🔥🔥🔥

  • @SwahiliAmbasador954
    @SwahiliAmbasador954 Год назад +9

    This is hit trust me
    Pale nay anapo kuwa anabembeleza
    Ujue ata ukiwa mbabe vipi lakin kwa haba lazima uwe mkate😍😍😍

  • @bennoboy8143
    @bennoboy8143 Год назад +13

    Like hapa kama ngoma umeikubal

  • @josephkirombo1781
    @josephkirombo1781 Год назад +4

    Unyama sana,,good song from Kenya 😍🥰🥰 love you Phina

  • @Jofuboy
    @Jofuboy 9 месяцев назад

    Nimechelewa sana 😢😢😢 naomben ata like 10 ili twend ,sawa

  • @fredieemmanuel878
    @fredieemmanuel878 Год назад +6

    Raisi wa kitaa ni 🔥🔥🔥

  • @sirjdeerobby1156
    @sirjdeerobby1156 Год назад +8

    Both nailed,, my likes from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @spannstube2709
    @spannstube2709 Год назад +1

    Ukinicheati moyo utauma ...(hapa hapa) 😘

  • @Sidoranking
    @Sidoranking Год назад +20

    Jaman hili dude linadrop hapa litakua moto wakuotea mbali, nipe likes zangu kama wakubaliana nami🎶❤️💯

    • @kimbeiyeiddrisaally7532
      @kimbeiyeiddrisaally7532 Год назад +2

      Hii ngoma misiikubali tunataka vt tofaut

    • @kimbeiyeiddrisaally7532
      @kimbeiyeiddrisaally7532 Год назад +2

      Nikweli Ila mi nimempenda huyu jamaa kwa ngoma zk zile zngn maan mi cmdau wa nyimbo za mapenzi

    • @Sidoranking
      @Sidoranking Год назад +1

      @@kimbeiyeiddrisaally7532 waona sasa kakangu hapo ndipo waenda wrong,,kwa kua ushaasema ngoma za kimapenzi weee haupo

  • @austinemoi6778
    @austinemoi6778 Год назад +3

    Phina sauti yako ata iniitishe range mm natoa tafadhali nitafute😋😋❤️💓

  • @jordanjob5958
    @jordanjob5958 Год назад +4

    raisi wakitaa nakubari sana hujawahi kutuangusha mashabiki zako tujuane kwa like Kama unamkubari mwamba huyu🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @amanifilsdemfumukimbangu6807
    @amanifilsdemfumukimbangu6807 Год назад +4

    Munipe likes cookies toka Congo 🇨🇩 kwenye vita.

  • @makelelebosco567
    @makelelebosco567 Год назад

    Nikuvutie ganja ndio nikuleeee...2023🙌🙌

  • @sharonrosa6747
    @sharonrosa6747 Год назад +5

    his voice 🥰 always the best......hii ndo sauti kila dem angependa early in morning with a voice not🤤🥰💕💕💕💕

  • @festogeorgekwakala4146
    @festogeorgekwakala4146 Год назад

    Ngoma Kali sema hilo neno ganja limehalibu ladha ya muziki ungeweka neno lingine

  • @m-ruagaboy4110
    @m-ruagaboy4110 Год назад +6

    Nikali ya mwaka kabisa mukombozi wako ameibariki tayari c bien vraiment courageux❤❤💪🔥 baraka yako inaishi Congo🔥💪👀

  • @rahultz_
    @rahultz_ Год назад +7

    Queen Phina 👑👑👑👑👑hujawahi tuangusha since day one...#NAKUJA 🔥🔥🔥

  • @Duly699
    @Duly699 Год назад +6

    Mr Nay, next toa EP ijiite For True Boys, Kenya twakukubali sana

  • @zingiberofficinale9843
    @zingiberofficinale9843 Год назад

    Jisogezee ujimalizee.... Kifo ni kifotuu iwe baharini ama angani..😂😂🙌🙌

  • @ntakandibitela2858
    @ntakandibitela2858 Год назад

    Naomba hata uwazirimkuu maana mini dance wako no one kitaa kinakutegemea Mr president 👊👊👊

  • @officialtoniemusic2682
    @officialtoniemusic2682 Год назад +4

    Here before everyone....nakukubali sana rais wa kitaa

  • @sonniahroseh3782
    @sonniahroseh3782 Год назад +3

    Jus from Instagram stories by our queen...mmh Niko hapa hapaaaaa ❤️❤️❤️❤️

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 Год назад

    We Ney na Darassa mziki wenu haukui, wanakuja vijana wanawapita mmebaki wa msimu, kaza buti

  • @rajabjuma1450
    @rajabjuma1450 Год назад

    Cjui Leo mm wangangapi kulike jmn naomben jmn Like na comments plz

  • @manp9091
    @manp9091 Год назад +2

    Ni bonge la ngoma

  • @manyaramanyara8872
    @manyaramanyara8872 Год назад +2

    Wewe ni fundi kweli.💪💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @artconscienttv2065
    @artconscienttv2065 Год назад +4

    C'est un bon refrain ça, depuis la DRC 243🇨🇩✌

  • @wamalwaedwin5107
    @wamalwaedwin5107 Год назад

    huyo dada alinyoosha hapo mahali vile inafaa kabisa....hii ngoma kali

  • @nasryhassan1566
    @nasryhassan1566 Год назад

    Oyaaa weee ! Umetisha kinoma raisi wa kitaa

  • @jonathanrichard1973
    @jonathanrichard1973 Год назад

    Mwambaa huwajahi veli ngomaa Lau kweli

  • @nyotastar102nyota2
    @nyotastar102nyota2 Год назад +2

    Ney unyama mwana 🔥🔥🔥🔥🏃🏃🏃🏃🏃

  • @spanishke1177
    @spanishke1177 Год назад +8

    Nay Wa Mitego your are the best brother 🔥🔥🔥🔥👑💯

  • @abdulrasulchinowa8543
    @abdulrasulchinowa8543 Год назад +5

    King of street in love,, it's amazing

  • @armandoleonardo6966
    @armandoleonardo6966 Год назад +19

    🔥🔥🔥🔥🔥 grande trabalho do início do ano. Nakuja baby é uma das músicas que Marcou no meu coração.parabens Ney wa tego🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @fadhilakajuna9471
    @fadhilakajuna9471 Год назад +3

    Good job hujawahi niangushaa hata kidogo🥰💪🏻💯

  • @jaykaris
    @jaykaris Год назад +3

    Kama unaamini Nay anaielewa game gonga like tusonge

  • @peterchabaja2739
    @peterchabaja2739 Год назад

    Uhuhuuhuhuhuuhu nkuvutie ganga ndo nikule

  • @pasikarinyakire8215
    @pasikarinyakire8215 Год назад +2

    Leo nimechelewa sna ndugu yangu kuagalia ngoma mpya Kaz zuri sana Shem anasauti zuli

  • @mariasixmund7964
    @mariasixmund7964 Год назад

    Phina wangu mwee umeua mama🤩😘😘😘

  • @kingDavid867
    @kingDavid867 Год назад

    Nakubali Boss ✌️✌️✌️🇺🇸✌️🇺🇸

  • @luikecamlala6770
    @luikecamlala6770 Год назад

    Mzee baba
    Hujawai kunihangusha

  • @babasmedia6018
    @babasmedia6018 Год назад

    Npige ganja ndo nikuleee👌👌👌

  • @vicentrogers9465
    @vicentrogers9465 Год назад

    Daaaadeq mzigo mpyaa huu hapa

  • @wing9762
    @wing9762 Год назад

    Rais wa mtaa umewakilisha vyema💪💪💪

  • @akimdollarmusic6304
    @akimdollarmusic6304 Год назад +1

    Raïs wa kitah uyo Tuko pamoja na Akim dollar again

  • @bahinwamlumba1233
    @bahinwamlumba1233 Год назад +1

    Poa kabisa raisi wa kitaa nimekupata toka kwetu hapa Atlanta Georgia

  • @vailethmvungi3586
    @vailethmvungi3586 Год назад

    Naisikiliza kila saaa uwiiiiiiiiiiii

  • @wajawazitotv7632
    @wajawazitotv7632 Год назад +1

    Ngoma kali sana

  • @polycarpamuhaya2774
    @polycarpamuhaya2774 Год назад +4

    Much love from keny Nay.Usisahau serikali🤣🤣

    • @mrmsoma1191
      @mrmsoma1191 Год назад

      😂😂🤣🤣😃😃😃

  • @rosedali2010
    @rosedali2010 Год назад +3

    My favourite artists nakupenda nay ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ msanii wangu pekeangu ❤️❤️❤️❤️

  • @tiodorylolo78
    @tiodorylolo78 Год назад +2

    Waooh bonge la ngoma!

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Год назад +3

    Kwer yamoto hii...🔥🔥🔥

  • @frankhoffa8356
    @frankhoffa8356 Год назад

    Nikuvutie ganja ndipo nikuleee🤣🤣🤣🤣 boya kweli hili kha!

  • @alphamuziq
    @alphamuziq Год назад +7

    The true boy in the building💥💥💥💥much love from +254

  • @paskalinamkumbo5724
    @paskalinamkumbo5724 Год назад

    Baba yaga nakukubali kinoma

  • @josephjuma9701
    @josephjuma9701 Год назад +10

    Nay to the world. Great song bro. Keep up!

  • @wrongnamemtuwahapa
    @wrongnamemtuwahapa Год назад

    Hii imeweza sana yani ni ya kizazi sana

  • @anuelbrownkid8747
    @anuelbrownkid8747 Год назад +11

    Much love from 254🇰🇪

  • @rachelelias7750
    @rachelelias7750 Год назад

    Jamani nakujaàaaaaa🔥😘😘😘😘

  • @marshtom968
    @marshtom968 Год назад +2

    kama vile nashikwa na utamu it's too hot 🔥🥵🥵🥵

  • @MahdonTz
    @MahdonTz Год назад +1

    Hujawah kuniangusha kaka trueboy Baba yaga Rais wa kitaa

  • @mohamedbakari9258
    @mohamedbakari9258 Год назад +3

    Kamanda nakuskiliza kutokaa Dubai 🔥🔥

  • @peterjoseph9745
    @peterjoseph9745 Год назад

    Iko mwake mkuuu ✊✊✊

  • @lovnessmichael8082
    @lovnessmichael8082 Год назад

    Mwamba nakukubali

  • @ivantompoo2885
    @ivantompoo2885 Год назад

    Nkkbl kk we noma rais wetu

  • @eliyauhaula5224
    @eliyauhaula5224 Год назад

    Ngoma inachexeka vzr kitaani.

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 Год назад

    Verse iliyoua ni ya Sarafinaa🔥🔥🔥🔥

  • @danielmachariagona4930
    @danielmachariagona4930 Год назад +2

    Umeweza Mr. Nay... Nd phina...... Mbona 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @inumbuboyinumbuboy2580
    @inumbuboyinumbuboy2580 Год назад +2

    Wambo wangu wa mwezi

  • @emmanueldaud8371
    @emmanueldaud8371 Год назад

    Rais wa kitaaa ww ndio mwanetu tunakubar

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Год назад

    Tuondoke ngoma ya kumsha hii

  • @everlyneomega3141
    @everlyneomega3141 Год назад +1

    Hii nimeicheza more than 5times……I requested in a club hapa 🇬🇧,it is a vibe…mitego…umentega

  • @richmavokotz
    @richmavokotz Год назад +3

    Watemi #Nakuja ❤❤❤

  • @mariamoric4194
    @mariamoric4194 Год назад

    Good kazi Rais

  • @hamadikamdela4144
    @hamadikamdela4144 Год назад

    Ngoma kali jamani

  • @WillyvannyOfficial
    @WillyvannyOfficial Год назад

    Kazi Nzuri

  • @osca312
    @osca312 Год назад +9

    I like this man ! Je suis très fier de toi mon très cher artiste 💪 Nay wa mitego depuis mon enfance 🤞🤞🤞 DRC Lubumbashi down town

  • @ayoubabdallah8224
    @ayoubabdallah8224 Год назад

    Kichupa hatar cha rais wa kitaa 🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡💪💪💪💪💪💪

  • @abdallahathuman9493
    @abdallahathuman9493 Год назад

    Ngoma Kali

  • @rehemaahmed3395
    @rehemaahmed3395 Год назад

    Aka kawimbo jamni so poa🔥🔥

  • @SixTechlmt
    @SixTechlmt Год назад +1

    Oya nipeni like zangu, wakwanza kbs

  • @poizonarroworiginal9993
    @poizonarroworiginal9993 Год назад +2

    Nakujaaaaa😥
    #thetrueboy never disappoints

  • @dankamangu
    @dankamangu 2 месяца назад

    tu es le meilleur Ney wamitego 🔥

  • @sharonrosa6747
    @sharonrosa6747 Год назад +4

    when it's lit 🔥 we play twice 🥰

  • @rafaelcostar9142
    @rafaelcostar9142 Год назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @kimbeiyeiddrisaally7532
    @kimbeiyeiddrisaally7532 Год назад +1

    Mm niliachakuwafatilia wote kwa kuwa nyimbo zao hazna jipya mapenzi tu nikakufatilia we kwa kuwa up tofaut Ila km nawe upo humu kwny kuimba mapenzi nnakukataa ndugu tunataka vitutofauti bhn co mapenzi tu

  • @issayasanaree1319
    @issayasanaree1319 10 месяцев назад

    Goma kali sana

  • @Dandywillz
    @Dandywillz Год назад +9

    Fans of Nay & phina inside and outside Tz let's gather here 📌

  • @user-yz6oj5iw6s
    @user-yz6oj5iw6s 7 месяцев назад

    This is so great
    #the trueboy

  • @lemausontz3513
    @lemausontz3513 Год назад +2

    Hot song big up Rais wa kitaaa

  • @youngplatnumz_3924
    @youngplatnumz_3924 Год назад

    Rais wa kitaaa

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Год назад +1

    Mpishi kalainika Kwa mtoto mzuri chezea mwanamke wewe

  • @justnjustn6168
    @justnjustn6168 Год назад +3

    "Phina is like vannesa mdee"