Nay Wa Mitego Ft Phina - Nakuja (Official Music Audio)
HTML-код
- Опубликовано: 17 янв 2023
- Music Video by Nay Wa Mitego featuring Phina performing "Nakuja" is a love
Studio : Freenation Record
Produced : Chiby_Beats
Writter : Hamadai
Mixing : The Mixing Killer
Artwork & Visual :Mariot
Stream/Download:linktr.ee/naywamitego
Listen to Nay Wa Mitego on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/naywamitego
Apple Music: / nay-wa-mitego
Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
RUclips: / @naywamiteg
Spotify:open.spotify.com/artist/3P97o...
Connect Nay Wa Mitego on Social Media:
Instagram: / naytrueboytz
Facebook: / naywamitego
Twitter: / naythetrueboy
Catch Up With Saraphina On:
Instagram: / saraphina__tz
Facebook: / saraphinatz
Twitter: / saraphina_tz - Видеоклипы
Ubaya sisi wakenya tunawapenda wabongo ila nyie hamutupei likes angalau...basi leo nipeni...angalau 500 likes
Mbona mi nawakubali sana FEM one
Nadia mkami
Acha uongo tunasikiliza sana nyimbo zenu
Wakwanza leo Jamn naombeni like 10 za rais wa kitaa 🙌🙌⚡⚡🔥🔥
Kaka bila kuskiliza najua hutoniangusha like naiangusha kabla ya kuskiliza ngoma love frome South 🇿🇦
Km unarudia Mara 2 kusikiliza ngm ram gonga like hpa😋😋😎
Kama mnamkubali laisi wetu wa kitaa naombeni ma like 🔥🔥🔥🇯🇲🇯🇲🇯🇲🇯🇲🇯🇲🇯🇲🇯🇲♥️♥️🇿🇲
😄Muhuni akishapenda hanaga Mengi baba yagaaahh!!!!!! Asante kwa Song la Kufungua Mwaka🔥🔥
Mwaka wetu tumeuanza vizuri na mfalme wa kitaa🔥🔥
My ALL TIME favorite artist from +255 ..jiwe baada ya jiwe..HIT like if you from +254 who enjoy his music..🔥🔥🔥🔥🔥
This is hit trust me
Pale nay anapo kuwa anabembeleza
Ujue ata ukiwa mbabe vipi lakin kwa haba lazima uwe mkate😍😍😍
Like hapa kama ngoma umeikubal
Unyama sana,,good song from Kenya 😍🥰🥰 love you Phina
Nimechelewa sana 😢😢😢 naomben ata like 10 ili twend ,sawa
Raisi wa kitaa ni 🔥🔥🔥
Both nailed,, my likes from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ukinicheati moyo utauma ...(hapa hapa) 😘
Jaman hili dude linadrop hapa litakua moto wakuotea mbali, nipe likes zangu kama wakubaliana nami🎶❤️💯
Hii ngoma misiikubali tunataka vt tofaut
Nikweli Ila mi nimempenda huyu jamaa kwa ngoma zk zile zngn maan mi cmdau wa nyimbo za mapenzi
@@kimbeiyeiddrisaally7532 waona sasa kakangu hapo ndipo waenda wrong,,kwa kua ushaasema ngoma za kimapenzi weee haupo
Phina sauti yako ata iniitishe range mm natoa tafadhali nitafute😋😋❤️💓
raisi wakitaa nakubari sana hujawahi kutuangusha mashabiki zako tujuane kwa like Kama unamkubari mwamba huyu🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Munipe likes cookies toka Congo 🇨🇩 kwenye vita.
Duuh poleni sana wanna congo
Nikuvutie ganja ndio nikuleeee...2023🙌🙌
his voice 🥰 always the best......hii ndo sauti kila dem angependa early in morning with a voice not🤤🥰💕💕💕💕
😅😅
Ngoma Kali sema hilo neno ganja limehalibu ladha ya muziki ungeweka neno lingine
Nikali ya mwaka kabisa mukombozi wako ameibariki tayari c bien vraiment courageux❤❤💪🔥 baraka yako inaishi Congo🔥💪👀
Queen Phina 👑👑👑👑👑hujawahi tuangusha since day one...#NAKUJA 🔥🔥🔥
Mr Nay, next toa EP ijiite For True Boys, Kenya twakukubali sana
Jisogezee ujimalizee.... Kifo ni kifotuu iwe baharini ama angani..😂😂🙌🙌
Naomba hata uwazirimkuu maana mini dance wako no one kitaa kinakutegemea Mr president 👊👊👊
Here before everyone....nakukubali sana rais wa kitaa
Jus from Instagram stories by our queen...mmh Niko hapa hapaaaaa ❤️❤️❤️❤️
We Ney na Darassa mziki wenu haukui, wanakuja vijana wanawapita mmebaki wa msimu, kaza buti
Cjui Leo mm wangangapi kulike jmn naomben jmn Like na comments plz
Ni bonge la ngoma
Wewe ni fundi kweli.💪💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
C'est un bon refrain ça, depuis la DRC 243🇨🇩✌
huyo dada alinyoosha hapo mahali vile inafaa kabisa....hii ngoma kali
Oyaaa weee ! Umetisha kinoma raisi wa kitaa
Mwambaa huwajahi veli ngomaa Lau kweli
Ney unyama mwana 🔥🔥🔥🔥🏃🏃🏃🏃🏃
Nay Wa Mitego your are the best brother 🔥🔥🔥🔥👑💯
King of street in love,, it's amazing
🔥🔥🔥🔥🔥 grande trabalho do início do ano. Nakuja baby é uma das músicas que Marcou no meu coração.parabens Ney wa tego🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Good job hujawahi niangushaa hata kidogo🥰💪🏻💯
Kama unaamini Nay anaielewa game gonga like tusonge
Uhuhuuhuhuhuuhu nkuvutie ganga ndo nikule
Leo nimechelewa sna ndugu yangu kuagalia ngoma mpya Kaz zuri sana Shem anasauti zuli
Phina wangu mwee umeua mama🤩😘😘😘
Nakubali Boss ✌️✌️✌️🇺🇸✌️🇺🇸
Mzee baba
Hujawai kunihangusha
Npige ganja ndo nikuleee👌👌👌
Daaaadeq mzigo mpyaa huu hapa
Rais wa mtaa umewakilisha vyema💪💪💪
Raïs wa kitah uyo Tuko pamoja na Akim dollar again
Poa kabisa raisi wa kitaa nimekupata toka kwetu hapa Atlanta Georgia
Naisikiliza kila saaa uwiiiiiiiiiiii
Ngoma kali sana
Much love from keny Nay.Usisahau serikali🤣🤣
😂😂🤣🤣😃😃😃
My favourite artists nakupenda nay ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ msanii wangu pekeangu ❤️❤️❤️❤️
Waooh bonge la ngoma!
Kwer yamoto hii...🔥🔥🔥
Nikuvutie ganja ndipo nikuleee🤣🤣🤣🤣 boya kweli hili kha!
The true boy in the building💥💥💥💥much love from +254
Baba yaga nakukubali kinoma
Nay to the world. Great song bro. Keep up!
Ngoma kali mwanangu ney
Hii imeweza sana yani ni ya kizazi sana
Much love from 254🇰🇪
Jamani nakujaàaaaaa🔥😘😘😘😘
kama vile nashikwa na utamu it's too hot 🔥🥵🥵🥵
Hujawah kuniangusha kaka trueboy Baba yaga Rais wa kitaa
Kamanda nakuskiliza kutokaa Dubai 🔥🔥
Iko mwake mkuuu ✊✊✊
Mwamba nakukubali
Nkkbl kk we noma rais wetu
Ngoma inachexeka vzr kitaani.
Verse iliyoua ni ya Sarafinaa🔥🔥🔥🔥
Umeweza Mr. Nay... Nd phina...... Mbona 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wambo wangu wa mwezi
Rais wa kitaaa ww ndio mwanetu tunakubar
Tuondoke ngoma ya kumsha hii
Hii nimeicheza more than 5times……I requested in a club hapa 🇬🇧,it is a vibe…mitego…umentega
Watemi #Nakuja ❤❤❤
Good kazi Rais
Ngoma kali jamani
Kazi Nzuri
I like this man ! Je suis très fier de toi mon très cher artiste 💪 Nay wa mitego depuis mon enfance 🤞🤞🤞 DRC Lubumbashi down town
Kichupa hatar cha rais wa kitaa 🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡💪💪💪💪💪💪
Ngoma Kali
Aka kawimbo jamni so poa🔥🔥
Oya nipeni like zangu, wakwanza kbs
Nakujaaaaa😥
#thetrueboy never disappoints
tu es le meilleur Ney wamitego 🔥
when it's lit 🔥 we play twice 🥰
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mm niliachakuwafatilia wote kwa kuwa nyimbo zao hazna jipya mapenzi tu nikakufatilia we kwa kuwa up tofaut Ila km nawe upo humu kwny kuimba mapenzi nnakukataa ndugu tunataka vitutofauti bhn co mapenzi tu
Goma kali sana
Fans of Nay & phina inside and outside Tz let's gather here 📌
This is so great
#the trueboy
Hot song big up Rais wa kitaaa
Rais wa kitaaa
Mpishi kalainika Kwa mtoto mzuri chezea mwanamke wewe
"Phina is like vannesa mdee"